Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)

26th Apr, 2025 Views 56

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

Sehemu ya 18

ENDELEA.........
Kuna nafsi nyingine ilinizuia kufanya kile alichoniambia shemeji Rashidi ila kwa wakati huo shemeji Rashidi niliona ndiyo msaada wangu mkubwa, niliamua kwenda kuufungua mlango na kuuacha wazi ili shemeji Rashidi asipate shida kuingia.

Kiufupi sikutaka kujali kama shemeji Rashidi ni mme wa dada. Nilitamani kazi pia sikutaka kuishi maisha magumu.

Baada ya kuufungua mlango nilirudi kitandani na kulala, nilipitiwa usingizi na katikati ya usingizi nilisikia makalio yangu yakipapaswa na mtu, moja kwa moja nilitambua kuwa ni shemeji Rashidi.

Moyoni nilijua namkosea dada ila sikuwa na njia nyingine, niliamua kukaza roho ili nifanikishe lengo langu, nilimuacha shemeji Rashidi afanye kila anachokitaka kwenye mwili wangu.

Na kweli, hiyo siku shemeji Rashidi alinigeuza vile alivyokuwa akitaka yeye ila alitaka kupitiwa wakati tufanya mapenzi kwa kuanza kuyapigapiga makalio yangu.
"Shemeji acha kunipiga huko dada atasikia..!"
"Tulia Fatuma wewe ndiyo mke wangu kuanzia leo na sio dada yako"
"Mmmh shemeji hapana mimi siwezi kuwa mkeo ila hapa nimeamua kukupa tu" niliongea kwa sauti ya mahaba, sikutaka kumuonesha kuwa shida ndiyo zimenifanya nikubali kufanya nae mapenzi kwa ajili ya kufanikisha lengo langu la kupata kazi.

Shemeji Rashidi alipunguza kunipiga kwenye makalio hivyo tuliendelea kufanya mapenzi mpaka pale alipotosheka na kunyenyuka kitandani.
"Kuanzia leo Fatuma uwe unalala hapa nyumbani, sitaki tena urudi kwako"
"Hiyo haitawezekana shemeji, hatuwezi kuishi nyumba moja" nilimjibu na kumwambia aondoke ili Dada asije akatufuma.

Shemeji Rashidi aliondoka na kuniacha mwenyewe, nililala na asubuhi ilipofika niliamka mda ukiwa umeenda ila nilishangaa kumuona dada akiwa hana raha.
"Dada kuna tatizo mbona huna raha!?" nilimuuliza lakini alikuwa kimya.
"Mmmh au tayari ameshagundua kuwa jana nilikuwa na shemeji Rashidi!!?" niliwaza mwenyewe na kabra sijamuuliza kwa mara ya pili aliongea.
"Shemeji yako jana kanikera sana usiku"
"Mmmh kwanini dada!?"
"Yani naamka usiku nakumuomba haki yangu alafu ananyima!"
"Pole labda jana hakuwa kwenye mudi ya kufanya mapenzi!" niliongea na kujaribu kumtuliza.Baadae niliondoka na kurudi nyumbani kwangu.

Tangu siku hiyo nilikuwa mwepesi kwa shemeji Rashidi na haikupita muda nilipata kazi kwenye hospital nyinyine na sio aliyokuwa akifanyia kazi yeye, nilitumia nguvu kubwa kumshawishi mpaka akakubali kunisaidia.

Shemeji Rashidi alikuwa akija kulala nyumbani kwangu mara kwa mara na jambo lile lilikuwa likimkera dada Aisha hivyo akiwa kama mwanadamu aliye na nyama aliamua kutafuta mchepuko wa kutuliza hisia zake.

Siku moja dada alikuja nyumbani na kunikuta mwenyewe, haikupita mda shemeji Rashidi alinitumia ujumbe akiniambia kuwa yupo njiani anakuja, nilimtumia sms haraka ya kumwambia asije nyumbani kwani dada alikuwepo na sikuwa na uhakika kama aliisoma.

Tuliongea mengi mimi na dada siku hiyo na pasipo kunificha dada aliniambia.
"Shemeji yako kawa msumbufu kwangu Fatuma hataki kushiriki mapenzi na mimi ila kuna jamaa nimempata anajua mambo kuliko ata shemeji yako" dada Aisha aliongea.
"Mmmh huoni kama italeta shida baadae siku shemeji akijua!?"
"Ata akijua haina shida bora ndoa ivunjike tu, mwenyewe nashangaa mpaka sasa ivi sijabeba mimba kwake ila yule jamaa nahisi kabisa sitachelewa kupata mimba na nikiipata nambambikizia shemeji yako" dada aliongea kwa kujiamini.

Tukiwa tunaendelea na maongezi wote tulisikia sauti ya honi ya gari hivyo moyo wangu ulienda mbio maana nilihisi lazima atakuwa Shemeji Rashidi, nilitoka nje na nilichokuwa nikikiwaza kilikuwa sahihi kwani alikuwa ni shemeji Rashidi.

Bahati nzuri dada nae alinifata hivyo shemeji Rashidi alisita baada ya kumuona mkewe, aliamua kutusogelea.
"Umefika huku sangapi Aisha!? mbona hukuniambia kama utakuja kwa mdogo wako!?"
"Kwani kuna ubaya mimi kuwa kwa mdogo wangu!?" Dada Aisha alimjibu, nilitambua kuwa ndoa yao haina amani kutokana na majibishano yaliyokuwepo.

Niliamua kuwakatisha kwa kuwakaribisha ndani ili wasiendelee kujibishana lakini dada aliondoka akiwa na hasira zake na kumuacha shemeji Rashidi akiwa amesimama nje.
"Mfate dada ukamtulize Rashidi, wewe ndiyo mwenye makosa!"
"Muache aende ata hivyo hatupatani sasa ivi!" Shemeji Rashidi aliongea na kutaka kuingia ndani ila nilimzuia na kumwambia.
"Kama unataka nikasirike basi nenda kinyume na kile ninachokwambia, mfate dada Aisha ukamtulize" niliongea kwa msisitizo na shemeji Rashidi alienda kupanda kwenye gari yake na kuondoka.

Sikujua kama alifanikiwa kumpata dada au la ila baada ya dekika 30 kupita shemeji Rashidi alirudi akiwa na gari yake.......ITAENDELEA.

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 19
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Rashidi alinifata na kuniambia.
"Dada yako ata nyumbani hajaenda itakuwa kaenda kwa mchepuko wake huko" Shemeji Rashidi aliongea kitu kilichonishangaza.
Nilijiuliza maswali ya kila aina ina maana anajua kuwa dada anamchepuko!?, kama anajua kwanini amemuacha ajiachie pasipo kumfatilia!?. kuzubaa kwangu kulimfanya Shemeji Rashidi aniulize.
"Mbona umezubaa au kisa nimesema ameende kwa mchepuko wake!?"
"Hujakosea ndicho ninachowaza hicho"
"Twende ndani nikueleze vizuri" aliongea huku akinishika kiuno.

Tulifika ndani na shemeji Rashidi aliniambia kuwa aliwahi kushika simu ya mkewe na aligundua kuwa dada anachepuka baada ya kukuta jumbe mbalimbali za mahaba.

Shemeji Rashidi baada ya kunisimulia aliniuliza.
"Fatuma unajua ni kwanini sikumfatilia dada yako!?"
"Hapana sijui" nilimjibu shemeji Rashidi.
"Basi kilichonifanya nisimfatilie dada yako ni hichi" aliongea huku mikono yake akiipitisha kwenye mapaja yangu nakuanza kunipapasa.
"Mmmh shemeji"
"Fatuma nakupenda kuliko ata dada yako, kiujumla hayumo kwenye moyo wangu sasa ivi"
"Shemeji hapana hatuwezi kuwa pamoja ila... nilisita kuongea baada ya mkono wa shemeji Rashidi kuingia kwenye papuchi yangu nakunifanya hisia zianze kunipanda za kufanya mapenzi baada ya shemeji kuanza kuisugua, mimi na shemeji Rashidi tuliingia kwenye ulimwengu wa mahaba huku kila mtu akijaribu kuonesha ufundi wake, mpaka tunakuja kumaliza kila mtu alikuwa hoi.

Baadae shemeji Rashidi alienda kuoga na kuondoka, baada ya shemeji Rashidi kuondoka nilienda kujifunga kitenge na kwenda bafuni kuoga.

Nikiwa bafuni nilisikia simu ikiita ila sikutaka kuipokea zaidi ya kuendekea kuoga, baadae nilitoka na kwenda kuangalia mtu aliyekuwa akinipigia, hakuwa mwingine bali alikuwa Dada Aisha.
Nilimpigia mwenyewe na baada ya mda alipokea simu na kuniambia.
"Fatuma leo sitarudi nyumbani ila nimemwambia shemeji yako kuwa nitalala kwako hivyo akikutafuta mwambie nipo nyumbani kwako"
"Dada kwani upo wapi!?" nilimuuliza na pembeni yake nilisikia sauti ya mwanaume ikimuongelesha kwa mbali ila nilitaka kupata uhakika kutoka kwake.

Dada aliniambia kuwa yupo kwa mchepuko wake na amepanga kulala huko, baada ya kuongea nilibaki nikiwa nawaza na niliona kabisa ndoa ya dada Aisha itavunjika mda wowote ule.

Usiku ulipofika ulikuwa ni mda wa kulala na shemeji Rashidi nae alinipigia simu na kuniambia.
"Nipo njiani nakuja Fatuma huyo dada yako kaamua kulala kwa mchepuko wake" Shemeji Rashidi aliongea na hakutaka ata kusubiri jibu langu zaidi ya kukata simu yake.

Ndani ya mda mfupi shemeji Rashidi alifika na siku hiyo alikuja pasipo kuwa na gari yake. siku hiyo alilala nyumbani kwangu na mida ya asubuhi tukiwa tumelala tena ikiwa ni mida ya saa 12 asubuhi kuelekea na nusu tulisikia sauti ya dada Aisha ikigonga mlango wa nje.
"Huyo dada yako asubuhi hii kimemleta nini tena au ameshajua nilipolala!?" Shemeji Rashidi aliongea bira kuwa na wasiwasi wowote ule tena alikuwa amenikumbatia.
"Shemeji nikamwambieje mimi jamani!?" niliongea huku nikiwa na hofu maana ndugu atabaki kuwa ndugu siku zote.

Shemeji Rashidi aliniambia niende kumfungulia na ni mwambie kuwa nipo na mpenzi wangu ndani, nilifanya kama alivyoniambia na kwenda kufungua mlango.

Baada ya kufungua mlango dada aliingia mpaka ndani na kutaka kuingia chumbani kwangu ila nilimzuia.
"Dada samahani shemeji yako yupo chumbani amelala"
"Mmh Fatuma hapa na usingizi kweli, jana usiku sijalala kabisa na kitumbua changu kinaniuma kweli"
"Pole dada ila ungeenda nyumbani tu kulala kwanza ata hivyo shemeji atakuwa ameshaenda kazini sasa ivi maana aliniambia anazamu ya asubuhi" sikutamani kumuona dada akiendelea kukaa ndani ya nyumba yangu maana nilijua mda wowote ule mambo yanaweza kuharibika.

Dada alikubaliana na maneno yangu na aligeuka kwa ajili ya kuondoka ila alipotazama chini aliona viatu vya shemeji Rashidi. Dada aliinama chini na kuviokota viatu na kuanza kuvikagua.
"Mmmh Fatuma hichi kiatu si cha Rashidi!?" nilijikuta mdomo ukiwa mzito gafra mbele ya dada nakushindwa namna ya kumjibu, dada alivyoona simjibu alijiongeza na kuingia mwenyewe chumbani kwangu pasipo ata kunisemesha.

Nilibaki nikiwa nimefunika mdomo wangu na ndipo ule msemo wa siku za mwizi ni arobaini ulipochukua nafasi yake japo sizani kama mimi na Shemeji Rashidi tulifanya mapenzi mara 39 na siku hiyo ilikuwa siku ya arobaini.

Dada aliingia chumbani na kumkuta Shemeji Rashidi akiwa amelala kitandani.
"Rashidi wewe ndiyo wa kutembea na mdogo wangu!?" Dada Aisha alimuuliza.
"Ongea taratibu kama ameumbika mdogo wako kuliko wewe ulitaka nifanyeje!?"
"Kwahiyo mimi sijaumbika!? Kwani ulilazimishwa kunioa mimi!?" Aisha alimuuliza maswali ya kila aina na baada ya kuona shemeji Rashidi hatishiki alitoka chumbani na kunifata mimi.

Nilivyomuona anakuja niliamua kutoka nje na kukimbia huku nikiwa nimejifunga kitenge, dada hakutaka kuniacha nae alitokana na kuanza kunikimbiza bahati nzuri kwangu shemeji Rashidi alikuwa nyuma yetu huku akiwa kwenye pensi tu.

Nyie hiyo siku sitaisahau, kutokana na ukubwa wa makalio yangu sikuweza kufika mbali, dada alinifikia na kuanza kunipiga makofi ya kila aina ila shemeji alifika na kuanza kumvuta akimzuia asiendelee kunipiga.
"Acha nimuoneshe huyu malaya yani umekoswa wanaume wakutembea nao mpaka ukaamua kutembea na shemeji yako!?" Dada aliongea kwa hasira lakini shemeji Rashidi alimvuta na kumpeleka ndani.

Baadae shemeji Rashidi aliondoka akiwa na dada Aisha aliyekuwa akinitukana matusi ya kila aina akinilaumu kutembea na mme wake, sikujua kilichotokea ila niliingia ndani na kuvaa nguo zangu na siku hiyo sikuwa na hamu ya kwenda kazini......ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo
You're not logged in
Click here to login and post your story

Welcome gonga94 Continue reading the various stories available here. Click here. Are you an artist then create an account here Signup/Login


mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA 28--29 ENDELEA.

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 05

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 04

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA 03

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (02)

mjukuu rewards 100
 

DOZI NI SAA 7:00 MCHANA (01)

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 05

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 04

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 03

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 02

mjukuu rewards 100
 

MCHEZA CINEMA 01

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 18 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 17 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... S2 (16)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 15 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 14 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 13

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 12 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 11 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 10 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 09 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 08

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 07 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 06 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 05

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 04 (02)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME 03 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME.... 02 (S2)

mjukuu rewards 100
 

DO YOU LOVE ME..... 01 (S2)

mjukuu rewards 100
 

KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 4

mjukuu rewards 100
 

PENZI LA PACHA ?EPISODE 3

mjukuu rewards 100
 

?KITUMBUA CHA PACHA ?EPISODE 1

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 7

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 6

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH EP 5

mjukuu rewards 100
 

?NG?ZA YOTE CH?TARAH 4

mjukuu rewards 100
 

INGIZA YOTE CHITARAH CHITARAH 3

mjukuu rewards 100
 

KISURA WA DAMPO SEHEMU 2

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 21

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 20

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 19

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 18

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 17

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 16

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 15

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 14

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 13

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 12

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 11 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 10 ?

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 09

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 08

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 07

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 06

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 05

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 04

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 03

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 02

mjukuu rewards 100
 

MPENDA NDEFU 01

mjukuu rewards 100
 

DEMU MLA MADEMU (CHOMBEZO)

mjukuu rewards 100
 

NASEMA KWA MAMA SEHEMU YA 10*

mjukuu rewards 100
 

NITAKUPA USINIROGE (1)

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 19

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 18

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 17

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 16

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 42

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 41

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 40

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 39

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 38

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 37

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 36

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 35.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 34

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 33.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 32

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 31

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 30

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 29

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 28

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 27

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 26

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 25

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 24

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 23.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 22

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 21

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 20

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 19.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 18

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 17.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 16

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 15.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 14

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 13.

majario rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 12

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 11.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 10

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 09

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 08

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 07.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 06

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 05.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 04.

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 03

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 02

mjukuu rewards 0
 

PENZI LA MHALIFU 01.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 23 MWISHOO.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 22.

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA **** 3--4

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 15

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 14

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 04

mjukuu rewards 0
 

NASEMA KWA MAMA* 1-----2

mjukuu rewards 0
 

KIJIJI CHA WAGENI! 04

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 11——15 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 6——10 )

mjukuu rewards 0
 

MKE WA MGANGA ( 1——5 )

mjukuu rewards 0
 

SHANGA TISA EP: 13

mjukuu rewards 0
 

WIFI AKE KHAA Sehemu ya tatu

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 21.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 20.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 19.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 18.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 17.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 16.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 15.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 14.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 13.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 12.

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 11

mjukuu rewards 0
 

WIFI KHAA 02 #Tulipoishia

mjukuu rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 10

mrindia rewards 0
 

RUNGU LA KIPOFU 09

mjukuu rewards 0
 

*MY CHUNUN* 01

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest