Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 02
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"
"Mbona sijawahi kumuona akiuza bangi na ata hivyo hatuwezi kwenda kumkamata mtu bira kuwa na ruhusa kutoka kwa mkuu" niliongea na nilipingana na kile alichoniambia Afande Davi.

Afande Davi aliamua kwenda kuongea mwenyewe na mkuu ili wakafanye msako nyumbani kwangu waone kama watabahatika kuona bangi ndani. mkuu aliwaruhusu na mimi niliamua kuongozana nao mpaka nyumbani. Tuliweza kumkuta mme wangu Cyborg akiwa kambeba mtoto wetu.

Cyborg hakushituka alivyotuona kwani alijua wale ni maafande wenzangu ila alikunja sura yake baada ya kumuona Afande Davi.

Cyborg alimuweka mtoto chini nakunisogelea na alipotazama mkono wangu aliona sehemu niliyokuwa nimefunga jeraha langu.
"Malaika nani kakuumiza mkono wako nikakate shingo yake sasa ivi!?"
Cyborg aliongea bira kujali kama nimekuja na asikari wenzangu.
"Hayo mahaba yenu mtaonyeshana baadae tumekuja kufanya ukaguzi humu ndani tuone kama tutapata bangi unazowauzia watu"
"Bangi!!, humu ndani nani kawaambia kuwa kuna bangi!?" Cyborg aliwauliza na mimi nilimwambia awaache wakague waone kama watazipata bangi.

Cyborg alitaka kukichafua kwani macho yake yalibadilika na kuwa kama mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

Afande Davi aliingia ndani pamoja na afande wengine tuliokuja nao na mimi ilibidi niwafate. walikagua kila sehemu na hawakuweza kuona bangi yoyote ile ndani.

Afande Davi alifungua droo ninayotunzia chupi zangu nakuanza kukagua chupi moja baada ya nyingine.
"Afande mpaka huko!?"
Mwenzetu aliongea mda huo mimi nilikuwa kimya.
"Mtu akishaolewa na jambazi na yeye anaweza kuwa jambazi mda wowote ule" Afande Davi aliongea huku akiendelea kukagua chupi zangu na aliweza kushika moja ya chupi iliyokuwa imeanza kuisha kwani ilikuwa imechanika.
"Mpaka chupi anashindwa kukununulia" Afande Davi aliongea na mimi niliona anataka kunizoea.

"Naomba tuheshimiane afande!, Cyborg ni mme wangu na ananitia mimi wewe kinachokuuma ni nini!?" nilimuuliza sababu nilijua kinachomusumbua ni wivu wa mimi kuolewa na Cyborg.

Sauti yangu ilimfikia mme wangu aliyekuwa nje na aliamua kuingia ndani na kukuta chupi zangu zimetupwa tupwa hovyo na Afande Davi.
"Yani unashika kabisa chupi za mke wangu wewe malaya!?" mbele ya asikari wenzangu Cyborg alimfata Afande Davi nakuanza kumpiga bira kujali uwepo wetu sisi.

Licha ya mafunzo aliyoyapitia Afande Davi ila hakuwa na uwezo wa kupigana na mme wangu hivyo maafande wenzangu waliingilia na kuwatuliza baada ya kuona Afande Davi kazidiwa.

Kutokana na mme wangu kupigana na asikari walimchukua nakumpeleka kituoni na alipofikishwa alianza kuongea maneno ya kila aina.
"Huyo mjinga mleteni hapa nimfunze adabu haiwezekani ashika chupi za mke wangu" ilikuwa ni aibu kwangu kwa maneno aliyokuwa akiongea mme wangu.

Mkuu wetu wa kazi aliniita baada ya kusikia maneno aliyokuwa akizungumza Cyborg na mimi nilimweleza kila kitu kilichotokea na sikutaka kumficha.

Nilimwambia jinsi Afande Davi alivyokuwa akihitaji niwe mpenzi wake na yote yaliyotokea nyumbani kwangu, kwakuwa mkuu wangu alikuwa akiniheshimu alitoa ruhusa ya Cyborg kuachiwa na mimi nilimchukua mme wangu nakurudi nae nyumbani.

Tukiwa njiani Cyborg aliniuliza.
"Malaika ina maana na wewe ulikuwa unaamini  kuwa kuna bangi ndani ya nyumba yetu?"
"Hapana mme wangu kuna mtu alituambia kuwa umemuuzia bangi"
"Mimi huyu niuze bangi!? huwa nabust tu nikiwa na hamu ila sio kuuza bangi"
Cyborg aliongea na alishangazwa na kile nilichomwambia.

Nilimsimulia kila kitu kilichotokea kuanzia pale tulipopewa kazi na mkuu wetu ya kwenda kukamata wavuta bangi mpaka mimi kupata jeraha kwenye mkono wangu.
"Niambie ni nani huyo aliyekusababishia jeraha kwenye mkono wako nikamfunze adabu sasa ivi, yani mwanamke unayenipa utamu kwenye mizagamuo alafu anatokea mpuuzi na kukuumiza!?" alizungumza huku akiwa na hasira na mimi nilijua ananipenda sana na yupo tayari kufanya chochote kile kwa ajili yangu hivyo niliamua kumtuliza.
"Uliniambia umebadilika kitabia mme wangu kumbe bado upo kama mwanzo?"

Licha ya mimi kuongea vile ila Cyborg alisema "Nikweli nimebadilika ila mtu yoyote atakayekugusa lazima nimfunze adabu na bado afande mwenzako nae nitamfunza adabu haiwezekani ashike chupi zako, kitendo cha yeye kushika chupi zako ni kama amekutia mke wangu"

Kiukweli nilikuwa nikijivunia jinsi Cyborg alivyokuwa akinipenda na kunijali, alikuwa tayari kufanya chochote kile kwa mtu yoyote yule atakaye jaribu kunisogelea na kunikosea. Cyborg aliamini hamna mwanaume mwingine mwenye haki ya kunisogelea zaidi yake........ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 02

PENZI LA MHALIFU 02

Nilichukua kitambaa changu nakufunga jeraha langu nakuelekea walipo wenzangu. tuliwafikisha kituoni vijana tuliowakamata nakuanza kuwahoji ni wapi walipokuwa wakizitoa bangi na nani anayewauzia bangi  pamoja na madawa ya kulevya.

Tuliamua kutumia nguvu kwa kuwapiga mpaka walianza kusema wenyewe ni nani anayewauzia bangi.
"Kila mtu huwa ana sehemu yake ya kununua bangi kwangu mimi huwa na nunua kwa Cyborg"
"Emu rudia umesema huwa unanunua bangi kwa nani!?" Afande Davi alimuuliza kijana aliyesema kuwa huwa ananunua bangi kwa mme wangu.
"Kwa Cyborg Afande"
Kijana hiyo alimjibu na Afande Davi alinigeukia nakuniambia.
"Mme wako anauza bangi nenda kamkamate mwenyewe uje nae kituoni hapa"...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

1K
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

231
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

199
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

195
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

189
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

147
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

140
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

131
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest