Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 22
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu na mimi.

Cyborg alitupeleka mpaka kwenye makazi ya magaidi waliokuwa wakiishi na baada ya kutufikisha alituachia kazi sisi huku yeye akienda kusimama pembeni, tuligonga mlango na alifungua kijana mmoja na alipotuona alitaka kukimbilia ndani ila asikari mwenzetu mmoja alimuwahi na kumshika.

Ilikuwa ni patashika kwani vijana wengine waliokuwa ndani hawakutaka kukamatwa kizembe zaidi kushika siraha walizokuwa nazo na kuanza kutushambulia.

Bahati nzuri tulifanikiwa kuwathibiti na kuwakamata.

Baada ya kazi kukamilika siku hiyo mkuu wetu alitumwangia kila aina ya sifa na hakuacha kumsifia mme wangu Cyborg kwa kazi aliyoifanya kwani bira yeye ata hao magaidi tusingeweza kuwakamata.

Baada ya kupongezwa na mkuu Afande Joel aliniita pembeni na kuniambia.
"Hongera sana Angel kwa kuwa na mwanaume kama yule ila ata hivyo wewe ni mwanamke mrembo sana na umejaliwa kuwa na umbo linalovutia na kumfanya kila mwanaume atamani kusex na wewe" Afande Joel aliongea na kunimwangia kila aina ya sifa.
"Asante ila mimi sio mzuri kiasi hicho nipo kawaida tu" niliongea kwa kupingana na kile alichoniambia ila Afande joel hakuacha kunisifia.

Nilishindwa kumwelewa na nilianza kuhisi yanaweza kujirudia yale ya Afande Davi na Aliyewahi kuwa mkuu wangu ambae ni Robert kwenye kituo nilichokuwa nafanya kazi mwanzo.

Niliamua kusitisha maongezi na Afande Joel na baadae nilielekea nyumbani.

Nilimkuta Cyborg akiwa katulia na mimi nilimfata na kwenda kumkiss na yeye alilipokea kiss langu na wote tulijikuta tukianza kubadilishana ndimi zetu bira kujali kama tupo sebleni  tena tunaishi na mdada wa kazi.

Tuliendelea kuchezeana lakini nilipotazama dirishani nilishituka kumuona mtu akituchungulia.

"Emu subiri kwanza mme wangu, kuna mtu anatuchungulia" nilimwambia Cyborg kwa sauti ya chini na baadae nilitoka na kuzunguka kwenda kumwangalia mtu aliyekuwa anatuchungulia.

Nilifika na kumkuta mwanamke akiwa anaendelea kuchungulia na nilimkumbuka vizuri kwani alikuwa ni  jirani yangu aliyewahi kuniita kipindi cha nyuma na kuniuliza kama Cyborg anatumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume.
"Hii ndiyo tabia yako ya kuchunguliwa watu wakiwa wanajiandaa kuzagamuana sio!?" nilimuuliza huku nikiwa na sura ya uaskari na sio kimalaika tena.
"Nisamehe jirani yangu nilitaka kuangalia utundu wenu wakati wa kufanya mapenzi ili na mimi nikamfundishe mme wangu yani hajui kitu kabisa, emu fikiria nipo nae kwenye ndoa kwa miaka 6 sasa ivi na hatujawahi kupata mtoto ata mmoja" jirani yangu aliongea na ilibidi nimtazame vizuri na niligundua kuwa alikuwa amejifunga kitenge huku akiwa hajavaa nguo yoyote ile ndani kwani mapaja yote yalikuwa nje.
"Hio haitasaidia nenda kamuulize mmeo vizuri huenda miaka ya nyuma aliwahi kupiga punyeto akapata madhala na ndiyo inamfanya ashindwe kukulizisha kama inavyotakiwa" nilijaribu kumshauli.

Cyborg akiwa ndani baada ya kuona na tumia mda mrefu aliamua kutoka nje na alinikuta nikiendelea kufanya maongezi na jirani yangu.

Cyborg alikuwa amevaa pensi ya kulalia na alisogea mpaka sisi tulipo.

ile Cyborg amefika nilishangaa kumuona jirani yangu akiwa anamwangalia kila mda Cyborg kwenye pensi yake.

Ndipo nilipogundua kuwa anaangalia mhogo wa Cyborg uliokuwa umeanza kutuna.
"Jirani naomba uende" niliamua kumwambia na jirani aliondoka huku akiwa anageuka kila mara kumuangalia Cyborg na alivyonadharau alikuwa akitembea huku akitikisa makalio yake.

Cyborg aliishia kuguna baada ya kuona makalio ya Jirani yetu yalivyokuwa yakitikisika.
"Duh huyo mwanamke inaokana ana upwiru sio bure" Cyborg aliongea.
"Emu twende ndani upwiru ata mimi ninao" nilimwambia ili kumfanya asiendelea kuyafikiria mkalio ya jirani mwenzangu na kiukweli nikili wazi kuwa jirani yangu alikuwa amenizidi makalio kwa kiasi kikubwa.

Tulipelekana mpaka ndani kwa ajili ya kwenda kuendelea na mchezo wetu sababu jirani alitukatisha.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 22

PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157

410
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150

377
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9

267
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7

238
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160

213
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓

175
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

IN LOVE WITH ZURI* *12&13*

156
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

116
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*

106
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14*

*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*

96

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.06K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.74K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.14K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.73K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

****

  • NAKUPENDA BILA MIPAKA 161 -- 164 29-03-2026 00:00
Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*IN LOVE WITH ZURI*  *SEHEMU YA 14* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *SEHEMU YA 14*
@majario LIVE

Basi bwana siku hiyo chai ilishuka bila wasiwasi kabisa, maana zuri kila muda alikuwa ananijali sana, utasikia frank nikuletee maji?? Mara ohooo kaka Frank umepaliwa jamani pole Yani alikuwa anaongea huyu...

IN LOVE WITH ZURI* *12&13* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *12&13*
@mjukuu LIVE

* SONGA NAYO....... Nilisema huku nikimkabizi ule mfuko, zuri alinitazama sana mpaka ule ujasiri wote niliokuwa nao ulianza kupotea kidogo kidogo "Unasema..??" Aliniuliza "Am nimekuletea hii hapa zawadi.." "OH my God ni yangu..??" Aliniuliza tena huku akitabasamu,...

*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11* Post Mpya
*IN LOVE WITH ZURI* *Sehemu ya 11*
@mjukuu LIVE

SONGA NAYO...... Haraka haraka nilitoka nje ambako nilimkuta Ethan akiwa ananisubiri, bila kusubiri chochote niliingia kwenye gari na safari ya kurudi nyumbani ilianza, ni mida ya saa moja na nusu hivi "Dah...

ZARA❤️ Sehemu ya 10 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 10
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA ila sasa ni alijuwa na heshima sana na mimi, yani alijirejebisha kweli kweli , waha hakuwa annifanyia ujeuri kabisaa,yani ata kidogo hapana ,...

ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 8 na 9
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Nikasema.dady sio kuhusu mama ni kuhusu yule dereva melvin, baba aksema ahaa yule derebaa si tumeshamfukuza jamani zara nn sasa, nikasema baba mi nimemuonea huruma ,nahisi...

ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
ZARA❤️ Sehemu ya 6 na 7
@mjukuu LIVE

__________ Mwandishi; LISSA WA HURU MEDIA Khaaaaa nilichukia nikamuangalia uyu kaka kwa dharau na hasira kwli kweli, kwanza nikampandisha kisha nikamshusha , nikamuuliza eeeh umesahau nn, au unadai mshahara apa ulikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 158 -- 160
@mjukuu LIVE

:158 Aliendesha na kuniambia “nisamehe kwa kukuteka asubuhi, nisamehe maneno yalinitoka asubuhi lakini ilikuwa lazima nifanye vile. Wewe katoto ni kabishi sana. Huna hata huruma unataka mtu mzima mpaka nipige ukunga.” Nilimtazama,...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 151 -- 157
@mjukuu LIVE

:151 Kwenye akili yako vuta picha zile Abaya za kituruki, halafu ziwe tatu, nzuriiiiiii, rangi nyeusi, rangi nyeupe, na zambarau fulani imechanganyika, halafu kuna gauni mbili za ukali, eenh, eenh sijui...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON FOUR 145 - 150
@mjukuu LIVE

:146 Nilimtazama natabasamu, nakuambia uoga mimi sina, sina kabisa maana nishajua huyu Dokta anapambania mahali ahitajiki. Kwanza angejua raha mimi nilikuwa naipata hapa ameniharibia mimi. Si unajua unampenda mtu huwezi kumwambia halafu...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "16_17"💓 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "16_17"💓
@majario LIVE

( alikuja kama muuza chai kumbe ni Billionea) Alikunywa dawa zake akatulia 🥹nilikuwa namuonea huruma sana yule mkaka jmn 🥹 Muda huo huo wateja wakaja watatu , mimi sasa bize...

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest