Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nasir aliniachia baada ya kumuona Shemeji akija upande wetu.
"Bora ata umekuja ivi unaakili kweli wewe jamaa!? huyu si shemeji yako sasa kwanini unamtaka kimapenzi!?" Nasir alimuuliza na mimi niliona kuna hatari ya ugomvi kutokea baina yao hivyo niliondoka maeneo hayo na kuwaacha wenyewe.

Sikujua kilichoendelea pale ila tangu siku hiyo mimi na Nasir hatukuwa kwenye mawasiliano, siku zilizidi kwenda huku nikiendelea na kazi lakini ndani ya moyo wangu sikuwa na amani kabisa ya kufanya kazi sehemu moja pamoja na shemeji Rashidi hivyo nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine pasipo kumshirikisha mtu yoyote yule.

Furaha ya shemeji Rashidi ilikuwa ni kuniona nikiwa single bira kuwa na mwanaume yoyote yule.

Tangu niachane na Nasir shemeji Rashidi nae alirudisha upendo kwa dada na hakuwahi kumnunia tena, nakumbuka siku moja dada alinipigia simu na kunitaka niende nyumbani kwake, Nilimwambia kuwa haitowezekana lakini alinisisitizia ni lazima niende kwani kulikuwa na kitu cha mhimu kilichomfanya aniite.

Ilibidi nikubali kwenda na nilipofika niliwakuta wakiwa wamekaa pamoja huku shemeji Rashidi akiwa kamkumbatia dada Aisha.
"Karibu mdogo wangu yani kama ungekataa kuja basi nisingekupigia simu tena kwenye maisha yangu yote" dada aliongea.
"Kwani kuna nini!?"
Hakutaka kunijibu badala yake aliniambia nisogee nikae karibu yao kisha baada ya hapo alinyenyuka na kuondoka huku akituacha sisi wawili tu yani mimi na shemeji Rashidi.

Shemeji Rashidi baada ya kuona tumebaki wawili alinisogelea na kuupeleka mkono wake kwenye kiuno changu.
"Mmmh shemeji toa mkono wako" nilimwambia nikimtaka autoe mkono wake ili dada asije kutukuta.
"Nimekumiss sana Fatuma" Shemeji Rashidi aliongea huku akiwa bado amenishika kwenye kiuno na mda huo huo alifika dada hivyo shemeji Rashidi aliutoa mkono wake haraka na alijifanya anatafuta kitu nyuma ya mgongo wangu nilipokaa.
"Mbona unamsumbua mdogo wangu mme wangu!?" Aisha aliongea baada ya kuuona mkono wa mme wake nyuma ya mgongo wangu.
"Natafuta limoti mke wangu ila siioni"
"Limoti!!!"
"Ndio limoti" shemeji Rashidi alimjibu huku akiendelea kupapasa pembeni ya kochi.
"Heeeeeh!!! limoti siipo hapo pembeni yako Rashidi au huna macho siku hizi...!?"
Shemeji Rashidi aliangalia sehemu aliyoelekezwa na dada na alifanikiwa kuiona limoti.
"Mambo mengi mke wangu ata hivyo shemeji samahani kwa kukusumbua" aliongea na mimi sikutaka kumjibu zaidi ya kuachia tabasamu la kinafiki mbele yake maana ata yeye alikuwa akiniigizia tu.

Dada alisogea akiwa amebeba mfuko na kuuweka juu ya meza na kuniambia.
"Aya sasa Fatuma kazi kwako kuna nyama za kuku kwenye huo mfuko na ndicho nilichokuitia mdogo wangu" Aisha aliongea na mimi nilinyenyuka mahali nilipokuwa nimekaa na kuuchukua mfuko, nilipoangalia ndani ya mfuko nilijithibitishia mwenyewe kuwa ni nyama za kuku hivyo nilimshukuru dada na kuwaaga kwa ajili ya kuondoka lakini shemeji Rashidi aliongea.
"Mke wangu ngoja nimsindikize mdogo wako"
Baada ya shemeji Rashidi kusema anisindikize nilijua lazima atataka kufika mpaka kwangu ili anizagamue.
"Shemeji wewe baki tu, uzuri nyumbani ni karibu hivyo nitaenda mwenyewe tu"
"Hapana shemeji lazima nikusindikize au mke wangu nafanya vibaya kumsindikiza!?" aliongea huku akimuuliza dada.
"Upo sawa mme wangu ila mzoee tu Fatuma ndivyo alivyo huwa ni mbishi mno huyu ata kwenye mambo ya mhimu yeye anabisha tu, Fatuma mdogo wangu sasa ivi ni saa 5 usiku sio vizuri kwenda mwenyewe ni vizuri ukasindikizwa na shemeji yako" dada nae alikazia pasipo kujua lengo la mme wake ni lipi na baada ya kuona wote wawili wameungana ilibidi nikubali kusindikizwa na shemeji Rashidi.

Tuliondoka huku tukitembea kwa miguu na njiani nilikuwa kimya huku nikiwa na mawazo yangu, shemeji Rashidi alikuwa akibaki nyuma kila mda nahisi alikuwa akiyaangalia makalio yangu, baadae alinisogelea na kunishika kiuno.
"Shemeji sio vizuri hichi unachokifanya" nilimwambia huku nikiutoa mkono wake kwenye kiuno changu.
"Kwani kuna kipi kipya ambacho hatujawahi kukifanya Fatuma!?
"Ata kama lakini huu kwangu ni kama utumwa mpaka najuta kuja kuomba msaada kwako wakunitafutia kazi" niliongea mbele yake pasipo kumuogopa.
"Basi yaishe haina haja ya kuongea sana Fatuma lakini kuna kitu nahitaji kukuuliza!?" shemeji Rashidi aliamua kubalisha story.
"Uliza tu!?"
"Kwanini dada yako hashiki mimba maana ni mda sasa sijaona dalili zozote zile za dada yako kulamba ndimu!?"
"Hilo mimi sifahamu kwakweli labda uende ukaongee nae vizuri, atakuwa akijua tatizo nini!?"
"Basi sawa ila na swali jingine, mbona wewe ni mtamu kuliko dada yako!?"
"Swali gani hilo unaloniuliza shemeji!?" nilimuuliza huku nikiwa nimekasirika lakini haikumfanya shemeji Rashidi aache kuniuliza maswali ya kijinga na ya kichokozi.

Tulifika nyumbani na mimi niligoma kufungua mlango maana nilijua itakuwa hatari kwangu.
"Fatuma mbona hutaki kufungua mlango!?"
"Mpaka wewe uondoke ndiyo nitafungua mlango!?" niliongea na haukupita mda dada alinipigia simu hivyo niliipokea simu mbele ya shemeji Rashidi.
"Fatuma shemeji yako amekufikisha salama!?"....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Nasir aliniachia baada ya kumuona Shemeji akija upande wetu.
"Bora ata umekuja ivi unaakili kweli wewe jamaa!? huyu si shemeji yako sasa kwanini unamtaka kimapenzi!?" Nasir alimuuliza na mimi niliona kuna hatari ya ugomvi kutokea baina yao hivyo niliondoka maeneo hayo na kuwaacha wenyewe.

Sikujua kilichoendelea pale ila tangu siku hiyo mimi na Nasir hatukuwa kwenye mawasiliano, siku zilizidi kwenda huku nikiendelea na kazi lakini ndani ya moyo wangu sikuwa na amani kabisa ya kufanya kazi sehemu moja pamoja na shemeji Rashidi hivyo nilianza kutafuta kazi sehemu nyingine pasipo kumshirikisha mtu yoyote yule.

Furaha ya shemeji Rashidi ilikuwa ni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

410
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest