Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........15
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.............
Mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia.........

ENDELEA NAYO......
"Mama kwani huna tarifa za wapi alipo dada yangu?", Angelina aliamua kumuuliza mama yake.
"Mpaka sasa ivi sijui ni wapi walipo mana nilitokea kumchukia James kwa kitu alichonifanyia kwanza alikatisha ndoto zangu za kunifanya nisiendelee na masomo na kama asingekuwa yeye huenda tusingekuwa na maisha haya",mwanamama beatrice alimaliza kuongea.

Angelina alikuwa na kazi ya kumtafuta ndugu yake alitamani kumfahamu ni nani na atakuwa wapi kwa wakati huo.
             
Tarifa za ajali ya Diana zilimfikia Albert  akiwa nyumbani na alienda kumweleza mama yake kile kilichotokea lakini Mwanamama Katalina ata hakushituka zaidi ya kuendelea na kile alichokuwa akikifanya hali iliyomkasilisha zaidi Albert,
"Mama kwanini unamchukia Diana?, kwani ni kosa lipi alilowahi kukufanyia mpaka umchukie kiasi hicho?", Albert ilibidi amuulize Mwanamama katalina.
"Kwa sababu ni mtoto wa James"
"Kwani james alikufanyia nini mpaka umchukie mtoto wake?"
"Kwa sasa nahitaji kubaki mwenyewe ingekuwa vizuri ukaondoka na kuniacha peke yangu", Mwanamama katalina hakutaka kumweleza ni sababu gani inayomfanya amchukie Diana.

Ni ukweli usiopingika kuwa katalina bado alikuwa na kisasi na Mr.James licha ya miaka mingi kupita na chuki zake kwa Mr. James zilimfanya mpaka amchukie mwanae ambae ni Diana.

Upande wa Stewart nae alizipata tarifa za Diana kupata ajali alikuwa akisubiri pakuche ili aweze kwenda hospital kumjulia hali mwanadada Diana.

Asubuhi na mapema madoctor walikuwa bize wakihangaika kuchukua vipimo vya Diana na mda wote huo Mr.James kiti kilikuwa hakikaliki kwani alikuwa amesimama akisubili kupatiwa tarifa za kinachomsibu binti yake,
"Mr.James nifate", sauti ya doctor ilimwamulisha Mr.James amfate na walielekea moja kwa moja mpaka katika chumba cha doctor huyo.

Walifika na Mr.James alikaa kwenye kiti na kusikiliza kwa umakini kile atakacho ambiwa,
"Mr.james, binti yako amepata matatizo ya miguu na itamchukua mda kuweza kutembea tena", doctor aliongea.
"Unamaana gani doctor?"
"Ajali aliyoipata imeleta matatizo kwenye miguu yake hasa sehemu za magoti na ilikuwa kama bahati mana kwani hakuweza kuvunjika zaidi ya kupata ilo tatizo na kwakifupi ni kuwa binti yako amepalalaizi mzee wangu kwenye miguu yake", Doctor aliongea kwa masikitiko.
"Hapana doctor ulichoniambia umekosea emu nenda tena ukampime binti yangu vizuri, huenda majibu yakawa tofauti na ulichoniambia haiwezekani doctor?",Mr.James alipingana na maneno ya dakitari lakini haikubadilisha kitu zaidi ya tarifa kubaki vilevile.

Alitoka katika chumba cha doctor na kwenda kwenye chumba alicholazwa binti yake,alimkuta bado hajazinduka mpaka mda huo, Mr.James hakuamini kama mashindano ya Miss Tanzania yamebadilisha hatima ya binti yake.

Stewart alifika mida hiyo ya asubuhi na alielekezwa mahali alipokuwa amelazwa Diana, alifika kwenye chumba alicholazwa na kumkuta Mr.James ametulia huku macho yake yakitoa machozi tu,
"Pole sana Mr.James kwa kipindi kigumu unachopitia", aliongea na Mr.James lakini hakujibiwa chochote na hii ilimfanya aelewe kuwa Mr.James yupo mbali kimawazo, wakiwa wamo ndani ya chumba hicho mda huo huo Albert nae alifika na kuingia ndani ya kile chumba.

Alishangaa kumkuta Mr.James akiwa amesimama na Stewart japo sura haikuwa ngeni machoni mwake lakini hakukumbuka ni wapi aliwahi kumuona, alisogea na kutoa salama na ata Stewart alipomuona Albert aliikumbuka sura yake vizuri mana haikumtoka machoni sura ya Albert toka alipomuona airport akikumbatiana na Mwanadada Diana.

Kila mtu alikuwa kwenye huzuni kwa hali aliyokuwa nayo Diana na ata Mr.James hakukumbuka kama anamchukia Albert zaidi ya akili yake kuwa kwa binti yake.             

Nyumbani kwa mwanamama beatrice asubuhi ya siku hiyo walipata ugeni uliomfanya mwanae Angelina asiamini kupata ugeni ule,
Hakuwa mwingine bali alikuwa ni mwanamziki maarufu wa Tanzania anayefahamika kwa jina la Big Don. Angelina,Manka na mwanamama Beatrice walikuwa wakimsikia tu msanii huyo mkubwa na kuangalia nyimbo zake kwenye media mbalimbali lakini leo hii wanabahatika kumuona live.

Ujio wa Big Don nyumbani kwa mwanamama Beatrice ulisababisha waandishi wa habari kujazana nje ya nyumba hiyo na karibu kila mtu katika mtaa huo wa uswahilini alienda kwenye nyumba ya Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumuona Big Don.

"Mtanisamehe kwa ujio wangu wa bira tarifa ila sikuwa na njia nyingine zaidi ya hii, naamini wote hapa mtakuwa mnanifahamu au mmeshawa kuniona sehemu", Big Don aliongea huku Angelina,Manka na mwanamama Beatrice wakimsikiliza kujua ni kipi kilichomleta pale.

"Nipo hapa kwa ajili ya Miss Tanzania ningependa tufanye kazi pamoja",Big Don aliongea na hii kumfanya Mwanamama Beatrice kumtazama binti yake na kuamua kuongea,
"Unataka ufanye biashara gani na binti yangu?".
"Naitaji tuingie nae mkataba wa yeye kuwa video queen katika nyimbo yangu mpya nitakayoitoa hivi karibuni na atapata kiasi kikubwa tu cha pesa",Big Don aliongea tena akiwa anajiamini na alijua ni ngumu kwao kukata kutokana na umaarufu alionao na pesa alizonazo.

Mwanamama Beatrice alitafakari maneno aliyosema Big Don,
"Hapana, binti yangu hawezi kufanya iyo kazi ninashukuru kwa kumpendekeza binti yangu ila ni vyema ukamtafuta mtu mwingine na sio binti yangu", mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
"Kuna milion 50 kama mkiwa tayali na kile nilichowaambia na hizo ni namba zangu", alinyenyuka na kuwapa card yake yenye namba nakuondoka huku akifatwa na waandishi wahabari.

"Wasanii bwana yani wanajiona wao ndio wao mtu anakuja nakuongea anavyojisikia yeye, ety ooohh kuna video yangu mara oooh kuna milion 50 kama ukikubali", Manka aliongea.
Mwanamama Beatrice alimgeukia binti yake nakimwambia,
"Mwanangu umeshakuwa mtu maarufu sasa ivi inatakiwa uwe makini sana vinginevyo utajikuta unaishia sehemu mbaya"
"Sawa mama",Angelina alimjibu mama yake.

Haikupita mda mwanamama katalina alifika maeneo yale na kumpa taratibu Angelina za yeye kupata zawadi zake na pia alimpa orodha ya majina ya makampuni mbalimbali yaliyokuwa yakiitaji kufanya nae kazi, huku akimuimiza awe makini kufanya uchaguzi ulio sahihi wa kampuni atakalo ingia nalo mkataba.              

Upande wa Diana alikuwa ameshazinduka na alihuzunika sana kusikia habari zile za yeye kutokuwa na uwezo wa kutembea na haijulikani lini atapona, ilikuwa ni siku mbaya sana kwa Mwanadada Diana ila hakuwa na chakufanya zaidi ya yeye kujutia maamuzi yake kama angemsikiliza baba yake ile siku huenda asingepata ajali.
"Diana kila kitu kina sababu ipo siku utapona na utarudi kwenye hali yako kama kawaida",Albert aliongea.
"Ni mtu mmoja tu ndiyo amechukua furaha yangu bira yeye nisingekuwa kwenye hii hali", Diana aliongea.
"Unamaana gani kusema kuwa kuna mtu amechukua furaha yako?"
"Angelina, namchukia Angelina, bira yeye kuwa Miss Tanzania mimi nisingekuwa kwenye hii hali, bora ata angekuwa mtu mwingine lakini sio Angelina, kilichonikasilisha zaidi nikuona Angelina amekuwa juu yangu mimi", Diana lawama alizihamishia kwa Angelina na kusahau kama ajali aliisababisha mwenyewe.

Albert alimtuliza Diana na hii ilimfanya apunguze hasira kidogo na kubaki akilia tu.

Alirudishwa nyumbani na mtu aliyekuwa nae karibu kwa wakati huo ni Albert na licha ya Diana kuwa kwenye ulemavu bado haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na ilimfanya Mr.James aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert..ITAENDELEA.

Nini hatima ya Diana?, Angelina atachagua kuingia mkataba na kampuni ipi?

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........15
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.............
Mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia.........

ENDELEA NAYO......
"Mama kwani huna tarifa za wapi alipo dada yangu?", Angelina aliamua kumuuliza mama yake.
"Mpaka sasa ivi sijui ni wapi walipo mana nilitokea kumchukia James kwa kitu alichonifanyia kwanza alikatisha ndoto zangu za kunifanya nisiendelee na masomo na kama asingekuwa yeye huenda tusingekuwa na maisha haya",mwanamama beatrice alimaliza kuongea.

Angelina alikuwa na kazi ya kumtafuta ndugu yake alitamani kumfahamu ni nani na atakuwa wapi kwa wakati huo.
             
Tarifa za ajali ya Diana zilimfikia Albert  akiwa nyumbani na alienda kumweleza mama yake kile kilichotokea lakini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*

565
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*

511
REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34*

REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*

331
MY CRAZY BOSS 12,13,14

MY CRAZY BOSS 12,13,14

300
SHAMIRA sehemu ya 27&28

SHAMIRA sehemu ya 27&28

163
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 11

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 11

145
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12

138
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18

127
MY CRAZY BOSS 15

MY CRAZY BOSS 15

119
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15

115

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.33K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.08K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.16K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.38K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.36K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.21K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 13 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 13
@majario LIVE

Nikasikia kuna nini hapoo???" Halafu muda huo Veda alikuwa ananitazama machoni na mie nimtazama yaani tunatazamana nina uhakima mioyo yetu ilikuwa inaongea maana kwa yale macho ya veda daah achaaaa Nikageuka...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA PILI*
@majario LIVE

Nilijikuta nikishtuka sana baada ya kukutana na madam groly Tena NYUMBANI kwangu. "Amepajuaje hapa ? Au amekuja na pully?" Nilijiuliza kimoyamoyo uku nikimuangalla madam Groly kwa wasiwasi uku nikiwaza amekuja kufanya nini...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KWANZA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kwanza nilishtuka sana, nilimuangalia Enzo kwa makini sana lakini enzo hakuwa na uwezo ata wa kuniangalia, muda wote alipepesa macho akiangalia pembeni tu wakati akizungumza. Maneno makali sana juu...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 12
@majario LIVE

Nilijitetea kwelii japo nilikwangua ka_akiba kangu ila niliona aibu sana kurudishiwa ile pesa aah nikasema acha nilipwe na Mungu tu .. Akanibembeleza sanaa nikakataa wakati naondoka akaniomba namba ya simu nikawaachia...

SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 16 na 17. Mwandishi; lissa wa huru media kijana . Nakuuliza si unajifanya mjanja .basi tutasomana . Ata mimi ni mjanja wa zamani. Baba yangu alimuangalia sana adrian....

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 11 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 11
@majario LIVE

Ikabidi tu nikubali kinyongee ila roho iliniuma sanaaa yaani mpaka chozi lilinitoka aiseee... Tinner akabaki kunibembeleza na hapo hata sijui atakuja linii mjinga kweli huyu kakaa gari yangu tena aah roho...

Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire Post Mpya
Congratulations to Linda Walker from the Province of Brookshire
@majario LIVE

for achieving the highest score of 719 and earning Rank 1 in the examination! 🎉👏 Your outstanding achievement brings pride not only to your province but also to your Isabelino...

Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto Post Mpya
Rafiki yangu John alikuwa na ndoto ya kufanya kazi kampuni fulani, kila siku hakuacha kunielezea kuhusu ndoto
@majario LIVE

yake kweli Mungu alisikia maombi yake akapata kazi kwenye hiyo Kampuni. Baada ya kupata kazi John safari yake ya kwanza tu akiwa na ile kampuni akapata ajali na kufarika hapo...

THE SECRET MESSAGE 💬 1,2 Post Mpya
THE SECRET MESSAGE 💬 1,2
@majario LIVE

01 Ninatamani kama isiwe ni kweli kwenye hili ambalo mimi leo hii nataka niwaweke wazi. Lakini hii sio ndoto, sijaota mimi, ni kweli nimeyaishi na yamenitokea kwenye maisha yangu. Maisha yangu...

MY CRAZY BOSS 15 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 15
@majario LIVE

"Watu wote waliohudhuria kikao waliondoka , chumbanai humo tulibaki mimi pamoja na Boss Erick, macho yake muda wote yaliangaza kwangu ." "Nimekumiss sana mrembo wangu, nimemiss sura yako, tabasamu lako,...

MY CRAZY BOSS 12,13,14 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 12,13,14
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 12 Kama ofisini hapafai naomba twende nyumbani,yaani twende sasa hivi,boss alizungumza. Hapana ,sio sasa hivi,nilijibu. "Sawa kama ni baadae,boss aliitikia" Nilitoka na kuagiza lunch kisha nikampelekea boss nakuendelea...

REALLY LOVE*  *   *SEHEMU YA 34* Post Mpya
REALLY LOVE* * *SEHEMU YA 34*
@majario LIVE

upande mwingine calor na mama yake walifika na kumkuta cathe akiwa anaosha vyombo, mama cathe alishangaa sana kuona mwanae anafanya kazi, cathe alipomuona mama yake alinyanyuka na kwenda kumkumbatia huku analia cathe...

SHAMIRA sehemu ya 27&28 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 27&28
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana shoga akanishukuru mno. Bado nikamtoa lunch mimi sindo tajiri tena alikula alichokitaka nakwambia. Basi baada ya yote tukaenda charambe sasa .nikapita kwa...

SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15 Post Mpya
SASA NAKUPENDA 11 MPAKA 15
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Sehemu ya 11 na 12. Mwandishi; lissa wa huru media Basi nilivyotoka pale nikaeenda kutulia sebleni rohooo yangu kwatu. Sijuh ata alimalizanaje na mwanamke wake uko. Mida ya mchana mama akaniuliza...

REALLY LOVE*   *SEHEMU YA 33* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA 33*
@majario LIVE

kwahiyo baba unanikataza mimi nisiende kwa dada yangu? wewe baba gani mbaguzi yani unamjali sana dada kuliko mimi? vipi kuhusi namimi hali yangu mbona hunijali alisema cathe kwa kumfokea baba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest