Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........23
Whatsapp..............0613083801

Sehemu iliyopita.....
Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler.........

ENDELEA NAYO......
Mr.James hakuwa nacha kuongea tena kwa binti yake zaidi ya kumuacha afanye maamuzi mwenyewe aliyoona ni sahihi kwake, alikaa kwa siku kadhaa na ata yeye akiwa kama mtu mzima alikuwa ameshaanza kuona kuna kitu kinachoendelea kati ya Diana na doctor Tayler.
Mpaka anarejea Tanzania alikuwa ameshaona mabadiliko makubwa kwa binti yake hasa ukaribu aliokuwa nao kwa Doctor Tayler.

Diana penzi la doctor Tayler lilimnogea wakiwa wamekaa pamoja Diana aliamua kufunguka kile kilicho moyoni mwake mbele ya mwanaume huyo,
"Tayler naomba unioe",Diana alijikuta yeye ndiyo anaomba ndoa mbele ya mwanaume huyo.
Habari ile kwa Tayler ilikuwa ni mapema sana hakutaka kuingia kwenye ndoa kwa wakati huo na alikuwa anasababu zake binafsi Doctor Tayler,
"Give me time Diana and the only thing which I want to say I will marry you  later (Nipe mda Diana na kitu pekee ningependa kusema nitakuoa hapo badae)"Doctor  Tayler aliongea.

Diana hakutaka kupingana na maneno ya mpenzi wake aliyaamini kwa asilimia zote.               

Miss Tanzania leo alipokea simu kutoka kwa Stewart,
"Angelina uliniahidi kuwa utatafuta mda maalumu wa kuongea na mimi",Stewart alisikika akimwomba Angelina atimize ahadi yake kama alivyokuwa amemuahidi.
"Ooh,Stewart mambo ni mengi na ratiba zinanibana sana ila kwakuwa umenikumbusha basi jioni ya leo naomba utafute sehemu nzuri ya mimi kuonana na wewe",Angelina aliongea na kukata simu.

"Oooh yes,safi kabisa kakubali",
Stewart alijikuta akishangilia kama mtoto na kujisahau kama yupo nyumbani kwao bira kujua kama maongezi yake yote  Mr.John alikuwa akiyasikia.
"Nani huyo kakubali ??",ilikuwa ni sauti ya baba yake iliyomshitua na kumfanya akose cha kuzungumza.

ila Mr.John siku hiyo alikuwa na maneno ya kuongea na kijana wake kwanza alimkalisha chini ili amsikilize anachomwambia na alimsihi amsikilize kwa  umakini sana,
"Wewe umeshakuwa sasa ndiyo mana sishangai kuona ukihangaika kutafuta mwenza wako wa maisha, ila kuna kitu kimoja tu umekisahau mwanangu",Mr.John aliongea.
"Kitu gani baba?",mwanae aliuliza.
"Umesahau kutengeneza future ya maisha yako tangu ulipotoka kusoma nje za nchi sijawahi kukuona ukiwa na juhudi za kutafuta kazi na mbaya zaidi, ata kujumuika na mimi katika biashara zangu huwa hujumuiki, na pia nafanya kazi na makampuni kadhaa ila Stewart hujawahi niambia nikufanyie mchakato wa kazi mwanangu kumbuka leo wazazi wako tupo hai kesho hatupo, inatakiwa utengeneze maisha yako Stewart kwanza wanawake utawapata tu huko badae",Mr.James alimwambia mwanae na kweli Stewart baba yake siku hiyo aliongea kitu cha mhimu sana kwa ajili ya kumkumbusha.
"Ni kweli baba nitafanyia kazi kile ulichoniambia"

Baada ya baba yake kuondoka aliona kweli kuna umhimu wa kufanya vile alivyoambiwa na Mr.John lakini haikumfanya asahau kama ana ahadi ya kuonana na mwanadada Angelina jioni ya siku hiyo.

Mwanadada Mary kama alivyopanga na ndicho alichokifanya alibadilisha mwonekano wake wa mavazi na kuvaa mavazi yaliyochoka na urembo wake kupotea kwa mda, kisha akenda kituoni na akiwa analia,
"Wewe dada tatizo nini mbona umekuja kituoni tena ukiwa na machozi",Afande alimuuliza mwanadada Mary.
"Afande nimefanyiwa ukatili, mimi nilikuwa nimshiriki katika mashindano ya kumtafuta mrembo wa taifa,nikiwa kama mshiriki kuna kijana aliyekuwa na nafasi kubwa kwenye ile kampuni ya FNF na mama yake ndiye aliyekuwa akitusimamia sisi katika mashindano, yule kijana kwa kuwa mama yake anafasi kubwa alinitishia na kunidanganya kuwa nitakuwa Miss Tanzania kama nikitembea nae kitendo ambacho nilikipinga ila badae alinitisha sana ikabidi nikubali na baada ya mda nikapata ujauzito......,
ukatili alionifanyia alinikamata akiwa na vijana wenzake nikapewa dawa ya kuitoa mimba bira ridhaa yangu mimi", Mary alitoa maelezo mengi mpaka yule asikari aliyekuwa anaandika maelezo alimpa pole mwanadada Mary.

Kwa maneno aliyozungumza Mary na kuifungua kesi palepale polisi waliongozana na Mary mpaka nyumbani kwa mwanamama katalina ili wakamuchukie kijana Albert.

Albert akiwa amekaa na mwanamama katalina  palepale walishanga hodi ikigongwa kwa fujo hali iliyomlazimu Mwanamama Katalina akaangalie ni nani huyo anayegonga mlango,alifika na kufungua mlango mwanamama katalina alishangaa sana kuona asikari polisi katika nyumba yake,
"Karibuni Afande", Mwanamama Katalina aliongea kwa hofu licha ya ukubwa alionao ila hofu ya neno polisi alikuwa nayo.
"Albert yupo wapi?", ndio swali la kwanza aliloulizwa na moja ya Afande huku wakiingia ndani.

Kwakuwa Albert alikuwa amekaa palepale hawakupata shida kumpata,

"Wewe ndiyo unaitwa Albert?", Afande aliuliza kwa mara nyingine.
"Ndio ni mimi"
"Binti njoo na usogee huku", baada ya Afande kumwita Mary palepale aliingia ndani na hapo ndipo Albert na Mwanamama Katalina walijua ni mchezo wa Mary alioamua kuwachezea na temu hii akitumia njia nyingine.
"Binti ndio huyu mtu mwenyewe"
"Ndio afanye ni yeye",

Aliongea huku analia mwanadada Mary na hakukuwa na mda tena kwani Albert alichukuliwa na kupelekwa polisi.

"Afande mmekosea huyu ni mwanangu na hana kosa lolote huyu binti ni muongo, naombeni muamini maneno yangu",mwanamama katalina alijaribu kuongea kumtetea mwanae.
"Tunakuheshimu sana na ndiyo mana tumekuja kwako kistarabu maelezo yote yataenda kutolewa polisi,aya mchukueni huyo kijana twende",

hawakuwa na utani ata kidogo kwani  Albert alichukuliwa na kupelekwa polisi.

               
Hatimae jioni ilifika na siku hiyo Stewart alivaa nguo za kitofauti kwani alivaa nguo ambazo hakuwahi kuzivaa hapo kabra na alimtafuta Angelina kumwelekeza ni sehemu gani wakutane ambae nae alikubali ila mda huo alikuwa na shoga yake Manka,
"Angelina usitake kuniambia wewe na Stewart tayali mambo yameshaanza kuiva",Manka aliongea.
"Nilijua tu yani ukisikia kitu wewe huachi kuongea,mimi na Stewart hamna chochote kile kinachoendelea kati yangu mimi na yeye aliniomba tuonane kwa ajili ya mazungumzo",Angelina aliongea na mda huo alikuwa akimalizia kujianda.

Kijana Stewart alikuwa ameshafika katisa sehemu husika na alikuwa akimsubiria tu Angelina aweze kuwasili pale,
"Leo lazima nimwambie ukweli wa moyo wangu ata kama sitaongea maneno mengi ila lazima nitamke neno nakupenda",Stewart aliongea na ndani ya dekika kadhaa tu aliweza kuona gari ya Angelina ikiwasili pale.

Stewart alinyenyuka na kuifata gari ya Angelina, baadhi ya watu waliokuwa maeneo yale waliweza kuwashuhudia na watu wengine wakianza kuchukua picha na kurusha kwenye mitandao kwa sababu ya uwepo wa Angelina maeneo yale.

Stewart alimpeleka Angelina mpaka sehemu aliyoichagua yeye kwa ajili ya maongezi,
"Stewart naomba tuzungumze haraka tuondoke maeneo haya wewe mwenyewe unaona jinsi watu wanavyotuangalia na kuchukua video",Angelina aliongea lakini kile kitendo Stewart yeye alikuwa anakifurahia tu.
"Stewart naomba uniambie ni kipi ulichoniitia?",Angelina alizidi kuongea.

Stewart akifikilia anzeje kumwambia mwanadada Angelina ili amwelewe lakini aliamua kujikaza kiume na kutoa kile kilicho moyoni mwake.

"Angelina moyo wangu haupo huru tangu nilipokuona mara ya kwanza ila leo nataka niuweke huru moyo wangu"
"Una maana gani Stewart?"
"Angelina mimi nakupenda sana zaidi ya kukupenda, nimeona wanawake wengi wenye kila sifa lakini sijaona mtu wa kukufikia wewe, na sio kwa sababu wewe ni Miss Tanzania ila nakupenda kwakuwa wewe ni Anjelina Gerald, naomba ukubali kuwa mke wangu",Stewart alimaliza kuongea huku akisubiri kuona Angelina ata chukua maamuzi gani.

Angelina hakuamini kusikia yale maneno kutoka kwa kijana Stewart na alipomtazama usoni macho ya stewart yalimaanisha kile alichokuwa akikizungumza kina ukweli, Angelina alifungua kichwa chake na kuongea....ITAENDELEA.

Angelina atamjibu nini Stewart na vipi kuhusu Albert aliyesingiziwa kesi na mwanadada Mary?,karibu katika sehemu inayofata.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........23
Whatsapp..............0613083801

Sehemu iliyopita.....
Diana aliongea na alimaanisha kile alichokiongea mana tayali alikuwa kwenye penzi zito kwa wakati huo na doctor Tayler.........

ENDELEA NAYO......
Mr.James hakuwa nacha kuongea tena kwa binti yake zaidi ya kumuacha afanye maamuzi mwenyewe aliyoona ni sahihi kwake, alikaa kwa siku kadhaa na ata yeye akiwa kama mtu mzima alikuwa ameshaanza kuona kuna kitu kinachoendelea kati ya Diana na doctor Tayler.
Mpaka anarejea Tanzania alikuwa ameshaona mabadiliko makubwa kwa binti yake hasa ukaribu aliokuwa nao kwa Doctor Tayler.

Diana penzi la doctor Tayler lilimnogea wakiwa wamekaa pamoja Diana aliamua kufunguka kile kilicho moyoni mwake mbele ya mwanaume huyo,
"Tayler naomba unioe",Diana alijikuta yeye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

941
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 54 na 55

628
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

610
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘

437
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57

421
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

406
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

254
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

246
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

218
MY CRAZY BOSS 06

MY CRAZY BOSS 06

95

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.2K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.32K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.31K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Hatimae mda wa vipindi ulianza na siku hii nilikuwa na kipindi cha asubuhi kwa kidato cha tatu nilikuwa natakiwa kwenda kuwafundisha geography Basi nikaelekea darasani, kufika humo nakuta wanafunzi hawatulii...

MY WANGU❤️ sehemu ya 108 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
@majario LIVE

Mh na mimi nikaanza kulia. Aseeee hakukuwa na kuoga tena. Mana niliona mlige . Anazidi kulia na ata simuelewi tena..ikabidi mimi ndo nijikaze sasa. Nikafunga bomba. Nikachukua taulo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘
@majario LIVE

Ni nani jina la huyo mwanamke aliyejifungua?! Nilimuuliza eve aliniambia jina lake ni lia Stanley.... lia lia lia...... kwanini huachi ndoa yangu ikawa na amani nikufanyie nini ewe mwanamke ili...

What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English Post Mpya
What’s a German food you could eat every day and never get tired of? English
@majario LIVE

If I had to choose one German food I could eat every day and never get tired of, it would be Brötchen—those small, crusty bread rolls that are everywhere in...

MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu! Post Mpya
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
@majario LIVE

Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko mwanzoni nilijua kuwa matatizo ni ya mke wangu, akawa...

When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap Post Mpya
When Saif Ali Khan married Amrita Singh in 1991, it honestly felt like Bollywood didn’t see it coming. A 12-year age gap
@majario LIVE

, totally different career phases, and zero interest in pleasing society—it was bold for that time. There was no big media circus, no flashy wedding photos splashed everywhere. Just a...

Sad news from the film fraternity 💔  Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60 Post Mpya
Sad news from the film fraternity 💔 Veteran actress Pravina Deshpande has passed away at the age of 60
@majario LIVE

. She was known for her performances in films like Ready, Jalebi, and Taskaree, leaving behind memorable moments on screen. An artist gone, but her work will continue to live on 🎬✨ May...

Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1 Post Mpya
Boost Earnings from Your DE Traffic & Grab Your Bonus! Image #1
@majario LIVE

This week, all eyes are on Germany! Why? Because you can earn a 10% bonus when you increase your Germany earnings by 25% or more compared to the previous week. What...

MY CRAZY BOSS 06 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 06
@majario LIVE

Majira ya saa saba yalifika ambapo mimi na boss tuliongozana wote hadi kwenye kikao Kama ilivyodesturi boss wangu yupo smart kweli kweli, watu wote wanamwogopa na kumuheshimu hana masihars kabisa kwenye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 66...67💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 66...67💘💘
@majario LIVE

Mmmhhhh namba ni ya nani hii😪😪 yani saizi huyu mwanaume simuachi hata kitokee kitu gani🌚🌚 yani nasemaje nitampenda yeye na hao mademu zake sina muda wa kuanza kutafuta mahusiano mapya...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama wote😂😂😂kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest