Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Masaa kadhaa yalipita na mida ya jioni ilipofika nilipigiwa simu na mpiga alikuwa ni mama, kiukweli sikuwa na uwezo wa kuipokea hivyo nilibaki nikiwa naitazama simu yangu.
Mama alipiga zaidi ya mara tano na alipoona sitaki kupokea simu aliamua kunitumia ujumbe akinitaka niende nyumbani haraka na upesi.

Siku iliyofata nilienda nyumbani na nilipofika mama alianza kunitupia lawama huku akinilaumu kwa kosa la kuchepuka na shemeji Rashidi.
"Mama sikuwa na njia nyingine niliingia kwenye mtego wa shemeji"
"Mtego upi Fatuma, mpaka unamvulia nguo kwani ulikuwa hujui kama yule ni shemeji yako!?"
"Ni kweli mama nilikosea ila nilikuwa na shida na kazi na kwakuwa nimeshaipata nitakae nae mbali shemeji"
"Mwenzako akija sijui nitamwambia nini anielewe yupo njiani anakuja, nyie watoto mtakuja kuniua mimi mama yenu" mama aliongea huku akikaa akishika sehemu ya mapigo yake ya moyoni na kama angekuwa na plesha basi hiyo siku huenda angeanguka kwa plesha.

Dada Aisha alivyofikia alikuwa bado na hasira na mimi na mbele ya mama alisema undugu umekufa kuanzia siku hiyo, basi baadae ilibidi niondoke lakini tayari tulikuwa tumeshakosana mimi pamoja na dada Aisha, sikumlaumu maana alikuwa sahihi kwa maamuzi aliyoyachukua kwani ata kama ningekuwa mimi ningechukua maamuzi kama aliyoyachukua.

Tangu siku hiyo tulikuwa hatupatani na ilipita wiki moja nikiwa sijui kinachoendelea kwani ata Shemeji Rashidi hakuwahi kunitafuta.

Siku moja mida ya jioni baada ya kutoka kazini Dada Aisha alinipigia simu, kiukweli nilikuwa mzito kuipokea simu lakini baadae niliamua kuipokea baada ya kuita kwa mda mrefu.
"Hello!"
"Hello dada" niliongea kwa sauti ya unyenyekevu.
"Usiniite dada niite jina langu Aisha, dada aliongea akiwa na hasira na hakunipa nafasi ya kuongea, sasa sikia nikwambie ata hivyo huyo Rashidi sina mpango nae na hapa ninavyoongea tumetengana wewe endelea nae tu"
"Dada lakini ilitokea bahati mbaya yule ni mme wako bado"
"Koma kabisa fatuma yule ni mme wako sio mme wangu mimi, naenda kuishi kwa mchepuko wangu na hapa na mimba yake tayari" dada aliongea maneno ya kila aina hiyo siku ila machache tu ndiyo niliyashika kwani mengine yalikuwa yakiingilia sikio la kulia na kutokea kushoto.

Baadae alikata simu na mimi niliendelea na mambo yangu, siku hiyo shemeji Rashidi alikuja nyumbani nakuniambia kama nilivyoambiwa na Aisha. Ajabu shemeji Rashidi aliongea kitu kilichonishangaza kwa kuniambia kuwa anataka anioe.
"Shemeji hapana kwakweli mimi na wewe hatuwezi kuoana"
"Kwani tatizo lipo wapi! sijawahi kuzaa na dada yako, sioni sababu ya wewe kukataa"
"Ata kama ila hilo halitawezekana"
"Kwanza sitaki kuendelea kusikiliza ngojera zako nimeukumbuka utamu wako Fatuma leo nataka nimalize upwiru wangu wote"
"Leo sina hamu mimi" niliongea lakini Shemeji Rashidi hakutaka kujali zaidi ya kunisogelea na kuanza kuyapigapiga makalio yangu.
"Alafu sipendi unavyopiga piga matako yangu shem"
"Umesema huna hamu Fatuma hapa nataka nipandishe nyege zako kwanza" aliongea huku akiendelea kuyapiga na kuyabinyabinya.
"Sheme..ji me sipendi unavyofanya" nilimwambia shemeji Rashidi lakini tayari alikuwa ameshasimamisha hivyo alinipeleka mpaka kitandani na kunilaza, alianza kunivulisha nguo zangu na mimi kwa kipindi hicho sikuwa na woga tena mbele ya shemeji Rashidi kwakuwa tayari alikuwa ameshaachana na dada Aisha. Siku hiyo tulizagamuana mimi pamoja na shemeji Rashidi.

Usiku mzima tuliutumia tukiwa pamoja na siku iliyofata asubuhi na mapema tuliamka na kila mtu alijiandaa kwa ajili ya kwenda kazini kwake.
Shemeji aliniambia atafanya mpango wa kunitafutia nafasi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia yeye kazi lakini sikuwa tayari kwa hilo kwani sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi hakukuwa na usumbufu wa kusumbuliwa mara kwa mara na wanaume. Kila mtu alipita njia yake kuelekea kazini kwake.

Nilifika na kuingia kwenye majukumu yangu ya kikazi, siku hiyo nilielekezwa kwenda kwenye chumba cha mgonjwa aliyekuwa amelezwa kwa ajili kwenda kumpa maelekezo ya kutumia dawa, nilienda mpaka kwenye chumba husika na kijana aliyekuwa amelazwa alikuwa ni kijana wa makamo. Nilimpa maelekezo na kuziweka dawa pembeni kisha baada ya hapo niligeuka kwa ajili ya kuondoka ila nilishangaa kijana akinishika makalio yangu. Niligeuka nikiwa na hasira na kutaka kumpiga kofi ila nafsi nyingi ilinikanya ikiniambia, ole wako umpige Fatuma huna kazi!! nilibaki nikimtazama na kushindwa cha kufanya zaidi ya kumuuliza kwa hasira.
"Nani amekuruhusu unishike!?"
"Nimeyashika kwa mara ya mwisho nesi makalio yako maana najua sina mda nitaondoka duniani"
"Nani kakwambia kuwa unaenda kufa!?"
"Mimi ndiyo mgonjwa najijua mwenyewe, niruhusu niyashike kwa mara ya mwisho tena makalio yako nesi" aliongea nakutaka kuusogeza mkono wake ila niliona naongea na kichaa hivyo niliamua kuondoka.

Moyoni nilijisemea mwenyewe kijana aliyetoka kunishika makalio yangu ata akifa sizani kama ataiona mbingu maana alionekana ni kicheche sana na mpenda ngono.

Mda wa kazi ulipoisha nilielekea nyumbani kwangu lakini nikiwa njiani nilisikia sauti ya kiume ikiniita, nilivunga kama siisikii, nilijua ni mtu anayetaka kunitongoza ila baadae nilishituka baada ya kumuona mtu akija nyuma yangu kwa kukimbia huku akiwa ananiita.
"Fatuma mda wote huo nakuita husikii tu au!?"
"Oooh kumbe ni wewe!?" Alikuwa ni Kasimu aliyenifukuza kazi kisa kukataa kufanya nae mapenzi.......ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Masaa kadhaa yalipita na mida ya jioni ilipofika nilipigiwa simu na mpiga alikuwa ni mama, kiukweli sikuwa na uwezo wa kuipokea hivyo nilibaki nikiwa naitazama simu yangu.
Mama alipiga zaidi ya mara tano na alipoona sitaki kupokea simu aliamua kunitumia ujumbe akinitaka niende nyumbani haraka na upesi.

Siku iliyofata nilienda nyumbani na nilipofika mama alianza kunitupia lawama huku akinilaumu kwa kosa la kuchepuka na shemeji Rashidi.
"Mama sikuwa na njia nyingine niliingia kwenye mtego wa shemeji"
"Mtego upi Fatuma, mpaka unamvulia nguo kwani ulikuwa hujui kama yule ni shemeji yako!?"
"Ni kweli mama nilikosea ila nilikuwa na shida na kazi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest