Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 27
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 27

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo lazima tungeenda kufanya sex ila mimi nilichukua pesa nilizokuja nazo na kumkabizi kitu kilichomshangaza.
"Angel mbona umeamua kunirudishia pesa ina maana haupo tayari kufanya mapenzi na mimi!?"
"Sipo tayari na naomba iwe mwanzo na mwisho kuniambia habari ya sisi kufanya mapenzi, mwanzo nilitaka kujisahau tu ila sipo tayari kumsaliti mme wangu Cyborg" nilimwambia Afande Joel na hakuamimi kile nilichokiongea.
"Lakini tunafanya mara moja tu na nitahakikisha hamna mtu atakayejua kama tayari tumeshafanya mapenzi, tafadhali Angel naomba usinifanyie hivyo" Afande Joel alizidi kunibembeleza nikubali kuongozana nae ili tukafanye mapenzi lakini mimi nilizidi kuweka msimamo wangu.

Baadae niliamua kuondoka na kumuacha akiwa bado hamini kama nimeamua kumtolea nje.

Ile nafika nyumbani Afande Joel alinitumie ujumbe mrefu huku akijaribu kunibembeleza nikubali kwenda kufanya nae mapenzi. kiukweli niliamua kumblock kwa wakati huo kwani alikuwa na usumbufu mkubwa.

Upande wa Afande Joel baada ya kuona nimekataa aliamua kumpigia mchepuko wake ambae ni boss wa mme wangu Cyborg kwa ajili ya kutuliza hamu zake.

Cyborg akiwa anaendelea na kazi pamoja na wafanyakazi wenzake walishangaa kuona boss wao akiwaambia wasitishe kile walichokuwa wakikifanya na wataendelea na kazi siku nyingine.

Cyborg aliondoka na alipofika nyumbani alinikuta nikiwa nimekaa chumbani.
"Mizagamuo imenitufanya leo tuondoke mapema kazini" Cyborg aliongea.
"Una maana gani!?"
"Boss wetu alipigiwa simu na mchepuko wake nakutuzuia tusiendelee na kazi"
"Huwezi jua huenda kunadharura ameipata na sio kama unavyofikiria wewe" nilimjibu sababu nilijua mda wote yeye anawaza mambo ya sex tu.
"Dharura wapi alikuwa akiwahi kwenye mizagamuo sababu nilimsikia akiuliza gest anayotakiwa kwenda na uhakika ni yule Afande Joel uliyewahi kuja nae hapa, ndiyo maana sitaki kukuona ukiwa na mazoea nae kabisa" Cyborg aliongea bira ata kunificha na mimi nilielewa huenda ni kutokana na mimi kukataa kufanya mapenzi na Afande Joel ndiyo sababu iliyomfanya ampigie simu mchepuko wake.

Wiki mbili zilipita na Afande Joel hakuwahi kunisumbua tena alikuwa akinisalimia kwa heshima pale tulipokuwa tukikutana.

Siku moja nikiwa kazini mfanyakazi wangu wa ndani alinipigia simu na kuniambia kuwa kuna mtu aliingia kwenye chumba chetu na alibahatika kumuona na alivyojaribu kupiga kelele za kuhitaji msaada wa kumkamata, mtu huyo alikimbia huku akiwa ameshika nguo kwenye mkono wake.

Baada ya kupewa taarifa hiyo sikuwa na hamu tena ya kuendelea kufanyakazi niliwaaga maafande wenzangu na kuondoka kurudi nyumbani. nilifika na kujaribu kuangalia kwenye chumba chetu nione kama kuna kitu chochote  kilichoibiwa ila sikubahatika kuona kitu chochote kile kilichoibiwa, kila kitu kilikuwa kwenye mpangilio wake.

Lawama zote nilizipeleka kwa mfanyakazi wangu kwa uzembe alioufanya wa kuacha mlango wazi na ata Cyborg aliporudi nae alishangaa kukutana na taarifa hizo.

Siku hiyo ilipita na siku nyingine iliyofata yakiwa ni majira ya usiku, nilikuwa nimelala na Cyborg mme wangu.
Nilibaki kushangaa siku hiyo kwani Cyborg alikuwa hawezi  kusimamisha mnala wake kitu ambacho hakikuwahi kumtokea.
"Malaika mbona haisimami!?" aliniuliza na mimi nilijaribu kumfanyia ufundi wa kila aina lakini wapi, ilikataa kabisa kusimama.
"Emu lala kwanza mme wangu upumzike huenda umechoka na kazi ndiyo maana haisimami"
Baada ya kumwambia Cyborg aliamua kulala.

Mida ya saa 8 usiku Cyborg alianza kunipapasa ili apandishe hisia zake kwa ajili ya sisi kuzagamuana, alifanya kila aina ya utundu lakini bado mpini wake ulikataa kusimama kabisa.
"Kuna mtu kaniloga Malaika hii sio kawaida yangu" Cyborg aliongea na mimi nilianza kuyaamini maneno yake sababu kwa nilivyokuwa nikimjua mida hiyo tungekuwa tumeshazagamuana mpaka basi.

Basi siku hiyo tulilala huku Cyborg akiwa anafikiria ni mtu gani aliyemfanyia huo mchezo mpaka ashindwe kusimamisha. ilipofika asubuhi Cyborg aliondoka na mimi mda wa kwenda kazini ulifika hivyo nilijiandaa na kuondoka.

Nilifika kazini siku hiyo na nilishangaa kumuona Afande Joel akiniangalia kila mara.
"Mmmh au huyu ndio kamloga mme wangu!?" nilijiwazia mwenyewe huku nikiendelea kumuangalia Afande Joel.

Nikiwa namtazama simu yangu iliweza kuita na mpigaji alikuwa ni Cyborg mwenyewe.
"Malaika njoo nyumbani sasa ivi"
Cyborg aliongea na kunifanya nishangae sababu ulikuwa ni mda wa kazi mda huo.
"Cyborg hujui kama nipo kazini sasa ivi!?"
Nilimuuliza ila Cyborg aliamua kunijibu " Najua na ndiyo maana nimekupigia simu uje" aniambia na mimi nilianza kuwaza nitumie njia gani ya kuweza kuondoka kwa ajili ya kwenda kuonana na Cyborg.

Sikutaka kumuaga mtu yoyote yule zaidi ya kuondoka na kurudi nyumbani kwangu na nilipofika nilimkuta Cyborg akiwa chumbani huku ndani ya chumba chetu kukiwa na harufu ya bangi na ilionesha Cyborg ametoka kuvuta bangi mda sio mrefu.
"Cyborg umevuta bangi tena!?" nilimuuliza ila Cyborg yeye hakutaka kunijibu badala yake alivua nguo zake na kubaki uchi huku asikari wake akiwa kalala fofo na hakuwa na dalili ya kusimama kabisa.

"Ni kwa leo tu Malika naomba uiname kidogo nijaribishe nione kama itakubali kuamka" Cyborg aliongea huku akiushikashika mtalimbo wake.
"Yote sawa ndiyo mpaka uvute bangi tena kwenye chumba chetu kwani umesahau kama mimi ni asikari polisi!?" nilimuuliza lakini Cyborg hakutishika na maneno yangu kabisa.
"Malaika, kuna mda huwa nikivuta bangi basi stimu za kufanya mapenzi zinanipanda ndiyo maana nimeamua kuvuta ili nione kama sitimu zitapanda, emu inama kabra stimu hazijakata" aliongea na alipoona sitaki kufanya kile anachokitaka alinisogelea akiwa na harufu yake ya bangi na kuniinamisha kisha baada ya hapo alinivulisha kwa kuishusha chini nguo yangu pamoja na chupi na kitumbua changu kikawa kinaonekana. kazi ilibaki kwake sasa ya kuanza kunizagamua.....ITAENDELEA.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 27

PENZI LA MHALIFU 27

TULIPOISHIA.....
Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi ya kwenda kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

TUENDELEE......
Basi niliamua kufikiria ni wapi tulipotoka mimi pamoja na Cyborg wangu hivyo niliona nitakuwa namkosea kama nitaamua kumsaliti.
Nilichukua pesa alizonipatia Afande Joel na kwenda nazo kwenye gest aliyonielekeza.

Nilivyofika sikutaka kuingia ndani ya gest bali nilichukua simu yangu nakumpigia.

Nilimwambia aje tuonane nje ya gest na Afande Joel alikuja huku akiwa na furaha sababu alikuwa na uhakika siku hiyo...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-27

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

434
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

410
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

296
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest