Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

19th Apr, 2025 Views 5

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye hiyo gari", Mr.James aliongea.
"Baba niache kwa sasa nahitaji kubaki peke yangu, utanikuta nyumbani baba",Diana aliongea tena bira kumuangalia baba yake usoni.

Diana hakutaka kumsikiliza baba yake aliwasha gari na kuondoka maeneo hayo tena gari ikiwa kwenye mwendo usiokuwa wa kawaida.

Mr.James alishangaa kuona binti yake ameshindwa kumsikiliza,
"Huyu mtoto mbona hataki kunisikiliza kile ninachomwambia na wasiwasi na huo uendeshaji wake wa gari",Mr.James alikasilishwa na kitendo cha mwanae kukataa kumsikiliza.

Albert yeye alikuwa bado amemshika mama yake mkono akimhimiza watoke eneo hilo haraka sana na wakati huo walikuwa wameshafika nje ya ukumbi,
"Una matatizo gani mbona unanikokota tu bira kunisikiliza mimi mama yako?", Mwanamama Katalina aliamua kuwa mkali baada ya kuona Albert anampelekesha tu bira kumfafanulia vizuri.
"Mama kuna watu wamepanga kukuua,ndio mana nakutoa kwenye hili eneo",Albert hakuona sababu ya kuficha tena aliamua kuongea mbele ya mama yake.
"Watu wamepanga kuniua!!, ni kina nani hao?"
"Mama nitakwelezea tukufika nyumbani naomba tuondoke hapa mana sio sehemu salama kabisa".

Hakuna asiyependa kuishi baada mwanamama Katalina kusikia maneno ya mwanae aliamua kukubali kuongozana nae mpaka nyumbani.

Upande wa Stewart alitoka na kuwaacha wazazi wake akiwa na lengo la kumtafuta Diana, huku  baba yake mzazi au Mr.John ilibidi amchukue mke wake waende nyumbani na wakimuacha kijana wao aendelee kula ujana usiku huo, Mr.John akiwa na mke wake walielekea mpaka sehemu ya parking na kuingia kwenye gari lao.

Mr.John aliwasha gari na kuirudisha nyuma kidogo ili aiondoshe ila bahati mbaya alipokuwa akiirudisha nyuma aligonga gari iliyokuwa nyuma yake,
"Nani wewe unayerudisha nyuma gari bira kutazama vizuri mpaka umegonga gari yangu?", sauti ilimfikia Mr.John aliyegonga kwa bahati mbaya na ikamlazimu kushuka na kumuacha mke wake kwenye gari.

Ata mwenye gari iliyogongwa naye alishuka kuangalia ni nani huyo aliyeigonga gari lake na hakuwa mwingine bali ni Mr.James na wote walijikuta wakikutana,
Japo kuwa ilikuwa ni usiku na mwaga ukiwa ni hafifu uliokuwa maeneo yale ila Mr.James aliitambua vizuri sura ya Mr.John.
"Ni wewe mpuuzi", Mr.James aliongea na kumfanya Mr.John ashangae ni nani huyo anayemwita mpuuzi.
"Kwani we nani unayeniita mpuuzi?, na nipende kukuomba samahani mana ilikuwa bahati mbaya tu", Mr.John aliongea kiupole.

Mr.James alikumbuka enzi zile za ujana alivyokuwa akimpenda  mwanamama Katalina na mtu aliyemfanya atengane na mwanamke aliyekuwa akimpenda ni Mr.John aliyekuwa maeneo yale.

"Unajifanya umenisahau na alafu unauliza mimi nani?, hukumbuki ulichowahi kunifanyia miaka ya nyuma au unafikili sura yako siikumbuki?", Mr.James aliongea.
"Kwani wewe nani mbona sikuelewi"
"Hunielewi leo utanielewa tu,wewe sindio John?"
"Yes, ni mimi"
"Unamkumbuka katalina?", Mr.James alimuuliza.

Mr.John alianza kuvuta kumbukumbu ndipo sura ya katalina ilipoanza kuja kwenye kichwa chake na kumkumbuka vizuri.

"Najua huwezi kusema kwakuwa upo na mkeo kwenye gari ila unatakiwa ulipe taa ya gari langu uliyoiharibu", Mr.James aliongea tena akiwa hana utani ata kidogo.
Mr.James alichomoa mfukoni kadi iliyokuwa na  namba zake nakumpa Mr.John,
"Milion 4 nikifika nyumbani kwangu ziwe zimeshaingia kwenye simu yangu ya matengenezo ya taa ya gari yangu uliyoipasua", hakutaka kuongea mengi alienda kupanda kwenye gari na kuondoka.

Alimuacha Mr.John akimtazama bira kummaliza nae pia alikumbuka jinsi walivyowahi kupigana enzi za ujana wao kisa katalina na hii kumfanya acheke ila aliamua kuingia kwenye gari na kuondoka akiwa na mkewe.

Diana baada ya kutoka kwenye ukumbi wa  akiwa na hasira baada ya kuibuka mshindi wa pili na sio wa kwanza kama alivyokuwa anataka yeye, alikuwa bado akiendesha gari kwa kasi usiku huo kuelekea nyumbani kwao, lakini siku hiyo ilikuwa ni mbaya kwake kwani alifika sehemu yenye kona na ilitakiwa akate kona kwa umakini lakini alijikuta akipoteza umakini hali iliyosababisha kwenda kugongana na gari lililokuwa likija upande wake na gari ya mwanadada Diana ilienda kuangukia pembeni huku Diana akiwa ndani ya lile gari, na ata lile gari jingine lilokuwa na watu zaidi ya watano nalo lilienda kugonga mti uliokuwa pembeni hali iliyowafanya wote waliokuwa kwenye gari  ile kuumia vibaya sana huku wengine wakifariki hapohapo.

Kwakuwa ilikuwa ni majira ya usiku watu wachache walifika pale kwenye ajari na kuanza kuwasaidia watu waliopatwa na ajari na Diana akiwa ni miongoni mwao, huku vijana wengine wakiichukulia kama bahati kwao kwa kuiba vitu vilivyokuwa ndani ya ile gari.

Diana alikimbizwa hospital kwa ajiri ya matibabu, huku kwenye hospital hiyo wakiwa na kazi ya kumtafuta ndugu yoyote yule wa Diana mana ata wale waliomleta waliezea jinsi ilivyokuwa  nakuwaachia mzigo wauguzi wa hospital ile,
Waliamua kumpiga picha Diana na kusambaza tarifa zake mtandaoni kuwa ndugu yoyote anahitajika,

Baadhi ya watu walianza kufananisha picha iliyotumwa mitandaoni ya mtu aliyepata ajari na picha ya mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania, na kweli tarifa zilisambaa kwa wingi kuwa mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyomalizika mda mfupi uliopita amepata ajari.

Upande wa Mr.James alikuwa ameshafika nyumbani kwake lakini alishangaa kutokumwona binti yake ila haikichukuwa mda simu yake ilianza kuita,
"Nani tena huyu anayepiga simu usiku huu",aliangalia mpigaji na kukuta namba ni ngeni ila aliamua kuipokea ili ajue ni nani anayempigia,
"Mr.James tarifa ninazo ziona mitandaoni zina ukweli wowote ule?",alikuwa ni mfanya biashara mwenzake aliyekuwa akiongea upande wa pili.
"Tarifa gani?"
"Kata simu nakutumia picha hapo haraka sana".
Mr.James alikata simu na huwa sio mpenzi wa kutumia mitandao sana ndio mana mpaka wakati huo alikuwa bado hajapata tarifa juu ya kile kilichokuwa kikiendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Aliwasha data nakuangalia picha alizotumiwa na mfanyabiashara mwenzake hakuamini kuona sura ya binti yake Diana tena akiwa kwenye hali mbaya na tarifa zikisema za kumtafuta ndugu yoyote wa binti huyo,
"Huu ni uongo mwanangu Diana hawezi kuwa kwenye hii hali", Mr.James alipingana na kile alichokiona lakini haikubadilisha ukweli wowote kuwa ni mwanae Diana.
Mda huohuo alitoka na kwenda kwenye hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.....ITAENDELEA.

Karibu katika sehemu inayokuja tujue hali ya Diana

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest