Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilimtimua na shemeji Rashidi aliondoka na mimi nilirudi kitandani na kukaa huku nikiendelea kuwaza kile kilichotokea, baadae nilipata wazo na kuanza kukunja nguo zangu.
"Siwezi kuendelea kukaa hapa tena sitaweza kumuangalia dada Aisha usoni" niliongea mwenyewe huku nikikunja nguo zangu na kuziweka kwenye begi.

Baada ya kumaliza nilienda kuoga na bahati nzuri shemeji Rashidi alitoka na kwenda kazini na kuniacha mimi mwenyewe nyumbani. Baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kubeba begi na kuianza safari ya kurudi nyumbani pasipo kumuaga mtu yoyote yule.

Nilifika nyumbani na mama alishangaa kuniona maana sikumjulisha kama nitakuja siku hiyo.
"Fatuma mbona gafra sana!?"
"Mama nahitaji kupumzika kwa sasa, tutaongea baadae" nilimwambia na kuingia kwenye chumba changu kwa ajili ya kupumzika pasipo kumwambia mama sababu iliyonitoa kwa dada haraka kiasi kile.

Masaa kadhaa yalipita nikiwa nyumbani na mda huo nilikuwa tayari nimeshaamka, sikutaka kumwambia mama kile kilichonitokea ila simu yangu iliita na mpigaji alikuwa ni dada Aisha, moyo wangu ulienda mbio baada ya kuona dada akinipigia simu ila nilijikakamua na kuamua kuipokea.
"Fatuma mbona umeondoka pasipo kutupa taarifa!?" Dada aliniuliza.
"Utanisamehe dada yangu nilimkumbuka mama ndiyo maana nikaamua kuja nyumbani mara moja" nilimjibu na baadae dada aliniambia.
"Yote sawa lakini kwanini uondoke pasipo kutuambia na chumba umekiacha hovyo huku ukiwa umemwaga chai chini na kupasua sahani pasipo ata kukifanyia usafi!?" Swali la dada lilinifanya nikumbuke kile kilichotokea asubuhi ila niliamua kumuomba msamaha na kumwambia kuwa nilikuwa na haraka ndiyo maana sikukisafisha chumba nilichokuwa nikilala.

Maongezi yetu mama alikuwa akiyasikia na baadae aliamua kuniuliza.
"Hiyo ndiyo sababu iliyokutoa kwa dada yako!?"
"Ndiyo mama ata hivyo mimi siwezi kurudi huko tena na uzuri shemeji ameahidi mwenyewe atanisaidia kunitafutia kazi" nilimjibu mama na bahati nzuri mama alinielewa na hakuendelea tena kuniuliza maswali.

Siku hiyo ilipita nikiwa nyumbani na siku iliyofata shemeji Rashidi alinipigia simu lakini sikutaka kuipokea na baada ya kuona sipokei simu alinitumia ujumbe wa kunipa taarifa kuwa tayari ameshafanikisha kunitengenezea mpango wa kufanyakazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyiakazi yeye. Kiukweli nilijikuta nikifurahi nakusahau kile alichonifanyia shemeji Rashidi maana niliamini ndoto yangu inaenda kutimia.

Haikupita mda shemeji Rashidi alinipigia simu na mimi sikutaka kuacha kuipokea kama nilivyokuwa nikifanya mwanzo, niliipokea na Shemeji Rashidi aliongea.
"Kesho kutwa unatakiwa ufike haraka kazini" aliniambia na kukata simu na hakutaka kunipa nafasi ya mimi kumuuliza.

Niliamua kumtumia ujumbe nikimtaka anipe maelezo vizuri lakini shemeji Rashidi hakunijibu zaidi ya kukaa kimya.
Sikutaka kuendelea kuumiza kichwa kwa kitendo cha shemeji Rashidi kutokujibu ujumbe wangu hivyo nilipanga kuondoka nyumbani siku inayofata kwa ajili ya kwenda kuishi kwa dada kwa mda kwani kulikuwa na ukaribu mkubwa na sehemu niliyotakiwa kufanya kazi.

Siku iliyofata niliondoka nyumbani na kwenda nyumbani kwa dada Aisha na nilimkuta akiwa mwenyewe huku shemeji Rashidi akiwa kazini.
"Hongera mdogo wangu kwa kupata kazi shemeji yako amekupambania sana" dada alinipa pongezi na mimi niliamua kuzipokea pongezi zake.

Baada ya masaa kwenda shemeji Rashidi aliweza kurudi nyumbani na alinikuta nikiwa nimekaa mwenyewe sebleni, alinipita pasipo ata kunisemesha na mimi kidogo nilianza kujiuliza amepatwa na kitu gani shemeji Rashidi mpaka kuamua kuninunia kiasi kile!!.

Siku hiyo ilipita bira shemeji Rashidi kuniongelesha na siku iliyofata nilijiandaa mapema ili niweze kuelekea kazini maana ndiyo ilikuwa siku yangu ya kwanza. Niliongozana na shemeji Rashidi kwenda kupanda kwenye gari yake na mpaka mda huo shemeji Rashidi alikuwa hataki kabisa kuniongelesha, wote tulikuwa kimyaa ndani ya gari huku tukiendelea na safari ya kuelekea hospital.

Baada ya safari ya dekika kadhaa shemeji Rashidi aliipaki gari yake pembeni na kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Ivi Fatuma unajua nimepambana kiasi gani mpaka kukutafutia nafasi wewe pale kazini!?"
"Sijui shemeji" nilimjibu na shemeji Rashidi aliongea.
"Kwakuwa hujui ngoja nikwambie sasa, nimetoa pesa nyingi sana ili waweze kukuajiri wewe na mimi niliamua kukusaidia wewe sio kwa sababu ni shemeji yangu ila ni kwakuwa nakupenda na nahitaji uwe mtu wangu" shemeji Rashidi aliongea kwa hisia.
"Wewe tayari ni mme wa dada haiwezekani mimi kuwa pamoja na wewe" nilimjibu pasipo kumuangalia usoni.
"Kwani mimi nimekwambia nataka nikuoe Fatuma!? mimi ninachotaka kwako ni mapenzi tu na sio kingine".
"Mmmmh shemeji hiyo haitawezekana siku dada akijua hatonisamehe na italeta picha mbaya kwa upande wangu"
"Oooh basi chagua moja ushuke kwenye gari yangu na hutopata kazi au ukubali kuwa unafanya mapenzi na mimi kisiri ili upate kazi" shemeji Rashidi aliniambia, nilibaki njia panda kutokana na kile alichokiongea......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nilimtimua na shemeji Rashidi aliondoka na mimi nilirudi kitandani na kukaa huku nikiendelea kuwaza kile kilichotokea, baadae nilipata wazo na kuanza kukunja nguo zangu.
"Siwezi kuendelea kukaa hapa tena sitaweza kumuangalia dada Aisha usoni" niliongea mwenyewe huku nikikunja nguo zangu na kuziweka kwenye begi.

Baada ya kumaliza nilienda kuoga na bahati nzuri shemeji Rashidi alitoka na kwenda kazini na kuniacha mimi mwenyewe nyumbani. Baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kubeba begi na kuianza safari ya kurudi nyumbani pasipo kumuaga mtu yoyote yule.

Nilifika nyumbani na mama alishangaa kuniona maana sikumjulisha kama nitakuja siku hiyo.
"Fatuma mbona gafra sana!?"
"Mama nahitaji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest