Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........15
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.............
Mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia.........

ENDELEA NAYO......
"Mama kwani huna tarifa za wapi alipo dada yangu?", Angelina aliamua kumuuliza mama yake.
"Mpaka sasa ivi sijui ni wapi walipo mana nilitokea kumchukia James kwa kitu alichonifanyia kwanza alikatisha ndoto zangu za kunifanya nisiendelee na masomo na kama asingekuwa yeye huenda tusingekuwa na maisha haya",mwanamama beatrice alimaliza kuongea.

Angelina alikuwa na kazi ya kumtafuta ndugu yake alitamani kumfahamu ni nani na atakuwa wapi kwa wakati huo.
             
Tarifa za ajali ya Diana zilimfikia Albert  akiwa nyumbani na alienda kumweleza mama yake kile kilichotokea lakini Mwanamama Katalina ata hakushituka zaidi ya kuendelea na kile alichokuwa akikifanya hali iliyomkasilisha zaidi Albert,
"Mama kwanini unamchukia Diana?, kwani ni kosa lipi alilowahi kukufanyia mpaka umchukie kiasi hicho?", Albert ilibidi amuulize Mwanamama katalina.
"Kwa sababu ni mtoto wa James"
"Kwani james alikufanyia nini mpaka umchukie mtoto wake?"
"Kwa sasa nahitaji kubaki mwenyewe ingekuwa vizuri ukaondoka na kuniacha peke yangu", Mwanamama katalina hakutaka kumweleza ni sababu gani inayomfanya amchukie Diana.

Ni ukweli usiopingika kuwa katalina bado alikuwa na kisasi na Mr.James licha ya miaka mingi kupita na chuki zake kwa Mr. James zilimfanya mpaka amchukie mwanae ambae ni Diana.

Upande wa Stewart nae alizipata tarifa za Diana kupata ajali alikuwa akisubiri pakuche ili aweze kwenda hospital kumjulia hali mwanadada Diana.

Asubuhi na mapema madoctor walikuwa bize wakihangaika kuchukua vipimo vya Diana na mda wote huo Mr.James kiti kilikuwa hakikaliki kwani alikuwa amesimama akisubili kupatiwa tarifa za kinachomsibu binti yake,
"Mr.James nifate", sauti ya doctor ilimwamulisha Mr.James amfate na walielekea moja kwa moja mpaka katika chumba cha doctor huyo.

Walifika na Mr.James alikaa kwenye kiti na kusikiliza kwa umakini kile atakacho ambiwa,
"Mr.james, binti yako amepata matatizo ya miguu na itamchukua mda kuweza kutembea tena", doctor aliongea.
"Unamaana gani doctor?"
"Ajali aliyoipata imeleta matatizo kwenye miguu yake hasa sehemu za magoti na ilikuwa kama bahati mana kwani hakuweza kuvunjika zaidi ya kupata ilo tatizo na kwakifupi ni kuwa binti yako amepalalaizi mzee wangu kwenye miguu yake", Doctor aliongea kwa masikitiko.
"Hapana doctor ulichoniambia umekosea emu nenda tena ukampime binti yangu vizuri, huenda majibu yakawa tofauti na ulichoniambia haiwezekani doctor?",Mr.James alipingana na maneno ya dakitari lakini haikubadilisha kitu zaidi ya tarifa kubaki vilevile.

Alitoka katika chumba cha doctor na kwenda kwenye chumba alicholazwa binti yake,alimkuta bado hajazinduka mpaka mda huo, Mr.James hakuamini kama mashindano ya Miss Tanzania yamebadilisha hatima ya binti yake.

Stewart alifika mida hiyo ya asubuhi na alielekezwa mahali alipokuwa amelazwa Diana, alifika kwenye chumba alicholazwa na kumkuta Mr.James ametulia huku macho yake yakitoa machozi tu,
"Pole sana Mr.James kwa kipindi kigumu unachopitia", aliongea na Mr.James lakini hakujibiwa chochote na hii ilimfanya aelewe kuwa Mr.James yupo mbali kimawazo, wakiwa wamo ndani ya chumba hicho mda huo huo Albert nae alifika na kuingia ndani ya kile chumba.

Alishangaa kumkuta Mr.James akiwa amesimama na Stewart japo sura haikuwa ngeni machoni mwake lakini hakukumbuka ni wapi aliwahi kumuona, alisogea na kutoa salama na ata Stewart alipomuona Albert aliikumbuka sura yake vizuri mana haikumtoka machoni sura ya Albert toka alipomuona airport akikumbatiana na Mwanadada Diana.

Kila mtu alikuwa kwenye huzuni kwa hali aliyokuwa nayo Diana na ata Mr.James hakukumbuka kama anamchukia Albert zaidi ya akili yake kuwa kwa binti yake.             

Nyumbani kwa mwanamama beatrice asubuhi ya siku hiyo walipata ugeni uliomfanya mwanae Angelina asiamini kupata ugeni ule,
Hakuwa mwingine bali alikuwa ni mwanamziki maarufu wa Tanzania anayefahamika kwa jina la Big Don. Angelina,Manka na mwanamama Beatrice walikuwa wakimsikia tu msanii huyo mkubwa na kuangalia nyimbo zake kwenye media mbalimbali lakini leo hii wanabahatika kumuona live.

Ujio wa Big Don nyumbani kwa mwanamama Beatrice ulisababisha waandishi wa habari kujazana nje ya nyumba hiyo na karibu kila mtu katika mtaa huo wa uswahilini alienda kwenye nyumba ya Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumuona Big Don.

"Mtanisamehe kwa ujio wangu wa bira tarifa ila sikuwa na njia nyingine zaidi ya hii, naamini wote hapa mtakuwa mnanifahamu au mmeshawa kuniona sehemu", Big Don aliongea huku Angelina,Manka na mwanamama Beatrice wakimsikiliza kujua ni kipi kilichomleta pale.

"Nipo hapa kwa ajili ya Miss Tanzania ningependa tufanye kazi pamoja",Big Don aliongea na hii kumfanya Mwanamama Beatrice kumtazama binti yake na kuamua kuongea,
"Unataka ufanye biashara gani na binti yangu?".
"Naitaji tuingie nae mkataba wa yeye kuwa video queen katika nyimbo yangu mpya nitakayoitoa hivi karibuni na atapata kiasi kikubwa tu cha pesa",Big Don aliongea tena akiwa anajiamini na alijua ni ngumu kwao kukata kutokana na umaarufu alionao na pesa alizonazo.

Mwanamama Beatrice alitafakari maneno aliyosema Big Don,
"Hapana, binti yangu hawezi kufanya iyo kazi ninashukuru kwa kumpendekeza binti yangu ila ni vyema ukamtafuta mtu mwingine na sio binti yangu", mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
"Kuna milion 50 kama mkiwa tayali na kile nilichowaambia na hizo ni namba zangu", alinyenyuka na kuwapa card yake yenye namba nakuondoka huku akifatwa na waandishi wahabari.

"Wasanii bwana yani wanajiona wao ndio wao mtu anakuja nakuongea anavyojisikia yeye, ety ooohh kuna video yangu mara oooh kuna milion 50 kama ukikubali", Manka aliongea.
Mwanamama Beatrice alimgeukia binti yake nakimwambia,
"Mwanangu umeshakuwa mtu maarufu sasa ivi inatakiwa uwe makini sana vinginevyo utajikuta unaishia sehemu mbaya"
"Sawa mama",Angelina alimjibu mama yake.

Haikupita mda mwanamama katalina alifika maeneo yale na kumpa taratibu Angelina za yeye kupata zawadi zake na pia alimpa orodha ya majina ya makampuni mbalimbali yaliyokuwa yakiitaji kufanya nae kazi, huku akimuimiza awe makini kufanya uchaguzi ulio sahihi wa kampuni atakalo ingia nalo mkataba.              

Upande wa Diana alikuwa ameshazinduka na alihuzunika sana kusikia habari zile za yeye kutokuwa na uwezo wa kutembea na haijulikani lini atapona, ilikuwa ni siku mbaya sana kwa Mwanadada Diana ila hakuwa na chakufanya zaidi ya yeye kujutia maamuzi yake kama angemsikiliza baba yake ile siku huenda asingepata ajali.
"Diana kila kitu kina sababu ipo siku utapona na utarudi kwenye hali yako kama kawaida",Albert aliongea.
"Ni mtu mmoja tu ndiyo amechukua furaha yangu bira yeye nisingekuwa kwenye hii hali", Diana aliongea.
"Unamaana gani kusema kuwa kuna mtu amechukua furaha yako?"
"Angelina, namchukia Angelina, bira yeye kuwa Miss Tanzania mimi nisingekuwa kwenye hii hali, bora ata angekuwa mtu mwingine lakini sio Angelina, kilichonikasilisha zaidi nikuona Angelina amekuwa juu yangu mimi", Diana lawama alizihamishia kwa Angelina na kusahau kama ajali aliisababisha mwenyewe.

Albert alimtuliza Diana na hii ilimfanya apunguze hasira kidogo na kubaki akilia tu.

Alirudishwa nyumbani na mtu aliyekuwa nae karibu kwa wakati huo ni Albert na licha ya Diana kuwa kwenye ulemavu bado haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na ilimfanya Mr.James aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert..ITAENDELEA.

Nini hatima ya Diana?, Angelina atachagua kuingia mkataba na kampuni ipi?

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........15
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.............
Mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia.........

ENDELEA NAYO......
"Mama kwani huna tarifa za wapi alipo dada yangu?", Angelina aliamua kumuuliza mama yake.
"Mpaka sasa ivi sijui ni wapi walipo mana nilitokea kumchukia James kwa kitu alichonifanyia kwanza alikatisha ndoto zangu za kunifanya nisiendelee na masomo na kama asingekuwa yeye huenda tusingekuwa na maisha haya",mwanamama beatrice alimaliza kuongea.

Angelina alikuwa na kazi ya kumtafuta ndugu yake alitamani kumfahamu ni nani na atakuwa wapi kwa wakati huo.
             
Tarifa za ajali ya Diana zilimfikia Albert  akiwa nyumbani na alienda kumweleza mama yake kile kilichotokea lakini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-15

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

1.03K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

632
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

392
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

318
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

310
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

266
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

241
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

228
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

172

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE😂) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest