Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 10
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 10

Kiukweli sikuwa na amani kwani niliamini kitumbua changu kipo kwenye hatari ya kuliwa mda wowote ule na mkuu wangu wa kazi, kuna mda niliwaza nimtafute Cyborg ila moyo mwingine uligoma kabisa kwa kuhisi nitazidi kuongeza matatizo.

Mimi na mkuu wangu wa kazi tuliweza kufika sehemu husika na aliniambia niteremke kwenye gari na mimi nilifanya kama alivyoniambia.

Tulielekea mpaka kwenye nyumba moja ya kawaida na Mkuu wangu aliingia kwenye chumba kimoja wapo huku akiniambia nimfate kitu ambacho sikutaka kufanya kabisa.

Nilisimama mlangoni na kugoma kuingia kwenye chumba hicho ndipo mkuu alipokasirika nakuongea.
"Acha ujinga wewe hapa upo kikazi usifikiri kila mda nataka nikutie tu, emu ingie huko" aliongea kwa ukali hivyo ilibidi niingie ndani ya chumba hicho.

Nilipoingia kwenye chumba hicho kitandani kulikuwa na nguo za kike wanazovaa machagudoa za kila aina, huku chini ya kitanda kukiwa na viatu vya kike.

Mkuu aliongea" vuaa hizo nguo zako uchague nguo moja wapo hapo, kuna kazi unayotakiwa kwenda kuifanya na hutakiwi kuonekana na vazi la kipolisi" mkuu aliongea na nilibaki nimemkodolea macho kwa kile alichokiongea.

Aliniambia kwa mara nyingine nivue sare zangu nilizokuwa nimevaa na mimi niliona ni ujinga hasa kuvua mbele yake.
"Toka nje nivue" nilimwambia na aliondoka huku akiwa kakunja sura kwani alitaka walau aone rangi ya chupi yangu inafananaje.

Nilibaki peke yangu nakuanza kutafakari kile nilichoambiwa na mkuu wangu na kilichokuwa kikiniumiza kichwa ni mavazi yaliyokuwa pale kitandani maana mimi ni mtu wa kuvaa suruali kwa sana na pensi tu.

Niliamua kuvua sare zangu nakuanza kuchagua nguo yenye uangalau kidogo, ila nguo zote hazikuwa na utofauti hivyo niliamua kuvaa moja wapo na niliangalia chini vyiatu vinachoendana na mimi ilibidi nilivua viatu vyangu vya kazi na kuamua kuvivaa viatu vilivyokuwa pale.

Baada ya kuvaa nilibaki nikimtukana mkuu wangu nikiwa mwenyewe ndani ya chumba hicho" huyu mkuu ni fala sana nguo gani hizi" niliongea kwani mpaja yote yalikuwa nje na mtu kama angetaka kunizagamua asingepata tabu kutokana na mavazi niliyokuwa nimevaa.

Nilitoka ndani ya chumba hicho huku nikiwa najiangalia kila mara na nilimkuta mkuu akinisubiri nje huku akitoa ulimi wake baada ya kuona mapaja yangu na nilipomtazama kwenye zipu yake ya suruali tayari alikuwa ameshasimamisha.

Kidogo nilijikuta nikishikwa na aibu nikiwa kama mwanamke.

Mkuu hakutaka kuongea kitu bali alienda kuchukua mfuko na aliporudi alinikabizi na kuniambia nikaweke sare zangu nilizokuwa nimevua kwenye mfuko alionipatia.

Nilifanya kama alivyoniambia na baadae aliniambia tuongozane wote kwenye gari lake, kiukweli hiyo siku nilishindwa kuelewa kabisa dhumuni na mpango wa mkuu wangu wa kazi ni upi.
Niliingia kwenye gari nikiwa na mfuko wangu niliokuwa nimeweka sare zangu za kazi pamoja na viatu.

Mkuu alianza kuendesha gari na safari yetu ilitufikisha kwenye klabu moja maharufu iliyokuwa na kila aina ya starehe.

Mkuu aliniambia kuwa natakiwa niingie ndani ya klabu hiyo na kuna kijana mmoja nitamuona kavaa tisheti nyekundu, nitatakiwa kumfata kijana huo.

Kijana huyo nitajitambulisha kwake kisha baada ya hapo atanipa mpango wa kumkamata tajiri mmoja aliyekuwa akiitwa James kwani alikuwa akipenda kwenda kwenye klabu hiyo kwa ajili ya kufanya biashara zake za madawa ya kulevya ndani ya klabu hiyo.

Nilijua tu kuwa mkuu kaamua kufanya hivyo ili anikomeshe hivyo nilimwangalia na kuamua kumwambia.
"Hii kazi ni ngumu kwangu siiwezi peke yangu"

Mkuu alikasirika baada ya mimi kumwambia vile.
"Hutaki kufata amri ya mkuu wako sio au unataka ufukuzwe kazi!?, nakupa dekika tano za kufikiria ufanye vile nilivyokwambia au nifanye maamuzi ya kukusimamisha" mkuu aliongea kwa kunitisha na mimi ilibidi nikubali kwenda kuifanya kazi yake.

Kwanza kilichokuwa kikiniuma ni mafunzo niliyoyapitia nilivyokuwa jkt na nilivyohangaika kutafuta kazi alafu anatokea mjinga na kutaka kuniharibia, ndiyo sababu iliyonifanya nikubali.

Niliondoka na kuingia ndani ya ukumbi huo huku nikimuacha boss akiniangalia kwa dharau.

Sikujua kama ilikuwa ni kazi au ulikuwa ni mpango wake tu kwani nilipofika ndani ya klabu hiyo niliwaona vijana wawili na nilipomwangalia kijana mmoja wao aliyekuwa na tisheti yenye rangi nyekundu.

Nilikumbuka jinsi mkuu wangu alivyoniambia kuwa nitakutana na kijana mwenye tishet nyekundu na inatakiwa nimfate na kujitambulisha kwake ili anipe maelezo kamili na jinsi kazi inavyotakiwa kufanyika.

Sikuwa na uhakika kama ndiye yeye ila niliamua kumsogelea na kwenda kutoa salamu kwake.

Kaka yule aliniangalia kwa kunipandisha na kunishusha kisha baada ya hapo alishika mkono kwenye kidevu chake na kuanza kukuna ndevu zake.
"Umetumwa na Mr Robert!?"
Aliniuliza akimaanisha mkuu niliyekuja nae na mimi nilimkubalia kuwa ndiye aliyeniagiza.

"Twende huku tukaongee" aliniambia na mimi nilianza kumfata. tulifika sehemu na kuingia kwenye chumba kimoja na ndani ya chumba hicho hakukuwa na mtu mwingine zaidi yetu.

Nilishuhudia kukiwa na vinywaji vya kila aina kwenye meza iliyokuwa ndani ya chumba hicho.

Mkaka yule alikaa kitandani na baadae aliniongelesha.
"Unatumia kinywaji gani!?"
Aliniuliza na kunifanya nishangae nakuamua kumjibu.
"Sijaja hapa kunywa vinywaji bali nimekuja kikazi" nilimjibu lakini nilishangaa kuona akinilazimisha ninywe kinywaji chochote kile ndipo tufanye maongezi.

Nikiwa kama asikari niligundua lazima kuna kitu kinachoendelea kwani tangu nifike hakuna chochote alichoniambia zaidi ya kunilazimisha ninywe kinywaji.

Sikutaka tena kuendelea kubaki ndani ya chumba hicho, nilinyenyuka kwa ajili ya kuondoka lakini aliniwahi na kunizuia.
"Unataka kwenda wapi mrembo!?" aliongea huku akijaribu kunivuta.
"Achia mkono wangu kabra sijakubadilikia" nilimwambia lakini alijifanya mjuaji.

Nilimpiga teke kwenye sehemu zake za siri na lilienda kumpata vyema kwenye korodani na kumfanya aniachie nakuanza kushika korodani zake kutokana na maumivu aliyokuwa akiyapata kwa wakati huo.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 10

PENZI LA MHALIFU 10

Kiukweli sikuwa na amani kwani niliamini kitumbua changu kipo kwenye hatari ya kuliwa mda wowote ule na mkuu wangu wa kazi, kuna mda niliwaza nimtafute Cyborg ila moyo mwingine uligoma kabisa kwa kuhisi nitazidi kuongeza matatizo.

Mimi na mkuu wangu wa kazi tuliweza kufika sehemu husika na aliniambia niteremke kwenye gari na mimi nilifanya kama alivyoniambia.

Tulielekea mpaka kwenye nyumba moja ya kawaida na Mkuu wangu aliingia kwenye chumba kimoja wapo huku akiniambia nimfate kitu ambacho sikutaka kufanya kabisa.

Nilisimama mlangoni na kugoma kuingia kwenye chumba hicho ndipo mkuu alipokasirika nakuongea.
"Acha ujinga wewe hapa upo kikazi usifikiri kila mda nataka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

75
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest