Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 10
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 10

Kiukweli sikuwa na amani kwani niliamini kitumbua changu kipo kwenye hatari ya kuliwa mda wowote ule na mkuu wangu wa kazi, kuna mda niliwaza nimtafute Cyborg ila moyo mwingine uligoma kabisa kwa kuhisi nitazidi kuongeza matatizo.

Mimi na mkuu wangu wa kazi tuliweza kufika sehemu husika na aliniambia niteremke kwenye gari na mimi nilifanya kama alivyoniambia.

Tulielekea mpaka kwenye nyumba moja ya kawaida na Mkuu wangu aliingia kwenye chumba kimoja wapo huku akiniambia nimfate kitu ambacho sikutaka kufanya kabisa.

Nilisimama mlangoni na kugoma kuingia kwenye chumba hicho ndipo mkuu alipokasirika nakuongea.
"Acha ujinga wewe hapa upo kikazi usifikiri kila mda nataka nikutie tu, emu ingie huko" aliongea kwa ukali hivyo ilibidi niingie ndani ya chumba hicho.

Nilipoingia kwenye chumba hicho kitandani kulikuwa na nguo za kike wanazovaa machagudoa za kila aina, huku chini ya kitanda kukiwa na viatu vya kike.

Mkuu aliongea" vuaa hizo nguo zako uchague nguo moja wapo hapo, kuna kazi unayotakiwa kwenda kuifanya na hutakiwi kuonekana na vazi la kipolisi" mkuu aliongea na nilibaki nimemkodolea macho kwa kile alichokiongea.

Aliniambia kwa mara nyingine nivue sare zangu nilizokuwa nimevaa na mimi niliona ni ujinga hasa kuvua mbele yake.
"Toka nje nivue" nilimwambia na aliondoka huku akiwa kakunja sura kwani alitaka walau aone rangi ya chupi yangu inafananaje.

Nilibaki peke yangu nakuanza kutafakari kile nilichoambiwa na mkuu wangu na kilichokuwa kikiniumiza kichwa ni mavazi yaliyokuwa pale kitandani maana mimi ni mtu wa kuvaa suruali kwa sana na pensi tu.

Niliamua kuvua sare zangu nakuanza kuchagua nguo yenye uangalau kidogo, ila nguo zote hazikuwa na utofauti hivyo niliamua kuvaa moja wapo na niliangalia chini vyiatu vinachoendana na mimi ilibidi nilivua viatu vyangu vya kazi na kuamua kuvivaa viatu vilivyokuwa pale.

Baada ya kuvaa nilibaki nikimtukana mkuu wangu nikiwa mwenyewe ndani ya chumba hicho" huyu mkuu ni fala sana nguo gani hizi" niliongea kwani mpaja yote yalikuwa nje na mtu kama angetaka kunizagamua asingepata tabu kutokana na mavazi niliyokuwa nimevaa.

Nilitoka ndani ya chumba hicho huku nikiwa najiangalia kila mara na nilimkuta mkuu akinisubiri nje huku akitoa ulimi wake baada ya kuona mapaja yangu na nilipomtazama kwenye zipu yake ya suruali tayari alikuwa ameshasimamisha.

Kidogo nilijikuta nikishikwa na aibu nikiwa kama mwanamke.

Mkuu hakutaka kuongea kitu bali alienda kuchukua mfuko na aliporudi alinikabizi na kuniambia nikaweke sare zangu nilizokuwa nimevua kwenye mfuko alionipatia.

Nilifanya kama alivyoniambia na baadae aliniambia tuongozane wote kwenye gari lake, kiukweli hiyo siku nilishindwa kuelewa kabisa dhumuni na mpango wa mkuu wangu wa kazi ni upi.
Niliingia kwenye gari nikiwa na mfuko wangu niliokuwa nimeweka sare zangu za kazi pamoja na viatu.

Mkuu alianza kuendesha gari na safari yetu ilitufikisha kwenye klabu moja maharufu iliyokuwa na kila aina ya starehe.

Mkuu aliniambia kuwa natakiwa niingie ndani ya klabu hiyo na kuna kijana mmoja nitamuona kavaa tisheti nyekundu, nitatakiwa kumfata kijana huo.

Kijana huyo nitajitambulisha kwake kisha baada ya hapo atanipa mpango wa kumkamata tajiri mmoja aliyekuwa akiitwa James kwani alikuwa akipenda kwenda kwenye klabu hiyo kwa ajili ya kufanya biashara zake za madawa ya kulevya ndani ya klabu hiyo.

Nilijua tu kuwa mkuu kaamua kufanya hivyo ili anikomeshe hivyo nilimwangalia na kuamua kumwambia.
"Hii kazi ni ngumu kwangu siiwezi peke yangu"

Mkuu alikasirika baada ya mimi kumwambia vile.
"Hutaki kufata amri ya mkuu wako sio au unataka ufukuzwe kazi!?, nakupa dekika tano za kufikiria ufanye vile nilivyokwambia au nifanye maamuzi ya kukusimamisha" mkuu aliongea kwa kunitisha na mimi ilibidi nikubali kwenda kuifanya kazi yake.

Kwanza kilichokuwa kikiniuma ni mafunzo niliyoyapitia nilivyokuwa jkt na nilivyohangaika kutafuta kazi alafu anatokea mjinga na kutaka kuniharibia, ndiyo sababu iliyonifanya nikubali.

Niliondoka na kuingia ndani ya ukumbi huo huku nikimuacha boss akiniangalia kwa dharau.

Sikujua kama ilikuwa ni kazi au ulikuwa ni mpango wake tu kwani nilipofika ndani ya klabu hiyo niliwaona vijana wawili na nilipomwangalia kijana mmoja wao aliyekuwa na tisheti yenye rangi nyekundu.

Nilikumbuka jinsi mkuu wangu alivyoniambia kuwa nitakutana na kijana mwenye tishet nyekundu na inatakiwa nimfate na kujitambulisha kwake ili anipe maelezo kamili na jinsi kazi inavyotakiwa kufanyika.

Sikuwa na uhakika kama ndiye yeye ila niliamua kumsogelea na kwenda kutoa salamu kwake.

Kaka yule aliniangalia kwa kunipandisha na kunishusha kisha baada ya hapo alishika mkono kwenye kidevu chake na kuanza kukuna ndevu zake.
"Umetumwa na Mr Robert!?"
Aliniuliza akimaanisha mkuu niliyekuja nae na mimi nilimkubalia kuwa ndiye aliyeniagiza.

"Twende huku tukaongee" aliniambia na mimi nilianza kumfata. tulifika sehemu na kuingia kwenye chumba kimoja na ndani ya chumba hicho hakukuwa na mtu mwingine zaidi yetu.

Nilishuhudia kukiwa na vinywaji vya kila aina kwenye meza iliyokuwa ndani ya chumba hicho.

Mkaka yule alikaa kitandani na baadae aliniongelesha.
"Unatumia kinywaji gani!?"
Aliniuliza na kunifanya nishangae nakuamua kumjibu.
"Sijaja hapa kunywa vinywaji bali nimekuja kikazi" nilimjibu lakini nilishangaa kuona akinilazimisha ninywe kinywaji chochote kile ndipo tufanye maongezi.

Nikiwa kama asikari niligundua lazima kuna kitu kinachoendelea kwani tangu nifike hakuna chochote alichoniambia zaidi ya kunilazimisha ninywe kinywaji.

Sikutaka tena kuendelea kubaki ndani ya chumba hicho, nilinyenyuka kwa ajili ya kuondoka lakini aliniwahi na kunizuia.
"Unataka kwenda wapi mrembo!?" aliongea huku akijaribu kunivuta.
"Achia mkono wangu kabra sijakubadilikia" nilimwambia lakini alijifanya mjuaji.

Nilimpiga teke kwenye sehemu zake za siri na lilienda kumpata vyema kwenye korodaniย na kumfanya aniachie nakuanza kushika korodani zake kutokana na maumivu aliyokuwa akiyapata kwa wakati huo.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 10

PENZI LA MHALIFU 10

Kiukweli sikuwa na amani kwani niliamini kitumbua changu kipo kwenye hatari ya kuliwa mda wowote ule na mkuu wangu wa kazi, kuna mda niliwaza nimtafute Cyborg ila moyo mwingine uligoma kabisa kwa kuhisi nitazidi kuongeza matatizo.

Mimi na mkuu wangu wa kazi tuliweza kufika sehemu husika na aliniambia niteremke kwenye gari na mimi nilifanya kama alivyoniambia.

Tulielekea mpaka kwenye nyumba moja ya kawaida na Mkuu wangu aliingia kwenye chumba kimoja wapo huku akiniambia nimfate kitu ambacho sikutaka kufanya kabisa.

Nilisimama mlangoni na kugoma kuingia kwenye chumba hicho ndipo mkuu alipokasirika nakuongea.
"Acha ujinga wewe hapa upo kikazi usifikiri kila mda nataka...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

308
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

42
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest