Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
"Bora nimekuona kwanini uliamua kwenda moja kwa moja bira ata kurudi kuomba nikurudishe kazini!?"
"Kasimu wewe sindio ulinifukuza kisa nilikataa kufanya mapenzi na wewe!?"
"Ni kweli ila ata hivyo nataka tuelewane Fatuma, nipo tayari kukuhonga ata gari ila ukubali kufanya mapenzi na mimi kwa mara nyingine"
"Mmmh hapana kwakweli wewe unafanya kwakukomoa, kamtafute mwanamke mwingine" niliongea na kuanza kuondoka ila Kasimu aliniwahi na kunizuia.
"Fatuma kuwa mwelewa!!, nitakupa gari ila ukubali kufanya mapenzi na mimi walau mara moja tu"
"Mbona umeng'ang'ania sana kuna kitu gani umepanga Kasimu!? basi nimeshafanya maamuzi sipo tayari kwa hilo ni vyema ukatafute mwanamke mwingine" niliongea na kukataa maana nilikuwa simwamini Kasimu baada ya kukumbuka kuwa aliwahi kuniambia anautamani mtaro wangu, niligundua lengo lake ni kutaka kuniingilia kinyume na maumbile kutokana na ukubwa wa makalio yangu yalivyokuwa.
"Huyu anataka kunilawiti tu hana kingine" niliwaza huku nikiendelea kutembea, kwani ilichukua mda mimi kufika nyumbani, ni ndani ya mda mfupi tu nilikuwa tayari nimeshafika nyumbani kwangu.

Maisha yaliendelea na nilijikuta mimi na Shemeji Rashidi tukiwa karibu zaidi, kwa kipindi hicho Rashidi hakuwa shemeji yangu tena bali alikuwa ni mpenzi wangu na tulikuwa tukiishi nyumba moja. Upande wa dada Aisha nae alikuwa akiishi na mchepuko wake aliyempa mimba hivyo mimi nilimtafuta nakumuomba msamaha kwa mara nyingine na bahati nzuri dada alikubali kunisamehe.

Dada alinogewa na penzi la mwanaume aliyekuwa nae licha ya kuwa alikuwa akiishi kwenye maisha ya kawaida tofauti na aliyokuwa akiishi mwanzo, upande wangu pia nilikuja kugundua kuwa na mimba ya Rashidi na alikuwa ni mwenye furaha baada ya kumwambia kuwa na mimba yake.
"Fatuma haya ndiyo mambo niliyokuwa nikiyataka dada yako nimeishi nae miaka mitano bira kushika mimba ila wewe kidogo tu na mimba juu"
"Usimponde dada yangu mbona huko aliko anamimba!?" nilimuuliza na Rashidi alikaa kimya na baadae aliongea.
"Huenda mimi na dada yako ata tungeishi miaka 100 bado tusingepata watoto...Rashidi alinijibu...kwanza ata hivyo leo na hamu Fatuma"
Baada ya kuona Rashidi akiingiza habari za mapenzi nilitaka kuondoka ili kumkwepa maana hiyo siku sikuwa na hamu yoyote ile ya kufanya mapenzi lakini hakutaka kuniruhusu zaidi ya kunivuta.
Alinitazama machoni na alionesha kweli anahitaji kufanya sex.
"Ivi hunikinai Rashidi na pia huogopi maneno ya watu huko nje!?"
"Fatuma wewe ni chakula cha mwili wangu, radha yako ni zaidi ya asali naanzaje kukukinai" shemeji Rashidi aliongea hivyo wote tulipelekana sehemu nzuri kwa ajili ya kuanza kufanya yetu.

Kiukweli mimi mwenyewe nilikuwa mimeshampenda shemeji Rashidi licha ya maneno mengi yaliyokuwa yakiendelea mtaani ya kunituhumu kuwa nimemuibia dada mme.
Mimba yangu ilizidi kukua na nilijikuta nikimchukia Rashidi kutokana na mimba niliyokuwa nayo yani nilikuwa sitamani kuona akiwa karibu yangu, kila akinisogelea nilikuwa nikisikia kichefu kichefu na kutema mate hovyo, siku hiyo Rashidi alikuja nyumbani na vizawadi kedekede.

Alinikuta nikiwa nimekaa na kwa kipindi hicho nilipewa likizo ya mda mfupi kazini.
"Oooh Fatuma mke wangu nimekumiss sana" aliongea huku akinisogelea kwa ajili ya kunikiss.
"Hey!! nitokee hapa kwanza unanuka Rashidi" niliongea huku nikitema mate chini.
"Mimi nanuka!?"
"Sasa kwani husikii kama unanuka!?, jinuse utapata jibu mwenyewe" nilimjibu na Rashidi aliongea.
"Kama ndiyo mimba zako ziko ivi basi hii itakuwa ya mwisho sitaki upate tena mimba nyingine Fatuma, ata hivyo hapa nilipo na upwiru twende chumbani ukanipe utamu"
"Nani akakupe utamu!?"
"Fatuma mda wako unazidi kusogea lazima nikusaidie kukutengenezea njia lasivyo utakuja kujifungua kwa upasuaji" Rashidi aliongea kwa kulalamika na kiukweli nilikuwa na mda sijafanya nae mapenzi, nilikuwa mkali mno kila alipokuwa akinisogelea.
Baadae Rashidi alipigiwa simu na alitoka nje huku aliniambia kuwa kuna mtu anaenda kumpokea.
"Bora kabisa kaondoka maana nilikuwa nasikia kichefuchefu kweli" niliongea huku nikijipepea mwenyewe. Rashidi alirudi akiwa na mgeni wa kiume na alimtambulisha kwa jina la Nasib.

Nasib alikuwa ni mdogo wake na alinisogelea kwa ajili ya kunisalimia, kidogo yeye nilikuwa sisikii kichefuchefu akinisogelea, ilikuwa tofauti na anapokuwa akinisogelea Rashidi.

Siku mbili zilipita huku shemeji Nasib akiwa anaishi nyumbani na nilijikuta nikipatana nae, siku moja nilimwambia aende kununua karata ili tuweze kucheza na kweli alifata na baada ya mda alirudi akiwa amezishika mkononi.
"Shemeji leo nataka nikufunge magoli mpaka ujute kucheza na mimi" Nasib aliongea na mimi nilimwambia kamwe hawezi kunifunga.
Tulikaa kwa kutazamana na kuanza kucheza, tulicheza kwa mda mrefu kidogo na baadae nilishangaa kumuona shemeji Nasib akiwa ananitazama katika ya miguu yangu hivyo ilibidi nimuulize.
"Mbona unachungulia huku chini kuna nini!?"
"Hamna kitu shemeji ila kiukweli umeumbika sana shemeji" Nasib alinijibu.
"Kawaida ata wewe umeumbika ndiyo maana unasehemu ya kukojolea" nilimjibu huku nikiendelea kucheza.

Baadae tulimaliza kucheza hivyo nilinyenyuka na kwenda chumbani kwangu kwa ajili ya kuoga, nilipofika huko nilivua teneti langu na ndipo nilipokumbuka kuwa sikuvaa chupi yoyote ile ndani.
"Mmmh ina maana Nasib ameona kila kitu! ata kama ameona hakijaharibika kitu kwangu" niliongea nikiwa mwenyewe na kuelekea bafuni kuoga nikiwa uchi.

Nikiwa bafuni nilisikia mlango ukifunguliwa na mimi nilijua ni Rashidi ndiyo itakuwa amerudi, niliendelea kuoga huku nikijipaka sabuni kuanzia usoni na kwenye mwili wangu wote, nikiwa naoga nilisikia tena mlango wa bafuni ukifunguliwa.
"Rashidi ni wewe!?" nilimuuliza pasipo kuangalia mtu aliyeingia bafuni, hakutaka kunijibu zaidi ya kusogea sehemu niliyokuwa na kuanza kunisugua mgongoni.
Kidogo nilishangaa maana sikusikia kichefuchefu cha Rashidi kunisogelea kama ilivyo siku zote hivyo nilitamani kujihakikishia mwenyewe kwa kujimwagia maji usoni na kutoa povu lililokuwa limetanda kwenye uso wangu.

Baada ya kumaliza niligeuza uso wangu na sikuamini kumuona shemeji Nasib akiwa nyuma yangu akiendelea kunisugua.
"Shemejiiii!!! ni wewe!!"
"Ndio shemeji ni mimi, nimekuja hapa kukusaidia kukusugua vizuri"
"Mmmh hapana shemeji naweza kufanya mwenyewe naomba utoke bafuni haraka!!" niliongea kwa msisitizo nikimwambia shemeji Nasib lakini hakutaka kujali zaidi ya kuendelea kunisugua mgongoni nakuniambia.
"Kila kitu nimeshakiona kama uchi wako nimeuona toka tunacheza karata hivyo hamna kipya kwangu"
"Lakini Shemeji.. nilisita kuongea baada ya kumuona akiyasugua makalio yangu, gafra nilitamani kumuona akiendelea kunisugua hivyo niliamua kumuacha afanye alichokuwa akikifanya.....ITAENDELEA

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
"Bora nimekuona kwanini uliamua kwenda moja kwa moja bira ata kurudi kuomba nikurudishe kazini!?"
"Kasimu wewe sindio ulinifukuza kisa nilikataa kufanya mapenzi na wewe!?"
"Ni kweli ila ata hivyo nataka tuelewane Fatuma, nipo tayari kukuhonga ata gari ila ukubali kufanya mapenzi na mimi kwa mara nyingine"
"Mmmh hapana kwakweli wewe unafanya kwakukomoa, kamtafute mwanamke mwingine" niliongea na kuanza kuondoka ila Kasimu aliniwahi na kunizuia.
"Fatuma kuwa mwelewa!!, nitakupa gari ila ukubali kufanya mapenzi na mimi walau mara moja tu"
"Mbona umeng'ang'ania sana kuna kitu gani umepanga Kasimu!? basi nimeshafanya maamuzi sipo tayari kwa hilo ni vyema ukatafute mwanamke mwingine" niliongea na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-21-mtunzi-simulizi-za-zooper

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

473
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

348
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest