Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika nilijiandaa kwa ajili ya kwenda kazini, siku hiyo hakukuwa na wagonjwa wengi wa kuwahudumia hivyo mda mwingi niliutumia kulala, nikiwa nimelala nilikuja kuamshwa na Dr wa kiume alikuwa akiitwa Dr David, David aliniambia nimfate ili akanipe maelekezo vizuri ya kazi ninayotakiwa kuifanya.

Nilimfata huku nikiwa na uchovu na moja kwa moja tuliingia kwenye chumba chake.
"Fatuma kuna kazi natakiwa nikupe"
"Haina shida Dr ndiyo majukumu yetu haya" nilimjibu huku nikipiga miayo kutokana na uchovu niliokuwa nao.
"Kazi yenyewe sio kubwa ila ni ndogo tu tena ya dekika kadhaa"
"Oooh sawa nipo tayari"
Baada ya kumjibu Dr David alikaa kimya kwa mda na baadae alinyenyuka mahali alipokuwa amekaa na kunisogelea.

Dr David alinisogelea karibu zaidi nilipokuwa nimesimama na kunifanya nianze kurudi nyuma.
"Haina haja ya kurudi nyuma nesi Fatuma, kazi yenyewe ninayotaka kukupa ni ndogo tu"
"Ndiyo mpaka unisogelee karibu kiasi hichi Doctor!? naomba heshima ichukue nafasi yake" niliongea kwa msisitizo kidogo mbele yake maana niliona kuna kila dalili za Dr David kuhitaji mizagamuo.

Dr David alianza kunilazimisha akinitaka nikubali kufanya nae mapenzi lakini mimi sikuwa tayari hivyo nilitoka kwenye chumba chake huku nikiwa na hasira, siku hiyo sikufanyakazi kwa amani hasa baada ya kumkatalia Dr David, siku iliyofata napo Dr David aliendelea kunisumbua akitaka kutoka na mimi kimapenzi lakini bado niliendelea kumuwekea msimamo wa kumkatalia.

Bahati mbaya kwangu sehemu niliyokuwa nikifanyia kazi nilishangaa kumuona Nasir na aliniambia kuwa amehamia kwenye hospital hiyo baada ya ile ya mwanzo kushindwana nao kwenye maswala ya malipo. Wiki ya kwanza ilipita na Nasir hakuwahi kunisumbua kunitaka kimapenzi zaidi ya Dr David peke yake ila baada ya mda nae alianza usumbufu wa kutaka turudiane ili tuwe kama zamani.
Siku hiyo usiku nikiwa nimetulia mwenyewe baada ya kumaliza kazi za kuhudumia wagonjwa nilipitiwa na usingizi na nilikuja kushituka baada ya kushikwa makalio yangu.
"Nasir unataka kufanya nini!?" nilimuuliza baada ya kumuona akiwa kasimama nyuma ya mgongo wangu.
"Fatuma nimekumbuka penzi lako kipenzi" Nasir aliongea hivyo Niliamua kusimama nakumgeukia Nasir.
"Iwe mwanzo na mwisho kunishika makalio Nasir!"
"Fatuma mbona umekubali kuishi na shemeji yako na umezaa nae!? Kwanini tusirudiane tu nikaja kukuoa baadae!?"
"Haikuhusu Nasir ata kama naishi na Rashidi kila mtu afanye mambo yake pasipo kufatiliana" niliongea nakutaka kuondoka ila Nasir aliniwahi na kunishika mkono kisha baada ya hapo aliongea.
"Badilisha maamuzi yako Fatuma watu wanakusema vibaya kwa kumuibia dada yako mme, mimi nipo tayari kubeba mzigo wa mtoto uliyezaa nae ili ionekane kuwa ni mwanangu"
"Nitolee maneno yako hapa najua unanitamani tu na hamna cha maana kingine, achia mkono wangu Nasir" niliongea na Nasir aliachia mkono wangu.

Niliondoka huku nikimuacha Nasir akiyatazama makalio yangu na ndicho kilichokuwa kikimtamanisha Nasir, natoka kumkwepa Nasir nakutana na msala mwingine tena wa Dr David.
"Fatuma nifate huku" Dr David aliniambia na mimi niliamua kumfata.
Alingia kwenye chumba chake cha kazi lakini mimi nilisita kuingia, Dr David aligeuka na kuniona nikiwa nimeganda mlangoni.
"Ebhu ingia huko sio kila mda unafikiri nataka kukutongoza ata hivyo sina shida na wewe sasa ivi" aliongea kwa hasira hivyo ilibidi niingie na kusogea mpaka sehemu aliyokuwa.
"Fatuma ukweli ni kuwa makalio yako yanatutesa sana sisi madoctor kama kungekuwa na uwezekano basi tungeyapunguza ili yasitutamanishe"
"Dr huko unaenda mbali mimi ndivyo nilivyoumbwa haitawezekana kuyapunguza ata siku moja"
"Kwakuwa wewe sio mwanaume ndiyo maana, angalia jinsi nilivyosimamisha na mbaya zaidi tukikutongoza unakataa kutupa!!, basi tu Fatuma ila unatutesa mno" Dr David aliongea na mimi niliamua kumkatisha kwa kumuuliza sababu iliyomfanya akaniita.

Dr David alinipa maelekezo ya mgonjwa ninayetakiwa kwenda kumpatia huduma hivyo niliondoka, na nilivyokuwa nikiondoka alikuwa akiyatazama makalio yangu.
"Haya makalio yangu yanazidi kuwa kero kwangu!" niliwaza huku nikiwa naelekea sehemu husika kwa ajili ya kwenda kumpatia huduma mgonjwa.

Nilifika na kumkuta mzee wa makamo amelazwa aliyekuwa na ndevu zenye mvi, hali yake haikuwa mbaya sana hivyo nilimpatia huduma na baada ya kumaliza nilitaka kuondoka lakini mgonjwa aliniita hivyo niliamua kumsikiliza.
"Samahani nesi unaweza kunipatia namba yako ya simu"
"Unashida gani mpaka uhitaji namba yangu ya simu mbona hali yako siyo mbaya na huduma bado tunakupatia!?"
"Siombi namba yako kwa ajili maradhi niliyonayo ila nataka nije nikutafute siku nikiagwa" mzee aliongea.
"Basi nakuletea namba zangu mda sio mrefu" nilimjibu na kuondoka, sikuwa na mpango wa kumpatia namba zangu za simu sema niliamua kumdanganya ili asiendelee kuniongelesha......ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika nilijiandaa kwa ajili ya kwenda kazini, siku hiyo hakukuwa na wagonjwa wengi wa kuwahudumia hivyo mda mwingi niliutumia kulala, nikiwa nimelala nilikuja kuamshwa na Dr wa kiume alikuwa akiitwa Dr David, David aliniambia nimfate ili akanipe maelekezo vizuri ya kazi ninayotakiwa kuifanya.

Nilimfata huku nikiwa na uchovu na moja kwa moja tuliingia kwenye chumba chake.
"Fatuma kuna kazi natakiwa nikupe"
"Haina shida Dr ndiyo majukumu yetu haya" nilimjibu huku nikipiga miayo kutokana na uchovu niliokuwa nao.
"Kazi yenyewe sio kubwa ila ni ndogo tu tena ya dekika kadhaa"
"Oooh sawa nipo tayari"
Baada ya kumjibu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

410
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest