Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika katika video hiyo.
"Hapana hii haiwezekani hauwezi kunifanyia ivi Albert nani katuma hii video mtandaoni?", Angelina alikuwa kama kichaa palepale alimfata na kumkaba shati lake Albert bira kujali kama ni mtoto wa Mwanamama katalina.
"Unakichaa wewe binti unaanzaje kumshika Albert unamjua huyu ni nani katika hii kampuni?", Diana aliongea kwa kufoka.

Albert aliitoa mikono ya Angelina na kujipangusa sehemu aliyoshikwa na Angelina kama ishara ya kuchafuliwa na Angelina.

"Huyu kachanganyikiwa naona, yani umesahau kama mlikuwa mnachukuliwa video na tukio lilikuwa live mitandaoni mpaka uje unikabe mimi, Diana emu tuondoke haina haja ya kuendelea kuongea na mtu aliyechanganyikiwa hapa", Albert alimchukua Diana na wakaondoka wakimuacha Angelina maeneo yale akiendelea kuangalia video na kusoma comment za watu,wapo waliomuonea huruma na wengine kumponda hii ilimkasilisha sana Angelina na kushindwa kuzuia hasira zake aliibamiza chini simu yake na kuondoka maeneo hayo huku simu ikiwa pale chini.

Upande wa mwanadada Mary akiwa na rafiki yake Faith walikuwa wakipongezana tu baada ya kusambaza clip zao fupi mitandaoni zikiwaonyesha wakitembea kimadaha  nakupongezwa na watu wengi hali iliyomfanya Mary azidi kufurahi zaidi,
"Shoga umeona vitu ivyo huu mwaka ni wangu nakwambia angalia like na comment, haahhaahahaha huu mwaka uMiss Tanzania huo nauona",Mary aliongea.
"Bora sisi yule aliyeanguka sijui huko aliko ana hali gani sasa ivi"
"Wewe sindio ulikuwa unamsifia kuwa ni mzuri sasa ivi kikowapi yani kwenye mazoezi tu anaanguka je? siku yenyewe ya mashindano itakuwaje?",Mary alimjibu Faith .
"Kwanza tuachane na izo story, hujaniambia kinachoendelea kwa kijana wa boss", Faith aliamua apindishe mada baada ya kuona rafiki yake amemgeuzia kibao yeye.
"Umefanya jambo la mhimu kunikumbusha ngoja nimtafute mida hii".

Mary alichukua simu yake nakumpigia Albert lakini simu ilikuwa haipatikani mda huo ikamlazimu amwandikie ujumbe .

Upande wa Albert na Diana walielekea sehemu tulivu kwa ajili ya kufanya maongezi yao na temu hii Albert alipanga kumwelezea Diana kile alichothamilia kumwambia na ata simu yake aliamua kuizima kabisa ili asipatiwe usumbufu wa aina yoyote ile,
"Albert tayali tumeshafika sehemu husika naomba uanze wewe kuniambia kitu ulichotaka kuniambia",Diana alitoa nafasi kwa Albert na hii kumfanya avute pumzi kwanza kabra ya kuanza kuzungumza huku Diana akitega masikio yake vizuri kumsikiliza.
"Diana wewe ni rafiki  wa mda sana kwangu, tangu tulipofahamiana shuleni kwenye shule tuliyosoma wote na mpaka hii leo bado ni marafiki tu,kuna jambo lililo ndani ya moyo wangu ningependa kukwambia"
"Jambo gani hilo Albert?", Diana alibidi aulize.
"Diana,jambo lenyewe ni...Nakupenda Diana naomba uwe mke wangu",Albert aliamua kufungua kile kilichokuwa moyoni bira kujali kuwa Diana atafanya maamuzi gani baada ya kumwambia vile.

Diana hakuamini kusikia neno nakupenda kutoka kwa Albert ilibidi amuulize kwa mara nyingine lakini bado Albert alisisitiza kuwa amemaanisha kwa kile alichokisema.

Diana alikumbuka ahadi aliyowekeana na baba yake au Mr.James mpaka kusainishana karatasi ulikuwa ni wakati mgumu sana kwa Diana kufanya maamuzi,
"Hapana Albert hatuwezi kuwa pamoja ", Diana aliamua kuongea japo alijua Albert atajisikia vibaya ila hakuwa na kingine zaidi ya kufanya yale maamuzi.
"Kwanini Diana isiwezekane?, kama tatizo ni wazazi wetu nipo tayali mimi kwenda kuishi mbali na wewe ili tuwe mbali nao najua mama yangu hakupendi wewe na ata baba yako pia hanipendi mimi, lakini mimi nakupenda wewe Diana".
"I'm sorry Albert,sio kwa sababu hiyo nataka nikamilishe kwanza jambo langu la haya mashindano sihitaji kuingia kwenye mahusino kwa sasa naomba unielewe Albert", Diana aliongea.
"Diana sielewi hatima yangu ni ipi, nisubiri mpaka mashindano yatakapoisha? au nifanye kitu gani?",Albert ilibidi aulize kwa mara nyingine.

Diana alifikilia nakuona hatakiwi kumkataa Albert moja kwa moja kwani bado anamalengo ya kumtumia ili aibuke mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyokuwa yamebakiza miezi miwili tu yafanyike.
"Albert nipe mda tafadhali nifikilie kuhusu hili", kidogo maneno ya Diana yalimpa matumaini Albert na kumfanya arudishe tabasamu lililokuwa limepotea na maongezi mengine yakiendelea.
       
Mwanamama Beatrice akiwa amekaa alishangaa kumuona binti yake Angelina akiwa analia tena alimpita pasipo ata kumsalimia na kuelekea chumbani kwake moja kwa moja, mbaya zaidi alifika na kufunga mlango wa chumbani kwake,
Mama yake ilibidi anyenyuke na kumfata,
"Wewe Angelina fungua mlango mwanangu umepatwa na nini?",Mwanamama Beatrice aliongea lakini ni sauti ya kilio tu kutoka kwa mtoto wake ndiyo aliyokuwa akiisikia.

Aliendelea kumwita bira mafanyikio na Angelina aligoma kabisa kufungua mlango.

Manka alishangaa kuona picha za rafiki yake Angelina imesambaa mtandaoni ikimuonyesha jinsi alivyoanguka na watu wakimcheka,
"Dah masikini Angelina atakuwa kwenye kipindi kigumu sana, ngoja nikamuangalie nyumbani kwao alitoka nakuelekea nyumbani kwa rafiki yake.
Ndani ya mda mfupi tu aliweza kufika na kubisha hodi na Mwanamama Beatrice  alikuja kumfungulia.
"Mama Angelina yuko wapi?", ndio swali la kwanza alilokutana nalo Mwanamama Beatrice pasipo ata kusamiliwa na binti huyo.
"Bora ata umekuja rafiki Yako kajifungia chumbani hataki ata kufungua mlango yumo analia tu na sijui tatizo gani limempata huko"

Manka hakutaka kuanza kumwelezea zaidi ya kuchukua simu yake na kumwonyesha kile kilichokuwa kikiendelea mitandaoni, Mwanamama Beatrice nae hakuamini baada ya kuangalia ilimuumiza sana kuona mwanae alivyozalilika mbele za umati.

"Binti yangu atakuwa kwenye kipindi kigumu sana na anaweza kufanya jambo litakalomlea matatizo,Manka naomba tusaidizane kuuvunja mlango".
Wazo la Mwanamama Beatrice liliungwa mkono na Manka, kazi ilibaki moja tu ya kuvunja mlango.

Walitafuta kitu kizito na kuanza kuvunja mlango mpaka pale walipofanyikiwa kuuvunja na kumkuta Angelina amekaa huku akilia,
"Angelina mwanangu hupaswi kujilaumu izo ni changamoto naomba usiwe mnyonge kiasi hicho"
"Mama nisiwe mnyonge huoni kinachoendelea mitandaoni, na mimi kuanzia leo sitakanyaga tena katika ile kampuni na hayo mashindano siyataki tena mtaenda kushiriki wenyewe", Angelina alikuwa kamaanisha kile alichokizungumza na hakutaka kurudi tena kwenye kampuni ya FNF.

Mwanamama Katalina nae pia aliiona video ile mitandaoni lakini lawama zote alizipeleka kwa mtu aliyekuwa akirecord kwa kushindwa kumsitili Angelina.
lakini palepale simu yake iliita na kuipokea,
"Tunajivunia sana kuingia mkataba na kampuni yenu katalina", sauti ya mpigaji ilisikika.
"Unamaana gan Mr.?"
Tukio la binti yule kuanguka kwetu imekuwa kama faida mana ile video imesambaa kwa wingi na chapa ya kiatu chetu ilionekana kitendo kilichowafanya watu waangalie ni kampuni gani hilo lililotengeza viatu vilivyomfanya binti anguke,hiyo ni faida kwetu kwani followers kwenye mitandao yetu hivi ninavyokwmabia wameongezeka kwa kasi sana na hii imekuwa faida kwetu japo ni fedhea kwa binti wa watu,
Aliendelea kuongea.....
Nazani kesho Kuna zawadi yake sisi kama kampuni tutakuja kumpa na kumtia moyo aendelee kushiriki kwenye mashindano japo najua watu wengi watashangaa sana",alikata simu baada ya kumpa tarifa zile.

Baada ya simu kukatwa Mwanamama Katalina aliamua kunyenyuka kwenye kiti alichokuwa amekaa na kwenda kwenye gari lake tena akiliondoa kwa kasi na haikufahamika ni wapi anapoelekea.....ITAENDELEA.
Wapi ambapo Mwanamama Katalina anaenda?,mashindano bado miezi miwili tu na Angelina amegoma kushiriki tukutane katika sehemu inayokuja.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........09
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia........
Kabra hajawafikia alishika simu yake na kuanza kutabasamu kwa kile alichokiona kwenye simu aliwasogelea huku akiwa anakitu cha kuongea kwa Angelina..........

ENDELEA NAYO.....
Albert alifika maeneo yale na kumuangalia Angelina kwa dharau,
"Diana unaongea na mtu atakayeenda kulitia taifa kwanye aibu mda sio mrefu, kwakuwa ulikuwa hujui ngoja nikuonyeshe yani tukio ulilolifanya leo ndani ya mda mfupi tu video yako imesambaa mitandaoni na hongera kwa hilo umekuwa superstar gafra tu",Albert aliongea baada ya kufika pale.
Angelina hakuamini ikabidi achukue simu yake nakuangalia ni kweli karibu kila mtandao wa kijamii habari zilikuwa ni za yeye kuanguka na sauti za watu kumcheka ndizo zilizokuwa zikisikika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

533
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest