Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji Rashidi aliamua kutumia nguvu kwa kunivuta na kwenda kuniinamisha kitandani huku nikiwa bado nimevaa nguo.
"Ukoje lakini shemejii mbona hivyo..oo
"Tulia Fatuma nipate utamu" shemeji aliongea huku akilipandisha gauni langu, baadae aliishusha nguo yangu ya ndani mpaka kwenye magoti yangu na kupeleka kidole chake kwenye mdomo wake kwa ajili ya kulamba mate mfano wa mtu anayetaka kuhesabu pesa na kuyapaka kwenye mjegeje wake.

Baada ya hapo shemeji Rashidi aliuchomkea mtalimbo nakunifanya nisahau kama sekunde kadhaa tu nilikuwa nakataa kufanya nae mapenzi, nilijikuta nikisikia raha nisitamani shemeji Rashidi auchomoe kunako! Siku hiyo nilisahau kama Rashidi ni shemeji yangu hivyo tulipeana ushirikiano wa nguvu na nilikuwa na hisia kali za kufanya mapenzi na kujiachia mbele ya shemeji Rashidi, hiyo siku shemeji Rashidi alilala nyumbani kwangu.

Ikiwa ni mida ya asubuhi na mapema tukiwa bado tumelala nilisikia simu yangu ikiita, kutokana na uchovu niliokuwa nao niliichukua simu yangu na kuipokea huku namba ya mpigaji ikiwa ngeni.
"Hello!!" niliongea kwa kutoa sauti iliyojaa uchovu wa hali juu huku macho yangu yakiwa na mawenge ya usingizi.
"Hello Fatuma ni mimi Aisha"
"Dada!!!" niliongea kwa mshangao baada ya kusikia sauti ya dada na kugeuka kumwangalia Shemeji Rashidi aliyekuwa bado amelala tena akiwa anakoroma.
"Fatuma shemeji yako hajarudi tangu aondoke jana kwenda kazini au huko hospital kuna kazi aliyopewa iliyomfanya ashindwe kurudi nyumbani jana!?" swali la dada lilinifanya kijasho chembamba kianze kunitoka ingawa kulikuwa na kaubaridi asubuhi hiyo, nilijikuta nikikaa kimya nakusahau kama nilikuwa naongea na dada kwenye simu.
"Fatuma ivi unanisikia kweli!?"
"Eee!! Ndiyo nakusikia ila sijui kama kuna kazi aliyopewa shemeji iliyomfanya asije nyumbani" nilimjibu na baadae dada Aisha alikata simu.

Kwanza ilibidi nitoke kitandani na kwenda kuvaa nguo ili ata shemeji Aisha akiamka asiweze kuniomba mechi, baada ya kuhakikisha nimevaa vizuri nilimsogelea na kumuamsha.
"Shemeji Amka!!"
"Fatuma niache nilale kwanza, unajua jana usiku ulitaka kuvunja kiuno changu wewe mrembo!?" Shemeji aliongea huku akiwa amefumba macho yake, nilitamani nimzabe kibao kwa michezo aliyokuwa akinifanyia maana alijua nashida na kazi ndiyo maana aliamua kuitumia nafasi ila nilijizuia na kuendelea kumuamsha.
"Kwani kuna shida gani nikiendelea kulala!?" aliniuliza na mimi niliamua kumwambia sababu iliyokuwa ikinifanya nimuamshe.
"Nimetoka kuongea na dada mda sio mrefu kwenye simu"
"Amesemaje kwani!?"
"Ameniuliza ni wapi ulipo pia yupo njiani anakuja sasa ivi hapa nyumbani kwangu" niliamua kumuongopea ili tu aondoke na kweli baada ya kumwambia kuwa dada Aisha anakuja shemeji aliamka na kutoka kitandani huku mjegeje wake ukiwa unaning'inia.

Hakuta ata kuoga zaidi ya kuvaa haraka haraka nakuondoka.

Baada ya shemeji Rashidi kuondoka nilibaki mwenyewe na niliona kitu ninachokifanya cha kutembea na shemeji yangu sio sahihi hivyo wazo nililolipata nikutafuta mwanaume wa kuwa nae kwenye mahusiano pia baada ya kuwaza kwa kina niliona haitakuwa sahihi kumtafutia Shemeji Rashidi mchepuko mwenye makalio makubwa kama alivyokuwa akihitaji sababu ningechangia kuivuluga ndoa ya dada hapo baadae.

Basi baadae nilijiandaa na kwenda kazini na haikupita mda Dada Aisha alinitumia ujumbe akiniambia kuwa mme wake amesharudi nyumbani.
"Mmmh alafu dada anampenda kweli shemeji ila shemeji yeye ananipenda mimi hii mbona kali..!!!" niliongea mwenyewe baada ya kuusoma ujumbe wa dada, sikutaka kuujibu ujumbe wa dada alionitumia.

Siku mbili zilizofata kuna doctor aliyekuwa akiitwa doctor Nasir, Dr Nasir alinitongoza na alinitaka nikubali kutoka nae kimapenzi, haikuwa kazi kwangu kumkubali maana nilikuwa na shida ya kuwa kwenye mahusiano ili tu Shemeji Rashidi asiendelee kunisumbua, nilikubali kuingia kwenye mahusiano na Dr Nasir.

Mahusiano yangu na Nasir hayakuwa ya siri na mtu aliyekuwa akisambaza taarifa za mahusiano yetu alikuwa ni Suzi, karibu kila mtu kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi alijua kuwa natoka na Dr Nasir, kimbembe kilikuja baada ya Shemeji Rashidi kujua.

Siku hiyo nikiwa kazini Shemeji Rashidi aliniita na nilipofika sehemu alipokuwa aliniuliza.
"Fatuma kwanini umekubali kuingia kwenye mahusiano na yule malaya!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nani malaya!?"
"Kwani unatoka na nani!?"
"Natoka na Dr Nasir"
"Oooh!! ndiyo namuongelea huyo huyo, Nasir ni malaya hamna mtu asiyejua kwenye hospital hii, nakushangaa wewe kuona ukiwa nae" Shemeji Rashidi aliniambia na mimi nilijua kilichokuwa kikimsumbua ni wivu aliokuwa nao baada ya kuniona nipo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine hivyo nilimwambia kuwa ata kama Nasir ni mwanaume ambae hajatulia nimempenda hivyo hivyo.
"Unajifanya jeuli utajuta nakwambia kuwa na Nasir, pia bado sijasahau ahadi uliyoniahidi ya kunitafutia mwanamke mwenye makalio makubwa, uliniahidi kumbuka Fatuma!!!"
"Unashida gani lakini shemeji mbona dada yangu anakupenda, kwanini usitulie nae!!" niliongea kwa hisia ila shemeji Rashidi aliondoka pasipo ata kunijibu.

Nilibaki nikiwa na mwangalia na haikupita mda kuna mkono upande wa nyuma ulishika kiuno changu nakunifanya nigeuge nyuma.
"Mmmh Nasir mazingira sio rafiki kipenzi"
"Fatuma kwani kuna shida gani mimi kukushika kiuno maana wewe ni mpenzi wangu, alafu unabonge ya makalio wewe mwanamke" Nasir aliongea pasipo kuutoa mkono wake kwenye kiuno changu, kabra sijamjibu alirudi shemeji Rashidi na alimkuta Nasir akiwa amenishika kiuno. Nilishuhudia jinsi macho ya Shemeji Rashidi yalivyobadilika na kuwa mekundu nahisi kama angekuwa peke yake basi ni lazima angetoa machozi.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.

Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-09

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

1.04K
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

250
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

222
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

216
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

165
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

156
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

145
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.84K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest