Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 30
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 30

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel au kwa jina alikuwa akiitawa Salome na siku iliyofata hivyohivyo napo alichangamkiwa.

Cyborg nae aliamua kujiachia na kutengeneza mazoea na boss wake.

Mimi huku nilikuwa sina habari zozote ya kilichokuwa kikiendelea, siku hiyo nilishuhudia Cyborg akija nyumbani na gari hivyo niliamua kumuuliza.
"Cyborg na hii gari umeitoa wapi!?"
"Hii ni ya boss wangu, sasa ivi napatana nae balaa na ananiamini sana" Cyborg aliongea na mimi niliishia kuguna kwa kile alichokiongea.
Basi siku hiyo ilipita na siku iliyofata Cyborg alikuja na gari kwa mara nyingine kama siku iliyopita.

Niliona kuna kitu hakipo sawa hivyo niliamua kumuuliza Cyborg ni kipi kinachoendelea lakini Cyborg alinitoa wasi wasi nakuniambia hamna chochote kile zaidi ya ukaribu alionao kwa boss wake.

Siku hiyo usiku tukiwa tumelala kwa mara kwanza tangu Cyborg anioe hakunigusa yani hakutaka tutiane kabisa.     

Nilishangaa sana sababu haikuwa kawaida ya Cyborg na ata siku ambazo tulikuwa hatufanyi mapenzi basi ilikuwa ni lazima anikumbatie.
"Cyborg kuna tatizo gani mbona leo hutaki ata kunishika!?" ilibidi nimuulize sababu uvumilivu ulinishinda kabisa.
"Malaika leo nimechoka balaa na kingine sijisikii kufanya mapenzi kabisa"
Cyborg alinijibu na kuendelea kulala, nilishindwa kumwelewa kiukweli kwani haikuwa kawaida ya Cyborg. Basi usiku huo ulipita.

Siku iliyofata nikiwa kazini mimi pamoja na asikari wenzangu nilimuona Afande Joel akiwa bize kuongea na simu na baadae aliondoka bira kumuaga mtu yoyote yule.

Sikutaka kufatilia mambo yake ila baada ya mda kupita nilipigiwa simu huku namba ikiwa ni ya mme wangu na sauti iliyosikika haikuwa ya Cyborg bali ilikuwa ni sauti ngeni kabisa ya mwanaume mwingine kwenye masikio yangu.
"Njoo ushuhudia ugomvi ulioko huku wa mme wako" aliongea na kukata simu bira ata kujitambulisha kwangu.

Nilishindwa kuelewa sababu sikujua nisehemu gani ninayotakiwa kwenda na kingine kilichonichanganya zaidi ni baada ya yeye kuniambia kuna ugomvi.

Niliamua kujiongeza mwenyewe kwa kuelekea sehemu aliyokuwa akifanyia kazi Cyborg. ilibidi nichukue usafiri na kuwahi sehemu husika.

Sikuamini kile nilichokikuta kwani niliwakuta baadhi ya watu wakiwa wanahangaika kuwatuliza Cyborg pamoja na Afande Joel na nilipoangalia kwa umakini nilimuona kijana aliyekuwa ameshika simu ya Cyborg na nilipata uhakika wa karibu asilimia zote kuwa ndiye aliyenipigia simu na kunitaka nifike pale haraka na upesi.

Afande Joel alikuwa akiongea maneno ya kila aina akimtuhumu Cyborg kuwa anatembea na mchepuko wake ambae ni Salome huku akimtishia lazimi ampeleke gerezani na upande wa Cyborg kama ilivyokuwa kawaida yake huwa hatuogopi kabisa sisi maasikari aliamua nae kumpolomoshea kila aina ya maneno na matusi kama msenge tu, utanifanya nini wewe fala na mengineyo.

kwanza niliishiwa nguvu kwa ugomvi uliokuwa ukiendelea pale na nikiwa najiandaa kusogea karibu yao ili Cyborg aweze kuniona alitokea boss wao ambae ni mchepuko wa Afande Joel anayeitwa Salome na kuongea.
"Joel mimi na wewe tumeshamalizana sihitaji ulete ugomvi kwenye ofisi yangu bira kuwa na sababu za msingi na ukizingatia wewe ni asikari polisi tena hapo ulipo umevaa uniform za kazi, naomba uondoke" Salome aliongea na baadae Afande Joel niliona akiondoka huku akiwa ni mwenye hasira na alikuwa akitamka matusi ya kila aina.

Sikutaka tena kusogea alipo Cyborg niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini tayari Cyborg alikuwa ameshaniona, aliamua kuja nilipokuwa mimi na alianza kuongea mwenyewe bira ata kumuuliza.
"Malaika hamna chochote kile kinachoendelea ni wivu wa huyo Afande Joel" Cyborg aliongea huku akiwa ni mwenye mashaka.
"Tutaongea tukiwa nyumbani" nilimjibu na kuamua kuondoka nakumuacha mwenyewe.

Sikujua tena kilichokuwa kikiendelea baada ya mimi kuondoka na kiukweli sikuwa na hamu kabisa ya kurudi kituoni ila sikuwa na namna zaidi ya kwenda na kusubiri mpaka pale mda wa kazi utakapoisha ndipo nitakaporudi nyumbani kwa ajili ya kumuuliza vizuri Cyborg.

Mda wa kazi ulipoisha nilirudi nyumbani na kumsubiri Cyborg kwa hamu.

Siku hiyo Cyborg hakurudi na gari la boss wake na alikuja peke yake tu. Aliingia mpaka ndani na baada ya kumuona kitu cha kwanza nilichomuuliza ni kile kilichotokea kazini kwao......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 30

PENZI LA MHALIFU 30

Cyborg alianza kumwambia mambo mengine mengi aliyokuwa akiyajua yeye na kumbe kipindi wao wanaongea boss wao alikuwa nyuma yao akisikiliza mazungumzo yao.

Baadae alikohoa na kuwafanya wageuke nyuma na kusitisha kile walichokuwa wakikizungumza..
"Endeleeni tu na maongezi yenu" boss wao aliwaambia ambae ni mchepuko wa Afande Joel na Cyborg hakutaka kusitisha mazungumzo yao zaidi ya kuendelea kuongea.

Mda wa kazi ulipoisha Cyborg alirudi nyumbani na alipofika alinisimulia kila kitu kilichotokea kazini kwao.

Sikutaka kujali kile alichoniambia kwani niliona ni mambo ya kawaida tu.

Basi Cyborg alipoenda kazi siku iliyofata alishangaa kuona akichangamkiwa na boss wake ambae ni mchepuko wa Afande Joel...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-30

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

700
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

259
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

142
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

79
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

24
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest