Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika Shemeji Nasib alirudi nyumbani na alipopata upenyo aliamua kuniuliza.
"Fatuma kile nilichokwambia ulikifanyia kazi!?"
"Kwa kiasi chake ila kuna kitu nahitaji kukwambia sizani kama kaka yako alikuambia"
"Kitu gani Fatuma!?"
"Sio kwa nia mbaya ni kwa nia njema tu, naomba uondoke hapa nyumbani na uende kujitegemea mwenyewe, sihitaji uendelee kuishi hapa" niliongea pasipo kumuangalia usoni.
"Ina maana hunipendi kiasi hichi Fatuma!?"
"Ivi umeshawaza siku kaka yako akijua kuwa nimeshafanya mapenzi na wewe!? unafikiri ni maamuzi gani atakayoyafanya!?"
"Hapana sijawaza bado"
"Basi jiongeze wewe ni msomi na ni mwelewa haina haja ya kukufafanulia zaidi" nilimwambia na Shemeji Nasib aliniahidi ataondoka kwa ajili ya kwenda kujitegemea.

Baada ya siku kadhaa shemeji Rashidi aliondoka pia niliamua kuajiri dada mwingine wa kazi kwa ajili ya kutusaidia.

Rashidi hakuwahi kutumia dawa za kuongeza nguvu tena, na alirudi kwenye maisha yake ya kawaida hivyo kwangu kulikuwa na unafuu mkubwa.

Kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi kuna binti aliajiriwa aliyekuwa na sura nzuri huku nyuma akiwa kajariwa kuwa na shape yenye mvuto japo makalio yangu yalikuwa makubwa kuliko yake, Nasir pamoja na Dr David walipunguza kunitongoza na majeshi waliyahamishia kwa mwajiriwa mwenzetu mpya aliyekiwa akiitwa Faith.
Faith alikuwa mgawaji kwa wote wawili Nasir na Dr David mpaka kuwa gumzo kwa karibu kila mfanyakazi. Alipangiwa kufanyakazi za usiku kama mimi hivyo siku moja baada ya kumaliza kutoa huduma kwa wagonjwa nilienda kwenye chumba cha wahudumu kwa ajili ya kupumzika, nilifika na kuusukuma mlango lakini uligoma kufunguka.

Niligeuka kwa ajili ya kuondoka ila mlango ulifunguliwa na Nasir alitoka huku akifunga zipu ya suruali yake.
"Mwenzako mtamu kuliko wewe na anatoa pote nyuma na mbele" Nasir alizungumza.
"Mimi mambo yenu yananihusu nini! kama ni mtamu si yeye"
"Nakwambia ili uache kulinga maana unalingia sana na makalio yako"
"Bhana eeeh!! Kama umeyapenda nenda ukawekewe na wewe uwe na makalio kama yangu" niliongea na sikutaka kuendelea kumsikiliza zaidi ya kuingia kwenye chumba cha wauguzi kwa ajili ya kupumzika.

Nilifika na kumkuta Faith akiwa kakaa kwenye kiti akichezea simu yake bira kunisemesha. kutokana na kihelehele nilichokuwa nacho nilisogea kwenye kitanda kwa ajili ya kulala ila nilipokaa kitandani nilishangaa kushika maji maji na niligundua kuwa ni mbegu za kiume.
"Faith njoo ufute uchafu wako" nilimwambia Faith aliyekuwa bize na simu.
"Wewe futa tu mwenyewe kwani kuna ubaya gani ukifuta! Kama kuliwa nimeliwa mimi hivyo hamna tatizo lolote lile Fatuma"
"Yani wewe ndiyo umetoka kufanya mapenzi alafu mimi nifanye usafi hapa unakichaa!?"
"Nani anakichaa au unanionea wivu kisa napendwa na Nasir pamoja na Dr David!?"
"Nikuone wivu ili iweje!?" nilimuuliza na ndipo kulipotokea kutokuelewana kati yangu na Faith.

Tangu siku hiyo tulikuwa hatupatani, Faith alizidisha kutoka kimapenzi na Nasir pamoja na Dr David akiamini kuwa ananikomoa mimi ili nisiweze kutoka nao.

Siku zilizidi kwenda na baada ya mwezi mmoja kupita Shemeji Nasib alituletea taarifa kuwa amepata mwanamke wa kumuoa, kwangu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwani niliamini atapunguza kunifikiria na kunifatilia ili siri iendelee kuwepo bira ya Rashidi kujua kama tayari tumeshawahi kufanya mapenzi. upande wa dada Aisha biashara yake ya duka la vipodozi ilikuwa ikimuendea vizuri na tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara kwa ajili ya kujuliana hali huku mda mwingine akinitania kuwa nilimuibia mme, Dada Aisha nae aliendelea kuishi na mwanaume aliyezaa nae, siku moja mama yetu mzazi aliweza kutuita kwa ajili ya kutufanikisha kikao mimi pamoja na dada.
"Fatuma kila mtu sasa ivi ana mme wake, nisije kuwaona tena mnachukuliana wanaume hasa wewe Fatuma uliyevunja ndoa ya mwenzako"
"Mama halitajirudia tena jambo kama hilo na tumeshayamaliza mimi pamoja na dada"
"Ety Aisha ni kweli mmeshayamaliza!?"
"Ndio mama" dada Aisha alimhakikisha mama kwa kumjibu kuwa haitatokea tena mimi kutembea na mwanaume anayeishi nae au dada kurudiana na Rashidi ambae ni mme wangu.

Baada ya kikao kifupi cha familia tuliondoka na kila mtu alienda kuendelea na mambo yake, kwakuwa ilikuwa ni siku ya mapumziko nilifika nyumbani na kumkuta Rashidi aliyeanza kunitazama kwa macho ya matamanio baada ya kuniona.
"Fatuma makalio yako huwa yanapandisha hisia zangu sana, nilikuwa sina hamu ya kufanya mapenzi ila baada ya kukuona tayari imesimama inahitaji tiba"
"Mmmh!! au na leo umetumia dawa za kuongeza nguvu!?"
"Wala!! au unataka nitumie ili nikuzagamue vizuri" Rashidi nae aliniuliza.
"Siku ukitumia tunaacha siku hiyo hiyo, nabeba kilicho changu nakuondoka" niliongea na matani yaliendelea kati yetu ila Rashidi hakuacha kunisisitizia kuwa anahitaji kufanya mapenzi na mimi.

Tulipelekana mpaka chumbani kwa ajili ya kwenda kuzagamuana na kila mtu alikuwa na furaha na mwenzake.

Mpaka namaliza kusimulia story hii bado naendelea kuishi na Rashidi kama mme wangu licha ya maneno mengi yanayoongelewa kutokana na Rashidi kuwa shemeji yangu hapo nyuma lakini sisi tumeamua kuishi bira kujali maneno ya watu pia bado nafanya kazi kwenye hospital ile ile na Faith anaendelea na tabia yake ya umama huruma ya kugawa kwa karibu kila mwanaume anayetaka kutoka nae kimapenzi, upande wa Nasir licha ya kuwa kwenye mahusiano na Faith ila ameshaoa mwanamke mwingine, bado anamfanya Faith kama mchepuko wake. Dr David ameshahamishiwa kwenye hospital nyingine na anaendelea na kazi yake ya udakitari.
                                       
            MWISHOOOOO.

Mwisho wa story hii ndiyo mwanzo wa story zingine, asanteni kwa kuifatilia story hii kuanzia mwanzo mpaka mwisho ??? tukutane tena kwa wakati mwingine.

Mwandishi: ZOOPER
Msimuliaji: FATUMA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika Shemeji Nasib alirudi nyumbani na alipopata upenyo aliamua kuniuliza.
"Fatuma kile nilichokwambia ulikifanyia kazi!?"
"Kwa kiasi chake ila kuna kitu nahitaji kukwambia sizani kama kaka yako alikuambia"
"Kitu gani Fatuma!?"
"Sio kwa nia mbaya ni kwa nia njema tu, naomba uondoke hapa nyumbani na uende kujitegemea mwenyewe, sihitaji uendelee kuishi hapa" niliongea pasipo kumuangalia usoni.
"Ina maana hunipendi kiasi hichi Fatuma!?"
"Ivi umeshawaza siku kaka yako akijua kuwa nimeshafanya mapenzi na wewe!? unafikiri ni maamuzi gani atakayoyafanya!?"
"Hapana sijawaza bado"
"Basi jiongeze wewe ni msomi na ni mwelewa haina haja ya kukufafanulia zaidi" nilimwambia na Shemeji Nasib...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-30-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

1.53K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

798
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

266
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

198
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

139
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.95K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.64K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.82K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.68K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest