Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 04.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 04.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 04.

Basi baada ya kufika chumbani Cyborg alianza kunicheza bira kunipa nafasi ya kuvua uniform zangu za kazi.
"Tulia basi na wewe mme wangu nivue kwanza uniform hii K ni yako haraka ya nini!?"
niliongea huku nikijaribu kumsogeza pembeni lakini mwenzangu hakutaka kuelewa kabisa.
"Kuhusu uniform niachie mimi nitakuvulisha mwenyewe, ujue nini Malaika!?, nilikuwa kwenye mihangaiko yangu na gafra mhogo wangu ukasimama, sikutaka kukusaliti ndiyo maana niliamua kuja mapema nyumbani kwa ajili ya kukutia mke wangu yani nataka nikutie mpaka mhogo wangu ulidhike"
Cyborg aliongea huku akikichezea kisima changu.

Basi bwana ilibidi nimuache afanye anachotaka kwani ata mimi aliniambukiza ugonjwa wa kutamani kufanya mapenzi mara kwa mara na ilifika mda kisima changu kilizoea kutiwa na kilihitaji kupunguziwa maji kila mda na Cyborg.

Alinitia na baadae alifunga magoal mawili ya kiwango huku goli moja akifunga kwa kupiga mpira kuanzia katikati ya kiwanja mpaka golini, ndipo aliponipa nafasi ya mimi kupumua.

Alijitupa pembeni yangu huku akiendelea kushika matiti yangu na kuongea.
"Siku nikija kuona mtu yoyote anakugonga zaidi yangu lazima nimuue"
Cyborg aliongea.
"Mimi sio mtu wa kutiwa na wanaume hovyo wewe peke yako unanitosha japo hapa nilipo na mawazo" nilimwambia na Cyborg alikaa vizuri na kuniuliza.
"Niambie Malaika tatizo gani linalokusumbua, wewe ndiyo dunia yangu sitaki kuona ukipata shida kabisa"
"Nimepewa kazi ya kupeleleza wizi uliotokea usiku uliopita na sijui nianzie wapi" niliongea na Cyborg alikaa kimya na alionyesha kuna kitu anachokifahamu.

Nikiwa kama asikari nilianza kushikwa na mashaka hasa kwa kile alichoniambia usiku uliopita kuwa bado anaendelea na kazi zake za wizi.
"Au wewe ndio uliyehusika na wizi uliotokea!?" nilimuuliza Cyborg.
"Dah acha tu nikwambie ukweli Malaika" Cyborg aliongea na alianza kunisimulia kila kitu jinsi wizi ulivyotokea huku na yeye akiwa ni miongoni mwa watu waliofanya wizi huo.

Nilibaki nikijiuliza ivi nitawezaje kuishi na mwanaume mwizi huku mimi nikiwa ni asikari wa jeshi la polisi. Kilichokuwa kikiniumiza kichwa ni kazi ya upelelezi niliyokuwa nimepewa huku moja ya wahusika akiwa ni Cyborg mme wangu.

"Cyborg nimechoka haya maisha na kama ukiendelea ivi basi ndoa yetu itavunjika mda wowote ule, siwezi kuendelea kuishi na wewe tena"
Nilimwambia Cyborg.
"Basi sitarudia tena Malaika na mimi nitakusaidia kuweza kuwakamata waharifu na vitu vyote vilivyoibiwa utavipata"
Cyborg aliongea lakini nilijikuta nikicheka nakuongea.
"Ata wewe nimhusika huoni kama nikiwakamata wenzako watakutaja na wewe!?"
"Sawa tu nimeshazoea kwenda selo mhimu kazi yako iende vizuri"
Cyborg alinijibu na kwakuwa nilikuwa tayari nikimpenda mme wangu nilienda kumdanganya mkuu wangu kuwa imeshindikana kuwapata wezi.

Niliamua kufanya vile kwa ajili ya kumlinda Cyborg na mimi pia kwani angekamatwa bado ningeendelea kujichafulia jina langu la kuishi na mwanaume ambae ni mwizi.

Cyborg aliniahidi hatorudi kwenye kazi hiyo tena ata iweje na ata bangi sikuwahi kumuona akivuta hivyo aliamua kujichanganya mtaani kwa kufanya kazi mbali mbali.

Ukiachana na tabia ya wizi aliyokuwa nayo mme wangu ila kwenye mambo ya upambanaji na kujali mwanamke alikuwa ni mwanaume mwenye kila sifa.  Kwakuwa Cyborg alikuwa akifahamiana na watu wengi alipata kazi kwa tajiri mmoja ya udereva.

Maisha yaliendelea huku furaha ikiongezeka kwenye ndoa yangu baada ya Cyborg kuacha tabia ya kuibia watu.

Nakumbuka ilikuwa jamatatu nikiwa kwenye kituo cha kazi siku hiyo tuliletewa taarifa za watu kufanya vuluga kwenye soko lililokuwa karibu na kituo chetu cha polisi.

Tuliondoka nikiwa mimi pamoja na asikari wenzangu kwa ajili ya kwenda kuzuia vulugu zilizokuwa zikiendelea. wafanya biashara wa soko hilo walikuwa wakitolewa na migambo kwa nguvu kwenye maeneo yao hali iliyowafanya waanze kuleta vulugu kwa kuwaponda na mawe migambo waliokuwa wakiwatoa kwa nguvu.

Tulikuwa na kazi ya kuwatuliza na kijana mmoja aliyeonekana na hasira aliyekuwa akinifahamu alianza kunitukana matusi ya nguoni.
"Nyie hamna kitu chochote mnachofanya kwenye hii nchini kama wewe asikari demu ndio mjinga kabisa wa mwisho yani unakubali kuolewa na kutiwa na mwizi alafu unategemea uweze kutulinda sisi wananchi wako!?" aliongea maneno ya kila aina huku vijana wengine wakiungana nae kunitukana.

Ilibidi mabomu ya machozi yatumike kwa ajili ya kutuliza vulugu zilizokuwa zikiendelea.

Baada ya mda kupita hakukuwa na vulugu tena na asikari mwenzangu mmoja alinifata nakuniambia.
"Afande Angel, mimi naona ni bora uje utafute mwanaume mwingine wa kukuoa na yule uliyenae uachane nae tu" aliongea kama kunipa ushauri lakini ushauri wake uliingilia sikio la kulia na kutokea kushoto.

Sikutaka kuukubali ushauri alionipatia kwani Cyborg alikuwa akinitia kisawasawa na kunilizisha.

Cyborg alikuwa akinijali na kunipa kile nilichokuwa nikitaka kulingana na uwezo wake. ningeanzaje kuachana na mwanaume kama huyo? hasa nikisikia wanawake wenzangu wanalalamika kuwa wanaume zao hawa walizishi kwenye mapenzi. Niliona nitakuwa mjinga wa mwisho kama nitafata ushauri wa kuachana na Cyborg.

Nilimwambia Asikari mwenzangu haitowezekana kuachana na Cyborg na nipo tayari kuvumilia maneno watakayo kuwa wakiongea watu ila sio kuachana na mpenzi wangu Cyborg.......ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 04.

PENZI LA MHALIFU 04.

Basi baada ya kufika chumbani Cyborg alianza kunicheza bira kunipa nafasi ya kuvua uniform zangu za kazi.
"Tulia basi na wewe mme wangu nivue kwanza uniform hii K ni yako haraka ya nini!?"
niliongea huku nikijaribu kumsogeza pembeni lakini mwenzangu hakutaka kuelewa kabisa.
"Kuhusu uniform niachie mimi nitakuvulisha mwenyewe, ujue nini Malaika!?, nilikuwa kwenye mihangaiko yangu na gafra mhogo wangu ukasimama, sikutaka kukusaliti ndiyo maana niliamua kuja mapema nyumbani kwa ajili ya kukutia mke wangu yani nataka nikutie mpaka mhogo wangu ulidhike"
Cyborg aliongea huku akikichezea kisima changu.

Basi bwana ilibidi nimuache afanye anachotaka kwani ata mimi aliniambukiza ugonjwa wa kutamani kufanya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-04

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

787
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

493
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

458
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

428
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

377
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

321
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

242
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

174
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

137
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.44K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.21K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.44K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.39K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest