Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA.........
Kazi kwangu ilikuwa ni mhimu ukizingatia sikuwa na connection yoyote ile mjini ya kuweza kupata kazi nyingine kiwepesi, ingekuwa kazi kubwa kwangu kutafuta kazi mwenyewe na huenda watu wengine wangetaka kufanya mapenzi na mimi kwanza ndiyo wanipe kazi. hayo ndiyo tunayokutana nayo mabinti wengi ya kuombwa rushwa ya ngono pindi tunapotafuta kazi.
Basi shemeji aliamua kuitumia fursa baada ya mimi kukubali, hakutaka tufanyie mapenzi kwenye kochi badala yake alinichukua na kunipeleka chumbani kwangu.
Alinifikisha chumbani na shemeji alinilaza kitandani huku mimi nikiwa ni mwenye aibu kwani nilikuwa nafanya kitu ambacho sikutakiwa kufanya kwa kutembea na shemeji yangu lakini kutokana na matatizo yaliyokuwa mbele yangu niliamua kukubali. Shemeji Rashidi siku hiyo alionekana kuwa na ugwadu na mimi maana alinilaza kifudifudi na kuanza kuyapiga piga makalio yangu na makofi mfano wa wapiga ngoma.
Nyege zilianza kunipanda hivyo nilianza kusikia raha kwa kile alichokuwa akinifanyia, mimi na shemeji tulianza kuzagamuana na tukiwa tunaendelea kufanya mapenzi nilikumbuka kitu na kumwambia shemeji.
"Upigie nje shemeji temu hii" kwani ata alinijibu sasa!!! yeye aliendelea kunishughulikia na baada ya mda niliona anaelekea kileleni hivyo nilimsukuma shemeji na mhogo wake ulichomoka kwenye kitumbua changu.
Shemeji aliona kama nimezidiwa na show yake na ninataka kupumzika bira kujua kama mwenzake na kwepa mimba. Alinisogelea na kunikaba kwa nguvu akiniambia.
"Vumilia Fatuma nipo mwishoni I know your tired" aliongea huku akiyapanua mapaja yangu kwa nguvu kwa ajili ya kuuweka mtalimbo wake.
"Nipo kwenye siku za hatari sitaki upigie ndani, please Shemeji Rashidi pigia nje" nilimwambia kama kumkumbusha Shemeji Rashidi.
Shemeji Rashidi aliuchomeka na kuendelea kunifanya! baada ya mda alipiga bao na alipigia ndani, hakutaka kupigia nje kama nilivyomwambia mimi.
"Nini ulichonifanyia hichi Shemeji!?"
"Utanisamehe Fatuma kwa jinsi ulivyomtamu nimeshidwa kabisa kujicontrol, naanzaje kuuchomoa mtalimbo ili nipigie nje!?" Shemeji Rashidi alinijibu na baadae aliniambia kuwa atalala nyumbani kwangu siku hiyo.
Kiukweli sikutaka alale nyumbani kwangu ila ilibidi nikubali ili tu anisaidie kurudi kazini na kumrudisha dada nyumbani kwake. Siku iliyofata aliondoka huku akiniahidi kuwa atanijulisha mda wowote ule ili niweze kurudishwa kazini, nilibaki mwenyewe huku nikiwa nawaza kile nilichokifanya usiku uliopita na shemeji Rashidi.
Baada ya masaa matatu kupita dada Aisha alinipigia simu na kuniambia.
"Fatuma shemeji yako amenipigia simu anataka nirudi nyumbani"
"Mmmh dada mbona imekuwa gafra hivyo kwani mama amekushaurije!?" nilimuuliza japo nilijua sababu ya Shemeji Rashidi kumrudisha dada nyumbani kwake ni mimi mwenyewe baada ya kufanya nae mapenzi.
Dada aliniambia kuwa mama amemshauri akubali kurudi kwa mme wake pia kuna mda mama aliamini kuwa dada ndiye mwenye matatizo na ndiyo maana mmewe aliamua kumrudisha nyumbani kwetu kwa mda. Aisha alirudi kwake na mimi nilirudishwa kazini.
Kiukweli tangu nirudishwe kazini nilikuwa mpole mbele ya shemeji Rashidi na nilikuwa sijiamini mbele yake maana niliogopa yasije kujitokeza kama yaliyotokea tena ya kusimamishwa kazi.
Kulikuwa na binti aliyekuwa akiitwa Suzi niliamua kumshirikisha tatizo nililokuwa nalo na Suzi alinishauri nitafute mwanaume mwingine ili shemeji asiendelee kunisumbua.
"Suzi unafikiri shemeji ataacha kunisumbua!?"
"Mimi ndiyo nakushauri Fatuma fanya kama ninavyokwambia" Suzi alinisisitizia, Basi niliupokea ushauri wa Fatuma hivyo kazi ilibaki kwangu ya kumtafuta mwanaume ili Shemeji Rashidi asinisumbue.
Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nikiwa nyumbani kwangu mida ya saa 5 usiku nilisikia sauti ya Shemeji Rashidi akigonga mlango.
"Fatuma njoo ufungue haraka" Shemeji Rashidi aliniamurisha niende nikamfungulie hivyo nilinyenyuka na kwenda kufunga ili nijue ni shida gani iliyomleta nyumbani kwangu.
Shemeji Rashidi aliingia mpaka ndani na kuniambia.
"Leo nalala hapa Fatuma"
"Unalala hapa!?" nilimuuliza huku nikiwa nimeyatoa macho yangu kama mjusi aliyebanwa na mlango lakini shemeji Rashidi hakujali zaidi ya kuingia chumbani kwangu na kwenda kukaa kitandani na kuanza kutoa nguo zake.
"Shemeji hapana hii sio haki kabisa" nilitoa malalamishi mbele ya Shemeji Rashidi maana nilijua nyumbani kwake dada atakuwa kwenye wakati mgumu.
"Hakuna cha hapana Fatuma napenda matako yako yalivyo, wewe upo tofauti na dada yako kabisa"
"Kama umenipendea makalio kwanini usitafute mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu ukaachana na mimi!?" nilimwambia maana sikutaka kuendelea kuchangia mwanaume na dada yangu wa toka nitoke.
"Sio vyepesi kumpata mwanamke mwenye makalio makubwa na mazuri kama yako Fatuma tena og ata hivyo mimi nimekupenda wewe"
Baada ya shemeji Rashidi kuniambia vile nilijua kitu kilichokuwa kikimvutia kwangu ni makalio niliyokuwa nayo hivyo kuna wazo nilipata nakuamua kumwambia.
"Mimi nipo tayari kukutafutia mwanamke mwenye makalio kama yangu ila tu sitaki tuendelee kuwa kwenye mahusiano shemeji, naomba uniache please, sihitaji kuchangia mwanaume na dada yangu"
"Oooooh!!! kama utaweza nitafutie ila awe mzuri kukuzidi wewe Fatuma lasivyo nitaendelea tu kukutamani wewe" shemeji Rashidi aliongea hivyo ilibidi niweke makubaliano nae ya kumtafutia mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu awe mchepuko wake.....ITAENDELEA.
Full Tsh1000 namba za malipo ???
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.