Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28

26th Apr, 2025 Views 64

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Niliamka na kwenda kuoga na baadae nilitoka chumbani na kumkuta shemeji Nasib akiwa sebleni akitazama Tv, nilimkata jicho pasipo kuongea neno lolote lile na kuelekea jikoni, nilimkuta mfanyakazi wa ndani aliyekuwa amebeba mtoto mgogoni na alikuwa akinitazama kwa macho ya chini chini, niligundua jinsi alivyokuwa akiniangalia hivyo niliamua kumuuliza.
"Mbona unaniangalia hivyo!?"
"Hapana dada ila tu tabia ya kaka Nasib sio nzuri kabisa!" Mfanyakazi aliongea na kidogo nilishituka kwa kile alichokisema.
"Una maana gani!?"
"Nilimuona kaka Nasib alivyokuwa akiingia chumbani kwenu na kila kitu kilichokuwa kikiendelea humu chumbani nilikuwa nakisikia, ata mimi pia aliwahi kunifanyia hivyo hivyo, pole dada kwa kilichokukuta" mfanyakazi wangu aliongea, hakukuwa na siri tena mbele ya mfanyakazi wetu wa ndani kwani tayari alikuwa shahidi wa kile kilichotokea.

Nilimwambia asije kumwambia mtu yoyote kwa kile alichokiona na nilipanga kuja kuongea na Rashidi ili amwambie mdogo wake ahame na aende akajitegemee mwenyewe, Jioni ya siku hiyo Rashidi aliwahi kufika nyumbani na kunikuta nikijiandaa kwenda kazini hivyo niliamua kumwambia amwambie mdogo wake akajitegemee.
"Kwani kuna shida gani mdogo wangu akiendelee kukaa nyumbani kwangu na ukizingatia hapa ni karibu na anapofanyia kazi!?"
"Hamna shida ila tayari ameshaanza kutembea na binti wa kazi, siku akimpiga mimba tutakuja kuletewa kesi hapa ni bora haya mambo akayafanyie kwake huko"
"Duh kama ni hivyo hapo umeongea Fatuma kipenzi" Rashidi alizungumza na aliniahidi atalifanyia kazi hivyo niliamua kuondoka na kwenda kazini.

Nilifika na siku hiyo Dr David hakuwa zamu usiku zaidi ya Nasir peke yake, kulikuwa na wagonjwa wa kuwahudumia hiyo siku na nilimuhudumia mgonjwa aliyewahi kuniomba namba kipindi cha nyuma hivyo baada ya kuniona aliongea.
"Nesi uliniahidi utanipatia namba yako"
"Sasa mzee wangu namba yangu inaumhimu gani kwako mbona unaitaka sana!?" nilimuuliza maana umri wake ulikuwa umeshaanza kwenda kidogo.
"Mimi nimetokea kukupenda nesi usinione ivi mimi na mashamba ya kutosha hivyo nitaenda kuuza mashaba yote na kukupa wewe"
"Heeeh!!! makubwa kwanini usiwape watoto wako au wajukuu zako!?"
"Niwape wakati sasa ivi na karibia mwezi nimelazwa na hawaji kunitembelea, bora nikupe wewe alafu unipe nafasi ya kuyashika tu makalio yako nione kama ni original au fake"
"Haina haja ata ya kuyashika haya ni original na nimenyewe haya mzee wangu, nimezaliwa ivi ivi"
"Duh basi umejaliwa kuwa na msabwada wa maana nesi" mzee huyo aliyeonekana ni muongeaji sikutaka kuendelea kumsikiliza zaidi ya kuondoka kwenda kuendelea na kazi zangu kwani nilikuwa na kazi nyingi hiyo siku.

Nasir alijaribu kutafuta mda wa kuongea na mimi ili kunishawishi lakini sikutaka kumpa nafasi kwani nilikuwa nimeshamtoa moyoni kwa wakati huo na ukizingatia tayari nilikuwa kwenye mahusiano na Rashidi.

Usumbufu wa Nasir ulinifanya nichukie na nilijikuta nikitamani kutafta sehemu nyingine ya kazi, bahati nzuri kwangu palikucha na ulikuwa ni mda wa kurudi nyumbani, nilifika na kuwakuta Rashidi na Shemeji Nasib wakijiandaa kuondoka.
Nilisalimia nao na Shemeji Nasib alikuwa akinitazama kila mda akionesha kuna kitu anachotamani kuniambia lakini hakuwa na nafasi hiyo kutokana na uwepo wa Rashidi, Waliniaga nakuondoka hivyo nilielekea chumbani kwa ajili ya kupumzika.

Nililala na mida ya saa 5 asubuhi niliamka na kukutana na jumbe zilizotumwa na shemeji Nasib zikiniambia kuwa Rashidi amepanga kufanya mapenzi na mimi kama siku tuliyofanya mpaka akaanguka chini, niliendelea kusoma jumbe zingine alizonitumia na ujumbe mwingine uliingia mda huo huo ukiniambia.
"Ametoka kazini sasa ivi na ameniambia kuwa anakuja huko Fatuma, kama huna hisia za kufanya mapenzi bora tu ukaondoka maana atakuumiza" nilimaliza kusoma ujumbe wa Shemeji Nasib na kushindwa kumwelewa kwanini anahofu na mimi kiasi hicho, sikufikiria sana kuhusu kile alichokisema kuwa Rashidi yupo njiani anakuja.

Baada ya nusu saa kupita Rashidi alifika na kunikuta chumbani, nilishangaa baada ya kuona misuli ya kwenye shingo yake ikiwa imekakamaa na kwenye suruali yake akiwa amesimamisha.
"Kuna tatizo gani mbona hivyo Rashidi!?"
"Sina mda Fatuma" Rashidi alinijibu huku akivua nguo zake pasipo kunifafanulia vizuri.
Akili ilianza kufanya kazi baada ya kukumbuka sms za Shemeji Nasib alizonitumia hivyo nilinyenyuka kitandani kwa ajili ya kuondoka chumbani lakini Rashidi aliniwahi na kunishika.
"Fatuma nimekuja kwa ajili yako alafu wewe unataka kuondoka!?"
"Ndio mpaka utumie dawa za kuongeza nguvu unataka kuniua au!?"
"Hapana!! ni kwa leo tu maana tuna mda hatujafanya mapenzi nataka tufanya mapenzi mpaka basi leo" aliongea na kunipeleka kitandani.
"Hapana kwakweli mimi sipo tayari" niliongea na kunyenyuka kitandani kwa ajili ya kukimbia, nilifika mlangoni na kuufungua mlango ili niweze kutoka nje lakini Rashidi aliniwahi na kunishika mkono.

Hakutaka kuongea tena zaidi ya kuufunga mlango na funguo kisha baada ya hapo funguo aliitupia kitandani.
"Kwanini unashindwa kuwa mwelewa Fatuma ndiyo tabia gani hii ya kuanza kukimbizana wakati ni haki yangu kufanya mapenzi na wewe!?" aliniuliza lakini mimi nilikuwa na pumua kama mtu aliyetoka kukimbia kwenye mashindano ya mita 1000.

Hakutaka kupoteza mda na badala yake alinipeleka mpaka kitandani, kwakuwa alikuwa bado hajamalizia kuvua vizuri alitoa nguo zake na kubaki kama alivyozaliwa, kiukweli uume wake ulikuwa ukitisha kwani kwa mbele palikuwa pamevimba kidogo tofauti na sehemu zingine huku misuli ikijichora kwa wingi. Sikutaka kukubali kuona akifanya mapenzi na mimi hivyo nilipata wazo la kukimbilia bafuni, nilitaka kutoka kitandani kwa ajili ya kwenda bafuni lakini napo alinirudisha na alinirudisha na kibao juu.
"Mpaka nikupige ndiyo akili yako itakaa sawa" Rashidi aliongea kwa hasira baada ya kunipiga.....ITAENDELEA..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 11——15 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 6——10 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest