Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 30
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 30

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel au kwa jina alikuwa akiitawa Salome na siku iliyofata hivyohivyo napo alichangamkiwa.

Cyborg nae aliamua kujiachia na kutengeneza mazoea na boss wake.

Mimi huku nilikuwa sina habari zozote ya kilichokuwa kikiendelea, siku hiyo nilishuhudia Cyborg akija nyumbani na gari hivyo niliamua kumuuliza.
"Cyborg na hii gari umeitoa wapi!?"
"Hii ni ya boss wangu, sasa ivi napatana nae balaa na ananiamini sana" Cyborg aliongea na mimi niliishia kuguna kwa kile alichokiongea.
Basi siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg alikuja na gari kwa mara nyingine kama siku iliyopita.

Niliona kuna kitu hakipo sawa hivyo niliamua kumuuliza Cyborg ni kipi kinachoendelea lakini Cyborg alinitoa wasi wasi nakuniambia hamna chochote kile zaidi ya ukaribu alionao kwa boss wake.

Siku hiyo usiku tukiwa tumelala kwa mara kwanza tangu Cyborg anioe hakunigusa yani hakutaka tutiane kabisa.     

Nilishangaa sana sababu haikuwa kawaida ya Cyborg na ata siku ambazo tulikuwa hatufanyi mapenzi basi ilikuwa ni lazima anikumbatie.
"Cyborg kuna tatizo gani mbona leo hutaki ata kunishika!?" ilibidi nimuulize sababu uvumilivu ulinishinda kabisa.
"Malaika leo nimechoka balaa na kingine sijisikii kufanya mapenzi kabisa"
Cyborg alinijibu na kuendelea kulala, nilishindwa kumwelewa kiukweli kwani haikuwa kawaida ya Cyborg. Basi usiku huo ulipita.

Siku iliyofata nikiwa kazini mimi pamoja na asikari wenzangu nilimuona Afande Joel akiwa bize kuongea na simu na baadae aliondoka bira kumuaga mtu yoyote yule.

Sikutaka kufatilia mambo yake ila baada ya mda kupita nilipigiwa simu huku namba ikiwa ni ya mme wangu na sauti iliyosikika haikuwa ya Cyborg bali ilikuwa ni sauti ngeni kabisa ya mwanaume mwingine kwenye masikio yangu.
"Njoo ushuhudia ugomvi ulioko huku wa mme wako" aliongea na kukata simu bira ata kujitambulisha kwangu.

Nilishindwa kuelewa sababu sikujua nisehemu gani ninayotakiwa kwenda na kingine kilichonichanganya zaidi ni baada ya yeye kuniambia kuna ugomvi.

Niliamua kujiongeza mwenyewe kwa kuelekea sehemu aliyokuwa akifanyia kazi Cyborg. ilibidi nichukue usafiri na kuwahi sehemu husika.

Sikuamini kile nilichokikuta kwani niliwakuta baadhi ya watu wakiwa wanahangaika kuwatuliza Cyborg pamoja na Afande Joel na nilipoangalia kwa umakini nilimuona kijana aliyekuwa ameshika simu ya Cyborg na nilipata uhakika wa karibu asilimia zote kuwa ndiye aliyenipigia simu na kunitaka nifike pale haraka na upesi.

Afande Joel alikuwa akiongea maneno ya kila aina akimtuhumu Cyborg kuwa anatembea na mchepuko wake ambae ni Salome huku akimtishia lazimi ampeleke gerezani na upande wa Cyborg kama ilivyokuwa kawaida yake huwa hatuogopi kabisa sisi maasikari aliamua nae kumpolomoshea kila aina ya maneno na matusi kama msenge tu, utanifanya nini wewe fala na mengineyo.

kwanza niliishiwa nguvu kwa ugomvi uliokuwa ukiendelea pale na nikiwa najiandaa kusogea karibu yao ili Cyborg aweze kuniona alitokea boss wao ambae ni mchepuko wa Afande Joel anayeitwa Salome na kuongea.
"Joel mimi na wewe tumeshamalizana sihitaji ulete ugomvi kwenye ofisi yangu bira kuwa na sababu za msingi na ukizingatia wewe ni asikari polisi tena hapo ulipo umevaa uniform za kazi, naomba uondoke" Salome aliongea na baadae Afande Joel niliona akiondoka huku akiwa ni mwenye hasira na alikuwa akitamka matusi ya kila aina.

Sikutaka tena kusogea alipo Cyborg niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini tayari Cyborg alikuwa ameshaniona, aliamua kuja nilipokuwa mimi na alianza kuongea mwenyewe bira ata kumuuliza.
"Malaika hamna chochote kile kinachoendelea ni wivu wa huyo Afande Joel" Cyborg aliongea huku akiwa ni mwenye mashaka.
"Tutaongea tukiwa nyumbani" nilimjibu na kuamua kuondoka nakumuacha mwenyewe.

Sikujua tena kilichokuwa kikiendelea baada ya mimi kuondoka na kiukweli sikuwa na hamu kabisa ya kurudi kituoni ila sikuwa na namna zaidi ya kwenda na kusubiri mpaka pale mda wa kazi utakapoisha ndipo nitakaporudi nyumbani kwa ajili ya kumuuliza vizuri Cyborg.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na kumsubiri Cyborg kwa hamu.

Siku hiyo Cyborg hakurudi na gari la boss wake na alikuja peke yake tu. Aliingia mpaka ndani na baada ya kumuona kitu cha kwanza nilichomuuliza ni kile kilichotokea kazini kwao......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 30

PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-30

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

737
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

342
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

337
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

310
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

161
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

116
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

112
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

105
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.32K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest