Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye hiyo gari", Mr.James aliongea.
"Baba niache kwa sasa nahitaji kubaki peke yangu, utanikuta nyumbani baba",Diana aliongea tena bira kumuangalia baba yake usoni.

Diana hakutaka kumsikiliza baba yake aliwasha gari na kuondoka maeneo hayo tena gari ikiwa kwenye mwendo usiokuwa wa kawaida.

Mr.James alishangaa kuona binti yake ameshindwa kumsikiliza,
"Huyu mtoto mbona hataki kunisikiliza kile ninachomwambia na wasiwasi na huo uendeshaji wake wa gari",Mr.James alikasilishwa na kitendo cha mwanae kukataa kumsikiliza.

Albert yeye alikuwa bado amemshika mama yake mkono akimhimiza watoke eneo hilo haraka sana na wakati huo walikuwa wameshafika nje ya ukumbi,
"Una matatizo gani mbona unanikokota tu bira kunisikiliza mimi mama yako?", Mwanamama Katalina aliamua kuwa mkali baada ya kuona Albert anampelekesha tu bira kumfafanulia vizuri.
"Mama kuna watu wamepanga kukuua,ndio mana nakutoa kwenye hili eneo",Albert hakuona sababu ya kuficha tena aliamua kuongea mbele ya mama yake.
"Watu wamepanga kuniua!!, ni kina nani hao?"
"Mama nitakwelezea tukufika nyumbani naomba tuondoke hapa mana sio sehemu salama kabisa".

Hakuna asiyependa kuishi baada mwanamama Katalina kusikia maneno ya mwanae aliamua kukubali kuongozana nae mpaka nyumbani.

Upande wa Stewart alitoka na kuwaacha wazazi wake akiwa na lengo la kumtafuta Diana, huku  baba yake mzazi au Mr.John ilibidi amchukue mke wake waende nyumbani na wakimuacha kijana wao aendelee kula ujana usiku huo, Mr.John akiwa na mke wake walielekea mpaka sehemu ya parking na kuingia kwenye gari lao.

Mr.John aliwasha gari na kuirudisha nyuma kidogo ili aiondoshe ila bahati mbaya alipokuwa akiirudisha nyuma aligonga gari iliyokuwa nyuma yake,
"Nani wewe unayerudisha nyuma gari bira kutazama vizuri mpaka umegonga gari yangu?", sauti ilimfikia Mr.John aliyegonga kwa bahati mbaya na ikamlazimu kushuka na kumuacha mke wake kwenye gari.

Ata mwenye gari iliyogongwa naye alishuka kuangalia ni nani huyo aliyeigonga gari lake na hakuwa mwingine bali ni Mr.James na wote walijikuta wakikutana,
Japo kuwa ilikuwa ni usiku na mwaga ukiwa ni hafifu uliokuwa maeneo yale ila Mr.James aliitambua vizuri sura ya Mr.John.
"Ni wewe mpuuzi", Mr.James aliongea na kumfanya Mr.John ashangae ni nani huyo anayemwita mpuuzi.
"Kwani we nani unayeniita mpuuzi?, na nipende kukuomba samahani mana ilikuwa bahati mbaya tu", Mr.John aliongea kiupole.

Mr.James alikumbuka enzi zile za ujana alivyokuwa akimpenda  mwanamama Katalina na mtu aliyemfanya atengane na mwanamke aliyekuwa akimpenda ni Mr.John aliyekuwa maeneo yale.

"Unajifanya umenisahau na alafu unauliza mimi nani?, hukumbuki ulichowahi kunifanyia miaka ya nyuma au unafikili sura yako siikumbuki?", Mr.James aliongea.
"Kwani wewe nani mbona sikuelewi"
"Hunielewi leo utanielewa tu,wewe sindio John?"
"Yes, ni mimi"
"Unamkumbuka katalina?", Mr.James alimuuliza.

Mr.John alianza kuvuta kumbukumbu ndipo sura ya katalina ilipoanza kuja kwenye kichwa chake na kumkumbuka vizuri.

"Najua huwezi kusema kwakuwa upo na mkeo kwenye gari ila unatakiwa ulipe taa ya gari langu uliyoiharibu", Mr.James aliongea tena akiwa hana utani ata kidogo.
Mr.James alichomoa mfukoni kadi iliyokuwa na  namba zake nakumpa Mr.John,
"Milion 4 nikifika nyumbani kwangu ziwe zimeshaingia kwenye simu yangu ya matengenezo ya taa ya gari yangu uliyoipasua", hakutaka kuongea mengi alienda kupanda kwenye gari na kuondoka.

Alimuacha Mr.John akimtazama bira kummaliza nae pia alikumbuka jinsi walivyowahi kupigana enzi za ujana wao kisa katalina na hii kumfanya acheke ila aliamua kuingia kwenye gari na kuondoka akiwa na mkewe.

Diana baada ya kutoka kwenye ukumbi wa  akiwa na hasira baada ya kuibuka mshindi wa pili na sio wa kwanza kama alivyokuwa anataka yeye, alikuwa bado akiendesha gari kwa kasi usiku huo kuelekea nyumbani kwao, lakini siku hiyo ilikuwa ni mbaya kwake kwani alifika sehemu yenye kona na ilitakiwa akate kona kwa umakini lakini alijikuta akipoteza umakini hali iliyosababisha kwenda kugongana na gari lililokuwa likija upande wake na gari ya mwanadada Diana ilienda kuangukia pembeni huku Diana akiwa ndani ya lile gari, na ata lile gari jingine lilokuwa na watu zaidi ya watano nalo lilienda kugonga mti uliokuwa pembeni hali iliyowafanya wote waliokuwa kwenye gari  ile kuumia vibaya sana huku wengine wakifariki hapohapo.

Kwakuwa ilikuwa ni majira ya usiku watu wachache walifika pale kwenye ajari na kuanza kuwasaidia watu waliopatwa na ajari na Diana akiwa ni miongoni mwao, huku vijana wengine wakiichukulia kama bahati kwao kwa kuiba vitu vilivyokuwa ndani ya ile gari.

Diana alikimbizwa hospital kwa ajiri ya matibabu, huku kwenye hospital hiyo wakiwa na kazi ya kumtafuta ndugu yoyote yule wa Diana mana ata wale waliomleta waliezea jinsi ilivyokuwa  nakuwaachia mzigo wauguzi wa hospital ile,
Waliamua kumpiga picha Diana na kusambaza tarifa zake mtandaoni kuwa ndugu yoyote anahitajika,

Baadhi ya watu walianza kufananisha picha iliyotumwa mitandaoni ya mtu aliyepata ajari na picha ya mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania, na kweli tarifa zilisambaa kwa wingi kuwa mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyomalizika mda mfupi uliopita amepata ajari.

Upande wa Mr.James alikuwa ameshafika nyumbani kwake lakini alishangaa kutokumwona binti yake ila haikichukuwa mda simu yake ilianza kuita,
"Nani tena huyu anayepiga simu usiku huu",aliangalia mpigaji na kukuta namba ni ngeni ila aliamua kuipokea ili ajue ni nani anayempigia,
"Mr.James tarifa ninazo ziona mitandaoni zina ukweli wowote ule?",alikuwa ni mfanya biashara mwenzake aliyekuwa akiongea upande wa pili.
"Tarifa gani?"
"Kata simu nakutumia picha hapo haraka sana".
Mr.James alikata simu na huwa sio mpenzi wa kutumia mitandao sana ndio mana mpaka wakati huo alikuwa bado hajapata tarifa juu ya kile kilichokuwa kikiendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Aliwasha data nakuangalia picha alizotumiwa na mfanyabiashara mwenzake hakuamini kuona sura ya binti yake Diana tena akiwa kwenye hali mbaya na tarifa zikisema za kumtafuta ndugu yoyote wa binti huyo,
"Huu ni uongo mwanangu Diana hawezi kuwa kwenye hii hali", Mr.James alipingana na kile alichokiona lakini haikubadilisha ukweli wowote kuwa ni mwanae Diana.
Mda huohuo alitoka na kwenda kwenye hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.....ITAENDELEA.

Karibu katika sehemu inayokuja tujue hali ya Diana

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

546
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

489
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

476
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

450
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

449
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

327
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

322
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

312
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

291
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

204

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.08K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.83K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest