Ingia

Sema Jambo

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27

14th Apr, 2025 Views 8

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Siku zilienda na nilishangaa toka mara ya mwisho Rashidi afanye mapenzi na mimi kwa kunikamia hakuwahi kuomba mechi tena hivyo siku hiyo nilimkuta nyumbani akiwa chumbani akijiandaa kwenda kazini, niliamua kumtega kwa kumuuliza.
"Mbona siku hizi haupo kama zamani!?"
"Unamaanisha nini Fatuma?"
"Maana yangu ni kuwa hutaki kunigusa kabisa siku hizi"
"Oooh!! kumbe umemiss mizagamuo, nakusanya nguvu Fatuma ili siku tukija kufanya mapenzi upende mwenyewe" Rashidi aliongea na mimi niliamua kumwambia.
"Usije tena ukatumia dawa za kuongeza nguvu lasivyo hutochelewa kufa na uzuri wewe ni daktari unajua madhara yake"
"Umeanza uchokozi wako Fatuma emhu niache niwahi kazini kwanza" aliongea nakunisogelea kisha baada ya hapo alinipiga kofi la kwenye makalio na kuondoka.
"Akili zake zinawaza kupiga makalio yangu tu" niliongea huku nikivua nguo zangu na kujifunga kitenge.

Siku hiyo nilishangaa kumuona Shemeji Nasibu akiwa nyumbani kwani nilijua na yeye kaongozona kwenda kazini pamoja na kaka yake.
"Shemeji kumbe hujaenda kazini!?"
"Ndio shemeji na maongezi na wewe ndiyo yamenifanya nisiende kazini"
"Maongezi yanayohusiana na nini!?" nilimuuliza na shemeji Nasib alishindwa kunijibu kutokana na uwepo wa mfanyakazi wetu hivyo alinisogelea na kuninong'oneza.
"Kuhusu kaka Rashidi"
"Kwani kafanyeje shemu mbona sikuelewi!?" nilimuuliza na shemeji Nasib aliniambia twende chumbani ili tukafanye maongezi vizuri.
"Chumbani shemeji hapana labda twende nje" niliongea hivyo tuliongozana wote mpaka nje.

Shemeji Nasib aliniambia kuwa Rashidi kuna dawa ya kuongeza nguvu alipewa na aliniambia itakuwa hatari kwangu kwani nitashindwa kuhimili mikikimikiki ya Rashidi.
"Shemeji kwahiyo ndiyo sababu iliyokufanya usiende kazini!?"
"Sio hiyo tu shemeji nyingine ni wewe hapo, nimekumbuka kukuogesha kama kile kipindi ulichokuwa na mimba, shemeji usiku huwa silali kabisa yani nakuwaza wewe tu"
"Shemeji nilishakweleza kuwa kile kipindi nilikuwa na mimba hivyo ukiwa na mimi usiongee hizo story"
"Mmmmh" shemeji Nasibu aliguna na upande wangu sikutaka kujali kuhusu kuguna kwake. Nilirudi ndani na kwenda kuendelea na mambo yangu.

Mda wa mchana ulikuwa ni mda wangu wa kulala hivyo nilienda chumbani kupumzika na kwakuwa kulikuwa na joto, nilipunguza nguo za ndani na kubaki kwenye chupi. Nilijifunga kitenge na kuwasha feni iliyokuwa chumbani.

Nililala na haikupita mda nilipitiwa na usingizi. Kwakuwa mlango wa chumbani sikuufunga, shemeji Nasib aliingia kwa kunyata pasipo mimi kumsikia, bahati mbaya kwangu feni iliyokuwa ikipuliza chumbani ilikifanya kitenge nilichokuwa nimejifunga kipande juu na chupi yangu kuwa nje nje.

Nikiwa nimelala usingizi wa fofofo wa kutokujitambua nilikuja kushituka shemeji Nasib akiwa juu ya makalio yangu akiwa tayari ameshauingiza mjegeje wake na sijui ni mda gani alionivulisha chupi niliyokuwa nimeivaa.
"Shemeji!" nilimwita lakini Shemeji Nasib hakutaka kuacha alichokuwa akikifanya na kwakuwa alikuwa akijua hisia zangu zilipo, alinigeuza kwa nguvu na kupeleka mkono wake sehemu husika, kwani ilichukuwa mda kupandisha hisia mda huo huo hisia zangu zilipanda.
"Shemeji achaa shem..ji" niliongea huku nikitoa sauti za mahaba maana tayari shemeji Nasib alikuwa ameshaniweza hasa baada ya kunishika kunako!! Nilijikuta nikimpa ushirikiano shemeji Nasib ambae nae hakuwa haba!, alijua kuitumia nafasi kweli kweli, alijua kucheza na mwili wangu mfano wa mcheza mpira maarufu aliyetamba kwa msemo wa cheza kama Pele, shemeji alinichezesha kama Pele na alikuwa akinipa nafasi ya mimi kufanya kile nilichokuwa nikitaka wakati wa sex na hapo ndipo alipokuwa akitofautiana na Rashidi ambae yeye mawazo yake yapo kwenye kwenye kupiga bao tu wakati wa sex na kuyapiga makalio yangu makofi.

Shemeji Nasib alilala kitandani na kuniambia kuwa nimkalie japo nilikuwa nimnene zaidi yake na ukimjumlisha na makalio yangu yalivyokuwa ndiyo kabisa nilikuwa kama namuonea kumkalia lakini mahaba ni kitu cha ajabu, uzito wangu ulikuwa sio kitu mbele ya shemeji Nasib, alianza kunipa ushirikiano kwa kushika kiuno changu wakati huo mimi nikiwa na kazi ya kuzungusha kiuno kwa kukatika, japo sikuwa mtaalamu wa kuikatikia ila nilijitahidi kwa kiasi chake.

Mpaka tunakuja kumaliza kila mtu alikuwa ameridhika na mwenzake na ndipo akili yangu iliporudi kwenye utimamu wake, nilimwangalia shemeji Nasib na kumwambia.
"Toka chumbani kwangu haraka sana!!" niliongea na shemeji Nasib aliamua kuondoka huku tayari akiwa ameshafanikisha lengo lake.

Nilibaki nikishika kichwa changu nikijilaumu kwa kukubali kufanya nae mapenzi kiwepesi kiasi kile, nilipotazama chini niliiona chupi niliyokuwa nimeivaa, niliiokota na nilishangaa kuona chupi yangu ikiwa imechanwa.
"Ina maana kumbe aliichana chupi yangu!!" niliongea mwenyewe, tayari nilikuwa nimeshatambua mbinu aliyoitumia Shemeji Nasib kunivulisha chupi.....ITAENDELEA..

Za hivi punde ni za 🔥🔥🔥 | Sema Jambo

Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest