Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi yao ili waweze kujitangaza kibiashara zaidi, na kila mshiriki alisubiri kwa hamu siku iweze kufika.

Mary alimua amtafute Albert,
"Albert unakumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa", alikuwa ni Mary aliyekuwa akiongea na hii ilimfanya Albert kukaa kimya huku akimsikiliza mwanadada huyo.
"Nakumbuka lakini mimi nitafanya nini ikiwa sipo sehemu ya watu watakao husika kupiga kura kwa ajili ya kumchagua mushindi?",Albert alijibu kiutaratibu na kiukweli alikuwa ameshikwa na kushikika na mwanadada Mary.
"Namba yangu ya ushiriki unaijua nenda kaongee na mama yako awashawishi majaji wawe upande wangu siku hiyo, mimi ninachotaka niushindi tu tumia njia yoyote ile unaoijua wewe ilimradi niwe Miss Tanzania vinginevyo utampoteza mama yako mzazi, naondoka Albert tukutane siku ya mashindano",Mary aliongea nakuondoka.

Albert alibaki mwenye mawazo asijue cha kufanya kwa kile alichoambiwa na Mary,
"Huyu asinifanye mimi mtoto mdogo ngoja tuone baada ya mashindano nini atafanya kwa mama yangu,sitafanya kile anachokitaka na mama yangu hatopata tatizo lolote lile", Alibert sasa aliamua kushikilia msimamo wake kama mwanaume.

Siku mbili ziliisha na siku ya tukio ya kumchagua mrembo wa taifa ilifika na kila mtu aliusubiri usiku huo kwa hamu kila mwanadada alikuwa na uhakika wa kuibuka mshindi mbele ya wenzake.
Mwanadada Diana mawasiliano na Stewart yaliongezeka zaidi siku hadi siku na ilifika mda ata Mr.James mwenyewe alitokea kumkubali kijana Stewart na hii ikamfanya Stewart awe na uhuru wa kwenda nyumbani kwao Diana mara kwa mara na ata siku hiyo aliamua kuja kwa ajili ya kufanya maongezi na Diana,
"Diana leo ni siku uliyokuwa ukiisubiri kwa hamu sana naamini usiku wa leo lazima utaibuka mshindi na utakuwa Miss Tanzania wa huu mwaka",Stewart aliongea.
"Nashukuru kwa kunitia moyo ila kuna mtu nilitegemea ndiyo atakuwa msaada wangu wa kuifanya kazi hii iwe nyepesi lakini nae naona kama hajali kabisa",Daina aliongea akimaanisha Albert.
"Mtu gani huyo?"
"Sio lazima sana umjue, kikubwa nahitaji uwepo wako usiku wa leo hakikisha unakuja kuniunga mkono", Diana aliamua abindishe mada hakutaka kuongea kiundani zaidi.
"Tena sio mimi tu nitakuja na wazazi wangu Mr.John na Mrs.John"
"Hahahahaha, mtoto wa mzee John unamaneno".
"Eheee vip kuhusu Mr.James atakuwepo kwenye siku hii mhimu Diana?",Stewart alimuuliza akimaanisha baba yake mzazi.
"Ndio mzazi niliyenae lazima aje atake asitake".

Walikuwa wameshazoeana kwa kiasi kikubwa sana na utani kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida kati ya Diana na Stewart.

Upande wa Albert mawazo yalikuwa kwa mama yake mzazi na alisahau ata kumtafuta Diana siku hiyo alipokuwa nyumbani kwao macho yake yote yalikuwa kwa mwanamama katalina.
"Leo mbona unaniangalia ivyo shida nini Albert mwanangu?"
Mwanamama katalina alimuuliza mwanae.
"Hapana mama ila najiuliza leo nani atakayeibuka mshindi na natamani pia mwaka kesho kampuni letu lipewe hii tenda ya kusimamia tena mashindano yajayo",Albert aliongea.
"Albert kweli umekuwa sasa ivi mwanangu na unaongea mambo yenye kujenga tofauti na zamani lakini inakupaswa ujiandae na wewe hatuna mda wa kupoteza",Mwanamama katalina aliongea na kuelekea chumbani kwake.
"Yani leo siwezi kukaa mbali na wewe mama ata dekika moja nitakuwa na wewe kila sehemu kuhakikisha unakuwa salama", Albert aliongea baada ya mama yake kuondoka.

Angelina nae alikuwa kwenye maandalizi makubwa siku hiyo na alimchukua rafiki yake Manka amfanyie make up itakayomfanya apendeze zaidi ya wengine,
"Angelina sioni mtu wa kukushinda amini maneno yangu na baada ya masaa machache yajayo utakuja kuamini hichi ninachokwambia", Manka aliongea.
"Manka tafadhali acha maneno yako nakujua vizuri ukianza kuongea hapa utaifanya ata hii make up ukiyonipaka ifutike mana unajua kunipa plesha wewe", Angelina aliongea.

Walipokuwa wakiendelea kuongea huku Manka akimpamba rafiki yake mwanamama Beatrice alifika na kumsogelea binti yake,
"Mwanangu leo hakikisha unashinda na pia kuna jambo la mana nitakwambiwa siku ya leo", maneno ya mwanamama Beatrice yalimfanya mwanae Angelina amtazame mama yake nakumuuliza,
"Jambo gani hilo mama?"
"Sio wakati wake sasa ivi kukwambia nenda kwanza ukashinde kisha baada ya hapo nitakweleza kila kitu",Mwanamama Beatrice hakutaka kumwambia mwanae kwa wakati huo.

Angelina alikubali kishingo upande na kuendelea na maandalizi.

Usiku uliokuwa unasubiliwa kwa hamu uliweza kufika wanahabari walijazana kwenye ukimbi huo maarufu kwa ajili ya kuchukua habari na matukio mbalimbali,
Washiriki wote walikuwa wameshawasili sehemu ya tukio na kila mwanadada siku hiyo alipendeza isivyo kawaida,
"Mary unauhakika lakini umeweka mipango sawa isije kuwa unaniambia tu hapa kuwa lazima ushinde ukaja kushindwa",Faith aliongea.
"Acha ujinga yule tayali nimeshamvuluga akili yake tena unatakiwa unyamaze kabisa watu wasije kukusikia ukaharibu mipango yangu bure na hapa kuna waandishi wa habari wa kutosha sitaki uivuluge siku yangu Faith",
"Mmmmh haya sisi washindi wa pili ngoja tusogee", Faith aliongea.

Baada ya kuhakikishiwa na Mary kuwa atakuwa mshindi wa pili na yeye atakuwa mshindi wa kwanza alianza kusogea sehemu ya tukio husika.

Majaji zaidi ya watano walifika kwa ajili ya kuanza zoezi na mmoja wao akiwa ni mwanamama katalina akiwa na majaji wenzake.
Washiriki walisogea na zoezi lilianza lasimi.

Washiriki wenye namba za mwanzoni kila mmoja wao alianza kupita kwa kutembea kimadoido nakuongea kingeleza mbele ya umati uliokuwa pale na ilifika zamu ya mwanadada Mary ambae aliamini kabisa pale anaenda kutekeleza wajibu tu wa kufanya kama washiriki wenzake wanavyofanya ila hamna atakaye kuwa mshindi zaidi yake yeye, hii ilimpunguzia umakini na hakutembea vizuri kama wenzake walivyofanya na ata alipoanza kuongea bado aliongea ilimradi tu hali iliyofanya ata majaji waliokuwa wamekaa pale wengi wao hawakufurahisha na kile alichokifanya na ata rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake akiamini ushindi ni wa kwao.

Zamu ya mwanadada Diana ilifika,
Mr.James alifurahi kumuona mwanae lakini alivyotazama majaji walipokuwa wamekaa alimuona mwanamama katalina hii ikazidi kumkasilisha zaidi.

Stewart nae alikuwa amekaa pamoja na wazazi wake walipomuona Diana wote walipiga makofi ishara ya kuwa wapo pamoja nae.

Diana alisogea mpaka kwenye stage nakuanza kutembea kimadoido na hii kuwafanya majaji wengi wafurahishwe na kile alichokifanya kwani alikuwa anajiamini sana ila ilikuwa tofauti kwa mwanamama katalina ambae yeye kwake hakuona maajabu yoyote Diana aliyoyaonyesha na ata Diana alivyoanza kuongea kiingeleza bado kilikuwa kimenyooka na kuzidi kuwafurahisha wote waliokuwa pale.

Majaji wengi walishika kalamu zao nakumpa marks za juu Diana karibu wote walimpa marks za juu.
"Mimi naona huyu ndiyo atakuwa mshindi wetu japo ni mzunguko wa kwanza tu ila sizani kama kuna mtu atakuja kumfikia",Jaji mmoja aliongea aliyekuwa amekaa karibu na mwanamama katalina aliyeyasikia yale maneno.
"Bado kuna washiriki wengine Mr na mizinguko bado ipo mingine kuna watakao fanya vizuri kuliko ata huyo aliyepita", Mwanamama katalina aliongea ili kusitisha mazungumzo yao kumuongelea Diana.
Na mda huo Diana alikuwa akiondoka huku watu wengi wakimpongeza, na washiriki wengine walipita mpaka pale ilipokuja kufika zamu ya mwanadada Angelina ambaye naye temu hii alikuwa tofauti kwani alijiamini isivyo kawaida.

Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake uliokuwa wa kitofauti na hii kuwafanya watu wote ukumbini wakae kimya...ITAENDELEA.

Nani atakaye nyakua taji la Miss Tanzania karibu katika hatua inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.2K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49

1.15K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

533
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

243
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

81
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

31
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest