Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye hiyo gari", Mr.James aliongea.
"Baba niache kwa sasa nahitaji kubaki peke yangu, utanikuta nyumbani baba",Diana aliongea tena bira kumuangalia baba yake usoni.

Diana hakutaka kumsikiliza baba yake aliwasha gari na kuondoka maeneo hayo tena gari ikiwa kwenye mwendo usiokuwa wa kawaida.

Mr.James alishangaa kuona binti yake ameshindwa kumsikiliza,
"Huyu mtoto mbona hataki kunisikiliza kile ninachomwambia na wasiwasi na huo uendeshaji wake wa gari",Mr.James alikasilishwa na kitendo cha mwanae kukataa kumsikiliza.

Albert yeye alikuwa bado amemshika mama yake mkono akimhimiza watoke eneo hilo haraka sana na wakati huo walikuwa wameshafika nje ya ukumbi,
"Una matatizo gani mbona unanikokota tu bira kunisikiliza mimi mama yako?", Mwanamama Katalina aliamua kuwa mkali baada ya kuona Albert anampelekesha tu bira kumfafanulia vizuri.
"Mama kuna watu wamepanga kukuua,ndio mana nakutoa kwenye hili eneo",Albert hakuona sababu ya kuficha tena aliamua kuongea mbele ya mama yake.
"Watu wamepanga kuniua!!, ni kina nani hao?"
"Mama nitakwelezea tukufika nyumbani naomba tuondoke hapa mana sio sehemu salama kabisa".

Hakuna asiyependa kuishi baada mwanamama Katalina kusikia maneno ya mwanae aliamua kukubali kuongozana nae mpaka nyumbani.

Upande wa Stewart alitoka na kuwaacha wazazi wake akiwa na lengo la kumtafuta Diana, huku  baba yake mzazi au Mr.John ilibidi amchukue mke wake waende nyumbani na wakimuacha kijana wao aendelee kula ujana usiku huo, Mr.John akiwa na mke wake walielekea mpaka sehemu ya parking na kuingia kwenye gari lao.

Mr.John aliwasha gari na kuirudisha nyuma kidogo ili aiondoshe ila bahati mbaya alipokuwa akiirudisha nyuma aligonga gari iliyokuwa nyuma yake,
"Nani wewe unayerudisha nyuma gari bira kutazama vizuri mpaka umegonga gari yangu?", sauti ilimfikia Mr.John aliyegonga kwa bahati mbaya na ikamlazimu kushuka na kumuacha mke wake kwenye gari.

Ata mwenye gari iliyogongwa naye alishuka kuangalia ni nani huyo aliyeigonga gari lake na hakuwa mwingine bali ni Mr.James na wote walijikuta wakikutana,
Japo kuwa ilikuwa ni usiku na mwaga ukiwa ni hafifu uliokuwa maeneo yale ila Mr.James aliitambua vizuri sura ya Mr.John.
"Ni wewe mpuuzi", Mr.James aliongea na kumfanya Mr.John ashangae ni nani huyo anayemwita mpuuzi.
"Kwani we nani unayeniita mpuuzi?, na nipende kukuomba samahani mana ilikuwa bahati mbaya tu", Mr.John aliongea kiupole.

Mr.James alikumbuka enzi zile za ujana alivyokuwa akimpenda  mwanamama Katalina na mtu aliyemfanya atengane na mwanamke aliyekuwa akimpenda ni Mr.John aliyekuwa maeneo yale.

"Unajifanya umenisahau na alafu unauliza mimi nani?, hukumbuki ulichowahi kunifanyia miaka ya nyuma au unafikili sura yako siikumbuki?", Mr.James aliongea.
"Kwani wewe nani mbona sikuelewi"
"Hunielewi leo utanielewa tu,wewe sindio John?"
"Yes, ni mimi"
"Unamkumbuka katalina?", Mr.James alimuuliza.

Mr.John alianza kuvuta kumbukumbu ndipo sura ya katalina ilipoanza kuja kwenye kichwa chake na kumkumbuka vizuri.

"Najua huwezi kusema kwakuwa upo na mkeo kwenye gari ila unatakiwa ulipe taa ya gari langu uliyoiharibu", Mr.James aliongea tena akiwa hana utani ata kidogo.
Mr.James alichomoa mfukoni kadi iliyokuwa na  namba zake nakumpa Mr.John,
"Milion 4 nikifika nyumbani kwangu ziwe zimeshaingia kwenye simu yangu ya matengenezo ya taa ya gari yangu uliyoipasua", hakutaka kuongea mengi alienda kupanda kwenye gari na kuondoka.

Alimuacha Mr.John akimtazama bira kummaliza nae pia alikumbuka jinsi walivyowahi kupigana enzi za ujana wao kisa katalina na hii kumfanya acheke ila aliamua kuingia kwenye gari na kuondoka akiwa na mkewe.

Diana baada ya kutoka kwenye ukumbi wa  akiwa na hasira baada ya kuibuka mshindi wa pili na sio wa kwanza kama alivyokuwa anataka yeye, alikuwa bado akiendesha gari kwa kasi usiku huo kuelekea nyumbani kwao, lakini siku hiyo ilikuwa ni mbaya kwake kwani alifika sehemu yenye kona na ilitakiwa akate kona kwa umakini lakini alijikuta akipoteza umakini hali iliyosababisha kwenda kugongana na gari lililokuwa likija upande wake na gari ya mwanadada Diana ilienda kuangukia pembeni huku Diana akiwa ndani ya lile gari, na ata lile gari jingine lilokuwa na watu zaidi ya watano nalo lilienda kugonga mti uliokuwa pembeni hali iliyowafanya wote waliokuwa kwenye gari  ile kuumia vibaya sana huku wengine wakifariki hapohapo.

Kwakuwa ilikuwa ni majira ya usiku watu wachache walifika pale kwenye ajari na kuanza kuwasaidia watu waliopatwa na ajari na Diana akiwa ni miongoni mwao, huku vijana wengine wakiichukulia kama bahati kwao kwa kuiba vitu vilivyokuwa ndani ya ile gari.

Diana alikimbizwa hospital kwa ajiri ya matibabu, huku kwenye hospital hiyo wakiwa na kazi ya kumtafuta ndugu yoyote yule wa Diana mana ata wale waliomleta waliezea jinsi ilivyokuwa  nakuwaachia mzigo wauguzi wa hospital ile,
Waliamua kumpiga picha Diana na kusambaza tarifa zake mtandaoni kuwa ndugu yoyote anahitajika,

Baadhi ya watu walianza kufananisha picha iliyotumwa mitandaoni ya mtu aliyepata ajari na picha ya mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania, na kweli tarifa zilisambaa kwa wingi kuwa mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyomalizika mda mfupi uliopita amepata ajari.

Upande wa Mr.James alikuwa ameshafika nyumbani kwake lakini alishangaa kutokumwona binti yake ila haikichukuwa mda simu yake ilianza kuita,
"Nani tena huyu anayepiga simu usiku huu",aliangalia mpigaji na kukuta namba ni ngeni ila aliamua kuipokea ili ajue ni nani anayempigia,
"Mr.James tarifa ninazo ziona mitandaoni zina ukweli wowote ule?",alikuwa ni mfanya biashara mwenzake aliyekuwa akiongea upande wa pili.
"Tarifa gani?"
"Kata simu nakutumia picha hapo haraka sana".
Mr.James alikata simu na huwa sio mpenzi wa kutumia mitandao sana ndio mana mpaka wakati huo alikuwa bado hajapata tarifa juu ya kile kilichokuwa kikiendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Aliwasha data nakuangalia picha alizotumiwa na mfanyabiashara mwenzake hakuamini kuona sura ya binti yake Diana tena akiwa kwenye hali mbaya na tarifa zikisema za kumtafuta ndugu yoyote wa binti huyo,
"Huu ni uongo mwanangu Diana hawezi kuwa kwenye hii hali", Mr.James alipingana na kile alichokiona lakini haikubadilisha ukweli wowote kuwa ni mwanae Diana.
Mda huohuo alitoka na kwenda kwenye hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.....ITAENDELEA.

Karibu katika sehemu inayokuja tujue hali ya Diana

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68

1.16K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67

1.02K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69

555
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final

385
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

311
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

303
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

253
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

238
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

222
NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

NAKUPENDA BILA MIPAKA 26 - 35

185

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.85K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 69
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE😂) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "7_8"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "7_8"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh 🤮...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Mané, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

SHAMIRA 92 kwa 93 Post Mpya
SHAMIRA 92 kwa 93
@majario LIVE

SHAMIRA Mwandishi; lissa wa huru media Sehemu ya 92 Basi bwana siku zikapita kidogo nikawa nipo apa naendelea na kazi zangu ili iki kitoto hapana . Kina tabia mbaya jamani mh...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest