Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda! haitawezakana tena mimi kufanya nae mapenzi, hanivui chupi ng'oo!!" niliongea mwenyewe huku nikishika simu yangu kwa ajili ya kupeluzi mtandaoni.

Sikujua shameji Rashidi amepanga kufanya kitu gani ila siku hiyo ilipita, siku iliyofata ilikuwa ni siku ya mapumziko hivyo sikwenda kazini zaidi ya kushinda nyumbani, Dada Aisha alinipigia simu, niliipokea na kumsikiliza kwa umakini.
"Fatuma ongea na shemeji yako Fatuma"
"Kwani kuna tatizo gani dada!?" Ilibidi nimuulize baada ya kumsikia dada akiongea huku akiwa analia.
"Kanifukuza bira kosa lolote lile na kila nikimuuliza haniambii sababu"
"Mmmmh kakufukuza!?" nilimuuliza dada na alinipa story kwa ufupi kile kilichotokea nyumbani kwake.

Dada aliniambia kuwa yupo nyumbani kwetu sehemu tuliyozaliwa na Shemeji Rashidi amwemwambia akae huko huko mpaka atakapobadilisha maamuzi yake, nilikata simu baada ya kuongea na dada na moja kwa moja niliamua kumpigia shemeji Rashidi na bahati nzuri aliipokea simu.
"Hatimae umenitafuta mwenyewe Fatuma"
"Shemeji naomba uache michezo yako, mrudishe nyumbani dada yangu, najua yote ni kwa sababu yangu" niliongea pasipo kumhofia.
"Kumbe unajua Fatuma, toa utamu dada yako arudishwe nyumbani, vinginevyo ata wewe pia utaenda kukoswa kazi mda sio mrefu Fatuma kila kitu kipo kwenye mikono yako"
"Kwanini lakini unataka kunifanyia ivi Shemeji!?"
"Acha kulialia Fatuma uliumbwa nayo ili sisi wanaume tufaudu, toa utamu dada yako arudi kwangu na wewe usifukuzwe kazini" Shemeji Rashidi aliongea na kukata simu huku akinisisitizia nikubali kufanya nae mapenzi.

Nilishindwa kuelewa shemeji Rashidi ni binadamu wa aina gani! kuna mda nilianza kumlaumu muumba kwa jinsi alivyokuwa ameniumba kwa kunipa makalio makubwa maana niliamini ndiyo yanasababisha Shemeji Rashidi avulugwe kutokana na yeye kupenda wanawake wenye makalio makubwa.

Siku ya kwenda kazini ilifika, nilikuwa bado sijampatia jibu lolote lile shemeji Rashidi kama nimekubali kufanya nae mapenzi au la!!, ile nafika kazini nilikutana na barua ya kusimamishwa kazi kwa mda.
"Kwani nimefanya kosa gani mpaka nisimamishwe kazi!?" nilimuuliza mtu aliyenipatia barua.
"Mimi hilo sifahamu dada ila nimeambiwa nikupe tu hii barua" alinijibu hivyo ilibidi niondoke na kurudi nyumbani.

Nilijua mtu aliyesababisha ni Shemeji Rashidi kisa nilikataa kufanya nae mapenzi, nilimaliza wiki moja nikiwa nyumbani na hapo ndipo nilipoanza kuuona umhimu wa kazi, kwa kipindi hicho nilikuwa bado sijawaambia nyumbani habari za mimi kusimamishwa kazi na dada Aisha alikuwa bado akiishi nyumbani.

Baada ya kuwaza kwa kina niliamua kumpigia shemeji Rashidi kwa ajili ya kufanya nae mawasiliano.
"Hatimae leo umenitafuta kwa mara nyingine Fatuma"
"Shemeji kwanini usiniache nikaendelea na maisha yangu!!? kwani penzi langu lina radha gani mpaka ung'ang'anie kiasi hichi!? Kweli wewe ndiyo wakunifanya nisimamishwe kazi na kumrudisha dada yangu nyumbani kisa uchi wangu!?"
Niliongea kwa kulalamika lakini shemeji Rashidi alikata simu.

Nilijaribu kumpigia ila hakutaka kuipokea simu, baada ya mda kwenda nilisikia mtu akigonga mlango nje ya nyumba yangu hivyo nilienda kufungua na kumbe alikuwa ni yeye aliyeamua kuja mpaka kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga.
"Nimeamua nije ili tuongee vizuri" shemeji Rashidi baada ya kuongea aliingia mpaka ndani na hakutaka kusubiri nimkaribishe.

Alienda kukaa kisha baada ya hapo alizungumza.
"Unataka kujua ni kwanini nalitaka penzi lako!?"
"Sio mhimu sana shemeji"
Nilimjibu maana nilijua lengo lake ni lipi kuniuliza vile.
"Ukiwa mwelewa kesho tu utarudi kazini na dada yako atarudi nyumbani ila ukiendelea kuleta ubishi mambo yatabaki kuwa ivi ivi" shemeji aliongea na mimi sijui ni kwanini nilishindwa kujitetea vizuri kwa kujiamini mbele ya shemeji Rashidi, nilibaki nikiwa kimya.

Shemeji baada ya kuniona nikiwa kimya alinyenyuka alipokuwa amekaa na kunifata mahali nilipokuwa mimi na kuniambia.
"Fatuma nipe mara moja tu baadae mambo yote yatakaa sawa"
"Mmmh shemeji hapana kwakweli" nilimjibu shemeji Rashidi, kumbe tayari alikuwa ameshaanza kupandwa na hisia.

Aliamua kutumia nguvu kwa kunivagaa mahali nilipokuwa nimekaa na kuanza kunipapasa kwa nguvu.
"Shemeji niacheee" niliongea kwa kulalamika mbele ya shemeji aliyekuwa kwenye hisia kali kwa wakati huo.
"Mara moja tu Fatuma kesho utaenda kazini na dada yako atarudi nyumbani pia kuna pesa nitakupa" aliongea huku akiendelea kunishikashika, baadae nilijikuta nikishawishika na maneno ya shemeji Rashidi.....ITAENDELEA.

Ni kwa buku tu unatumiwa story ikiwa full kabisa, Facebook pia unatumiwa, namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Baada ya kulipia nitafute kwa namba 0613083801 kwa kunitumia ujumbe whatsApp au sms ya kawaida, karibuni mjipatie story ya SHEMEJI HAPANA! ?
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
kutokana na mimi kufanya kazi sehemu moja na Shemeji Rashidi, alihamishia usumbufu wake kazini, , alikuwa akinisumbua akitaka tucheze michezo ya kikubwa mpaka ilifika kipindi nilikuwa sitamani kukutana nae nikiwa kazini.

Siku moja nikiwa sina hili wala lile kwenye chumba cha wauguzi shemeji Rashidi aliingia nakunikuta nikiwa peke yangu.
"Fatuma naona sasa ivi unataka kunipanda kichwani"
"Shemeji nimeshasema hapana!!, naomba uwe mwelewa, siwezi kukuvulia nguo zangu tena"
"Ohhhh!!! safi kabisa basi subiri utajionea mwenyewe"
Shemeji Rashidi alizungumza na kutoka kwenye chumba cha wauguzi huku akiufunga mlango kwa hasira.
"Bhana eeeh!!! atajijua mwenyewe kwanza ameshanipa nuksi mpaka nikatoa mimba pasipo kupenda!...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

584
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

558
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

526
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

409
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

360
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

298
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

279
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest