Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Nasib baada ya kuona nimetulia na sileti ubishi wowote ule aliongea.
"Unaweza kunigeukia ili nikusugue kwa mbele!?"
"Mmmmh huoni aibu shemeji!?"
"Wala! sina aibu yoyote ile mbele yako, wewe ni mke wa kaka Rashidi hivyo yeye ni mimi na mimi ni yeye" Nasib aliongea, ilibidi nigeuke kama alivyokuwa akitaka, na mwenyewe mpaka leo sijui ni kwanini nilikuwa mwepesi mbele ya shemeji Nasib yani karibu kila kitu alichokuwa akiniambia basi nilikuwa nakubali kiwepesi tu, sijui ni kwa sababu ya mimba niliyokuwa nayo!! au ni kipi kilichokuwa kikinifanya niwe vile mbele ya shemeji Nasib!.

Basi niligeuka na Nasib alianza kunisugua kwa kutumia dodoki alilokuwa nalo karibu kila sehemu za mwili wangu kasolo sehemu zangu za siri tu, baada ya kumaliza alinyenyuka na kuniambia.
"Kazi yangu tayari shemeji, ngoja nikuache" aliongea na kuondoka hivyo nilijimwagia maji na baada ya kumaliza nilienda kuvaa nguo zangu.

Tangu siku hiyo nilikuwa nikitamani kuwa karibu zaidi na Nasib kuliko ata Rashidi na kwakuwa Rashidi mda mwingi alikuwa akiutumia kuwa kazini nyumbani nilikuwa nikishinda mimi pamoja na shemeji Rashidi. Siku hiyo kwa mara nyingine tena mimi na shemeji Nasib tulikuwa tukicheza karata na baada ya kumaliza nilinyenyuka kwa ajili ya kwenda kuoga ila shemeji Nasib aliniambia.
"Shemeji leo nataka nikupeleke mwenyewe mpaka bafuni" baada ya kuniambia vile nilimkubalia na sijui kama ni mimba yangu ndiyo iliyokuwa ikinifanya niwe mwepesi kiasi kile mbele ya shemeji Nasib au niujinga wangu mwenyewe!?.

Tulipelekana mpaka bafuni, shemeji alinivulisha gauni langu mwenyewe hivyo nilikaa ili aweze kuniogesha vizuri.
Nasib alianza kuniogesha lakini siku hiyo ilikuwa tofauti kidogo kwani nilishangaa kila alipokuwa akinishika nilishikwa na hisia kali za kufanya mapenzi na alinishika sehemu nakunifanya nipike kelele kwani ndiyo ilikuwa sehemu yangu ya kunipandisha kihisia.
"Shemeji imetosha, unaweza kwenda" nilizungumza huku nikimtaka anyenyuke na aondoke lakini mwenzangu hakutaka kuelewa zaidi ya kuendelea kunishika sehemu iliyokuwa ikipandisha hisia zangu na Nasib aliligundua hilo hasa baada ya kuniona nikitoa miguno.
"Mmmh wewe shemeji usishike huko plz!!!!"
Nasib aliendelea kunishika na aliona haitoshi mikono yake aliipitisha mpaka chini kwenye kiharage changu na kuanza kukisugua, kutokana na mda mrefu kupita pasipo kufanya mapenzi na Rashidi nilijikuta nikishikwa na hisia mbele ya shemeji Nasib.

Nasib alikuwa ameshanilainisha tayari na kama mbuzi alikuwa ameshamla kila kitu kasolo mkia tu, hakupata shida baada ya kuona hisia zangu zimepanda, aliniweka vizuri ili asiweze kusababisha matatizo kwenye mimba niliyokuwa nayo kisha baada ya hapo alivua nguo zake na ndipo nilipouona mtalimbo wa Nasib kwa mara ya kwanza, hakutaka kunipa nafasi ya kupumua kwani baada ya kuniweka vizuri aliushika vizuri mjegeje wake na kuuweka kwenye kitumbua changu.
"Aashh...h shemeji"
"Shemeji tamu eeh!!"
"Mmmh taratibu shemeji" nilimwambia kwa sauti ya mahaba, Nasib alianza kunizagamua huku akipeleka kiuno chake taratibu.

Kiukweli kabisa kutoka ndani ya moyo wangu tulikuwa tunashirikiana vizuri kwenye kufanya mapenzi mimi na shemeji Nasib yani kama ni combination ya kwenye mpira basi ni combination ya MSN yani Messi, Suarez pamoja na Neymar, kila nilipokuwa nikitia sauti za kumtaka aongeze speed Nasib alikuwa akiongeza kasi ya kunizagamua na kila nilipokuwa nikimtaka apunguze speed Nasib alikuwa akipunguza kasi ya kunizagamua. Baadae tulimaliza na kuogeshana pamoja, nilitamani kama shemeji Nasib ndiyo angekuwa Rashidi kwa jinsi alivyokuwa akijua kunicare vizuri kwani alikuwa tofauti na Rashidi.

Baadae alinitoa bafuni na kunipeleka chumbani kisha baada ya hapo alinifuta maji na taulo na kuanza kunipaka mafuta mwenyewe.
"Shemeji mimi kiukweli kabisa nakupenda shemeji" Shemeji Nasib aliongea na kabra sijamjibu tulisikia sauti ya honi ya gari hivyo shemeji Nasib alibeba nguo zake na kukimbia haraka akiwa uchi na kutoka chumbani kwetu.
Moyoni nilijikuta nikichukua kumuona Rashidi akirudi mapema nyumbani kwani alimfanya shemeji Nasib asiendelee kunipaka mafuta.

Uvivu niliokuwa nao kutokana na mimba ulichangia kwa kiasi kikubwa kumuona Nasib ni wa maana zaidi kwangu kuliko ata Rashidi. Nilibaki nikiwa nimekaa kitandani na baada ya mda Rashidi aliingia mpaka chumbani na kunikuta nikiwa uchi huku mafuta yakiwa pembeni yangu.
"Mke wangu huyoooo leo nimekuletea zawadi ya maana kipenzi changu" Rashidi aliongea huku akinisogelea na ndicho kilichokuwa kikinikera kwani nilitegemea kumuona akichukua mafuta nakuanza kunipaka kama alivyokuwa akifanya mwenzake.
"Usinisogelee karibu Rashidi" nilimwambia kwa msisitizo na mwisho Rashidi alichukia na kuongea.
"Ivi aya ni maisha gani tunayoishi!?, nilikuwa natamani mtoto ila sasa ivi sitamani tena, mapenzi hutaki tufanye! nikikusogelea unasema nanuka yani kila ninachofanya kwako unaona ni cha hovyo tu"
"Wewe ata ulalamike sawa tu kwanza njoo unipake mafuta" nilimwambia na Rashidi alichukua mafuta kwa hasira na kuanza kunipaka.

Alinipaka kama vile anampaka mtoto wa miaka mitano aliyetoka kumuogesha, alikuwa hanipaki kiromantic kabisa.
Baadae alianza kunipaka kwenye mpaja yangu na ndipo akili yake ilipogeuka kwani alinilaza kwa nguvu kitandani na kuanza kufungua mkanda wa suruali yake.
"Leo acha nitumie nguvu maana kila nikikwambia kistaarabu hutaki kunipa Fatuma" aliongea na tayari alikuwa ameshusha suruali yake.
"Rashidi acha kufanya unachotaka kufanya"
"Siachi Fatuma tena panua miguu yako vizuri huko nisije kukuumiza" Rashidi aliongea huku akinivuta kunisogeza pembeni ya kitandani na yeye alisimama chini akiwa wima......ITAENDELEA

Full Tsh 800 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHAMIRA fully episode
SHAMIRA fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Nasib baada ya kuona nimetulia na sileti ubishi wowote ule aliongea.
"Unaweza kunigeukia ili nikusugue kwa mbele!?"
"Mmmmh huoni aibu shemeji!?"
"Wala! sina aibu yoyote ile mbele yako, wewe ni mke wa kaka Rashidi hivyo yeye ni mimi na mimi ni yeye" Nasib aliongea, ilibidi nigeuke kama alivyokuwa akitaka, na mwenyewe mpaka leo sijui ni kwanini nilikuwa mwepesi mbele ya shemeji Nasib yani karibu kila kitu alichokuwa akiniambia basi nilikuwa nakubali kiwepesi tu, sijui ni kwa sababu ya mimba niliyokuwa nayo!! au ni kipi kilichokuwa kikinifanya niwe vile mbele ya shemeji Nasib!.

Basi niligeuka na Nasib alianza kunisugua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

1.62K
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

253
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "14_15"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "14_15"💓

232
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

204
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

163
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

104
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

55
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

43
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12

39
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14

29

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.98K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.66K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.58K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.84K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.73K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "14_15"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "14_15"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) nikalala wee kukakucha mapema sanaaa Nikakusanya ndoo zangu zilizojaa bites huyoooo site kwangu Nikafanya usafi pale nikapanga kabati langu nikaweka mzigo nikakaa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest