Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 42
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa na mawazo yangu.

Sikutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka kwani nilizijua vizuri hasira zangu jinsi zilivyo.

Cyborg aliamua kunifata baada ya kuniona nikielekea chumbani.
"Malaika niamini mimi yule sio mtoto wangu, emu kaangalie masikio yake yalivyo makubwa, ivi kweli kwakuniangalia mimi na masikio ya aina ile!?" Cyborg alijaribu kujitetea lakini maneno yake kwangu hayakuwa na maana kwa wakati huo.

Nilimwambia afanye maamuzi haraka kabra sijachukua mimi maamuzi, Cyborg aliamua kumfata mfanyakazi wetu wa zamani na kuamua kukubali kuwa ni mtoto wake kisha baada ya hapo alimpatia pesa na kumwambia kuwa atakuwa akijitahidi kumtumia pesa za matumizi ya mtoto mara moja moja.

Alikubali kuondoka na kutuacha sisi wenyewe ndani.

Nilibaki nikimulaumu Cyborg kwanini aliamua kunifanyia usaliti kipindi kile na Cyborg alibaki akiniomba msamaha.

Maisha yaliendelea huku Cyborg akijitajidi kutuma pesa kwa mtoto wake wa nje na deni alilokuwa anadaiwa la milion 7 alianza kupunguza kidogo kidogo.

Uzuri biashara ya Cyborg iliendelea kuimalika siku hadi siku huku wateja wake wakizidi kuongezeka.

Siku hiyo nilipigiwa simu na sauti iliyosikika ilikuwa ya mdogo wangu Anna nilitamani kumkatia lakini siku zote damu ni nzito kuliko maji, niliamua kumsikiliza ni kitu gani alichopanga kuniambia.

Aliniomba msamaha kwa kile kilichowahi kutokea kwani hatukuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke na ilitokana na kile kilichotokea cha kufanya mapenzi na Cyborg.

Aliniambia kuwa anataka aje anitembele kitu ambacho sikukubaliana nacho kabisa kwani niliamini wanaweza kunyanduana na Cyborg kwa mara nyingine.

Baada ya kumkatalia mama yangu alinipigia simu na kuniambia kwanini nimepunguza mawasiliano nao na mimi nilimjibu ni ubize wa kazi niliokuwa nao hivyo mama aliniambia kama sitaki Anna aje kwangu basi yeye mwenyewe atakuja kunitembelea na kuongea na mimi ili ajue tatizo ni nini.

Nilimkubalia na niliona bora aje mama kunitembelea ila sio mdogo wangu Anna.

Baada ya siku kadhaa kupita mama alikuja kunitembelea na siku hiyo tulishinda wote na aliniuliza sababu ya mimi kutokuwa na mawasiliano mazuri na mdogo wa Anna. sikutaka kumwambia ukweli kuwa alifanya mapenzi na mme wangu zaidi ya kumwambia kuwa mdogo wangu haniheshimu kama dada yake.

Tuliendelea kuongea na mda wa kulala ulipofika nilibaki njia panda huku nikifikiria nini cha kufanya kwani nilimjua vizuri Cyborg anavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi.

Sikuwa na nguvu ata za kupanda kitandani kwa wakati huo.
"Malaika mbona umesimama njoo tulale" Cyborg aliniambia bira kujua mawazo niliyokuwa nayo kwenye kichwa changu. kabra sijamjibu niliamua kutoka chumbani na kwenda sebleni kwani kuna wazo nililokuwa nimelipata.

Nilipofika huko nilichomoa waya wa radio na kuibeba na kuipeleka chumbani.

Cyborg alishangaa kuona nikiingia na radio chumbani.
"Angel radio ya nini tena chumbani!?" aliniuliza ila mimi nilienda kuichomeka kwenye switch na kuiwasha na kuweka sauti ya chini.
"Angel sinakuuliza mke wangu radio ya nini humu chumbani!?" aliniuliza kwa mara nyingine.
"Wewe unavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi mara useme tamu mara useme fck you na mama yangu yupo siutaniabisha Cyborg!?" nilimwambia na Cyborg alikubaliana na kile nilichokisema kwani sauti ya radio iliyokuwa ikisikika kwenye chumba chetu ilisaidia kwa kiasi flani ata tulipoanza kufanya mapenzi na Cyborg alipokuwa akipiga kelele zake, sauti ya radio ilisaidia sauti ya Cyborg kutokusikika kwenye chumba alichokuwa amelala mama yangu.

Asubuhi ilipofika nilimsalimia vizuri mama na uzuri hakuweza kugundua chochote kile na siku hiyo alishinda nyumbani kwa mara nyingine.

Usiku kama kawaida yetu mimi pamoja na Cyborg tulikuwa kwenye mizagamuo huku nikiwa nimewasha radio.
Bahati mbaya umeme uliweza kukatika na Cyborg alikuwa akiendelea kuninyandua huku akitamka maneno yake.
"Wewe Cyborg acha sauti inasikika" nilimwambia aacha kuendelea kunizagamua ila Cyborg aliongea.
"Siachi siachi siachi malikia wewe mtamuuu" kwa jinsi alivyokuwa akiongea niliamini ata kama mama alikuwa usingizini mda huo lazima angeamka tu.

Kwakuwa nilikuwa nimeshamjua vizuri mme wangu niliamua kumpa style ambayo huwa inamfanya afike haraka kileleni.

Baada ya kumpa style niliyokuwa nikiiamini Cyborg hakuchelewa alipiga bao na baada ya hapo alijitupa pembeni ya kitanda na kuongea.
"Malaika mbona sisikii sauti ya radio!?" Cyborg aliniuliza na ndipo nilipogundua kuwa akili zake zilikuwa pengine kipindi tunafanya mapenzi.
"Wewe kipindi nakuambia uache kunizagamua ulikuwa ukiendelea tu sijapenda kwakweli" niliongea huku nikigeukia upande mwingine na kumtegea mgongo.
"Basi samahani malaika siunajua upwiru ukinishika nakuwa mtu mwingine kabisa na ulivyo mtamu ndiyo kabisa siwezi ata kujizuia"  Cyborg aliongea na mimi mawazo yangu yalikuwa mbali kwa wakati huo.
"Mmmh kesho sijui nitamuangaliaje mama usoni" niliongea lakini Cyborg aliniambia ni jambo dogo hilo na mama ni mtu mzima haina haja ya mimi kuwa na aibu.

Basi tulilala huku Cyborg akiwa kanikumbatia kwa nyuma huku akinigusisha mpini wake wake kwa nyuma kwenye makalio yangu.

Nilikuwa nikiombea asiweze kushikwa na hamu na kuhitaji kuendelea kufanya sex.......ITAENDELEA.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 42

PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

485
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

438
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

362
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

184
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

169
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

98
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

86
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

77

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest