Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae alitupita nakuendelea na safari.
"Fatuma leo usiku nakuja kulala kwako kipenzi" Nasir alizungumza.
"Nilishakwambia mpaka ndoa ndiyo utapata utamu Nasir kuwa mwelewa tafadhali!!"
"Kwani bado bikra mpaka uniambie mpaka ndoa!!?"
"Sio bikra ila tu nimeshafanya maamuzi Nasir kama unanipenda utafata maamuzi yangu"
"Sasa kama sio bikra kwanini ukatae kulala na mimi au hunipendi!?" Nasir aliongea kwa kulalamika akitaka nikubali kumpa tunda la kati.
"Kwani kuna shida gani tukioane alafu unile mpaka unikinai mwenyewe!?"
"Hakuna ubaya wowote ila sio haki hii Fatuma kabisa!! kama mwanaume aliyekutoa bikra ulikubali kumpa kwanini isiwe mimi! nitaanzaje kukuamini kama kweli unanipenda!?" nyie hiyo siku Nasir alilalamika akinitaka nikubali kufanya nae mapenzi ila niliendelea kumuwekea ugumu huku nikiwa na lengo langu.

Bahati nzuri kuna mfanyakazi mwenzetu alifika na kumwambia Nasir kuwa kuna mgonjwa anayetakiwa kwenda kumhudumia, Nasir aliondoka na mimi niliendelea na kazi zangu.

Mda wa kwenda nyumbani ulipofika niliondoka na kwenda nyumbani kwangu na hazikupita dekika 5 dada Aisha alinipigia simu na kuniambia.
"Fatuma njoo nyumbani mara moja"
"Nije nyumbani kwani kuna kitu gani dada!?" nilimuuliza huku nikiwa na wasiwasi mkubwa na hofu yangu ilikuwa ni siri iliyokuwepo kati yangu na shemeji Rashidi hivyo niliamua kumuuliza dada lakini hakutaka kuniambia sababu ya kunitaka niende nyumbani kwake.

Nilitamani kumtafuta shemeji Rashidi ili nimuulize kuna shida gani!? ila nafsi nyingine ilinisuta hivyo nilijiandaa na kwenda nyumbani kwa dada.

Haikuchukua mda niliweza kufika nyumbani kwa dada huku nikiwa na wasiwasi, nilifungua mlango na mtu wa kwanza kumuona alikuwa ni shemeji Rashidi aliyekuwa amekaa kwenye kochi.
"Shemeji za mida!!" nilitoa salamu kwa shemeji Rashidi lakini hakunijibu na mda huo huo dada alifika na kunikuta nikiwa nimesimama.
"Fatuma bora ata umekuja shemeji yako kaninunia toka atoke kazini na hataki kunisemesha kabisa labda uongee nae wewe huenda atakuelewa" Dada Aisha aliongea na mimi ndani ya moyo wangu nilisijemea kama ningejua kitu alichoniitia dada basi nisingekubali kuja.
"Aya dada ngoja nijaribu kuongea na shemeji" nilimjibu ili kumlizisha, baadae dada aliondoka na kutuacha sisi wawili hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia maana nilishindwa nianze wapi kumuongelesha shemeji.
"Usije ukajaribu kunisogelea Fatuma nitakupiga hicho kibao ambacho hujawahi kupigwa" shemeji Rashidi aliniambia kwa sauti ya chini iliyojaa msisitizo.

Niliamua kunyenyuka na kumfata dada, nilimkuta akiwa jikoni akipika.
"Umeshaongea nae tayari!?" Dada Aisha aliniuliza, haraka niliwaza ni kitu gani nachotakiwa kuongea mbele ya dada hivyo niliamua kutunga uongo mbele yake.
"Eeeh dada nimeshaongea"
"Kakwambia shida nini inayomfanya awe kimya kiasi kile!?"
"Chakula dada, tatizo ni chakula unachompikia leo, amesema hajisikii kabisa kula chakula unachompikia" nilitunga uongo wangu mbele ya dada.
"Mbona ndiyo chakula anachopenda na ata hivyo kaninunia kabra ata sijaanza kupika chakula"
"Mmmh ila mimi ndiyo kaniambia hivyo sasa" nilimjibu na baadae ilibidi nimuage maana sikutaka kuendelea kukaa nyumbani kwa dada licha ya kuwa ilikuwa ni usiku.

Niliondoka na kwenda nyumbani kwangu na kabra ata sijafungua mlango Dr Nasir alinipigia simu hivyo niliamua kuipokea simu.
"Fatuma nipo mtaa wenu na ninazawadi zako hapa kipenzi changu, nielekeze vizuri ili niweze kufika kwako maana nimeshapasahau" Nasir aliongea na mimi nilijua ni mtego ili aweze kufanya sex na mimi ila sikutaka kuziacha zawadi alizokuja nazo.
"Basi nisubiri nakuja kukufata hapo ulipo" Nasir alikata simu na mimi niliondoka na kumfata mahali alipokuwa. Nilifika na kumkuta akiwa kwenye gari yake.
"Ingia ndani ya gari unielekeze njia vizuri kipenzi" Nasir alizungumza na mimi nilikiri kuwa hiyo siku ni ngumu kuchomoka kwenye mtego wa Nasir aliyeonesha uhitaji mkubwa wa kutaka kufanya mapenzi na mimi.

Niliingia ndani ya gari nakuanza kumwelekeza na baada ya mda tulifika mahali nilipokuwa nikiishi. Nasir alikuwa wa kwanza kuteremka na kwenda kufungua buti ya gari na kuanza kutoa vitu alivyokuwa amekuja navyo huku kukiwa na mchele, mafuta na vitu vingine vingi.

Nilienda kufungua mlango huku nikisaidizana na Nasir kuingiza vitu alivyokuwa ameniletea kama zawadi.

Baada ya kufungua mlango mimi na Nasir tulisaidizana kuingiza vitu na baadae Nasir alinisogelea na kunikumbatia.
"Leo nataka nilale hapa kipenzi changu" aliongea huku akiyashika makalio yangu.
"Lakini sin...
"Sitaki uendelee kuongea Fatuma maana najua hutaki kuona nikilala hapa" aliniambia na baadae alinisogezea mdomo wake akihitaji tukisiane.

Ningeanzaje kukataa sasa na ukizingatia kaniletea zawadi za kutosha. nilikubali kumkiss kitu kilichokuwa na lilikuwa kosa nililolifanya kwani Nasir alipandwa na hisia na kushikwa na upwiru wa hatari. Nikiwa Sina hili wa lile alinisukumia kwenye kochi nakuanza kufungua mkanda wa suruali, nilibaki nikimwangalia mpaka pale alipomaliza kufungua mkanda wa suruali yake na kuivua kabisa.

Baadae alinisogelea na kunitaka nimpe ushirikiano. Kiukweli kuna mda moyo wangu ulikuwa mzito kukubali lakini mwenzangu damu yake tayari ilikuwa imeshaanza kuchemka hivyo ilikuwa ngumu kwangu kumkwepa.

Nasir alivyoona najishauri alinivulisha nguo mwenyewe na kuzitoa zote kwenye mwili wangu. Siku hiyo kwa mara ya kwanza mimi na yeye tulifanya mapenzi japo shemeji Rashidi alikuwa anaufundi wa uangalau kwenye kufanya mapenzi kuliko Nasir.

Nasir alishinda nyumbani kwangu usiku huo na siku iliyofata asubuhi na mapema dada alinipigia simu. Niliipokea simu yake na dada Aisha aliniambia kuwa shemeji Rashidi aliondoka usiku uliopita nyumbani na hakurudi tena.
"Yani hapa nimechanganyikiwa Fatuma nahisi kabisa shemeji yako ameshapata mwanamke huko nje na nikimjua huyo mwanamke lazima anitambue vizuri ata kwa waganga nitaenda Fatuma"
"Mmmmh dada pole kwa hilo ila jaribu kufatilia vizuri" nilimjibu na nikiwa bado naendelea kuongea nae mikono ya Nasir ilianza kuyashika makalio yangu kwa kuyapapa.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae alitupita nakuendelea na safari.
"Fatuma leo usiku nakuja kulala kwako kipenzi" Nasir alizungumza.
"Nilishakwambia mpaka ndoa ndiyo utapata utamu Nasir kuwa mwelewa tafadhali!!"
"Kwani bado bikra mpaka uniambie mpaka ndoa!!?"
"Sio bikra ila tu nimeshafanya maamuzi Nasir kama unanipenda utafata maamuzi yangu"
"Sasa kama sio bikra kwanini ukatae kulala na mimi au hunipendi!?" Nasir aliongea kwa kulalamika akitaka nikubali kumpa tunda la kati.
"Kwani kuna shida gani tukioane alafu unile mpaka unikinai mwenyewe!?"
"Hakuna ubaya wowote ila sio haki hii Fatuma kabisa!! kama mwanaume aliyekutoa bikra ulikubali kumpa kwanini isiwe mimi! nitaanzaje kukuamini kama kweli unanipenda!?" nyie hiyo siku Nasir alilalamika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

469
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

344
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest