Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........22
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.....
Angelina kitu kilichomfanya acheke ni kuona mtu ambae ata hamjui alafu anamtumia ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda ila kwa kuwa ni Miss Tanzania wa mwaka huo jumbe kama zile aliona ni kitu cha kawaida tu kutumiwa........

ENDELEA NAYO.....
hakutaka kujibu ujumbe ule zaidi ya kuufuta na  namba aliiblock kabisa nakuendelea na ratiba zigine.

Siku iliyofata asubuhi na mapema aliongozana na Manka mpaka mahakamani akiwa na karatasi zenye mikataba ya kazi ya kampuni aliyoingia nayo mkataba akipinga kwenda kufanya kazi nje ya makubaliano yao, alifungua kesi na baada ya kesi kufungulia manager alizipata zile tarifa na kuona sasa mambo yanaelekea pabaya aliamua amtafute Big Don,
"Unataka uingize kampuni katika matatizo makubwa sana ndugu yangu",manager alimwambia Big Don.
"Unamaana gani mbona hueleweki manager"
"Angelina kaenda mahakamani kufungua kesi ya sisi kutaka kumfanyisha kazi nje ya makubaliano tuliyowekeana", Manager aliongea na kumfanya Big Don kuelewa.
"Nisikilize kwa umakini manager, huyo mwanamke mimi nawaachia nyinyi sitaki kuchafua jina langu mana nilitumia juhudi sana kulifanya liwe juu alafu leo nilichafue kwa sababu ya Miss Tanzania",Big Don aliongea na aliamua kujitoa na hakutaka tena kumfatilia mwanadada Angelina.
"Huyu mjinga kweli kaniingiza katika matatizo alafu yeye anajitoa, na ikitokea Angelina akienda kuongea na waandishi wa habari alivyo na jina kubwa ataharibu sifa ya kampuni tuliyo ipambania kwa jasho na damu", Manager aliwaza afanya kitu gani na alipata njia aliyoona ni sahihi.

Alichukua simu yake na kumpigia mwanadada Angelina na kumuomba akaifute iyo kesi na ata mkataba yupo tayali kuvunja nae ili kila mtu aendelee na maisha yake.

Mwanadada Angelina alichana na kampuni hiyo maarufu na sasa alibakiwa na mikataba ya  makambuni madogomadogo yaliyoingia nae kwa ajili ya kutangaza biashara zao.       

Miezi mitatu ilipita na maisha yaliendelea ila Stewart alifanyikiwa kujiweka karibu na Mwanadada Angelina japo hakuwahi kumweleza kama ndiye yeye aliyetuma ule ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda na tatizo kubwa alilokuwa nalo nikushindwa kumtamkia mwanamke kuwa anampenda akiwa nae,na upande wa Angelina yeye alimchukulia kama rafiki yake wa karibu.

Ahadi aliyompa dada yake Diana ya kuwa karibu na Albert na ahakikishe aingii kwenye mahusiano na mwanamke yoyote mpaka pale atakaporudi Tanzania ilimfanya Angelina atengeneze mazoea na Albert na ata upande wa kijana Albert alikuwa tayali ameshamzoea Angelina.

Siku hiyo walipanga kuonana kati ya Albert na Angelina kwa ajili ya mazungumzo,
"Angelina hali ya Diana inaendeleaje ni mda mrefu sana sijaongea nae na kila nikijaribu kumtafuta inakuwa ngumu kumpata",Albert aliongea.
"Ata mimi nini hivyohivyo sina mawasiliano naye zaidi siku ya mwisho kupata tarifa zake za yeye kuwa na uwezo wa kuanza kunyenyua miguu ila kutembea vizuri ndiyo bado mana miguu yake haijakaza vizuri"
"Nimemkumbuka sana Diana na amini ata yeye amenikumbuka huko aliko",Albert aliongea.
"Wewe ni shemeji yangu lazima ata yeye atakuwa amekukumbuka sana huko aliko"Angelina aliongea kiutani kidogo na kumfanya Albert atabasamu tu.

ila wakiwa katika mazungumzo maeneo yale Stewart nae alikuwa akipita ni kama bahati tu alishangaa kumuona Angelina maeneo yale akiwa anaongea na  mwanaume aliyekuwa amemtegea mgongo nakushindwa kumuona vizuri, aliamua kusogea karibu ili atoe salamu kwa Angelina,alifika pale na kukutana uso kwa uso na kijana Albert.
"Angelina uko hapa naweza kukupa kampani?"Stewart aliongea kana kwamba kamkuta Angelina peke yake maeneo yale na hii ilimfanya Albert achukie sana mana aliona ni kama dharau.
"Ooh,Stewart sio kwa leo, nipo na mtu wangu wa mhimu tufanye siku nyingine itakuwa vizuri zaidi", Angelina aliamua kumtolea nje Stewart.

ila Albert alijaribu kukumbuka sura ya Stewart amewahi kuiona sehemu ngani ndipo alipoikumbuka vizuri,siku ya kwanza ni airport na siku ya pili ni hospital siku ambayo Diana amelazwa, alimtazama kwa macho ya kumdadizi Stewart aliyekuwa anaondoka maeneo hayo,
"Huyu rafiki yako watu wengine hatuoni, ata salamu tu anashindwa kutoa inaonekana anadharau sana",Albert aliongea na hakupenda kitendo kilichoonyeshwa na Stewart.
            
Upande wa Mary pesa alizokuwa nazo ziliisha kabisa na mbaya zaidi ata mpango alioupanga wa kwenda kumkamata Mwanamama katalina ulishindikana kabisa sasa alibadilisha mbinu na mbaya zaidi alikuwa akimshirikisha rafiki yake Faith bira kujua kama ndiye mtu anayeamua kumzunguka ili awasaidie watu anaopanga kuwafilisi,
"Faith nimepata mpango mpya temu hii nikipata tu pesa nasepa marekani kabisa kwenda kuishi huko na Tanzania hamtaniona tena", Mary aliongea.
"Mpango gani huo shoga yangu?, mama wewe kwa mipango rafiki yangu ni namba  moja sioni wa kukufikia"
"Nataka nikafungue kesi mahakamani nikamshitaki Albert",Mary aliongea tena akiwa amethamilia kabisa.
"Kesi!!!"
"Ndiyo mbona unashangaa Faith mimi ndio Mary kwanza nitaenda kusema kuwa Albert alinibaka kisha baada ya hapo akanitoa mimba yake kwa lazima",Mary aliona ndio njia sahihi ya kujipatia pesa.

Na ata mwanadada Faith kwa mipango iyo ya Mary hakujua anaanzaje kumsaidia kijana Albert ili asiingie matatizoni

Nchini Canada Diana alikuwa akiendelea na matibabu na doctor aliyekuwa akimtibu alipata matatizo ivyo ikabidi doctor mwingine atafutwe ili amuangalie mwanadada huyo, ndani siku mbili tu doctor aliweza kupatikana na kutambulishwa mbele ya mwanadada Diana.

Diana alikili duniani kuna wanaume wazuri na moja ya mwanaume huyo ni doctor aliyekuja kwa ajili ya kumtibu na koti alilovaa lilikuwa na jina lililoandikwa doctor Tayler, macho ya Diana hayakuchoka kumwangalia mzungu huyo aliyemvutia na ata moyo wake ulikili kweli umetokea kumpenda doctor huyo,
"Habari mgonjwa naitwa doctor Tayler na nipo hapa kuendeleza kazi iliyoachwa na doctor mwenzangu",Doctor Tayler alijitambulisha kwa lugha ya kingeleza na lugha iyo haikuwa ngeni masikioni mwa Diana ila alikutwa na hali  ya kupata ukakasi wa kujibu kutokana na kuzubaa kwake kumshangaa mzungu huyo.

Wiki moja iliweza kukatika huku doctor Tayler akiendelea kumtibu mwanadada Diana na ata doctor Tayler alianza kuvutiwa na urembo wa mwanadada Diana na ndani ya mda mfupi tu kila mtu alikuwa ameshamzoea mwenzake.

Siku moja doctor Tayler akiwa anamfanyisha mazoezi ya kutembea huku amemshika, alimshika sehemu ya kiunoni hali iliyomfanya mwanadada Diana awe na hisia kali na alishindwa kujiamini mbele ya mzungu huyu na bahati mbaya ilikuwa kwao, kwani wote walijikuta wakianguka chini huku doctor Tayler akimlalia Diana.

Mapigo ya moyo ya mwanadada Diana yalikuwa yakienda kasi isivyo kawaida na ata Doctor Tayler nae hali aliyokuwa nayo ni sawa na ya Diana.

Mara zote macho hutoa ishara ndicho kilichotokea kila mtu alikuwa akimtazama mwenzake na kushindwa kuongea lakini doctor Tayler alipeleka mdomo wake kwa mwanadada Diana ambae nae hakuwa na uwezo wa kukataa na wote wakaanza kubadilishana mate na kujikuta wakiingia kwenye ulimwengu mwingine.

Baada ya kila mtu kumjua mwenzake haikuwa siri tena kwa watu wale wawili mahusiano yalianzia hapohapo na kila mtu alikuwa na furaha kwa mwenzake hasa Diana aliyekuwa amempenda  Doctor Tayler nakusahau Tanzania kama kuna mwanaume aliyekuwa anaitwa Albert akili zote zilikuwa kwa doctor Tayler.

Mr.James kama kawaida yake kila ifikapo mwisho wa mwezi lazima aende Canada kumjulia hali binti na ata temu hii alifika mpaka Canada lakini alisitaajabu kumkuta doctor tofauti na yule aliyekuwa anamjua yeye tena wa temu hii akiwa ni kijana na alishangaa pia kumuona binti yake ni mwenye furaha kuliko mwanzo,
"Binti yangu hongera sana sio mda utapona, mana sasa ivi unaweza wa kusimama japo kwa tabu,hongera sana miguu yako imeanza kukaza", Mr.James aliongea.
"Ni kweli baba ila natamani nikae hukuhuku kwanza ata kama nikipona sitawahi kurudi Tanzania",Diana aliongea kitu kilichomshangaza baba yake.
"Unamaanisha nini Diana kusema utabaki huku,Tanzania watu wengi wana kusubiri kwa hamu hasa Albert ambae kila siku anakuulizia na hachoki kunisumbua na mimi nafikilia kukuozesha yule kijana anakufaa sana na huwezi mpata mwanaume anayekupenda kama Albert japo mimi na mama yake tulikuwa na tofauti zetu ila haiwezi zuia nyinyi kuwa pamoja", Mr.James alijikuta akimpigia debe Albert na hii ni baada ya Albert kumjali sana Diana kipindi ambacho yupo kwenye magumu.

"Baba mume mimi ndiyo nitachagua yule atakayenifaa lakini naomba tu nikwambie ukweli uliopo siwezi kuolewa na Albert mimi", Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler....ITAENDELEA.

Diana anabadilisha mawazo yake tena ya kuwa na Albert na amepata mwanaume mwingine tukutane sehemu inayokuja.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........22
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.....
Angelina kitu kilichomfanya acheke ni kuona mtu ambae ata hamjui alafu anamtumia ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda ila kwa kuwa ni Miss Tanzania wa mwaka huo jumbe kama zile aliona ni kitu cha kawaida tu kutumiwa........

ENDELEA NAYO.....
hakutaka kujibu ujumbe ule zaidi ya kuufuta na  namba aliiblock kabisa nakuendelea na ratiba zigine.

Siku iliyofata asubuhi na mapema aliongozana na Manka mpaka mahakamani akiwa na karatasi zenye mikataba ya kazi ya kampuni aliyoingia nayo mkataba akipinga kwenda kufanya kazi nje ya makubaliano yao, alifungua kesi na baada ya kesi kufungulia manager alizipata zile tarifa na kuona sasa mambo yanaelekea pabaya aliamua amtafute...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

1.2K
MY WANGU❤️ sehemu ya 118

MY WANGU❤️ sehemu ya 118

670
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘

527
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘

502
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*

265
REALLY LOVE* *22&23*

REALLY LOVE* *22&23*

237
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*

138
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7

122
MY CRAZY BOSS 08

MY CRAZY BOSS 08

67
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.25K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.34K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.33K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 11 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Japokuwa nilimfukuza lakini ukweli huyu binti nimetokea kumpenda jamani, Leo ndio naweka hisia zangu wazi maana siku zote nilikuwa nawaficha mnisamehe sana 🥹 Basi somo liliendelea na hatimaye kipindi changu...

AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*  *Chapter 5* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *Chapter 5*
@majario LIVE

ANZA NAYO..... Kitendo cha kusikia Jina langu nilijikuta tu nikisimama niweze kusikia na kujua Kuwa hawa watu ni Kwanini wananiongelea Mimi. "Kwahiyo mama Unataka huyu binti akae na sisi hapa NYUMBANI?" Ilikuwa ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 8
@majario LIVE

Asubuhi ilifika sasa ila leo nilichelewa sana, japo huwa nachelewa ila leo ilijulikana dhahiri kwamba siendi kazini, naaamka hivi ilikiwa saa 4 inaelekea saa tano namuona dada bado yupo pale...

MY CRAZY BOSS 08 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 08
@majario LIVE

SONGA NAYO Usiku haukuwa usiku kwangu, kila dakika nilijigeuza nikiamini boss muharibifu atakuja muda wowote kwaajili yangu Muda ulienda hatimae nami nilipitiwa na usingizi , nilikuja kushtuka asubuhi ikiwa ni majira ya...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE*
@majario LIVE

baba cathe haraka akaichukua picha ile ili kuangalia mtoto mwenyewe aiseeeeeeee alikodoa macho hayo kama kaba roho hakuamini kabisa baada ya kuona mtoto mwenyewe ni catherini ambaye alimlea tangu mdogo yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 118 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
@majario LIVE

Zayd akasema.si mwanagu unanipangia kwa kumpeleka muache mtoto wangu. Mlige akasema muachie uyo mtoto. Akasema simuachii. Oyaaaa we mwanamke ongea na mshikaji wako. Mi ntakukanda wewe na bwana ako. Mlige...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘   N0 74...75💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 74...75💘💘
@majario LIVE

Hongereni sana kwa jinsi mlivyokaa nahisi nyie ni wapenzi eh aliongea doctor 😍😍 ndiyo doctor wala hata hujakosea huyu ni mke wangu.... paschal alimjibu yule dactari.... jina langu ni...

REALLY LOVE* *22&23* Post Mpya
REALLY LOVE* *22&23*
@majario LIVE

walibaki kushangaana tu, baba cathe alishangaa sana maana hakumfaham mzee fahad lakini alishangaa baada ya mkewe kufahamiana na mzee huyo, pia cathe alishangaa kumbe mama. anamfahamu basi itakuwa vizuri msamaha...

REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA* Post Mpya
REALLY LOVE* SEASON TWO* *SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA*
@majario LIVE

upande wa baba cathe alimuita mkewe hapo seblen unawaona hawa wapumbavu wamekaa wakazani mimi sitasikia akakudanganya kuwa amekubaliwa kumb devi kaikataa mimba sasa cathe sitaongea tena ndoa umeivunja mwenyewe nakupa mda...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 7
@majario LIVE

Asubuhi ilifika maana nilikuwa naisubiri kwa hamu kubwa sana maan sikulala na niliona hapakuchi nilikuwa na mawazo sana niliinuka kitandani saa 12 kamili nikajiandaa nikahakikisha nampikia hadi dada angu chakula...

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 72...73💘💘
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest