Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+
ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.
Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda! haitawezakana tena mimi kufanya nae mapenzi, hanivui chupi ng'oo!!" niliongea mwenyewe huku nikishika simu yangu kwa ajili ya kupeluzi mtandaoni.
Sikujua shameji Rashidi amepanga kufanya kitu gani ila siku hiyo ilipita, siku iliyofata ilikuwa ni siku ya mapumziko hivyo sikwenda kazini zaidi ya kushinda nyumbani, Dada Aisha alinipigia simu, niliipokea na kumsikiliza kwa umakini.
"Fatuma ongea na shemeji yako Fatuma"
"Kwani kuna tatizo gani dada!?" Ilibidi nimuulize baada ya kumsikia dada akiongea huku akiwa analia.
"Kanifukuza bira kosa lolote lile na kila nikimuuliza haniambii sababu"
"Mmmmh kakufukuza!?" nilimuuliza dada na alinipa story kwa ufupi kile kilichotokea nyumbani kwake.
Dada aliniambia kuwa yupo nyumbani kwetu sehemu tuliyozaliwa na Shemeji Rashidi amwemwambia akae huko huko mpaka atakapobadilisha maamuzi yake, nilikata simu baada ya kuongea na dada na moja kwa moja niliamua kumpigia shemeji Rashidi na bahati nzuri aliipokea simu.
"Hatimae umenitafuta mwenyewe Fatuma"
"Shemeji naomba uache michezo yako, mrudishe nyumbani dada yangu, najua yote ni kwa sababu yangu" niliongea pasipo kumhofia.
"Kumbe unajua Fatuma, toa utamu dada yako arudishwe nyumbani, vinginevyo ata wewe pia utaenda kukoswa kazi mda sio mrefu Fatuma kila kitu kipo kwenye mikono yako"
"Kwanini lakini unataka kunifanyia ivi Shemeji!?"
"Acha kulialia Fatuma uliumbwa nayo ili sisi wanaume tufaudu, toa utamu dada yako arudi kwangu na wewe usifukuzwe kazini" Shemeji Rashidi aliongea na kukata simu huku akinisisitizia nikubali kufanya nae mapenzi.
Nilishindwa kuelewa shemeji Rashidi ni binadamu wa aina gani! kuna mda nilianza kumlaumu muumba kwa jinsi alivyokuwa ameniumba kwa kunipa makalio makubwa maana niliamini ndiyo yanasababisha Shemeji Rashidi avulugwe kutokana na yeye kupenda wanawake wenye makalio makubwa.
Siku ya kwenda kazini ilifika, nilikuwa bado sijampatia jibu lolote lile shemeji Rashidi kama nimekubali kufanya nae mapenzi au la!!, ile nafika kazini nilikutana na barua ya kusimamishwa kazi kwa mda.
"Kwani nimefanya kosa gani mpaka nisimamishwe kazi!?" nilimuuliza mtu aliyenipatia barua.
"Mimi hilo sifahamu dada ila nimeambiwa nikupe tu hii barua" alinijibu hivyo ilibidi niondoke na kurudi nyumbani.
Nilijua mtu aliyesababisha ni Shemeji Rashidi kisa nilikataa kufanya nae mapenzi, nilimaliza wiki moja nikiwa nyumbani na hapo ndipo nilipoanza kuuona umhimu wa kazi, kwa kipindi hicho nilikuwa bado sijawaambia nyumbani habari za mimi kusimamishwa kazi na dada Aisha alikuwa bado akiishi nyumbani.
Baada ya kuwaza kwa kina niliamua kumpigia shemeji Rashidi kwa ajili ya kufanya nae mawasiliano.
"Hatimae leo umenitafuta kwa mara nyingine Fatuma"
"Shemeji kwanini usiniache nikaendelea na maisha yangu!!? kwani penzi langu lina radha gani mpaka ung'ang'anie kiasi hichi!? Kweli wewe ndiyo wakunifanya nisimamishwe kazi na kumrudisha dada yangu nyumbani kisa uchi wangu!?"
Niliongea kwa kulalamika lakini shemeji Rashidi alikata simu.
Nilijaribu kumpigia ila hakutaka kuipokea simu, baada ya mda kwenda nilisikia mtu akigonga mlango nje ya nyumba yangu hivyo nilienda kufungua na kumbe alikuwa ni yeye aliyeamua kuja mpaka kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga.
"Nimeamua nije ili tuongee vizuri" shemeji Rashidi baada ya kuongea aliingia mpaka ndani na hakutaka kusubiri nimkaribishe.
Alienda kukaa kisha baada ya hapo alizungumza.
"Unataka kujua ni kwanini nalitaka penzi lako!?"
"Sio mhimu sana shemeji"
Nilimjibu maana nilijua lengo lake ni lipi kuniuliza vile.
"Ukiwa mwelewa kesho tu utarudi kazini na dada yako atarudi nyumbani ila ukiendelea kuleta ubishi mambo yatabaki kuwa ivi ivi" shemeji aliongea na mimi sijui ni kwanini nilishindwa kujitetea vizuri kwa kujiamini mbele ya shemeji Rashidi, nilibaki nikiwa kimya.
Shemeji baada ya kuniona nikiwa kimya alinyenyuka alipokuwa amekaa na kunifata mahali nilipokuwa mimi na kuniambia.
"Fatuma nipe mara moja tu baadae mambo yote yatakaa sawa"
"Mmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu shemeji Rashidi, kumbe tayari alikuwa ameshaanza kupandwa na hisia.
Aliamua kutumia nguvu kwa kunivagaa mahali nilipokuwa nimekaa na kuanza kunipapasa kwa nguvu.
"Shemeji niacheee" niliongea kwa kulalamika mbele ya shemeji aliyekuwa kwenye hisia kali kwa wakati huo.
"Mara moja tu Fatuma kesho utaenda kazini na dada yako atarudi nyumbani pia kuna pesa nitakupa" aliongea huku akiendelea kunishikashika, baadae nilijikuta nikishawishika na maneno ya shemeji Rashidi.....ITAENDELEA.
Ni kwa buku tu unatumiwa story ikiwa full kabisa, Facebook pia unatumiwa, namba za malipo ???
0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA
0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA
Baada ya kulipia nitafute kwa namba 0613083801 kwa kunitumia ujumbe whatsApp au sms ya kawaida, karibuni mjipatie story ya SHEMEJI HAPANA! ?.