Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilifika mpaka nje na kutapika na baada ya mda nilirudi ndani na dada Aisha aliniuliza.
"Kitu gani kinachokusumbua Fatuma mdogo wangu!?"
"Nipo sawa tu dada ila nilishikwa na kichefuchefu na kwenda kutapika nje" nilimjibu lakini shemeji Rashidi alikuwa kimya na aliamua kuondoka pasipo kuongea neno lolote lile.

Basi usiku ulifika na ulikuwa ni mda wa kulala hivyo nilienda kulala kwenye chumba changu na kuufunga mlango ili shemeji Rashidi asiweze kuingia. nilipanda kitandani na kulala na ilipofika mida ya saa 8 usiku nilianza kusikia mlango ukigongwa kwa mbali na moja kwa moja nilijua ni shemeji Rashidi aliyekuwa akitaka nimfungulie.

Sikutaka kwenda kumfungulia zaidi ya kuendelea kulala na kujifanya kuwa simsikii, aligonga mlango kwa mda mrefu lakini mimi niliendelea kuigiza kuwa simsikii na baadae alinitumia ujumbe ulioingia kwenye simu yangu.
"Unajifanya mjanja Fatuma basi sawa haina shida" nilimaliza kuusoma ujumbe wa shemeji Rashidi ila sikutaka kutishika na ujumbe wake zaidi ya kuitupa simu pembeni ya kitanda na kuendelea kulala.

Siku iliyofata shemeji Rashidi hakutaka kuniongelesha zaidi ya kuninunia, sikutaka kujihangaisha nae zaidi ya mimi kuondoka na kuwahi kazini, zilipita siku kadhaa huku nikiwa sina maelewano mazuri na shemeji Rashidi na baadae nilikuja kugundua kuwa na mimba yake na hapo ndipo tatizo jingine lilipoanzia.

Nilihisi kuchanganyikiwa baada ya kugundua kuwa na mimba ya shemeji Rashidi na njia pekee niliyoona inafaa ni kuitoa mimba pasipo kumshirikisha shemeji Rashidi na bahati nzuri nilifanikiwa kuitoa.

Maisha yaliendelea nikiwa bado naishi kwenye nyumba yao.
Siku moja nilikuwa nikioga bafuni na ilikuwa ni siku ya jumapili hivyo hatukwenda kazini mimi pamoja na shemeji Rashidi. nilisikia mlango wa chumbani ukifunguliwa lakini sikutaka kujali sana zaidi ya kuendelea kuoga mpaka nilipomaliza kuoga.

Nilijifunga taulo na kutoka bafuni na macho yangu yalipatwa na mshangao baada ya kumuona shemeji Rashidi akiwa chumbani.
"Nani kakupa ruhusa ya kuingia chumbani kwangu!?" nilimuuliza lakini shemeji Rashidi hakutaka kunijibu zaidi ya kunisogelea mahali nilipokuwa na mimi nilitambua lengo lake hivyo nilitaka kukimbia kwa ajili ya kurudi bafuni lakini shemeji aliniwahi na kunizuia.
"Unataka kwenda wapi Fatuma ivi unajua nimekukumbuka sana kipenzi!?" aliniuliza huku akiwa amenishika kwa kunikumbatia kwa nyuma.
"Nimeshasema sitaki kuendelea kuwa kwenye mahusiano na wewe shemeji mbona hutaki kunielewa lakini..!" niliongea ila shemeji Rashidi hakutaka kunijibu zaidi ya kuupeleka mkono wake kwenye makalio yangu nakuanza kuyashika na ukizingatia nilikuwa nimejifunga taulo tu.
"Shemeji hapana usinifanyie hivyoo!!" niliongea na kumbe sauti yangu ndiyo ilizidi kumpandisha midadi shemeji Rashidi, nilishangaa kumuona akinigusisha mtalimbo wake kwenye makalio yangu aliokuwa ameuchomoa tayari kwenye suruali yake, ilinibidi nijigeuze kwa nguvu kwa ajili ya kumzuia lakini badala yake nilimpa upenyo wa kunivuta kwa nguvu na kunipeleka kitandani.

Ushauri kwa wanawake wenzangu inatakiwa walau tuwe tunafanya mazoezi walau mara moja moja ili tusiwe lege lege na ndicho kilichokuwa kikiniponza mimi maana nilikuwa sina nguvu zozote zile na sikuwa na ubavu wa kumzuia shemeji Rashidi.

Alinilaza kitandani kwa nguvu na kuniwekea mpini wake pasipo kujali kama nilikuwa na hisia za kufanya mapenzi au la!, kwakuwa sikuwa na hisia kwa wakati huo niliendelea kumsukuma nikimtaka shemeji Rashidi atoke kwenye mwili wangu ili asiendelee kunizagamua lakini hakutaka kufata kile nilichokuwa nikikitaka.

Akiwa bado juu ya mwili wangu nilisikia sauti ya dada Aisha ikiniuliza.
"Fatuma shemeji yako kaenda wapi..!?" dada aliniuliza na shemeji aliamua kujitoa kwenye mwili wangu huku akinitaka nimjibu kuwa sijui alipoelekea.
Kiukweli niwe tu muwazi kati ya kitu nilichokuwa sitaki kitokee nikuivunja ndoa ya dada hivyo niliamua kumjibu kwa kumwambia dada kuwa sijui ni wapi alipo shemeji.
Baadae nilitoka kitandani na kwenda kuvaa nguo huku shemeji Rashidi akinitazama na kutoka chumbani nikimuacha mwenyewe pasipo kumsemesha.

Baada ya mda shemeji nae alitoka kwa uangarifu kwenye chumba changu na dada alipomuuliza aliamua kumdanganya kuwa alikuwa amepanda juu ya dali kwa ajili ya kurekebisha baadhi ya vitu.

Niliona sitakiwi tena kuendelea kukaa nyumbani kwa dada hivyo baada ya kupokea mshahara wangu wa kwanza niliondoka nyumbani kwa dada na kwenda kupanga na kuanzisha maisha ya kujitegemea mwenyewe, kidogo ilisaidia kupunguza usumbufu kutoka kwa shemeji Rashidi licha ya yeye kuendelea kunitaka kimapenzi ila sikuwa tayari kwa hilo......ITAENDELEA.

Like na comment zenu za kutosha ndiyo zitafanya iwe inapostiwa mara mbili kwa siku, kazi kwenu wasomaji.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilifika mpaka nje na kutapika na baada ya mda nilirudi ndani na dada Aisha aliniuliza.
"Kitu gani kinachokusumbua Fatuma mdogo wangu!?"
"Nipo sawa tu dada ila nilishikwa na kichefuchefu na kwenda kutapika nje" nilimjibu lakini shemeji Rashidi alikuwa kimya na aliamua kuondoka pasipo kuongea neno lolote lile.

Basi usiku ulifika na ulikuwa ni mda wa kulala hivyo nilienda kulala kwenye chumba changu na kuufunga mlango ili shemeji Rashidi asiweze kuingia. nilipanda kitandani na kulala na ilipofika mida ya saa 8 usiku nilianza kusikia mlango ukigongwa kwa mbali na moja kwa moja nilijua ni shemeji Rashidi aliyekuwa akitaka nimfungulie.

Sikutaka kwenda...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

8.84K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.22K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.17K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

1.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

1.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.71K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.61K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

1.61K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest