Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilimtimua na shemeji Rashidi aliondoka na mimi nilirudi kitandani na kukaa huku nikiendelea kuwaza kile kilichotokea, baadae nilipata wazo na kuanza kukunja nguo zangu.
"Siwezi kuendelea kukaa hapa tena sitaweza kumuangalia dada Aisha usoni" niliongea mwenyewe huku nikikunja nguo zangu na kuziweka kwenye begi.

Baada ya kumaliza nilienda kuoga na bahati nzuri shemeji Rashidi alitoka na kwenda kazini na kuniacha mimi mwenyewe nyumbani. Baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kubeba begi na kuianza safari ya kurudi nyumbani pasipo kumuaga mtu yoyote yule.

Nilifika nyumbani na mama alishangaa kuniona maana sikumjulisha kama nitakuja siku hiyo.
"Fatuma mbona gafra sana!?"
"Mama nahitaji kupumzika kwa sasa, tutaongea baadae" nilimwambia na kuingia kwenye chumba changu kwa ajili ya kupumzika pasipo kumwambia mama sababu iliyonitoa kwa dada haraka kiasi kile.

Masaa kadhaa yalipita nikiwa nyumbani na mda huo nilikuwa tayari nimeshaamka, sikutaka kumwambia mama kile kilichonitokea ila simu yangu iliita na mpigaji alikuwa ni dada Aisha, moyo wangu ulienda mbio baada ya kuona dada akinipigia simu ila nilijikakamua na kuamua kuipokea.
"Fatuma mbona umeondoka pasipo kutupa taarifa!?" Dada aliniuliza.
"Utanisamehe dada yangu nilimkumbuka mama ndiyo maana nikaamua kuja nyumbani mara moja" nilimjibu na baadae dada aliniambia.
"Yote sawa lakini kwanini uondoke pasipo kutuambia na chumba umekiacha hovyo huku ukiwa umemwaga chai chini na kupasua sahani pasipo ata kukifanyia usafi!?" Swali la dada lilinifanya nikumbuke kile kilichotokea asubuhi ila niliamua kumuomba msamaha na kumwambia kuwa nilikuwa na haraka ndiyo maana sikukisafisha chumba nilichokuwa nikilala.

Maongezi yetu mama alikuwa akiyasikia na baadae aliamua kuniuliza.
"Hiyo ndiyo sababu iliyokutoa kwa dada yako!?"
"Ndiyo mama ata hivyo mimi siwezi kurudi huko tena na uzuri shemeji ameahidi mwenyewe atanisaidia kunitafutia kazi" nilimjibu mama na bahati nzuri mama alinielewa na hakuendelea tena kuniuliza maswali.

Siku hiyo ilipita nikiwa nyumbani na siku iliyofata shemeji Rashidi alinipigia simu lakini sikutaka kuipokea na baada ya kuona sipokei simu alinitumia ujumbe wa kunipa taarifa kuwa tayari ameshafanikisha kunitengenezea mpango wa kufanyakazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyiakazi yeye. Kiukweli nilijikuta nikifurahi nakusahau kile alichonifanyia shemeji Rashidi maana niliamini ndoto yangu inaenda kutimia.

Haikupita mda shemeji Rashidi alinipigia simu na mimi sikutaka kuacha kuipokea kama nilivyokuwa nikifanya mwanzo, niliipokea na Shemeji Rashidi aliongea.
"Kesho kutwa unatakiwa ufike haraka kazini" aliniambia na kukata simu na hakutaka kunipa nafasi ya mimi kumuuliza.

Niliamua kumtumia ujumbe nikimtaka anipe maelezo vizuri lakini shemeji Rashidi hakunijibu zaidi ya kukaa kimya.
Sikutaka kuendelea kuumiza kichwa kwa kitendo cha shemeji Rashidi kutokujibu ujumbe wangu hivyo nilipanga kuondoka nyumbani siku inayofata kwa ajili ya kwenda kuishi kwa dada kwa mda kwani kulikuwa na ukaribu mkubwa na sehemu niliyotakiwa kufanya kazi.

Siku iliyofata niliondoka nyumbani na kwenda nyumbani kwa dada Aisha na nilimkuta akiwa mwenyewe huku shemeji Rashidi akiwa kazini.
"Hongera mdogo wangu kwa kupata kazi shemeji yako amekupambania sana" dada alinipa pongezi na mimi niliamua kuzipokea pongezi zake.

Baada ya masaa kwenda shemeji Rashidi aliweza kurudi nyumbani na alinikuta nikiwa nimekaa mwenyewe sebleni, alinipita pasipo ata kunisemesha na mimi kidogo nilianza kujiuliza amepatwa na kitu gani shemeji Rashidi mpaka kuamua kuninunia kiasi kile!!.

Siku hiyo ilipita bira shemeji Rashidi kuniongelesha na siku iliyofata nilijiandaa mapema ili niweze kuelekea kazini maana ndiyo ilikuwa siku yangu ya kwanza. Niliongozana na shemeji Rashidi kwenda kupanda kwenye gari yake na mpaka mda huo shemeji Rashidi alikuwa hataki kabisa kuniongelesha, wote tulikuwa kimyaa ndani ya gari huku tukiendelea na safari ya kuelekea hospital.

Baada ya safari ya dekika kadhaa shemeji Rashidi aliipaki gari yake pembeni na kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Ivi Fatuma unajua nimepambana kiasi gani mpaka kukutafutia nafasi wewe pale kazini!?"
"Sijui shemeji" nilimjibu na shemeji Rashidi aliongea.
"Kwakuwa hujui ngoja nikwambie sasa, nimetoa pesa nyingi sana ili waweze kukuajiri wewe na mimi niliamua kukusaidia wewe sio kwa sababu ni shemeji yangu ila ni kwakuwa nakupenda na nahitaji uwe mtu wangu" shemeji Rashidi aliongea kwa hisia.
"Wewe tayari ni mme wa dada haiwezekani mimi kuwa pamoja na wewe" nilimjibu pasipo kumuangalia usoni.
"Kwani mimi nimekwambia nataka nikuoe Fatuma!? mimi ninachotaka kwako ni mapenzi tu na sio kingine".
"Mmmmh shemeji hiyo haitawezekana siku dada akijua hatonisamehe na italeta picha mbaya kwa upande wangu"
"Oooh basi chagua moja ushuke kwenye gari yangu na hutopata kazi au ukubali kuwa unafanya mapenzi na mimi kisiri ili upate kazi" shemeji Rashidi aliniambia, nilibaki njia panda kutokana na kile alichokiongea......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilimtimua na shemeji Rashidi aliondoka na mimi nilirudi kitandani na kukaa huku nikiendelea kuwaza kile kilichotokea, baadae nilipata wazo na kuanza kukunja nguo zangu.
"Siwezi kuendelea kukaa hapa tena sitaweza kumuangalia dada Aisha usoni" niliongea mwenyewe huku nikikunja nguo zangu na kuziweka kwenye begi.

Baada ya kumaliza nilienda kuoga na bahati nzuri shemeji Rashidi alitoka na kwenda kazini na kuniacha mimi mwenyewe nyumbani. Baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kubeba begi na kuianza safari ya kurudi nyumbani pasipo kumuaga mtu yoyote yule.

Nilifika nyumbani na mama alishangaa kuniona maana sikumjulisha kama nitakuja siku hiyo.
"Fatuma mbona gafra sana!?"
"Mama nahitaji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

467
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

342
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest