Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 40
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 40

Nilifika na kumkuta mtoto wa mbunge amekaa huku amepiga nne kwenye ofisi ya mkuu tena akiwa anachezea simu yake.
"Angel unajua nilichokuitia hapa!?" Mkuu aliniuliza.
"Hapana sijui" nilimjibu na aliniambia nikae kwa ajili ya mazungumzo.

Mkuu aliniambia kuwa nimempa namba za uongo mtoto wa mbunge na aliniambia kuwa ni kosa kwani mimi ni asikari na sikutakiwa kuwa muongo kwa mtoto wa kiongozi au kwa raia yoyote yule hasa anayehitaji msaada kutoka kwa asikari.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichoniambia na nilijiuliza ni sheria gani hiyo inayomlazimisha mtu agawe namba zake kwa mtu yoyote!? ila nilijifanya mjinga mbele yao.
"Mkuu basi itakuwa nilikosea kuandika namba" niliongea na baadae ilibidi nimwandikie namba yangu ya kweli.

Baada ya kufanya hivyo mkuu aliniruhusu niondoke.

Siku hiyo hiyo majira ya usiku nikiwa nyumbani pamoja na Cyborg nilipigiwa na namba ngeni na nilipoipokea sauti ya mtoto wa mbunge ilisikika.
"Afande Angel nakuhitaji sasa ivi kwenye ofisi yangu kuna wizi umetokea, nakutumia location hapo ili uweze kufika kwa wakati" aliongea na kukata simu.
"Ujinga gani huu!! ata kama wizi umetokea ndiyo anipigie simu mimi na kuniambia niende!?" nilianza kuongea kwa kulalamika mbele ya Cyborg aliyeamua kuniuliza na mimi niliamua kumwambia kile nilichoambiwa na mtoto wa mbunge.

Cyborg aliniomba simu yangu na mimi nilimpatia, aliangalia namba ya mtu aliyetoka kunipigia mda sio mrefu na kuamua kumpigia.

Alipiga na bahati nzuri simu ilipokelewa na mtoto wa mbunge.
"Mke wangu hawezi kuja kwenye ofisi yako sasa ivi" Cyborg aliongea na kukata simu ila haikupita mda simu ilipigwa tena.
"Unajua unaongea na nani!?" kijana wa mbunge alimuuliza.
"Sihitaji kujua ila mke wa mtu aheshimiwe nimeshasema hawezi kuja huko sasa ivi sitaki maelezo mengine huu ni mda wa sisi kuzagamuana" baada ya Cyborg kuongea alikata simu.

Mtoto wa mbunge aliendelea kunipigia simu ila Cyborg alikuwa anakata kila akipiga na baadae aliamua kuizima kabisa.

"Malaika hii kazi yako uje uache tuungane kwenye biashara" Cyborg aliongea lakini mimi kiukweli swala la kuacha kazi sikutaka kukubaliana nalo kabisa kwa sababu ilikuwa ni kazi ya ndoto yangu kwani nilitamani kuwa asikari toka nikiwa mdogo.

Basi mimi na Cyborg tuliamua kubadilisha mazungumzo na tuliingia kwenye mazungumzo ya vitendo.
Cyborg alinivua chupi niliyokuwa nimevaa na baada ya hapo alianza kujipimia kwa kunisugia kwenye kuta zote za kisima changu.
"Aaashhh" nilitoa sauti iliyoambatana na utamu niliokuwa nikiupata.
"Unasikia raha baby!?" Cyborg aliniuliza huku akiendelea kuninyandua.
"Ndiooo tena sana Cy..... nilimjibu na Cyborg utamu ulipoanza kumkolea hakuacha kuendelea kupiga makelele yake.

Tuliendelea kupeana mahaba mimi na Cyborg mpaka tulipotosheka.

Palipokucha nilipigiwa simu na mkuu wangu na aliniambia natakiwa kuwahi haraka kwenye ofisi yake asubuhi hiyo.

Niliondoka na nilipofika ofisi nilimkuta akinisubiri kwa hamu.
"Angel sheria zinasemaje kwa mtu aliyejitolea kulitumikia taifa?" aliniuliza na mimi niliamua kumjibu baadhi ya sheria nilizokuwa nikizifahamu.
"Kama unafahamu kuwa ni wajibu wa asikari kumlinda raia kwa nini uligoma kwenda sehemu uliyopigiwa simu!?, unajua alikuwa na tatizo gani kwa wakati huo!?" Mkuu aliniuliza.
"Hakunifafanulia vizuri ndiyo maana sikuweza kwenda" nilimjibu na kuongea maneno mengine ya kujitetea.

Mkuu aliamua kunionya kuwa nisije kurudia tena na endapo itatokea basi sheria itachukua nafasi yake.

Niliondoka huku nikiwa nawaza ni kitu gani mtoto wa mbunge anachohitaji kutoka kwangu na nilihisi kabisa lazima kuna kitu akichokuwa amempa mkuu wangu ndiyo sababu iliyokuwa ikimfanya awe upande wake kila mara.

Siku hiyo ya mchana kijana wa mbunge alinipiga simu na kuniambia kwa mara nyingine niende haraka sehemu anayotaka tuonane. pale pale kengele ya hatari iligonga kwenye kichwa changu na nilijua kuna kila dalili za kwenda kuzagamuliwa.

Nilienda kupanda kwenye gari yangu na kuondoka kuelekea mahali nilipoelekezwa.

Nilielekezwa mpaka kwenye nyumba moja ya kisasa kidogo na nilipofika nje alikuja kijana mwingine niliyekuwa simfahamu kwa ajili ya kunipokea.

Ilinibidi nimtumie ujumbe Cyborg wa kumwambia sehemu nilipo na huenda likanikuta jambo baya mda wowote ule hasa la kuzagamuliwa.

Baada ya kumtumia ujumbe Cyborg niliongezana na kijana aliyekuja kunipokea na moja kwa moja tulifika mpaka ndani na kumkuta mtoto wa mbunge akiwa kakaa huku akiwa kapiga nne kama ilivyo kawaida yake.

Ila kuna wanaume wanamajivuno ya pesa khaaa yani mngemuona jinsi alivyokuwa na malingo huyo mtoto wa mbunge basi mngeamini maneno yangu.

Basi tuendelee na story yetu aliamua kumwambia kijana aliyenileta atupishe.
"Angel Angel Angel, nimekuita mara tatu sababu leo utaenda kwako saa tatu usiku" aliongea na alijua nitamheshimu na kumuogopa kutokana na madaraka ya baba yake pamoja na pesa za familia yao.
"Wewe kama nani unaenipangia mda wa kurudi nyumbani kwangu!? " nilimuuliza lakini hakutaka kuzunguka sana aliamua kuniambia kuwa lazima tufanye mapenzi na nitaondoka pale tu atakapolidhika.

Kuna mda nilikuwa nikijilaumu kwa uzuri niliokuwa nao kwani niliona kama umekuwa kero kwangu ya kuingia kwenye majaribu karibu kila mara na niseme tu ukweli kama ningekuwa ni mwepesi wa kukubali au ningekuwa na tamaa ya pesa huenda ningekuwa nimeshatembea na wanaume tofauti tofauti mpaka mda huo.

Hakuishia hapo bali alienda kuchukua mafuta na kuja nayo kisha baada ya hapo aliniambia.
"Usijali kuhusu malipo utapokea pesa za kutosha kwa sababu mimi huwa sili mbele tu nakula na nyuma ndiyo maana nimekuletea mafuta haya hapa ili mtalimbo wangu usihangaike kupita" aliongea na mimi nilihisi labda kwa mwonekano wangu alihisi ndiyo tabia yangu ya kutembea na wanaume hivyo niiliamua kumwambia.
"Ivi unahisi mimi ni malaya eeeh!?"
Nilimuuliza lakini mtoto wa mbunge aliamua kunijibu "Huenda wewe sio malaya mimi hilo sijali ninachohitaji ni kukutia tu" aliongea.....ITAENDELEA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 40

PENZI LA MHALIFU 40

Nilifika na kumkuta mtoto wa mbunge amekaa huku amepiga nne kwenye ofisi ya mkuu tena akiwa anachezea simu yake.
"Angel unajua nilichokuitia hapa!?" Mkuu aliniuliza.
"Hapana sijui" nilimjibu na aliniambia nikae kwa ajili ya mazungumzo.

Mkuu aliniambia kuwa nimempa namba za uongo mtoto wa mbunge na aliniambia kuwa ni kosa kwani mimi ni asikari na sikutakiwa kuwa muongo kwa mtoto wa kiongozi au kwa raia yoyote yule hasa anayehitaji msaada kutoka kwa asikari.

Nilibaki nimeshangaa kwa kile alichoniambia na nilijiuliza ni sheria gani hiyo inayomlazimisha mtu agawe namba zake kwa mtu yoyote!? ila nilijifanya mjinga mbele yao.
"Mkuu basi itakuwa nilikosea...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

712
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

308
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

283
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

48
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest