Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda! haitawezakana tena mimi kufanya nae mapenzi, hanivui chupi ng'oo!!" niliongea mwenyewe huku nikishika simu yangu kwa ajili ya kupeluzi mtandaoni.

Sikujua shameji Rashidi amepanga kufanya kitu gani ila siku hiyo ilipita, siku iliyofata ilikuwa ni siku ya mapumziko hivyo sikwenda kazini zaidi ya kushinda nyumbani, Dada Aisha alinipigia simu, niliipokea na kumsikiliza kwa umakini.
"Fatuma ongea na shemeji yako Fatuma"
"Kwani kuna tatizo gani dada!?" Ilibidi nimuulize baada ya kumsikia dada akiongea huku akiwa analia.
"Kanifukuza bira kosa lolote lile na kila nikimuuliza haniambii sababu"
"Mmmmh kakufukuza!?" nilimuuliza dada na alinipa story kwa ufupi kile kilichotokea nyumbani kwake.

Dada aliniambia kuwa yupo nyumbani kwetu sehemu tuliyozaliwa na Shemeji Rashidi amwemwambia akae huko huko mpaka atakapobadilisha maamuzi yake, nilikata simu baada ya kuongea na dada na moja kwa moja niliamua kumpigia shemeji Rashidi na bahati nzuri aliipokea simu.
"Hatimae umenitafuta mwenyewe Fatuma"
"Shemeji naomba uache michezo yako, mrudishe nyumbani dada yangu, najua yote ni kwa sababu yangu" niliongea pasipo kumhofia.
"Kumbe unajua Fatuma, toa utamu dada yako arudishwe nyumbani, vinginevyo ata wewe pia utaenda kukoswa kazi mda sio mrefu Fatuma kila kitu kipo kwenye mikono yako"
"Kwanini lakini unataka kunifanyia ivi Shemeji!?"
"Acha kulialia Fatuma uliumbwa nayo ili sisi wanaume tufaudu, toa utamu dada yako arudi kwangu na wewe usifukuzwe kazini" Shemeji Rashidi aliongea na kukata simu huku akinisisitizia nikubali kufanya nae mapenzi.

Nilishindwa kuelewa shemeji Rashidi ni binadamu wa aina gani! kuna mda nilianza kumlaumu muumba kwa jinsi alivyokuwa ameniumba kwa kunipa makalio makubwa maana niliamini ndiyo yanasababisha Shemeji Rashidi avulugwe kutokana na yeye kupenda wanawake wenye makalio makubwa.

Siku ya kwenda kazini ilifika, nilikuwa bado sijampatia jibu lolote lile shemeji Rashidi kama nimekubali kufanya nae mapenzi au la!!, ile nafika kazini nilikutana na barua ya kusimamishwa kazi kwa mda.
"Kwani nimefanya kosa gani mpaka nisimamishwe kazi!?" nilimuuliza mtu aliyenipatia barua.
"Mimi hilo sifahamu dada ila nimeambiwa nikupe tu hii barua" alinijibu hivyo ilibidi niondoke na kurudi nyumbani.

Nilijua mtu aliyesababisha ni Shemeji Rashidi kisa nilikataa kufanya nae mapenzi, nilimaliza wiki moja nikiwa nyumbani na hapo ndipo nilipoanza kuuona umhimu wa kazi, kwa kipindi hicho nilikuwa bado sijawaambia nyumbani habari za mimi kusimamishwa kazi na dada Aisha alikuwa bado akiishi nyumbani.

Baada ya kuwaza kwa kina niliamua kumpigia shemeji Rashidi kwa ajili ya kufanya nae mawasiliano.
"Hatimae leo umenitafuta kwa mara nyingine Fatuma"
"Shemeji kwanini usiniache nikaendelea na maisha yangu!!? kwani penzi langu lina radha gani mpaka ung'ang'anie kiasi hichi!? Kweli wewe ndiyo wakunifanya nisimamishwe kazi na kumrudisha dada yangu nyumbani kisa uchi wangu!?"
Niliongea kwa kulalamika lakini shemeji Rashidi alikata simu.

Nilijaribu kumpigia ila hakutaka kuipokea simu, baada ya mda kwenda nilisikia mtu akigonga mlango nje ya nyumba yangu hivyo nilienda kufungua na kumbe alikuwa ni yeye aliyeamua kuja mpaka kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga.
"Nimeamua nije ili tuongee vizuri" shemeji Rashidi baada ya kuongea aliingia mpaka ndani na hakutaka kusubiri nimkaribishe.

Alienda kukaa kisha baada ya hapo alizungumza.
"Unataka kujua ni kwanini nalitaka penzi lako!?"
"Sio mhimu sana shemeji"
Nilimjibu maana nilijua lengo lake ni lipi kuniuliza vile.
"Ukiwa mwelewa kesho tu utarudi kazini na dada yako atarudi nyumbani ila ukiendelea kuleta ubishi mambo yatabaki kuwa ivi ivi" shemeji aliongea na mimi sijui ni kwanini nilishindwa kujitetea vizuri kwa kujiamini mbele ya shemeji Rashidi, nilibaki nikiwa kimya.

Shemeji baada ya kuniona nikiwa kimya alinyenyuka alipokuwa amekaa na kunifata mahali nilipokuwa mimi na kuniambia.
"Fatuma nipe mara moja tu baadae mambo yote yatakaa sawa"
"Mmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu shemeji Rashidi, kumbe tayari alikuwa ameshaanza kupandwa na hisia.

Aliamua kutumia nguvu kwa kunivagaa mahali nilipokuwa nimekaa na kuanza kunipapasa kwa nguvu.
"Shemeji niacheee" niliongea kwa kulalamika mbele ya shemeji aliyekuwa kwenye hisia kali kwa wakati huo.
"Mara moja tu Fatuma kesho utaenda kazini na dada yako atarudi nyumbani pia kuna pesa nitakupa" aliongea huku akiendelea kunishikashika, baadae nilijikuta nikishawishika na maneno ya shemeji Rashidi.....ITAENDELEA.

Ni kwa buku tu unatumiwa story ikiwa full kabisa, Facebook pia unatumiwa, namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Baada ya kulipia nitafute kwa namba 0613083801 kwa kunitumia ujumbe whatsApp au sms ya kawaida, karibuni mjipatie story ya SHEMEJI HAPANA! ?

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda!...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

790
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

778
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

465
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

402
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

360
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

340
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest