Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........23
Whatsapp..............0613083801

Sehemu iliyopita.....
Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler.........

ENDELEA NAYO......
Mr.James hakuwa nacha kuongea tena kwa binti yake zaidi ya kumuacha afanye maamuzi mwenyewe aliyoona ni sahihi kwake, alikaa kwa siku kadhaa na ata yeye akiwa kama mtu mzima alikuwa ameshaanza kuona kuna kitu kinachoendelea kati ya Diana na doctor Tayler.
Mpaka anarejea Tanzania alikuwa ameshaona mabadiliko makubwa kwa binti yake hasa ukaribu aliokuwa nao kwa Doctor Tayler.

Diana penzi la doctor Tayler lilimnogea wakiwa wamekaa pamoja Diana aliamua kufunguka kile kilicho moyoni mwake mbele ya mwanaume huyo,
"Tayler naomba unioe",Diana alijikuta yeye ndiyo anaomba ndoa mbele ya mwanaume huyo.
Habari ile kwa Tayler ilikuwa ni mapema sana hakutaka kuingia kwenye ndoa kwa wakati huo na alikuwa anasababu zake binafsi Doctor Tayler,
"Give me time Diana and the only thing which I want to say I will marry you  later (Nipe mda Diana na kitu pekee ningependa kusema nitakuoa hapo badae)"Doctor  Tayler aliongea.

Diana hakutaka kupingana na maneno ya mpenzi wake aliyaamini kwa asilimia zote.               

Miss Tanzania leo alipokea simu kutoka kwa Stewart,
"Angelina uliniahidi kuwa utatafuta mda maalumu wa kuongea na mimi",Stewart alisikika akimwomba Angelina atimize ahadi yake kama alivyokuwa amemuahidi.
"Ooh,Stewart mambo ni mengi na ratiba zinanibana sana ila kwakuwa umenikumbusha basi jioni ya leo naomba utafute sehemu nzuri ya mimi kuonana na wewe",Angelina aliongea na kukata simu.

"Oooh yes,safi kabisa kakubali",
Stewart alijikuta akishangilia kama mtoto na kujisahau kama yupo nyumbani kwao bira kujua kama maongezi yake yote  Mr.John alikuwa akiyasikia.
"Nani huyo kakubali ??",ilikuwa ni sauti ya baba yake iliyomshitua na kumfanya akose cha kuzungumza.

ila Mr.John siku hiyo alikuwa na maneno ya kuongea na kijana wake kwanza alimkalisha chini ili amsikilize anachomwambia na alimsihi amsikilize kwa  umakini sana,
"Wewe umeshakuwa sasa ndiyo mana sishangai kuona ukihangaika kutafuta mwenza wako wa maisha, ila kuna kitu kimoja tu umekisahau mwanangu",Mr.John aliongea.
"Kitu gani baba?",mwanae aliuliza.
"Umesahau kutengeneza future ya maisha yako tangu ulipotoka kusoma nje za nchi sijawahi kukuona ukiwa na juhudi za kutafuta kazi na mbaya zaidi, ata kujumuika na mimi katika biashara zangu huwa hujumuiki, na pia nafanya kazi na makampuni kadhaa ila Stewart hujawahi niambia nikufanyie mchakato wa kazi mwanangu kumbuka leo wazazi wako tupo hai kesho hatupo, inatakiwa utengeneze maisha yako Stewart kwanza wanawake utawapata tu huko badae",Mr.James alimwambia mwanae na kweli Stewart baba yake siku hiyo aliongea kitu cha mhimu sana kwa ajili ya kumkumbusha.
"Ni kweli baba nitafanyia kazi kile ulichoniambia"

Baada ya baba yake kuondoka aliona kweli kuna umhimu wa kufanya vile alivyoambiwa na Mr.John lakini haikumfanya asahau kama ana ahadi ya kuonana na mwanadada Angelina jioni ya siku hiyo.

Mwanadada Mary kama alivyopanga na ndicho alichokifanya alibadilisha mwonekano wake wa mavazi na kuvaa mavazi yaliyochoka na urembo wake kupotea kwa mda, kisha akenda kituoni na akiwa analia,
"Wewe dada tatizo nini mbona umekuja kituoni tena ukiwa na machozi",Afande alimuuliza mwanadada Mary.
"Afande nimefanyiwa ukatili, mimi nilikuwa nimshiriki katika mashindano ya kumtafuta mrembo wa taifa,nikiwa kama mshiriki kuna kijana aliyekuwa na nafasi kubwa kwenye ile kampuni ya FNF na mama yake ndiye aliyekuwa akitusimamia sisi katika mashindano, yule kijana kwa kuwa mama yake anafasi kubwa alinitishia na kunidanganya kuwa nitakuwa Miss Tanzania kama nikitembea nae kitendo ambacho nilikipinga ila badae alinitisha sana ikabidi nikubali na baada ya mda nikapata ujauzito......,
ukatili alionifanyia alinikamata akiwa na vijana wenzake nikapewa dawa ya kuitoa mimba bira ridhaa yangu mimi", Mary alitoa maelezo mengi mpaka yule asikari aliyekuwa anaandika maelezo alimpa pole mwanadada Mary.

Kwa maneno aliyozungumza Mary na kuifungua kesi palepale polisi waliongozana na Mary mpaka nyumbani kwa mwanamama katalina ili wakamuchukie kijana Albert.

Albert akiwa amekaa na mwanamama katalina  palepale walishanga hodi ikigongwa kwa fujo hali iliyomlazimu Mwanamama Katalina akaangalie ni nani huyo anayegonga mlango,alifika na kufungua mlango mwanamama katalina alishangaa sana kuona asikari polisi katika nyumba yake,
"Karibuni Afande", Mwanamama Katalina aliongea kwa hofu licha ya ukubwa alionao ila hofu ya neno polisi alikuwa nayo.
"Albert yupo wapi?", ndio swali la kwanza aliloulizwa na moja ya Afande huku wakiingia ndani.

Kwakuwa Albert alikuwa amekaa palepale hawakupata shida kumpata,

"Wewe ndiyo unaitwa Albert?", Afande aliuliza kwa mara nyingine.
"Ndio ni mimi"
"Binti njoo na usogee huku", baada ya Afande kumwita Mary palepale aliingia ndani na hapo ndipo Albert na Mwanamama Katalina walijua ni mchezo wa Mary alioamua kuwachezea na temu hii akitumia njia nyingine.
"Binti ndio huyu mtu mwenyewe"
"Ndio afanye ni yeye",

Aliongea huku analia mwanadada Mary na hakukuwa na mda tena kwani Albert alichukuliwa na kupelekwa polisi.

"Afande mmekosea huyu ni mwanangu na hana kosa lolote huyu binti ni muongo, naombeni muamini maneno yangu",mwanamama katalina alijaribu kuongea kumtetea mwanae.
"Tunakuheshimu sana na ndiyo mana tumekuja kwako kistarabu maelezo yote yataenda kutolewa polisi,aya mchukueni huyo kijana twende",

hawakuwa na utani ata kidogo kwani  Albert alichukuliwa na kupelekwa polisi.

               
Hatimae jioni ilifika na siku hiyo Stewart alivaa nguo za kitofauti kwani alivaa nguo ambazo hakuwahi kuzivaa hapo kabra na alimtafuta Angelina kumwelekeza ni sehemu gani wakutane ambae nae alikubali ila mda huo alikuwa na shoga yake Manka,
"Angelina usitake kuniambia wewe na Stewart tayali mambo yameshaanza kuiva",Manka aliongea.
"Nilijua tu yani ukisikia kitu wewe huachi kuongea,mimi na Stewart hamna chochote kile kinachoendelea kati yangu mimi na yeye aliniomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo",Angelina aliongea na mda huo alikuwa akimalizia kujianda.

Kijana Stewart alikuwa ameshafika katisa sehemu husika na alikuwa akimsubiria tu Angelina aweze kuwasili pale,
"Leo lazima nimwambie ukweli wa moyo wangu ata kama sitaongea maneno mengi ila lazima nitamke neno nakupenda",Stewart aliongea na ndani ya dekika kadhaa tu aliweza kuona gari ya Angelina ikiwasili pale.

Stewart alinyenyuka na kuifata gari ya Angelina, baadhi ya watu waliokuwa maeneo yale waliweza kuwashuhudia na watu wengine wakianza kuchukua picha na kurusha kwenye mitandao kwa sababu ya uwepo wa Angelina maeneo yale.

Stewart alimpeleka Angelina mpaka sehemu aliyoichagua yeye kwa ajili ya maongezi,
"Stewart naomba tuzungumze haraka tuondoke maeneo haya wewe mwenyewe unaona jinsi watu wanavyotuangalia na kuchukua video",Angelina aliongea lakini kile kitendo Stewart yeye alikuwa anakifurahia tu.
"Stewart naomba uniambie ni kipi ulichoniitia?",Angelina alizidi kuongea.

Stewart akifikilia anzeje kumwambia mwanadada Angelina ili amwelewe lakini aliamua kujikaza kiume na kutoa kile kilicho moyoni mwake.

"Angelina moyo wangu haupo huru tangu nilipokuona mara ya kwanza ila leo nataka niuweke huru moyo wangu"
"Una maana gani Stewart?"
"Angelina mimi nakupenda sana zaidi ya kukupenda, nimeona wanawake wengi wenye kila sifa lakini sijaona mtu wa kukufikia wewe, na sio kwa sababu wewe ni Miss Tanzania ila nakupenda kwakuwa wewe ni Anjelina Gerald, naomba ukubali kuwa mke wangu",Stewart alimaliza kuongea huku akisubiri kuona Angelina ata chukua maamuzi gani.

Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alichokuwa akikizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea....ITAENDELEA.

Angelina atamjibu nini Stewart na vipi kuhusu Albert aliyesingiziwa kesi na mwanadada Mary?,karibu katika sehemu inayofata.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........23
Whatsapp..............0613083801

Sehemu iliyopita.....
Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler.........

ENDELEA NAYO......
Mr.James hakuwa nacha kuongea tena kwa binti yake zaidi ya kumuacha afanye maamuzi mwenyewe aliyoona ni sahihi kwake, alikaa kwa siku kadhaa na ata yeye akiwa kama mtu mzima alikuwa ameshaanza kuona kuna kitu kinachoendelea kati ya Diana na doctor Tayler.
Mpaka anarejea Tanzania alikuwa ameshaona mabadiliko makubwa kwa binti yake hasa ukaribu aliokuwa nao kwa Doctor Tayler.

Diana penzi la doctor Tayler lilimnogea wakiwa wamekaa pamoja Diana aliamua kufunguka kile kilicho moyoni mwake mbele ya mwanaume huyo,
"Tayler naomba unioe",Diana alijikuta yeye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75

740
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77

681
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘

364
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘

237
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29

234
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*

222
REAL LOVE* Chapter 9

REAL LOVE* Chapter 9

103
REAL LOVE*  Chapter 10

REAL LOVE* Chapter 10

49
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5

46
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.82K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.66K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.04K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya  28 na 29 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 28 na 29
@majario LIVE

Basi bwana mie nikalidi kwangu. Ila.sikuwa sawa yani ile kuvishwa pete ina maana anaolewa . Ina maana inakuwaje hii. Aseeeee sikuwa naelewa ni wivu au ni nini ndo kinanisumbua ila...

*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *26 *SEASON TWO*
@majario LIVE

*SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA* Basi bwana mie nikamuoa fatuma na nilikaa nae nyumbani kama weeek. Kwa uo mda lemi ye alinishanitangulia . Yani alishaondoka baada ya mimi kuoa tu....

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 49💘💘
@majario LIVE

Nilipokea lile box huku mikono yangu ikiwa inatetemeka sana isijekuwa talaka kabla ya ndoa😌😌 Isabella baada ya kunipatia kile kijibox yeye aliniaga akaondoka nilikichunguza kile kibox kilikuwa na mwonekano...

REAL LOVE* Chapter 9 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 9
@majario LIVE

upande mwingine nyumbani kwa mama seven familia mbili zote zilikutana familia ya cathe na seven, wote walikuwa kwenye sintofaham familia ya cathe hawakuamini kabisa kama mtoto wao anaweza mufanya hivo, walikaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
@majario LIVE

Kweli bwana .baada ya week mbili .mlige alikuja nyunbani kuongea na baba. Sielewi ata waliongea nn. Ila ilikuw ni kumuelezea baba kuwa kanipenda na anahitaji kunitolea barua ili nikimaliza chuo...

MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuvaaa. Akanipa vidonge viwili et meza jana nimepitiwa nimemwagia ndani. Na kweli game ya jana ilikuwa moto. Mlige hakukumbuka kumwagia njeee kabisa mabao mengine. Mie nikawa nishaelewa. Ni...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 48💘💘
@majario LIVE

Ilifika usiku mida kama ya saa nne hivi nilikuwa bado cjaweka kitu chochote tumboni kwangu bado nilikuwa nimejifungia chumbani kwangu nalia tu..... Boo alikuwa bado hapokei simu ya mtu yeyote........

REAL LOVE*  Chapter 8 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 8
@majario LIVE

machozi yalimtoka kwelikweli daktari alimuonea sana huruma, seven aliliona hilo lakini ndo hakuwa na jinsi aliwaza sana afanye nini ili aeleweke kwa binti huyo, daktari alimaliza kumpima kisha akampa pole fahima...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 10 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 10
@majario LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Kumbe bibi nacho alikuwa amewafungia wale wali walipojaribu kutoka walishindwa. " Jamani mlango umefungwa ila si yupo na mlinzi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest