Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 42
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa na mawazo yangu.

Sikutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka kwani nilizijua vizuri hasira zangu jinsi zilivyo.

Cyborg aliamua kunifata baada ya kuniona nikielekea chumbani.
"Malaika niamini mimi yule sio mtoto wangu, emu kaangalie masikio yake yalivyo makubwa, ivi kweli kwakuniangalia mimi na masikio ya aina ile!?" Cyborg alijaribu kujitetea lakini maneno yake kwangu hayakuwa na maana kwa wakati huo.

Nilimwambia afanye maamuzi haraka kabra sijachukua mimi maamuzi, Cyborg aliamua kumfata mfanyakazi wetu wa zamani na kuamua kukubali kuwa ni mtoto wake kisha baada ya hapo alimpatia pesa na kumwambia kuwa atakuwa akijitahidi kumtumia pesa za matumizi ya mtoto mara moja moja.

Alikubali kuondoka na kutuacha sisi wenyewe ndani.

Nilibaki nikimulaumu Cyborg kwanini aliamua kunifanyia usaliti kipindi kile na Cyborg alibaki akiniomba msamaha.

Maisha yaliendelea huku Cyborg akijitajidi kutuma pesa kwa mtoto wake wa nje na deni alilokuwa anadaiwa la milion 7 alianza kupunguza kidogo kidogo.

Uzuri biashara ya Cyborg iliendelea kuimalika siku hadi siku huku wateja wake wakizidi kuongezeka.

Siku hiyo nilipigiwa simu na sauti iliyosikika ilikuwa ya mdogo wangu Anna nilitamani kumkatia lakini siku zote damu ni nzito kuliko maji, niliamua kumsikiliza ni kitu gani alichopanga kuniambia.

Aliniomba msamaha kwa kile kilichowahi kutokea kwani hatukuwa na mawasiliano mazuri tangu aondoke na ilitokana na kile kilichotokea cha kufanya mapenzi na Cyborg.

Aliniambia kuwa anataka aje anitembele kitu ambacho sikukubaliana nacho kabisa kwani niliamini wanaweza kunyanduana na Cyborg kwa mara nyingine.

Baada ya kumkatalia mama yangu alinipigia simu na kuniambia kwanini nimepunguza mawasiliano nao na mimi nilimjibu ni ubize wa kazi niliokuwa nao hivyo mama aliniambia kama sitaki Anna aje kwangu basi yeye mwenyewe atakuja kunitembelea na kuongea na mimi ili ajue tatizo ni nini.

Nilimkubalia na niliona bora aje mama kunitembelea ila sio mdogo wangu Anna.

Baada ya siku kadhaa kupita mama alikuja kunitembelea na siku hiyo tulishinda wote na aliniuliza sababu ya mimi kutokuwa na mawasiliano mazuri na mdogo wa Anna. sikutaka kumwambia ukweli kuwa alifanya mapenzi na mme wangu zaidi ya kumwambia kuwa mdogo wangu haniheshimu kama dada yake.

Tuliendelea kuongea na mda wa kulala ulipofika nilibaki njia panda huku nikifikiria nini cha kufanya kwani nilimjua vizuri Cyborg anavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi.

Sikuwa na nguvu ata za kupanda kitandani kwa wakati huo.
"Malaika mbona umesimama njoo tulale" Cyborg aliniambia bira kujua mawazo niliyokuwa nayo kwenye kichwa changu. kabra sijamjibu niliamua kutoka chumbani na kwenda sebleni kwani kuna wazo nililokuwa nimelipata.

Nilipofika huko nilichomoa waya wa radio na kuibeba na kuipeleka chumbani.

Cyborg alishangaa kuona nikiingia na radio chumbani.
"Angel radio ya nini tena chumbani!?" aliniuliza ila mimi nilienda kuichomeka kwenye switch na kuiwasha na kuweka sauti ya chini.
"Angel sinakuuliza mke wangu radio ya nini humu chumbani!?" aliniuliza kwa mara nyingine.
"Wewe unavyopenda kupiga kelele wakati wa kufanya mapenzi mara useme tamu mara useme fck you na mama yangu yupo siutaniabisha Cyborg!?" nilimwambia na Cyborg alikubaliana na kile nilichokisema kwani sauti ya radio iliyokuwa ikisikika kwenye chumba chetu ilisaidia kwa kiasi flani ata tulipoanza kufanya mapenzi na Cyborg alipokuwa akipiga kelele zake, sauti ya radio ilisaidia sauti ya Cyborg kutokusikika kwenye chumba alichokuwa amelala mama yangu.

Asubuhi ilipofika nilimsalimia vizuri mama na uzuri hakuweza kugundua chochote kile na siku hiyo alishinda nyumbani kwa mara nyingine.

Usiku kama kawaida yetu mimi pamoja na Cyborg tulikuwa kwenye mizagamuo huku nikiwa nimewasha radio.
Bahati mbaya umeme uliweza kukatika na Cyborg alikuwa akiendelea kuninyandua huku akitamka maneno yake.
"Wewe Cyborg acha sauti inasikika" nilimwambia aacha kuendelea kunizagamua ila Cyborg aliongea.
"Siachi siachi siachi malikia wewe mtamuuu" kwa jinsi alivyokuwa akiongea niliamini ata kama mama alikuwa usingizini mda huo lazima angeamka tu.

Kwakuwa nilikuwa nimeshamjua vizuri mme wangu niliamua kumpa style ambayo huwa inamfanya afike haraka kileleni.

Baada ya kumpa style niliyokuwa nikiiamini Cyborg hakuchelewa alipiga bao na baada ya hapo alijitupa pembeni ya kitanda na kuongea.
"Malaika mbona sisikii sauti ya radio!?" Cyborg aliniuliza na ndipo nilipogundua kuwa akili zake zilikuwa pengine kipindi tunafanya mapenzi.
"Wewe kipindi nakuambia uache kunizagamua ulikuwa ukiendelea tu sijapenda kwakweli" niliongea huku nikigeukia upande mwingine na kumtegea mgongo.
"Basi samahani malaika siunajua upwiru ukinishika nakuwa mtu mwingine kabisa na ulivyo mtamu ndiyo kabisa siwezi ata kujizuia"  Cyborg aliongea na mimi mawazo yangu yalikuwa mbali kwa wakati huo.
"Mmmh kesho sijui nitamuangaliaje mama usoni" niliongea lakini Cyborg aliniambia ni jambo dogo hilo na mama ni mtu mzima haina haja ya mimi kuwa na aibu.

Basi tulilala huku Cyborg akiwa kanikumbatia kwa nyuma huku akinigusisha mpini wake wake kwa nyuma kwenye makalio yangu.

Nilikuwa nikiombea asiweze kushikwa na hamu na kuhitaji kuendelea kufanya sex.......ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 42

PENZI LA MHALIFU 42

Nilikuwa kwenye wakati mgumu kwa wakati huo kwani nilikuwa sitaki kabisa kuwa na mwanaume mwenye watoto wa nje ya ndoa.

Upande wa chumbani Cyborg baada ya kuona nimechelewa kurudi chumbani uvumilivu ulimshinda, aliamua kuvaa nguo zake na kutoka chumbani.

Alimkuta mfanyakazi na alikutana na taarifa kuhusu mtoto aliyekuja nae huku ikisemekana ni mtoto wake.

Cyborg alimchukua mtoto na kujaribu kumwangalia kama watakuwa wanafanana.
Baada ya kumuangalia Cyborg aliongea.
"Wewe huyu sio mtoto wangu, mimi watoto wangu nawajua"
"Ni wako kaka, wewe ndiye baba yake naomba uamini hilo" mfanyakazi wangu wa zamani aliongea na mimi mda huo nilikuwa nikisikiliza maongezi yao kwani nilikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

75
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest