Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika Shemeji Nasib alirudi nyumbani na alipopata upenyo aliamua kuniuliza.
"Fatuma kile nilichokwambia ulikifanyia kazi!?"
"Kwa kiasi chake ila kuna kitu nahitaji kukwambia sizani kama kaka yako alikuambia"
"Kitu gani Fatuma!?"
"Sio kwa nia mbaya ni kwa nia njema tu, naomba uondoke hapa nyumbani na uende kujitegemea mwenyewe, sihitaji uendelee kuishi hapa" niliongea pasipo kumuangalia usoni.
"Ina maana hunipendi kiasi hichi Fatuma!?"
"Ivi umeshawaza siku kaka yako akijua kuwa nimeshafanya mapenzi na wewe!? unafikiri ni maamuzi gani atakayoyafanya!?"
"Hapana sijawaza bado"
"Basi jiongeze wewe ni msomi na ni mwelewa haina haja ya kukufafanulia zaidi" nilimwambia na Shemeji Nasib aliniahidi ataondoka kwa ajili ya kwenda kujitegemea.

Baada ya siku kadhaa shemeji Rashidi aliondoka pia niliamua kuajiri dada mwingine wa kazi kwa ajili ya kutusaidia.

Rashidi hakuwahi kutumia dawa za kuongeza nguvu tena, na alirudi kwenye maisha yake ya kawaida hivyo kwangu kulikuwa na unafuu mkubwa.

Kwenye hospital niliyokuwa nikifanyia kazi kuna binti aliajiriwa aliyekuwa na sura nzuri huku nyuma akiwa kajariwa kuwa na shape yenye mvuto japo makalio yangu yalikuwa makubwa kuliko yake, Nasir pamoja na Dr David walipunguza kunitongoza na majeshi waliyahamishia kwa mwajiriwa mwenzetu mpya aliyekiwa akiitwa Faith.
Faith alikuwa mgawaji kwa wote wawili Nasir na Dr David mpaka kuwa gumzo kwa karibu kila mfanyakazi. Alipangiwa kufanyakazi za usiku kama mimi hivyo siku moja baada ya kumaliza kutoa huduma kwa wagonjwa nilienda kwenye chumba cha wahudumu kwa ajili ya kupumzika, nilifika na kuusukuma mlango lakini uligoma kufunguka.

Niligeuka kwa ajili ya kuondoka ila mlango ulifunguliwa na Nasir alitoka huku akifunga zipu ya suruali yake.
"Mwenzako mtamu kuliko wewe na anatoa pote nyuma na mbele" Nasir alizungumza.
"Mimi mambo yenu yananihusu nini! kama ni mtamu si yeye"
"Nakwambia ili uache kulinga maana unalingia sana na makalio yako"
"Bhana eeeh!! Kama umeyapenda nenda ukawekewe na wewe uwe na makalio kama yangu" niliongea na sikutaka kuendelea kumsikiliza zaidi ya kuingia kwenye chumba cha wauguzi kwa ajili ya kupumzika.

Nilifika na kumkuta Faith akiwa kakaa kwenye kiti akichezea simu yake bira kunisemesha. kutokana na kihelehele nilichokuwa nacho nilisogea kwenye kitanda kwa ajili ya kulala ila nilipokaa kitandani nilishangaa kushika maji maji na niligundua kuwa ni mbegu za kiume.
"Faith njoo ufute uchafu wako" nilimwambia Faith aliyekuwa bize na simu.
"Wewe futa tu mwenyewe kwani kuna ubaya gani ukifuta! Kama kuliwa nimeliwa mimi hivyo hamna tatizo lolote lile Fatuma"
"Yani wewe ndiyo umetoka kufanya mapenzi alafu mimi nifanye usafi hapa unakichaa!?"
"Nani anakichaa au unanionea wivu kisa napendwa na Nasir pamoja na Dr David!?"
"Nikuone wivu ili iweje!?" nilimuuliza na ndipo kulipotokea kutokuelewana kati yangu na Faith.

Tangu siku hiyo tulikuwa hatupatani, Faith alizidisha kutoka kimapenzi na Nasir pamoja na Dr David akiamini kuwa ananikomoa mimi ili nisiweze kutoka nao.

Siku zilizidi kwenda na baada ya mwezi mmoja kupita Shemeji Nasib alituletea taarifa kuwa amepata mwanamke wa kumuoa, kwangu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwani niliamini atapunguza kunifikiria na kunifatilia ili siri iendelee kuwepo bira ya Rashidi kujua kama tayari tumeshawahi kufanya mapenzi. upande wa dada Aisha biashara yake ya duka la vipodozi ilikuwa ikimuendea vizuri na tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara kwa ajili ya kujuliana hali huku mda mwingine akinitania kuwa nilimuibia mme, Dada Aisha nae aliendelea kuishi na mwanaume aliyezaa nae, siku moja mama yetu mzazi aliweza kutuita kwa ajili ya kutufanikisha kikao mimi pamoja na dada.
"Fatuma kila mtu sasa ivi ana mme wake, nisije kuwaona tena mnachukuliana wanaume hasa wewe Fatuma uliyevunja ndoa ya mwenzako"
"Mama halitajirudia tena jambo kama hilo na tumeshayamaliza mimi pamoja na dada"
"Ety Aisha ni kweli mmeshayamaliza!?"
"Ndio mama" dada Aisha alimhakikisha mama kwa kumjibu kuwa haitatokea tena mimi kutembea na mwanaume anayeishi nae au dada kurudiana na Rashidi ambae ni mme wangu.

Baada ya kikao kifupi cha familia tuliondoka na kila mtu alienda kuendelea na mambo yake, kwakuwa ilikuwa ni siku ya mapumziko nilifika nyumbani na kumkuta Rashidi aliyeanza kunitazama kwa macho ya matamanio baada ya kuniona.
"Fatuma makalio yako huwa yanapandisha hisia zangu sana, nilikuwa sina hamu ya kufanya mapenzi ila baada ya kukuona tayari imesimama inahitaji tiba"
"Mmmh!! au na leo umetumia dawa za kuongeza nguvu!?"
"Wala!! au unataka nitumie ili nikuzagamue vizuri" Rashidi nae aliniuliza.
"Siku ukitumia tunaacha siku hiyo hiyo, nabeba kilicho changu nakuondoka" niliongea na matani yaliendelea kati yetu ila Rashidi hakuacha kunisisitizia kuwa anahitaji kufanya mapenzi na mimi.

Tulipelekana mpaka chumbani kwa ajili ya kwenda kuzagamuana na kila mtu alikuwa na furaha na mwenzake.

Mpaka namaliza kusimulia story hii bado naendelea kuishi na Rashidi kama mme wangu licha ya maneno mengi yanayoongelewa kutokana na Rashidi kuwa shemeji yangu hapo nyuma lakini sisi tumeamua kuishi bira kujali maneno ya watu pia bado nafanya kazi kwenye hospital ile ile na Faith anaendelea na tabia yake ya umama huruma ya kugawa kwa karibu kila mwanaume anayetaka kutoka nae kimapenzi, upande wa Nasir licha ya kuwa kwenye mahusiano na Faith ila ameshaoa mwanamke mwingine, bado anamfanya Faith kama mchepuko wake. Dr David ameshahamishiwa kwenye hospital nyingine na anaendelea na kazi yake ya udakitari.
                                       
            MWISHOOOOO.

Mwisho wa story hii ndiyo mwanzo wa story zingine, asanteni kwa kuifatilia story hii kuanzia mwanzo mpaka mwisho ??? tukutane tena kwa wakati mwingine.

Mwandishi: ZOOPER
Msimuliaji: FATUMA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Mida ya jioni ilipofika Shemeji Nasib alirudi nyumbani na alipopata upenyo aliamua kuniuliza.
"Fatuma kile nilichokwambia ulikifanyia kazi!?"
"Kwa kiasi chake ila kuna kitu nahitaji kukwambia sizani kama kaka yako alikuambia"
"Kitu gani Fatuma!?"
"Sio kwa nia mbaya ni kwa nia njema tu, naomba uondoke hapa nyumbani na uende kujitegemea mwenyewe, sihitaji uendelee kuishi hapa" niliongea pasipo kumuangalia usoni.
"Ina maana hunipendi kiasi hichi Fatuma!?"
"Ivi umeshawaza siku kaka yako akijua kuwa nimeshafanya mapenzi na wewe!? unafikiri ni maamuzi gani atakayoyafanya!?"
"Hapana sijawaza bado"
"Basi jiongeze wewe ni msomi na ni mwelewa haina haja ya kukufafanulia zaidi" nilimwambia na Shemeji Nasib...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-30-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*

980
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho

440
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7

400
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8

162
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

119
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol

7
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~

4

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.4K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.18K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

MY CRAZY BOSS 17 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 17
@majario LIVE

Haikuchukua muda sana , tuliwasili nyumbani kwa boss, tuliingia kiustaarabu sana na tulivyozama tu boss alianza kunionesha ukichaa wake. Alinisogelea karibu aligusanisha mdomo wake na wangu kwa fujo alianza kunipa...

 AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap Post Mpya
AMINATA,BINTI AGEUKA NA KUWA MTU HATARI BAADA YA KUTEKWA, AMEOKOA MAELFU YA WAAFRIKA | Movie Recap
@majario LIVE

Huyu binti hapa anaitwa Aminata na ana umri wa miaka 11 tu. Aminata alikumbwa na changamoto ya biashara ya utumwa. Na baada ya kutekwa hapa tunawaona wakiwa wamepelekwa katika soko la utumwa...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 7
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Bila kusema neno lolote, Mr. Marvel aligeuka akaondoka. Basi Salmon alitakiwa kusimamisha party lakini kabla hajafanya hivyo alimwangalia Noela akamwambia “Ondoka! Unasubiria nini tena?”😒 “Hutanipeleka hostel?” “No, sina muda” “Kwa nini? Nitarudi vipi jamani?”...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* 7 na 8
@majario LIVE

*SEHEMU YA SABA* Mimi na Enzo tulishtuka sana Walahi, lakini Mimi Ndio nilishtuka zaidi, Yaani hii ni zaidi ya sibu imagine mpaka baba mkwe sa hapa Ndio inakuja ile hali ya kutaka...

MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI Post Mpya
MWANAMKE ALIYEMNYIMA BABA YAKE MZAZI MAJI YA KUNYWA NA KUJA KUFILISIKA SIKU YA HARUSUI
@majario LIVE

Sheila alikuwa binti aliyefanikiwa sana jijini. Alikuwa na kampuni ya uagizaji wa vipodozi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari. Sheila alikuwa anajiandaa kufunga ndoa na Dr. Oscar, kijana kutoka...

*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two*   *SEHEMU YA SITA* Post Mpya
*ASSSSSSSH BOSS ENZO* *Season two* *SEHEMU YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO Kiukweli uwaga namuogopa sana madam groly lakini safari hii imekuwa tofauti sana Tena sana. yaani sijasikia uoga wa aina yoyote fla na sikusikia Kuwa na wasiwasi juu ya uwezo...

SHAMIRA  🏀 sehemu ya 32&33 Post Mpya
SHAMIRA 🏀 sehemu ya 32&33
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Bai tumefika nyumbani akanishusha mwenye gari. akanikokota mpaka chumbani moja kwamoja akanipeleka bafuni nilichafuka na mapombe kama yote. Mwanaume akaniweka kwanza chini akaanza kunimwagia maji...

SHAMIRA sehemu ya 30&31 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 30&31
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mie nikaongea na asha .akanambia shoga vijora vishafika nikamwambia changu nipelekee kwa fundi mwambie akitatue mpma mapajani na mgongoni kuwe wazi. kama kawaida yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest