Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni ili walau mwili wangu upigwe upepo. Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nilienda kazini, nilipatana na binti aliyekuwa akiitwa Rose hivyo niliamua kumuuliza habari za Kasimu kwa ajili ya kumpeleleza vizuri.
"Weeee unamjua Kasimu wewe yule ni balaa hamna mdada asiyemjua hapa!?"
"Kwani ananini huyo Kasimu" nilimuuliza na Rose aliniambia.
"Kasimu siku akikwambia mkafanye nae mapenzi katakaa kabisa Fatuma usije kukubali!" Rose aliniambia kwa msisitizo.
"Mbona sikuelewi Rose!?" nilimuuliza na Rose aliniambia kuwa Kasimu huwa anaurafiki na mzungu anayemletea dawa za kuongeza nguvu za kiume na ata uume wake aliurefusha kupitia dawa ambazo huwa analetewa.
Baada ya Rose kuniambia niliyaamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka kile kilichonitokea siku iliyopita.
"Au Kasimu amekutongoza nini!?"
"Wala!! ila nilitamani kujua tu kuhusu yeye" nilimjibu na baadae tulibadilisha story na kuanza kuongea mambo mengine.

Siku iliyofata Kasimu alinipigia simu na kutaka tukutane kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kufanya mapenzi, kiukweli sikutaka kabisa kwenda kuonana nae hivyo niliamua kumwambia kuwa nimebanana na haitowezekana siku hiyo.
"Unataka kunivuluga Fatuma sasa!, kumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa!!?"
"Nayakumbuka mno makubaliano yetu ila haitawezekana maana nyumbani nipo na mama na hali yake sio nzuri na hamna mtu wa kumwangalia zaidi yangu" niliamua kutunga uongo wangu na baadae Kasimu alinielewa ila aliniambia kesho lazima nikubali kuonana nae.

Nilikata simu na kuanza kuongea mwenyewe huku nikitoa lawama za kile aina, nilijiona kama mwenye mkosi kwani nilitoka kwenye hospital ya kwanza nikimchenga shemeji Rashidi lakini ata wiki haijaisha Kasimu ameanza kuwa kero kwangu licha ya kunitengenezea mpango wa kazi.

Siku iliyofata nilienda kazini na siku hiyo kwa mara nyingine nilimchenga Kasimu, sikutaka kwenda kufanya nae mapenzi maana bado nilikuwa na maumivu kwenye ukee wangu. Siku iliyofata Kasimu hakunisumbua na siku tatu zilipopita nilishangaa nikipewa taarifa za kuondolewa kazini.
"Ina maana kukataa kufanya nae mapenzi ndiyo kaamua kunitimua kazi!?" niliongea mwenyewe baada ya kuisoma barua niliyokuwa nimepatiwa.

Kiukweli nilivulugwa sio siri, nilirudi nyumbani kwangu nikiwa sina hamu na kwenye simu yangu ujumbe uliingia kutoka kwa Kasimu.
"Wewe siunajifanya mjanja basi tukuone utakachofanya yani ata kutambulika vizuri bado kwenye mfumo ila tayari umeshaanza kunilingia!? nenda ukatafute kazi sehemu nyingine huko na matako yako hayo" nilimaliza kuisoma sms ya Kasimu.

Sikutaka kumjibu wala kumbembeleza ila nilichukua maamuzi ya kwenda nyumbani kupumzika kwa mda huku nikiitafuta njia nyingine ya kujitafuta kimaisha, Mama alishangazwa na ujio wangu wa gafra hivyo nilimwambia kuwa sio muajiriwa tena. Mama ilibidi ampgie simu dada Aisha mbele yangu nakuanza kuongea nae.
"Mama, mimi nilishangaa kumuona Fatuma akiacha kazi sehemu aliyotaftiwa na shemeji yake bira kuwa na sababu ya msingi" dada alimwambia mama aliyeshangazwa na taarifa zile maana hakuwa nazo kabisa, alijua nimefukuza kazi sehemu aliyonitaftia shemeji Rashidi.

Hakutaka kuendelea kuongea na dada zaidi ya kukata simu na kuongea.
"Fatuma dada yako alichoniambia ni cha kweli kuwa uliacha kazi mwenyewe sehemu aliyokutaftia shemeji yako!?"
"Ndio mama niukweli" nilimjibu, Mama alikasikarika zaidi hasa baada ya mimi kukataa kumwambia sababu iliyonifanya nikaacha kazi maana ilikuwa ndani ya moyo wangu.
"Utajijua mwenyewe Fatuma shemeji yako alipambana kwa ajili yako"
"Mama hujui tu ni kitu gani kilichonifanya nikaacha kazi anakofanyia shemeji" niliongea nikimwambia mama maana sikupenda kuona akiendelea kunitupia lawama.
"Kwani kuna sababu ipi ya msingi!?"

Mama baada ya kuniuliza sikutaka kumficha, nilimwambia kuwa shemeji Rashidi alinitongoza na kunitaka kimapenzi japo sikumwambia kama tayari tumeshazagamuana.
"Mmmh huo mtihani mwingine ila shemeji yako hawezi kufanya kitu kama hichi!?"
"Mama huo ndiyo ukweli ndiyo maana nilitafuta sehemu nyingine ya kazi ili niwe mbali nae lakini bahati mbaya nako mambo yameenda hovyo"
"Duh basi pole binti yangu ngoja nitaongea na dada yako" Mama alizungumza na mimi sikutaka kuona akimwambia dada kwani ndoa yake ingevunjika, shemeji Rashidi alionekana kumchoka dada yangu ndiyo maana alikuwa hamwogi ata kidogo.

Nilimshauri mama kukaa kimya na asije kumwambia dada Aisha, bahati nzuri alinielewa na aliahidi hatokumwambia dada Aisha.

Upande wa shemeji Rashidi alizipata taarifa za mimi kufukuzwa kazi hivyo alikuja mpaka nyumbani na kunikuta nikiwa pamoja na mama.
Shemeji Rashidi alianza kunitupia lawama mbele ya mama aliyekuwa kimya, uvimilivu ulimshinda mama wa kukaa kimya na baadae alimwambia shemeji.
"Fatuma kaniambia kila kitu kinachoendelea kati yenu"
"Kitu gani alichokwambia!?"Shemeji Rashidi alimuuliza.

Mama pasipo kuogopa alilopoka mbele ya Shemeji Rashidi akimwambia kuwa alikuwa akinitaka kimapenzi......ITAENDELEA

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest