Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kazi kwangu ilikuwa ni mhimu ukizingatia sikuwa na connection yoyote ile mjini ya kuweza kupata kazi nyingine kiwepesi, ingekuwa kazi kubwa kwangu kutafuta kazi mwenyewe na huenda watu wengine wangetaka kufanya mapenzi na mimi kwanza ndiyo wanipe kazi. hayo ndiyo tunayokutana nayo mabinti wengi ya kuombwa rushwa ya ngono pindi tunapotafuta kazi.

Basi shemeji aliamua kuitumia fursa baada ya mimi kukubali, hakutaka tufanyie mapenzi kwenye kochi badala yake alinichukua na kunipeleka chumbani kwangu.

Alinifikisha chumbani na shemeji alinilaza kitandani huku mimi nikiwa ni mwenye aibu kwani nilikuwa nafanya kitu ambacho sikutakiwa kufanya kwa kutembea na shemeji yangu lakini kutokana na matatizo yaliyokuwa mbele yangu niliamua kukubali. Shemeji Rashidi siku hiyo alionekana kuwa na ugwadu na mimi maana alinilaza kifudifudi na kuanza kuyapiga piga makalio yangu na makofi mfano wa wapiga ngoma.

Nyege zilianza kunipanda hivyo nilianza kusikia raha kwa kile alichokuwa akinifanyia, mimi na shemeji tulianza kuzagamuana na tukiwa tunaendelea kufanya mapenzi nilikumbuka kitu na kumwambia shemeji.
"Upigie nje shemeji temu hii" kwani ata alinijibu sasa!!! yeye aliendelea kunishughulikia na baada ya mda niliona anaelekea kileleni hivyo nilimsukuma shemeji na mhogo wake ulichomoka kwenye kitumbua changu.

Shemeji aliona kama nimezidiwa na show yake na ninataka kupumzika bira kujua kama mwenzake na kwepa mimba. Alinisogelea na kunikaba kwa nguvu akiniambia.
"Vumilia Fatuma nipo mwishoni I know your tired" aliongea huku akiyapanua mapaja yangu kwa nguvu kwa ajili ya kuuweka mtalimbo wake.
"Nipo kwenye siku za hatari sitaki upigie ndani, please Shemeji Rashidi pigia nje" nilimwambia kama kumkumbusha Shemeji Rashidi.

Shemeji Rashidi aliuchomeka na kuendelea kunifanya! baada ya mda alipiga bao na alipigia ndani, hakutaka kupigia nje kama nilivyomwambia mimi.
"Nini ulichonifanyia hichi Shemeji!?"
"Utanisamehe Fatuma kwa jinsi ulivyomtamu nimeshidwa kabisa kujicontrol, naanzaje kuuchomoa mtalimbo ili nipigie nje!?" Shemeji Rashidi alinijibu na baadae aliniambia kuwa atalala nyumbani kwangu siku hiyo.

Kiukweli sikutaka alale nyumbani kwangu ila ilibidi nikubali ili tu anisaidie kurudi kazini na kumrudisha dada nyumbani kwake. Siku iliyofata aliondoka huku akiniahidi kuwa atanijulisha mda wowote ule ili niweze kurudishwa kazini, nilibaki mwenyewe huku nikiwa nawaza kile nilichokifanya usiku uliopita na shemeji Rashidi.

Baada ya masaa matatu kupita dada Aisha alinipigia simu na kuniambia.
"Fatuma shemeji yako amenipigia simu anataka nirudi nyumbani"
"Mmmh dada mbona imekuwa gafra hivyo kwani mama amekushaurije!?" nilimuuliza japo nilijua sababu ya Shemeji Rashidi kumrudisha dada nyumbani kwake ni mimi mwenyewe baada ya kufanya nae mapenzi.

Dada aliniambia kuwa mama amemshauri akubali kurudi kwa mme wake pia kuna mda mama aliamini kuwa dada ndiye mwenye matatizo na ndiyo maana mmewe aliamua kumrudisha nyumbani kwetu kwa mda. Aisha alirudi kwake na mimi nilirudishwa kazini.

Kiukweli tangu nirudishwe kazini nilikuwa mpole mbele ya shemeji Rashidi na nilikuwa sijiamini mbele yake maana niliogopa yasije kujitokeza kama yaliyotokea tena ya kusimamishwa kazi.

Kulikuwa na binti aliyekuwa akiitwa Suzi niliamua kumshirikisha tatizo nililokuwa nalo na Suzi alinishauri nitafute mwanaume mwingine ili shemeji asiendelee kunisumbua.
"Suzi unafikiri shemeji ataacha kunisumbua!?"
"Mimi ndiyo nakushauri Fatuma fanya kama ninavyokwambia" Suzi alinisisitizia, Basi niliupokea ushauri wa Fatuma hivyo kazi ilibaki kwangu ya kumtafuta mwanaume ili Shemeji Rashidi asinisumbue.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nikiwa nyumbani kwangu mida ya saa 5 usiku nilisikia sauti ya Shemeji Rashidi akigonga mlango.
"Fatuma njoo ufungue haraka" Shemeji Rashidi aliniamurisha niende nikamfungulie hivyo nilinyenyuka na kwenda kufunga ili nijue ni shida gani iliyomleta nyumbani kwangu.

Shemeji Rashidi aliingia mpaka ndani na kuniambia.
"Leo nalala hapa Fatuma"
"Unalala hapa!?" nilimuuliza huku nikiwa nimeyatoa macho yangu kama mjusi aliyebanwa na mlango lakini shemeji Rashidi hakujali zaidi ya kuingia chumbani kwangu na kwenda kukaa kitandani na kuanza kutoa nguo zake.
"Shemeji hapana hii sio haki kabisa" nilitoa malalamishi mbele ya Shemeji Rashidi maana nilijua nyumbani kwake dada atakuwa kwenye wakati mgumu.
"Hakuna cha hapana Fatuma napenda matako yako yalivyo, wewe upo tofauti na dada yako kabisa"
"Kama umenipendea makalio kwanini usitafute mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu ukaachana na mimi!?" nilimwambia maana sikutaka kuendelea kuchangia mwanaume na dada yangu wa toka nitoke.
"Sio vyepesi kumpata mwanamke mwenye makalio makubwa na mazuri kama yako Fatuma tena og ata hivyo mimi nimekupenda wewe"
Baada ya shemeji Rashidi kuniambia vile nilijua kitu kilichokuwa kikimvutia kwangu ni makalio niliyokuwa nayo hivyo kuna wazo nilipata nakuamua kumwambia.
"Mimi nipo tayari kukutafutia mwanamke mwenye makalio kama yangu ila tu sitaki tuendelee kuwa kwenye mahusiano shemeji, naomba uniache please, sihitaji kuchangia mwanaume na dada yangu"
"Oooooh!!! kama utaweza nitafutie ila awe mzuri kukuzidi wewe Fatuma lasivyo nitaendelea tu kukutamani wewe" shemeji Rashidi aliongea hivyo ilibidi niweke makubaliano nae ya kumtafutia mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu awe mchepuko wake.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kazi kwangu ilikuwa ni mhimu ukizingatia sikuwa na connection yoyote ile mjini ya kuweza kupata kazi nyingine kiwepesi, ingekuwa kazi kubwa kwangu kutafuta kazi mwenyewe na huenda watu wengine wangetaka kufanya mapenzi na mimi kwanza ndiyo wanipe kazi. hayo ndiyo tunayokutana nayo mabinti wengi ya kuombwa rushwa ya ngono pindi tunapotafuta kazi.

Basi shemeji aliamua kuitumia fursa baada ya mimi kukubali, hakutaka tufanyie mapenzi kwenye kochi badala yake alinichukua na kunipeleka chumbani kwangu.

Alinifikisha chumbani na shemeji alinilaza kitandani huku mimi nikiwa ni mwenye aibu kwani nilikuwa nafanya kitu ambacho sikutakiwa kufanya kwa kutembea na shemeji yangu lakini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

474
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

349
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest