Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Masaa kadhaa yalipita na mida ya jioni ilipofika nilipigiwa simu na mpiga alikuwa ni mama, kiukweli sikuwa na uwezo wa kuipokea hivyo nilibaki nikiwa naitazama simu yangu.
Mama alipiga zaidi ya mara tano na alipoona sitaki kupokea simu aliamua kunitumia ujumbe akinitaka niende nyumbani haraka na upesi.

Siku iliyofata nilienda nyumbani na nilipofika mama alianza kunitupia lawama huku akinilaumu kwa kosa la kuchepuka na shemeji Rashidi.
"Mama sikuwa na njia nyingine niliingia kwenye mtego wa shemeji"
"Mtego upi Fatuma, mpaka unamvulia nguo kwani ulikuwa hujui kama yule ni shemeji yako!?"
"Ni kweli mama nilikosea ila nilikuwa na shida na kazi na kwakuwa nimeshaipata nitakae nae mbali shemeji"
"Mwenzako akija sijui nitamwambia nini anielewe yupo njiani anakuja, nyie watoto mtakuja kuniua mimi mama yenu" mama aliongea huku akikaa akishika sehemu ya mapigo yake ya moyoni na kama angekuwa na plesha basi hiyo siku huenda angeanguka kwa plesha.

Dada Aisha alivyofikia alikuwa bado na hasira na mimi na mbele ya mama alisema undugu umekufa kuanzia siku hiyo, basi baadae ilibidi niondoke lakini tayari tulikuwa tumeshakosana mimi pamoja na dada Aisha, sikumlaumu maana alikuwa sahihi kwa maamuzi aliyoyachukua kwani ata kama ningekuwa mimi ningechukua maamuzi kama aliyoyachukua.

Tangu siku hiyo tulikuwa hatupatani na ilipita wiki moja nikiwa sijui kinachoendelea kwani ata Shemeji Rashidi hakuwahi kunitafuta.

Siku moja mida ya jioni baada ya kutoka kazini Dada Aisha alinipigia simu, kiukweli nilikuwa mzito kuipokea simu lakini baadae niliamua kuipokea baada ya kuita kwa mda mrefu.
"Hello!"
"Hello dada" niliongea kwa sauti ya unyenyekevu.
"Usiniite dada niite jina langu Aisha, dada aliongea akiwa na hasira na hakunipa nafasi ya kuongea, sasa sikia nikwambie ata hivyo huyo Rashidi sina mpango nae na hapa ninavyoongea tumetengana wewe endelea nae tu"
"Dada lakini ilitokea bahati mbaya yule ni mme wako bado"
"Koma kabisa fatuma yule ni mme wako sio mme wangu mimi, naenda kuishi kwa mchepuko wangu na hapa na mimba yake tayari" dada aliongea maneno ya kila aina hiyo siku ila machache tu ndiyo niliyashika kwani mengine yalikuwa yakiingilia sikio la kulia na kutokea kushoto.

Baadae alikata simu na mimi niliendelea na mambo yangu, siku hiyo shemeji Rashidi alikuja nyumbani nakuniambia kama nilivyoambiwa na Aisha. Ajabu shemeji Rashidi aliongea kitu kilichonishangaza kwa kuniambia kuwa anataka anioe.
"Shemeji hapana kwakweli mimi na wewe hatuwezi kuoana"
"Kwani tatizo lipo wapi! sijawahi kuzaa na dada yako, sioni sababu ya wewe kukataa"
"Ata kama ila hilo halitawezekana"
"Kwanza sitaki kuendelea kusikiliza ngojera zako nimeukumbuka utamu wako Fatuma leo nataka nimalize upwiru wangu wote"
"Leo sina hamu mimi" niliongea lakini Shemeji Rashidi hakutaka kujali zaidi ya kunisogelea na kuanza kuyapigapiga makalio yangu.
"Alafu sipendi unavyopiga piga matako yangu shem"
"Umesema huna hamu Fatuma hapa nataka nipandishe nyege zako kwanza" aliongea huku akiendelea kuyapiga na kuyabinyabinya.
"Sheme..ji me sipendi unavyofanya" nilimwambia shemeji Rashidi lakini tayari alikuwa ameshasimamisha hivyo alinipeleka mpaka kitandani na kunilaza, alianza kunivulisha nguo zangu na mimi kwa kipindi hicho sikuwa na woga tena mbele ya shemeji Rashidi kwakuwa tayari alikuwa ameshaachana na dada Aisha. Siku hiyo tulizagamuana mimi pamoja na shemeji Rashidi.

Usiku mzima tuliutumia tukiwa pamoja na siku iliyofata asubuhi na mapema tuliamka na kila mtu alijiandaa kwa ajili ya kwenda kazini kwake.
Shemeji aliniambia atafanya mpango wa kunitafutia nafasi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia yeye kazi lakini sikuwa tayari kwa hilo kwani sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi hakukuwa na usumbufu wa kusumbuliwa mara kwa mara na wanaume. Kila mtu alipita njia yake kuelekea kazini kwake.

Nilifika na kuingia kwenye majukumu yangu ya kikazi, siku hiyo nilielekezwa kwenda kwenye chumba cha mgonjwa aliyekuwa amelezwa kwa ajili kwenda kumpa maelekezo ya kutumia dawa, nilienda mpaka kwenye chumba husika na kijana aliyekuwa amelazwa alikuwa ni kijana wa makamo. Nilimpa maelekezo na kuziweka dawa pembeni kisha baada ya hapo niligeuka kwa ajili ya kuondoka ila nilishangaa kijana akinishika makalio yangu. Niligeuka nikiwa na hasira na kutaka kumpiga kofi ila nafsi nyingi ilinikanya ikiniambia, ole wako umpige Fatuma huna kazi!! nilibaki nikimtazama na kushindwa cha kufanya zaidi ya kumuuliza kwa hasira.
"Nani amekuruhusu unishike!?"
"Nimeyashika kwa mara ya mwisho nesi makalio yako maana najua sina mda nitaondoka duniani"
"Nani kakwambia kuwa unaenda kufa!?"
"Mimi ndiyo mgonjwa najijua mwenyewe, niruhusu niyashike kwa mara ya mwisho tena makalio yako nesi" aliongea nakutaka kuusogeza mkono wake ila niliona naongea na kichaa hivyo niliamua kuondoka.

Moyoni nilijisemea mwenyewe kijana aliyetoka kunishika makalio yangu ata akifa sizani kama ataiona mbingu maana alionekana ni kicheche sana na mpenda ngono.

Mda wa kazi ulipoisha nilielekea nyumbani kwangu lakini nikiwa njiani nilisikia sauti ya kiume ikiniita, nilivunga kama siisikii, nilijua ni mtu anayetaka kunitongoza ila baadae nilishituka baada ya kumuona mtu akija nyuma yangu kwa kukimbia huku akiwa ananiita.
"Fatuma mda wote huo nakuita husikii tu au!?"
"Oooh kumbe ni wewe!?" Alikuwa ni Kasimu aliyenifukuza kazi kisa kukataa kufanya nae mapenzi.......ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Masaa kadhaa yalipita na mida ya jioni ilipofika nilipigiwa simu na mpiga alikuwa ni mama, kiukweli sikuwa na uwezo wa kuipokea hivyo nilibaki nikiwa naitazama simu yangu.
Mama alipiga zaidi ya mara tano na alipoona sitaki kupokea simu aliamua kunitumia ujumbe akinitaka niende nyumbani haraka na upesi.

Siku iliyofata nilienda nyumbani na nilipofika mama alianza kunitupia lawama huku akinilaumu kwa kosa la kuchepuka na shemeji Rashidi.
"Mama sikuwa na njia nyingine niliingia kwenye mtego wa shemeji"
"Mtego upi Fatuma, mpaka unamvulia nguo kwani ulikuwa hujui kama yule ni shemeji yako!?"
"Ni kweli mama nilikosea ila nilikuwa na shida na kazi na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

683
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

418
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

314
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

299
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

289
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

167
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

137
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

73
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

28

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest