Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 41
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 41

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 41

Nilishuhudia maajabu mengine kutoka kwa mtoto wa mbunge kwani alitoa madawa ya kulevya na kuanza kuyavuta mbele yangu hapo ndipo nilipopata jibu la kwanini alikuwa akiongea maneno ya aina ile na matusi ya kila aina ambayo mengine siwezi kuyataja.
"Sahau kabisa huwezi kunizagamua na ukiendelea kunilazimisha nitakupiga kama mtoto mdogo" nilimwambia sababu kwa jinsi nilivyomwangalia hakuwa na uwezo wa kupambana na mimi.

Mtoto wa Mbunge alinisogelea na kushika titi langu la kushoto, na mimi nilianza kumshushia kipigo na ukizingatia alikuwa ametumia madawa ya kulevya, hakuwa na uwezo wa kupambana na mimi.

Baadae nilipata upenyo na kuamua kuondoka nikimuacha akiugulia maumivu huku akisema kuwa atakuja kunifanyia kitu kibaya, sikutaka kujali kile alichokuwa akikisema.

Kipindi natoka nilimuona Cyborg akiwa amefika na bodaboda, alishuka na kunifata.
"Malikia kimetokea nini au tayari ameshakunyandua niende nikaue mtu mimi!?" Aliniuliza huku akijaribu kuniangalia aone kama mwili wangu utakuwa na mvulugano wowote ule aliona haitoshi alisogeza pua yake na kuanza kuninusa.

"Hamna mtu aliyefanya sex na mimi, nipo sawa tu twende nyumbani" nilimwambia lakini Cyborg alitaka aingie ndani ya nyumba hiyo ili amfundishe adabu mtu aliyetaka kunizagamua ila sikutaka kumruhusu.

Kutokana na mawazo niliyokuwa nayo sikuwa na habari ata ya kurudi kituoni.

Niliondoka nikiwa na Cyborg na baada ya kufika nyumbani Cyborg alitaka kuhakikisha kama kweli sijafanya mapenzi na mtu yoyote yule.
Alinipeleka chumbani na tulivyofika huko alianza kunishughulikia na baada ya kumaliza Cyborg alikuwa na uhakika kuwa sijafanya mapenzi na mwanaume yoyote yule.

Niliendelea na maisha na mtoto wa mbunge hakuacha kunisumbua aliendelea kumtumia mkuu wangu kwa ajili ya kukamilisha mipango yake.

Siku hiyo niliamua kumfata ofisini mkuu huku nikiwa na jambo la kumwambia.

Baada ya kufika nilimwambia kuwa nafikiria kuja kuacha kazi na aliponiuliza sababu nilimwambia ni kutokana na usumbufu ninao upata kutoka kwa wanaume akiwemo mtoto wa mbunge.
"Kwahiyo Angel ndiyo umefikia huko kutaka kuacha kazi!?" aliamua kuniuliza.
"Sababu sifanyi kazi kwa amani hali inayonipotezea umakini kwenye kazi yangu"

Baada ya kumwambia alinisisitizia nisije kujaribu kuacha kazi.

Tangu siku hiyo hakuwahi kuwa upande wa mtoto wa mbunge na baadala yake alikuwa upande wangu.

Upande wa Cyborg biashara yake ilizidi kukua siku hadi siku na kwakuwa alikuwa akiuza viatu vingi vya kike basi wateja wake wengi walikuwa ni wanawake, siku hiyo tukiwa nyumbani alipigiwa simu na sauti iliyokuwa ikisikika ni sauti ya mwanamke.

Nilimwacha aongee na baada ya kumaliza niliamua kumuuliza.
"Nani huyo uliyekuwa ukiongea nani!?"
"Mteja wangu na amenizoea kweli Malaika ila usiwe na wasiwasi sababu siwezi kukusaliti kwa kufanya nae mapenzi" Cyborg aliongea na mimi sikutaka kumuuliza zaidi nilinyenyuka kwa ajili ya kwenda jikoni lakini kanga yangu ilianguka chini kwa bahati mbaya.

Kitendo cha Cyborg kuona nguo yangu ya ndani kilimfanya ashikwe na hamu ya kufanya mapenzi niliiokota ili nijifunge ila Cyborg alinizuia nakuniuliza.
"Unataka kwenda wapi Malaika!?"
"Naenda jikoni"
"Nipe kidogo Malaika stimu zimeshanipanda hapa naomba nikuzagamue mara moja tu"
"Mmmh tutafanya usiku sio sasa ivi" niliongea lakini Cyborg hakutaka kunipa nafasi kabisa.

Alinivuta na kunipeleka kitandani kisha baada ya hapo alianza kuzipandisha hisia zangu na mimi sikutaka kuwa mzembe mbele ya baby wangu.
Tulipeana ushirikiano na tukiwa tunaendelea na mizagamuo tulisikia sauti ya binti wetu wa kazi akituita.

Nilimwambia Cyborg anipe nafasi ya kwenda kumsikiliza lakini hakutaka kuelewa kwa mda huo kwani utamu ulikuwa umeshafika kunako.
"Malaika namalizia, wewe mtamu malaika..." aliendelea kuongea maneno ya kila aina huku mda huo akiwa kaniweka style ya mbuzi kagoma kwenda na maneno yake binti wetu wa kazi alikuwa akiyasikia.

Ilibidi nimuache mpaka pale alipofunga goli na baada ya kupiga bao, alichukua kitenge changu nakuanza kunifuta na baadae nilishuhudia mnara wake ukisimama kwa mara nyingine.

ilinibidi nijiongeze sababu niliona tutatumia mda mrefu.
haraka niliamua kujiongeza kwa kwenda kuchukua kitenge kingine na kujifunga ili nikamsikilize binti yangu wa kazi.
"Malaika ufanye haraka nakusubiri huku uje tuendelee kunyanduana" aliniambia huku akiendelea kuushika shika mpini wake na mimi nilitoka chumbani na kumuacha mwenyewe.

Ile nafika sebleni nilikutana na aliyewahi kuwa mfanyakazi wangu wa ndani akiwa na mtoto mdogo.

Aliponiona alinisalimia lakini sikuitikia salamu kwani bado nilikuwa na hasira nae kwa kuchepuka na Cyborg miaka ya nyuma.
"Kimekuleta nini hapa!?" nilimuuliza huku nikiwa na sura ya ukauzu.
"Naomba unisamehe dada nimekuja hapa kwa ajili ya mtoto niliyenae" aliniambia na mimi niliamua kumuuliza.
"Mtoto kwani kafanyaje!?"
"Huyu ni mtoto wa kaka Cyborg" mfanyakazi wangu aliongea na alidai kuwa aliondoka na ujauzito wa Cyborg kipindi kile.......ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 41

PENZI LA MHALIFU 41

Nilishuhudia maajabu mengine kutoka kwa mtoto wa mbunge kwani alitoa madawa ya kulevya na kuanza kuyavuta mbele yangu hapo ndipo nilipopata jibu la kwanini alikuwa akiongea maneno ya aina ile na matusi ya kila aina ambayo mengine siwezi kuyataja.
"Sahau kabisa huwezi kunizagamua na ukiendelea kunilazimisha nitakupiga kama mtoto mdogo" nilimwambia sababu kwa jinsi nilivyomwangalia hakuwa na uwezo wa kupambana na mimi.

Mtoto wa Mbunge alinisogelea na kushika titi langu la kushoto, na mimi nilianza kumshushia kipigo na ukizingatia alikuwa ametumia madawa ya kulevya, hakuwa na uwezo wa kupambana na mimi.

Baadae nilipata upenyo na kuamua kuondoka nikimuacha akiugulia maumivu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-41

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

307
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

279
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

34
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest