Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 24
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 24

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 24

Sikujua alikuwa na mpango gani hivyo Cyborg aliondoka na kwenda kufanya kazi ya kuhubiri.

Baada ya masaa kadhaa kupita Cyborg alikuja nyumbani akiwa na mfuko uliokuwa na sadaka na baadae alizimwaga kwenye meza iliyokuwa sebleni kwetu.

"Leo nimehubiri sana sijui ata upako ulitokea wapi" Cyborg aliongea huku akifungua vishikizo vya shati lake.
"Kelvin ivi ni kweli unahubiri kwa ajili ya kutangaza neno la mungu au kwa ajili ya kujipatia pesa!?" Nilimuuliza sababu bado sikuona kama Cyborg kaamua kuokoka kutokana na baadhi ya matendo yake yaliyokuwa yakijionyesha.

Cyborg alinisogelea karibu na kuniambia.
"Wewe unajua kabisa mimi ni mpambanaji Malaika, acha nitangaze neno la mungu kwa mda na baadae nikichoka nitaacha na kufanya kazi nyingine ila sadaka lazima nizichukue" aliongea na kuanza kuhesabu sadaka alizokuja nazo.

Cyborg aliendelea  na kazi hiyo ya kuhubiri na maisha yalikuwa yakiendelea ila kilichokuwa kinanishangaza hakuacha kutamka matusi  ya kila aina wakati wa kufanya mapenzi.

Siku hiyo ilikuwa ni mida ya saa 5 usiku tukiwa tumelala tulisikia mtu akibisha hodi kwenye mlango wetu na mimi nilinyenyuka na kwenda kufungua mlango.

Nilikutana na mwanamke ambae ni mpangaji wetu aliyezoea kutupiga chapo wakati wa kufanya mapenzi na alikuwa kwenye hali ya wasi wasi mkubwa baada ya kuniona.
"Una shida gani jirani!?" Nilimuuliza na jirani yangu aliniambia.
"Na shida na mchungaji kuna tatizo kwenye chumba changu"
"Tatizo!?"
"Ndio kuna tatizo kubwa sana" Alinijibu na mimi nilimtazama machoni nione kama anachoongea kina ukweli wowote ule.

Jirani yangu alinielezea kuwa kuna mzimu ameuona kwenye chumba chake hivyo alikuwa anahitaji Cyborg aende akakiombee chumba chake.

Niliamua kumuita Cyborg na alikubali kwenda kuomba kwenye chumba cha jirani yetu japo nilikuwa na uhakika hakuna upako wowote ule aliokuwa nao Cyborg kwani mimi ndiye niliyekuwa nikiishi nae.

Cyborg alienda kwenye chumba cha jirani yetu na kuniacha ndani ya nyumba yetu.

Dekika 15 zilipita bira Cyborg kurudi na baadae machale yalianza kunicheza baada ya kujumlisha matukio ya jirani yangu hasa ya kumsifia Cyborg kuwa yupo vizuri kwenye mambo ya mizagamuo.
"Isije kuwa wanakulana hawa" niliongea mwenyewe na kuondoka na kwenda kwenye nyumba ya jirani yangu.

Nilifika na kweli nilisikia sauti ya Cyborg kwa mbali akiomba, kidogo nilipata uhakika kuwa kuna usalama hivyo niliamua kurudi kwenye nyumba yetu na kuendelea kumsubiri Cyborg.

Upande wa Cyborg yeye alikuwa akiomba kumbe jirani yangu alikuwa na mpango wake na kwakuwa alikuwa na makalio makubwa, alianza kuyabinua makusudi ili kumtamanisha Cyborg.

Jirani aliona haitoshi kwani alizidi kumsogezea makalio yake Cyborg kitu alichofanyikiwa maana Cyborg alisimamisha baada ya kugusishwa makalio na jirani.

Sijui ni hisia gani nilizokuwa nikizipata kwani nilijikuta nikiishiwa raha na  gafra nilipata ujasili wa kwenda kwenye nyumba ya jirani yangu kwa mara nyingine. nilifika mlangoni na temu sikuisikia ata sauti ya Cyborg kuomba.

Moyo wangu ulihisi kutakuwa na kitu kinachoendelea hivyo nilijaribu kusukuma mlango na bahati nzuri ulikuwa wazi, niliingia kwenye nyumba ya jirani yangu na moja kwa moja nilielekea kwenye chumba walichokuwemo.

Ile nafungua mlango nilimkuta Cyborg akiwa kashika mwichi wake akijiandaa kuuweka na kuutwanga kwenye kinu cha jirani yangu.
"Cyborg!!!" nilimwita na kumfanya asitishe kile alichokuwa akitaka akifanye.

Jirani yangu aliokota kitenge chake haraka na kujifunga. Cyborg nae alipandisha suruali yake na kuvaa vizuri kwani mambo tayari yalikuwa yameharibika.

Niliondoka kwa hasira na kurudi kwenye nyumba yetu na nilipofika nilifunga mlango ili Cyborg asiingie ndani na ata mfanyakazi wetu aliyekuwa akishinda na mtoto nilimwambie asijaribu kumfungulia Cyborg.

Cyborg aligonga mlango ili nimfungulie lakini sikuta kabisa kwenda kumfungulia na nilikuwa kwenye hasira kwa wakati huo.

Cyborg baada ya kuona hatumfungulii alisogea kwenye dirisha la chumba chetu nilichokuwa nimelala na kuanza kuongea.
"Malaika naomba unisamehe kipenzi, jirani aliyagusisha makalio yake kwenye mhogo wangu na mimi nilijikuta nikitamani kumzagamua, nisamehe Malaika sitarudia tena" Cyborg aliongea maneno ya kila aina ila mimi nilijifanya simsikii kabisa.

Kumbe jirani alikuwa amedhamilia siku hiyo Cyborg amzagamue na ukizingatia mme wake hakuwepo aliona ndiyo nafasi ya pekee ya kufanikisha mpango wake.

Alikuwa akisikiliza jinsi Cyborg alivyokuwa akinibembeleza dirishani ili nimfungulie na baada ya kuona sitaki kumfungulia jirani alitoka kwenye nyumba yake na kumfata Cyborg.
"Samahani mchungaji, naomba ukalale kwangu na ilikuwa bahati mbaya tu" jirani aliongea.
"Mchungajiiii!! unaniita mchungaji sababu wewe ndio uliyenigusisha makalio yako mpaka nikashikwa na upwiru na kusababisha mke wangu akatae mpaka kunifungulia" Cyborg aliongea kwa kulalamika na mazungumzo yao nilikuwa nikiyasikia.

Haraka nilitoka na kwenda kufungua mlango sababu niliona nikizembea watatiana kweli, Cyborg baada ya kuniona nimefungua mlango aliingia ndani akiwa na bibilia yake mkononi utafikiri ni mtu wa mungu kweli.

Jirani yetu ilibidi aondoke baada ya kuona mpango wake umeharibika.

Cyborg siku hiyo alikuwa na kazi ya kuniomba msamaha na baada ya kuona nimemchunia na sitaki kumsamehe, Cyborg aliamua atumie mbinu yake ya siku zote.

Alianza kunipapasa kwa ajili ya kuniandaa ili tufanye mapenzi. kiukweli siku hiyo sikuwa na hisia kabisa licha ya kutumia utundu wake anaonifanyia siku zote bado sikuwa na hisia za kufanya nae mapenzi.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 24

PENZI LA MHALIFU 24

Sikujua alikuwa na mpango gani hivyo Cyborg aliondoka na kwenda kufanya kazi ya kuhubiri.

Baada ya masaa kadhaa kupita Cyborg alikuja nyumbani akiwa na mfuko uliokuwa na sadaka na baadae alizimwaga kwenye meza iliyokuwa sebleni kwetu.

"Leo nimehubiri sana sijui ata upako ulitokea wapi" Cyborg aliongea huku akifungua vishikizo vya shati lake.
"Kelvin ivi ni kweli unahubiri kwa ajili ya kutangaza neno la mungu au kwa ajili ya kujipatia pesa!?" Nilimuuliza sababu bado sikuona kama Cyborg kaamua kuokoka kutokana na baadhi ya matendo yake yaliyokuwa yakijionyesha.

Cyborg alinisogelea karibu na kuniambia.
"Wewe unajua kabisa mimi ni mpambanaji Malaika, acha nitangaze neno la...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-24

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

1.17K
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*

815
MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58

MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58

738
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 68...69💘💘

586
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60

482
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 7

165
*REALLY LOVE Chapter 20

*REALLY LOVE Chapter 20

152
MY CRAZY BOSS 07

MY CRAZY BOSS 07

109
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3

91
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.21K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.94K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.1K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.42K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Basi kama mwalimu nikamwambia Lizy apite akae, kweli na yeye akaenda na kukaa, kisha nikawatazama hao wanafunzi sasa walikuwa wananiangalia hao na mimi nikatoa mimacho yangu yote nje na...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * 5 to 6
@majario LIVE

Chapter 5 Kulikucha ila hata leo nilichelewa kuamka maaana dada pia inavyoonekana jana alichoka sana hivyoo na yeye pia alilala sana hakuamka pia nikajikuta nimeshtuka saaa moja ikabidi tu niwahi kujiandaa...

Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig Post Mpya
Baby Guddu, whose real name is Shahinda Baig, was one of the most loved child stars of her time. The daughter of filmmaker M. M. Baig
@majario LIVE

, she began acting when she was just three years old and quickly became a favorite among audiences for her innocent charm and natural expressions. During the 1970s and early...

Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood  M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu, Post Mpya
Sad 😢 : Mtayarishaji mkongwe wa filamu Bollywood M.M Baig, baba wa aliyekuwa msanii mtoto maarufu wa zamani Baby Guddu,
@majario LIVE

na aliyeshiriki katika kutayarisha filamu kama Razia Sultan pamoja na kuongoza filamu ya Chhoti Bahu, alikutwa akiwa amefariki nyumbani kwake, msemaji wake bwana Hanif Zaveri amethibitisha. Kwa mujibu wa taarifa Baig...

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. Post Mpya
Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie.
@majario LIVE

Nottingham Forest beat Fenerbahçe 3-0 in the first leg of their UEL knockouts playoffs tie. The Vítor Pereira era is off to a winning start ✅

Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school Post Mpya
Suniel Shetty has been married to Mana Shetty (born Monisha Kadri) since December 25, 1991, and their love story is truly old-school
@majario LIVE

. They met back in the 1980s and dated for almost nine years before getting married. Coming from different cultural backgrounds, their relationship did face resistance initially, but love and...

🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna. Post Mpya
🚨 Al Ahly climb to second place in the Egyptian Premier League table after securing a 1–0 win over El Gouna.
@majario LIVE

The decisive moment came through Emam Ashour, whose goal proved enough to seal all three points and keep the title race firmly alive. #AfricaSoccerZone #AfricanFootball

Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood Post Mpya
Jackie Shroff has been happily married to Ayesha Shroff since June 5, 1987, and their love story is one of the most real and long-lasting in Bollywood
@majario LIVE

. Ayesha, who was a former model and appeared in the film Teri Baahon Mein (1984), has always been Jackie’s biggest strength. She stood by him even before fame came...

*REALLY LOVE Chapter 20 Post Mpya
*REALLY LOVE Chapter 20
@majario LIVE

fahima hakujibu kitu akarudi ndani naseven nae akarudi ndani, sasa ndonini miseme mbele za watu alisema fahima "siili uniamini kama nakazi nyingi alisema. seven sasa kwani nisipokuamini wewe unaumia nini alisema fahima unadhani ni...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *SEHEMU YA NNE*
@majario LIVE

Mhh CEO alinitizama tuu maana, kisha akatabasamu hujafukuzwa kazi, ila ni vile tu hujaelewa nilikuwa naamaanisha nini hapo, binti sikusem kwa nia ya kukufukuza kazi basi nikisema pengine kuna siku...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

59 MPAKA 60 MWISHOOOO 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Ahaaa basi nikamtoa na t shirt ya juuu. Wala hajabisha tena . Nikamfungua na sidiria yake. Kisha naikabugia ziwa lake la kushoto nikaliingiza mdomoni. Weeeeeee. Akaanza...

*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110* Post Mpya
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
@majario LIVE

Aseeeee ata nikifurah ndo sio wangu ni mume wa mtu. Basi nangalia missed calls mama kanipigia sana . Wee mimi wala sikutaka kumpigia mama nikamtumia tu sms.mama mi naludi keshi...

MY CRAZY BOSS 07 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 07
@majario LIVE

SONGA NAYO Asubuhi wa kwanza kuamka nilikuwa mimi,nilijikuta na uchovu wa ajabu sana,nikaona niamke nielekeee chooni kukojoa Ile natoka tu kwenye shuka 😳😳nikagundua nipo uchi wa mnyama🥲hapo ndo akili ikanirudi nikagundua yaliyojiri...

MIMI SIKUACHI🥰  SEHEMU YA 58 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 SEHEMU YA 58
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Wakati nawaza pale akaja yule muuzaji na baadhi ya sampo ya vitu vya kike vya gharama kweli dah mfukoni pesa ya kufosi na uhakika wa kupokelewa zawadi sina ila fresh...

*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3 Post Mpya
*ZAWADI YA RAMADH'AN* 1 - 3
@majario LIVE

SEHEMU YA...... 1 ilikuwa ni majira ya Jioni nyumbani kwa Kijana Tajiri aliefahamika kwa jina la ABDUL. Kijana ambae alijaaliwa kuwa msomi na kuweza Kupata kazi Nzuri. Hali ile ilimpelekea kuishi nyumba moja...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest