Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Niliamka na kwenda kuoga na baadae nilitoka chumbani na kumkuta shemeji Nasib akiwa sebleni akitazama Tv, nilimkata jicho pasipo kuongea neno lolote lile na kuelekea jikoni, nilimkuta mfanyakazi wa ndani aliyekuwa amebeba mtoto mgogoni na alikuwa akinitazama kwa macho ya chini chini, niligundua jinsi alivyokuwa akiniangalia hivyo niliamua kumuuliza.
"Mbona unaniangalia hivyo!?"
"Hapana dada ila tu tabia ya kaka Nasib sio nzuri kabisa!" Mfanyakazi aliongea na kidogo nilishituka kwa kile alichokisema.
"Una maana gani!?"
"Nilimuona kaka Nasib alivyokuwa akiingia chumbani kwenu na kila kitu kilichokuwa kikiendelea humu chumbani nilikuwa nakisikia, ata mimi pia aliwahi kunifanyia hivyo hivyo, pole dada kwa kilichokukuta" mfanyakazi wangu aliongea, hakukuwa na siri tena mbele ya mfanyakazi wetu wa ndani kwani tayari alikuwa shahidi wa kile kilichotokea.

Nilimwambia asije kumwambia mtu yoyote kwa kile alichokiona na nilipanga kuja kuongea na Rashidi ili amwambie mdogo wake ahame na aende akajitegemee mwenyewe, Jioni ya siku hiyo Rashidi aliwahi kufika nyumbani na kunikuta nikijiandaa kwenda kazini hivyo niliamua kumwambia amwambie mdogo wake akajitegemee.
"Kwani kuna shida gani mdogo wangu akiendelee kukaa nyumbani kwangu na ukizingatia hapa ni karibu na anapofanyia kazi!?"
"Hamna shida ila tayari ameshaanza kutembea na binti wa kazi, siku akimpiga mimba tutakuja kuletewa kesi hapa ni bora haya mambo akayafanyie kwake huko"
"Duh kama ni hivyo hapo umeongea Fatuma kipenzi" Rashidi alizungumza na aliniahidi atalifanyia kazi hivyo niliamua kuondoka na kwenda kazini.

Nilifika na siku hiyo Dr David hakuwa zamu usiku zaidi ya Nasir peke yake, kulikuwa na wagonjwa wa kuwahudumia hiyo siku na nilimuhudumia mgonjwa aliyewahi kuniomba namba kipindi cha nyuma hivyo baada ya kuniona aliongea.
"Nesi uliniahidi utanipatia namba yako"
"Sasa mzee wangu namba yangu inaumhimu gani kwako mbona unaitaka sana!?" nilimuuliza maana umri wake ulikuwa umeshaanza kwenda kidogo.
"Mimi nimetokea kukupenda nesi usinione ivi mimi na mashamba ya kutosha hivyo nitaenda kuuza mashaba yote na kukupa wewe"
"Heeeh!!! makubwa kwanini usiwape watoto wako au wajukuu zako!?"
"Niwape wakati sasa ivi na karibia mwezi nimelazwa na hawaji kunitembelea, bora nikupe wewe alafu unipe nafasi ya kuyashika tu makalio yako nione kama ni original au fake"
"Haina haja ata ya kuyashika haya ni original na nimenyewe haya mzee wangu, nimezaliwa ivi ivi"
"Duh basi umejaliwa kuwa na msabwada wa maana nesi" mzee huyo aliyeonekana ni muongeaji sikutaka kuendelea kumsikiliza zaidi ya kuondoka kwenda kuendelea na kazi zangu kwani nilikuwa na kazi nyingi hiyo siku.

Nasir alijaribu kutafuta mda wa kuongea na mimi ili kunishawishi lakini sikutaka kumpa nafasi kwani nilikuwa nimeshamtoa moyoni kwa wakati huo na ukizingatia tayari nilikuwa kwenye mahusiano na Rashidi.

Usumbufu wa Nasir ulinifanya nichukie na nilijikuta nikitamani kutafta sehemu nyingine ya kazi, bahati nzuri kwangu palikucha na ulikuwa ni mda wa kurudi nyumbani, nilifika na kuwakuta Rashidi na Shemeji Nasib wakijiandaa kuondoka.
Nilisalimia nao na Shemeji Nasib alikuwa akinitazama kila mda akionesha kuna kitu anachotamani kuniambia lakini hakuwa na nafasi hiyo kutokana na uwepo wa Rashidi, Waliniaga nakuondoka hivyo nilielekea chumbani kwa ajili ya kupumzika.

Nililala na mida ya saa 5 asubuhi niliamka na kukutana na jumbe zilizotumwa na shemeji Nasib zikiniambia kuwa Rashidi amepanga kufanya mapenzi na mimi kama siku tuliyofanya mpaka akaanguka chini, niliendelea kusoma jumbe zingine alizonitumia na ujumbe mwingine uliingia mda huo huo ukiniambia.
"Ametoka kazini sasa ivi na ameniambia kuwa anakuja huko Fatuma, kama huna hisia za kufanya mapenzi bora tu ukaondoka maana atakuumiza" nilimaliza kusoma ujumbe wa Shemeji Nasib na kushindwa kumwelewa kwanini anahofu na mimi kiasi hicho, sikufikiria sana kuhusu kile alichokisema kuwa Rashidi yupo njiani anakuja.

Baada ya nusu saa kupita Rashidi alifika na kunikuta chumbani, nilishangaa baada ya kuona misuli ya kwenye shingo yake ikiwa imekakamaa na kwenye suruali yake akiwa amesimamisha.
"Kuna tatizo gani mbona hivyo Rashidi!?"
"Sina mda Fatuma" Rashidi alinijibu huku akivua nguo zake pasipo kunifafanulia vizuri.
Akili ilianza kufanya kazi baada ya kukumbuka sms za Shemeji Nasib alizonitumia hivyo nilinyenyuka kitandani kwa ajili ya kuondoka chumbani lakini Rashidi aliniwahi na kunishika.
"Fatuma nimekuja kwa ajili yako alafu wewe unataka kuondoka!?"
"Ndio mpaka utumie dawa za kuongeza nguvu unataka kuniua au!?"
"Hapana!! ni kwa leo tu maana tuna mda hatujafanya mapenzi nataka tufanya mapenzi mpaka basi leo" aliongea na kunipeleka kitandani.
"Hapana kwakweli mimi sipo tayari" niliongea na kunyenyuka kitandani kwa ajili ya kukimbia, nilifika mlangoni na kuufungua mlango ili niweze kutoka nje lakini Rashidi aliniwahi na kunishika mkono.

Hakutaka kuongea tena zaidi ya kuufunga mlango na funguo kisha baada ya hapo funguo aliitupia kitandani.
"Kwanini unashindwa kuwa mwelewa Fatuma ndiyo tabia gani hii ya kuanza kukimbizana wakati ni haki yangu kufanya mapenzi na wewe!?" aliniuliza lakini mimi nilikuwa na pumua kama mtu aliyetoka kukimbia kwenye mashindano ya mita 1000.

Hakutaka kupoteza mda na badala yake alinipeleka mpaka kitandani, kwakuwa alikuwa bado hajamalizia kuvua vizuri alitoa nguo zake na kubaki kama alivyozaliwa, kiukweli uume wake ulikuwa ukitisha kwani kwa mbele palikuwa pamevimba kidogo tofauti na sehemu zingine huku misuli ikijichora kwa wingi. Sikutaka kukubali kuona akifanya mapenzi na mimi hivyo nilipata wazo la kukimbilia bafuni, nilitaka kutoka kitandani kwa ajili ya kwenda bafuni lakini napo alinirudisha na alinirudisha na kibao juu.
"Mpaka nikupige ndiyo akili yako itakaa sawa" Rashidi aliongea kwa hasira baada ya kunipiga.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Niliamka na kwenda kuoga na baadae nilitoka chumbani na kumkuta shemeji Nasib akiwa sebleni akitazama Tv, nilimkata jicho pasipo kuongea neno lolote lile na kuelekea jikoni, nilimkuta mfanyakazi wa ndani aliyekuwa amebeba mtoto mgogoni na alikuwa akinitazama kwa macho ya chini chini, niligundua jinsi alivyokuwa akiniangalia hivyo niliamua kumuuliza.
"Mbona unaniangalia hivyo!?"
"Hapana dada ila tu tabia ya kaka Nasib sio nzuri kabisa!" Mfanyakazi aliongea na kidogo nilishituka kwa kile alichokisema.
"Una maana gani!?"
"Nilimuona kaka Nasib alivyokuwa akiingia chumbani kwenu na kila kitu kilichokuwa kikiendelea humu chumbani nilikuwa nakisikia, ata mimi pia aliwahi kunifanyia hivyo hivyo, pole dada kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-28

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest