Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11

19th Apr, 2025 Views 6

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........11
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Hii ilimaanisha kuwa ameapa kuwa mshindani na sio msindikizaji kwa wenzake kauli aliyozungumza ilimfurahisha sana mwanamama katalina...

ENDELEA NAYO....
Baada ya Angelina kuamua kutokukata tamaa na kuipambania nafasi ya kuwa  Miss Tanzania mambo yalibadilika kwani alianza kuonyesha ushindani wa hali ya juu na ata baadhi ya washirika wenzake walianza kuona mabadiliko kutoka kwake hali iliyowafanya wasahau ata lile tukio la kuanguka na video yake kusambaa, huku Albert akimuahidi Mary kuwa lazima awe Miss Tanzania.

Siku nazo zilisogea sasa zilibaki siku mbili tu kwa ajili ya mashindano kufanyika.
Makampuni mbalimbali ya mavazi na wafanyabiashara wakubwa walitoa uthamini kwa washiriki mbalimbali kutumia bidhaa za mavazi yao ili waweze kujitangaza kibiashara zaidi, na kila mshiriki alisubiri kwa hamu siku iweze kufika.

Mary alimua amtafute Albert,
"Albert unakumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa", alikuwa ni Mary aliyekuwa akiongea na hii ilimfanya Albert kukaa kimya huku akimsikiliza mwanadada huyo.
"Nakumbuka lakini mimi nitafanya nini ikiwa sipo sehemu ya watu watakao husika kupiga kura kwa ajili ya kumchagua mushindi?",Albert alijibu kiutaratibu na kiukweli alikuwa ameshikwa na kushikika na mwanadada Mary.
"Namba yangu ya ushiriki unaijua nenda kaongee na mama yako awashawishi majaji wawe upande wangu siku hiyo, mimi ninachotaka niushindi tu tumia njia yoyote ile unaoijua wewe ilimradi niwe Miss Tanzania vinginevyo utampoteza mama yako mzazi, naondoka Albert tukutane siku ya mashindano",Mary aliongea nakuondoka.

Albert alibaki mwenye mawazo asijue cha kufanya kwa kile alichoambiwa na Mary,
"Huyu asinifanye mimi mtoto mdogo ngoja tuone baada ya mashindano nini atafanya kwa mama yangu,sitafanya kile anachokitaka na mama yangu hatopata tatizo lolote lile", Alibert sasa aliamua kushikilia msimamo wake kama mwanaume.

Siku mbili ziliisha na siku ya tukio ya kumchagua mrembo wa taifa ilifika na kila mtu aliusubiri usiku huo kwa hamu kila mwanadada alikuwa na uhakika wa kuibuka mshindi mbele ya wenzake.
Mwanadada Diana mawasiliano na Stewart yaliongezeka zaidi siku hadi siku na ilifika mda ata Mr.James mwenyewe alitokea kumkubali kijana Stewart na hii ikamfanya Stewart awe na uhuru wa kwenda nyumbani kwao Diana mara kwa mara na ata siku hiyo aliamua kuja kwa ajili ya kufanya maongezi na Diana,
"Diana leo ni siku uliyokuwa ukiisubiri kwa hamu sana naamini usiku wa leo lazima utaibuka mshindi na utakuwa Miss Tanzania wa huu mwaka",Stewart aliongea.
"Nashukuru kwa kunitia moyo ila kuna mtu nilitegemea ndiyo atakuwa msaada wangu wa kuifanya kazi hii iwe nyepesi lakini nae naona kama hajali kabisa",Daina aliongea akimaanisha Albert.
"Mtu gani huyo?"
"Sio lazima sana umjue, kikubwa nahitaji uwepo wako usiku wa leo hakikisha unakuja kuniunga mkono", Diana aliamua abindishe mada hakutaka kuongea kiundani zaidi.
"Tena sio mimi tu nitakuja na wazazi wangu Mr.John na Mrs.John"
"Hahahahaha, mtoto wa mzee John unamaneno".
"Eheee vip kuhusu Mr.James atakuwepo kwenye siku hii mhimu Diana?",Stewart alimuuliza akimaanisha baba yake mzazi.
"Ndio mzazi niliyenae lazima aje atake asitake".

Walikuwa wameshazoeana kwa kiasi kikubwa sana na utani kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida kati ya Diana na Stewart.

Upande wa Albert mawazo yalikuwa kwa mama yake mzazi na alisahau ata kumtafuta Diana siku hiyo alipokuwa nyumbani kwao macho yake yote yalikuwa kwa mwanamama katalina.
"Leo mbona unaniangalia ivyo shida nini Albert mwanangu?"
Mwanamama katalina alimuuliza mwanae.
"Hapana mama ila najiuliza leo nani atakayeibuka mshindi na natamani pia mwaka kesho kampuni letu lipewe hii tenda ya kusimamia tena mashindano yajayo",Albert aliongea.
"Albert kweli umekuwa sasa ivi mwanangu na unaongea mambo yenye kujenga tofauti na zamani lakini inakupaswa ujiandae na wewe hatuna mda wa kupoteza",Mwanamama katalina aliongea na kuelekea chumbani kwake.
"Yani leo siwezi kukaa mbali na wewe mama ata dekika moja nitakuwa na wewe kila sehemu kuhakikisha unakuwa salama", Albert aliongea baada ya mama yake kuondoka.

Angelina nae alikuwa kwenye maandalizi makubwa siku hiyo na alimchukua rafiki yake Manka amfanyie make up itakayomfanya apendeze zaidi ya wengine,
"Angelina sioni mtu wa kukushinda amini maneno yangu na baada ya masaa machache yajayo utakuja kuamini hichi ninachokwambia", Manka aliongea.
"Manka tafadhali acha maneno yako nakujua vizuri ukianza kuongea hapa utaifanya ata hii make up ukiyonipaka ifutike mana unajua kunipa plesha wewe", Angelina aliongea.

Walipokuwa wakiendelea kuongea huku Manka akimpamba rafiki yake mwanamama Beatrice alifika na kumsogelea binti yake,
"Mwanangu leo hakikisha unashinda na pia kuna jambo la mana nitakwambiwa siku ya leo", maneno ya mwanamama Beatrice yalimfanya mwanae Angelina amtazame mama yake nakumuuliza,
"Jambo gani hilo mama?"
"Sio wakati wake sasa ivi kukwambia nenda kwanza ukashinde kisha baada ya hapo nitakweleza kila kitu",Mwanamama Beatrice hakutaka kumwambia mwanae kwa wakati huo.

Angelina alikubali kishingo upande na kuendelea na maandalizi.

Usiku uliokuwa unasubiliwa kwa hamu uliweza kufika wanahabari walijazana kwenye ukimbi huo maarufu kwa ajili ya kuchukua habari na matukio mbalimbali,
Washiriki wote walikuwa wameshawasili sehemu ya tukio na kila mwanadada siku hiyo alipendeza isivyo kawaida,
"Mary unauhakika lakini umeweka mipango sawa isije kuwa unaniambia tu hapa kuwa lazima ushinde ukaja kushindwa",Faith aliongea.
"Acha ujinga yule tayali nimeshamvuluga akili yake tena unatakiwa unyamaze kabisa watu wasije kukusikia ukaharibu mipango yangu bure na hapa kuna waandishi wa habari wa kutosha sitaki uivuluge siku yangu Faith",
"Mmmmh haya sisi washindi wa pili ngoja tusogee", Faith aliongea.

Baada ya kuhakikishiwa na Mary kuwa atakuwa mshindi wa pili na yeye atakuwa mshindi wa kwanza alianza kusogea sehemu ya tukio husika.

Majaji zaidi ya watano walifika kwa ajili ya kuanza zoezi na mmoja wao akiwa ni mwanamama katalina akiwa na majaji wenzake.
Washiriki walisogea na zoezi lilianza lasimi.

Washiriki wenye namba za mwanzoni kila mmoja wao alianza kupita kwa kutembea kimadoido nakuongea kingeleza mbele ya umati uliokuwa pale na ilifika zamu ya mwanadada Mary ambae aliamini kabisa pale anaenda kutekeleza wajibu tu wa kufanya kama washiriki wenzake wanavyofanya ila hamna atakaye kuwa mshindi zaidi yake yeye, hii ilimpunguzia umakini na hakutembea vizuri kama wenzake walivyofanya na ata alipoanza kuongea bado aliongea ilimradi tu hali iliyofanya ata majaji waliokuwa wamekaa pale wengi wao hawakufurahisha na kile alichokifanya na ata rafiki yake Faith nae alijitahidi kwa kiasi chake akiamini ushindi ni wa kwao.

Zamu ya mwanadada Diana ilifika,
Mr.James alifurahi kumuona mwanae lakini alivyotazama majaji walipokuwa wamekaa alimuona mwanamama katalina hii ikazidi kumkasilisha zaidi.

Stewart nae alikuwa amekaa pamoja na wazazi wake walipomuona Diana wote walipiga makofi ishara ya kuwa wapo pamoja nae.

Diana alisogea mpaka kwenye stage nakuanza kutembea kimadoido na hii kuwafanya majaji wengi wafurahishwe na kile alichokifanya kwani alikuwa anajiamini sana ila ilikuwa tofauti kwa mwanamama katalina ambae yeye kwake hakuona maajabu yoyote Diana aliyoyaonyesha na ata Diana alivyoanza kuongea kiingeleza bado kilikuwa kimenyooka na kuzidi kuwafurahisha wote waliokuwa pale.

Majaji wengi walishika kalamu zao nakumpa marks za juu Diana karibu wote walimpa marks za juu.
"Mimi naona huyu ndiyo atakuwa mshindi wetu japo ni mzunguko wa kwanza tu ila sizani kama kuna mtu atakuja kumfikia",Jaji mmoja aliongea aliyekuwa amekaa karibu na mwanamama katalina aliyeyasikia yale maneno.
"Bado kuna washiriki wengine Mr na mizinguko bado ipo mingine kuna watakao fanya vizuri kuliko ata huyo aliyepita", Mwanamama katalina aliongea ili kusitisha mazungumzo yao kumuongelea Diana.
Na mda huo Diana alikuwa akiondoka huku watu wengi wakimpongeza, na washiriki wengine walipita mpaka pale ilipokuja kufika zamu ya mwanadada Angelina ambaye naye temu hii alikuwa tofauti kwani alijiamini isivyo kawaida.

Alivyotokeza mbele ya umati karibu kila mtu alishangaa kuona tabasamu la mwanadada Angelina na utembeaji wake uliokuwa wa kitofauti na hii kuwafanya watu wote ukumbini wakae kimya...ITAENDELEA.

Nani atakaye nyakua taji la Miss Tanzania karibu katika hatua inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
Your settings were saved successfully!
Something went wrong!
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 09

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 08

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 07

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 06

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP 05

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 4

mjukuu rewards 0
 

SHANGATISA EP: 3

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: {02}

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA. EP: 1

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 08

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (06 & 07)

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 05

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 04

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 03

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU (01& 02)

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 01

mjukuu rewards 0
 

MTOTO WA GETI KALI 1 - 6

mjukuu rewards 0
 

MIMI SIO KICHAA

mrindia rewards 0
 

SITOMWACHA HATA IWEJE

mjukuu rewards 0
 

BINTI MCHAWI

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest