Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 02
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"
"Mbona sijawahi kumuona akiuza bangi na ata hivyo hatuwezi kwenda kumkamata mtu bira kuwa na ruhusa kutoka kwa mkuu" niliongea na nilipingana na kile alichoniambia Afande Davi.

Afande Davi aliamua kwenda kuongea mwenyewe na mkuu ili wakafanye msako nyumbani kwangu waone kama watabahatika kuona bangi ndani. mkuu aliwaruhusu na mimi niliamua kuongozana nao mpaka nyumbani. Tuliweza kumkuta mme wangu Cyborg akiwa kambeba mtoto wetu.

Cyborg hakushituka alivyotuona kwani alijua wale ni maafande wenzangu ila alikunja sura yake baada ya kumuona Afande Davi.

Cyborg alimuweka mtoto chini nakunisogelea na alipotazama mkono wangu aliona sehemu niliyokuwa nimefunga jeraha langu.
"Malaika nani kakuumiza mkono wako nikakate shingo yake sasa ivi!?"
Cyborg aliongea bira kujali kama nimekuja na asikari wenzangu.
"Hayo mahaba yenu mtaonyeshana baadae tumekuja kufanya ukaguzi humu ndani tuone kama tutapata bangi unazowauzia watu"
"Bangi!!, humu ndani nani kawaambia kuwa kuna bangi!?" Cyborg aliwauliza na mimi nilimwambia awaache wakague waone kama watazipata bangi.

Cyborg alitaka kukichafua kwani macho yake yalibadilika na kuwa kama mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

Afande Davi aliingia ndani pamoja na afande wengine tuliokuja nao na mimi ilibidi niwafate. walikagua kila sehemu na hawakuweza kuona bangi yoyote ile ndani.

Afande Davi alifungua droo ninayotunzia chupi zangu nakuanza kukagua chupi moja baada ya nyingine.
"Afande mpaka huko!?"
Mwenzetu aliongea mda huo mimi nilikuwa kimya.
"Mtu akishaolewa na jambazi na yeye anaweza kuwa jambazi mda wowote ule" Afande Davi aliongea huku akiendelea kukagua chupi zangu na aliweza kushika moja ya chupi iliyokuwa imeanza kuisha kwani ilikuwa imechanika.
"Mpaka chupi anashindwa kukununulia" Afande Davi aliongea na mimi niliona anataka kunizoea.

"Naomba tuheshimiane afande!, Cyborg ni mme wangu na ananitia mimi wewe kinachokuuma ni nini!?" nilimuuliza sababu nilijua kinachomusumbua ni wivu wa mimi kuolewa na Cyborg.

Sauti yangu ilimfikia mme wangu aliyekuwa nje na aliamua kuingia ndani na kukuta chupi zangu zimetupwa tupwa hovyo na Afande Davi.
"Yani unashika kabisa chupi za mke wangu wewe malaya!?" mbele ya asikari wenzangu Cyborg alimfata Afande Davi nakuanza kumpiga bira kujali uwepo wetu sisi.

Licha ya mafunzo aliyoyapitia Afande Davi ila hakuwa na uwezo wa kupigana na mme wangu hivyo maafande wenzangu waliingilia na kuwatuliza baada ya kuona Afande Davi kazidiwa.

Kutokana na mme wangu kupigana na asikari walimchukua nakumpeleka kituoni na alipofikishwa alianza kuongea maneno ya kila aina.
"Huyo mjinga mleteni hapa nimfunze adabu haiwezekani ashika chupi za mke wangu" ilikuwa ni aibu kwangu kwa maneno aliyokuwa akiongea mme wangu.

Mkuu wetu wa kazi aliniita baada ya kusikia maneno aliyokuwa akizungumza Cyborg na mimi nilimweleza kila kitu kilichotokea na sikutaka kumficha.

Nilimwambia jinsi Afande Davi alivyokuwa akihitaji niwe mpenzi wake na yote yaliyotokea nyumbani kwangu, kwakuwa mkuu wangu alikuwa akiniheshimu alitoa ruhusa ya Cyborg kuachiwa na mimi nilimchukua mme wangu nakurudi nae nyumbani.

Tukiwa njiani Cyborg aliniuliza.
"Malaika ina maana na wewe ulikuwa unaamini  kuwa kuna bangi ndani ya nyumba yetu?"
"Hapana mme wangu kuna mtu alituambia kuwa umemuuzia bangi"
"Mimi huyu niuze bangi!? huwa nabust tu nikiwa na hamu ila sio kuuza bangi"
Cyborg aliongea na alishangazwa na kile nilichomwambia.

Nilimsimulia kila kitu kilichotokea kuanzia pale tulipopewa kazi na mkuu wetu ya kwenda kukamata wavuta bangi mpaka mimi kupata jeraha kwenye mkono wangu.
"Niambie ni nani huyo aliyekusababishia jeraha kwenye mkono wako nikamfunze adabu sasa ivi, yani mwanamke unayenipa utamu kwenye mizagamuo alafu anatokea mpuuzi na kukuumiza!?" alizungumza huku akiwa na hasira na mimi nilijua ananipenda sana na yupo tayari kufanya chochote kile kwa ajili yangu hivyo niliamua kumtuliza.
"Uliniambia umebadilika kitabia mme wangu kumbe bado upo kama mwanzo?"

Licha ya mimi kuongea vile ila Cyborg alisema "Nikweli nimebadilika ila mtu yoyote atakayekugusa lazima nimfunze adabu na bado afande mwenzako nae nitamfunza adabu haiwezekani ashike chupi zako, kitendo cha yeye kushika chupi zako ni kama amekutia mke wangu"

Kiukweli nilikuwa nikijivunia jinsi Cyborg alivyokuwa akinipenda na kunijali, alikuwa tayari kufanya chochote kile kwa mtu yoyote yule atakaye jaribu kunisogelea na kunikosea. Cyborg aliamini hamna mwanaume mwingine mwenye haki ya kunisogelea zaidi yake........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 02

PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘

447
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43

371
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

338
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

321
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

204
REAL LOVE  Chapter 14

REAL LOVE Chapter 14

169
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

121
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09

50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.15K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.89K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47
@majario LIVE

Aseeeee nililudi mpka kwangu. Uko njiani ni fatuma tu ndo ambae ananipigia kweli kweli . Mi.wala sikuangaika nae na nilipoona usumbufu umezidi . Nikablock namba yake . Baada ya kufika...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘
@majario LIVE

""Nini hii🤨🤨?"" ""Aliniuliza paschal baada ya kumpatia zile barua"" ""Fungua usome😏😏"" ""Nilimjibu kwa kumnyali"" ""Pendo umewaza nini hadi kwenda kufungua madai ya talaka mahakamani🤨🤨"" ""Ulitaka niwaze nini Mr paschal 😝😝"" ""Kwa hiyo huyu mshenzi ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 09
@majario LIVE

SONGA NAYO.................. Haraka nilijilaza na kujifanya nimelala, aunt Vero ambae ndo alifungua mlango aliingia na kufika anasimama bila kuongea wala kufanya kitu akaniangaliaa karibu dakika tatu. Kinyonge akashusha pumzi na kuondoka ,...

REAL LOVE  Chapter 15 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 15
@majario LIVE

"unafanya nini wewe unataka kujiua" alisema fahima kwa uchungu *ndio tena uniue wewe ambaye hunipendi si nakukera sana niue nipo hapa" alisema seven. sikia mimi kukuua siwezi na kuishi hapa sitaki alisem...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Mama aksema nini iki nasikia . Ni nn unaongea haji. Nikasema mam mimi uyu mwanamke kanifanyia mambo mengi mazuri ila kwa hili hapna. Mda wote nalea mtoto kwa upendo na...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘  N0 61💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 61💘💘
@majario LIVE

Baada ya paschal kunifungia kule chumbani mwenzenu ata sikuumia😁😁 nilifurahi namimi nimepata kitu cha kumnyong'onyesha paschal..... baada ya kumfukuza lia paschal alikuja kule chumbani alikonifungia mie nilikuwa zangu nimesimama dirishani...

REAL LOVE  Chapter 14 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 14
@majario LIVE

John allikasirika kwelikweli alimuangalia devi kwa hasira sana kisha akamuangalia mwanasheria kwa hasira sana alijiuliza uyo ni mwanasheria wa seven imekuwaje kawa hapa na kafata nini "devi umefuata nini hapa alisema...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 43
@majario LIVE

Daktari akanmbia tulia haji. Ulipata ajari mbaya sana. Ila.unaendelea vizuri umepata michubuo sehemu chache tulia asee umeumia maeneo ya kiuno ila itachukua mwez tu utarecover kbisa so kuwa na...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 08
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Mama mtu kuona nimesimama tu akaniongelesha kwa hasira "we mpuuzi mbona umesimama kama sanamu embu toa vitu kwenye gari haraka" Niliitikia sawa na kufungua buti nikaanza kushusha mizigo wao wakaingia...

MIMI SIKUACHI🥰*  *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 41* Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
@majario LIVE

Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo mana nimekutafuta mnoo. Ili tuje kuliongelea ili suala. Na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 59...60💘💘
@majario LIVE

0742133100 Baada ya hemed kupata likizo tulisafiri kuelekea ufaransa kwa ajiri ya kwenda kumchukua mtoto wangu nice, mom Elizabeth alimkatalia nice 🤣🤣 hata mimi hawakutaka niondoke kwenye familia yao😄😄Tristan ndo...

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 07
@majario LIVE

SONGA NAYO................. Taratibu nilifuta machozi na kuinuka nikatoa vyombo na kuendelea na ratiba zingine, sasa wakati nikiwa bize na kazi Alvin akaja na kusimama pembeni yangu. Sikutaka kumsemesha ndo kwanza nikawa bize...

MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
@majario LIVE

Nklimuangalia uyu mwanaume kwa hasira kisha nikamuuliza kwamba una maanisha nn wewe. Kwambia mm nikuache u.nifanye nyuma uniharibu. Akannbia sikia nikwambia mama. Kwani nani atajua kuwa mm na wewe tumefanya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 93 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 93
@majario LIVE

Basi jioni tu ya siku iyo iyo bibi mie nikaruhusiwa. Nyieee ilikuwa shereehee. Yani uyo zayd ni furaha mdaaaa wote . Ni kufurahi tu .mda wote kamshika mwanae anambembeleza mtoto...

*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *FINAL SEASON* *91-92*
@majario LIVE

Basi bwana .mie nikawa busy na maisha yangu. Ile namba za yusta nilisave ila wwala hatukuwa na ushost tena. Na kama baada ya mwez niliona status yusta kapost kaolewa na...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest