Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kwakuwa tayari nilikuwa na uhakika na kazi baada ya kupewa ahadi siku iliyofata niliamuacha kuacha kazi nilipokuwa nikifanya mwanzo kwa kuandika barua na kwenda kuikabizi na kuondoka, nilifika nyumbani kwangu ikiwa ni mida ya saa 7 mchana na kuingia ndani.
"Mmmh bora kabisa niwe mbali na shemeji Rashidi hii itasaidia sana" niliongea mwenyewe na simu yangu iliita, mpigaji alikuwa ni Nasir, sikutaka kupokea simu zaidi ya kuiangalia.

Baada ya saa moja kupita nilisikia mlango ukigongwa wa nyumba niliyokuwa nikiishi, pasipo kuuliza nilienda kuufungua, mtu aliyekuwa amesimama nje alikuwa ni shemeji Rashidi.
"Fatuma kwanini umeamua kuacha kazi!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nimeamua ili niwe mbali na wewe maana unanisumbua sana na kunipelekesha"
"Sasa kama wewe ni mtamu mimi nifanyeje!? angalia makalio yako yalivyo ivi ungekuwa wewe ni mwanaume ungeacha kumpenda mwanamke kama wewe!?" Shemeji Rashidi aliongea na mimi niliona kama ananipigia kelele hivyo nilimwambia aondoke kwani tayari maamuzi nilikuwa nimeyafanya.

Shemeji Rashidi alinifanyia mchezo kama anaonifanyia siku zote kwa kunisukuma na kwenda kuanguka chini upande wa ndani, Shemeji Rashidi aliingia ndani na kuufunga mlango wakati huo mimi nikiwa naugulia maumivu baada ya kuyaangukia makalio yangu vibaya hivyo yalikuwa yakiuma pamoja na kiuno.
"Fatuma naomba ubadilishe maamuzi yako kitu ulichokifanya sio sahihi na pia nisamehe kwa kukusukuma" Shemeji Rashidi aliongea na kutaka kunisogelea.
"Kaa mbali na mimi leo usijaribu ata kunigusa shemeji"
"Mmmh basi sikugusi maana leo unaonekana unahasira sana Shemeji kama simba jike..!" Shemeji Rashidi aliongea na kwenda kukaa kwenye kochi, nilinyenyuka kwa tabu huku nikiwa nimeshika makalio yangu pamoja na kiuno na kwenda kukaa pembeni ya kochi.

Mda huo bado nilikuwa nikisikia maumivu hivyo ata akili ya kumtimua shemeji Rashidi sikuwa nayo kabisa, wote tulikaa kimya kwa dekika 1 na baada ya maumivu kuisha ndipo akili yangu ilipokaa sawa.
"Aya simama uondoke nyumbani kwangu" nilimwambia Shemeji Rashidi ila mda huo huo tulisikia sauti upande wa nje iliyotufanya wote tukae kimya na shemeji Rashidi alisimama na kukimbilia chumbani kwangu kwa ajili ya kwenda kujificha.

Ilikuwa ni sauti ya dada Aisha aliyekuwa amefika nyumbani kwangu bira ata kunipa taarifa za ujio wake.
"Hii kazi nyingine dada akimuona Shemeji Rashidi lazima ataamini kuwa natoka nae" niliongea huku nikikuna kichwa changu na baadae nilienda kufungua mlango huku shemeji Rashidi akiwa kajificha chumbani kwangu.
"Fatuma kuna tatizo gani!?" ni swali aliloniuliza dada baada ya mimi kufungua mlango.
"Hapana hamna tatizo kwanini umeniuliza hivyo dada!?"
"Shemeji yako kanipigia simu na kuniambia kuwa umeamua kuacha kazi, alafu hili si gari lake Fatuma hapo nje!?"

Mtihani mwingine kwangu ni baada ya dada Aisha kuiona gari ya mme wake ikiwa imepaki pembeni ya nyumba yangu.
"Ndiyo ni yake alikuwa hapa mda sio mrefu na alikuwa akiniuliza kwanini nimeamua kuacha kazi!? ila limeharibika na ameenda kumtafuta fundi wa kuja kulitengeneza" niliongea huku nikiwa na wasiwasi wa hali ya juu, moyoni nilikuwa nikiombea dada asiweze kuingia ndani lakini mwenzangu aliingia pasipo ata kumkaribisha na sikuwa na uwezo wa kumzuia.

Aliingia na alipofika alikaa kwenye kochi na kuvua kibode chake alichokuwa amevaa na kubaki kwenye sindilia, baada ya hapo alianza kujipepea.
"Nyumba yako inajoto hii Fatuma lakini bado hujanieleza sababu ya wewe kuacha kazi!?" Dada Aisha aliniuliza kwa mara nyingine na mimi niliamua kumwambia ni kwa sababu ya masilahi, nilimwambia nimepata sehemu nyingine yenye mshahara mzuri.
"Hapo nimekuelewa mdogo wangu na leo nataka tushinde wote hapa nyumbani kwako"
"Karibu dada haina shida" nilimjibu na kuondoka huku nikimuacha mwenyewe.

Nilienda kwenye chumba changu ninacholala na kumkuta shemeji Rashidi akiwa kalala kitandani. Shemeji Rashidi baada ya kuniona alinisogelea na kuniambia.
"Fatuma mtoe dada yako nyumbani kwako ili nipate nafasi ya kuondoka"
"Kwani mimi nilikuita siulikuja mwenyewe" nilimwambia Shemeji huku nikivua nguo zangu nilizokuwa nazo kwa ajili kuvaa nguo nyepesi maana kulikuwa na joto kali siku hiyo.

Sikutaka kuogopa kuvua mbele ya shemeji Rashidi maana tayari alikuwa ameshaugusa mwili wangu.
Nilivua na kubaki kwenye chupi hivyo nilienda kuchukua dela langu kwa ajili ya kulivaa lakini kumbe lilikuwa ni kosa kubwa nililolifanya la kuvua mbele yake, nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinikumbatia nyuma ya mgongo wangu huku akishika mapaja yangu.
"Niachie shemeji lasivyo nitapiga kelele dada aje humu chumbani"
"Wewe piga tu shemeji mimi nipo tayari kuachana na dada yako ila siwezi kuacha kukukumbatia ata siku moja" Shemeji Rashidi aliongea na akili zake zilikuwa zimeluka yani hakujali kama Dada Aisha nimeuacha sebeleni mda huo.

Nilizisikia pulukushani zake za kufungua zipo ya suruali yake kwa ajili ya kuutoa mlambo wake hivyo nilisogea pembeni huku nikiwa nimeshika dela langu mkononi. Shemeji Rashidi aliutoa mtalimbo wake uliokuwa umeshasimama tayari.
"Sheme..ji" nilimuita shemeji Rashidi kwa sauti ya chini hasa baada ya kumuona akinifata, haraka nilipata wazo la kuvaa dela langu ili nitoke chumbani.

Nililishika vizuri na kulipitisha kichwani kwangu kwa ajili ya kuvaa, wakati mimi nikihangaika kuvaa dela Shemeji aliamua kuitumia nafasi hiyo kwani alinisogelea na kunisukumia kitandani kwa nguvu.
Bahati mbaya kwangu nilikuwa bado sijamaliza kuvaa vizuri, Shemeji Rashidi hakutaka kujali kuhusu hilo zaidi ya kuanza kunilazimisha kunivulisha chupi na pulukushani zetu dada Aisha alizisikia hivyo nilisikia sauti ya dada ikiniongelesha.
"Fatuma kuna kitu gani humo chumbani kinachoendelea!?" Nilibaki nikiwa nimezubaa na kushindwa namna ya kumjibu lakini shemeji Rashidi wala!!, alikuwa hajali kabisa kuhusu uwepo wa dada pale nyumbani kwangu na badala yake aliamua kuitumia kama faida kwake baada ya kuniona nimezubaa nikimsikiliza dada......ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kwakuwa tayari nilikuwa na uhakika na kazi baada ya kupewa ahadi siku iliyofata niliamuacha kuacha kazi nilipokuwa nikifanya mwanzo kwa kuandika barua na kwenda kuikabizi na kuondoka, nilifika nyumbani kwangu ikiwa ni mida ya saa 7 mchana na kuingia ndani.
"Mmmh bora kabisa niwe mbali na shemeji Rashidi hii itasaidia sana" niliongea mwenyewe na simu yangu iliita, mpigaji alikuwa ni Nasir, sikutaka kupokea simu zaidi ya kuiangalia.

Baada ya saa moja kupita nilisikia mlango ukigongwa wa nyumba niliyokuwa nikiishi, pasipo kuuliza nilienda kuufungua, mtu aliyekuwa amesimama nje alikuwa ni shemeji Rashidi.
"Fatuma kwanini umeamua kuacha kazi!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nimeamua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

473
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

348
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest