Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........21
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia....
Waliekea kwenye ndege Diana akiwa na Mr.James na ata nyumba yao iliachwa chini ya uangalizi wa Angelina na Mwanamama Beatrice.......

ENDELEA NAYO......
Angelina na mama yake waliamua kurudi mpaka nyumbani huku wakiwa na matumaini ya Diana kurudi Tanzania akiwa ameshatibiwa tatizo la miguu linalomsumbua na kurudi katika hali yake kama zamani.

"Griiigriiigriiii",ni mlio wa simu wa mwanadada Angelina aliyeamua kupokea baada ya kuona namba ngeni iliyompigia,
"Hello, Miss Tanzania unaongea na Big Don", sauti ya mwanamziki huyo mashuhuli ilisikika masikioni mwanadada Angelina.
"Unashida gani na mimi na nilikataa kufanya kazi na wewe  Big Don",Angelina aliongea kwa kujiamini bira kuogopa umaarufu aliokuwa nao Big Don hali iliyomkasilisha msaani huyo ila hakutaka kuonyesha hasira zake mbele ya mwanadada Angelina.
"Angelina hii ni kazi ambayo unatakiwa uifanye kwa lazima mana tayali nimeshaweka makubaliano na kampuni unayofanya nayo kazi na pia kumbuka una mkataba na kampuni iyo... kama huamini basi nenda ukaonge na manager wako atakupa maelezo zaidi, lazima utekeleze makubaliano yenu yalivyokuwa", Big Don aliongea kitu kilichomchanga Angelina.
"Unaongea nini wewe?"Angelina aliongea lakini simu tayali ilikuwa imeshakwatwa.
"Nani huyo tena", Mwanamama beatrice aliuliza.

Angela alimweleza kila kitu mama yake alichoambiwa na Big Don.

"Mimi naamini mwanangu huyo msanii anataka akutumie tu ni bora uangalie namna ya kuvunja mkatana na hilo kampuni"
"Mama sio msanii tu ata ninapo fanya kazi Manager naye anatabia hiyohiyo ya kuharibu ndoto za mabinti wengi",mwanadada Angelina aliendelea kulalamika.

Aliamua kutoka pale nyumbani na kuelekea katika kampuni ili apate habari kamili na siku hiyo alienda peke yake  bira ya rafiki yake Manka, alifika na kumkuta manager akiwa anaendelea na majukumu yake kama kawaida,
"Manager makubaliano yetu ya mkataba yalikuwaje?",Angelina alifika na kuhoji swali mbele ya manager huyo.
"Nayakumbuka sana makubaliano yetu ni lazima ukafanye kazi kwa Big Don na iyo pia ni kazi ya kampuni yetu ukikataa utakuwa umeenda kinyume na makubaliano yetu", Manager aliongea huku akiwa anaendelea na kazi zake hakutaka ata kumuangalia Angelina.

Angelina aliona sasa wanataka kumtania aliamua kutoka na kwenda nyumbani kuchukua mkataba alioingia na kampuni hilo huku kichwani  akipanga kufanya kitu kitakacho msaidia.

Mwanadada Mary milion 100 alikuwa ameshatumia na alikuwa amebakiza pesa kidogo sana na kwakuwa milion 100 alizipata kirahisi kutoka kwa Albert sasa aliamua kuja na mpango mwingine utakaomfanya apate pesa nyingine.
Akiwa amekaa na rafiki yakr Faith ambao urafiki wao ulirudi upya na ukawa kama zamani,
"Pesa zimeisha ngoja niende kwa mjinga wangu temu hii nafilisi kila kitu",Mary aliongea.

Mwanadada Faith hakuongea lolote lile zaidi ya kusikiliza maneno ya rafiki yake.

Mary alipanga mipango na vijana wake ya kwenda kumkamata Mwanamama katalina yani wafanye kama walivyofanya mwanzo ili aweze kujipatia pesa,lakini temu hii Faith aliamua kufanya kitu alichoona ni sahihi kwa upande wake alitafuta namba ya Albert na akafanyikiwa kuipata nakumpigia simu,
"Albert huu ni msaada kwako na kwa familia yako haina haja ya kujua mimi ni nani, ila kaa ukijua tu mama yako inatakiwa awe kwenye uangalizi mkubwa sana mda wowote Mary anaweza kumteka",Faith alikata simu baada ya kuongea na Albert.
"Utanisamehe rafiki yangu Mary sitaki uingie sehemu ambayo sio nzuri ya kunyanganya mali za watu", yalikuwa ni maneno ya mwanadada Faith.

Albert baada ya kupatiwa tarifa na Faith aliamua kutafuta walinzi wa kuweza kumlinda mama yake popote pale atakapokuwa.

Siku iliyofata mwanamama katalina alikuwa bize na kazi kwenye kampuni yake ya FNF na alikuwa na ulinzi wa kutosha aliotafutiwa na mwanae Albert kwa ajili ya usalama wake.

Upande wa nje wa kampuni hiyo alifika Mary akiwa kwenye gari yake na vijana wake wa kazi waliokuwa ndani ya gari hiyo na alipaki kwa mbali kidogo ambapo ni ngumu watu kuweza kugundua kama kuna tukio linalosubiliwa kufanyika.
"Leo inatakiwa muwe faster kuliko siku zote hapa tunasubilia gari yake ikitoka tunaizibia njia na nyie mnashuka haraka kwenda kumchukua na kumleta kwenye hii gari",Mary aliongea na vijana wake ambao kwake ni zaidi ya makomando,

Walikubaliana na kusubiri mpaka mda ulipokaribia kufika.

Gari ya mwanamama Katalina ilionekana akiwa anaendesha na ilipofika karibu na gari ya Mary, kitendo cha haraka kilifanyika cha Mary kuziba njia kwa mbele kwakutumia gari lake hali iliyofanya mwanamama katalina ashindwe kupita na kusimamisha gari yake, mda huohuo vijana wa Mary walishuka ili wakamchukue mwanamama katalina.
"Kwa usalama wako telemka haraka sana wewe mama", kijana mmoja aliongea alipofika kwenye gari la Mwanamama katalina.

Mlango wa gari ulifunguliwa na wakatalemka wanaume wawili tena wakiwa wameshika siraha za moto,Mary alivyoona ivyo aliliondoa gari haraka maeneo yale bira kujalia kama kulikuwa na vijana wake.

Ata wale vijana nao kila mtu alitafuta njia yake ya kuokoa maisha hakuna aliyebaki maeneo yale,
"Huyu binti anataka kunizoea kukoswa kwake taji la Miss Tanzania hasira anataka azimalizie kwangu, na huu ni mwanzo tu nitampeleka gerezani akiendelea kunifatilia",Mwanamama katalina aliongea na safari iliendelea ya kuelekea nyumbani huku vijana wa Mary hakuna aliyebaki maeneo yale ata mmoja.

Mwanadada Diana na Mr.James walikuwa tayali wameshafika nchini Canada na  walichokuwa wakikisubiri kwa wakati huo ni kupata majibu ya kuhusu matatibu,
"Mwanangu naamini utarudi kwenye hali yako na  ningependa kujua una malengo ya kufanya kitu gani kwa sasa", Mr.James alitamani kujua malengo ya binti yake.
"Baba, mimi natamani nije niwe na kiwanda cha kuchakata nguo siku moja na kiujmla napenda mambo ya fashion ndio mana ndoto yangu ilikuwa ni kuja kuwa Miss Tanzania ili niweze kuyatangaza mavazi yangu mimi mwenyewe",Diana aliongea.
"ila bado hakijaalibika kitu bado ndoto yako imeshaanza kutimia na imebakiza kidogo iweze kutimia"
"Unamaana gani baba?"
"Angelina ni mdogo wako na ni binti muelewa ivyo anaweza kukutangazia biashara yako ukimwambia",Mr.James aliongea.
"Sizani kama atakubali baba", Diana hakuwa na matumaini kama Angelina atakubali kufanya kile alichokisema baba yake.

Wakiwa bado na maongezi tarifa ziletwa za wao kupatiwa majibu ya tatizo linalomsumbua Diana.

Na tarifa walizopatiwa ni kuwa itamchukua karibu mwaka mzima mwanadada Diana kurudi katika hali yake ya kawaida japo uwezekano wa kupona sio mkubwa kiasi hicho, mwanadada Diana alihuzunika sana na ata Mr.James ila hakukuwa na njia nyingine zaidi ya kukubaliana na hali halisi.

"Mwanangu mimi siwezi kukaa huku mda wote lazima nirudi Tanzania nikasimamie biashara yetu ili nisije kukuta mambo yameharibika, na nitaajiri mtu atakaye kuwa anakuangalia na kila baada ya mwezi mmoja kuisha nitakuwa nakuja kukujulia hali mwanangu",.
Mr.James aliongea mengi na binti yake na alipanga kurudi Tanzania baada ya siku kadhaa tu kuendelea na majukumu yake.

Stewart sasa aliamua kuitafuta namba ya Mwanadada Angelina na mtu aliyempatia namba hiyo ni Manka mwenyewe rafiki wa  Angelina,
Angelina akiwa ameshika mikataba yake aliyoingia na kampuni hilo la uigizaji
akiisoma na kuipitia upya, kuna ujumbe uliingia lakini hakutaka kuusoma kwa mda huo bali aliendelea na kile alichokuwa akikifanya,
"Huu mkataba nimeusoma wote mbona sioni sehemu ikiniambia kuwa natakiwa nifanye kazi nje ya kampuni...... mimi sio mjinga kiasi hicho", Angelina alijihakikishia kuwa mikataba iko upande wake na kile alichokisema manager wake ilikuwa ni uongo aliirudisha mahala pake ili kesho asubuhi afikishe tarifa ile mahakamani.

Alishika simu yake kwa ajili ya kuangalia ni nani akiyetuma ujumbe katika simu yake,
"Najua utajiuliza sana kwanini imekuwa mapema Angelina lakini ukweli siku zote huwa haubadiliki na utabaki palepale, nakupenda Angelina nakupenda sana",ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Stewart na namba ilikuwa ngeni kwa Angelina kitu kilichomfanya acheke kuona mtu ambae ata hamjui alafu anamtumia ujumbe wa kumwambia  anampenda ila kwa kuwa ni Miss Tanzania wa mwaka huo jumbe kama zile aliona ni kitu cha kawaida tu kutumiwa. ..ITAENDELEA.

Stewart atafanyikiwa kumpata Angelina?.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........21
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia....
Waliekea kwenye ndege Diana akiwa na Mr.James na ata nyumba yao iliachwa chini ya uangalizi wa Angelina na Mwanamama Beatrice.......

ENDELEA NAYO......
Angelina na mama yake waliamua kurudi mpaka nyumbani huku wakiwa na matumaini ya Diana kurudi Tanzania akiwa ameshatibiwa tatizo la miguu linalomsumbua na kurudi katika hali yake kama zamani.

"Griiigriiigriiii",ni mlio wa simu wa mwanadada Angelina aliyeamua kupokea baada ya kuona namba ngeni iliyompigia,
"Hello, Miss Tanzania unaongea na Big Don", sauti ya mwanamziki huyo mashuhuli ilisikika masikioni mwanadada Angelina.
"Unashida gani na mimi na nilikataa kufanya kazi na wewe  Big Don",Angelina aliongea kwa kujiamini bira kuogopa umaarufu aliokuwa nao Big Don...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

639
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

59
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest