PENZI LA MHALIFU 27
TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.
TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.
Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.
Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo lazima tungeenda kufanya sex ila mimi nilichukua pesa nilizokuja nazo na kumkabizi kitu kilichomshangaza.
"Angel mbona umeamua kunirudishia pesa ina maana haupo tayari kufanya mapenzi na mimi!?"
"Sipo tayari na naomba iwe mwanzo na mwisho kuniambia habari ya sisi kufanya mapenzi, mwanzo nilitaka kujisahau tu ila sipo tayari kumsaliti mme wangu Cyborg" nilimwambia Afande Joel na hakuamimi kile nilichokiongea.
"Lakini tunafanya mara moja tu na nitahakikisha hamna mtu atakayejua kama tayari tumeshafanya mapenzi, tafadhali Angel naomba usinifanyie hivyo" Afande Joel alizidi kunibembeleza nikubali kuongozana nae ili tukafanye mapenzi lakini mimi nilizidi kuweka msimamo wangu.
Baadae niliamua kuondoka na kumuacha akiwa bado hamini kama nimeamua kumtolea nje.
Ile nafika nyumbani Afande Joel alinitumie ujumbe mrefu huku akijaribu kunibembeleza nikubali kwenda kufanya nae mapenzi. kiukweli niliamua kumblock kwa wakati huo kwani alikuwa na usumbufu mkubwa.
Upande wa Afande Joel baada ya kuona nimekataa aliamua kumpigia mchepuko wake ambae ni boss wa mme wangu Cyborg kwa ajili ya kutuliza hamu zake.
Cyborg akiwa anaendelea na kazi pamoja na wafanyakazi wenzake walishangaa kuona boss wao akiwaambia wasitishe kile walichokuwa wakikifanya na wataendelea na kazi siku nyingine.
Cyborg aliondoka na alipofika nyumbani alinikuta nikiwa nimekaa chumbani.
"Mizagamuo imenitufanya leo tuondoke mapema kazini" Cyborg aliongea.
"Una maana gani!?"
"Boss wetu alipigiwa simu na mchepuko wake nakutuzuia tusiendelee na kazi"
"Huwezi jua huenda kunadharura ameipata na sio kama unavyofikiria wewe" nilimjibu sababu nilijua mda wote yeye anawaza mambo ya sex tu.
"Dharura wapi alikuwa akiwahi kwenye mizagamuo sababu nilimsikia akiuliza gest anayotakiwa kwenda na uhakika ni yule Afande Joel uliyewahi kuja nae hapa, ndiyo maana sitaki kukuona ukiwa na mazoea nae kabisa" Cyborg aliongea bira ata kunificha na mimi nilielewa huenda ni kutokana na mimi kukataa kufanya mapenzi na Afande Joel ndiyo sababu iliyomfanya ampigie simu mchepuko wake.
Wiki mbili zilipita na Afande Joel hakuwahi kunisumbua tena alikuwa akinisalimia kwa heshima pale tulipokuwa tukikutana.
Siku moja nikiwa kazini mfanyakazi wangu wa ndani alinipigia simu na kuniambia kuwa kuna mtu aliingia kwenye chumba chetu na alibahatika kumuona na alivyojaribu kupiga kelele za kuhitaji msaada wa kumkamata, mtu huyo alikimbia huku akiwa ameshika nguo kwenye mkono wake.
Baada ya kupewa taarifa hiyo sikuwa na hamu tena ya kuendelea kufanyakazi niliwaaga maafande wenzangu na kuondoka kurudi nyumbani. nilifika na kujaribu kuangalia kwenye chumba chetu nione kama kuna kitu chochote kilichoibiwa ila sikubahatika kuona kitu chochote kile kilichoibiwa, kila kitu kilikuwa kwenye mpangilio wake.
Lawama zote nilizipeleka kwa mfanyakazi wangu kwa uzembe alioufanya wa kuacha mlango wazi na ata Cyborg aliporudi nae alishangaa kukutana na taarifa hizo.
Siku hiyo ilipita na siku nyingine iliyofata yakiwa ni majira ya usiku, nilikuwa nimelala na Cyborg mme wangu.
Nilibaki kushangaa siku hiyo kwani Cyborg alikuwa hawezi kusimamisha mnala wake kitu ambacho hakikuwahi kumtokea.
"Malaika mbona haisimami!?" aliniuliza na mimi nilijaribu kumfanyia ufundi wa kila aina lakini wapi, ilikataa kabisa kusimama.
"Emu lala kwanza mme wangu upumzike huenda umechoka na kazi ndiyo maana haisimami"
Baada ya kumwambia Cyborg aliamua kulala.
Mida ya saa 8 usiku Cyborg alianza kunipapasa ili apandishe hisia zake kwa ajili ya sisi kuzagamuana, alifanya kila aina ya utundu lakini bado mpini wake ulikataa kusimama kabisa.
"Kuna mtu kaniloga Malaika hii sio kawaida yangu" Cyborg aliongea na mimi nilianza kuyaamini maneno yake sababu kwa nilivyokuwa nikimjua mida hiyo tungekuwa tumeshazagamuana mpaka basi.
Basi siku hiyo tulilala huku Cyborg akiwa anafikiria ni mtu gani aliyemfanyia huo mchezo mpaka ashindwe kusimamisha. ilipofika asubuhi Cyborg aliondoka na mimi mda wa kwenda kazini ulifika hivyo nilijiandaa na kuondoka.
Nilifika kazini siku hiyo na nilishangaa kumuona Afande Joel akiniangalia kila mara.
"Mmmh au huyu ndio kamloga mme wangu!?" nilijiwazia mwenyewe huku nikiendelea kumuangalia Afande Joel.
Nikiwa namtazama simu yangu iliweza kuita na mpigaji alikuwa ni Cyborg mwenyewe.
"Malaika njoo nyumbani sasa ivi"
Cyborg aliongea na kunifanya nishangae sababu ulikuwa ni mda wa kazi mda huo.
"Cyborg hujui kama nipo kazini sasa ivi!?"
Nilimuuliza ila Cyborg aliamua kunijibu " Najua na ndiyo maana nimekupigia simu uje" aniambia na mimi nilianza kuwaza nitumie njia gani ya kuweza kuondoka kwa ajili ya kwenda kuonana na Cyborg.
Sikutaka kumuaga mtu yoyote yule zaidi ya kuondoka na kurudi nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Cyborg akiwa chumbani huku ndani ya chumba chetu kukiwa na harufu ya bangi na ilionesha Cyborg ametoka kuvuta bangi mda sio mrefu.
"Cyborg umevuta bangi tena!?" nilimuuliza ila Cyborg yeye hakutaka kunijibu badala yake alivua nguo zake na kubaki uchi huku asikari wake akiwa kalala fofo na hakuwa na dalili ya kusimama kabisa.
"Ni kwa leo tu Malika naomba uiname kidogo nijaribishe nione kama itakubali kuamka" Cyborg aliongea huku akiushikashika mtalimbo wake.
"Yote sawa ndiyo mpaka uvute bangi tena kwenye chumba chetu kwani umesahau kama mimi ni asikari polisi!?" nilimuuliza lakini Cyborg hakutishika na maneno yangu kabisa.
"Malaika, kuna mda huwa nikivuta bangi basi stimu za kufanya mapenzi zinanipanda ndiyo maana nimeamua kuvuta ili nione kama sitimu zitapanda, emu inama kabra stimu hazijakata" aliongea na alipoona sitaki kufanya kile anachokitaka alinisogelea akiwa na harufu yake ya bangi na kuniinamisha kisha baada ya hapo alinivulisha kwa kuishusha chini nguo yangu pamoja na chupi na kitumbua changu kikawa kinaonekana. kazi ilibaki kwake sasa ya kuanza kunizagamua.....ITAENDELEA..