Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26

14th Apr, 2025 Views 12

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Palikucha na ulikuwa ni mda wa kwenda nyumbani, niliondoka na nilimkuta Rashidi akiwa nyumbani huku akiwa hana dalili za kwenda kazini siku hiyo, Rashidi aliniuliza.
"Nimepata taarifa kuwa yule malaya amehamia kwenye hospital yenu!?"
"Malaya yupi!?" ilibidi nimuulize ili anifafanulie vizuri.
"Namuongelea Nasir" Rashidi alinijibu.
"Ndio kahamia ninapofanyia kazi" nilimjibu na Rashidi aliniambia kuwa atafanya juu chini ili aweze kunitafutia nafasi ya kazi sehemu nyingine.
"Fanya utakavyoona ni sahihi" nilimwambia maana ata mimi nilikuwa nimeshaanza kuchoshwa na changamoto nilizokuwa nikikutana nazo kutoka kwa Dr David na Nasir.
"Alafu leo nimeamua kubaki ili tuzagamuane mpaka basi Fatuma yani leo naisimamia kuanzia sasa ivi mpaka mchana" Rashidi aliongea na ndani ya moyo wangu nilimcheka maana nilijua hana uwezo wa kuisimamia kwa masaa yote hayo kama alivyosema.

Nilielekea chumbani na Rashidi alinifata na hakunipa mda wa kupumzika, nilijua tutatumia mda mfupi kufanya mapenzi lakini nilishangaa siku hiyo Rashidi akitumia zaidi ya masaa matatu, alikuwa akipiga bao anaunganisha hapo hapo.
"Umetumia nini leo mbona una nguvu ambazo hukuwa nazo hapo mwanzo!?" nilimuuliza maana tayari nilikuwa nimeshaanza kuchoka.
"Leo nimekwambia nitakuzagamua mpaka basi" Rashidi aliongea huku akiendelea kuninyandua, wakati huo alikuwa ameniweka style ya mbuzi kagoma kwenda.
"Nimechoka niache nipumzike kwanza!"
"Vumilia Fatuma, mchezo bado huu" Rashidi alikataa kabisa kuniacha nipumzike.

Baadae niliamua kujiongeza mwenyewe na ukizingatia nilikuwa na uchovu hivyo nilitafuta upenyo wa kujitoa kwenye mwili wake kwa kushuka kitandani kwa ajili ya kukimbia ila nilipofika kwenye mlango wa kuelekea bafuni aliniwahi na kunishika.
"Unataka kwenda wapi!?"
"Me sitaki nimechoka kufanya!!" niliongea lakini Rashidi hakutaka kujali zaidi ya kuendelea kunipelekea moto.
Nikiwa hivyo hivyo nimesimama aliniinamisha na kuivuta mikono yangu kwa nyuma, hakupata shida kuuchomeka mtalimbo wake kwenye kitumbua changu maana bado ulikuwa umesimama barabara hivyo alisogeza kiuno chake kwa kukilengeshea na kuanza kunizagamua kwa speed kubwa huku makalio yangu yakipiga kelele.

Kiukweli kiupande wangu haikuwa burudani bali yalikuwa ni mateso na bahati nzuri aliweza kupiga bao ila nilishangaa kumuona akiniachia mwenyewe baada ya kupiga bao na kuanza kutetemeka kama mtu aliyeshikwa na degedege, baadae nilimshuhudia akianguka chini na hali yake ilionekana kuwa mbaya, japo nilikuwa nimechoka na palikuwa pakiuma chini kutokana na moto niliopelekewa na Rashidi, nilitembea kwa kujivuta na kuinama mpaka chini kwa ajili ya kuangalia hali yake.

Rashidi alikuwa akiendelea kutetemeka kama mtu aliyeshikwa na degedege.
"Rashidi kuna shida gani!?"
nilimuuliza lakini Rashidi alikuwa kama hanisikii, aliendelea kutetemeka kwa mda na baadae alitulia.
"Nipeleke kitandani Fatuma" aliongea kwa sauti ya chini, japo nilikuwa nimechoka nilijikongoja na kumnyenyua na kwenda kumlaza kitandani.

Baada ya kumlaza aliniambia nimfunike shuka na mimi nilifanya kama alivyoniambia, Rashidi alinitoa wasiwasi na kuniambia kuwa hakuna tatizo lolote lile ila aliniambia kuwa anahitaji kupumzika hivyo niliondoka na kwenda kuoga na baada ya kumaliza kuoga nilivaa nguo na kutoka chumbani, sikutaka kulala kwenye chumba chetu kwa kuhofia kuwa Rashidi anaweza kuamka mda wowote ule hivyo nilienda kulala kwenye chumba cha dada wa kazi.

Baadae nilisikia nikiamshwa na dada wa kazi akinitarifu habari za ujio wa dada Aisha. Nilinyenyuka kwa ajili ya kwenda kumsikiliza na nilimkuta akiwa na mtoto wake.
"Nimeambiwa kuwa na mwenzako yupo mwambie aje hapa" dada Aisha aliongea na moja kwa moja nilijiongeza kuwa anahitaji kuzungumza na sisi wote wawili yani mimi pamoja na Rashidi.

Nilienda chumbani kumuamsha Rashidi, aliamka na kuniuliza sababu iliyonifanya nimuamshe.
"Dada amekuja anahitaji kuongea na sisi"
"Anashida gani!?" Rashidi aliniuliza na alionesha kutokufurahishwa kumuona mke wake wa zamani nyumbani kwake.

Baadae niliamua kumbembeleza na bahati nzuri alikubali kuamka, alinyenyuka na kutembea kwa tabu. Tulifika na kukaa pembeni alipokuwa amekaa dada Aisha.
"Dada tunakusikiliza" nilifungua mazungumzo kwa kuongea huku nikiangalia pembeni kutokana na aibu niliyokuwa nayo mbele ya dada Aisha licha ya kuwa tulishamaliza tofauti zetu ila siku zote binadamu ni ngumu sana kusahau mambo yaliyomuumiza labda mpaka aingie kabruni.

Dada alizungumza kilichomleta na kikubwa alichoongea alisema kuwa mwanaume aliyekuwa akiishi nae anamaisha magumu isivyo kawaida, alihitaji msaada wa Rashidi ili aweze kufungua biashara.
Rashidi alikataa kumsaidia ila ilikuwa tofauti upande wangu maana dada ni ndugu yangu na ukizingatia nilimchukulia mme wake, niliamua kutumia ushawishi wangu mbele ya dada kwa kumbembeleza ili aweze kumsaidia na bahati nzuri alikubali kumsaidia.

Baadae aliondoka na kutuacha wenyewe hivyo tulianza kupiga story mimi na dada na kila mda nilikuwa nikimuomba msamaha na baadae aliniambia.
"Fatuma kila kitu kinatokea kwa sababu zake, huenda ningekuwa na Rashidi nisingekuwa na mtoto niliyenae sasa ivi, nampenda mno mwanangu na hapa natamani kuja kupata mtoto mwingine tena, sijui kuna kitu gani kati yetu lakini mimi na Rashidi ni ngumu sana kupata mtoto" Dada Aisha aliongea pia alinipongeza kwa kujifungua salama.

Baada ya mda dada aliondoka huku mambo yote tukiwa tumesha yaweka sawa. siku iliyofata Rashidi alimpatia pesa kama alivyokuwa amemuahidi na dada aliitumia pesa hiyo kufungua duka la vipodozi.....ITAENDELEA.

Full Tsh 800 namba za malipo ????????????

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA.

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest