Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Palikucha na ulikuwa ni mda wa kwenda nyumbani, niliondoka na nilimkuta Rashidi akiwa nyumbani huku akiwa hana dalili za kwenda kazini siku hiyo, Rashidi aliniuliza.
"Nimepata taarifa kuwa yule malaya amehamia kwenye hospital yenu!?"
"Malaya yupi!?" ilibidi nimuulize ili anifafanulie vizuri.
"Namuongelea Nasir" Rashidi alinijibu.
"Ndio kahamia ninapofanyia kazi" nilimjibu na Rashidi aliniambia kuwa atafanya juu chini ili aweze kunitafutia nafasi ya kazi sehemu nyingine.
"Fanya utakavyoona ni sahihi" nilimwambia maana ata mimi nilikuwa nimeshaanza kuchoshwa na changamoto nilizokuwa nikikutana nazo kutoka kwa Dr David na Nasir.
"Alafu leo nimeamua kubaki ili tuzagamuane mpaka basi Fatuma yani leo naisimamia kuanzia sasa ivi mpaka mchana" Rashidi aliongea na ndani ya moyo wangu nilimcheka maana nilijua hana uwezo wa kuisimamia kwa masaa yote hayo kama alivyosema.

Nilielekea chumbani na Rashidi alinifata na hakunipa mda wa kupumzika, nilijua tutatumia mda mfupi kufanya mapenzi lakini nilishangaa siku hiyo Rashidi akitumia zaidi ya masaa matatu, alikuwa akipiga bao anaunganisha hapo hapo.
"Umetumia nini leo mbona una nguvu ambazo hukuwa nazo hapo mwanzo!?" nilimuuliza maana tayari nilikuwa nimeshaanza kuchoka.
"Leo nimekwambia nitakuzagamua mpaka basi" Rashidi aliongea huku akiendelea kuninyandua, wakati huo alikuwa ameniweka style ya mbuzi kagoma kwenda.
"Nimechoka niache nipumzike kwanza!"
"Vumilia Fatuma, mchezo bado huu" Rashidi alikataa kabisa kuniacha nipumzike.

Baadae niliamua kujiongeza mwenyewe na ukizingatia nilikuwa na uchovu hivyo nilitafuta upenyo wa kujitoa kwenye mwili wake kwa kushuka kitandani kwa ajili ya kukimbia ila nilipofika kwenye mlango wa kuelekea bafuni aliniwahi na kunishika.
"Unataka kwenda wapi!?"
"Me sitaki nimechoka kufanya!!" niliongea lakini Rashidi hakutaka kujali zaidi ya kuendelea kunipelekea moto.
Nikiwa hivyo hivyo nimesimama aliniinamisha na kuivuta mikono yangu kwa nyuma, hakupata shida kuuchomeka mtalimbo wake kwenye kitumbua changu maana bado ulikuwa umesimama barabara hivyo alisogeza kiuno chake kwa kukilengeshea na kuanza kunizagamua kwa speed kubwa huku makalio yangu yakipiga kelele.

Kiukweli kiupande wangu haikuwa burudani bali yalikuwa ni mateso na bahati nzuri aliweza kupiga bao ila nilishangaa kumuona akiniachia mwenyewe baada ya kupiga bao na kuanza kutetemeka kama mtu aliyeshikwa na degedege, baadae nilimshuhudia akianguka chini na hali yake ilionekana kuwa mbaya, japo nilikuwa nimechoka na palikuwa pakiuma chini kutokana na moto niliopelekewa na Rashidi, nilitembea kwa kujivuta na kuinama mpaka chini kwa ajili ya kuangalia hali yake.

Rashidi alikuwa akiendelea kutetemeka kama mtu aliyeshikwa na degedege.
"Rashidi kuna shida gani!?"
nilimuuliza lakini Rashidi alikuwa kama hanisikii, aliendelea kutetemeka kwa mda na baadae alitulia.
"Nipeleke kitandani Fatuma" aliongea kwa sauti ya chini, japo nilikuwa nimechoka nilijikongoja na kumnyenyua na kwenda kumlaza kitandani.

Baada ya kumlaza aliniambia nimfunike shuka na mimi nilifanya kama alivyoniambia, Rashidi alinitoa wasiwasi na kuniambia kuwa hakuna tatizo lolote lile ila aliniambia kuwa anahitaji kupumzika hivyo niliondoka na kwenda kuoga na baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kutoka chumbani, sikutaka kulala kwenye chumba chetu kwa kuhofia kuwa Rashidi anaweza kuamka mda wowote ule hivyo nilienda kulala kwenye chumba cha dada wa kazi.

Baadae nilisikia nikiamshwa na dada wa kazi akinitarifu habari za ujio wa dada Aisha. Nilinyenyuka kwa ajili ya kwenda kumsikiliza na nilimkuta akiwa na mtoto wake.
"Nimeambiwa kuwa na mwenzako yupo mwambie aje hapa" dada Aisha aliongea na moja kwa moja nilijiongeza kuwa anahitaji kuzungumza na sisi wote wawili yani mimi pamoja na Rashidi.

Nilienda chumbani kumuamsha Rashidi, aliamka na kuniuliza sababu iliyonifanya nimuamshe.
"Dada amekuja anahitaji kuongea na sisi"
"Anashida gani!?" Rashidi aliniuliza na alionesha kutokufurahishwa kumuona mke wake wa zamani nyumbani kwake.

Baadae niliamua kumbembeleza na bahati nzuri alikubali kuamka, alinyenyuka na kutembea kwa tabu. Tulifika na kukaa pembeni alipokuwa amekaa dada Aisha.
"Dada tunakusikiliza" nilifungua mazungumzo kwa kuongea huku nikiangalia pembeni kutokana na aibu niliyokuwa nayo mbele ya dada Aisha licha ya kuwa tulishamaliza tofauti zetu ila siku zote binadamu ni ngumu sana kusahau mambo yaliyomuumiza labda mpaka aingie kabruni.

Dada alizungumza kilichomleta na kikubwa alichoongea alisema kuwa mwanaume aliyekuwa akiishi nae anamaisha magumu isivyo kawaida, alihitaji msaada wa Rashidi ili aweze kufungua biashara.
Rashidi alikataa kumsaidia ila ilikuwa tofauti upande wangu maana dada ni ndugu yangu na ukizingatia nilimchukulia mme wake, niliamua kutumia ushawishi wangu mbele ya dada kwa kumbembeleza ili aweze kumsaidia na bahati nzuri alikubali kumsaidia.

Baadae aliondoka na kutuacha wenyewe hivyo tulianza kupiga story mimi na dada na kila mda nilikuwa nikimuomba msamaha na baadae aliniambia.
"Fatuma kila kitu kinatokea kwa sababu zake, huenda ningekuwa na Rashidi nisingekuwa na mtoto niliyenae sasa ivi, nampenda mno mwanangu na hapa natamani kuja kupata mtoto mwingine tena, sijui kuna kitu gani kati yetu lakini mimi na Rashidi ni ngumu sana kupata mtoto" Dada Aisha aliongea pia alinipongeza kwa kujifungua salama.

Baada ya mda dada aliondoka huku mambo yote tukiwa tumesha yaweka sawa. siku iliyofata Rashidi alimpatia pesa kama alivyokuwa amemuahidi na dada aliitumia pesa hiyo kufungua duka la vipodozi.....ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Palikucha na ulikuwa ni mda wa kwenda nyumbani, niliondoka na nilimkuta Rashidi akiwa nyumbani huku akiwa hana dalili za kwenda kazini siku hiyo, Rashidi aliniuliza.
"Nimepata taarifa kuwa yule malaya amehamia kwenye hospital yenu!?"
"Malaya yupi!?" ilibidi nimuulize ili anifafanulie vizuri.
"Namuongelea Nasir" Rashidi alinijibu.
"Ndio kahamia ninapofanyia kazi" nilimjibu na Rashidi aliniambia kuwa atafanya juu chini ili aweze kunitafutia nafasi ya kazi sehemu nyingine.
"Fanya utakavyoona ni sahihi" nilimwambia maana ata mimi nilikuwa nimeshaanza kuchoshwa na changamoto nilizokuwa nikikutana nazo kutoka kwa Dr David na Nasir.
"Alafu leo nimeamua kubaki ili tuzagamuane mpaka basi Fatuma yani leo naisimamia kuanzia sasa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

473
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

348
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest