PENZI LA MHALIFU 40
Nilifika na kumkuta mtoto wa mbunge amekaa huku amepiga nne kwenye ofisi ya mkuu tena akiwa anachezea simu yake.
"Angel unajua nilichokuitia hapa!?" Mkuu aliniuliza.
"Hapana sijui" nilimjibu na aliniambia nikae kwa ajili ya mazungumzo.
Mkuu aliniambia kuwa nimempa namba za uongo mtoto wa mbunge na aliniambia kuwa ni kosa kwani mimi ni asikari na sikutakiwa kuwa muongo kwa mtoto wa kiongozi au kwa raia yoyote yule hasa anayehitaji msaada kutoka kwa asikari.
Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichoniambia na nilijiuliza ni sheria gani hiyo inayomlazimisha mtu agawe namba zake kwa mtu yoyote!? ila nilijifanya mjinga mbele yao.
"Mkuu basi itakuwa nilikosea kuandika namba" niliongea na baadae ilibidi nimwandikie namba yangu ya kweli.
Baada ya kufanya hivyo mkuu aliniruhusu niondoke.
Siku hiyo hiyo majira ya usiku nikiwa nyumbani pamoja na Cyborg nilipigiwa na namba ngeni na nilipoipokea sauti ya mtoto wa mbunge ilisikika.
"Afande Angel nakuhitaji sasa ivi kwenye ofisi yangu kuna wizi umetokea, nakutumia location hapo ili uweze kufika kwa wakati" aliongea na kukata simu.
"Ujinga gani huu!! ata kama wizi umetokea ndiyo anipigie simu mimi na kuniambia niende!?" nilianza kuongea kwa kulalamika mbele ya Cyborg aliyeamua kuniuliza na mimi niliamua kumwambia kile nilichoambiwa na mtoto wa mbunge.
Cyborg aliniomba simu yangu na mimi nilimpatia, aliangalia namba ya mtu aliyetoka kunipigia mda sio mrefu na kuamua kumpigia.
Alipiga na bahati nzuri simu ilipokelewa na mtoto wa mbunge.
"Mke wangu hawezi kuja kwenye ofisi yako sasa ivi" Cyborg aliongea na kukata simu ila haikupita mda simu ilipigwa tena.
"Unajua unaongea na nani!?" kijana wa mbunge alimuuliza.
"Sihitaji kujua ila mke wa mtu aheshimiwe nimeshasema hawezi kuja huko sasa ivi sitaki maelezo mengine huu ni mda wa sisi kuzagamuana" baada ya Cyborg kuongea alikata simu.
Mtoto wa mbunge aliendelea kunipigia simu ila Cyborg alikuwa anakata kila akipiga na baadae aliamua kuizima kabisa.
"Malaika hii kazi yako uje uache tuungane kwenye biashara" Cyborg aliongea lakini mimi kiukweli swala la kuacha kazi sikutaka kukubaliana nalo kabisa kwa sababu ilikuwa ni kazi ya ndoto yangu kwani nilitamani kuwa asikari toka nikiwa mdogo.
Basi mimi na Cyborg tuliamua kubadilisha mazungumzo na tuliingia kwenye mazungumzo ya vitendo.
Cyborg alinivua chupi niliyokuwa nimevaa na baada ya hapo alianza kujipimia kwa kunisugia kwenye kuta zote za kisima changu.
"Aaashhh" nilitoa sauti iliyoambatana na utamu niliokuwa nikiupata.
"Unasikia raha baby!?" Cyborg aliniuliza huku akiendelea kuninyandua.
"Ndiooo tena sana Cy..... nilimjibu na Cyborg utamu ulipoanza kumkolea hakuacha kuendelea kupiga makelele yake.
Tuliendelea kupeana mahaba mimi na Cyborg mpaka tulipotosheka.
Palipokucha nilipigiwa simu na mkuu wangu na aliniambia natakiwa kuwahi haraka kwenye ofisi yake asubuhi hiyo.
Niliondoka na nilipofika ofisi nilimkuta akinisubiri kwa hamu.
"Angel sheria zinasemaje kwa mtu aliyejitolea kulitumikia taifa?" aliniuliza na mimi niliamua kumjibu baadhi ya sheria nilizokuwa nikizifahamu.
"Kama unafahamu kuwa ni wajibu wa asikari kumlinda raia kwa nini uligoma kwenda sehemu uliyopigiwa simu!?, unajua alikuwa na tatizo gani kwa wakati huo!?" Mkuu aliniuliza.
"Hakunifafanulia vizuri ndiyo maana sikuweza kwenda" nilimjibu na kuongea maneno mengine ya kujitetea.
Mkuu aliamua kunionya kuwa nisije kurudia tena na endapo itatokea basi sheria itachukua nafasi yake.
Niliondoka huku nikiwa nawaza ni kitu gani mtoto wa mbunge anachohitaji kutoka kwangu na nilihisi kabisa lazima kuna kitu akichokuwa amempa mkuu wangu ndiyo sababu iliyokuwa ikimfanya awe upande wake kila mara.
Siku hiyo ya mchana kijana wa mbunge alinipiga simu na kuniambia kwa mara nyingine niende haraka sehemu anayotaka tuonane. pale pale kengele ya hatari iligonga kwenye kichwa changu na nilijua kuna kila dalili za kwenda kuzagamuliwa.
Nilienda kupanda kwenye gari yangu na kuondoka kuelekea mahali nilipoelekezwa.
Nilielekezwa mpaka kwenye nyumba moja ya kisasa kidogo na nilipofika nje alikuja kijana mwingine niliyekuwa simfahamu kwa ajili ya kunipokea.
Ilinibidi nimtumie ujumbe Cyborg wa kumwambia sehemu nilipo na huenda likanikuta jambo baya mda wowote ule hasa la kuzagamuliwa.
Baada ya kumtumia ujumbe Cyborg niliongezana na kijana aliyekuja kunipokea na moja kwa moja tulifika mpaka ndani na kumkuta mtoto wa mbunge akiwa kakaa huku akiwa kapiga nne kama ilivyo kawaida yake.
Ila kuna wanaume wanamajivuno ya pesa khaaa yani mngemuona jinsi alivyokuwa na malingo huyo mtoto wa mbunge basi mngeamini maneno yangu.
Basi tuendelee na story yetu aliamua kumwambia kijana aliyenileta atupishe.
"Angel Angel Angel, nimekuita mara tatu sababu leo utaenda kwako saa tatu usiku" aliongea na alijua nitamheshimu na kumuogopa kutokana na madaraka ya baba yake pamoja na pesa za familia yao.
"Wewe kama nani unaenipangia mda wa kurudi nyumbani kwangu!? " nilimuuliza lakini hakutaka kuzunguka sana aliamua kuniambia kuwa lazima tufanye mapenzi na nitaondoka pale tu atakapolidhika.
Kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa uzuri niliokuwa nao kwani niliona kama umekuwa kero kwangu ya kuingia kwenye majaribu karibu kila mara na niseme tu ukweli kama ningekuwa ni mwepesi wa kukubali au ningekuwa na tamaa ya pesa huenda ningekuwa nimeshatembea na wanaume tofauti tofauti mpaka mda huo.
Hakuishia hapo bali alienda kuchukua mafuta na kuja nayo kisha baada ya hapo aliniambia.
"Usijali kuhusu malipo utapokea pesa za kutosha kwa sababu mimi huwa sili mbele tu nakula na nyuma ndiyo maana nimekuletea mafuta haya hapa ili mtalimbo wangu usihangaike kupita" aliongea na mimi nilihisi labda kwa mwonekano wangu alihisi ndiyo tabia yangu ya kutembea na wanaume hivyo niiliamua kumwambia.
"Ivi unahisi mimi ni malaya eeeh!?"
Nilimuuliza lakini mtoto wa mbunge aliamua kunijibu "Huenda wewe sio malaya mimi hilo sijali ninachohitaji ni kukutia tu" aliongea.....ITAENDELEA.
Maoni