Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
"Ndio dada na ameondoka mda sio mrefu nazani atafika hapo nyumbani mda wowote ule" niliongea huku nikimwangalia shemeji na baadae dada alikata simu.
"Kwanini umeamua kumuambia hivyo dada yako!?"
"Kwani kuna ubaya shemeji yule si mke wako!? anahaki ya kufahamu kuhusu hili"
"Sawa leo naondoka ile kesho usiku nitakuja kulala hapa" shemeji Rashidi aliongea na kuondoka.

Baada ya kuondoka nilifungua mlango na kuingia ndani. Niliwaza nitumie njia gani ili niwe mbali na shemeji Rashidi na njia pekee niliyoona inafaa nikufanya kazi sehemu nyingine ili niwe huru.

Nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine huku nikiwa mwajiriwa wa hospital niliyokuwa nikifanyia kazi, nilienda kwenye moja ya zahanati ya kibinafsi na kubahatika kukutana na mhusika mkuu niliyeelekezwa aliyekuwa ni mwanaume asiyepungua miaka 45. Alikuwa akinitazama kila dekika na mimi moja kwa moja nilitambua kavutiwa na mimi.
"Binti kazi haipo ila ninaweza kukusaidia ukapata kazi"
"Nitashukuru sana kama utanisaidia kwenye hili" nilimjibu huku nikiwa na matumaini makubwa ya kupata kazi.
"Ila kuna kitu unatakiwa utoe ndiyo upate kazi lasivyo huwezi kupata kazi hapa" Aliongea huku akiniangalia machoni na mimi sikutaka kuyakwepesha macho yangu zaidi ya kumkodolea pasipo kumwogopa.
"Kitu gani hicho!?"
"Wewe sio mtoto jiongeze binti, umesema unaitwa Fatuma!!"
"Ndio, naitwa Fatuma"
"Basi jiongeze Fatuma"
Aliongea kwa mara nyingine na mimi nilijifanya sielewi kile anachohitaji kutoka kwangu japo hisia zangu ziliniambia kuwa anahitaji nimpatie rushwa ya ngono.
"Kweli boss sielewi unachomaanisha"
"Ooooh!! kama huelewi ngoja nikwambie, tengeneza V upate kazi"
"Nitengeneze V mbona sikuelewi boss!?"
"Tengeneza V upate kazi Fatuma, wewe ni mtu wa mjini unashindwaje kuelewa maana ya V!?" aliniambia kwa msisitizo ila bado nilikuwa njia panda hivyo nilimuuliza kwa mara nyingine na ndipo aliponiambia maana ya kutengeneza ni kupanua mapaja yangu, yajichore mfano wa V ili aweze kufanya mapenzi na mimi.

Baada ya kuniambia nifanye nae mapenzi ili nipate kazi nilibaki njia panda na kushindwa namna ya kumjibu hivyo nilijikuta nikikaa kimya kwa mda mbele yake.
"Nasubiri jibu lako Fatuma upo tayari kufanya mapenzi nikupe kazi au haupo tayari!?" aliniuliza kwa mara nyingine na mimi katika kufikiria kwangu niliona bora nimpe kitumbua changu mwanaume huyo kuliko kuendelea kufanya kazi kwenye hospital niliyokuwa nikifanya kazi maana shemeji Rashidi angeendelea kunisumbua tu.
"Mmmh lakini mimi naogopa bos...
"Unaogopa nini Fatuma kwani hujawahi kufanya mapenz!?"
"Nimewahi ila ni mara moja tu" niliongea kwa kumdanganya ili nipandishe thamani kwake na nimwingize kwenye mtego wangu.

Kiukweli wanaume walio wengi huwa nidhaifu mno mbele ya wanawake hasa wanapozidiwa na hisia ndiyo maana usishangae mwanaume kumhonga mwanamke gari au pesa za kutosha wakati huo nyumbani kwake hajaacha ata ile shilingi mia.

Basi baada ya kumuona hisia zimemzidia akitaka nikubali kufanya nae mapenzi niliamua kumwambia kuwa anipe kazi kwanza ndiyo nifanye nae mapenzi.
"Ina maana uniamini Fatuma!?"
"Nakuamini ila sio sana ndiyo maana nataka unipe kazi kwanza ili nikuamini kwa asilimia zote maana tunaweza kufanya mapenzi na kazi usinipe, sitakuwa na uwezo wa kukufanya chochote kile"
"Mmmmmh binti mjanja wewe!! basi sawa kazi umepata, kesho kutwa njoo asubuhi lakini nikuonye tu hutakiwi kuwa na mtu yoyote yule kwenye hii zabanati zaidi yangu lasivyo nitakutimua" aliniambia kwa msisitizo na mimi sikujali kile alichoniambia zaidi ya kuwa na furaha baada ya kuniambia kuwa nimeshapata kazi.

Nilinyenyuka kwenye kiti na kutaka kuondoka ila alinizuia na kuniambia.
"Sogea hapa nikuoneshe kitu"
"Mmmmh"
"Unataka kazi hutaki kazi!?" aliniuliza baada ya kunisikia nikiguna huku akinitaka nisogee mahali alipokuwa amekaa, ilibidi nisogee kwa kutembea huku nyuma makalio yangu yakitikisika na baada ya kufika sehemu aliyokuwa amekaa aliniambia.
"Geuka nyuma" ilikuwa ni amri aliyoitoa kwangu hivyo niligeuka bira kuleta ubishi wowote ule mbele yake.

Baada ya kugeuka nilishangaa kumuona akiyashika makalio yangu nakuanza kuyabinywa binywa kwa nguvu.
"Ohhhhsshhhh Fatuma twende ukanipe ata kidogo tu kwanza, kitu chenyewe hichi" aliongea huku akiendelea kuyashika shika na mimi nyege kwa mbali zilianza kunipanda hivyo haraka nilisogea pembeni ili asiendelee kunishika.
"Leo haitawezekana, kumbuka tumekubaliana boss, takuja kesho kutwa kuanza kazi na mimi nitatimiza ahadi yako"
"Duuh huu upwiru naupeleka wapi sasa Fatuma!?, nahitaji kupata utamu sasa ivi" licha ya kunibembeleza ila sikutaka kufanya kama alivyokuwa akitaka hivyo niliondoka nakuahidi nitakuja siku husika kama tulivyokuwa tumekubaliana na ndiyo siku nitakayofanya nae mapenzi kwa mara ya kwanza.......ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
"Ndio dada na ameondoka mda sio mrefu nazani atafika hapo nyumbani mda wowote ule" niliongea huku nikimwangalia shemeji na baadae dada alikata simu.
"Kwanini umeamua kumuambia hivyo dada yako!?"
"Kwani kuna ubaya shemeji yule si mke wako!? anahaki ya kufahamu kuhusu hili"
"Sawa leo naondoka ile kesho usiku nitakuja kulala hapa" shemeji Rashidi aliongea na kuondoka.

Baada ya kuondoka nilifungua mlango na kuingia ndani. Niliwaza nitumie njia gani ili niwe mbali na shemeji Rashidi na njia pekee niliyoona inafaa nikufanya kazi sehemu nyingine ili niwe huru.

Nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine huku nikiwa mwajiriwa wa hospital niliyokuwa nikifanyia kazi,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest