Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 27
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 27

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo lazima tungeenda kufanya sex ila mimi nilichukua pesa nilizokuja nazo na kumkabizi kitu kilichomshangaza.
"Angel mbona umeamua kunirudishia pesa ina maana haupo tayari kufanya mapenzi na mimi!?"
"Sipo tayari na naomba iwe mwanzo na mwisho kuniambia habari ya sisi kufanya mapenzi, mwanzo nilitaka kujisahau tu ila sipo tayari kumsaliti mme wangu Cyborg" nilimwambia Afande Joel na hakuamimi kile nilichokiongea.
"Lakini tunafanya mara moja tu na nitahakikisha hamna mtu atakayejua kama tayari tumeshafanya mapenzi, tafadhali Angel naomba usinifanyie hivyo" Afande Joel alizidi kunibembeleza nikubali kuongozana nae ili tukafanye mapenzi lakini mimi nilizidi kuweka msimamo wangu.

Baadae niliamua kuondoka na kumuacha akiwa bado hamini kama nimeamua kumtolea nje.

Ile nafika nyumbani Afande Joel alinitumie ujumbe mrefu huku akijaribu kunibembeleza nikubali kwenda kufanya nae mapenzi. kiukweli niliamua kumblock kwa wakati huo kwani alikuwa na usumbufu mkubwa.

Upande wa Afande Joel baada ya kuona nimekataa aliamua kumpigia mchepuko wake ambae ni boss wa mme wangu Cyborg kwa ajili ya kutuliza hamu zake.

Cyborg akiwa anaendelea na kazi pamoja na wafanyakazi wenzake walishangaa kuona boss wao akiwaambia wasitishe kile walichokuwa wakikifanya na wataendelea na kazi siku nyingine.

Cyborg aliondoka na alipofika nyumbani alinikuta nikiwa nimekaa chumbani.
"Mizagamuo imenitufanya leo tuondoke mapema kazini" Cyborg aliongea.
"Una maana gani!?"
"Boss wetu alipigiwa simu na mchepuko wake nakutuzuia tusiendelee na kazi"
"Huwezi jua huenda kunadharura ameipata na sio kama unavyofikiria wewe" nilimjibu sababu nilijua mda wote yeye anawaza mambo ya sex tu.
"Dharura wapi alikuwa akiwahi kwenye mizagamuo sababu nilimsikia akiuliza gest anayotakiwa kwenda na uhakika ni yule Afande Joel uliyewahi kuja nae hapa, ndiyo maana sitaki kukuona ukiwa na mazoea nae kabisa" Cyborg aliongea bira ata kunificha na mimi nilielewa huenda ni kutokana na mimi kukataa kufanya mapenzi na Afande Joel ndiyo sababu iliyomfanya ampigie simu mchepuko wake.

Wiki mbili zilipita na Afande Joel hakuwahi kunisumbua tena alikuwa akinisalimia kwa heshima pale tulipokuwa tukikutana.

Siku moja nikiwa kazini mfanyakazi wangu wa ndani alinipigia simu na kuniambia kuwa kuna mtu aliingia kwenye chumba chetu na alibahatika kumuona na alivyojaribu kupiga kelele za kuhitaji msaada wa kumkamata, mtu huyo alikimbia huku akiwa ameshika nguo kwenye mkono wake.

Baada ya kupewa taarifa hiyo sikuwa na hamu tena ya kuendelea kufanyakazi niliwaaga maafande wenzangu na kuondoka kurudi nyumbani. nilifika na kujaribu kuangalia kwenye chumba chetu nione kama kuna kitu chochote  kilichoibiwa ila sikubahatika kuona kitu chochote kile kilichoibiwa, kila kitu kilikuwa kwenye mpangilio wake.

Lawama zote nilizipeleka kwa mfanyakazi wangu kwa uzembe alioufanya wa kuacha mlango wazi na ata Cyborg aliporudi nae alishangaa kukutana na taarifa hizo.

Siku hiyo ilipita na siku nyingine iliyofata yakiwa ni majira ya usiku, nilikuwa nimelala na Cyborg mme wangu.
Nilibaki kushangaa siku hiyo kwani Cyborg alikuwa hawezi  kusimamisha mnala wake kitu ambacho hakikuwahi kumtokea.
"Malaika mbona haisimami!?" aliniuliza na mimi nilijaribu kumfanyia ufundi wa kila aina lakini wapi, ilikataa kabisa kusimama.
"Emu lala kwanza mme wangu upumzike huenda umechoka na kazi ndiyo maana haisimami"
Baada ya kumwambia Cyborg aliamua kulala.

Mida ya saa 8 usiku Cyborg alianza kunipapasa ili apandishe hisia zake kwa ajili ya sisi kuzagamuana, alifanya kila aina ya utundu lakini bado mpini wake ulikataa kusimama kabisa.
"Kuna mtu kaniloga Malaika hii sio kawaida yangu" Cyborg aliongea na mimi nilianza kuyaamini maneno yake sababu kwa nilivyokuwa nikimjua mida hiyo tungekuwa tumeshazagamuana mpaka basi.

Basi siku hiyo tulilala huku Cyborg akiwa anafikiria ni mtu gani aliyemfanyia huo mchezo mpaka ashindwe kusimamisha. ilipofika asubuhi Cyborg aliondoka na mimi mda wa kwenda kazini ulifika hivyo nilijiandaa na kuondoka.

Nilifika kazini siku hiyo na nilishangaa kumuona Afande Joel akiniangalia kila mara.
"Mmmh au huyu ndio kamloga mme wangu!?" nilijiwazia mwenyewe huku nikiendelea kumuangalia Afande Joel.

Nikiwa namtazama simu yangu iliweza kuita na mpigaji alikuwa ni Cyborg mwenyewe.
"Malaika njoo nyumbani sasa ivi"
Cyborg aliongea na kunifanya nishangae sababu ulikuwa ni mda wa kazi mda huo.
"Cyborg hujui kama nipo kazini sasa ivi!?"
Nilimuuliza ila Cyborg aliamua kunijibu " Najua na ndiyo maana nimekupigia simu uje" aniambia na mimi nilianza kuwaza nitumie njia gani ya kuweza kuondoka kwa ajili ya kwenda kuonana na Cyborg.

Sikutaka kumuaga mtu yoyote yule zaidi ya kuondoka na kurudi nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Cyborg akiwa chumbani huku ndani ya chumba chetu kukiwa na harufu ya bangi na ilionesha Cyborg ametoka kuvuta bangi mda sio mrefu.
"Cyborg umevuta bangi tena!?" nilimuuliza ila Cyborg yeye hakutaka kunijibu badala yake alivua nguo zake na kubaki uchi huku asikari wake akiwa kalala fofo na hakuwa na dalili ya kusimama kabisa.

"Ni kwa leo tu Malika naomba uiname kidogo nijaribishe nione kama itakubali kuamka" Cyborg aliongea huku akiushikashika mtalimbo wake.
"Yote sawa ndiyo mpaka uvute bangi tena kwenye chumba chetu kwani umesahau kama mimi ni asikari polisi!?" nilimuuliza lakini Cyborg hakutishika na maneno yangu kabisa.
"Malaika, kuna mda huwa nikivuta bangi basi stimu za kufanya mapenzi zinanipanda ndiyo maana nimeamua kuvuta ili nione kama sitimu zitapanda, emu inama kabra stimu hazijakata" aliongea na alipoona sitaki kufanya kile anachokitaka alinisogelea akiwa na harufu yake ya bangi na kuniinamisha kisha baada ya hapo alinivulisha kwa kuishusha chini nguo yangu pamoja na chupi na kitumbua changu kikawa kinaonekana. kazi ilibaki kwake sasa ya kuanza kunizagamua.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 27

PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

565
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

520
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

374
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

368
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

324
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘

199
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

156
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️

65
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

51
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

45

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 64💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kuondoka pale Hemed alinichekiiii 😪😪 kisha nayeye akaondoka akaniacha pale bila kuniongelesha chochote🫣 au ndo nimeachwa na wote☺️☺️ sa mbona hivi😎😎 aah haya mambo ya kumiliki njemba...

Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest