Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 27
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 27

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo lazima tungeenda kufanya sex ila mimi nilichukua pesa nilizokuja nazo na kumkabizi kitu kilichomshangaza.
"Angel mbona umeamua kunirudishia pesa ina maana haupo tayari kufanya mapenzi na mimi!?"
"Sipo tayari na naomba iwe mwanzo na mwisho kuniambia habari ya sisi kufanya mapenzi, mwanzo nilitaka kujisahau tu ila sipo tayari kumsaliti mme wangu Cyborg" nilimwambia Afande Joel na hakuamimi kile nilichokiongea.
"Lakini tunafanya mara moja tu na nitahakikisha hamna mtu atakayejua kama tayari tumeshafanya mapenzi, tafadhali Angel naomba usinifanyie hivyo" Afande Joel alizidi kunibembeleza nikubali kuongozana nae ili tukafanye mapenzi lakini mimi nilizidi kuweka msimamo wangu.

Baadae niliamua kuondoka na kumuacha akiwa bado hamini kama nimeamua kumtolea nje.

Ile nafika nyumbani Afande Joel alinitumie ujumbe mrefu huku akijaribu kunibembeleza nikubali kwenda kufanya nae mapenzi. kiukweli niliamua kumblock kwa wakati huo kwani alikuwa na usumbufu mkubwa.

Upande wa Afande Joel baada ya kuona nimekataa aliamua kumpigia mchepuko wake ambae ni boss wa mme wangu Cyborg kwa ajili ya kutuliza hamu zake.

Cyborg akiwa anaendelea na kazi pamoja na wafanyakazi wenzake walishangaa kuona boss wao akiwaambia wasitishe kile walichokuwa wakikifanya na wataendelea na kazi siku nyingine.

Cyborg aliondoka na alipofika nyumbani alinikuta nikiwa nimekaa chumbani.
"Mizagamuo imenitufanya leo tuondoke mapema kazini" Cyborg aliongea.
"Una maana gani!?"
"Boss wetu alipigiwa simu na mchepuko wake nakutuzuia tusiendelee na kazi"
"Huwezi jua huenda kunadharura ameipata na sio kama unavyofikiria wewe" nilimjibu sababu nilijua mda wote yeye anawaza mambo ya sex tu.
"Dharura wapi alikuwa akiwahi kwenye mizagamuo sababu nilimsikia akiuliza gest anayotakiwa kwenda na uhakika ni yule Afande Joel uliyewahi kuja nae hapa, ndiyo maana sitaki kukuona ukiwa na mazoea nae kabisa" Cyborg aliongea bira ata kunificha na mimi nilielewa huenda ni kutokana na mimi kukataa kufanya mapenzi na Afande Joel ndiyo sababu iliyomfanya ampigie simu mchepuko wake.

Wiki mbili zilipita na Afande Joel hakuwahi kunisumbua tena alikuwa akinisalimia kwa heshima pale tulipokuwa tukikutana.

Siku moja nikiwa kazini mfanyakazi wangu wa ndani alinipigia simu na kuniambia kuwa kuna mtu aliingia kwenye chumba chetu na alibahatika kumuona na alivyojaribu kupiga kelele za kuhitaji msaada wa kumkamata, mtu huyo alikimbia huku akiwa ameshika nguo kwenye mkono wake.

Baada ya kupewa taarifa hiyo sikuwa na hamu tena ya kuendelea kufanyakazi niliwaaga maafande wenzangu na kuondoka kurudi nyumbani. nilifika na kujaribu kuangalia kwenye chumba chetu nione kama kuna kitu chochote  kilichoibiwa ila sikubahatika kuona kitu chochote kile kilichoibiwa, kila kitu kilikuwa kwenye mpangilio wake.

Lawama zote nilizipeleka kwa mfanyakazi wangu kwa uzembe alioufanya wa kuacha mlango wazi na ata Cyborg aliporudi nae alishangaa kukutana na taarifa hizo.

Siku hiyo ilipita na siku nyingine iliyofata yakiwa ni majira ya usiku, nilikuwa nimelala na Cyborg mme wangu.
Nilibaki kushangaa siku hiyo kwani Cyborg alikuwa hawezi  kusimamisha mnala wake kitu ambacho hakikuwahi kumtokea.
"Malaika mbona haisimami!?" aliniuliza na mimi nilijaribu kumfanyia ufundi wa kila aina lakini wapi, ilikataa kabisa kusimama.
"Emu lala kwanza mme wangu upumzike huenda umechoka na kazi ndiyo maana haisimami"
Baada ya kumwambia Cyborg aliamua kulala.

Mida ya saa 8 usiku Cyborg alianza kunipapasa ili apandishe hisia zake kwa ajili ya sisi kuzagamuana, alifanya kila aina ya utundu lakini bado mpini wake ulikataa kusimama kabisa.
"Kuna mtu kaniloga Malaika hii sio kawaida yangu" Cyborg aliongea na mimi nilianza kuyaamini maneno yake sababu kwa nilivyokuwa nikimjua mida hiyo tungekuwa tumeshazagamuana mpaka basi.

Basi siku hiyo tulilala huku Cyborg akiwa anafikiria ni mtu gani aliyemfanyia huo mchezo mpaka ashindwe kusimamisha. ilipofika asubuhi Cyborg aliondoka na mimi mda wa kwenda kazini ulifika hivyo nilijiandaa na kuondoka.

Nilifika kazini siku hiyo na nilishangaa kumuona Afande Joel akiniangalia kila mara.
"Mmmh au huyu ndio kamloga mme wangu!?" nilijiwazia mwenyewe huku nikiendelea kumuangalia Afande Joel.

Nikiwa namtazama simu yangu iliweza kuita na mpigaji alikuwa ni Cyborg mwenyewe.
"Malaika njoo nyumbani sasa ivi"
Cyborg aliongea na kunifanya nishangae sababu ulikuwa ni mda wa kazi mda huo.
"Cyborg hujui kama nipo kazini sasa ivi!?"
Nilimuuliza ila Cyborg aliamua kunijibu " Najua na ndiyo maana nimekupigia simu uje" aniambia na mimi nilianza kuwaza nitumie njia gani ya kuweza kuondoka kwa ajili ya kwenda kuonana na Cyborg.

Sikutaka kumuaga mtu yoyote yule zaidi ya kuondoka na kurudi nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Cyborg akiwa chumbani huku ndani ya chumba chetu kukiwa na harufu ya bangi na ilionesha Cyborg ametoka kuvuta bangi mda sio mrefu.
"Cyborg umevuta bangi tena!?" nilimuuliza ila Cyborg yeye hakutaka kunijibu badala yake alivua nguo zake na kubaki uchi huku asikari wake akiwa kalala fofo na hakuwa na dalili ya kusimama kabisa.

"Ni kwa leo tu Malika naomba uiname kidogo nijaribishe nione kama itakubali kuamka" Cyborg aliongea huku akiushikashika mtalimbo wake.
"Yote sawa ndiyo mpaka uvute bangi tena kwenye chumba chetu kwani umesahau kama mimi ni asikari polisi!?" nilimuuliza lakini Cyborg hakutishika na maneno yangu kabisa.
"Malaika, kuna mda huwa nikivuta bangi basi stimu za kufanya mapenzi zinanipanda ndiyo maana nimeamua kuvuta ili nione kama sitimu zitapanda, emu inama kabra stimu hazijakata" aliongea na alipoona sitaki kufanya kile anachokitaka alinisogelea akiwa na harufu yake ya bangi na kuniinamisha kisha baada ya hapo alinivulisha kwa kuishusha chini nguo yangu pamoja na chupi na kitumbua changu kikawa kinaonekana. kazi ilibaki kwake sasa ya kuanza kunizagamua.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 27

PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

1K
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

195
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

191
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

147
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

141
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

131
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest