Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 22
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 22

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu na mimi.

Cyborg alitupeleka mpaka kwenye makazi ya magaidi waliokuwa wakiishi na baada ya kutufikisha alituachia kazi sisi huku yeye akienda kusimama pembeni, tuligonga mlango na alifungua kijana mmoja na alipotuona alitaka kukimbilia ndani ila asikari mwenzetu mmoja alimuwahi na kumshika.

Ilikuwa ni patashika kwani vijana wengine waliokuwa ndani hawakutaka kukamatwa kizembe zaidi kushika siraha walizokuwa nazo na kuanza kutushambulia.

Bahati nzuri tulifanikiwa kuwathibiti na kuwakamata.

Baada ya kazi kukamilika siku hiyo mkuu wetu alitumwangia kila aina ya sifa na hakuacha kumsifia mme wangu Cyborg kwa kazi aliyoifanya kwani bira yeye ata hao magaidi tusingeweza kuwakamata.

Baada ya kupongezwa na mkuu Afande Joel aliniita pembeni na kuniambia.
"Hongera sana Angel kwa kuwa na mwanaume kama yule ila ata hivyo wewe ni mwanamke mrembo sana na umejaliwa kuwa na umbo linalovutia na kumfanya kila mwanaume atamani kusex na wewe" Afande Joel aliongea na kunimwangia kila aina ya sifa.
"Asante ila mimi sio mzuri kiasi hicho nipo kawaida tu" niliongea kwa kupingana na kile alichoniambia ila Afande joel hakuacha kunisifia.

Nilishindwa kumwelewa na nilianza kuhisi yanaweza kujirudia yale ya Afande Davi na Aliyewahi kuwa mkuu wangu ambae ni Robert kwenye kituo nilichokuwa nafanya kazi mwanzo.

Niliamua kusitisha maongezi na Afande Joel na baadae nilielekea nyumbani.

Nilimkuta Cyborg akiwa katulia na mimi nilimfata na kwenda kumkiss na yeye alilipokea kiss langu na wote tulijikuta tukianza kubadilishana ndimi zetu bira kujali kama tupo sebleni  tena tunaishi na mdada wa kazi.

Tuliendelea kuchezeana lakini nilipotazama dirishani nilishituka kumuona mtu akituchungulia.

"Emu subiri kwanza mme wangu, kuna mtu anatuchungulia" nilimwambia Cyborg kwa sauti ya chini na baadae nilitoka na kuzunguka kwenda kumwangalia mtu aliyekuwa anatuchungulia.

Nilifika na kumkuta mwanamke akiwa anaendelea kuchungulia na nilimkumbuka vizuri kwani alikuwa ni  jirani yangu aliyewahi kuniita kipindi cha nyuma na kuniuliza kama Cyborg anatumia dawa yoyote ya kuongeza nguvu za kiume.
"Hii ndiyo tabia yako ya kuchunguliwa watu wakiwa wanajiandaa kuzagamuana sio!?" nilimuuliza huku nikiwa na sura ya uaskari na sio kimalaika tena.
"Nisamehe jirani yangu nilitaka kuangalia utundu wenu wakati wa kufanya mapenzi ili na mimi nikamfundishe mme wangu yani hajui kitu kabisa, emu fikiria nipo nae kwenye ndoa kwa miaka 6 sasa ivi na hatujawahi kupata mtoto ata mmoja" jirani yangu aliongea na ilibidi nimtazame vizuri na niligundua kuwa alikuwa amejifunga kitenge huku akiwa hajavaa nguo yoyote ile ndani kwani mapaja yote yalikuwa nje.
"Hio haitasaidia nenda kamuulize mmeo vizuri huenda miaka ya nyuma aliwahi kupiga punyeto akapata madhala na ndiyo inamfanya ashindwe kukulizisha kama inavyotakiwa" nilijaribu kumshauli.

Cyborg akiwa ndani baada ya kuona na tumia mda mrefu aliamua kutoka nje na alinikuta nikiendelea kufanya maongezi na jirani yangu.

Cyborg alikuwa amevaa pensi ya kulalia na alisogea mpaka sisi tulipo.

ile Cyborg amefika nilishangaa kumuona jirani yangu akiwa anamwangalia kila mda Cyborg kwenye pensi yake.

Ndipo nilipogundua kuwa anaangalia mhogo wa Cyborg uliokuwa umeanza kutuna.
"Jirani naomba uende" niliamua kumwambia na jirani aliondoka huku akiwa anageuka kila mara kumuangalia Cyborg na alivyonadharau alikuwa akitembea huku akitikisa makalio yake.

Cyborg aliishia kuguna baada ya kuona makalio ya Jirani yetu yalivyokuwa yakitikisika.
"Duh huyo mwanamke inaokana ana upwiru sio bure" Cyborg aliongea.
"Emu twende ndani upwiru ata mimi ninao" nilimwambia ili kumfanya asiendelea kuyafikiria mkalio ya jirani mwenzangu na kiukweli nikili wazi kuwa jirani yangu alikuwa amenizidi makalio kwa kiasi kikubwa.

Tulipelekana mpaka ndani kwa ajili ya kwenda kuendelea na mchezo wetu sababu jirani alitukatisha.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 22

PENZI LA MHALIFU 22

Siku tatu zilipita bira Cyborg kuniambia chochote kile kilichokuwa kikiendelea na ata sisi kituoni tulikuwa tumeshaanza kulipotezea tukio hilo na kuendelea na majukumu mengine.

Siku ya nne nikiwa kazini Cyborg alinipigia Cm na kuniambia niende na Asikari wenzangu kwani ameshajua ni wapi wanapoishi magaidi waliofanya tukio la mauaji, sikuamini sababu nilihisi kama ananitania ila alinisisitizia nifanye haraka kabra mambo hayajaharibika.

Nilienda kuwajulisha asikari wenzangu na moja kwa moja tuliende sehemu aliyotuelekeza Cyborg na kubahatika kumkuta.

Afande Joel alishangaa kumuona mme wangu na hakuamini kama ndiye aliyeamua kutusaidia bira kujua kama Cyborg ameamua kunisaidia mimi ili asikari wa kiume wasiwe karibu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-22

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63

1.28K
JOGOO WA KIENYEJI 1----5

JOGOO WA KIENYEJI 1----5

219
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10

189
SHAMIRA Sehemu ya 60&61

SHAMIRA Sehemu ya 60&61

189
SHAMIRA Sehemu ya 65&66

SHAMIRA Sehemu ya 65&66

184
SHAMIRA 62 63 na 64

SHAMIRA 62 63 na 64

182
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.

177
SHAMIRA Sehemu ya58&59

SHAMIRA Sehemu ya58&59

174
SHAMIRA Sehemu ya 56&57

SHAMIRA Sehemu ya 56&57

157
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.76K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.84K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.94K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.73K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.72K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.6K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12. Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 12.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Baada ya king kuzimia,ilibidi apate huduma ya kwanza, Mimi ilibidi niludishwe kwenye Sheree, tulimaliza saa Saba usiku, nilikuwa nimechoka mno, nilioga nakuingia kulala, hata vicram pia alikuwa hoi,...

JOGOO WA KIENYEJI 1----5 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 1----5
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 sehemu ya 1 Mwandishi:lissa mwalla Naitwa Talya jones,ni mtoto wa pili katika familia ya watoto wawili,wakwanza kakangu tommy na mie ndio last born sasa,baba yetu alikua mwanajeshi na mama yetu ni nesi.baba...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11. Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) EP 11.
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE Mama alipokea nikamuita atoke nje,vicram alibaki tu akinishangaa, mama alitoka akatukalibisha ndani, niliomba niongee nae pembeni, tulitoka nililia Kwa mama mpaka na mama nae akaanza kulia, badae nikaamua...

SHAMIRA Sehemu ya 65&66 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 65&66
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nilimuangalia sana nikamuuliza unamuongeleaa mtoto gani kwanza .akanambia ahaa si mtoto wangu ambae ulikuwa unakujaga nae nyumbani kuomba msada ama.nikasema sawa kumbe unakumbukumbu. Unahisi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 62 na 63
@majario LIVE

Baada y kumuacha mchumba sasa nikawa hoi yani , sio powa basi zena akanikumbatia akanambia nakupenda san mwanaume wangu, basi apo sasa , nikamwambia zena ,naomba nikuamishe apa mke wangu,...

SHAMIRA 62 63 na 64 Post Mpya
SHAMIRA 62 63 na 64
@majario LIVE

Sehemu ya 62 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana nilikuwa naumia sna moyoni ila nilisema uwenda akasaidiwa uko na akapona kuliko kukaa nae mie. lazima mwanangu ata kufa mana sina...

SHAMIRA Sehemu ya 60&61 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 60&61
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi niliwaza mno ila nikaona acha nipumzishe kichwa mungu atasaidia mbele . Na kweli kesho mimi nilimpeleka mtoto hospitali akapata hudumu.ma dr ...

SHAMIRA Sehemu ya58&59 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya58&59
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikanunua chakura kwanza ndani.kisha kesho yake niliamkia hopitali sasa. Nilishauliwa kwanza nimkatie bima kubwa mtoto ya laki 7. Nilikakata iyo bima .kisha sasa...

SHAMIRA Sehemu ya 56&57 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 56&57
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; 0742443214 Nikapanda kitandanni nikamlaza mwananagu kisha namie nikavuta shuka nikawa nipo busy namnyonyesha.tu. aisha akawa akanasema kwaiyo unaninyanyasa kwa sababu umenipa msingi ama.asee nilisema we kumamako...

MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 9 na 10
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 9. Nilisaidiana na iren kutenga, walikuja kula chakula Kila mtu alikisifia, isipokuwa king,sikujali alimaliza Kila mtu akaingia kulala,nilijikuta nimemkumbuka mama angu, na Kwa muda huo nisingeweza kumpigia akiwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 60 & 61
@majario LIVE

Ibraa akanmbia kwanzaaa , wewe kaa na mkeo kama siku 3 kwa heshima kabisaa, na kubali tu kuwa ni mkeo na kuwa normal kwake, na uzuri mzigo si unakula basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wangu🔥) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest