Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05

14th Apr, 2025 Views 9

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kazi nilikuwa naitaka na pia sikutaka kutoka na shemeji Rashidi. shemeji Rashidi alipoona sitaki kumjibu alishuka mwenyewe kwenye gari na kwenda kunifungulia mlango.
"Aya shuka ndani ya gari yangu naona tayari umeshafanya maamuzi ya kukataa kutoka na mimi Fatuma" shemeji Rashidi aliongea, nilikumbwa na hali ya kigugumizi kwenye mdomo wangu na kushindwa kumjibu ila nilimshuhudia akiufunga mlango wa gari yake pasipo kunitoa nje.

Alizunguka upande wa pili na kuingia ndani ya gari kisha baada ya hapo nilimshuhudia akifungua mkanda wa suruali yake na kuutoa mtalimbo wake uliokuwa umelala.
"Aya nyonya upate kazi Fatuma" Shemeji Rashidi aliongea pasipo kuwa na aibu yoyote ile kwangu.

Licha ya kuniambia niunyonye nilibaki nikiwa najishauri na baadae shemeji Rashidi nilimshuhudia akikivuta kichwa changu na kunisogeza ulipo mjegeje wake akinitaka nianze kuunyonya.

Sikuwa na njia nyingine zaidi ya kukubali kufanya kile alichoniambia shemeji Rashidi kwa kuanza kulamba koni. Baadae mtalimbo ulisimama na shemeji Rashidi aliniambia.
"Aya njoo unikalie kipenzi changu na hamu ya kukuzagamua hapa"
"Mmmmh Shemeji hapana kwakweli tupo barabarani" niliongea kwa sauti ya kudeka lakini shemeji Rashidi hakutaka kunielewa zaidi ya kuninyenyua na kunisogeza mahali alipokuwa amekaa yeye kwenye siti ya dereva.
"Sitaki kusikia maneno yako ya shemeji hapana na utambue unaendelea kujipotezea mda mwenyewe Fatuma, utakosa kazi huko tunakoenda shauri yako" shemeji Rashidi aliongea na mimi ilibidi nifanye kama alivyokuwa akitaka.

Kwakuwa nilikuwa nimevaa gauni haikuwa shida kwa shemeji Rashidi kwani alipandisha gauni langu juu na siku hiyo nilivaa taiti kwa ndani pamoja na chupi hivyo alinivua taiti yangu ila hakutaka kunivulisha chupi zaidi ya kuisogeza pembeni, baadae alinikalisha vizuri kwenye mtali...bo wake huku akinitaka niukatikie.

Kiukweli huwa sijui ni aina gani ya hisia nilizonazo na mda mwingine huwa nawaza huenda hisia zangu zipo tofauti na wanawake wengine wenye misimamo yao kwani nilianza kumuonesha ufundi mwenyewe kwa kuukatikia mtalimbo wake huku nikitoa miguno ya mahaba mbele ya shemeji Rashidi na baadae aliamua kuniuliza.
"Unanipenda Fatuma!?"
"Mmmmh shemeji hapana"
"Sawa ata kama hunipendi Fatuma ila mimi nakupenda kuliko ata dada yako na sitaki uwe mbali na mimi" shemeji Rashidi aliongea huku wote tukiendelea kufanya mapenzi ndani ya gari yake.

Baada ya mda aliweza kupiga bao na kama ilivyokawaida ya shemeji Rashidi ya kupiga bao ndani ya kitumbua changu ndicho alichoamua kukifanya.
"Oossshh wewe mtoto mtamu kweli" aliongea huku akifunga mkatanda wa suruali yake vizuri na mimi sikutaka kumjibu zaidi ya kutengeneza gauni langu vizuri na kuvaa taiti yangu.

Shemeji Rashidi aliniangalia kwa hisia, nilishikwa na aibu kwani tulipomaliza kufanya mapenzi ndiyo nilikumbuka kuwa Rashidi ni shemeji yangu tena mme wa dada yangu wa toka nitoke.

Shemeji Rashidi aliwasha gari yake na safari ilianza ya kuelekea hospital, baada ya mda tuliweza kufika, ilibidi nimwambie kwanza anipeleke msalani ili nikajifanyie usafi ndiyo mambo mengine yaendelee, shemeji Rashidi alinipeleka hivyo nilijifanyia usafi kwa kusafisha mbegu zake zilizokuwa kwenye uchi wangu pamoja na nguo yangu ya ndani, baadae nilitoka na kwenda mahali nilipokuwa nimemuacha shemeji Rashidi.

Alinipeleka mpaka sehemu husika na nilipofika nilimkuta mwanaume mwenye rika kama lake aliyenipokea kwa tabasamu na kunipa taratibu za kazi.

Siku hiyo hiyo nilianza kazi kwa mara kwanza na sikukutana na changamoto za kusumbuliwa na wafanyakazi wenzangu wakinitaka nitoke nao kimapenzi.

Wiki moja ilipita na tayari nilikuwa nimeshazoea mazingira ya kazi huku nikiishi kwa dada yangu Aisha, pia shemeji Rashidi alikuwa bado akinisumbua akinitaka nikubali kufanya nae mapenzi kwa mara nyingine lakini mimi sikuwa tayari kwa hilo na nilipanga kuja kuhama nyumbani pindi nitakapopokea mshahara wangu wa kwanza.

Siku moja shemeji Rashidi alinibananisha tukiwa wote kazini.
"Fatuma mbona unaenda kinyume na makubaliano yetu au kwakuwa tayari umeshapata kazi!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Sio vizuri mimi kuwa kwenye mahusiano na wewe, ukizingatia ni shemeji yangu" nilimjibu na kutaka kuondoka lakini aliushika mkono wangu na kunivuta kwa nguvu kisha baada ya hapo aliniambia.
"Leo usiku nitakuja kulala kwenye chumba chako na ole wako ukatae ndiyo utanijua vizuri, sitaki kusikia habari za ushemeji hapa Fatuma" shemeji Rashidi aliongea na baadae aliniachia ili niendelee na kazi zangu.

Kiukweli nilikuwa ni mtu mwenye mawazo hasa baada ya kuniambia kuwa atakuja usiku wa siku hiyo kulala kwenye chumba changu na ukizingatia wote tunaishi nyumba moja, siku hiyo sikufanya kazi kwa amani na niliona kama mda unawahi kwenda kwani haikupita mda, mda wa kazi uliweza kuishi na mimi niliamua kwenda nyumbani, sikutaka kuongozana na shemeji Rashidi.

Nilifika na dada Aisha alivyonitazama aligundua kuwa sipo sawa.
"Fatuma unashida gani mbona unaonekana haupo sawa!?" Dada Aisha aliniuliza.
"Ni uchovu tu dada nilionao ila mimi nipo sawa" nilimjibu na haikupita mda shemeji Rashidi nae aliweza kufika.

Baada ya shemeji Rashidi kufika nilikumbuka kile alichoniambia tulipokuwa hospital kuwa atakuja kulala kwenye chumba changu usiku, nilibaki nikiwa namwangalia lakini yeye hakutaka kujali zaidi ya kumsogelea dada na kumkumbatia mbele yangu na kuongea.
"Nimekumiss mke wangu"
"Mmmh emu niachie na wewe huoni kama shemeji yako yupo hapa!?" Dada alimwambia Shemeji Rashidi.
"Fatuma ni mtu mzima na sio mtoto Aisha hivyo si.... kabra shemeji Rashidi hajamaliza kumjibu dada nilishikwa na kichefuchefu na kukimbia haraka kwa ajili ya kwenda kutapika huku nikiwaacha wakiniangalia.....ITAENDELEA..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest