Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji Rashidi aliamua kutumia nguvu kwa kunivuta na kwenda kuniinamisha kitandani huku nikiwa bado nimevaa nguo.
"Ukoje lakini shemejii mbona hivyo..oo
"Tulia Fatuma nipate utamu" shemeji aliongea huku akilipandisha gauni langu, baadae aliishusha nguo yangu ya ndani mpaka kwenye magoti yangu na kupeleka kidole chake kwenye mdomo wake kwa ajili ya kulamba mate mfano wa mtu anayetaka kuhesabu pesa na kuyapaka kwenye mjegeje wake.

Baada ya hapo shemeji Rashidi aliuchomkea mtalimbo nakunifanya nisahau kama sekunde kadhaa tu nilikuwa nakataa kufanya nae mapenzi, nilijikuta nikisikia raha nisitamani shemeji Rashidi auchomoe kunako! Siku hiyo nilisahau kama Rashidi ni shemeji yangu hivyo tulipeana ushirikiano wa nguvu na nilikuwa na hisia kali za kufanya mapenzi na kujiachia mbele ya shemeji Rashidi, hiyo siku shemeji Rashidi alilala nyumbani kwangu.

Ikiwa ni mida ya asubuhi na mapema tukiwa bado tumelala nilisikia simu yangu ikiita, kutokana na uchovu niliokuwa nao niliichukua simu yangu na kuipokea huku namba ya mpigaji ikiwa ngeni.
"Hello!!" niliongea kwa kutoa sauti iliyojaa uchovu wa hali juu huku macho yangu yakiwa na mawenge ya usingizi.
"Hello Fatuma ni mimi Aisha"
"Dada!!!" niliongea kwa mshangao baada ya kusikia sauti ya dada na kugeuka kumwangalia Shemeji Rashidi aliyekuwa bado amelala tena akiwa anakoroma.
"Fatuma shemeji yako hajarudi tangu aondoke jana kwenda kazini au huko hospital kuna kazi aliyopewa iliyomfanya ashindwe kurudi nyumbani jana!?" swali la dada lilinifanya kijasho chembamba kianze kunitoka ingawa kulikuwa na kaubaridi asubuhi hiyo, nilijikuta nikikaa kimya nakusahau kama nilikuwa naongea na dada kwenye simu.
"Fatuma ivi unanisikia kweli!?"
"Eee!! Ndiyo nakusikia ila sijui kama kuna kazi aliyopewa shemeji iliyomfanya asije nyumbani" nilimjibu na baadae dada Aisha alikata simu.

Kwanza ilibidi nitoke kitandani na kwenda kuvaa nguo ili ata shemeji Aisha akiamka asiweze kuniomba mechi, baada ya kuhakikisha nimevaa vizuri nilimsogelea na kumuamsha.
"Shemeji Amka!!"
"Fatuma niache nilale kwanza, unajua jana usiku ulitaka kuvunja kiuno changu wewe mrembo!?" Shemeji aliongea huku akiwa amefumba macho yake, nilitamani nimzabe kibao kwa michezo aliyokuwa akinifanyia maana alijua nashida na kazi ndiyo maana aliamua kuitumia nafasi ila nilijizuia na kuendelea kumuamsha.
"Kwani kuna shida gani nikiendelea kulala!?" aliniuliza na mimi niliamua kumwambia sababu iliyokuwa ikinifanya nimuamshe.
"Nimetoka kuongea na dada mda sio mrefu kwenye simu"
"Amesemaje kwani!?"
"Ameniuliza ni wapi ulipo pia yupo njiani anakuja sasa ivi hapa nyumbani kwangu" niliamua kumuongopea ili tu aondoke na kweli baada ya kumwambia kuwa dada Aisha anakuja shemeji aliamka na kutoka kitandani huku mjegeje wake ukiwa unaning'inia.

Hakuta ata kuoga zaidi ya kuvaa haraka haraka nakuondoka.

Baada ya shemeji Rashidi kuondoka nilibaki mwenyewe na niliona kitu ninachokifanya cha kutembea na shemeji yangu sio sahihi hivyo wazo nililolipata nikutafuta mwanaume wa kuwa nae kwenye mahusiano pia baada ya kuwaza kwa kina niliona haitakuwa sahihi kumtafutia Shemeji Rashidi mchepuko mwenye makalio makubwa kama alivyokuwa akihitaji sababu ningechangia kuivuluga ndoa ya dada hapo baadae.

Basi baadae nilijiandaa na kwenda kazini na haikupita mda Dada Aisha alinitumia ujumbe akiniambia kuwa mme wake amesharudi nyumbani.
"Mmmh alafu dada anampenda kweli shemeji ila shemeji yeye ananipenda mimi hii mbona kali..!!!" niliongea mwenyewe baada ya kuusoma ujumbe wa dada, sikutaka kuujibu ujumbe wa dada alionitumia.

Siku mbili zilizofata kuna doctor aliyekuwa akiitwa doctor Nasir, Dr Nasir alinitongoza na alinitaka nikubali kutoka nae kimapenzi, haikuwa kazi kwangu kumkubali maana nilikuwa na shida ya kuwa kwenye mahusiano ili tu Shemeji Rashidi asiendelee kunisumbua, nilikubali kuingia kwenye mahusiano na Dr Nasir.

Mahusiano yangu na Nasir hayakuwa ya siri na mtu aliyekuwa akisambaza taarifa za mahusiano yetu alikuwa ni Suzi, karibu kila mtu kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi alijua kuwa natoka na Dr Nasir, kimbembe kilikuja baada ya Shemeji Rashidi kujua.

Siku hiyo nikiwa kazini Shemeji Rashidi aliniita na nilipofika sehemu alipokuwa aliniuliza.
"Fatuma kwanini umekubali kuingia kwenye mahusiano na yule malaya!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nani malaya!?"
"Kwani unatoka na nani!?"
"Natoka na Dr Nasir"
"Oooh!! ndiyo namuongelea huyo huyo, Nasir ni malaya hamna mtu asiyejua kwenye hospital hii, nakushangaa wewe kuona ukiwa nae" Shemeji Rashidi aliniambia na mimi nilijua kilichokuwa kikimsumbua ni wivu aliokuwa nao baada ya kuniona nipo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine hivyo nilimwambia kuwa ata kama Nasir ni mwanaume ambae hajatulia nimempenda hivyo hivyo.
"Unajifanya jeuli utajuta nakwambia kuwa na Nasir, pia bado sijasahau ahadi uliyoniahidi ya kunitafutia mwanamke mwenye makalio makubwa, uliniahidi kumbuka Fatuma!!!"
"Unashida gani lakini shemeji mbona dada yangu anakupenda, kwanini usitulie nae!!" niliongea kwa hisia ila shemeji Rashidi aliondoka pasipo ata kunijibu.

Nilibaki nikiwa na mwangalia na haikupita mda kuna mkono upande wa nyuma ulishika kiuno changu nakunifanya nigeuge nyuma.
"Mmmh Nasir mazingira sio rafiki kipenzi"
"Fatuma kwani kuna shida gani mimi kukushika kiuno maana wewe ni mpenzi wangu, alafu unabonge ya makalio wewe mwanamke" Nasir aliongea pasipo kuutoa mkono wake kwenye kiuno changu, kabra sijamjibu alirudi shemeji Rashidi na alimkuta Nasir akiwa amenishika kiuno. Nilishuhudia jinsi macho ya Shemeji Rashidi yalivyobadilika na kuwa mekundu nahisi kama angekuwa peke yake basi ni lazima angetoa machozi.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.1K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

854
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

616
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16

244
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

224
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15

211
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.

196
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13

185
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19

163

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.36K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.76K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 12
@majario LIVE

ENDELEA......... Madame aliwapa taarifa Mellisa na Misha kuwa mimi sio mlinzi tena bali ni mfanya kazi wake kwenye biashara zake. Rasmi niliajiliwa kusimamia duka kubwa la spea. Huko ndo kulikuwa na pesa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 11
@majario LIVE

ENDELEA.......... Madame Yustar alibaki mdomo wazi. "Ebu inuka kwanza" alininyanyua kwa mikono yake miwili. "Sina maana ninakufukuza kazi na wala sijasema kuwa una mahusiano na binti yangu. Naamini Mellisa unamtazama kama binti yako...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 31 na 32.
@majario LIVE

31 MPAKA 32 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi adrian akanipeleka mpaka chuo. Akanmbia kumbe upo apa.sinza nikasema ndio ndo nipo apa .akasema oooh sawa .vp lakini umenielewa na unayafikilia maneno...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 7 to 19
@majario LIVE

SEHEMU YA 7 ENDELEA.......... Wote tulipitiwa na usingizi mzito. Tuliamka saa kumi jioni na wa kwanza kuamka alikuwa madame. Nilistuka kutoka usingizini baada kuhisi nimeshikwa mashine yangu. "Madame" nilimuita kwa uoga. "Shiiiiii!" Alininyamazisha kwa kuniwekea...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 2 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 2
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media Nicky alishusha pumzi Kama ametua mzigo mzito alipokuwa kaubeba Kisha akasema . " Wewe Tena , umefuata Nini hapa nyumbani kwangu? " Hili swali natakiwa nimuulize wewe Mr....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest