Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae alitupita nakuendelea na safari.
"Fatuma leo usiku nakuja kulala kwako kipenzi" Nasir alizungumza.
"Nilishakwambia mpaka ndoa ndiyo utapata utamu Nasir kuwa mwelewa tafadhali!!"
"Kwani bado bikra mpaka uniambie mpaka ndoa!!?"
"Sio bikra ila tu nimeshafanya maamuzi Nasir kama unanipenda utafata maamuzi yangu"
"Sasa kama sio bikra kwanini ukatae kulala na mimi au hunipendi!?" Nasir aliongea kwa kulalamika akitaka nikubali kumpa tunda la kati.
"Kwani kuna shida gani tukioane alafu unile mpaka unikinai mwenyewe!?"
"Hakuna ubaya wowote ila sio haki hii Fatuma kabisa!! kama mwanaume aliyekutoa bikra ulikubali kumpa kwanini isiwe mimi! nitaanzaje kukuamini kama kweli unanipenda!?" nyie hiyo siku Nasir alilalamika akinitaka nikubali kufanya nae mapenzi ila niliendelea kumuwekea ugumu huku nikiwa na lengo langu.

Bahati nzuri kuna mfanyakazi mwenzetu alifika na kumwambia Nasir kuwa kuna mgonjwa anayetakiwa kwenda kumhudumia, Nasir aliondoka na mimi niliendelea na kazi zangu.

Mda wa kwenda nyumbani ulipofika niliondoka na kwenda nyumbani kwangu na hazikupita dekika 5 dada Aisha alinipigia simu na kuniambia.
"Fatuma njoo nyumbani mara moja"
"Nije nyumbani kwani kuna kitu gani dada!?" nilimuuliza huku nikiwa na wasiwasi mkubwa na hofu yangu ilikuwa ni siri iliyokuwepo kati yangu na shemeji Rashidi hivyo niliamua kumuuliza dada lakini hakutaka kuniambia sababu ya kunitaka niende nyumbani kwake.

Nilitamani kumtafuta shemeji Rashidi ili nimuulize kuna shida gani!? ila nafsi nyingine ilinisuta hivyo nilijiandaa na kwenda nyumbani kwa dada.

Haikuchukua mda niliweza kufika nyumbani kwa dada huku nikiwa na wasiwasi, nilifungua mlango na mtu wa kwanza kumuona alikuwa ni shemeji Rashidi aliyekuwa amekaa kwenye kochi.
"Shemeji za mida!!" nilitoa salamu kwa shemeji Rashidi lakini hakunijibu na mda huo huo dada alifika na kunikuta nikiwa nimesimama.
"Fatuma bora ata umekuja shemeji yako kaninunia toka atoke kazini na hataki kunisemesha kabisa labda uongee nae wewe huenda atakuelewa" Dada Aisha aliongea na mimi ndani ya moyo wangu nilisijemea kama ningejua kitu alichoniitia dada basi nisingekubali kuja.
"Aya dada ngoja nijaribu kuongea na shemeji" nilimjibu ili kumlizisha, baadae dada aliondoka na kutuacha sisi wawili hapo ndipo kimbembe kingine kilipoanzia maana nilishindwa nianze wapi kumuongelesha shemeji.
"Usije ukajaribu kunisogelea Fatuma nitakupiga hicho kibao ambacho hujawahi kupigwa" shemeji Rashidi aliniambia kwa sauti ya chini iliyojaa msisitizo.

Niliamua kunyenyuka na kumfata dada, nilimkuta akiwa jikoni akipika.
"Umeshaongea nae tayari!?" Dada Aisha aliniuliza, haraka niliwaza ni kitu gani nachotakiwa kuongea mbele ya dada hivyo niliamua kutunga uongo mbele yake.
"Eeeh dada nimeshaongea"
"Kakwambia shida nini inayomfanya awe kimya kiasi kile!?"
"Chakula dada, tatizo ni chakula unachompikia leo, amesema hajisikii kabisa kula chakula unachompikia" nilitunga uongo wangu mbele ya dada.
"Mbona ndiyo chakula anachopenda na ata hivyo kaninunia kabra ata sijaanza kupika chakula"
"Mmmh ila mimi ndiyo kaniambia hivyo sasa" nilimjibu na baadae ilibidi nimuage maana sikutaka kuendelea kukaa nyumbani kwa dada licha ya kuwa ilikuwa ni usiku.

Niliondoka na kwenda nyumbani kwangu na kabra ata sijafungua mlango Dr Nasir alinipigia simu hivyo niliamua kuipokea simu.
"Fatuma nipo mtaa wenu na ninazawadi zako hapa kipenzi changu, nielekeze vizuri ili niweze kufika kwako maana nimeshapasahau" Nasir aliongea na mimi nilijua ni mtego ili aweze kufanya sex na mimi ila sikutaka kuziacha zawadi alizokuja nazo.
"Basi nisubiri nakuja kukufata hapo ulipo" Nasir alikata simu na mimi niliondoka na kumfata mahali alipokuwa. Nilifika na kumkuta akiwa kwenye gari yake.
"Ingia ndani ya gari unielekeze njia vizuri kipenzi" Nasir alizungumza na mimi nilikiri kuwa hiyo siku ni ngumu kuchomoka kwenye mtego wa Nasir aliyeonesha uhitaji mkubwa wa kutaka kufanya mapenzi na mimi.

Niliingia ndani ya gari nakuanza kumwelekeza na baada ya mda tulifika mahali nilipokuwa nikiishi. Nasir alikuwa wa kwanza kuteremka na kwenda kufungua buti ya gari na kuanza kutoa vitu alivyokuwa amekuja navyo huku kukiwa na mchele, mafuta na vitu vingine vingi.

Nilienda kufungua mlango huku nikisaidizana na Nasir kuingiza vitu alivyokuwa ameniletea kama zawadi.

Baada ya kufungua mlango mimi na Nasir tulisaidizana kuingiza vitu na baadae Nasir alinisogelea na kunikumbatia.
"Leo nataka nilale hapa kipenzi changu" aliongea huku akiyashika makalio yangu.
"Lakini sin...
"Sitaki uendelee kuongea Fatuma maana najua hutaki kuona nikilala hapa" aliniambia na baadae alinisogezea mdomo wake akihitaji tukisiane.

Ningeanzaje kukataa sasa na ukizingatia kaniletea zawadi za kutosha. nilikubali kumkiss kitu kilichokuwa na lilikuwa kosa nililolifanya kwani Nasir alipandwa na hisia na kushikwa na upwiru wa hatari. Nikiwa Sina hili wa lile alinisukumia kwenye kochi nakuanza kufungua mkanda wa suruali, nilibaki nikimwangalia mpaka pale alipomaliza kufungua mkanda wa suruali yake na kuivua kabisa.

Baadae alinisogelea na kunitaka nimpe ushirikiano. Kiukweli kuna mda moyo wangu ulikuwa mzito kukubali lakini mwenzangu damu yake tayari ilikuwa imeshaanza kuchemka hivyo ilikuwa ngumu kwangu kumkwepa.

Nasir alivyoona najishauri alinivulisha nguo mwenyewe na kuzitoa zote kwenye mwili wangu. Siku hiyo kwa mara ya kwanza mimi na yeye tulifanya mapenzi japo shemeji Rashidi alikuwa anaufundi wa uangalau kwenye kufanya mapenzi kuliko Nasir.

Nasir alishinda nyumbani kwangu usiku huo na siku iliyofata asubuhi na mapema dada alinipigia simu. Niliipokea simu yake na dada Aisha aliniambia kuwa shemeji Rashidi aliondoka usiku uliopita nyumbani na hakurudi tena.
"Yani hapa nimechanganyikiwa Fatuma nahisi kabisa shemeji yako ameshapata mwanamke huko nje na nikimjua huyo mwanamke lazima anitambue vizuri ata kwa waganga nitaenda Fatuma"
"Mmmmh dada pole kwa hilo ila jaribu kufatilia vizuri" nilimjibu na nikiwa bado naendelea kuongea nae mikono ya Nasir ilianza kuyashika makalio yangu kwa kuyapapa.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae alitupita nakuendelea na safari.
"Fatuma leo usiku nakuja kulala kwako kipenzi" Nasir alizungumza.
"Nilishakwambia mpaka ndoa ndiyo utapata utamu Nasir kuwa mwelewa tafadhali!!"
"Kwani bado bikra mpaka uniambie mpaka ndoa!!?"
"Sio bikra ila tu nimeshafanya maamuzi Nasir kama unanipenda utafata maamuzi yangu"
"Sasa kama sio bikra kwanini ukatae kulala na mimi au hunipendi!?" Nasir aliongea kwa kulalamika akitaka nikubali kumpa tunda la kati.
"Kwani kuna shida gani tukioane alafu unile mpaka unikinai mwenyewe!?"
"Hakuna ubaya wowote ila sio haki hii Fatuma kabisa!! kama mwanaume aliyekutoa bikra ulikubali kumpa kwanini isiwe mimi! nitaanzaje kukuamini kama kweli unanipenda!?" nyie hiyo siku Nasir alilalamika...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

573
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

552
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

446
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

393
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

369
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

305
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

106
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

82
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

15

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest