Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda! haitawezakana tena mimi kufanya nae mapenzi, hanivui chupi ng'oo!!" niliongea mwenyewe huku nikishika simu yangu kwa ajili ya kupeluzi mtandaoni.

Sikujua shameji Rashidi amepanga kufanya kitu gani ila siku hiyo ilipita, siku iliyofata ilikuwa ni siku ya mapumziko hivyo sikwenda kazini zaidi ya kushinda nyumbani, Dada Aisha alinipigia simu, niliipokea na kumsikiliza kwa umakini.
"Fatuma ongea na shemeji yako Fatuma"
"Kwani kuna tatizo gani dada!?" Ilibidi nimuulize baada ya kumsikia dada akiongea huku akiwa analia.
"Kanifukuza bira kosa lolote lile na kila nikimuuliza haniambii sababu"
"Mmmmh kakufukuza!?" nilimuuliza dada na alinipa story kwa ufupi kile kilichotokea nyumbani kwake.

Dada aliniambia kuwa yupo nyumbani kwetu sehemu tuliyozaliwa na Shemeji Rashidi amwemwambia akae huko huko mpaka atakapobadilisha maamuzi yake, nilikata simu baada ya kuongea na dada na moja kwa moja niliamua kumpigia shemeji Rashidi na bahati nzuri aliipokea simu.
"Hatimae umenitafuta mwenyewe Fatuma"
"Shemeji naomba uache michezo yako, mrudishe nyumbani dada yangu, najua yote ni kwa sababu yangu" niliongea pasipo kumhofia.
"Kumbe unajua Fatuma, toa utamu dada yako arudishwe nyumbani, vinginevyo ata wewe pia utaenda kukoswa kazi mda sio mrefu Fatuma kila kitu kipo kwenye mikono yako"
"Kwanini lakini unataka kunifanyia ivi Shemeji!?"
"Acha kulialia Fatuma uliumbwa nayo ili sisi wanaume tufaudu, toa utamu dada yako arudi kwangu na wewe usifukuzwe kazini" Shemeji Rashidi aliongea na kukata simu huku akinisisitizia nikubali kufanya nae mapenzi.

Nilishindwa kuelewa shemeji Rashidi ni binadamu wa aina gani! kuna mda nilianza kumlaumu muumba kwa jinsi alivyokuwa ameniumba kwa kunipa makalio makubwa maana niliamini ndiyo yanasababisha Shemeji Rashidi avulugwe kutokana na yeye kupenda wanawake wenye makalio makubwa.

Siku ya kwenda kazini ilifika, nilikuwa bado sijampatia jibu lolote lile shemeji Rashidi kama nimekubali kufanya nae mapenzi au la!!, ile nafika kazini nilikutana na barua ya kusimamishwa kazi kwa mda.
"Kwani nimefanya kosa gani mpaka nisimamishwe kazi!?" nilimuuliza mtu aliyenipatia barua.
"Mimi hilo sifahamu dada ila nimeambiwa nikupe tu hii barua" alinijibu hivyo ilibidi niondoke na kurudi nyumbani.

Nilijua mtu aliyesababisha ni Shemeji Rashidi kisa nilikataa kufanya nae mapenzi, nilimaliza wiki moja nikiwa nyumbani na hapo ndipo nilipoanza kuuona umhimu wa kazi, kwa kipindi hicho nilikuwa bado sijawaambia nyumbani habari za mimi kusimamishwa kazi na dada Aisha alikuwa bado akiishi nyumbani.

Baada ya kuwaza kwa kina niliamua kumpigia shemeji Rashidi kwa ajili ya kufanya nae mawasiliano.
"Hatimae leo umenitafuta kwa mara nyingine Fatuma"
"Shemeji kwanini usiniache nikaendelea na maisha yangu!!? kwani penzi langu lina radha gani mpaka ung'ang'anie kiasi hichi!? Kweli wewe ndiyo wakunifanya nisimamishwe kazi na kumrudisha dada yangu nyumbani kisa uchi wangu!?"
Niliongea kwa kulalamika lakini shemeji Rashidi alikata simu.

Nilijaribu kumpigia ila hakutaka kuipokea simu, baada ya mda kwenda nilisikia mtu akigonga mlango nje ya nyumba yangu hivyo nilienda kufungua na kumbe alikuwa ni yeye aliyeamua kuja mpaka kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga.
"Nimeamua nije ili tuongee vizuri" shemeji Rashidi baada ya kuongea aliingia mpaka ndani na hakutaka kusubiri nimkaribishe.

Alienda kukaa kisha baada ya hapo alizungumza.
"Unataka kujua ni kwanini nalitaka penzi lako!?"
"Sio mhimu sana shemeji"
Nilimjibu maana nilijua lengo lake ni lipi kuniuliza vile.
"Ukiwa mwelewa kesho tu utarudi kazini na dada yako atarudi nyumbani ila ukiendelea kuleta ubishi mambo yatabaki kuwa ivi ivi" shemeji aliongea na mimi sijui ni kwanini nilishindwa kujitetea vizuri kwa kujiamini mbele ya shemeji Rashidi, nilibaki nikiwa kimya.

Shemeji baada ya kuniona nikiwa kimya alinyenyuka alipokuwa amekaa na kunifata mahali nilipokuwa mimi na kuniambia.
"Fatuma nipe mara moja tu baadae mambo yote yatakaa sawa"
"Mmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu shemeji Rashidi, kumbe tayari alikuwa ameshaanza kupandwa na hisia.

Aliamua kutumia nguvu kwa kunivagaa mahali nilipokuwa nimekaa na kuanza kunipapasa kwa nguvu.
"Shemeji niacheee" niliongea kwa kulalamika mbele ya shemeji aliyekuwa kwenye hisia kali kwa wakati huo.
"Mara moja tu Fatuma kesho utaenda kazini na dada yako atarudi nyumbani pia kuna pesa nitakupa" aliongea huku akiendelea kunishikashika, baadae nilijikuta nikishawishika na maneno ya shemeji Rashidi.....ITAENDELEA.

Ni kwa buku tu unatumiwa story ikiwa full kabisa, Facebook pia unatumiwa, namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Baada ya kulipia nitafute kwa namba 0613083801 kwa kunitumia ujumbe whatsApp au sms ya kawaida, karibuni mjipatie story ya SHEMEJI HAPANA! ?

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda!...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

447
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

333
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10

111
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

98
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

83
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

62
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

58
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

56
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

55
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

42

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.71K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.11K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest