Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 40
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 40

Nilifika na kumkuta mtoto wa mbunge amekaa huku amepiga nne kwenye ofisi ya mkuu tena akiwa anachezea simu yake.
"Angel unajua nilichokuitia hapa!?" Mkuu aliniuliza.
"Hapana sijui" nilimjibu na aliniambia nikae kwa ajili ya mazungumzo.

Mkuu aliniambia kuwa nimempa namba za uongo mtoto wa mbunge na aliniambia kuwa ni kosa kwani mimi ni asikari na sikutakiwa kuwa muongo kwa mtoto wa kiongozi au kwa raia yoyote yule hasa anayehitaji msaada kutoka kwa asikari.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichoniambia na nilijiuliza ni sheria gani hiyo inayomlazimisha mtu agawe namba zake kwa mtu yoyote!? ila nilijifanya mjinga mbele yao.
"Mkuu basi itakuwa nilikosea kuandika namba" niliongea na baadae ilibidi nimwandikie namba yangu ya kweli.

Baada ya kufanya hivyo mkuu aliniruhusu niondoke.

Siku hiyo hiyo majira ya usiku nikiwa nyumbani pamoja na Cyborg nilipigiwa na namba ngeni na nilipoipokea sauti ya mtoto wa mbunge ilisikika.
"Afande Angel nakuhitaji sasa ivi kwenye ofisi yangu kuna wizi umetokea, nakutumia location hapo ili uweze kufika kwa wakati" aliongea na kukata simu.
"Ujinga gani huu!! ata kama wizi umetokea ndiyo anipigie simu mimi na kuniambia niende!?" nilianza kuongea kwa kulalamika mbele ya Cyborg aliyeamua kuniuliza na mimi niliamua kumwambia kile nilichoambiwa na mtoto wa mbunge.

Cyborg aliniomba simu yangu na mimi nilimpatia, aliangalia namba ya mtu aliyetoka kunipigia mda sio mrefu na kuamua kumpigia.

Alipiga na bahati nzuri simu ilipokelewa na mtoto wa mbunge.
"Mke wangu hawezi kuja kwenye ofisi yako sasa ivi" Cyborg aliongea na kukata simu ila haikupita mda simu ilipigwa tena.
"Unajua unaongea na nani!?" kijana wa mbunge alimuuliza.
"Sihitaji kujua ila mke wa mtu aheshimiwe nimeshasema hawezi kuja huko sasa ivi sitaki maelezo mengine huu ni mda wa sisi kuzagamuana" baada ya Cyborg kuongea alikata simu.

Mtoto wa mbunge aliendelea kunipigia simu ila Cyborg alikuwa anakata kila akipiga na baadae aliamua kuizima kabisa.

"Malaika hii kazi yako uje uache tuungane kwenye biashara" Cyborg aliongea lakini mimi kiukweli swala la kuacha kazi sikutaka kukubaliana nalo kabisa kwa sababu ilikuwa ni kazi ya ndoto yangu kwani nilitamani kuwa asikari toka nikiwa mdogo.

Basi mimi na Cyborg tuliamua kubadilisha mazungumzo na tuliingia kwenye mazungumzo ya vitendo.
Cyborg alinivua chupi niliyokuwa nimevaa na baada ya hapo alianza kujipimia kwa kunisugia kwenye kuta zote za kisima changu.
"Aaashhh" nilitoa sauti iliyoambatana na utamu niliokuwa nikiupata.
"Unasikia raha baby!?" Cyborg aliniuliza huku akiendelea kuninyandua.
"Ndiooo tena sana Cy..... nilimjibu na Cyborg utamu ulipoanza kumkolea hakuacha kuendelea kupiga makelele yake.

Tuliendelea kupeana mahaba mimi na Cyborg mpaka tulipotosheka.

Palipokucha nilipigiwa simu na mkuu wangu na aliniambia natakiwa kuwahi haraka kwenye ofisi yake asubuhi hiyo.

Niliondoka na nilipofika ofisi nilimkuta akinisubiri kwa hamu.
"Angel sheria zinasemaje kwa mtu aliyejitolea kulitumikia taifa?" aliniuliza na mimi niliamua kumjibu baadhi ya sheria nilizokuwa nikizifahamu.
"Kama unafahamu kuwa ni wajibu wa asikari kumlinda raia kwa nini uligoma kwenda sehemu uliyopigiwa simu!?, unajua alikuwa na tatizo gani kwa wakati huo!?" Mkuu aliniuliza.
"Hakunifafanulia vizuri ndiyo maana sikuweza kwenda" nilimjibu na kuongea maneno mengine ya kujitetea.

Mkuu aliamua kunionya kuwa nisije kurudia tena na endapo itatokea basi sheria itachukua nafasi yake.

Niliondoka huku nikiwa nawaza ni kitu gani mtoto wa mbunge anachohitaji kutoka kwangu na nilihisi kabisa lazima kuna kitu akichokuwa amempa mkuu wangu ndiyo sababu iliyokuwa ikimfanya awe upande wake kila mara.

Siku hiyo ya mchana kijana wa mbunge alinipiga simu na kuniambia kwa mara nyingine niende haraka sehemu anayotaka tuonane. pale pale kengele ya hatari iligonga kwenye kichwa changu na nilijua kuna kila dalili za kwenda kuzagamuliwa.

Nilienda kupanda kwenye gari yangu na kuondoka kuelekea mahali nilipoelekezwa.

Nilielekezwa mpaka kwenye nyumba moja ya kisasa kidogo na nilipofika nje alikuja kijana mwingine niliyekuwa simfahamu kwa ajili ya kunipokea.

Ilinibidi nimtumie ujumbe Cyborg wa kumwambia sehemu nilipo na huenda likanikuta jambo baya mda wowote ule hasa la kuzagamuliwa.

Baada ya kumtumia ujumbe Cyborg niliongezana na kijana aliyekuja kunipokea na moja kwa moja tulifika mpaka ndani na kumkuta mtoto wa mbunge akiwa kakaa huku akiwa kapiga nne kama ilivyo kawaida yake.

Ila kuna wanaume wanamajivuno ya pesa khaaa yani mngemuona jinsi alivyokuwa na malingo huyo mtoto wa mbunge basi mngeamini maneno yangu.

Basi tuendelee na story yetu aliamua kumwambia kijana aliyenileta atupishe.
"Angel Angel Angel, nimekuita mara tatu sababu leo utaenda kwako saa tatu usiku" aliongea na alijua nitamheshimu na kumuogopa kutokana na madaraka ya baba yake pamoja na pesa za familia yao.
"Wewe kama nani unaenipangia mda wa kurudi nyumbani kwangu!? " nilimuuliza lakini hakutaka kuzunguka sana aliamua kuniambia kuwa lazima tufanye mapenzi na nitaondoka pale tu atakapolidhika.

Kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa uzuri niliokuwa nao kwani niliona kama umekuwa kero kwangu ya kuingia kwenye majaribu karibu kila mara na niseme tu ukweli kama ningekuwa ni mwepesi wa kukubali au ningekuwa na tamaa ya pesa huenda ningekuwa nimeshatembea na wanaume tofauti tofauti mpaka mda huo.

Hakuishia hapo bali alienda kuchukua mafuta na kuja nayo kisha baada ya hapo aliniambia.
"Usijali kuhusu malipo utapokea pesa za kutosha kwa sababu mimi huwa sili mbele tu nakula na nyuma ndiyo maana nimekuletea mafuta haya hapa ili mtalimbo wangu usihangaike kupita" aliongea na mimi nilihisi labda kwa mwonekano wangu alihisi ndiyo tabia yangu ya kutembea na wanaume hivyo niiliamua kumwambia.
"Ivi unahisi mimi ni malaya eeeh!?"
Nilimuuliza lakini mtoto wa mbunge aliamua kunijibu "Huenda wewe sio malaya mimi hilo sijali ninachohitaji ni kukutia tu" aliongea.....ITAENDELEA
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 40

PENZI LA MHALIFU 40

Nilifika na kumkuta mtoto wa mbunge amekaa huku amepiga nne kwenye ofisi ya mkuu tena akiwa anachezea simu yake.
"Angel unajua nilichokuitia hapa!?" Mkuu aliniuliza.
"Hapana sijui" nilimjibu na aliniambia nikae kwa ajili ya mazungumzo.

Mkuu aliniambia kuwa nimempa namba za uongo mtoto wa mbunge na aliniambia kuwa ni kosa kwani mimi ni asikari na sikutakiwa kuwa muongo kwa mtoto wa kiongozi au kwa raia yoyote yule hasa anayehitaji msaada kutoka kwa asikari.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichoniambia na nilijiuliza ni sheria gani hiyo inayomlazimisha mtu agawe namba zake kwa mtu yoyote!? ila nilijifanya mjinga mbele yao.
"Mkuu basi itakuwa nilikosea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

485
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

438
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

362
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

184
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

169
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

98
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

86
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

77

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest