Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye hiyo gari", Mr.James aliongea.
"Baba niache kwa sasa nahitaji kubaki peke yangu, utanikuta nyumbani baba",Diana aliongea tena bira kumuangalia baba yake usoni.

Diana hakutaka kumsikiliza baba yake aliwasha gari na kuondoka maeneo hayo tena gari ikiwa kwenye mwendo usiokuwa wa kawaida.

Mr.James alishangaa kuona binti yake ameshindwa kumsikiliza,
"Huyu mtoto mbona hataki kunisikiliza kile ninachomwambia na wasiwasi na huo uendeshaji wake wa gari",Mr.James alikasilishwa na kitendo cha mwanae kukataa kumsikiliza.

Albert yeye alikuwa bado amemshika mama yake mkono akimhimiza watoke eneo hilo haraka sana na wakati huo walikuwa wameshafika nje ya ukumbi,
"Una matatizo gani mbona unanikokota tu bira kunisikiliza mimi mama yako?", Mwanamama Katalina aliamua kuwa mkali baada ya kuona Albert anampelekesha tu bira kumfafanulia vizuri.
"Mama kuna watu wamepanga kukuua,ndio mana nakutoa kwenye hili eneo",Albert hakuona sababu ya kuficha tena aliamua kuongea mbele ya mama yake.
"Watu wamepanga kuniua!!, ni kina nani hao?"
"Mama nitakwelezea tukufika nyumbani naomba tuondoke hapa mana sio sehemu salama kabisa".

Hakuna asiyependa kuishi baada mwanamama Katalina kusikia maneno ya mwanae aliamua kukubali kuongozana nae mpaka nyumbani.

Upande wa Stewart alitoka na kuwaacha wazazi wake akiwa na lengo la kumtafuta Diana, huku  baba yake mzazi au Mr.John ilibidi amchukue mke wake waende nyumbani na wakimuacha kijana wao aendelee kula ujana usiku huo, Mr.John akiwa na mke wake walielekea mpaka sehemu ya parking na kuingia kwenye gari lao.

Mr.John aliwasha gari na kuirudisha nyuma kidogo ili aiondoshe ila bahati mbaya alipokuwa akiirudisha nyuma aligonga gari iliyokuwa nyuma yake,
"Nani wewe unayerudisha nyuma gari bira kutazama vizuri mpaka umegonga gari yangu?", sauti ilimfikia Mr.John aliyegonga kwa bahati mbaya na ikamlazimu kushuka na kumuacha mke wake kwenye gari.

Ata mwenye gari iliyogongwa naye alishuka kuangalia ni nani huyo aliyeigonga gari lake na hakuwa mwingine bali ni Mr.James na wote walijikuta wakikutana,
Japo kuwa ilikuwa ni usiku na mwaga ukiwa ni hafifu uliokuwa maeneo yale ila Mr.James aliitambua vizuri sura ya Mr.John.
"Ni wewe mpuuzi", Mr.James aliongea na kumfanya Mr.John ashangae ni nani huyo anayemwita mpuuzi.
"Kwani we nani unayeniita mpuuzi?, na nipende kukuomba samahani mana ilikuwa bahati mbaya tu", Mr.John aliongea kiupole.

Mr.James alikumbuka enzi zile za ujana alivyokuwa akimpenda  mwanamama Katalina na mtu aliyemfanya atengane na mwanamke aliyekuwa akimpenda ni Mr.John aliyekuwa maeneo yale.

"Unajifanya umenisahau na alafu unauliza mimi nani?, hukumbuki ulichowahi kunifanyia miaka ya nyuma au unafikili sura yako siikumbuki?", Mr.James aliongea.
"Kwani wewe nani mbona sikuelewi"
"Hunielewi leo utanielewa tu,wewe sindio John?"
"Yes, ni mimi"
"Unamkumbuka katalina?", Mr.James alimuuliza.

Mr.John alianza kuvuta kumbukumbu ndipo sura ya katalina ilipoanza kuja kwenye kichwa chake na kumkumbuka vizuri.

"Najua huwezi kusema kwakuwa upo na mkeo kwenye gari ila unatakiwa ulipe taa ya gari langu uliyoiharibu", Mr.James aliongea tena akiwa hana utani ata kidogo.
Mr.James alichomoa mfukoni kadi iliyokuwa na  namba zake nakumpa Mr.John,
"Milion 4 nikifika nyumbani kwangu ziwe zimeshaingia kwenye simu yangu ya matengenezo ya taa ya gari yangu uliyoipasua", hakutaka kuongea mengi alienda kupanda kwenye gari na kuondoka.

Alimuacha Mr.John akimtazama bira kummaliza nae pia alikumbuka jinsi walivyowahi kupigana enzi za ujana wao kisa katalina na hii kumfanya acheke ila aliamua kuingia kwenye gari na kuondoka akiwa na mkewe.

Diana baada ya kutoka kwenye ukumbi wa  akiwa na hasira baada ya kuibuka mshindi wa pili na sio wa kwanza kama alivyokuwa anataka yeye, alikuwa bado akiendesha gari kwa kasi usiku huo kuelekea nyumbani kwao, lakini siku hiyo ilikuwa ni mbaya kwake kwani alifika sehemu yenye kona na ilitakiwa akate kona kwa umakini lakini alijikuta akipoteza umakini hali iliyosababisha kwenda kugongana na gari lililokuwa likija upande wake na gari ya mwanadada Diana ilienda kuangukia pembeni huku Diana akiwa ndani ya lile gari, na ata lile gari jingine lilokuwa na watu zaidi ya watano nalo lilienda kugonga mti uliokuwa pembeni hali iliyowafanya wote waliokuwa kwenye gari  ile kuumia vibaya sana huku wengine wakifariki hapohapo.

Kwakuwa ilikuwa ni majira ya usiku watu wachache walifika pale kwenye ajari na kuanza kuwasaidia watu waliopatwa na ajari na Diana akiwa ni miongoni mwao, huku vijana wengine wakiichukulia kama bahati kwao kwa kuiba vitu vilivyokuwa ndani ya ile gari.

Diana alikimbizwa hospital kwa ajiri ya matibabu, huku kwenye hospital hiyo wakiwa na kazi ya kumtafuta ndugu yoyote yule wa Diana mana ata wale waliomleta waliezea jinsi ilivyokuwa  nakuwaachia mzigo wauguzi wa hospital ile,
Waliamua kumpiga picha Diana na kusambaza tarifa zake mtandaoni kuwa ndugu yoyote anahitajika,

Baadhi ya watu walianza kufananisha picha iliyotumwa mitandaoni ya mtu aliyepata ajari na picha ya mshindi wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania, na kweli tarifa zilisambaa kwa wingi kuwa mshindi wa pili wa mashindano ya Miss Tanzania yaliyomalizika mda mfupi uliopita amepata ajari.

Upande wa Mr.James alikuwa ameshafika nyumbani kwake lakini alishangaa kutokumwona binti yake ila haikichukuwa mda simu yake ilianza kuita,
"Nani tena huyu anayepiga simu usiku huu",aliangalia mpigaji na kukuta namba ni ngeni ila aliamua kuipokea ili ajue ni nani anayempigia,
"Mr.James tarifa ninazo ziona mitandaoni zina ukweli wowote ule?",alikuwa ni mfanya biashara mwenzake aliyekuwa akiongea upande wa pili.
"Tarifa gani?"
"Kata simu nakutumia picha hapo haraka sana".
Mr.James alikata simu na huwa sio mpenzi wa kutumia mitandao sana ndio mana mpaka wakati huo alikuwa bado hajapata tarifa juu ya kile kilichokuwa kikiendelea kwenye mitandao ya kijamii.

Aliwasha data nakuangalia picha alizotumiwa na mfanyabiashara mwenzake hakuamini kuona sura ya binti yake Diana tena akiwa kwenye hali mbaya na tarifa zikisema za kumtafuta ndugu yoyote wa binti huyo,
"Huu ni uongo mwanangu Diana hawezi kuwa kwenye hii hali", Mr.James alipingana na kile alichokiona lakini haikubadilisha ukweli wowote kuwa ni mwanae Diana.
Mda huohuo alitoka na kwenda kwenye hospital kuhakikisha kama ni binti yake kweli.....ITAENDELEA.

Karibu katika sehemu inayokuja tujue hali ya Diana

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........13
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia.........
"Mama hii ni lazima naomba tuondoke lasivyo nitakupoteza mama yangu naombe uelewe hiki ninachokwambia"
"Utanipoteza kivipi Albert", Mwanamama katalina alimuuliza mwanae...

ENDELEA NAYO.....
Albert baada ya kuona mama yake hamwelewi anachoongea aliamua kumshika mkono na kumtoa maeneo yale huku watu wengine wakiwaangalia tu.

Upande wa Angelina alikuwa akiendelea kupiga picha na washiriki walimwomba wapige nae picha kwa ajili ya kutunza kumbukumbu, Diana aliamua kuondoka na kuelekea kwenye gari lake huku akilivua taji alilokuwa amepewa kama  mshindi wa pili na kulitupa chini kwa hasira na kupanda kwenye gari lake, akiwa anajianda kuwasha na kugeuza gari ili aondoke baba yake alifika,
"Binti yangu, naomba ushuke kwenye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

506
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

449
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

444
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

328
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

297
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

195
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

189
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

187
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*

150
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

128

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.71K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.15K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.92K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.79K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2 Post Mpya
ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 21------25 SEASON 2
@majario LIVE

SEHEMU YA 21 Nelly Nelly, niligeuka nyuma baada ya kuitwa alikuwa ni rafiki yangu Neema, Abeh umeniita kwa kunishtua una shida gani? Nilimuuliza. Nilisikia unatafuta tenda ya kazi? Ndio...

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 15*
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Ilinibidi niwe tu mpole, ila ushauri wa Ethan niliuona haufai kabisa kwa upande wangu, imagine nimempa zawadi jana tu harafu hizo siku za huko nyuma sijawahi kumfanyie hivi Harafu eti...

*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest