Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kazi kwangu ilikuwa ni mhimu ukizingatia sikuwa na connection yoyote ile mjini ya kuweza kupata kazi nyingine kiwepesi, ingekuwa kazi kubwa kwangu kutafuta kazi mwenyewe na huenda watu wengine wangetaka kufanya mapenzi na mimi kwanza ndiyo wanipe kazi. hayo ndiyo tunayokutana nayo mabinti wengi ya kuombwa rushwa ya ngono pindi tunapotafuta kazi.

Basi shemeji aliamua kuitumia fursa baada ya mimi kukubali, hakutaka tufanyie mapenzi kwenye kochi badala yake alinichukua na kunipeleka chumbani kwangu.

Alinifikisha chumbani na shemeji alinilaza kitandani huku mimi nikiwa ni mwenye aibu kwani nilikuwa nafanya kitu ambacho sikutakiwa kufanya kwa kutembea na shemeji yangu lakini kutokana na matatizo yaliyokuwa mbele yangu niliamua kukubali. Shemeji Rashidi siku hiyo alionekana kuwa na ugwadu na mimi maana alinilaza kifudifudi na kuanza kuyapiga piga makalio yangu na makofi mfano wa wapiga ngoma.

Nyege zilianza kunipanda hivyo nilianza kusikia raha kwa kile alichokuwa akinifanyia, mimi na shemeji tulianza kuzagamuana na tukiwa tunaendelea kufanya mapenzi nilikumbuka kitu na kumwambia shemeji.
"Upigie nje shemeji temu hii" kwani ata alinijibu sasa!!! yeye aliendelea kunishughulikia na baada ya mda niliona anaelekea kileleni hivyo nilimsukuma shemeji na mhogo wake ulichomoka kwenye kitumbua changu.

Shemeji aliona kama nimezidiwa na show yake na ninataka kupumzika bira kujua kama mwenzake na kwepa mimba. Alinisogelea na kunikaba kwa nguvu akiniambia.
"Vumilia Fatuma nipo mwishoni I know your tired" aliongea huku akiyapanua mapaja yangu kwa nguvu kwa ajili ya kuuweka mtalimbo wake.
"Nipo kwenye siku za hatari sitaki upigie ndani, please Shemeji Rashidi pigia nje" nilimwambia kama kumkumbusha Shemeji Rashidi.

Shemeji Rashidi aliuchomeka na kuendelea kunifanya! baada ya mda alipiga bao na alipigia ndani, hakutaka kupigia nje kama nilivyomwambia mimi.
"Nini ulichonifanyia hichi Shemeji!?"
"Utanisamehe Fatuma kwa jinsi ulivyomtamu nimeshidwa kabisa kujicontrol, naanzaje kuuchomoa mtalimbo ili nipigie nje!?" Shemeji Rashidi alinijibu na baadae aliniambia kuwa atalala nyumbani kwangu siku hiyo.

Kiukweli sikutaka alale nyumbani kwangu ila ilibidi nikubali ili tu anisaidie kurudi kazini na kumrudisha dada nyumbani kwake. Siku iliyofata aliondoka huku akiniahidi kuwa atanijulisha mda wowote ule ili niweze kurudishwa kazini, nilibaki mwenyewe huku nikiwa nawaza kile nilichokifanya usiku uliopita na shemeji Rashidi.

Baada ya masaa matatu kupita dada Aisha alinipigia simu na kuniambia.
"Fatuma shemeji yako amenipigia simu anataka nirudi nyumbani"
"Mmmh dada mbona imekuwa gafra hivyo kwani mama amekushaurije!?" nilimuuliza japo nilijua sababu ya Shemeji Rashidi kumrudisha dada nyumbani kwake ni mimi mwenyewe baada ya kufanya nae mapenzi.

Dada aliniambia kuwa mama amemshauri akubali kurudi kwa mme wake pia kuna mda mama aliamini kuwa dada ndiye mwenye matatizo na ndiyo maana mmewe aliamua kumrudisha nyumbani kwetu kwa mda. Aisha alirudi kwake na mimi nilirudishwa kazini.

Kiukweli tangu nirudishwe kazini nilikuwa mpole mbele ya shemeji Rashidi na nilikuwa sijiamini mbele yake maana niliogopa yasije kujitokeza kama yaliyotokea tena ya kusimamishwa kazi.

Kulikuwa na binti aliyekuwa akiitwa Suzi niliamua kumshirikisha tatizo nililokuwa nalo na Suzi alinishauri nitafute mwanaume mwingine ili shemeji asiendelee kunisumbua.
"Suzi unafikiri shemeji ataacha kunisumbua!?"
"Mimi ndiyo nakushauri Fatuma fanya kama ninavyokwambia" Suzi alinisisitizia, Basi niliupokea ushauri wa Fatuma hivyo kazi ilibaki kwangu ya kumtafuta mwanaume ili Shemeji Rashidi asinisumbue.

Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nikiwa nyumbani kwangu mida ya saa 5 usiku nilisikia sauti ya Shemeji Rashidi akigonga mlango.
"Fatuma njoo ufungue haraka" Shemeji Rashidi aliniamurisha niende nikamfungulie hivyo nilinyenyuka na kwenda kufunga ili nijue ni shida gani iliyomleta nyumbani kwangu.

Shemeji Rashidi aliingia mpaka ndani na kuniambia.
"Leo nalala hapa Fatuma"
"Unalala hapa!?" nilimuuliza huku nikiwa nimeyatoa macho yangu kama mjusi aliyebanwa na mlango lakini shemeji Rashidi hakujali zaidi ya kuingia chumbani kwangu na kwenda kukaa kitandani na kuanza kutoa nguo zake.
"Shemeji hapana hii sio haki kabisa" nilitoa malalamishi mbele ya Shemeji Rashidi maana nilijua nyumbani kwake dada atakuwa kwenye wakati mgumu.
"Hakuna cha hapana Fatuma napenda matako yako yalivyo, wewe upo tofauti na dada yako kabisa"
"Kama umenipendea makalio kwanini usitafute mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu ukaachana na mimi!?" nilimwambia maana sikutaka kuendelea kuchangia mwanaume na dada yangu wa toka nitoke.
"Sio vyepesi kumpata mwanamke mwenye makalio makubwa na mazuri kama yako Fatuma tena og ata hivyo mimi nimekupenda wewe"
Baada ya shemeji Rashidi kuniambia vile nilijua kitu kilichokuwa kikimvutia kwangu ni makalio niliyokuwa nayo hivyo kuna wazo nilipata nakuamua kumwambia.
"Mimi nipo tayari kukutafutia mwanamke mwenye makalio kama yangu ila tu sitaki tuendelee kuwa kwenye mahusiano shemeji, naomba uniache please, sihitaji kuchangia mwanaume na dada yangu"
"Oooooh!!! kama utaweza nitafutie ila awe mzuri kukuzidi wewe Fatuma lasivyo nitaendelea tu kukutamani wewe" shemeji Rashidi aliongea hivyo ilibidi niweke makubaliano nae ya kumtafutia mwanamke mwingine mwenye makalio kama yangu awe mchepuko wake.....ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Kazi kwangu ilikuwa ni mhimu ukizingatia sikuwa na connection yoyote ile mjini ya kuweza kupata kazi nyingine kiwepesi, ingekuwa kazi kubwa kwangu kutafuta kazi mwenyewe na huenda watu wengine wangetaka kufanya mapenzi na mimi kwanza ndiyo wanipe kazi. hayo ndiyo tunayokutana nayo mabinti wengi ya kuombwa rushwa ya ngono pindi tunapotafuta kazi.

Basi shemeji aliamua kuitumia fursa baada ya mimi kukubali, hakutaka tufanyie mapenzi kwenye kochi badala yake alinichukua na kunipeleka chumbani kwangu.

Alinifikisha chumbani na shemeji alinilaza kitandani huku mimi nikiwa ni mwenye aibu kwani nilikuwa nafanya kitu ambacho sikutakiwa kufanya kwa kutembea na shemeji yangu lakini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

281
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest