Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11

14th Apr, 2025 Views 6

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nasir aliona haitoshi alianza kuyapigapiga pasipo kujali kama naongea na simu mda huo hivyo ilibidi nikate haraka ili dada asiweze kusikia kelele za makalio yangu.
"Unamatatizo gani Nasir lakini huoni kama nilikuwa naongea na simu hapa!?"
"Naona tena vizuri tu ila Fatuma umejaliwa kuwa na makalio makubwa mno mpaka Raha na ndiyo yamenifanya mimi nikupende au ni mchina nini??"
"Wewe huu sio mchina haya ni og kabisa wewe ukiangalia unaona kuna mchina hapa!?" nilimjibu na nilitaka kunyenyuka kitandani kwa ajili ya kumchenga lakini mwenzangu aliligundua hilo na kunivuta kisha baada ya hapo aliniinamisha.

Kilichoendelea hapo ni kelele zilizokuwa kwenye kitanda tulichokuwa tukikitumia kufanya sex.

Baada ya kumaliza kufanya mapenzi ulikuwa ni mda wa kwenda kazini hivyo siku hiyo niliongozana na Nasir mpaka hospital, tulipofika tulikutana na shemeji Rashidi njiani aliyeniangalia kwa hasira, hakutaka kujali kama nipo na mpenzi wangu Nasir, alitufata mahali tulipokuwa na kunishika mkono.
"Njoo huku na maongezi na wewe" Shemeji Rashidi aliongea huku akinivuta na kunipeleka pembeni.

Tulifika na shemeji Rashidi aliniuliza.
"Ivi Fatuma mimi kukutafutia kazi wewe ilikuwa kosa kwangu!?"
"Hapana shemeji haikuwa kosa kwani shida nini" nilimjibu huku nikitamani kujua sababu iliyomfanya aniulize swali lile.
Shemeji Rashidi aliweka mikono yake kiunoni na kuongea.
"Kama haikuwa kosa kwanini unaniumiza makusudi!?"
"Kukuumiza makusudi kivipi shemeji!?"
"Unajua kabisa mimi nakupenda alafu kwa makusudi umeamua kudate na huyo Nasir doctor mwenzangu ili tu kunifanya nisiwe na raha hapa kazini sindio!?" Shemeji Rashidi alizungumza kwa hisia, ndipo nilipoelewa thumuni la yeye kutaka kufanya maongezi na mimi.

Nilimwambia kuwa sitoki na Nasir ili kumuuza yeye lakini Shemeji Rashidi aliniambia kuwa nimefanya vile makusudi, hakuishia hapo aliniambia kuwa jana usiku alikuja nyumbani kwangu na kuikuta gari ya Nasir nje na ndipo nilipokumbuka kile alichoniambia dada Aisha asubuhi kuwa Mme wake alitoka nyumbani usiku uliopita na hakurudi nyumbani kwake.

Baadae Shemeji Rashidi aliondoka na kuniacha mwenyewe nikiwa njia panda na haikupita mda Nasir alifika.
"Fatuma kuna kitu gani kinachoendelea wewe pamoja na shemeji yako!?"
"Hamna chochote kile" nilimjibu, sikutaka kumwambia siri iliyokuwepo kati yangu mimi na Shemeji Rashidi.

Siku tatu zilipita na siku ya nne nilipokea barua ya kusimamishwa kazi kwa mara nyingine tena pasipo kuwa na kosa lolote lile, Nasir alinifata nakuniambia.
"Fatuma wewe na shemeji yako mnaugomvi gani maana ndiye aliyesababisha wewe usimamishwe kazi" baada ya Nasir kuniambia shemeji Rashidi ndiye aliyesababisha nisimamishwe kazi hasira zilinishika, kutokana na hasira nilizokuwa nazo za kusimamishwa kazi niliamua kumsimulia kiufupi Nasir kuwa shemeji Rashidi ananitaka japo sikumwambia kama nimeshafanya nae mapenzi zaidi ya mara tatu.
"Mmmmh hii hapana shemeji yako anakutaka!?"
"Hiyo ndiyo sababu kubwa na ndiyo maana nimesimamishwa kazi" nilimjibu na Nasir aliahidi atanisaidia niweze kurudishwa kazini.

Nilirudi nyumbani na siku hiyo nilishinda ndani, usiku ulipofika kuna mtu alikuja nyumbani na kupiga hodi kwenye mlango wangu, sauti ilikuwa ya shemeji Rashidi, kwakuwa nilikuwa nimevaa taiti pamoja na chupi huku juu nikiwa nimevaa tishet nilinyenyuka na kujifunga kitenge kisha baada ya hapo nilienda kumfungulia mlango ili nimsikilize kilichomleta nyumbani kwangu.
"Una machaguo mawili tu uachane na Dr Nasir ili uendelee na kazi au uendelee nae ili usiendelee na kazi"
"Kwahiyo ndicho unachokitaka hicho!?" nilimuuliza pasipo kumuangalia usoni.
"Ndiyo maana nipo hapa kwako, niambie sasa ivi nifanye maamuzi ili kesho urudishwe kazini" shemeji Rashidi aliongea hivyo ilibidi nimwambie kuwa nitaachana na Nasir ili tu niweze kurudi kazini.
"Bora tukoswe wote na sipendi kukuona tena ukiwa na mwanaume wa pale kazini lasivyo yatatokea kama yaliyotokea" shemeji Rashidi alizungumza na baadae aliniambia.
"Niletee maji ya kunywa"

Baada ya shemeji Rashidi kuniomba maji ya kunywa nilirudi ndani kwa ajili ya kwenda kumchukulia maji ya kunywa na kumbe alikuwa akitafuta upenyo wa mimi kutoka mlangoni ili aweze kuingia ndani.

Nilishangaa kumuona ndani hivyo nilijua lengo lake ni lipi na shemeji Rashidi alijuwa kuwa sina nguvu za kuweza kumzuia kutokana na mimi kuwa legelege licha ya kuwa na mwili mkubwa.
"Shemeji naomba usinisogelee lasivyo nitakumwagia haya maji!!"
"Nimwagie tu Fatuma ila nimeshindwa kuvumilia kabisa kuwa mbali na wewe" aliongea huku akinisogelea, niliamua kumwagia maji lakini haikusaidia kitu kwani shemeji Rashidi alinifikia na kunishika kisha baada ya hapo alikivuta kitenge changu nilichokuwa nimejifunga na kunifanya nibaki kwenye taiti tu pamoja na tisheti.
"Shemeji mbona hivyo lakini.!!!"
"Fatuma siwezi kuishi bira wewe kabisa kipenzi bora niachane na dada yako ila sio wewe" aliongea nakuanza kunivuta kunipeleka chumbani.

Nilijaribu kujitoa kwenye mikono yake lakini ilikuwa ngumu na huwa nahisi shemeji alikuwa akitumia vitu vya kuongeza nguvu kwani alikuwa na nguvu sana yani ata ile kumvuta tu nilikuwa siwezi kabisa, siku hiyo shemeji Rashidi alifanikiwa kufanya mapenzi na mimi. ndani ya siku mbili nilifanya mapenzi na wanaume wawili.

Nakumbuka usiku wa siku hiyo dada Aisha alimpigia simu shemeji Rashidi lakini alikuwa haipokei simu yake, siku iliyofata Shemeji Rashidi aliondoka huku akinisisitizia nifanye kama nilivyokubaliana nae kwa kuachana na Dr Nasir.

Baada ya siku mbili kupita nilirudishwa kazini kwa mara nyingi ila Nasir alishangaa kuona nikivunja mahusiano. alinibananisha kwenye chemba moja na kuanza kunihoji maswali kama nipo kituoni.
"Fatuma au shemeji yako ndiyo kakwambia uvunje mazoea na mimi!?"
"Wala!! ila nimeamua mwenyewe tu Nasir mimi naona hatuendani hivyo kila mtu afate mambo yake" niliongea nakutaka kuondoka lakini alinirudisha na kunibananisha kwenye ukuta na kuyafanya makalio yangu yajibane ukutani nakukosa nafasi ya kupumua vizuri.
"Nasir nimeshafanya maamuzi haina haja ya wewe kuendelea kunizuia" niliongea ila Nasir alikuwa akinitazama machoni aone kama ninachoongea kina ukweli wowote ule.
"Kuwa mwelewa wewe jamaa huwezi kumbananisha shemeji yangu kwenye ukuta kiasi hicho" ilisikika sauti ya Shemeji Rashidi......ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest