Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA..........
"Ndio dada na ameondoka mda sio mrefu nazani atafika hapo nyumbani mda wowote ule" niliongea huku nikimwangalia shemeji na baadae dada alikata simu.
"Kwanini umeamua kumuambia hivyo dada yako!?"
"Kwani kuna ubaya shemeji yule si mke wako!? anahaki ya kufahamu kuhusu hili"
"Sawa leo naondoka ile kesho usiku nitakuja kulala hapa" shemeji Rashidi aliongea na kuondoka.
Baada ya kuondoka nilifungua mlango na kuingia ndani. Niliwaza nitumie njia gani ili niwe mbali na shemeji Rashidi na njia pekee niliyoona inafaa nikufanya kazi sehemu nyingine ili niwe huru.
Nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine huku nikiwa mwajiriwa wa hospital niliyokuwa nikifanyia kazi, nilienda kwenye moja ya zahanati ya kibinafsi na kubahatika kukutana na mhusika mkuu niliyeelekezwa aliyekuwa ni mwanaume asiyepungua miaka 45. Alikuwa akinitazama kila dekika na mimi moja kwa moja nilitambua kavutiwa na mimi.
"Binti kazi haipo ila ninaweza kukusaidia ukapata kazi"
"Nitashukuru sana kama utanisaidia kwenye hili" nilimjibu huku nikiwa na matumaini makubwa ya kupata kazi.
"Ila kuna kitu unatakiwa utoe ndiyo upate kazi lasivyo huwezi kupata kazi hapa" Aliongea huku akiniangalia machoni na mimi sikutaka kuyakwepesha macho yangu zaidi ya kumkodolea pasipo kumwogopa.
"Kitu gani hicho!?"
"Wewe sio mtoto jiongeze binti, umesema unaitwa Fatuma!!"
"Ndio, naitwa Fatuma"
"Basi jiongeze Fatuma"
Aliongea kwa mara nyingine na mimi nilijifanya sielewi kile anachohitaji kutoka kwangu japo hisia zangu ziliniambia kuwa anahitaji nimpatie rushwa ya ngono.
"Kweli boss sielewi unachomaanisha"
"Ooooh!! kama huelewi ngoja nikwambie, tengeneza V upate kazi"
"Nitengeneze V mbona sikuelewi boss!?"
"Tengeneza V upate kazi Fatuma, wewe ni mtu wa mjini unashindwaje kuelewa maana ya V!?" aliniambia kwa msisitizo ila bado nilikuwa njia panda hivyo nilimuuliza kwa mara nyingine na ndipo aliponiambia maana ya kutengeneza ni kupanua mapaja yangu, yajichore mfano wa V ili aweze kufanya mapenzi na mimi.
Baada ya kuniambia nifanye nae mapenzi ili nipate kazi nilibaki njia panda na kushindwa namna ya kumjibu hivyo nilijikuta nikikaa kimya kwa mda mbele yake.
"Nasubiri jibu lako Fatuma upo tayari kufanya mapenzi nikupe kazi au haupo tayari!?" aliniuliza kwa mara nyingine na mimi katika kufikiria kwangu niliona bora nimpe kitumbua changu mwanaume huyo kuliko kuendelea kufanya kazi kwenye hospital niliyokuwa nikifanya kazi maana shemeji Rashidi angeendelea kunisumbua tu.
"Mmmh lakini mimi naogopa bos...
"Unaogopa nini Fatuma kwani hujawahi kufanya mapenz!?"
"Nimewahi ila ni mara moja tu" niliongea kwa kumdanganya ili nipandishe thamani kwake na nimwingize kwenye mtego wangu.
Kiukweli wanaume walio wengi huwa nidhaifu mno mbele ya wanawake hasa wanapozidiwa na hisia ndiyo maana usishangae mwanaume kumhonga mwanamke gari au pesa za kutosha wakati huo nyumbani kwake hajaacha ata ile shilingi mia.
Basi baada ya kumuona hisia zimemzidia akitaka nikubali kufanya nae mapenzi niliamua kumwambia kuwa anipe kazi kwanza ndiyo nifanye nae mapenzi.
"Ina maana uniamini Fatuma!?"
"Nakuamini ila sio sana ndiyo maana nataka unipe kazi kwanza ili nikuamini kwa asilimia zote maana tunaweza kufanya mapenzi na kazi usinipe, sitakuwa na uwezo wa kukufanya chochote kile"
"Mmmmmh binti mjanja wewe!! basi sawa kazi umepata, kesho kutwa njoo asubuhi lakini nikuonye tu hutakiwi kuwa na mtu yoyote yule kwenye hii zabanati zaidi yangu lasivyo nitakutimua" aliniambia kwa msisitizo na mimi sikujali kile alichoniambia zaidi ya kuwa na furaha baada ya kuniambia kuwa nimeshapata kazi.
Nilinyenyuka kwenye kiti na kutaka kuondoka ila alinizuia na kuniambia.
"Sogea hapa nikuoneshe kitu"
"Mmmmh"
"Unataka kazi hutaki kazi!?" aliniuliza baada ya kunisikia nikiguna huku akinitaka nisogee mahali alipokuwa amekaa, ilibidi nisogee kwa kutembea huku nyuma makalio yangu yakitikisika na baada ya kufika sehemu aliyokuwa amekaa aliniambia.
"Geuka nyuma" ilikuwa ni amri aliyoitoa kwangu hivyo niligeuka bira kuleta ubishi wowote ule mbele yake.
Baada ya kugeuka nilishangaa kumuona akiyashika makalio yangu nakuanza kuyabinywa binywa kwa nguvu.
"Ohhhhsshhhh Fatuma twende ukanipe ata kidogo tu kwanza, kitu chenyewe hichi" aliongea huku akiendelea kuyashika shika na mimi nyege kwa mbali zilianza kunipanda hivyo haraka nilisogea pembeni ili asiendelee kunishika.
"Leo haitawezekana, kumbuka tumekubaliana boss, takuja kesho kutwa kuanza kazi na mimi nitatimiza ahadi yako"
"Duuh huu upwiru naupeleka wapi sasa Fatuma!?, nahitaji kupata utamu sasa ivi" licha ya kunibembeleza ila sikutaka kufanya kama alivyokuwa akitaka hivyo niliondoka nakuahidi nitakuja siku husika kama tulivyokuwa tumekubaliana na ndiyo siku nitakayofanya nae mapenzi kwa mara ya kwanza.......ITAENDELEA.
Full Tsh1000 namba za malipo ????????????
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.