Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 07.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 07.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 07.

Maisha yetu mimi pamoja na Cyborg yalikuwa ya furaha na siku hiyo nikiwa kazini mimi pamoja na asikari wenzangu tuliletewa taarifa na mkuu wetu wa kazi.
Tuliambiwa kuna sehemu inayotakiwa twende kwa ajili ya kuwa kamata waharifu, na tuliambiwa tutatumia zaidi ya mwezi mmoja tukiwa huko.

Baada ya kupokea taarifa hiyo nikiwa nimekaa na Afande Neema nilimwambia.
"Mmmh, Cyborg atakubali kweli kuniruhusu niende kukaa huko zaidi ya mwezi mmoja!?"
Niliongea na Afande Neema aliyeamua kuniuliza.
"Kwanini akatae huku upo kwenye majukumu yako ya kazi!?"
"Anapenda kutiana kila mda, nahisi huo mwezi mmoja kwake utakuwa kama mwaka" Nilimjibu na Afande Neema alibaki akicheka na kuniambia.
"Lazima akubali kama kweli anakupenda na kujali kazi yako".
Baada ya kupokea ushauri kutoka kwa Afande Neema tuliendelea kuongea na kupanga jinsi safari yetu itakavyokuwa.

Miongoni mwa Asikari ambao walikuwemo kwenye msafara wetu wa kikazi alikuwemo Afande Davi, temu hii sikuwa na wasiwasi sana sababu Afande Davi alikuwa ameshaanza kuniheshimu tofauti na zamani.

Nilirudi nyumbani na kumpatia taarifa Cyborg ya safari yangu ya kikazi.
"Malaika mimi sina amani kabisa nahisi huko unakoenda kuna asikari mwenzako ataenda kukutia kabisa"
Cyborg aliongea huku akiwa na wasiwasi na safari yangu.
"Ina maana bado huniamini mme wangu au tangu uanze kunizagamua umeshawahi kuona mabadiliko yoyote yale kwenye uchi wangu!?"
"Hapana sio hivyo na wasiwasi sana hasa huyo Afande Davi anaweza kukugonga Malaika wangu kabisa" Cyborg alizidi kuonesha wasiwasi wake, nilimwambia asiwe na wasiwasi kwani hamna mtu atakaye nitia zaidi yake.

Cyborg alikubali japo alikuwa na wasiwasi na safari yangu.

Ilibaki siku moja tuweze kwenda na siku hiyo hatukwenda kazini kwani mkuu wetu alitupa nafasi ya kujiandaa kwa ajili ya safari, siku hiyo nilishinda nyumbani na ata Cyborg hakwenda kazini kitu kilichonishangaza.

Ilibidi nimuulize kwanini kaamua kubaki nyumbani.
"Malaika swali gani hilo na wewe!! leo nataka tutiane kuanzia asubuhi mpaka usiku ili kesho ukienda usiwe na hamu kabisa na mwanaume mwingine" Cyborg aliongea na mimi niliamua kumpa utamu mme wangu kwa kumwacha anizagamue mpaka pale atakaporidhika.

Hiyo siku sitaisahau kwenye maisha yangu kwani alinitia mpaka kisima changu kiliishiwa maji na nilianza kusikia maumivu kwenye uchi wangu.
"Cyborg inatosha kesho nitashindwa kuamka mwenzako" Nilimwambia baada ya kuona mambo yamenielemea ila Cyborg aliongea kitu kilichonishitua.
"Ndiyo kwanza tunaanza Malaika" Cyborg aliongea na baadae aliniambia.
"Naenda nje mara moja nikatembee tembee nikirudi tutaendelea tena kipenzi" Cyborg aliongea huku akijitoa kwenye kifua changu na matiti yangu yalipata nafasi ya kupumzika.

Baada ya yeye kuongea vile ilibidi nimuulize.
"Hee! bado tu hujaridhika mme wangu!?" nilimuuliza sababu sikuwa na hisia za kufanya mapenzi tena kwa wakati huo.

Cyborg alinijibu kuwa bado hajaridhika kabisa na kwakuwa ilikuwa ni saa 3 usiku aliondoka akinicha nikiwa sina ya kuzagamuana kabisa.
"Huyu mwanaume sijui anatumia nini mbona hachoki!?" nilizungumza huku mda huo nikiwa uchi na niliamua kuwasha feni iliyokuwa chumbani na kupanua mapaja yangu ili kitumbua changu kipulizwe na upepo kidogo.

Sikuwa na hamu ya kula usiku huo, nilijikuta nikipitiwa na usingizi. nilikuja kushituka baada ya kumsikia Cyborg akigonga mlango akihitaji afunguliwe.

Nilinyenyuka na kwenda mlangoni kufungua huku kiuno changu kikiwa hakina hamu.

Cyborg aliingia ndani baada ya kumfungulia na aliachia tabasamu na kuniambia.
"Upo tayari Malaika wangu tuendelee na mizagamuo tena!?" Cyborg aliongea.
"Hapana kwakweli mme wangu mimi nimechoka" Nilimjibu lakini Cyborg alinisogelea na kuweka chini mfuko aliokuwa amekuja nao huku nikiwa sijui ndani ya mfuko huo kuna nini.

"Njoo unikalie mapajani mke wangu maana najua utakuwa umechoka sasa ivi" Cyborg aliongea na mimi nilifanya kama alivyokuwa akitaka.

Jamani Jamani kuna wanaume wanaojua kujali na mmoja wao ni Cyborg, sio kwamba namsifia ila ndiyo ukweli huo.

Cyborg alifungua mfuko aliokuja nao nakutoa kuku mzima aliyekaangwa na hakuishia hapo alitoa pizza na kuanza kunilisha.

Kwa wanawake wenzangu kama una mwanaume ambaye yeye mda wote anawaza kukutia tu na hakuoneshi upendo wa aina hii nakusihi jitafakari tena kwa mara nyingine huenda ulikosea njia.

Tuachane na hayo turudi kwa Cyborg wangu, aliendelea kunilisha na baadae tulianza kulishana na baada ya mda alianza kunishika kwa ajili ya kupandisha hisia zangu.

Ningeanzaje kukataa sasa kwa utundu aliokuwa akinifanyia, japo sikuwa na hisia ila nilijikuta nikipandwa na hisia na kuanza kumpa ushirikiano.

Nakumbuka tulilala saa 8 usiku siku hiyo. nilikuja kuamshwa saa 1 asubuhi na Cyborg mwenyewe.
"Mda umeenda sana mme wangu ngoja nijiandae wenzangu watakuwa wananisubiri" nilimwambia nakuamua kwenda kujiandaa.

Nilijiandaa na baadae nilimuaga Cyborg huku akiongea maneno yake ya utani.
"Malaika, upwiru ukinishika lazima nije huko utakakokuwa nikutie"
"Utaniua wewe mwanaume" nilimjibu na wote tulibaki kucheka huku nikimuaga na kuondoka pia sikusahau kuacha maagizo kwa dada wa kazi wa kumjali mwanangu.......ITAENDELEA

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 07.

PENZI LA MHALIFU 07.

Maisha yetu mimi pamoja na Cyborg yalikuwa ya furaha na siku hiyo nikiwa kazini mimi pamoja na asikari wenzangu tuliletewa taarifa na mkuu wetu wa kazi.
Tuliambiwa kuna sehemu inayotakiwa twende kwa ajili ya kuwa kamata waharifu, na tuliambiwa tutatumia zaidi ya mwezi mmoja tukiwa huko.

Baada ya kupokea taarifa hiyo nikiwa nimekaa na Afande Neema nilimwambia.
"Mmmh, Cyborg atakubali kweli kuniruhusu niende kukaa huko zaidi ya mwezi mmoja!?"
Niliongea na Afande Neema aliyeamua kuniuliza.
"Kwanini akatae huku upo kwenye majukumu yako ya kazi!?"
"Anapenda kutiana kila mda, nahisi huo mwezi mmoja kwake utakuwa kama mwaka" Nilimjibu na Afande Neema alibaki akicheka na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

600
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

558
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

522
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30

348
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

348
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

327
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

218
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

35
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

25

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest