Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika katika video hiyo.
"Hapana hii haiwezekani hauwezi kunifanyia ivi Albert nani katuma hii video mtandaoni?", Angelina alikuwa kama kichaa palepale alimfata na kumkaba shati lake Albert bira kujali kama ni mtoto wa Mwanamama katalina.
"Unakichaa wewe binti unaanzaje kumshika Albert unamjua huyu ni nani katika hii kampuni?", Diana aliongea kwa kufoka.

Albert aliitoa mikono ya Angelina na kujipangusa sehemu aliyoshikwa na Angelina kama ishara ya kuchafuliwa na Angelina.

"Huyu kachanganyikiwa naona, yani umesahau kama mlikuwa mnachukuliwa video na tukio lilikuwa live mitandaoni mpaka uje unikabe mimi, Diana emu tuondoke haina haja ya kuendelea kuongea na mtu aliyechanganyikiwa hapa", Albert alimchukua Diana na wakaondoka wakimuacha Angelina maeneo yale akiendelea kuangalia video na kusoma comment za watu,wapo waliomuonea huruma na wengine kumponda hii ilimkasilisha sana Angelina na kushindwa kuzuia hasira zake aliibamiza chini simu yake na kuondoka maeneo hayo huku simu ikiwa pale chini.

Upande wa mwanadada Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa wakipongezana tu baada ya kusambaza clip zao fupi mitandaoni zikiwaonyesha wakitembea kimadaha  nakupongezwa na watu wengi hali iliyomfanya Mary azidi kufurahi zaidi,
"Shoga umeona vitu ivyo huu mwaka ni wangu nakwambia angalia like na comment, haahhaahahaha huu mwaka uMiss Tanzania huo nauona",Mary aliongea.
"Bora sisi yule aliyeanguka sijui huko aliko ana hali gani sasa ivi"
"Wewe sindio ulikuwa unamsifia kuwa ni mzuri sasa ivi kikowapi yani kwenye mazoezi tu anaanguka je? siku yenyewe ya mashindano itakuwaje?",Mary alimjibu Faith .
"Kwanza tuachane na izo story, hujaniambia kinachoendelea kwa kijana wa boss", Faith aliamua apindishe mada baada ya kuona rafiki yake amemgeuzia kibao yeye.
"Umefanya jambo la mhimu kunikumbusha ngoja nimtafute mida hii".

Mary alichukua simu yake nakumpigia Albert lakini simu ilikuwa haipatikani mda huo ikamlazimu amwandikie ujumbe .

Upande wa Albert na Diana walielekea sehemu tulivu kwa ajili ya kufanya maongezi yao na temu hii Albert alipanga kumwelezea Diana kile alichothamilia kumwambia na ata simu yake aliamua kuizima kabisa ili asipatiwe usumbufu wa aina yoyote ile,
"Albert tayali tumeshafika sehemu husika naomba uanze wewe kuniambia kitu ulichotaka kuniambia",Diana alitoa nafasi kwa Albert na hii kumfanya avute pumzi kwanza kabra ya kuanza kuzungumza huku Diana akitega masikio yake vizuri kumsikiliza.
"Diana wewe ni rafiki  wa mda sana kwangu, tangu tulipofahamiana shuleni kwenye shule tuliyosoma wote na mpaka hii leo bado ni marafiki tu,kuna jambo lililo ndani ya moyo wangu ningependa kukwambia"
"Jambo gani hilo Albert?", Diana alibidi aulize.
"Diana,jambo lenyewe ni...Nakupenda Diana naomba uwe mke wangu",Albert aliamua kufungua kile kilichokuwa moyoni bira kujali kuwa Diana atafanya maamuzi gani baada ya kumwambia vile.

Diana hakuamini kusikia neno nakupenda kutoka kwa Albert ilibidi amuulize kwa mara nyingine lakini bado Albert alisisitiza kuwa amemaanisha kwa kile alichokisema.

Diana alikumbuka ahadi aliyowekeana na baba yake au Mr.James mpaka kusainishana karatasi ulikuwa ni wakati mgumu sana kwa Diana kufanya maamuzi,
"Hapana Albert hatuwezi kuwa pamoja ", Diana aliamua kuongea japo alijua Albert atajisikia vibaya ila hakuwa na kingine zaidi ya kufanya yale maamuzi.
"Kwanini Diana isiwezekane?, kama tatizo ni wazazi wetu nipo tayali mimi kwenda kuishi mbali na wewe ili tuwe mbali nao najua mama yangu hakupendi wewe na ata baba yako pia hanipendi mimi, lakini mimi nakupenda wewe Diana".
"I'm sorry Albert,sio kwa sababu hiyo nataka nikamilishe kwanza jambo langu la haya mashindano sihitaji kuingia kwenye mahusino kwa sasa naomba unielewe Albert", Diana aliongea.
"Diana sielewi hatima yangu ni ipi, nisubiri mpaka mashindano yatakapoisha? au nifanye kitu gani?",Albert ilibidi aulize kwa mara nyingine.

Diana alifikilia nakuona hatakiwi kumkataa Albert moja kwa moja kwani bado anamalengo ya kumtumia ili aibuke mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyokuwa yamebakiza miezi miwili tu yafanyike.
"Albert nipe mda tafadhali nifikilie kuhusu hili", kidogo maneno ya Diana yalimpa matumaini Albert na kumfanya arudishe tabasamu lililokuwa limepotea na maongezi mengine yakiendelea.
       
Mwanamama Beatrice akiwa amekaa alishangaa kumuona binti yake Angelina akiwa analia tena alimpita pasipo ata kumsalimia na kuelekea chumbani kwake moja kwa moja, mbaya zaidi alifika na kufunga mlango wa chumbani kwake,
Mama yake ilibidi anyenyuke na kumfata,
"Wewe Angelina fungua mlango mwanangu umepatwa na nini?",Mwanamama Beatrice aliongea lakini ni sauti ya kilio tu kutoka kwa mtoto wake ndiyo aliyokuwa akiisikia.

Aliendelea kumwita bira mafanyikio na Angelina aligoma kabisa kufungua mlango.

Manka alishangaa kuona picha za rafiki yake Angelina imesambaa mtandaoni ikimuonyesha jinsi alivyoanguka na watu wakimcheka,
"Dah masikini Angelina atakuwa kwenye kipindi kigumu sana, ngoja nikamuangalie nyumbani kwao alitoka nakuelekea nyumbani kwa rafiki yake.
Ndani ya mda mfupi tu aliweza kufika na kubisha hodi na Mwanamama Beatrice  alikuja kumfungulia.
"Mama Angelina yuko wapi?", ndio swali la kwanza alilokutana nalo Mwanamama Beatrice pasipo ata kusamiliwa na binti huyo.
"Bora ata umekuja rafiki Yako kajifungia chumbani hataki ata kufungua mlango yumo analia tu na sijui tatizo gani limempata huko"

Manka hakutaka kuanza kumwelezea zaidi ya kuchukua simu yake na kumwonyesha kile kilichokuwa kikiendelea mitandaoni, Mwanamama Beatrice nae hakuamini baada ya kuangalia ilimuumiza sana kuona mwanae alivyozalilika mbele za umati.

"Binti yangu atakuwa kwenye kipindi kigumu sana na anaweza kufanya jambo litakalomlea matatizo,Manka naomba tusaidizane kuuvunja mlango".
Wazo la Mwanamama Beatrice liliungwa mkono na Manka, kazi ilibaki moja tu ya kuvunja mlango.

Walitafuta kitu kizito na kuanza kuvunja mlango mpaka pale walipofanyikiwa kuuvunja na kumkuta Angelina amekaa huku akilia,
"Angelina mwanangu hupaswi kujilaumu izo ni changamoto naomba usiwe mnyonge kiasi hicho"
"Mama nisiwe mnyonge huoni kinachoendelea mitandaoni, na mimi kuanzia leo sitakanyaga tena katika ile kampuni na hayo mashindano siyataki tena mtaenda kushiriki wenyewe", Angelina alikuwa kamaanisha kile alichokizungumza na hakutaka kurudi tena kwenye kampuni ya FNF.

Mwanamama Katalina nae pia aliiona video ile mitandaoni lakini lawama zote alizipeleka kwa mtu aliyekuwa akirecord kwa kushindwa kumsitili Angelina.
lakini palepale simu yake iliita na kuipokea,
"Tunajivunia sana kuingia mkataba na kampuni yenu katalina", sauti ya mpigaji ilisikika.
"Unamaana gan Mr.?"
Tukio la binti yule kuanguka kwetu imekuwa kama faida mana ile video imesambaa kwa wingi na chapa ya kiatu chetu ilionekana kitendo kilichowafanya watu waangalie ni kampuni gani hilo lililotengeza viatu vilivyomfanya binti anguke,hiyo ni faida kwetu kwani followers kwenye mitandao yetu hivi ninavyokwmabia wameongezeka kwa kasi sana na hii imekuwa faida kwetu japo ni fedhea kwa binti wa watu,
Aliendelea kuongea.....
Nazani kesho Kuna zawadi yake sisi kama kampuni tutakuja kumpa na kumtia moyo aendelee kushiriki kwenye mashindano japo najua watu wengi watashangaa sana",alikata simu baada ya kumpa tarifa zile.

Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea.....ITAENDELEA.
Wapi ambapo Mwanamama Katalina anaenda?,mashindano bado miezi miwili tu na Angelina amegoma kushiriki tukutane katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.19K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

639
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

525
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

494
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

263
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

235
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

134
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

121
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

60
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

49

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest