Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nasir aliniachia baada ya kumuona Shemeji akija upande wetu.
"Bora ata umekuja ivi unaakili kweli wewe jamaa!? huyu si shemeji yako sasa kwanini unamtaka kimapenzi!?" Nasir alimuuliza na mimi niliona kuna hatari ya ugomvi kutokea baina yao hivyo niliondoka maeneo hayo na kuwaacha wenyewe.

Sikujua kilichoendelea pale ila tangu siku hiyo mimi na Nasir hatukuwa kwenye mawasiliano, siku zilizidi kwenda huku nikiendelea na kazi lakini ndani ya moyo wangu sikuwa na amani kabisa ya kufanya kazi sehemu moja pamoja na shemeji Rashidi hivyo nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine pasipo kumshirikisha mtu yoyote yule.

Furaha ya shemeji Rashidi ilikuwa ni kuniona nikiwa single bira kuwa na mwanaume yoyote yule.

Tangu niachane na Nasir shemeji Rashidi nae alirudisha upendo kwa dada na hakuwahi kumnunia tena, nakumbuka siku moja dada alinipigia simu na kunitaka niende nyumbani kwake, Nilimwambia kuwa haitowezekana lakini alinisisitizia ni lazima niende kwani kulikuwa na kitu cha mhimu kilichomfanya aniite.

Ilibidi nikubali kwenda na nilipofika niliwakuta wakiwa wamekaa pamoja huku shemeji Rashidi akiwa kamkumbatia dada Aisha.
"Karibu mdogo wangu yani kama ungekataa kuja basi nisingekupigia simu tena kwenye maisha yangu yote" dada aliongea.
"Kwani kuna nini!?"
Hakutaka kunijibu badala yake aliniambia nisogee nikae karibu yao kisha baada ya hapo alinyenyuka na kuondoka huku akituacha sisi wawili tu yani mimi na shemeji Rashidi.

Shemeji Rashidi baada ya kuona tumebaki wawili alinisogelea na kuupeleka mkono wake kwenye kiuno changu.
"Mmmh shemeji toa mkono wako" nilimwambia nikimtaka autoe mkono wake ili dada asije kutukuta.
"Nimekumiss sana Fatuma" Shemeji Rashidi aliongea huku akiwa bado amenishika kwenye kiuno na mda huo huo alifika dada hivyo shemeji Rashidi aliutoa mkono wake haraka na alijifanya anatafuta kitu nyuma ya mgongo wangu nilipokaa.
"Mbona unamsumbua mdogo wangu mme wangu!?" Aisha aliongea baada ya kuuona mkono wa mme wake nyuma ya mgongo wangu.
"Natafuta limoti mke wangu ila siioni"
"Limoti!!!"
"Ndio limoti" shemeji Rashidi alimjibu huku akiendelea kupapasa pembeni ya kochi.
"Heeeeeh!!! limoti siipo hapo pembeni yako Rashidi au huna macho siku hizi...!?"
Shemeji Rashidi aliangalia sehemu aliyoelekezwa na dada na alifanikiwa kuiona limoti.
"Mambo mengi mke wangu ata hivyo shemeji samahani kwa kukusumbua" aliongea na mimi sikutaka kumjibu zaidi ya kuachia tabasamu la kinafiki mbele yake maana ata yeye alikuwa akiniigizia tu.

Dada alisogea akiwa amebeba mfuko na kuuweka juu ya meza na kuniambia.
"Aya sasa Fatuma kazi kwako kuna nyama za kuku kwenye huo mfuko na ndicho nilichokuitia mdogo wangu" Aisha aliongea na mimi nilinyenyuka mahali nilipokuwa nimekaa na kuuchukua mfuko, nilipoangalia ndani ya mfuko nilijithibitishia mwenyewe kuwa ni nyama za kuku hivyo nilimshukuru dada na kuwaaga kwa ajili ya kuondoka lakini shemeji Rashidi aliongea.
"Mke wangu ngoja nimsindikize mdogo wako"
Baada ya shemeji Rashidi kusema anisindikize nilijua lazima atataka kufika mpaka kwangu ili anizagamue.
"Shemeji wewe baki tu, uzuri nyumbani ni karibu hivyo nitaenda mwenyewe tu"
"Hapana shemeji lazima nikusindikize au mke wangu nafanya vibaya kumsindikiza!?" aliongea huku akimuuliza dada.
"Upo sawa mme wangu ila mzoee tu Fatuma ndivyo alivyo huwa ni mbishi mno huyu ata kwenye mambo ya mhimu yeye anabisha tu, Fatuma mdogo wangu sasa ivi ni saa 5 usiku sio vizuri kwenda mwenyewe ni vizuri ukasindikizwa na shemeji yako" dada nae alikazia pasipo kujua lengo la mme wake ni lipi na baada ya kuona wote wawili wameungana ilibidi nikubali kusindikizwa na shemeji Rashidi.

Tuliondoka huku tukitembea kwa miguu na njiani nilikuwa kimya huku nikiwa na mawazo yangu, shemeji Rashidi alikuwa akibaki nyuma kila mda nahisi alikuwa akiyaangalia makalio yangu, baadae alinisogelea na kunishika kiuno.
"Shemeji sio vizuri hichi unachokifanya" nilimwambia huku nikiutoa mkono wake kwenye kiuno changu.
"Kwani kuna kipi kipya ambacho hatujawahi kukifanya Fatuma!?
"Ata kama lakini huu kwangu ni kama utumwa mpaka najuta kuja kuomba msaada kwako wakunitafutia kazi" niliongea mbele yake pasipo kumuogopa.
"Basi yaishe haina haja ya kuongea sana Fatuma lakini kuna kitu nahitaji kukuuliza!?" shemeji Rashidi aliamua kubalisha story.
"Uliza tu!?"
"Kwanini dada yako hashiki mimba maana ni mda sasa sijaona dalili zozote zile za dada yako kulamba ndimu!?"
"Hilo mimi sifahamu kwakweli labda uende ukaongee nae vizuri, atakuwa akijua tatizo nini!?"
"Basi sawa ila na swali jingine, mbona wewe ni mtamu kuliko dada yako!?"
"Swali gani hilo unaloniuliza shemeji!?" nilimuuliza huku nikiwa nimekasirika lakini haikumfanya shemeji Rashidi aache kuniuliza maswali ya kijinga na ya kichokozi.

Tulifika nyumbani na mimi niligoma kufungua mlango maana nilijua itakuwa hatari kwangu.
"Fatuma mbona hutaki kufungua mlango!?"
"Mpaka wewe uondoke ndiyo nitafungua mlango!?" niliongea na haukupita mda dada alinipigia simu hivyo niliipokea simu mbele ya shemeji Rashidi.
"Fatuma shemeji yako amekufikisha salama!?"....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Sasa nakupenda fully episode
Sasa nakupenda fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nasir aliniachia baada ya kumuona Shemeji akija upande wetu.
"Bora ata umekuja ivi unaakili kweli wewe jamaa!? huyu si shemeji yako sasa kwanini unamtaka kimapenzi!?" Nasir alimuuliza na mimi niliona kuna hatari ya ugomvi kutokea baina yao hivyo niliondoka maeneo hayo na kuwaacha wenyewe.

Sikujua kilichoendelea pale ila tangu siku hiyo mimi na Nasir hatukuwa kwenye mawasiliano, siku zilizidi kwenda huku nikiendelea na kazi lakini ndani ya moyo wangu sikuwa na amani kabisa ya kufanya kazi sehemu moja pamoja na shemeji Rashidi hivyo nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine pasipo kumshirikisha mtu yoyote yule.

Furaha ya shemeji Rashidi ilikuwa ni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest