Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika nilijiandaa kwa ajili ya kwenda kazini, siku hiyo hakukuwa na wagonjwa wengi wa kuwahudumia hivyo mda mwingi niliutumia kulala, nikiwa nimelala nilikuja kuamshwa na Dr wa kiume alikuwa akiitwa Dr David, David aliniambia nimfate ili akanipe maelekezo vizuri ya kazi ninayotakiwa kuifanya.
Nilimfata huku nikiwa na uchovu na moja kwa moja tuliingia kwenye chumba chake.
"Fatuma kuna kazi natakiwa nikupe"
"Haina shida Dr ndiyo majukumu yetu haya" nilimjibu huku nikipiga miayo kutokana na uchovu niliokuwa nao.
"Kazi yenyewe sio kubwa ila ni ndogo tu tena ya dekika kadhaa"
"Oooh sawa nipo tayari"
Baada ya kumjibu Dr David alikaa kimya kwa mda na baadae alinyenyuka mahali alipokuwa amekaa na kunisogelea.
Dr David alinisogelea karibu zaidi nilipokuwa nimesimama na kunifanya nianze kurudi nyuma.
"Haina haja ya kurudi nyuma nesi Fatuma, kazi yenyewe ninayotaka kukupa ni ndogo tu"
"Ndiyo mpaka unisogelee karibu kiasi hichi Doctor!? naomba heshima ichukue nafasi yake" niliongea kwa msisitizo kidogo mbele yake maana niliona kuna kila dalili za Dr David kuhitaji mizagamuo.
Dr David alianza kunilazimisha akinitaka nikubali kufanya nae mapenzi lakini mimi sikuwa tayari hivyo nilitoka kwenye chumba chake huku nikiwa na hasira, siku hiyo sikufanyakazi kwa amani hasa baada ya kumkatalia Dr David, siku iliyofata napo Dr David aliendelea kunisumbua akitaka kutoka na mimi kimapenzi lakini bado niliendelea kumuwekea msimamo wa kumkatalia.
Bahati mbaya kwangu sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi nilishangaa kumuona Nasir na aliniambia kuwa amehamia kwenye hospital hiyo baada ya ile ya mwanzo kushindwana nao kwenye maswala ya malipo. Wiki ya kwanza ilipita na Nasir hakuwahi kunisumbua kunitaka kimapenzi zaidi ya Dr David peke yake ila baada ya mda nae alianza usumbufu wa kutaka turudiane ili tuwe kama zamani.
Siku hiyo usiku nikiwa nimetulia mwenyewe baada ya kumaliza kazi za kuhudumia wagonjwa nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka baada ya kushikwa makalio yangu.
"Nasir unataka kufanya nini!?" nilimuuliza baada ya kumuona akiwa kasimama nyuma ya mgongo wangu.
"Fatuma nimekumbuka penzi lako kipenzi" Nasir aliongea hivyo Niliamua kusimama nakumgeukia Nasir.
"Iwe mwanzo na mwisho kunishika makalio Nasir!"
"Fatuma mbona umekubali kuishi na shemeji yako na umezaa nae!? Kwanini tusirudiane tu nikaja kukuoa baadae!?"
"Haikuhusu Nasir ata kama naishi na Rashidi kila mtu afanye mambo yake pasipo kufatiliana" niliongea nakutaka kuondoka ila Nasir aliniwahi na kunishika mkono kisha baada ya hapo aliongea.
"Badilisha maamuzi yako Fatuma watu wanakusema vibaya kwa kumuibia dada yako mme, mimi nipo tayari kubeba mzigo wa mtoto uliyezaa nae ili ionekane kuwa ni mwanangu"
"Nitolee maneno yako hapa najua unanitamani tu na hamna cha maana kingine, achia mkono wangu Nasir" niliongea na Nasir aliachia mkono wangu.
Niliondoka huku nikimuacha Nasir akiyatazama makalio yangu na ndicho kilichokuwa kikimtamanisha Nasir, natoka kumkwepa Nasir nakutana na msala mwingine tena wa Dr David.
"Fatuma nifate huku" Dr David aliniambia na mimi niliamua kumfata.
Alingia kwenye chumba chake cha kazi lakini mimi nilisita kuingia, Dr David aligeuka na kuniona nikiwa nimeganda mlangoni.
"Ebhu ingia huko sio kila mda unafikiri nataka kukutongoza ata hivyo sina shida na wewe sasa ivi" aliongea kwa hasira hivyo ilibidi niingie na kusogea mpaka sehemu aliyokuwa.
"Fatuma ukweli ni kuwa makalio yako yanatutesa sana sisi madoctor kama kungekuwa na uwezekano basi tungeyapunguza ili yasitutamanishe"
"Dr huko unaenda mbali mimi ndivyo nilivyoumbwa haitawezekana kuyapunguza ata siku moja"
"Kwakuwa wewe sio mwanaume ndiyo maana, angalia jinsi nilivyosimamisha na mbaya zaidi tukikutongoza unakataa kutupa!!, basi tu Fatuma ila unatutesa mno" Dr David aliongea na mimi niliamua kumkatisha kwa kumuuliza sababu iliyomfanya akaniita.
Dr David alinipa maelekezo ya mgonjwa ninayetakiwa kwenda kumpatia huduma hivyo niliondoka, na nilivyokuwa nikiondoka alikuwa akiyatazama makalio yangu.
"Haya makalio yangu yanazidi kuwa kero kwangu!" niliwaza huku nikiwa naelekea sehemu husika kwa ajili ya kwenda kumpatia huduma mgonjwa.
Nilifika na kumkuta mzee wa makamo amelazwa aliyekuwa na ndevu zenye mvi, hali yake haikuwa mbaya sana hivyo nilimpatia huduma na baada ya kumaliza nilitaka kuondoka lakini mgonjwa aliniita hivyo niliamua kumsikiliza.
"Samahani nesi unaweza kunipatia namba yako ya simu"
"Unashida gani mpaka uhitaji namba yangu ya simu mbona hali yako siyo mbaya na huduma bado tunakupatia!?"
"Siombi namba yako kwa ajili maradhi niliyonayo ila nataka nije nikutafute siku nikiagwa" mzee aliongea.
"Basi nakuletea namba zangu mda sio mrefu" nilimjibu na kuondoka, sikuwa na mpango wa kumpatia namba zangu za simu sema niliamua kumdanganya ili asiendelee kuniongelesha......ITAENDELEA.
Full Tsh 800 namba za malipo ????????????
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.