Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15

12th May, 2025 Views 38

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........15
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.............
Mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
ilikuwa ni habari mpya kwa mwanadada Angelina hakuamini kama ana dungu kwenye hii dunia.........

ENDELEA NAYO......
"Mama kwani huna tarifa za wapi alipo dada yangu?", Angelina aliamua kumuuliza mama yake.
"Mpaka sasa ivi sijui ni wapi walipo mana nilitokea kumchukia James kwa kitu alichonifanyia kwanza alikatisha ndoto zangu za kunifanya nisiendelee na masomo na kama asingekuwa yeye huenda tusingekuwa na maisha haya",mwanamama beatrice alimaliza kuongea.

Angelina alikuwa na kazi ya kumtafuta ndugu yake alitamani kumfahamu ni nani na atakuwa wapi kwa wakati huo.
             
Tarifa za ajali ya Diana zilimfikia Albert  akiwa nyumbani na alienda kumweleza mama yake kile kilichotokea lakini Mwanamama Katalina ata hakushituka zaidi ya kuendelea na kile alichokuwa akikifanya hali iliyomkasilisha zaidi Albert,
"Mama kwanini unamchukia Diana?, kwani ni kosa lipi alilowahi kukufanyia mpaka umchukie kiasi hicho?", Albert ilibidi amuulize Mwanamama katalina.
"Kwa sababu ni mtoto wa James"
"Kwani james alikufanyia nini mpaka umchukie mtoto wake?"
"Kwa sasa nahitaji kubaki mwenyewe ingekuwa vizuri ukaondoka na kuniacha peke yangu", Mwanamama katalina hakutaka kumweleza ni sababu gani inayomfanya amchukie Diana.

Ni ukweli usiopingika kuwa katalina bado alikuwa na kisasi na Mr.James licha ya miaka mingi kupita na chuki zake kwa Mr. James zilimfanya mpaka amchukie mwanae ambae ni Diana.

Upande wa Stewart nae alizipata tarifa za Diana kupata ajali alikuwa akisubiri pakuche ili aweze kwenda hospital kumjulia hali mwanadada Diana.

Asubuhi na mapema madoctor walikuwa bize wakihangaika kuchukua vipimo vya Diana na mda wote huo Mr.James kiti kilikuwa hakikaliki kwani alikuwa amesimama akisubili kupatiwa tarifa za kinachomsibu binti yake,
"Mr.James nifate", sauti ya doctor ilimwamulisha Mr.James amfate na walielekea moja kwa moja mpaka katika chumba cha doctor huyo.

Walifika na Mr.James alikaa kwenye kiti na kusikiliza kwa umakini kile atakacho ambiwa,
"Mr.james, binti yako amepata matatizo ya miguu na itamchukua mda kuweza kutembea tena", doctor aliongea.
"Unamaana gani doctor?"
"Ajali aliyoipata imeleta matatizo kwenye miguu yake hasa sehemu za magoti na ilikuwa kama bahati mana kwani hakuweza kuvunjika zaidi ya kupata ilo tatizo na kwakifupi ni kuwa binti yako amepalalaizi mzee wangu kwenye miguu yake", Doctor aliongea kwa masikitiko.
"Hapana doctor ulichoniambia umekosea emu nenda tena ukampime binti yangu vizuri, huenda majibu yakawa tofauti na ulichoniambia haiwezekani doctor?",Mr.James alipingana na maneno ya dakitari lakini haikubadilisha kitu zaidi ya tarifa kubaki vilevile.

Alitoka katika chumba cha doctor na kwenda kwenye chumba alicholazwa binti yake,alimkuta bado hajazinduka mpaka mda huo, Mr.James hakuamini kama mashindano ya Miss Tanzania yamebadilisha hatima ya binti yake.

Stewart alifika mida hiyo ya asubuhi na alielekezwa mahali alipokuwa amelazwa Diana, alifika kwenye chumba alicholazwa na kumkuta Mr.James ametulia huku macho yake yakitoa machozi tu,
"Pole sana Mr.James kwa kipindi kigumu unachopitia", aliongea na Mr.James lakini hakujibiwa chochote na hii ilimfanya aelewe kuwa Mr.James yupo mbali kimawazo, wakiwa wamo ndani ya chumba hicho mda huo huo Albert nae alifika na kuingia ndani ya kile chumba.

Alishangaa kumkuta Mr.James akiwa amesimama na Stewart japo sura haikuwa ngeni machoni mwake lakini hakukumbuka ni wapi aliwahi kumuona, alisogea na kutoa salama na ata Stewart alipomuona Albert aliikumbuka sura yake vizuri mana haikumtoka machoni sura ya Albert toka alipomuona airport akikumbatiana na Mwanadada Diana.

Kila mtu alikuwa kwenye huzuni kwa hali aliyokuwa nayo Diana na ata Mr.James hakukumbuka kama anamchukia Albert zaidi ya akili yake kuwa kwa binti yake.             

Nyumbani kwa mwanamama beatrice asubuhi ya siku hiyo walipata ugeni uliomfanya mwanae Angelina asiamini kupata ugeni ule,
Hakuwa mwingine bali alikuwa ni mwanamziki maarufu wa Tanzania anayefahamika kwa jina la Big Don. Angelina,Manka na mwanamama Beatrice walikuwa wakimsikia tu msanii huyo mkubwa na kuangalia nyimbo zake kwenye media mbalimbali lakini leo hii wanabahatika kumuona live.

Ujio wa Big Don nyumbani kwa mwanamama Beatrice ulisababisha waandishi wa habari kujazana nje ya nyumba hiyo na karibu kila mtu katika mtaa huo wa uswahilini alienda kwenye nyumba ya Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumuona Big Don.

"Mtanisamehe kwa ujio wangu wa bira tarifa ila sikuwa na njia nyingine zaidi ya hii, naamini wote hapa mtakuwa mnanifahamu au mmeshawa kuniona sehemu", Big Don aliongea huku Angelina,Manka na mwanamama Beatrice wakimsikiliza kujua ni kipi kilichomleta pale.

"Nipo hapa kwa ajili ya Miss Tanzania ningependa tufanye kazi pamoja",Big Don aliongea na hii kumfanya Mwanamama Beatrice kumtazama binti yake na kuamua kuongea,
"Unataka ufanye biashara gani na binti yangu?".
"Naitaji tuingie nae mkataba wa yeye kuwa video queen katika nyimbo yangu mpya nitakayoitoa hivi karibuni na atapata kiasi kikubwa tu cha pesa",Big Don aliongea tena akiwa anajiamini na alijua ni ngumu kwao kukata kutokana na umaarufu alionao na pesa alizonazo.

Mwanamama Beatrice alitafakari maneno aliyosema Big Don,
"Hapana, binti yangu hawezi kufanya iyo kazi ninashukuru kwa kumpendekeza binti yangu ila ni vyema ukamtafuta mtu mwingine na sio binti yangu", mwanamama beatrice alimaliza kuongea.
"Kuna milion 50 kama mkiwa tayali na kile nilichowaambia na hizo ni namba zangu", alinyenyuka na kuwapa card yake yenye namba nakuondoka huku akifatwa na waandishi wahabari.

"Wasanii bwana yani wanajiona wao ndio wao mtu anakuja nakuongea anavyojisikia yeye, ety ooohh kuna video yangu mara oooh kuna milion 50 kama ukikubali", Manka aliongea.
Mwanamama Beatrice alimgeukia binti yake nakimwambia,
"Mwanangu umeshakuwa mtu maarufu sasa ivi inatakiwa uwe makini sana vinginevyo utajikuta unaishia sehemu mbaya"
"Sawa mama",Angelina alimjibu mama yake.

Haikupita mda mwanamama katalina alifika maeneo yale na kumpa taratibu Angelina za yeye kupata zawadi zake na pia alimpa orodha ya majina ya makampuni mbalimbali yaliyokuwa yakiitaji kufanya nae kazi, huku akimuimiza awe makini kufanya uchaguzi ulio sahihi wa kampuni atakalo ingia nalo mkataba.              

Upande wa Diana alikuwa ameshazinduka na alihuzunika sana kusikia habari zile za yeye kutokuwa na uwezo wa kutembea na haijulikani lini atapona, ilikuwa ni siku mbaya sana kwa Mwanadada Diana ila hakuwa na chakufanya zaidi ya yeye kujutia maamuzi yake kama angemsikiliza baba yake ile siku huenda asingepata ajali.
"Diana kila kitu kina sababu ipo siku utapona na utarudi kwenye hali yako kama kawaida",Albert aliongea.
"Ni mtu mmoja tu ndiyo amechukua furaha yangu bira yeye nisingekuwa kwenye hii hali", Diana aliongea.
"Unamaana gani kusema kuwa kuna mtu amechukua furaha yako?"
"Angelina, namchukia Angelina, bira yeye kuwa Miss Tanzania mimi nisingekuwa kwenye hii hali, bora ata angekuwa mtu mwingine lakini sio Angelina, kilichonikasilisha zaidi nikuona Angelina amekuwa juu yangu mimi", Diana lawama alizihamishia kwa Angelina na kusahau kama ajali aliisababisha mwenyewe.

Albert alimtuliza Diana na hii ilimfanya apunguze hasira kidogo na kubaki akilia tu.

Alirudishwa nyumbani na mtu aliyekuwa nae karibu kwa wakati huo ni Albert na licha ya Diana kuwa kwenye ulemavu bado haikumfanya apunguze upendo wake na hii ilimfanya ata Mr.James aone utofauti wa kijana Albert na kijana Stewart aliyepunguza mazoea ya kuja kumuona Diana kama ilivyokuwa hapo kabra na ilimfanya Mr.James aanze kupunguza chuki alizokuwa nazo kwa Albert..ITAENDELEA.

Nini hatima ya Diana?, Angelina atachagua kuingia mkataba na kampuni ipi?

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

Rs Berkane imetwaa Ubingwa

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA FUNDI NGUO 01

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 39

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 38

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 35

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 34

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 33

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 27

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 21--22

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 14

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 11

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 7-- 8

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 6

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 4

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 2

mjukuu rewards 100
 

MWARABU HUKO MI SIJAZOEA 1

mjukuu rewards 100
 

Fanya mambo yako kimya kimya.

mjukuu rewards 100
 

Cristiano Ronaldo, Cristiano Jr

mjukuu rewards 100
 

Visit South Africa

mjukuu rewards 100
 

MORICE MICHAEL ABRAHAM

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS 14

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI WEKAA... Sehemu Ya 01

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 11---12

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -06

mjukuu rewards 100
 

MFANYAKAZI WETU SEHEMU YA 1

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA SEHEMU -05

mjukuu rewards 100
 

?SHEMU KAUTAKA ?Sehemu-04

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS???13

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????12

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 8--9

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 6--7

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 3--4

mjukuu rewards 100
 

CHUMBA CHA MPANGAJI 1---2

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 02

mjukuu rewards 100
 

FUNDI CHEREHANI 01

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 14

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 13

mjukuu rewards 100
 

SHEMU KAUTAKA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKAN SEHEMUN-02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA 09 AGE ????

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 06

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 05

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 15

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu ya 03

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Sehemu Ya 02

mjukuu rewards 100
 

SHINDU LA KIHAYA Episode (1)

mjukuu rewards 100
 

CHAKULA CHA MUME

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA sehemu ya 14

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA SEHEMU YA 11

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10

mjukuu rewards 100
 

SHEMEJI KAUTAKA Sehemu -01

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????11

mjukuu rewards 100
 

UTAMUU WA MABOSS ??????9

mjukuu rewards 100
 

BALAA LA NYUMBA ZA KUPANGA--10

mjukuu rewards 100
 

CHAKA LANGU Episode 1

mjukuu rewards 100
 

Shangazi Kodogo tu ?EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

SHANGAZI KIDOGO TU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 3.

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 8

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 6~7

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS?????? 5

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? 4

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??????3

mjukuu rewards 100
 

UTAMU WA MABOSS??? SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ? EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

?SHANGAZI KIDOGO TU ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 11

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 10

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 9

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ,,,,, 3

mjukuu rewards 100
 

WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7

mjukuu rewards 100
 

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

WE KULA TU BINAMU EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

We Kula Tu Binamu Sehemu 1

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 38,39,40 *38*

mjukuu rewards 100
 

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

mjukuu rewards 100
 

SHANGA TISA EP: 20

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 6

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA EPISODE 5

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

MZEE WA BAKORA EPISODE 2

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest