Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Siku hiyo ilipita na ndiyo ulikuwa utaratibu wetu huku nikibakiza siku chache kwa ajili ya kwenda kujifungua. siku moja nikiwa nimelala kitandani mimi pamoja na Rashidi, aliomba game.
Nilijaribu kuweka ugumu ili tu kumkwepa lakini Rashidi huwa hawezi kubembeleza hasa anaposhikwa na hamu ya kufanya mapenzi, alitumia nguvu kufanya mapenzi na mimi kitu alichofanikiwa ila alishangaa baada ya kuona nikiwa tayari nimeshafanyiwa usafi kwenye bustani yangu.
Mtalimbo wake ulisinywaa gafra na kuacha kufanya kile alichotaka kukifanya, Rashidi alizubaa gafra huku macho yake akiwa ameyatoa.

Mimi nilijua hisia zimekata za kufanya mapenzi na mimi hivyo nilijitengeneza vizuri kwa ajili ya kulala na ndipo niliposikia akiniuliza.
"Nani kakunyoa huku chini!?"
"Wapi!?" na mimi nilirudisha swali kwa Rashidi
"Huku kwenye tunda lako"
"Oooh kumbe huko!! jana nilivyoenda clinic kuna nesi ninayejuana nae alinifanyia usafi" niliamua kumdanganya na Rashidi aliridhika na jibu langu, baadae alirudisha hisia zake na kuendelea alipokuwa ameishia kwa kulazimisha kufanya mapenzi na mimi kitu ambacho alifanikiwa.

Ulifika mda wa kujifungua na bahati nzuri kwangu niliweza kujifungua salama mtoto wa kiume, mama hakuja kunipongeza maana bado alikuwa hajafurahishwa kuniona mimi nikiwa naishi na Rashidi mwanaume aliyekuwa mme wa dada, Shemeji Nasib alikuwa bado akiishi nyumbani na kaka yake alimtafutia nafasi ya kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi yeye hivyo walikuwa wakiongozana wote kuelekea kazini.

Upande wangu baada ya hali yangu kukaa sawa nilirudi kazini na nilikutana na mabadiliko siku hiyo ya kupangiwa kazi za usiku, nilijaribu kuuliza sababu ni ipi lakini waliniambia kuwa ni utaratibu mpya uliokuwa umewekwa. wanasema kazi ni kazi ndicho kilichotokea kwangu kwani niliyakubali majukumu niliyopatiwa kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi.

Tuliajiri mdada kwa ajili ya kumuangalia mtoto maana hakukuwa na mtu aliyekuwa akishinda nyumbani, wiki ya kwanza ilikatika nikiwa nafanyakazi za usiku huku mida ya asubuhi nikirudi nyumbani, Rashidi pamoja na Shemeji Nasib wao walikuwa wakienda kazini wakati wa kutwa. Siku moja mida ya asubuhi baada ya kutoka kazini shemeji Nasib alinitumia ujumbe.
"Nimekukumbuka sana Fatuma leo nitatoroka kazini, naomba ukubali please" ni ujumbe uliokuwa ukisomeka kwenye simu yangu hivyo niliamua kuufuta ili kuepusha mambo mengine yasije kutokea.

Niliendelea na ratiba zangu na baada ya mda nilisikia sauti ya Rashidi na moja kwa moja aliingia mpaka chumbani.
"Nimeutafuta upenyo wa kuja kwako mke wangu mpaka nimeupata, na hamu na wewe kweli" Rashidi aliongea huku akinisogelea.

Kidogo nilipunguza chuki kwake na sikuwa kama kile kipindi nilichokuwa mjamzito, sikutaka kumnyima haki yake hivyo nilikubali na Rashidi aliamua kuitumia nafasi niliyompatia, tukiwa tayari tumeshatumia zaidi ya dekika 10 kwenye mizagamuo huku tukiwa bado tunaendelea kwa mbali niliuona mlango wa chumba chetu ukifunguliwa, bahati nzuri Rashidi alikuwa amegeukia upande wangu na kuutegea kisogo mlango, mtu aliyekuwa akifungua mlango alikuwa ni shemeji Nasib, alishangaa kumkuta kaka yake akiwa juu ya kifua changua akinishughulikia, aliufunga mlango haraka ili kaka yake asiwe kumuona na kuondoka.

Baadae Rashidi alitosheka na kujitoa kwenye kifua changu, na ndiyo ilikuwa shida yake yani alikuwa hajali kama nimeridhika au la!! Alienda kuoga haraka na baada ya kumaliza aliniaga nakuondoka kwa ajili ya kuwahi kazini, nilinyenyuka kitandani kwa ajili ya kwenda kuoga ila mda huo huo nilimuona Shemeji Nasib akiingia chumbani.
"Shemeji umeijia nini chumbani kwangu!?"
"Fatuma kwani umesahau kama nilikutumia ujumbe mda mchache uliopita!?"
"Sawa ulinitumia ila kile kipindi nakuruhusu kugusa mwili wangu ilikuwa mimba na hazikuwa akili zangu, naomba utoke kwenye chumba changu Nasib!" niliongea kwa msisitizo na sikutaka kumpa nafasi Shemeji Nasib ya kuongea mbele yangu maana yule mmmh! Alikuwa anajua mno kumshawishi mwanamke na mimi nililitambua hilo. Shemeji Nasib alinibembeleza ila sikutaka kumpa nafasi kabisa, alitoka chumbani na mimi nilielekea bafuni kuoga. Nilitumia dekika kadhaa na baada ya kumaliza nilisikia mtoto wangu akilia.

Nilitoka chumbani na kwenda kumuangalia mtoto, nilishangaa kumuona akiwa kwenye kochi na kama nisingefika mda mwafaka basi mwanangu angedondoka chini.
"Huyu mfanyakazi yupo wapi mbona kamuacha mwanangu peke yake!?" niliongea huku nikimbembeleza mwanangu ila kwa mbali nilisikia sauti za miguno ya mahaba.

Nilianza kuifatilia sauti niliyoisikia na ilinipeleka kwenye chumba cha mfanyakazi wangu wa ndani, nilitega sikio vizuri kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea.
"Mmmhh mimi sitakii kaka"
"Subiri naweka taratibu hutaumia" nilisikia sauti ya Shemeji Nasib na ili kuhakikisha vizuri nilijaribu kufungua mlango nione kama utakubali kufunguka na bahati nzuri ulikubali kufunguka, niliusukuma taratibu na kuchungulia kile kilichokuwa kikiendelea.

Nilimuona Shemeji Nasib akiwa juu ya kifua cha mfanyakazi wa ndani wakifanya yao hivyo niliamua kuufunga mlango taratibu pasipo kuwashitua.
"Mmmh ina maana alikuwa amekabwa na upwiru mpaka kaamua kufanya mapenzi na mfanyakazi wa ndani, mbona hawaendani!?" niliongea maana mwonekano wa beki tatu wetu mmh!! niishie hapo tu nisije nikaponda uumbaji wa muumba bure.

Basi nilitembea na kwenda kwenye kochi na kuanza kumbembeleza mtoto wangu na baada ya mda nilikuwa sisikii sauti za mahaba tena kwenye chumba cha mfanyakazi, baada ya dekika kadhaa kupita alitoka shemeji Nasib, alishangaa kuniona nikiwa nimekaa sebleni na hakutaka kuniongelesha zaidi ya kunipita na kutoka nje, baadae alitoka mfanyakazi chumbani.
"Nenda ukaoge kwanza ili uje umbembeleze mtoto" niliongea na mfanyakazi alifanya kama nilivyomwambia, baadae nilimkabizi mtoto na mimi nilienda chumbani kwa ajili ya kupumzika.

Nilivyofika nilisikia ujumbe ukiingia kwenye simu yangu na nilipouangalia ulikuwa ni ujumbe wa Shemeji Nasib akiniomba samahani kwa kile kilichotokea cha kutembea na mfanyakazi wa ndani, nilimshangaa maana ilikuwa ni haki yake kukata upwiru na hakukuwa na mwanamke mwingine zaidi ya mfanyakazi wa ndani wa kutembea nae nyumbani kwani mimi sikutaka tena kushiriki nae tendo la ndoa.......ITAENDELEA

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN

0755271203 M-PESA JINA JOHN

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Siku hiyo ilipita na ndiyo ulikuwa utaratibu wetu huku nikibakiza siku chache kwa ajili ya kwenda kujifungua. siku moja nikiwa nimelala kitandani mimi pamoja na Rashidi, aliomba game.
Nilijaribu kuweka ugumu ili tu kumkwepa lakini Rashidi huwa hawezi kubembeleza hasa anaposhikwa na hamu ya kufanya mapenzi, alitumia nguvu kufanya mapenzi na mimi kitu alichofanikiwa ila alishangaa baada ya kuona nikiwa tayari nimeshafanyiwa usafi kwenye bustani yangu.
Mtalimbo wake ulisinywaa gafra na kuacha kufanya kile alichotaka kukifanya, Rashidi alizubaa gafra huku macho yake akiwa ameyatoa.

Mimi nilijua hisia zimekata za kufanya mapenzi na mimi hivyo nilijitengeneza vizuri kwa ajili ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-24-mtunzi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest