Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni ili walau mwili wangu upigwe upepo. Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nilienda kazini, nilipatana na binti aliyekuwa akiitwa Rose hivyo niliamua kumuuliza habari za Kasimu kwa ajili ya kumpeleleza vizuri.
"Weeee unamjua Kasimu wewe yule ni balaa hamna mdada asiyemjua hapa!?"
"Kwani ananini huyo Kasimu" nilimuuliza na Rose aliniambia.
"Kasimu siku akikwambia mkafanye nae mapenzi katakaa kabisa Fatuma usije kukubali!" Rose aliniambia kwa msisitizo.
"Mbona sikuelewi Rose!?" nilimuuliza na Rose aliniambia kuwa Kasimu huwa anaurafiki na mzungu anayemletea dawa za kuongeza nguvu za kiume na ata uume wake aliurefusha kupitia dawa ambazo huwa analetewa.
Baada ya Rose kuniambia niliyaamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka kile kilichonitokea siku iliyopita.
"Au Kasimu amekutongoza nini!?"
"Wala!! ila nilitamani kujua tu kuhusu yeye" nilimjibu na baadae tulibadilisha story na kuanza kuongea mambo mengine.

Siku iliyofata Kasimu alinipigia simu na kutaka tukutane kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kufanya mapenzi, kiukweli sikutaka kabisa kwenda kuonana nae hivyo niliamua kumwambia kuwa nimebanana na haitowezekana siku hiyo.
"Unataka kunivuluga Fatuma sasa!, kumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa!!?"
"Nayakumbuka mno makubaliano yetu ila haitawezekana maana nyumbani nipo na mama na hali yake sio nzuri na hamna mtu wa kumwangalia zaidi yangu" niliamua kutunga uongo wangu na baadae Kasimu alinielewa ila aliniambia kesho lazima nikubali kuonana nae.

Nilikata simu na kuanza kuongea mwenyewe huku nikitoa lawama za kile aina, nilijiona kama mwenye mkosi kwani nilitoka kwenye hospital ya kwanza nikimchenga shemeji Rashidi lakini ata wiki haijaisha Kasimu ameanza kuwa kero kwangu licha ya kunitengenezea mpango wa kazi.

Siku iliyofata nilienda kazini na siku hiyo kwa mara nyingine nilimchenga Kasimu, sikutaka kwenda kufanya nae mapenzi maana bado nilikuwa na maumivu kwenye ukee wangu. Siku iliyofata Kasimu hakunisumbua na siku tatu zilipopita nilishangaa nikipewa taarifa za kuondolewa kazini.
"Ina maana kukataa kufanya nae mapenzi ndiyo kaamua kunitimua kazi!?" niliongea mwenyewe baada ya kuisoma barua niliyokuwa nimepatiwa.

Kiukweli nilivulugwa sio siri, nilirudi nyumbani kwangu nikiwa sina hamu na kwenye simu yangu ujumbe uliingia kutoka kwa Kasimu.
"Wewe siunajifanya mjanja basi tukuone utakachofanya yani ata kutambulika vizuri bado kwenye mfumo ila tayari umeshaanza kunilingia!? nenda ukatafute kazi sehemu nyingine huko na matako yako hayo" nilimaliza kuisoma sms ya Kasimu.

Sikutaka kumjibu wala kumbembeleza ila nilichukua maamuzi ya kwenda nyumbani kupumzika kwa mda huku nikiitafuta njia nyingine ya kujitafuta kimaisha, Mama alishangazwa na ujio wangu wa gafra hivyo nilimwambia kuwa sio muajiriwa tena. Mama ilibidi ampgie simu dada Aisha mbele yangu nakuanza kuongea nae.
"Mama, mimi nilishangaa kumuona Fatuma akiacha kazi sehemu aliyotaftiwa na shemeji yake bira kuwa na sababu ya msingi" dada alimwambia mama aliyeshangazwa na taarifa zile maana hakuwa nazo kabisa, alijua nimefukuza kazi sehemu aliyonitaftia shemeji Rashidi.

Hakutaka kuendelea kuongea na dada zaidi ya kukata simu na kuongea.
"Fatuma dada yako alichoniambia ni cha kweli kuwa uliacha kazi mwenyewe sehemu aliyokutaftia shemeji yako!?"
"Ndio mama niukweli" nilimjibu, Mama alikasikarika zaidi hasa baada ya mimi kukataa kumwambia sababu iliyonifanya nikaacha kazi maana ilikuwa ndani ya moyo wangu.
"Utajijua mwenyewe Fatuma shemeji yako alipambana kwa ajili yako"
"Mama hujui tu ni kitu gani kilichonifanya nikaacha kazi anakofanyia shemeji" niliongea nikimwambia mama maana sikupenda kuona akiendelea kunitupia lawama.
"Kwani kuna sababu ipi ya msingi!?"

Mama baada ya kuniuliza sikutaka kumficha, nilimwambia kuwa shemeji Rashidi alinitongoza na kunitaka kimapenzi japo sikumwambia kama tayari tumeshazagamuana.
"Mmmh huo mtihani mwingine ila shemeji yako hawezi kufanya kitu kama hichi!?"
"Mama huo ndiyo ukweli ndiyo maana nilitafuta sehemu nyingine ya kazi ili niwe mbali nae lakini bahati mbaya nako mambo yameenda hovyo"
"Duh basi pole binti yangu ngoja nitaongea na dada yako" Mama alizungumza na mimi sikutaka kuona akimwambia dada kwani ndoa yake ingevunjika, shemeji Rashidi alionekana kumchoka dada yangu ndiyo maana alikuwa hamwogi ata kidogo.

Nilimshauri mama kukaa kimya na asije kumwambia dada Aisha, bahati nzuri alinielewa na aliahidi hatokumwambia dada Aisha.

Upande wa shemeji Rashidi alizipata taarifa za mimi kufukuzwa kazi hivyo alikuja mpaka nyumbani na kunikuta nikiwa pamoja na mama.
Shemeji Rashidi alianza kunitupia lawama mbele ya mama aliyekuwa kimya, uvimilivu ulimshinda mama wa kukaa kimya na baadae alimwambia shemeji.
"Fatuma kaniambia kila kitu kinachoendelea kati yenu"
"Kitu gani alichokwambia!?"Shemeji Rashidi alimuuliza.

Mama pasipo kuogopa alilopoka mbele ya Shemeji Rashidi akimwambia kuwa alikuwa akinitaka kimapenzi......ITAENDELEA

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest