Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........22
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.....
Angelina kitu kilichomfanya acheke ni kuona mtu ambae ata hamjui alafu anamtumia ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda ila kwa kuwa ni Miss Tanzania wa mwaka huo jumbe kama zile aliona ni kitu cha kawaida tu kutumiwa........

ENDELEA NAYO.....
hakutaka kujibu ujumbe ule zaidi ya kuufuta na  namba aliiblock kabisa nakuendelea na ratiba zigine.

Siku iliyofata asubuhi na mapema aliongozana na Manka mpaka mahakamani akiwa na karatasi zenye mikataba ya kazi ya kampuni aliyoingia nayo mkataba akipinga kwenda kufanya kazi nje ya makubaliano yao, alifungua kesi na baada ya kesi kufungulia manager alizipata zile tarifa na kuona sasa mambo yanaelekea pabaya aliamua amtafute Big Don,
"Unataka uingize kampuni katika matatizo makubwa sana ndugu yangu",manager alimwambia Big Don.
"Unamaana gani mbona hueleweki manager"
"Angelina kaenda mahakamani kufungua kesi ya sisi kutaka kumfanyisha kazi nje ya makubaliano tuliyowekeana", Manager aliongea na kumfanya Big Don kuelewa.
"Nisikilize kwa umakini manager, huyo mwanamke mimi nawaachia nyinyi sitaki kuchafua jina langu mana nilitumia juhudi sana kulifanya liwe juu alafu leo nilichafue kwa sababu ya Miss Tanzania",Big Don aliongea na aliamua kujitoa na hakutaka tena kumfatilia mwanadada Angelina.
"Huyu mjinga kweli kaniingiza katika matatizo alafu yeye anajitoa, na ikitokea Angelina akienda kuongea na waandishi wa habari alivyo na jina kubwa ataharibu sifa ya kampuni tuliyo ipambania kwa jasho na damu", Manager aliwaza afanya kitu gani na alipata njia aliyoona ni sahihi.

Alichukua simu yake na kumpigia mwanadada Angelina na kumuomba akaifute iyo kesi na ata mkataba yupo tayali kuvunja nae ili kila mtu aendelee na maisha yake.

Mwanadada Angelina alichana na kampuni hiyo maarufu na sasa alibakiwa na mikataba ya  makambuni madogomadogo yaliyoingia nae kwa ajili ya kutangaza biashara zao.       

Miezi mitatu ilipita na maisha yaliendelea ila Stewart alifanyikiwa kujiweka karibu na Mwanadada Angelina japo hakuwahi kumweleza kama ndiye yeye aliyetuma ule ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda na tatizo kubwa alilokuwa nalo nikushindwa kumtamkia mwanamke kuwa anampenda akiwa nae,na upande wa Angelina yeye alimchukulia kama rafiki yake wa karibu.

Ahadi aliyompa dada yake Diana ya kuwa karibu na Albert na ahakikishe aingii kwenye mahusiano na mwanamke yoyote mpaka pale atakaporudi Tanzania ilimfanya Angelina atengeneze mazoea na Albert na ata upande wa kijana Albert alikuwa tayali ameshamzoea Angelina.

Siku hiyo walipanga kuonana kati ya Albert na Angelina kwa ajili ya mazungumzo,
"Angelina hali ya Diana inaendeleaje ni mda mrefu sana sijaongea nae na kila nikijaribu kumtafuta inakuwa ngumu kumpata",Albert aliongea.
"Ata mimi nini hivyohivyo sina mawasiliano naye zaidi siku ya mwisho kupata tarifa zake za yeye kuwa na uwezo wa kuanza kunyenyua miguu ila kutembea vizuri ndiyo bado mana miguu yake haijakaza vizuri"
"Nimemkumbuka sana Diana na amini ata yeye amenikumbuka huko aliko",Albert aliongea.
"Wewe ni shemeji yangu lazima ata yeye atakuwa amekukumbuka sana huko aliko"Angelina aliongea kiutani kidogo na kumfanya Albert atabasamu tu.

ila wakiwa katika mazungumzo maeneo yale Stewart nae alikuwa akipita ni kama bahati tu alishangaa kumuona Angelina maeneo yale akiwa anaongea na  mwanaume aliyekuwa amemtegea mgongo nakushindwa kumuona vizuri, aliamua kusogea karibu ili atoe salamu kwa Angelina,alifika pale na kukutana uso kwa uso na kijana Albert.
"Angelina uko hapa naweza kukupa kampani?"Stewart aliongea kana kwamba kamkuta Angelina peke yake maeneo yale na hii ilimfanya Albert achukie sana mana aliona ni kama dharau.
"Ooh,Stewart sio kwa leo, nipo na mtu wangu wa mhimu tufanye siku nyingine itakuwa vizuri zaidi", Angelina aliamua kumtolea nje Stewart.

ila Albert alijaribu kukumbuka sura ya Stewart amewahi kuiona sehemu ngani ndipo alipoikumbuka vizuri,siku ya kwanza ni airport na siku ya pili ni hospital siku ambayo Diana amelazwa, alimtazama kwa macho ya kumdadizi Stewart aliyekuwa anaondoka maeneo hayo,
"Huyu rafiki yako watu wengine hatuoni, ata salamu tu anashindwa kutoa inaonekana anadharau sana",Albert aliongea na hakupenda kitendo kilichoonyeshwa na Stewart.
            
Upande wa Mary pesa alizokuwa nazo ziliisha kabisa na mbaya zaidi ata mpango alioupanga wa kwenda kumkamata Mwanamama katalina ulishindikana kabisa sasa alibadilisha mbinu na mbaya zaidi alikuwa akimshirikisha rafiki yake Faith bira kujua kama ndiye mtu anayeamua kumzunguka ili awasaidie watu anaopanga kuwafilisi,
"Faith nimepata mpango mpya temu hii nikipata tu pesa nasepa marekani kabisa kwenda kuishi huko na Tanzania hamtaniona tena", Mary aliongea.
"Mpango gani huo shoga yangu?, mama wewe kwa mipango rafiki yangu ni namba  moja sioni wa kukufikia"
"Nataka nikafungue kesi mahakamani nikamshitaki Albert",Mary aliongea tena akiwa amethamilia kabisa.
"Kesi!!!"
"Ndiyo mbona unashangaa Faith mimi ndio Mary kwanza nitaenda kusema kuwa Albert alinibaka kisha baada ya hapo akanitoa mimba yake kwa lazima",Mary aliona ndio njia sahihi ya kujipatia pesa.

Na ata mwanadada Faith kwa mipango iyo ya Mary hakujua anaanzaje kumsaidia kijana Albert ili asiingie matatizoni

Nchini Canada Diana alikuwa akiendelea na matibabu na doctor aliyekuwa akimtibu alipata matatizo ivyo ikabidi doctor mwingine atafutwe ili amuangalie mwanadada huyo, ndani siku mbili tu doctor aliweza kupatikana na kutambulishwa mbele ya mwanadada Diana.

Diana alikili duniani kuna wanaume wazuri na moja ya mwanaume huyo ni doctor aliyekuja kwa ajili ya kumtibu na koti alilovaa lilikuwa na jina lililoandikwa doctor Tayler, macho ya Diana hayakuchoka kumwangalia mzungu huyo aliyemvutia na ata moyo wake ulikili kweli umetokea kumpenda doctor huyo,
"Habari mgonjwa naitwa doctor Tayler na nipo hapa kuendeleza kazi iliyoachwa na doctor mwenzangu",Doctor Tayler alijitambulisha kwa lugha ya kingeleza na lugha iyo haikuwa ngeni masikioni mwa Diana ila alikutwa na hali  ya kupata ukakasi wa kujibu kutokana na kuzubaa kwake kumshangaa mzungu huyo.

Wiki moja iliweza kukatika huku doctor Tayler akiendelea kumtibu mwanadada Diana na ata doctor Tayler alianza kuvutiwa na urembo wa mwanadada Diana na ndani ya mda mfupi tu kila mtu alikuwa ameshamzoea mwenzake.

Siku moja doctor Tayler akiwa anamfanyisha mazoezi ya kutembea huku amemshika, alimshika sehemu ya kiunoni hali iliyomfanya mwanadada Diana awe na hisia kali na alishindwa kujiamini mbele ya mzungu huyu na bahati mbaya ilikuwa kwao, kwani wote walijikuta wakianguka chini huku doctor Tayler akimlalia Diana.

Mapigo ya moyo ya mwanadada Diana yalikuwa yakienda kasi isivyo kawaida na ata Doctor Tayler nae hali aliyokuwa nayo ni sawa na ya Diana.

Mara zote macho hutoa ishara ndicho kilichotokea kila mtu alikuwa akimtazama mwenzake na kushindwa kuongea lakini doctor Tayler alipeleka mdomo wake kwa mwanadada Diana ambae nae hakuwa na uwezo wa kukataa na wote wakaanza kubadilishana mate na kujikuta wakiingia kwenye ulimwengu mwingine.

Baada ya kila mtu kumjua mwenzake haikuwa siri tena kwa watu wale wawili mahusiano yalianzia hapohapo na kila mtu alikuwa na furaha kwa mwenzake hasa Diana aliyekuwa amempenda  Doctor Tayler nakusahau Tanzania kama kuna mwanaume aliyekuwa anaitwa Albert akili zote zilikuwa kwa doctor Tayler.

Mr.James kama kawaida yake kila ifikapo mwisho wa mwezi lazima aende Canada kumjulia hali binti na ata temu hii alifika mpaka Canada lakini alisitaajabu kumkuta doctor tofauti na yule aliyekuwa anamjua yeye tena wa temu hii akiwa ni kijana na alishangaa pia kumuona binti yake ni mwenye furaha kuliko mwanzo,
"Binti yangu hongera sana sio mda utapona, mana sasa ivi unaweza wa kusimama japo kwa tabu,hongera sana miguu yako imeanza kukaza", Mr.James aliongea.
"Ni kweli baba ila natamani nikae hukuhuku kwanza ata kama nikipona sitawahi kurudi Tanzania",Diana aliongea kitu kilichomshangaza baba yake.
"Unamaanisha nini Diana kusema utabaki huku,Tanzania watu wengi wana kusubiri kwa hamu hasa Albert ambae kila siku anakuulizia na hachoki kunisumbua na mimi nafikilia kukuozesha yule kijana anakufaa sana na huwezi mpata mwanaume anayekupenda kama Albert japo mimi na mama yake tulikuwa na tofauti zetu ila haiwezi zuia nyinyi kuwa pamoja", Mr.James alijikuta akimpigia debe Albert na hii ni baada ya Albert kumjali sana Diana kipindi ambacho yupo kwenye magumu.

"Baba mume mimi ndiyo nitachagua yule atakayenifaa lakini naomba tu nikwambie ukweli uliopo siwezi kuolewa na Albert mimi", Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler....ITAENDELEA.

Diana anabadilisha mawazo yake tena ya kuwa na Albert na amepata mwanaume mwingine tukutane sehemu inayokuja.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........22
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.....
Angelina kitu kilichomfanya acheke ni kuona mtu ambae ata hamjui alafu anamtumia ujumbe wa kumwambia kuwa anampenda ila kwa kuwa ni Miss Tanzania wa mwaka huo jumbe kama zile aliona ni kitu cha kawaida tu kutumiwa........

ENDELEA NAYO.....
hakutaka kujibu ujumbe ule zaidi ya kuufuta na  namba aliiblock kabisa nakuendelea na ratiba zigine.

Siku iliyofata asubuhi na mapema aliongozana na Manka mpaka mahakamani akiwa na karatasi zenye mikataba ya kazi ya kampuni aliyoingia nayo mkataba akipinga kwenda kufanya kazi nje ya makubaliano yao, alifungua kesi na baada ya kesi kufungulia manager alizipata zile tarifa na kuona sasa mambo yanaelekea pabaya aliamua amtafute...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

945
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53

318
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

134
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest