Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA..........
Sio kwamba nilikuwa napenda kuona akiwa na mchepuko na ukizingatia ni mme wa dada ila nilitaka kikombe kiniepuke cha shemeji Rashidi kunitaka kimapenzi, niliona bora awe anatoka na mtu mwingine kuliko mimi, nilijua siku dada Aisha akigundua basi lazima undugu ufe.
Licha ya kumwambia shemeji kuwa nitamtaftia mchepuko mwenye makalio makubwa haikumfanya aache kufanya kile alichokuwa amethamilia, alivua nguo zake nakubaki uchi kisha baada ya hapo aliniambia.
"Fatuma njoo tulane kwa mara ya mwisho kabra hujanitafutia zigo jingine"
"Mmmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu huku nikipandisha mabega yangu juu ishara ya kukataa.
"Hapo tu ndipo unaponikera Fatuma, emu njoo huko" Shemeji Rashidi aliamua kutumia nguvu kwa kunivuta na kwenda kuniinamisha kitandani huku nikiwa bado nimevaa nguo.
"Ukoje lakini shemejii mbona hivyo..oo
"Tulia Fatuma nipate utamu" shemeji aliongea huku akilipandisha gauni langu, baadae aliishusha nguo yangu ya ndani mpaka kwenye magoti yangu na kupeleka kidole chake kwenye mdomo wake kwa ajili ya kulamba mate mfano wa mtu anayetaka kuhesabu pesa na kuyapaka kwenye mjegeje wake.
Baada ya hapo shemeji Rashidi aliuchomkea mtalimbo nakunifanya nisahau kama sekunde kadhaa tu nilikuwa nakataa kufanya nae mapenzi, nilijikuta nikisikia raha nisitamani shemeji Rashidi auchomoe kunako! Siku hiyo nilisahau kama Rashidi ni shemeji yangu hivyo tulipeana ushirikiano wa nguvu na nilikuwa na hisia kali za kufanya mapenzi na kujiachia mbele ya shemeji Rashidi, hiyo siku shemeji Rashidi alilala nyumbani kwangu.
Ikiwa ni mida ya asubuhi na mapema tukiwa bado tumelala nilisikia simu yangu ikiita, kutokana na uchovu niliokuwa nao niliichukua simu yangu na kuipokea huku namba ya mpigaji ikiwa ngeni.
"Hello!!" niliongea kwa kutoa sauti iliyojaa uchovu wa hali juu huku macho yangu yakiwa na mawenge ya usingizi.
"Hello Fatuma ni mimi Aisha"
"Dada!!!" niliongea kwa mshangao baada ya kusikia sauti ya dada na kugeuka kumwangalia Shemeji Rashidi aliyekuwa bado amelala tena akiwa anakoroma.
"Fatuma shemeji yako hajarudi tangu aondoke jana kwenda kazini au huko hospital kuna kazi aliyopewa iliyomfanya ashindwe kurudi nyumbani jana!?" swali la dada lilinifanya kijasho chembamba kianze kunitoka ingawa kulikuwa na kaubaridi asubuhi hiyo, nilijikuta nikikaa kimya nakusahau kama nilikuwa naongea na dada kwenye simu.
"Fatuma ivi unanisikia kweli!?"
"Eee!! Ndiyo nakusikia ila sijui kama kuna kazi aliyopewa shemeji iliyomfanya asije nyumbani" nilimjibu na baadae dada Aisha alikata simu.
Kwanza ilibidi nitoke kitandani na kwenda kuvaa nguo ili ata shemeji Aisha akiamka asiweze kuniomba mechi, baada ya kuhakikisha nimevaa vizuri nilimsogelea na kumuamsha.
"Shemeji Amka!!"
"Fatuma niache nilale kwanza, unajua jana usiku ulitaka kuvunja kiuno changu wewe mrembo!?" Shemeji aliongea huku akiwa amefumba macho yake, nilitamani nimzabe kibao kwa michezo aliyokuwa akinifanyia maana alijua nashida na kazi ndiyo maana aliamua kuitumia nafasi ila nilijizuia na kuendelea kumuamsha.
"Kwani kuna shida gani nikiendelea kulala!?" aliniuliza na mimi niliamua kumwambia sababu iliyokuwa ikinifanya nimuamshe.
"Nimetoka kuongea na dada mda sio mrefu kwenye simu"
"Amesemaje kwani!?"
"Ameniuliza ni wapi ulipo pia yupo njiani anakuja sasa ivi hapa nyumbani kwangu" niliamua kumuongopea ili tu aondoke na kweli baada ya kumwambia kuwa dada Aisha anakuja shemeji aliamka na kutoka kitandani huku mjegeje wake ukiwa unaning'inia.
Hakuta ata kuoga zaidi ya kuvaa haraka haraka nakuondoka.
Baada ya shemeji Rashidi kuondoka nilibaki mwenyewe na niliona kitu ninachokifanya cha kutembea na shemeji yangu sio sahihi hivyo wazo nililolipata nikutafuta mwanaume wa kuwa nae kwenye mahusiano pia baada ya kuwaza kwa kina niliona haitakuwa sahihi kumtafutia Shemeji Rashidi mchepuko mwenye makalio makubwa kama alivyokuwa akihitaji sababu ningechangia kuivuluga ndoa ya dada hapo baadae.
Basi baadae nilijiandaa na kwenda kazini na haikupita mda Dada Aisha alinitumia ujumbe akiniambia kuwa mme wake amesharudi nyumbani.
"Mmmh alafu dada anampenda kweli shemeji ila shemeji yeye ananipenda mimi hii mbona kali..!!!" niliongea mwenyewe baada ya kuusoma ujumbe wa dada, sikutaka kuujibu ujumbe wa dada alionitumia.
Siku mbili zilizofata kuna doctor aliyekuwa akiitwa doctor Nasir, Dr Nasir alinitongoza na alinitaka nikubali kutoka nae kimapenzi, haikuwa kazi kwangu kumkubali maana nilikuwa na shida ya kuwa kwenye mahusiano ili tu Shemeji Rashidi asiendelee kunisumbua, nilikubali kuingia kwenye mahusiano na Dr Nasir.
Mahusiano yangu na Nasir hayakuwa ya siri na mtu aliyekuwa akisambaza taarifa za mahusiano yetu alikuwa ni Suzi, karibu kila mtu kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi alijua kuwa natoka na Dr Nasir, kimbembe kilikuja baada ya Shemeji Rashidi kujua.
Siku hiyo nikiwa kazini Shemeji Rashidi aliniita na nilipofika sehemu alipokuwa aliniuliza.
"Fatuma kwanini umekubali kuingia kwenye mahusiano na yule malaya!?" Shemeji Rashidi aliniuliza.
"Nani malaya!?"
"Kwani unatoka na nani!?"
"Natoka na Dr Nasir"
"Oooh!! ndiyo namuongelea huyo huyo, Nasir ni malaya hamna mtu asiyejua kwenye hospital hii, nakushangaa wewe kuona ukiwa nae" Shemeji Rashidi aliniambia na mimi nilijua kilichokuwa kikimsumbua ni wivu aliokuwa nao baada ya kuniona nipo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine hivyo nilimwambia kuwa ata kama Nasir ni mwanaume ambae hajatulia nimempenda hivyo hivyo.
"Unajifanya jeuli utajuta nakwambia kuwa na Nasir, pia bado sijasahau ahadi uliyoniahidi ya kunitafutia mwanamke mwenye makalio makubwa, uliniahidi kumbuka Fatuma!!!"
"Unashida gani lakini shemeji mbona dada yangu anakupenda, kwanini usitulie nae!!" niliongea kwa hisia ila shemeji Rashidi aliondoka pasipo ata kunijibu.
Nilibaki nikiwa na mwangalia na haikupita mda kuna mkono upande wa nyuma ulishika kiuno changu nakunifanya nigeuge nyuma.
"Mmmh Nasir mazingira sio rafiki kipenzi"
"Fatuma kwani kuna shida gani mimi kukushika kiuno maana wewe ni mpenzi wangu, alafu unabonge ya makalio wewe mwanamke" Nasir aliongea pasipo kuutoa mkono wake kwenye kiuno changu, kabra sijamjibu alirudi shemeji Rashidi na alimkuta Nasir akiwa amenishika kiuno. Nilishuhudia jinsi macho ya Shemeji Rashidi yalivyobadilika na kuwa mekundu nahisi kama angekuwa peke yake basi ni lazima angetoa machozi.....ITAENDELEA.
Full Tsh1000 namba za malipo ????????????
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.