Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 04.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 04.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 04.

Basi baada ya kufika chumbani Cyborg alianza kunicheza bira kunipa nafasi ya kuvua uniform zangu za kazi.
"Tulia basi na wewe mme wangu nivue kwanza uniform hii K ni yako haraka ya nini!?"
niliongea huku nikijaribu kumsogeza pembeni lakini mwenzangu hakutaka kuelewa kabisa.
"Kuhusu uniform niachie mimi nitakuvulisha mwenyewe, ujue nini Malaika!?, nilikuwa kwenye mihangaiko yangu na gafra mhogo wangu ukasimama, sikutaka kukusaliti ndiyo maana niliamua kuja mapema nyumbani kwa ajili ya kukutia mke wangu yani nataka nikutie mpaka mhogo wangu ulidhike"
Cyborg aliongea huku akikichezea kisima changu.

Basi bwana ilibidi nimuache afanye anachotaka kwani ata mimi aliniambukiza ugonjwa wa kutamani kufanya mapenzi mara kwa mara na ilifika mda kisima changu kilizoea kutiwa na kilihitaji kupunguziwa maji kila mda na Cyborg.

Alinitia na baadae alifunga magoal mawili ya kiwango huku goli moja akifunga kwa kupiga mpira kuanzia katikati ya kiwanja mpaka golini, ndipo aliponipa nafasi ya mimi kupumua.

Alijitupa pembeni yangu huku akiendelea kushika matiti yangu na kuongea.
"Siku nikija kuona mtu yoyote anakugonga zaidi yangu lazima nimuue"
Cyborg aliongea.
"Mimi sio mtu wa kutiwa na wanaume hovyo wewe peke yako unanitosha japo hapa nilipo na mawazo" nilimwambia na Cyborg alikaa vizuri na kuniuliza.
"Niambie Malaika tatizo gani linalokusumbua, wewe ndiyo dunia yangu sitaki kuona ukipata shida kabisa"
"Nimepewa kazi ya kupeleleza wizi uliotokea usiku uliopita na sijui nianzie wapi" niliongea na Cyborg alikaa kimya na alionyesha kuna kitu anachokifahamu.

Nikiwa kama asikari nilianza kushikwa na mashaka hasa kwa kile alichoniambia usiku uliopita kuwa bado anaendelea na kazi zake za wizi.
"Au wewe ndio uliyehusika na wizi uliotokea!?" nilimuuliza Cyborg.
"Dah acha tu nikwambie ukweli Malaika" Cyborg aliongea na alianza kunisimulia kila kitu jinsi wizi ulivyotokea huku na yeye akiwa ni miongoni mwa watu waliofanya wizi huo.

Nilibaki nikijiuliza ivi nitawezaje kuishi na mwanaume mwizi huku mimi nikiwa ni asikari wa jeshi la polisi. Kilichokuwa kikiniumiza kichwa ni kazi ya upelelezi niliyokuwa nimepewa huku moja ya wahusika akiwa ni Cyborg mme wangu.

"Cyborg nimechoka haya maisha na kama ukiendelea ivi basi ndoa yetu itavunjika mda wowote ule, siwezi kuendelea kuishi na wewe tena"
Nilimwambia Cyborg.
"Basi sitarudia tena Malaika na mimi nitakusaidia kuweza kuwakamata waharifu na vitu vyote vilivyoibiwa utavipata"
Cyborg aliongea lakini nilijikuta nikicheka nakuongea.
"Ata wewe nimhusika huoni kama nikiwakamata wenzako watakutaja na wewe!?"
"Sawa tu nimeshazoea kwenda selo mhimu kazi yako iende vizuri"
Cyborg alinijibu na kwakuwa nilikuwa tayari nikimpenda mme wangu nilienda kumdanganya mkuu wangu kuwa imeshindikana kuwapata wezi.

Niliamua kufanya vile kwa ajili ya kumlinda Cyborg na mimi pia kwani angekamatwa bado ningeendelea kujichafulia jina langu la kuishi na mwanaume ambae ni mwizi.

Cyborg aliniahidi hatorudi kwenye kazi hiyo tena ata iweje na ata bangi sikuwahi kumuona akivuta hivyo aliamua kujichanganya mtaani kwa kufanya kazi mbali mbali.

Ukiachana na tabia ya wizi aliyokuwa nayo mme wangu ila kwenye mambo ya upambanaji na kujali mwanamke alikuwa ni mwanaume mwenye kila sifa.  Kwakuwa Cyborg alikuwa akifahamiana na watu wengi alipata kazi kwa tajiri mmoja ya udereva.

Maisha yaliendelea huku furaha ikiongezeka kwenye ndoa yangu baada ya Cyborg kuacha tabia ya kuibia watu.

Nakumbuka ilikuwa jamatatu nikiwa kwenye kituo cha kazi siku hiyo tuliletewa taarifa za watu kufanya vuluga kwenye soko lililokuwa karibu na kituo chetu cha polisi.

Tuliondoka nikiwa mimi pamoja na asikari wenzangu kwa ajili ya kwenda kuzuia vulugu zilizokuwa zikiendelea. wafanya biashara wa soko hilo walikuwa wakitolewa na migambo kwa nguvu kwenye maeneo yao hali iliyowafanya waanze kuleta vulugu kwa kuwaponda na mawe migambo waliokuwa wakiwatoa kwa nguvu.

Tulikuwa na kazi ya kuwatuliza na kijana mmoja aliyeonekana na hasira aliyekuwa akinifahamu alianza kunitukana matusi ya nguoni.
"Nyie hamna kitu chochote mnachofanya kwenye hii nchini kama wewe asikari demu ndio mjinga kabisa wa mwisho yani unakubali kuolewa na kutiwa na mwizi alafu unategemea uweze kutulinda sisi wananchi wako!?" aliongea maneno ya kila aina huku vijana wengine wakiungana nae kunitukana.

Ilibidi mabomu ya machozi yatumike kwa ajili ya kutuliza vulugu zilizokuwa zikiendelea.

Baada ya mda kupita hakukuwa na vulugu tena na asikari mwenzangu mmoja alinifata nakuniambia.
"Afande Angel, mimi naona ni bora uje utafute mwanaume mwingine wa kukuoa na yule uliyenae uachane nae tu" aliongea kama kunipa ushauri lakini ushauri wake uliingilia sikio la kulia na kutokea kushoto.

Sikutaka kuukubali ushauri alionipatia kwani Cyborg alikuwa akinitia kisawasawa na kunilizisha.

Cyborg alikuwa akinijali na kunipa kile nilichokuwa nikitaka kulingana na uwezo wake. ningeanzaje kuachana na mwanaume kama huyo? hasa nikisikia wanawake wenzangu wanalalamika kuwa wanaume zao hawa walizishi kwenye mapenzi. Niliona nitakuwa mjinga wa mwisho kama nitafata ushauri wa kuachana na Cyborg.

Nilimwambia Asikari mwenzangu haitowezekana kuachana na Cyborg na nipo tayari kuvumilia maneno watakayo kuwa wakiongea watu ila sio kuachana na mpenzi wangu Cyborg.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 04.

PENZI LA MHALIFU 04.

Basi baada ya kufika chumbani Cyborg alianza kunicheza bira kunipa nafasi ya kuvua uniform zangu za kazi.
"Tulia basi na wewe mme wangu nivue kwanza uniform hii K ni yako haraka ya nini!?"
niliongea huku nikijaribu kumsogeza pembeni lakini mwenzangu hakutaka kuelewa kabisa.
"Kuhusu uniform niachie mimi nitakuvulisha mwenyewe, ujue nini Malaika!?, nilikuwa kwenye mihangaiko yangu na gafra mhogo wangu ukasimama, sikutaka kukusaliti ndiyo maana niliamua kuja mapema nyumbani kwa ajili ya kukutia mke wangu yani nataka nikutie mpaka mhogo wangu ulidhike"
Cyborg aliongea huku akikichezea kisima changu.

Basi bwana ilibidi nimuache afanye anachotaka kwani ata mimi aliniambukiza ugonjwa wa kutamani kufanya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.26K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

883
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO

304
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

299
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

68
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

5

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.96K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.64K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.89K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.05K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.82K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.71K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.68K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest