Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji Rashidi aliamua kutumia nguvu kwa kunivuta na kwenda kuniinamisha kitandani huku nikiwa bado nimevaa nguo.
"Ukoje lakini shemejii mbona hivyo..oo
"Tulia Fatuma nipate utamu" shemeji aliongea huku akilipandisha gauni langu, baadae aliishusha nguo yangu ya ndani mpaka kwenye magoti yangu na kupeleka kidole chake kwenye mdomo wake kwa ajili ya kulamba mate mfano wa mtu anayetaka kuhesabu pesa na kuyapaka kwenye mjegeje wake.

Baada ya hapo shemeji Rashidi aliuchomkea mtalimbo nakunifanya nisahau kama sekunde kadhaa tu nilikuwa nakataa kufanya nae mapenzi, nilijikuta nikisikia raha nisitamani shemeji Rashidi auchomoe kunako! Siku hiyo nilisahau kama Rashidi ni shemeji yangu hivyo tulipeana ushirikiano wa nguvu na nilikuwa na hisia kali za kufanya mapenzi na kujiachia mbele ya shemeji Rashidi, hiyo siku shemeji Rashidi alilala nyumbani kwangu.

Ikiwa ni mida ya asubuhi na mapema tukiwa bado tumelala nilisikia simu yangu ikiita, kutokana na uchovu niliokuwa nao niliichukua simu yangu na kuipokea huku namba ya mpigaji ikiwa ngeni.
"Hello!!" niliongea kwa kutoa sauti iliyojaa uchovu wa hali juu huku macho yangu yakiwa na mawenge ya usingizi.
"Hello Fatuma ni mimi Aisha"
"Dada!!!" niliongea kwa mshangao baada ya kusikia sauti ya dada na kugeuka kumwangalia Shemeji Rashidi aliyekuwa bado amelala tena akiwa anakoroma.
"Fatuma shemeji yako hajarudi tangu aondoke jana kwenda kazini au huko hospital kuna kazi aliyopewa iliyomfanya ashindwe kurudi nyumbani jana!?" swali la dada lilinifanya kijasho chembamba kianze kunitoka ingawa kulikuwa na kaubaridi asubuhi hiyo, nilijikuta nikikaa kimya nakusahau kama nilikuwa naongea na dada kwenye simu.
"Fatuma ivi unanisikia kweli!?"
"Eee!! Ndiyo nakusikia ila sijui kama kuna kazi aliyopewa shemeji iliyomfanya asije nyumbani" nilimjibu na baadae dada Aisha alikata simu.

Kwanza ilibidi nitoke kitandani na kwenda kuvaa nguo ili ata shemeji Aisha akiamka asiweze kuniomba mechi, baada ya kuhakikisha nimevaa vizuri nilimsogelea na kumuamsha.
"Shemeji Amka!!"
"Fatuma niache nilale kwanza, unajua jana usiku ulitaka kuvunja kiuno changu wewe mrembo!?" Shemeji aliongea huku akiwa amefumba macho yake, nilitamani nimzabe kibao kwa michezo aliyokuwa akinifanyia maana alijua nashida na kazi ndiyo maana aliamua kuitumia nafasi ila nilijizuia na kuendelea kumuamsha.
"Kwani kuna shida gani nikiendelea kulala!?" aliniuliza na mimi niliamua kumwambia sababu iliyokuwa ikinifanya nimuamshe.
"Nimetoka kuongea na dada mda sio mrefu kwenye simu"
"Amesemaje kwani!?"
"Ameniuliza ni wapi ulipo pia yupo njiani anakuja sasa ivi hapa nyumbani kwangu" niliamua kumuongopea ili tu aondoke na kweli baada ya kumwambia kuwa dada Aisha anakuja shemeji aliamka na kutoka kitandani huku mjegeje wake ukiwa unaning'inia.

Hakuta ata kuoga zaidi ya kuvaa haraka haraka nakuondoka.

Baada ya shemeji Rashidi kuondoka nilibaki mwenyewe na niliona kitu ninachokifanya cha kutembea na shemeji yangu sio sahihi hivyo wazo nililolipata nikutafuta mwanaume wa kuwa nae kwenye mahusiano pia baada ya kuwaza kwa kina niliona haitakuwa sahihi kumtafutia Shemeji Rashidi mchepuko mwenye makalio makubwa kama alivyokuwa akihitaji sababu ningechangia kuivuluga ndoa ya dada hapo baadae.

Basi baadae nilijiandaa na kwenda kazini na haikupita mda Dada Aisha alinitumia ujumbe akiniambia kuwa mme wake amesharudi nyumbani.
"Mmmh alafu dada anampenda kweli shemeji ila shemeji yeye ananipenda mimi hii mbona kali..!!!" niliongea mwenyewe baada ya kuusoma ujumbe wa dada, sikutaka kuujibu ujumbe wa dada alionitumia.

Siku mbili zilizofata kuna doctor aliyekuwa akiitwa doctor Nasir, Dr Nasir alinitongoza na alinitaka nikubali kutoka nae kimapenzi, haikuwa kazi kwangu kumkubali maana nilikuwa na shida ya kuwa kwenye mahusiano ili tu Shemeji Rashidi asiendelee kunisumbua, nilikubali kuingia kwenye mahusiano na Dr Nasir.

Mahusiano yangu na Nasir hayakuwa ya siri na mtu aliyekuwa akisambaza taarifa za mahusiano yetu alikuwa ni Suzi, karibu kila mtu kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi alijua kuwa natoka na Dr Nasir, kimbembe kilikuja baada ya Shemeji Rashidi kujua.

Siku hiyo nikiwa kazini Shemeji Rashidi aliniita na nilipofika sehemu alipokuwa aliniuliza.
"Fatuma kwanini umekubali kuingia kwenye mahusiano na yule malaya!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nani malaya!?"
"Kwani unatoka na nani!?"
"Natoka na Dr Nasir"
"Oooh!! ndiyo namuongelea huyo huyo, Nasir ni malaya hamna mtu asiyejua kwenye hospital hii, nakushangaa wewe kuona ukiwa nae" Shemeji Rashidi aliniambia na mimi nilijua kilichokuwa kikimsumbua ni wivu aliokuwa nao baada ya kuniona nipo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine hivyo nilimwambia kuwa ata kama Nasir ni mwanaume ambae hajatulia nimempenda hivyo hivyo.
"Unajifanya jeuli utajuta nakwambia kuwa na Nasir, pia bado sijasahau ahadi uliyoniahidi ya kunitafutia mwanamke mwenye makalio makubwa, uliniahidi kumbuka Fatuma!!!"
"Unashida gani lakini shemeji mbona dada yangu anakupenda, kwanini usitulie nae!!" niliongea kwa hisia ila shemeji Rashidi aliondoka pasipo ata kunijibu.

Nilibaki nikiwa na mwangalia na haikupita mda kuna mkono upande wa nyuma ulishika kiuno changu nakunifanya nigeuge nyuma.
"Mmmh Nasir mazingira sio rafiki kipenzi"
"Fatuma kwani kuna shida gani mimi kukushika kiuno maana wewe ni mpenzi wangu, alafu unabonge ya makalio wewe mwanamke" Nasir aliongea pasipo kuutoa mkono wake kwenye kiuno changu, kabra sijamjibu alirudi shemeji Rashidi na alimkuta Nasir akiwa amenishika kiuno. Nilishuhudia jinsi macho ya Shemeji Rashidi yalivyobadilika na kuwa mekundu nahisi kama angekuwa peke yake basi ni lazima angetoa machozi.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

876
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

735
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

544
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

236
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

183
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

108
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

78
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

50
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest