Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Siku hiyo ilipita na ndiyo ulikuwa utaratibu wetu huku nikibakiza siku chache kwa ajili ya kwenda kujifungua. siku moja nikiwa nimelala kitandani mimi pamoja na Rashidi, aliomba game.
Nilijaribu kuweka ugumu ili tu kumkwepa lakini Rashidi huwa hawezi kubembeleza hasa anaposhikwa na hamu ya kufanya mapenzi, alitumia nguvu kufanya mapenzi na mimi kitu alichofanikiwa ila alishangaa baada ya kuona nikiwa tayari nimeshafanyiwa usafi kwenye bustani yangu.
Mtalimbo wake ulisinywaa gafra na kuacha kufanya kile alichotaka kukifanya, Rashidi alizubaa gafra huku macho yake akiwa ameyatoa.

Mimi nilijua hisia zimekata za kufanya mapenzi na mimi hivyo nilijitengeneza vizuri kwa ajili ya kulala na ndipo niliposikia akiniuliza.
"Nani kakunyoa huku chini!?"
"Wapi!?" na mimi nilirudisha swali kwa Rashidi
"Huku kwenye tunda lako"
"Oooh kumbe huko!! jana nilivyoenda clinic kuna nesi ninayejuana nae alinifanyia usafi" niliamua kumdanganya na Rashidi aliridhika na jibu langu, baadae alirudisha hisia zake na kuendelea alipokuwa ameishia kwa kulazimisha kufanya mapenzi na mimi kitu ambacho alifanikiwa.

Ulifika mda wa kujifungua na bahati nzuri kwangu niliweza kujifungua salama mtoto wa kiume, mama hakuja kunipongeza maana bado alikuwa hajafurahishwa kuniona mimi nikiwa naishi na Rashidi mwanaume aliyekuwa mme wa dada, Shemeji Nasib alikuwa bado akiishi nyumbani na kaka yake alimtafutia nafasi ya kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi yeye hivyo walikuwa wakiongozana wote kuelekea kazini.

Upande wangu baada ya hali yangu kukaa sawa nilirudi kazini na nilikutana na mabadiliko siku hiyo ya kupangiwa kazi za usiku, nilijaribu kuuliza sababu ni ipi lakini waliniambia kuwa ni utaratibu mpya uliokuwa umewekwa. wanasema kazi ni kazi ndicho kilichotokea kwangu kwani niliyakubali majukumu niliyopatiwa kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi.

Tuliajiri mdada kwa ajili ya kumuangalia mtoto maana hakukuwa na mtu aliyekuwa akishinda nyumbani, wiki ya kwanza ilikatika nikiwa nafanyakazi za usiku huku mida ya asubuhi nikirudi nyumbani, Rashidi pamoja na Shemeji Nasib wao walikuwa wakienda kazini wakati wa kutwa. Siku moja mida ya asubuhi baada ya kutoka kazini shemeji Nasib alinitumia ujumbe.
"Nimekukumbuka sana Fatuma leo nitatoroka kazini, naomba ukubali please" ni ujumbe uliokuwa ukisomeka kwenye simu yangu hivyo niliamua kuufuta ili kuepusha mambo mengine yasije kutokea.

Niliendelea na ratiba zangu na baada ya mda nilisikia sauti ya Rashidi na moja kwa moja aliingia mpaka chumbani.
"Nimeutafuta upenyo wa kuja kwako mke wangu mpaka nimeupata, na hamu na wewe kweli" Rashidi aliongea huku akinisogelea.

Kidogo nilipunguza chuki kwake na sikuwa kama kile kipindi nilichokuwa mjamzito, sikutaka kumnyima haki yake hivyo nilikubali na Rashidi aliamua kuitumia nafasi niliyompatia, tukiwa tayari tumeshatumia zaidi ya dekika 10 kwenye mizagamuo huku tukiwa bado tunaendelea kwa mbali niliuona mlango wa chumba chetu ukifunguliwa, bahati nzuri Rashidi alikuwa amegeukia upande wangu na kuutegea kisogo mlango, mtu aliyekuwa akifungua mlango alikuwa ni shemeji Nasib, alishangaa kumkuta kaka yake akiwa juu ya kifua changua akinishughulikia, aliufunga mlango haraka ili kaka yake asiwe kumuona na kuondoka.

Baadae Rashidi alitosheka na kujitoa kwenye kifua changu, na ndiyo ilikuwa shida yake yani alikuwa hajali kama nimeridhika au la!! Alienda kuoga haraka na baada ya kumaliza aliniaga nakuondoka kwa ajili ya kuwahi kazini, nilinyenyuka kitandani kwa ajili ya kwenda kuoga ila mda huo huo nilimuona Shemeji Nasib akiingia chumbani.
"Shemeji umeijia nini chumbani kwangu!?"
"Fatuma kwani umesahau kama nilikutumia ujumbe mda mchache uliopita!?"
"Sawa ulinitumia ila kile kipindi nakuruhusu kugusa mwili wangu ilikuwa mimba na hazikuwa akili zangu, naomba utoke kwenye chumba changu Nasib!" niliongea kwa msisitizo na sikutaka kumpa nafasi Shemeji Nasib ya kuongea mbele yangu maana yule mmmh! Alikuwa anajua mno kumshawishi mwanamke na mimi nililitambua hilo. Shemeji Nasib alinibembeleza ila sikutaka kumpa nafasi kabisa, alitoka chumbani na mimi nilielekea bafuni kuoga. Nilitumia dekika kadhaa na baada ya kumaliza nilisikia mtoto wangu akilia.

Nilitoka chumbani na kwenda kumuangalia mtoto, nilishangaa kumuona akiwa kwenye kochi na kama nisingefika mda mwafaka basi mwanangu angedondoka chini.
"Huyu mfanyakazi yupo wapi mbona kamuacha mwanangu peke yake!?" niliongea huku nikimbembeleza mwanangu ila kwa mbali nilisikia sauti za miguno ya mahaba.

Nilianza kuifatilia sauti niliyoisikia na ilinipeleka kwenye chumba cha mfanyakazi wangu wa ndani, nilitega sikio vizuri kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea.
"Mmmhh mimi sitakii kaka"
"Subiri naweka taratibu hutaumia" nilisikia sauti ya Shemeji Nasib na ili kuhakikisha vizuri nilijaribu kufungua mlango nione kama utakubali kufunguka na bahati nzuri ulikubali kufunguka, niliusukuma taratibu na kuchungulia kile kilichokuwa kikiendelea.

Nilimuona Shemeji Nasib akiwa juu ya kifua cha mfanyakazi wa ndani wakifanya yao hivyo niliamua kuufunga mlango taratibu pasipo kuwashitua.
"Mmmh ina maana alikuwa amekabwa na upwiru mpaka kaamua kufanya mapenzi na mfanyakazi wa ndani, mbona hawaendani!?" niliongea maana mwonekano wa beki tatu wetu mmh!! niishie hapo tu nisije nikaponda uumbaji wa muumba bure.

Basi nilitembea na kwenda kwenye kochi na kuanza kumbembeleza mtoto wangu na baada ya mda nilikuwa sisikii sauti za mahaba tena kwenye chumba cha mfanyakazi, baada ya dekika kadhaa kupita alitoka shemeji Nasib, alishangaa kuniona nikiwa nimekaa sebleni na hakutaka kuniongelesha zaidi ya kunipita na kutoka nje, baadae alitoka mfanyakazi chumbani.
"Nenda ukaoge kwanza ili uje umbembeleze mtoto" niliongea na mfanyakazi alifanya kama nilivyomwambia, baadae nilimkabizi mtoto na mimi nilienda chumbani kwa ajili ya kupumzika.

Nilivyofika nilisikia ujumbe ukiingia kwenye simu yangu na nilipouangalia ulikuwa ni ujumbe wa Shemeji Nasib akiniomba samahani kwa kile kilichotokea cha kutembea na mfanyakazi wa ndani, nilimshangaa maana ilikuwa ni haki yake kukata upwiru na hakukuwa na mwanamke mwingine zaidi ya mfanyakazi wa ndani wa kutembea nae nyumbani kwani mimi sikutaka tena kushiriki nae tendo la ndoa.......ITAENDELEA

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN

0755271203 M-PESA JINA JOHN

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Siku hiyo ilipita na ndiyo ulikuwa utaratibu wetu huku nikibakiza siku chache kwa ajili ya kwenda kujifungua. siku moja nikiwa nimelala kitandani mimi pamoja na Rashidi, aliomba game.
Nilijaribu kuweka ugumu ili tu kumkwepa lakini Rashidi huwa hawezi kubembeleza hasa anaposhikwa na hamu ya kufanya mapenzi, alitumia nguvu kufanya mapenzi na mimi kitu alichofanikiwa ila alishangaa baada ya kuona nikiwa tayari nimeshafanyiwa usafi kwenye bustani yangu.
Mtalimbo wake ulisinywaa gafra na kuacha kufanya kile alichotaka kukifanya, Rashidi alizubaa gafra huku macho yake akiwa ameyatoa.

Mimi nilijua hisia zimekata za kufanya mapenzi na mimi hivyo nilijitengeneza vizuri kwa ajili ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-24-mtunzi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

791
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

780
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

496
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

405
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

368
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

362
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest