Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Rashidi alikaa kimya kwa mda na baadae aliongea.
"Ni kweli kabisa nilimtaka Fatuma niwe muwazi kwako mama, kuna sababu zilizonifanya nimtake Fatuma licha ya kuwa nimemuoa ndugu yake" Shemeji Rashidi aliongea mbele ya mama pasipo kuwa na aibu.

Hiyo siku ndiyo niliamini kwenye hii dunia kuna watu wanaojiamini, Shemeji Rashidi pia ni mmoja wao kwani alikuwa akijiamini mbele ya mama labda kwakuwa alikuwa ni mwanamke maana ndiye mzazi pekee tuliyekuwa nae.

Mama alimuuliza sababu iliyomfanya atake kutoka na mimi kimapenzi na shemeji Rashidi alimwambia ni kwa sababu ya dada Aisha kutokushika mimba.
"Lakini hiyo ni mipango ya mungu!, hakukuwa na sababu ya kumtaka mdogo wake"
"Mama, mimi niliona bora nitembee na Fatuma na nizae kwenye familia hii kuliko kwenda kuzaa nje ya ndoa, huu ni mwaka wa tano sasa ivi Aisha hana dalili za kushika ujauzito" Shemeji Rashidi aliongea ila baadae mama alimuuliza.
"Wewe si doctor kwani unashindwa kujua mwanamke wako anasumbuliwa na tatizo gani!?"
"Nimejaribu kumwangalia ila sijaona tatizo lolote lile na kama huu mwaka hatashika mimba basi nitamrudisha nyumbani na kuoa mwanamke mwingine ata hivyo dini yangu inaniruhusu kuoa mwanamke mwingine" Shemeji Rashidi aliongea.
"Huko unaenda mbali mwanangu kwanini usiwe na subira tu, mtoto ni majaliwa na mkeo atashika ujauzito ila sio kutembea na shemeji yako!, kama angepata mimba wewe ungeilea hiyo mimba!?" mama alimuuliza shemeji Rashidi na alimjibu kuwa angeilea na sio kuilea tu angekubali kuitwa baba.

Mama aliona kama shemeji Rashidi kalukwa na akili hivyo alimwambia aondoke nyumbani kwetu akajifikirie upya kuhusu kile alichokisema, shemeji Rashidi aliondoka hivyo tulibaki wawili mimi pamoja na mama.
"Fatuma ivi huyu shemeji yako ana akili kweli!?"
"Nazani umejionea mwenyewe mama"
"Mbona Aisha ni binti mzuri tu kisura na huenda anakuzidi mpaka wewe kwanini asitulie na mwanangu akamvumilia! au jogoo wake hapandi mtungi vizuri ndiyo maana kashindwa kumpa mimba dada yako!?" Mama aliongea bira kujua kama jogoo wa shemeji Rashidi anapanda mtungi maana shahidi ni mimi mwenyewe sema niliamua kukaa na siri hiyo moyoni pasipo kumshirikisha.
"Sifahamu mama labda umuulize Aisha mwenyewe" nilimjibu na baadae mama alichukua simu yake na kumpigia dada Aisha akimtaka aje nyumbani.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali kutoka nyumbani kwetu mpaka alipokuwa akiishi dada Aisha pamoja na mme wake siku hiyo hakuja na siku iliyofata mida ya asubuhi na mapema dada Aisha alifika nyumbani na mama alimuuliza.
"Aisha mme wako analalamika kuwa unachelewa kushika ujauzito, unaweza kuniambia ni kitu gani kinachochelewesha!?"
"Mama mimi kiukweli sijui labda mda bado haujafika tu ila hamna mwenye tatizo kati yetu" dada Aisha alimjibu wakati huo mimi nilikuwa ni msikilizaji wa maongezi yao.
"Usinifiche mwanangu sema kama mme wako jogoo wake hapandi mtungi tuangalie namna ya kumsaidie"
"Wala!! yupo vizuri tu kwenye mambo hayo mama hana tatizo lolote lile" dada Aisha alimjibu na baada ya mda aliondoka.

Nilikaa nyumbani kwa siku kadhaa, maisha yangu yalianza kurudi nyuma kwa kasi kwani ata cent sikuwa nayo, Nilitoka nyumbani na kurudi kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga na hapo ndipo kasheshe nyingine ilipoanzia kwani mpaka ile hela ya kula nilikuwa nakoswa.
"Mmmh sio kwa ugumu huu wa maisha hapa inatakiwa nifanye kitu tu!" niliongea mwenyewe huku nikipiga miayo kutokana na njaa niliyokuwa nayo, wanasema ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni.

Ugumu wa maisha ulinifanya niwaze kuwa na kazi na sio undugu tena hivyo nilimtumia ujumbe shemeji Rashidi nikiomba msaada wa kunitaftia kazi, niliona bora kumtafta shemeji Rashidi kuliko Kasimu maana mziki wa Kasimu hapana kwakweli! yule anakomesha kwenye kufanya mapenzi.

Shemeji Rashidi siku hiyo hakujibu ujumbe wangu na siku hiyo nililala njaa, asubuhi na mapema niliamka nikiwa na njaa nakuamua kwenda kwa dada Aisha huku lengo likiwa nikupata kifungua kinywa nikiwa huko. Nilimkuta Aisha peke yake na shemeji Rashidi alikuwa ameshaenda kazini.
"Mbona leo asubuhi ivi mdogo wangu!?" Dada Aisha aliniuliza na mimi pasipo kumficha nilimwambia ukweli kuwa usiku uliopita sikula.
"Duh wewe mjinga kweli dada yako niko hapa na shemeji yako yupo unashindwa kutujulisha!?" Dada aliongea kwa kulalamika, kutwa nzima nilishinda nyumbani kwake hiyo siku na nilipotaka kurudi nyumbani kwangu dada alinizuia na kuniambia natakiwa nimsubiri shemeji Rashidi aje kwa ajili ya kufanya nae maongezi.

Mda ulisogea na baadae Shemeji Rashidi alifika, alinitazama pasipo kuongea chochote na baadae walichukuana yeye pamoja na dada na kupelekana chumbani. sikujua ni mambo gani waliyoenda kuongea ila baadae waliporudi dada aliniambia kuwa natakiwa kulala nyumbani kwake na nilipomuuliza hakutaka kuniambia sababu.

Mda wa kulala ulifika hivyo nilienda kwenye chumba alichonielekeza kwa ajili ya kulala, nikiwa bado nautafuta usingizi ujumbe wa shemeji Rashidi uliingia kwenye simu yangu ukiniambia.
"Fatuma dada yako kanisimulia kila nipo tayari kukutafutia kazi kwa mara nyingine" niliusoma ujumbe na baadae niliamua kumjibu kwa kuandika "nitashukuru sana kama utanisaidia"
Baada ya kumjibu nilitaka kuitupa simu pembeni ya kitanda ili nilale lakini kuna sms iliingia ya muamala.

Niliifungua kwa ajili ya kuisoma, sikuamini baada ya kuona pesa imetumwa huku namba ya mtumaji ikiwa ni namba ya shemeji Rashidi.
"Hiyo ni kwa ajili yako Fatuma, usifunge mlango usiku nakuja kulala" shemeji Rashidi alinitumia ujumbe na mimi mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio......ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Rashidi alikaa kimya kwa mda na baadae aliongea.
"Ni kweli kabisa nilimtaka Fatuma niwe muwazi kwako mama, kuna sababu zilizonifanya nimtake Fatuma licha ya kuwa nimemuoa ndugu yake" Shemeji Rashidi aliongea mbele ya mama pasipo kuwa na aibu.

Hiyo siku ndiyo niliamini kwenye hii dunia kuna watu wanaojiamini, Shemeji Rashidi pia ni mmoja wao kwani alikuwa akijiamini mbele ya mama labda kwakuwa alikuwa ni mwanamke maana ndiye mzazi pekee tuliyekuwa nae.

Mama alimuuliza sababu iliyomfanya atake kutoka na mimi kimapenzi na shemeji Rashidi alimwambia ni kwa sababu ya dada Aisha kutokushika mimba.
"Lakini hiyo ni mipango ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest