Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)

19th Apr, 2025 Views 9

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........30(FINAL)
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Diana alifika mpaka nyumbani na kumfanya Mr.James ashangae kwa ujio wa binti yake tena wa bira kutoa tarifa zozote zile..............

ENDELEA NAYO.......
Diana alifika mpka nyumbani kwao na kukaa kwenye kochi huku akilia na haikupita mda driver tax aliingia akiwa na mabegi
yake na kumuomba kiasi cha pesa alichokuwa anakidai ila Mr.James aliweza kumlipia mwanae na ndani akabaki yeye na binti yake baada ya driver tax kuondoka.

Kiufupi Diana aliumia sana kufika na kukuta Albert ameshaoa tena aliyemuoa ni mdogo wake ambae ni Angelina alichukia sana na kujikuta akitengeneza kisasi na ndugu yake kwa mara nyingi tena,machozi ya binti yake yalimfanya Mr.James amsogele,
"Diana mwanangu tatizo nini binti yangu?",Mr.James alimuuliza binti yake na hakupendezwa kumuona yupo kwenye hali aliyonayo kwa wakati huo.
"Baba ina maana na wewe ulikuwa hujui kama Albert anafunga ndoa tena mtu mwenyewe aliyeolewa ni mdogo wangu?",Diana aliongea na kumfanya Mr.James aelewe ni kipi kilichomfanya alie.

Kwanza alimfata mchozi binti yake na kumkumbatia mana ndiyo mtoto wa pekee aliyekuwa nae,
"Mwanangu utawalaumu bure wale hawana makosa mwenye kosa ni mimi na wewe, Albert alikuwa anakujali sana na kuna siku alikuja kwangu akitaka kujua hali yako na mimi ndiye niliyempa ruhusa atafute mke mwingine, naomba nikili kuwa bira mimi kumwambia Albert huenda mpaka sasa ivi angekuwa bado anakusubiri wewe", Mr.James aliongea na kumfanya mwanadada Diana apate mwanga kidogo ya kipi kilichosababisha mpaka Angelina kuolewa na Albert alijiona yeye ndio chanzo cha yote yaliyotokea.

Mr.James alikumbuka kitu cha mhimu sana alichokuwa amemwandalia binti yake na alikuwa akimsubiri siku atakayo kuja Tanzania aweze kumpatia kitu hicho,
"Mwanangu nifate kuna sehemu nataka nikupeleke"
"Wapi baba?",Diana alihoji lakini Mr.James hakutaka kujibu kitu zaidi ya kuondoka na kwenda kupanda kwenye gari huku Diana nae akimfata nyuma ambae nae alienda kupanda kwenye gari alilo panda baba yake mzazi huku gari likiondoka maeneo hayo.

Safari ya Mr.James na binti yake iliwafikisha mpaka kiwandani kulipokuwa na kiwanda kipya kabisa cha nguo huku watu mbalimbali wakiendelea na kazi na kila mtu akiwa bize,
Mr.james anamjua binti yake ni mtu wa kuuliza maswali kila mara ilibidi yeye ndiyo aanze kumwambia kabra hajaulizwa na binti yake,
"Ndoto yako uliyowahi kuniambia mwanangu ilikuwa ikinisumbua mno, ata kulala nilikuwa silali vizuri kwa mawazo ya kukufungulia kiwanda ila namshukuru mungu nilifanyikiwa nakuikamilisha ndoto yako Diana hichi unachokiona hapa ni kiwanda chako, nilifungua kwa ajili yako",Mr. James aliongea.

Baada ya kumaliza kuongea tu binti yake alimkumbatia kwa furaha baba yake kwa kuweza kukamilisha ndoto aliyokuwa akiitamani,Diana alizunguka na kukikagua kiwanda chake na alilizika nacho kwa asilimia mia moja na hakuacha kumshukuru baba yake kwa kutumiza ndoto zake.

Stewart na Manka waliamua kufunga ndoa na tarifa zilimfikia Angelina ambaye nae alifurahi kuona rafiki yake anafunga ndoa na Stewart  walipanga tarehe ya ndoa na siku ilipofika ndoa iliweza kufanyika huku Mr.John na mke wake wakifurahi kuona mwanao kapata mke na ameamua kuishi maisha ya kiutu uzima na ata Angelina pamoja na Albert walihudhulia katika ndoa hiyo na kutoa zawadi kemkemu kwa wanandoa hao.
Stewart na Manka walianza maisha mapya wakiwa kama mke na mme.

Mr.James aliamua kumuita Angelina na Diana akiwa maeneo yale nakuwakalisha ili wamalize tofauti zao,na aliwakumbusha kuwa wao ni ndugu hawatakiwi kuwa na uadui.
Diana aliamua kumsamehe ndugu yake na kumuomba msamaha mahali alipokuwa amekosea na Angelina naye alifanya ivyoivyo,
Angelina na Diana wakawa kitu kimoja na kutokana na Angelina kuwa Miss Tanzania aliamua kufanya matangazo kwa kuvaa nguo zilizokuwa zikitengenezwa na kampuni ya Diana na hii ilifanya kampuni hiyo iliyokuwa ikiitwa DCL(Diana Company Limited) kukuwa kwa kasi na kuwa moja ya kampuni yaliyokuwa yakiingiza kiasi kikubwa cha pesa ndani ya Tanzania.

Mr.James,Mr.John na Mwanamama katalina waliamua kumaliza tofauti zao hasa Mr.James na Mwanamama katalina  waliamua kuishi kiutu uzima na kuacha yapite mambo ya miaka ya nyuma kila mmoja alimsamehe mwenzake.

Baada ya mwaka mmoja kupita Diana alipata mwanaume mwingine waliyefunga nae ndoa huku ndoa yao ikihudhuliwa na karibu kila mtu na ata mwananadada Angelina nae alikuwepo kwenye ndoa ya ndugu yake,huku Albert akimpongeza Diana kwa kumpata mwenza wa maisha yake.
  
            MWISHOOO.

Ahsanteni sana???????????? kwakuweza kufatilia simulizi hii mpaka hapa inapofika tamati nawapenda sana ndugu zangu,MUNGU awatie nguvu kwenya kazi za mikono yenu... Mwisho wa simulizi hii ndio mwanzo wa simulizi nyingine..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 11——15 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 6——10 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest