Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 22
Gonga94 Β· Stories

PENZI LA MHALIFU 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu na mimi.

Cyborg alitupeleka mpaka kwenye makazi ya magaidi waliokuwa wakiishi na baada ya kutufikisha alituachia kazi sisi huku yeye akienda kusimama pembeni, tuligonga mlango na alifungua kijana mmoja na alipotuona alitaka kukimbilia ndani ila asikari mwenzetu mmoja alimuwahi na kumshika.

Ilikuwa ni patashika kwani vijana wengine waliokuwa ndani hawakutaka kukamatwa kizembe zaidi kushika siraha walizokuwa nazo na kuanza kutushambulia.

Bahati nzuri tulifanikiwa kuwathibiti na kuwakamata.

Baada ya kazi kukamilika siku hiyo mkuu wetu alitumwangia kila aina ya sifa na hakuacha kumsifia mme wangu Cyborg kwa kazi aliyoifanya kwani bira yeye ata hao magaidi tusingeweza kuwakamata.

Baada ya kupongezwa na mkuu Afande Joel aliniita pembeni na kuniambia.
"Hongera sana Angel kwa kuwa na mwanaume kama yule ila ata hivyo wewe ni mwanamke mrembo sana na umejaliwa kuwa na umbo linalovutia na kumfanya kila mwanaume atamani kusex na wewe" Afande Joel aliongea na kunimwangia kila aina ya sifa.
"Asante ila mimi sio mzuri kiasi hicho nipo kawaida tu" niliongea kwa kupingana na kile alichoniambia ila Afande joel hakuacha kunisifia.

Nilishindwa kumwelewa na nilianza kuhisi yanaweza kujirudia yale ya Afande Davi na Aliyewahi kuwa mkuu wangu ambae ni Robert kwenye kituo nilichokuwa nafanya kazi mwanzo.

Niliamua kusitisha maongezi na Afande Joel na baadae nilielekea nyumbani.

Nilimkuta Cyborg akiwa katulia na mimi nilimfata na kwenda kumkiss na yeye alilipokea kiss langu na wote tulijikuta tukianza kubadilishana ndimi zetu bira kujali kama tupo sebleniΒ  tena tunaishi na mdada wa kazi.

Tuliendelea kuchezeana lakini nilipotazama dirishani nilishituka kumuona mtu akituchungulia.

"Emu subiri kwanza mme wangu, kuna mtu anatuchungulia" nilimwambia Cyborg kwa sauti ya chini na baadae nilitoka na kuzunguka kwenda kumwangalia mtu aliyekuwa anatuchungulia.

Nilifika na kumkuta mwanamke akiwa anaendelea kuchungulia na nilimkumbuka vizuri kwani alikuwa niΒ  jirani yangu aliyewahi kuniita kipindi cha nyuma na kuniuliza kama Cyborg anatumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume.
"Hii ndiyo tabia yako ya kuchunguliwa watu wakiwa wanajiandaa kuzagamuana sio!?" nilimuuliza huku nikiwa na sura ya uaskari na sio kimalaika tena.
"Nisamehe jirani yangu nilitaka kuangalia utundu wenu wakati wa kufanya mapenzi ili na mimi nikamfundishe mme wangu yani hajui kitu kabisa, emu fikiria nipo nae kwenye ndoa kwa miaka 6 sasa ivi na hatujawahi kupata mtoto ata mmoja" jirani yangu aliongea na ilibidi nimtazame vizuri na niligundua kuwa alikuwa amejifunga kitenge huku akiwa hajavaa nguo yoyote ile ndani kwani mapaja yote yalikuwa nje.
"Hio haitasaidia nenda kamuulize mmeo vizuri huenda miaka ya nyuma aliwahi kupiga punyeto akapata madhala na ndiyo inamfanya ashindwe kukulizisha kama inavyotakiwa" nilijaribu kumshauli.

Cyborg akiwa ndani baada ya kuona na tumia mda mrefu aliamua kutoka nje na alinikuta nikiendelea kufanya maongezi na jirani yangu.

Cyborg alikuwa amevaa pensi ya kulalia na alisogea mpaka sisi tulipo.

ile Cyborg amefika nilishangaa kumuona jirani yangu akiwa anamwangalia kila mda Cyborg kwenye pensi yake.

Ndipo nilipogundua kuwa anaangalia mhogo wa Cyborg uliokuwa umeanza kutuna.
"Jirani naomba uende" niliamua kumwambia na jirani aliondoka huku akiwa anageuka kila mara kumuangalia Cyborg na alivyonadharau alikuwa akitembea huku akitikisa makalio yake.

Cyborg aliishia kuguna baada ya kuona makalio ya Jirani yetu yalivyokuwa yakitikisika.
"Duh huyo mwanamke inaokana ana upwiru sio bure" Cyborg aliongea.
"Emu twende ndani upwiru ata mimi ninao" nilimwambia ili kumfanya asiendelea kuyafikiria mkalio ya jirani mwenzangu na kiukweli nikili wazi kuwa jirani yangu alikuwa amenizidi makalio kwa kiasi kikubwa.

Tulipelekana mpaka ndani kwa ajili ya kwenda kuendelea na mchezo wetu sababu jirani alitukatisha.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHAMIRA fully episode
SHAMIRA fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 22

PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79

1.36K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80

1.18K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

968
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*

222
IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7

184
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO

181
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

168
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

164
ROWAN (Mine alone) 1 - 5

ROWAN (Mine alone) 1 - 5

127
CHUMBANI KWETU πŸ’š   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU πŸ’š Sehemu ya 10

121

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.91K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.62K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.87K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.02K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.78K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema β€œmimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’ LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende woteπŸ‘‡ Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU πŸ’š   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU πŸ’š Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❀😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwanguπŸ™β€ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu YA SITA*
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kimya kifupi kilipita hii ni baada ya mimi kusikia kuwa Zuri ni mke wa mtu nilikuwa naumia sana sio siri jamani ila sema nilijikaza mbele ya mama asigundue "Unamaanisha kwamba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 78 na 79
@majario LIVE

Basi ikawa hivyo, na ikakat mwez amani ndani hakuna kabisaa, zena ni kanuna , yani hacheki na mm kabisaa, hatuna story ata, na mala nyingi nikiludi nyumbana namkuta kashalala et...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 77
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Nikasema.mm ndo nanukia ayo malashi mke wangu, akanmbia ndio.kwani apa si nipo mimi na ww. Nasikia marashi ya kialabu, mh nikajinusa sasa na mm. Eeh ni.kweli aya ni...

NAKUPENDA BILA  SEASON TWO 51 - 65 Post Mpya
NAKUPENDA BILA SEASON TWO 51 - 65
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:51 Nilitoka nikiwa nishapendeza hata mama alishtuka na kusema β€œkulikoni tena? Nilishusha pumzi na kusema β€œAcha tu mama ndiyo nishaitwa.” Mama alinitazama na kusema β€œhuna namna nenda. Sasa vipi pesa ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest