Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA.........
Kwakuwa tayari nilikuwa na uhakika na kazi baada ya kupewa ahadi siku iliyofata niliamuacha kuacha kazi nilipokuwa nikifanya mwanzo kwa kuandika barua na kwenda kuikabizi na kuondoka, nilifika nyumbani kwangu ikiwa ni mida ya saa 7 mchana na kuingia ndani.
"Mmmh bora kabisa niwe mbali na shemeji Rashidi hii itasaidia sana" niliongea mwenyewe na simu yangu iliita, mpigaji alikuwa ni Nasir, sikutaka kupokea simu zaidi ya kuiangalia.
Baada ya saa moja kupita nilisikia mlango ukigongwa wa nyumba niliyokuwa nikiishi, pasipo kuuliza nilienda kuufungua, mtu aliyekuwa amesimama nje alikuwa ni shemeji Rashidi.
"Fatuma kwanini umeamua kuacha kazi!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nimeamua ili niwe mbali na wewe maana unanisumbua sana na kunipelekesha"
"Sasa kama wewe ni mtamu mimi nifanyeje!? angalia makalio yako yalivyo ivi ungekuwa wewe ni mwanaume ungeacha kumpenda mwanamke kama wewe!?" Shemeji Rashidi aliongea na mimi niliona kama ananipigia kelele hivyo nilimwambia aondoke kwani tayari maamuzi nilikuwa nimeyafanya.
Shemeji Rashidi alinifanyia mchezo kama anaonifanyia siku zote kwa kunisukuma na kwenda kuanguka chini upande wa ndani, Shemeji Rashidi aliingia ndani na kuufunga mlango wakati huo mimi nikiwa naugulia maumivu baada ya kuyaangukia makalio yangu vibaya hivyo yalikuwa yakiuma pamoja na kiuno.
"Fatuma naomba ubadilishe maamuzi yako kitu ulichokifanya sio sahihi na pia nisamehe kwa kukusukuma" Shemeji Rashidi aliongea na kutaka kunisogelea.
"Kaa mbali na mimi leo usijaribu ata kunigusa shemeji"
"Mmmh basi sikugusi maana leo unaonekana unahasira sana Shemeji kama simba jike..!" Shemeji Rashidi aliongea na kwenda kukaa kwenye kochi, nilinyenyuka kwa tabu huku nikiwa nimeshika makalio yangu pamoja na kiuno na kwenda kukaa pembeni ya kochi.
Mda huo bado nilikuwa nikisikia maumivu hivyo ata akili ya kumtimua shemeji Rashidi sikuwa nayo kabisa, wote tulikaa kimya kwa dekika 1 na baada ya maumivu kuisha ndipo akili yangu ilipokaa sawa.
"Aya simama uondoke nyumbani kwangu" nilimwambia Shemeji Rashidi ila mda huo huo tulisikia sauti upande wa nje iliyotufanya wote tukae kimya na shemeji Rashidi alisimama na kukimbilia chumbani kwangu kwa ajili ya kwenda kujificha.
Ilikuwa ni sauti ya dada Aisha aliyekuwa amefika nyumbani kwangu bira ata kunipa taarifa za ujio wake.
"Hii kazi nyingine dada akimuona Shemeji Rashidi lazima ataamini kuwa natoka nae" niliongea huku nikikuna kichwa changu na baadae nilienda kufungua mlango huku shemeji Rashidi akiwa kajificha chumbani kwangu.
"Fatuma kuna tatizo gani!?" ni swali aliloniuliza dada baada ya mimi kufungua mlango.
"Hapana hamna tatizo kwanini umeniuliza hivyo dada!?"
"Shemeji yako kanipigia simu na kuniambia kuwa umeamua kuacha kazi, alafu hili si gari lake Fatuma hapo nje!?"
Mtihani mwingine kwangu ni baada ya dada Aisha kuiona gari ya mme wake ikiwa imepaki pembeni ya nyumba yangu.
"Ndiyo ni yake alikuwa hapa mda sio mrefu na alikuwa akiniuliza kwanini nimeamua kuacha kazi!? ila limeharibika na ameenda kumtafuta fundi wa kuja kulitengeneza" niliongea huku nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu, moyoni nilikuwa nikiombea dada asiweze kuingia ndani lakini mwenzangu aliingia pasipo ata kumkaribisha na sikuwa na uwezo wa kumzuia.
Aliingia na alipofika alikaa kwenye kochi na kuvua kibode chake alichokuwa amevaa na kubaki kwenye sindilia, baada ya hapo alianza kujipepea.
"Nyumba yako inajoto hii Fatuma lakini bado hujanieleza sababu ya wewe kuacha kazi!?" Dada Aisha aliniuliza kwa mara nyingine na mimi niliamua kumwambia ni kwa sababu ya masilahi, nilimwambia nimepata sehemu nyingine yenye mshahara mzuri.
"Hapo nimekuelewa mdogo wangu na leo nataka tushinde wote hapa nyumbani kwako"
"Karibu dada haina shida" nilimjibu na kuondoka huku nikimuacha mwenyewe.
Nilienda kwenye chumba changu ninacholala na kumkuta shemeji Rashidi akiwa kalala kitandani. Shemeji Rashidi baada ya kuniona alinisogelea na kuniambia.
"Fatuma mtoe dada yako nyumbani kwako ili nipate nafasi ya kuondoka"
"Kwani mimi nilikuita siulikuja mwenyewe" nilimwambia Shemeji huku nikivua nguo zangu nilizokuwa nazo kwa ajili kuvaa nguo nyepesi maana kulikuwa na joto kali siku hiyo.
Sikutaka kuogopa kuvua mbele ya shemeji Rashidi maana tayari alikuwa ameshaugusa mwili wangu.
Nilivua na kubaki kwenye chupi hivyo nilienda kuchukua dela langu kwa ajili ya kulivaa lakini kumbe lilikuwa ni kosa kubwa nililolifanya la kuvua mbele yake, nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinikumbatia nyuma ya mgongo wangu huku akishika mapaja yangu.
"Niachie shemeji lasivyo nitapiga kelele dada aje humu chumbani"
"Wewe piga tu shemeji mimi nipo tayari kuachana na dada yako ila siwezi kuacha kukukumbatia ata siku moja" Shemeji Rashidi aliongea na akili zake zilikuwa zimeluka yani hakujali kama Dada Aisha nimeuacha sebeleni mda huo.
Nilizisikia pulukushani zake za kufungua zipo ya suruali yake kwa ajili ya kuutoa mlambo wake hivyo nilisogea pembeni huku nikiwa nimeshika dela langu mkononi. Shemeji Rashidi aliutoa mtalimbo wake uliokuwa umeshasimama tayari.
"Sheme..ji" nilimuita shemeji Rashidi kwa sauti ya chini hasa baada ya kumuona akinifata, haraka nilipata wazo la kuvaa dela langu ili nitoke chumbani.
Nililishika vizuri na kulipitisha kichwani kwangu kwa ajili ya kuvaa, wakati mimi nikihangaika kuvaa dela Shemeji aliamua kuitumia nafasi hiyo kwani alinisogelea na kunisukumia kitandani kwa nguvu.
Bahati mbaya kwangu nilikuwa bado sijamaliza kuvaa vizuri, Shemeji Rashidi hakutaka kujali kuhusu hilo zaidi ya kuanza kunilazimisha kunivulisha chupi na pulukushani zetu dada Aisha alizisikia hivyo nilisikia sauti ya dada ikiniongelesha.
"Fatuma kuna kitu gani humo chumbani kinachoendelea!?" Nilibaki nikiwa nimezubaa na kushindwa namna ya kumjibu lakini shemeji Rashidi wala!!, alikuwa hajali kabisa kuhusu uwepo wa dada pale nyumbani kwangu na badala yake aliamua kuitumia kama faida kwake baada ya kuniona nimezubaa nikimsikiliza dada......ITAENDELEA.
Full Tsh1000 namba za malipo ????????????
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.