Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801
……………………….0748697173
Umri………………..18+

Kwa jina naitwa Fatuma karibu katika mkasa huu ili upate kujua yaliyonipata baada ya mimi kukutana na shemeji yangu aliyekuwa amemuoa dada yangu wa kumfata tuliyezaliwa nae tumbo moja.

Chondechondechondee..... story hii ni kwa wakubwa tu wale walio juu ya umri wa miaka 18 na kuendelea, na kwa wale walio na umri wa chini ya miaka 18 naomba mtupishe kidogo.

Ilikuwa ni mida ya asubuhi niliyokuwa nimelala kitandani, nilisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniamsha lakini mimi sikutaka kuamka.

Mama baada ya kuona sitaki kuamka aliamua kuingia kwenye chumba changu na kuanza kuniamsha huku akiyapiga makalio yangu.
"Wewe Fatuma amka haraka uende nyumbani kwa dada yako, kanipigia simu nakuniambia kuwa shemeji yako anakusubiri umpeleke vyeti vyako"
"Mmmmh mama lakini!! mbona bado mapema sana niache niendelee kulala kwanza" nilimjibu mama na kujifunika shuka kwa ajili ya kuendelea kulala.
"Unaona sasa ujinga ulionao wewe mtoto!? ndiyo maana mpaka sasa ivi upo upo tu huna mwelekeo wa maisha, amka haraka huko" mama aliniambia kwa msisitizo hali iliyonifanya niamke na kukaa kitandani huku nikipiga miayo kutokana na chembe chembe za usingizi nilizokuwa nazo.

Baadae nilitoka kitandani na kwenda bafuni kuoga kwa ajili ya kujiandaa kuelekea kwenye nyumba ya dada yangu aliyekuwa akiitwa Aisha ili nikakutane na shemeji yangu aliyekuwa akiitwa Rashidi na lengo kubwa ni shemeji Rashidi anisaidie kunitafutia kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi.

Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilibeba begi langu lililokuwa na nguo baadhi kisha baada ya hapo nilimuaga mama na kuondoka. Nilienda kupanda kwenye gari na nikiwa ndani ya gari niliishika simu yangu na kumtumia ujumbe Aisha nikimwambia kuwa nipo njiani nakuja nyumbani kwake.

Dada alijibu ujumbe niliomtumia kwa kuniambia kuwa shemeji Rashidi ndiye atakayenipokea kwani yeye alikuwa amebanana kidogo. Baada ya kuwasiliana na dada niliegemea kwenye siti ya gari niliyokuwa nimekaa na baadae nilijikuta nikipitiwa na usingizi, nilikuja kushituka baada ya masaa kadhaa kupita hasa baada ya kugundua kuwa gari imefika sehemu niliyokuwa nikielekea.

Niliteremka kwenye gari nililokuwa nimepanda na bahati nzuri kuna namba ngeni mda huo huo ilinipigia kwenye simu yangu hivyo niliamua kuipokea na sauti iliyosikika ilikuwa ni sauti ya shemeji Rashidi akiniuliza kama tayari nimeshafika.

Nilimwambia kuwa nimeshafika na shemeji Rashidi aliahidi atafika baada ya mda mfupi tu, nilimsubiri Shemeji Rashidi na baada ya mda aliweza kufika akiwa kavaa kanzu kama ilivyo tamaduni ya dini yetu.

Shemeji Rashidi alisogea mahali nilipokuwa mimi huku akiniangalia machoni na aliponifikia tulisalimiana kwa kushikana mikono lakini nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinitekenya kwenye kiganja changu cha mkono huku akiniambia.
"Umekuwa sana Fatuma"
"Mbona nipo vile vile tu Shemeji" nilimjibu huku nikiangalia pembeni kutokana na aibu niliyokuwa nayo.
"Mmmh basi mtu uliyenae atakuwa anakufaudu sana Fatuma"
Shemeji Rashidi aliongea hivyo na mimi ilibidi nimuulize.
"Kwanini unasema hivyo Shemeji..!?"
"Umejaliwa kuwa na umbo zuri Fatuma kuliko ata dada yako Aisha natamani mimi ndiye ningeipata hiyo bahati ya kuwa na wewe ila tayari nimeshamuoa dada yako" alinijibu na ndipo nilipotambua dhumuni la Shemeji Rashidi kuniambia kuwa nimejaliwa kuwa na umbo zuri.
"Shemeji hapana!! mimi nipo kawaida mbona!" nilimjibu na baadae niliamua kubadilisha mada ili asiendelee kuongea maneno yaliyokuwa yakinipa wakati mgumu kuyajibu.

Baadae tuliondoka na kuelekea nyumbani kwake na baada ya mda tuliweza kufika na kumkuta dada Aisha akiwa anafanya usafi kwenye nyumba tena akiwa kajifunga kitenge tu. Sikushangaa sana kumkuta akiwa amevaa vile kwani dada ndivyo alivyokuwa amezoea kuvaa toka tulivyokuwa tukiishi wote nyumbani.

Tulisalimiana na Aisha alinikaribisha nyumbani kwake na kuchukia mizigo yangu na kuipeleka chumbani. Nilibaki mimi pamoja na shemeji Rashidi lakini nilishangaa kwa jinsi alivyokuwa akiniangalia huku akichezesha miguu yake na baadae aliamua kuniuliza kama vyeti vyangu nimekuja navyo, nilimjibu nimekuja navyo hivyo nilienda kuvichukua na kumpatia.

Vyeti vyangu vilikuwa na ufaulu wa kawaida ila nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinisifia baada ya kuvikagua kwa kuniambia kuwa nilifanya vizuri shuleni kitu kilichonishangaza maana sikuwa na ufaulu wa kulizisha kiasi hicho kama aliyokuwa akinisifia shemeji Rashidi.

Baadae shemeji Rashidi aliniahidi atanisaidia ili niweze kupata kazi na siku mbili zilipita nikiwa naishi nyumbani kwa dada huku shemeji Rashidi akihangaika kunitafutia kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi yeye.

Siku moja nilipatwa na homa kali hivyo shemeji Rashidi aliingia kwenye chumba nilichokuwa nimelala na kupeleka mikono yake kwenye mashavu yangu kwa ajili ya kupima joto la mwili wangu.
"Hali yako ni mbaya sana shemeji ila nisubiri nije mara moja" Shemeji Rashidi aliongea na kutoka chumbani.
Baada ya mda alirudi huku akiwa kashika sindano kwenye mkono wake na kuufunga mlango kisha baada ya hapo aliniambia.
"Shemeji itabidi nikuchome sindano ya kutuliza hali uliyonayo kisha baada ya hapo nitakupeleka hospital ili uweze kuchukuliwa vipimo"
Baada ya shemeji Rashidi kuniambia kuwa anataka kunichoma sindano nilianza kuingiwa na hofu kwani nilikuwa mwoga sana wa kuchomwa sindano.

Ilibidi nimpe mkono wangu ili aweze kunichoma sindano lakini shemeji Rashidi alikataa kunichoma sindano kwenye mkono na badala yake aliniambia.
"Ingekuwa vizuri kama ungevua ili niweze kukuchoma kwenye makalio yako shemeji"
"Mmmh shemeji hiyo hapana kwanini usinichome kwenye mkono hapa!?" nilimjibu lakini shemeji Rashidi aliendelea kunitaka nivue nguo ili aweze kunichoma sindano kwenye makalio yangu huku akidai ni kwa ajili ya usalama wa afya yangu.....ITAENDELEA.

Aya sasa kazi kwenu ndiyo kwanza sehemu ya kwanza, nahitaji like 300 pamoja na komenti za kutosha ili nitupie kipande cha pili leo leo ?????????????????????
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801
……………………….0748697173
Umri………………..18+

Kwa jina naitwa Fatuma karibu katika mkasa huu ili upate kujua yaliyonipata baada ya mimi kukutana na shemeji yangu aliyekuwa amemuoa dada yangu wa kumfata tuliyezaliwa nae tumbo moja.

Chondechondechondee..... story hii ni kwa wakubwa tu wale walio juu ya umri wa miaka 18 na kuendelea, na kwa wale walio na umri wa chini ya miaka 18 naomba mtupishe kidogo.

Ilikuwa ni mida ya asubuhi niliyokuwa nimelala kitandani, nilisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniamsha lakini mimi sikutaka kuamka.

Mama baada ya kuona sitaki kuamka aliamua kuingia kwenye chumba changu na kuanza kuniamsha huku akiyapiga makalio yangu.
"Wewe Fatuma amka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

279
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest