Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 26
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 26

Niliamua kumwambia Afande Joel "Asante kwa kunipenda Afande Joel ila naomba heshima ichukue nafasi yake sababu tayari nipo kwenye ndoa nazani wewe mwenyewe unafahamu"
Niliongea nikiwa na uhakika Afande Joel nimwelewa na nitofauti na alivyokuwa Afande Davi.

"Naelewa kuwa upo kwenye ndoa ata mimi pia nipo kwenye ndoa Angel, nipo tayari kukupa mshahara wangu wote nitakaoupata ila naomba walau mara moja tu unipe penzi lako" Afande Joel aliongea kwa msisitizo.
"Sipo tayari kuzagamuliwa na wewe Afande Joel na siku nyingine ukiniita kwa ajili ya kuniambia ujinga wa aina hii sitaitikia wito wako" niliongea na baadae niliamua kuondoka.

Afande Joel alibaki akiniangalia huku akiwa hamini kama nimeweza kukataa ombi lake.
"Huyu mwanamke mbona anaonekana mgumu sana huyu!?" Afande Joel aliongea baada ya kubaki mwenyewe.

Mimi niliweza kufika nyumbani baada ya kuachana na Afande Joel huku nikiwa na mawazo yangu baada ya kuanza kutongonzwa na Afande Joel.

Siku zilizidi kwenda huku Afande Joel akizidi kunitongoza na kiukweli alikuwa na maneno matamu ya ushawishi na kuna mda alianza kuigeuza akili yangu. ilifika kipindi nilikuwa naogopa kumpa nafasi ya kuongea mbele yangu sababu ya maneno yake yalikuwa naย  ushawishi sana na kama angekuwa mwanamke mwingine asiyejielewa tayari angekuwa ameshafanya sex na Afande Joel.

Upande wa Cyborg alifanikiwa kupata kazi na ndani ya mda mfupi alikuwa ameshajulikana sehemu alipokuwa akifanyia kazi na ajabu boss wa Cyborg alikuwa ni hawala wa Afande Joel.

Siku hiyo Afande Joel alienda kumtembelea mchepuko wake kwenye kituo chake cha kazi na alishangaa kumkuta Cyborg akiwa pale. hakutaka kuonesha kuwa anamfahamu Cyborg zaidi ya kumpa salamu ya kawaida.

Afande Joel alimuuliza mchepuko wake ni mda gani wafanyakazi wake huwa wanatoka kazini kwani alikuwa na mpango wake baada ya kumuona Cyborg. mchepuko wake alimpa ratiba kamili na Afande Joel aliondoka huku akiwa na mpango wake.

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya ijumaa na siku hiyo tulitoka mapema kazini, nilifika nyumbani na Cyborg alikuwa bado hajarudi.

Nikiwa ndani nilisikia sauti ya Afande Joel nje ya nyumba yetu na kunifanya niende kumfungulia mlango.
"Karibu Afande" nilimkaribisha na Afande Joel aliingia mpaka ndani.

Nilishindwa kuelewa ni kitu gani kilichomleta na ukizingatia tumetoka kazini mda sio mrefu na mfanyakazi wangu wa ndani hakuwepo mda huo.

"Afande Joel kuna tatizo gani!?" nilimuuliza sababu niliona haongei kitu kilichomleta.
"Ndio Afande tatizo lipo, tena sio dogo"
Alinijibu na mimi niliamua kumuuliza.
"Lipi hilo!?"
Baada ya kumuuliza Afande Joel alitoa bahasha aliyokuja nayo na baadae alitoa pesa zilizokuwa ndani ya bahasha nakunisogelea.
"Hizi ni million 4 nilipata dili sehemu Angel... aliniambia na kabra sijamuuliza aliendelea kuongea mwenyewe....nimeamua kuja kukupatia wewe ila naomba ukubali kunipatia penzi lako walau mara moja Angel" aliniambia na alizidi kuongea maneno mengi ya kunishawishi huku akinikabizi milion 4 kwenye mkono wangu.

Kiukweli niliona utakuwa ujinga wa kukataa pesa kwani ata ningefanya nae mapenzi bado kitumbua changu atakiacha na hataondoka nacho na Cyborg ataendelea kukila kama kawaida.
"Sawa nimekubali ila inatakiwa tufanye upesi" nilijikuta nikimjibu na hakutaka kupoteza mda kwani pale pale alianza kunipapasa na mimi nilianza kufungua mkanda wa suruali yake kwa ajili ya kumvulisha maana sikutaka mambo yawe mengi.

Tukiwa kwenye maandalizi ya kuzagamuana tulisikia mtu akifungua mlango na hakuwa mwingine bali alikuwa mfanyakazi wangu wa ndani akiwa pamoja na mtoto wangu, kiukweli nilijisikia aibu baada ya yeye kutufuma.

ilibidi tusitishe kile tulichotaka kukifanya na nilimwambia Afande Joel aende kwake kwani mazingira hayakuwa rafiki tena.

Afande Joel alikubali na kuondoka huku pesa akiziacha kwenye mikono yangu.

Niliamua kumfata mfanyakazi wangu na kumwambie asije akajaribu kumwambia Cyborg kile alichokiona, na ili kumpoza nilimpatia elfu hamsini ya kumshawishi zaidi asije kutoboa siri.

Nilienda chumbani kujipumzisha huku nikiwa siamini kama nilitaka kuliwa na Afande Joel japo sikutaka kuzirudisha pesa alizonipatia na nilikuwa nimeshafanya maamuzi ya kufanya mapenzi na Afande Joel walau mara moja ili milion 4 zibaki kwenye mikono yangu.

Mda wa Cyborg kurudi nyumbani ulifika na aliporudi alishangaa kuona pesa ndani ya chumba chetu.
"Malaika hizi pesa umezitoa wapi!?" aliniuliza na mimi niliamua kumjibu.
"Nimezipata kwenye dili mme wangu bira kufanya madili maisha hayaendi kabisa"
"Mmmh sawa ila asije kuwa mwanaume kakuhonga ili aje akuzagamue!! siku nikimjua akianane nitakata kichwa chake na nitarudi kwenye maisha yangu ya zamani ya kuvuta bangi" Cyborg aliongea na mimi nilishituka sababu ndiyo ukweli uliokuwepo.

Cyborg aliniambia kuwa alibadilika kwa sababu ya penzi langu na ndilo lililomfanya aache tabia aliyokuwa akiifanya kipindi cha nyuma.
Aliniambia kama nikija kumsaliti basi atarudi kwenye maisha aliyokuwa akiishi zamani ya uharifu.

Nilimkubalia huku nikiwa na langu kichwani, siku hiyo ilipita na kesho yake Afande Joel alitafuta gest na alinipa taarifa nimfate ili tukamalizane kutokana na pesa alizokuwa amenipatia.

Nilibaki njia panda kwani maneno ya Cyborg yalikuwa yakizunguka kwenye kichwa changu na mbaya zaidi kila ninapofanya mapenzi na mwanaume yoyote yule ni lazima anogewe na penzi langu.

Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi je? niende kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

Unajua nilifanya maamuzi gani!? usikose sehemu ijayo ili upate kujua.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 26

PENZI LA MHALIFU 26

Niliamua kumwambia Afande Joel "Asante kwa kunipenda Afande Joel ila naomba heshima ichukue nafasi yake sababu tayari nipo kwenye ndoa nazani wewe mwenyewe unafahamu"
Niliongea nikiwa na uhakika Afande Joel nimwelewa na nitofauti na alivyokuwa Afande Davi.

"Naelewa kuwa upo kwenye ndoa ata mimi pia nipo kwenye ndoa Angel, nipo tayari kukupa mshahara wangu wote nitakaoupata ila naomba walau mara moja tu unipe penzi lako" Afande Joel aliongea kwa msisitizo.
"Sipo tayari kuzagamuliwa na wewe Afande Joel na siku nyingine ukiniita kwa ajili ya kuniambia ujinga wa aina hii sitaitikia wito wako" niliongea na baadae niliamua kuondoka.

Afande Joel alibaki...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

736
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8

342
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10

335
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16

310
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

161
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

112
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

105
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

105
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.74K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.59K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.44K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.43K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.38K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.32K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor โ€” both just starting out โ€” probably had no idea they were about to become such huge stars. Thereโ€™s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. Theyโ€™re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote๐Ÿฅฑ. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest