Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........08
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
"Mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba angu uniambie kuhusu mama yangu mzazi  yupo wapi?...

ENDELEA NAYO....
"Ni story ndefu sana binti yangu na siwezi kukwambia kwa leo ila unatakiwa ujue jina la mama yako mzazi ni Beatrice", Mr.James aliingia ndani baada ya kumtajia jina la mama yake mzazi binti yake pasipo kumweleza kiundani zaidi.
"Baba mbona ameniambia jina la mama angu na kuniacha njia panda",Diana aliongea huku akimfata baba yake aliyeelekea ndani ili amuulize vizuri lakini hakuambulia chochote kile zaidi ya kuambiwa asubiri mda mwafaka utakapofika .

"Ni siri gani baba anayonificha na hataki niijue kwa wakati huu?", Diana alijiuliza baada ya kutokuambulia chochote kutoka kwa baba yake mzazi zaidi ya kutajiwa jina la mama yake mzazi.

Aliamua kujianda ili aende katika kampuni ya FNF na siku hiyo Diana alitaka  kupendeza na kuwa wakitofauti kabisa.

Nyumbani kwa kina Anjelina,
"Mwanangu mbona Leo sielewielewi?", Mama Angelina alimuuliza mwanae.
"Kwanini mama?"
"Umetumia mda mrefu kujipamba na sio kawaida yako,nahisi kutakuwa na tukio la mhimu siku ya leo huko uendako"
"Ni kweli mama hujakosea ila nyie ndio mmefanya mpaka nitumie mda mrefu kujipamba mana sikutaka kuingia kwenye haya mashindano kabisa", Angelina aliongea.

Mwanamama Beatrice alimsogelea binti yake nakuanza kumpa maneno ya kumtuliza na hakuacha kumkumbusha hatakiwa kukataa nafasi aliyopewa na Mwanamama katalina.

Lakini Angelina alikumbuka kitu cha mhimu na aliamua kumwambia mama yake,
"Mama ni mda mrefu umepita hatujaenda kumuona baba gerezani naamini atakuwa anajisikia vibaya sana kuona familia yake haiendi kumtembelea",Angelina aliongea kwa majonzi kidogo.
"Upo sahihi mwanangu kwa ulichosema ila hutakiwa kuwa na mawazo hayo kwa sasa, tutatafuta siku maalumu ya kwenda kumuona baba yako na hutakiwi kukaa sana mwanangu mda unazidi kwenda Angelina", Mwanamama Beatrice hakutaka kuendelea na zile stori za baba mzazi wa Angelina aliye gerezani kwa wakati huo.

Angelina alijiandaa na alipomaliza nae alielekea sehemu husika na siku iyo mavazi yake yalikuwa tofauti na siku zote na hakwenda kikazi kwani Mwanamama katalina alimpa likizo ya kutokufanya kazi yoyote ile zaidi ya kujumuika na wenzake kwenye tukio la siku hiyo.

Alifika ndani ya kampuni ya FNF na ata Mwanadada Diana nae aliwasili na alipendeza isivyo kawaida karibu kila mtu siku hiyo alikuwa tofauti na siku zote na wote walijumuika katika sehemu maalumu iliyo andaliwa kwa ajili ya tukio husika, Mwanamama Katalina aliyekuwa amewasili tayali akiwa na baadhi ya viongozi wenzake wanaowasimamia aliongea mbele ya warembo hao,
"Siku ya leo watu wote mtapatiwa namba na izo ndizo zitakazokuwa namba zenu  za ushiriki mtakazo dumu nazo mpaka mwisho wa mashindano haya na kila mtu atakuja hapa mbele yetu kuonyesha kile kilichomfanya awe hapa", Mwanamama Katalina aliongea na kuwafanya wote warufahi.

Upande wa Angelina alikuwa na wasiwasi kidogo mana alikuwa sio mzoefu wa maswala hayo ya kutembea kimiss na wala hakuwahi kufanyia mazoezi kama wenzake hali iliyozidi kuongeza hofu kiupande wake.

Mwanamama katalina alisimama kwa mara nyingine nakuongea
"na kingine, ni siku ya leo peke yake tutakayofanya ili zoezi asubuhi, siku zingine zote zinazokuja zoezi hili litakuwa likifanyika usiku........
Cha mwisho kampuni yetu ya FNF tumeingia makubaliano ya washiriki wote kuvaa viatu vitakavyotoka kwenye kampuni tuliloingia nalo makubaliano,kila mmoja wenu mda mtakaokuwa mnapatiwa namba zenu za ushiriki mtachagua viatu vitakavyo wafa na hii ni lazima ndugu zangu,na mkumbuke kuwa imebaki miezi miwili tu mashindano yaweze kufanyika ya kumtafuta mshindi kati yenu nyinyi", Mwanamama alimaliza kuongea na kila mshiriki aliyashika maneno yaliyotamkwa na Mwanamama huyo.

Zoezi lilianza kufanyika na kila mshiriki alipatiwa namba na kuchagua kiatu atakachotumia katika zoezi hilo,Mary na Faith nao hawakuwa mbali kwani kila mtu alipatiwa namba ya ushiriki na ata kwa mwanadada Angelina nae alipatiwa namba 30 ikiwa kama namba yake ya ushiriki tatizo lilikuwa kwenye aina ya viatu alivyopewa vilikuwa ni size yake lakini kwenye maisha yake yote hakuwahi kuvaa viatu vyenye visigino virefu na huo ukawa mtihani mwingine kwa mwanadada Angelina.

Diana alipatiwa namba 25 ya ushiriki na sasa kila mtu alijipanga kwa ajili ya zoezi kuanza huku tukio hilo likirecordiwa.
Albert nae alifika kwa ajili ya kushuhudia mazoezi ya warembo waliokuwa pale.

Zoezi lilianza na mshiriki namba Moja alianzia kutembea kwa miondoko iliyomvutia Karibu kila mtu aliyekuwa pale na watu walipiga makofi wakimpongeza kwa kazi nzuri, na wengine pia walianza kupita japo asilimia ya wote waliokuwa wakipita wengi walikuwa na miondoko iliyowavutia watazamaji wa zoezi lile.
"Huu mwaka itakuwa kazi sana kumpata mshiriki mana wengi wanaonekana wako vizuri", mwanamama katalina aliongea akimwambia kiongozi mwenzake waliokuwa wamekaa wote maeneo yale.
washiriki walizidi kupita na kufanya vizuri akiwemo Mary pamoja na rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake, ilifika zamu ya mshiriki namba 25 kupita na hakuwa mwingine bali ni Diana,

Albert alivyomwona Diana kwa mbali ndipo alipozidi kudata kabisa kwani siku hiyo Diana alipendeza utasema ndio siku husika ya mashindano yenyewe,
"Diana leo lazima nikutamkie kitu ambacho nilikisubiri kwa mda mrefu kukwambia,leo ni lazima nitamke neno nakupenda ", yalikuwa ni maneno ya kijana Albert aliyekuwa akimtazama Diana.

Mwanamama Katalina alivyomwona Diana alikasilika ila hakuwa na cha kufanya zaidi ya kutazama tu na alikuwa hatazami kwa umakini ushiriki wake kama ni mzuri au mbaya,alijikuta akiwa na mawazo ya chuki kuliko kufatilia kile kilichokuwa kikiendelea pale,lakini alishangaa watu wakipiga makofi ya kumpongeza Diana.
Karibu kila mtu alifurahishwa na kile alichokionesha Diana na ata baadhi ya washiriki wenzake walimpongeza kwa kile alichokionyesha.

Baada ya Diana washiriki wengine wanine walipita sasa ilifika zamu ya mshiriki namba 30 ambae ni Angelina licha ya kuwa ni mazoezi waliyokuwa wakifanya lakini alikuwa na hofu ya hali kitu kilichomfanya apoteze kujiamini, alisogea mpaka stegini na kujaribu kutembea kama wenzake walivyokuwa wanafanya lakini bahati haikuwa kwake siku hiyo kutoka na hofu aliyokuwa nayo alijikuta akitembea vibaya na kuanguka mpaka chini,
"Hahahahahahahaha!!!", ni vicheko tu ndio vilikuwa vikisikika kwa watu waliokuwa pale Karibu kila mtu alicheka isipokuwa Mwanamama katalina peke yake.

Watu waliofurahi zaid ni Diana pamoja na Albert aliyeshindwa kuzuia kicheko chake kwa tukio aliloliona pale.
Mwanamama Katalina alisimama na kwenda mpaka alipokuwa Angelina alimyenyua kwa kutumia mikono yake yake,
"Mwanangu hii ni kama changamoto kwako dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto, mwanzo siku zote huwa mgumu sana na ndiyo tunafanya mazoezi hapa ili ikifika siku ya tukio kila mtu awe na uwezo wa kupambana kupigania taji",Mwanamama katalina aliongea lakini upande wa Angelina ni maneno machache aliyoyasikia kwani mawazo yake yalikuwa kwenye aibu aliyoipata mbele ya umati ule na ata Mwanamama katalina alilitambua hilo ikabidi apaze sauti yake kuwatuliza watu waliokuwa pale,
"Wote naomba mtulie, hapa tunafanya mazoezi tu Ili tulekebishane na ata nyie washiriki wengine mliopita hapa na hamjaanguka kama mwenzenu ilivyomtokea bado mnavitu vya kulekebisha,huyu ni mshiriki mwenzenu na hamtakiwi kumdhihaki ata kidogo kwani hii ni kama changamoto kwake", Mwanamama katalina alimaliza kuongea na kidogo ilisaidia watu kutulia na kuendelea kuangalia washiriki wengine waliokuwa wanapita mpaka pale walipomaliza.

Kila mtu alitowanyika na ata Angelina ambae kila mtu aliyekuwa akikutana nae anamwangalia na kumcheka kutokana na tukio lililotokea,akiwa anatembea kutoka katika kampuni hiyo ya FNF alisikia akiitwa ikabidi ageuke kutazama ni nani anayemuita,
Hakuwa mwingine aliyekuwa anamwita bali alikuwa Diana aliyeamua kumfata baada ya yeye kusimama,
"Duuuuuh pole sana kwa kuanguka si bora uache tu kushiriki kama huwezi, yani mbele za watu unaanguka, hii ajabu sana",Diana aliongea lakini Angelina hakutaka kumjibu zaidi ya kugeuka nakuanza kuondoka kitendo kile Diana aliona kama ni dharau anayofanyiwa na Angelina.
"Unakiburi mimi naogea wewe unaenda?"
"Ata kama nikikujibu haitasaidia kitu  kama kuanguka nilianguka  mimi na sio wewe".
Wakiwa bado na majibishano yale Albert aliweza kuwaona na kuamua kuwafata huku moyoni akiwa na dukuduku la kuongea mbele ya Angelina,kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina.....ITAENDELA.

Nini atafanya Albert atakapo wafikia karibu katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........08
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.......
"Mara zote nilikuwa naitafuta hii nafasi ya kuongea vizuri na wewe baba angu uniambie kuhusu mama yangu mzazi  yupo wapi?...

ENDELEA NAYO....
"Ni story ndefu sana binti yangu na siwezi kukwambia kwa leo ila unatakiwa ujue jina la mama yako mzazi ni Beatrice", Mr.James aliingia ndani baada ya kumtajia jina la mama yake mzazi binti yake pasipo kumweleza kiundani zaidi.
"Baba mbona ameniambia jina la mama angu na kuniacha njia panda",Diana aliongea huku akimfata baba yake aliyeelekea ndani ili amuulize vizuri lakini hakuambulia chochote kile zaidi ya kuambiwa asubiri mda mwafaka utakapofika .

"Ni siri gani baba anayonificha na hataki niijue kwa wakati...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

637
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

58
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest