Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 26
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 26

Niliamua kumwambia Afande Joel "Asante kwa kunipenda Afande Joel ila naomba heshima ichukue nafasi yake sababu tayari nipo kwenye ndoa nazani wewe mwenyewe unafahamu"
Niliongea nikiwa na uhakika Afande Joel nimwelewa na nitofauti na alivyokuwa Afande Davi.

"Naelewa kuwa upo kwenye ndoa ata mimi pia nipo kwenye ndoa Angel, nipo tayari kukupa mshahara wangu wote nitakaoupata ila naomba walau mara moja tu unipe penzi lako" Afande Joel aliongea kwa msisitizo.
"Sipo tayari kuzagamuliwa na wewe Afande Joel na siku nyingine ukiniita kwa ajili ya kuniambia ujinga wa aina hii sitaitikia wito wako" niliongea na baadae niliamua kuondoka.

Afande Joel alibaki akiniangalia huku akiwa hamini kama nimeweza kukataa ombi lake.
"Huyu mwanamke mbona anaonekana mgumu sana huyu!?" Afande Joel aliongea baada ya kubaki mwenyewe.

Mimi niliweza kufika nyumbani baada ya kuachana na Afande Joel huku nikiwa na mawazo yangu baada ya kuanza kutongonzwa na Afande Joel.

Siku zilizidi kwenda huku Afande Joel akizidi kunitongoza na kiukweli alikuwa na maneno matamu ya ushawishi na kuna mda alianza kuigeuza akili yangu. ilifika kipindi nilikuwa naogopa kumpa nafasi ya kuongea mbele yangu sababu ya maneno yake yalikuwa na  ushawishi sana na kama angekuwa mwanamke mwingine asiyejielewa tayari angekuwa ameshafanya sex na Afande Joel.

Upande wa Cyborg alifanikiwa kupata kazi na ndani ya mda mfupi alikuwa ameshajulikana sehemu alipokuwa akifanyia kazi na ajabu boss wa Cyborg alikuwa ni hawala wa Afande Joel.

Siku hiyo Afande Joel alienda kumtembelea mchepuko wake kwenye kituo chake cha kazi na alishangaa kumkuta Cyborg akiwa pale. hakutaka kuonesha kuwa anamfahamu Cyborg zaidi ya kumpa salamu ya kawaida.

Afande Joel alimuuliza mchepuko wake ni mda gani wafanyakazi wake huwa wanatoka kazini kwani alikuwa na mpango wake baada ya kumuona Cyborg. mchepuko wake alimpa ratiba kamili na Afande Joel aliondoka huku akiwa na mpango wake.

Nakumbuka ilikuwa ni siku ya ijumaa na siku hiyo tulitoka mapema kazini, nilifika nyumbani na Cyborg alikuwa bado hajarudi.

Nikiwa ndani nilisikia sauti ya Afande Joel nje ya nyumba yetu na kunifanya niende kumfungulia mlango.
"Karibu Afande" nilimkaribisha na Afande Joel aliingia mpaka ndani.

Nilishindwa kuelewa ni kitu gani kilichomleta na ukizingatia tumetoka kazini mda sio mrefu na mfanyakazi wangu wa ndani hakuwepo mda huo.

"Afande Joel kuna tatizo gani!?" nilimuuliza sababu niliona haongei kitu kilichomleta.
"Ndio Afande tatizo lipo, tena sio dogo"
Alinijibu na mimi niliamua kumuuliza.
"Lipi hilo!?"
Baada ya kumuuliza Afande Joel alitoa bahasha aliyokuja nayo na baadae alitoa pesa zilizokuwa ndani ya bahasha nakunisogelea.
"Hizi ni million 4 nilipata dili sehemu Angel... aliniambia na kabra sijamuuliza aliendelea kuongea mwenyewe....nimeamua kuja kukupatia wewe ila naomba ukubali kunipatia penzi lako walau mara moja Angel" aliniambia na alizidi kuongea maneno mengi ya kunishawishi huku akinikabizi milion 4 kwenye mkono wangu.

Kiukweli niliona utakuwa ujinga wa kukataa pesa kwani ata ningefanya nae mapenzi bado kitumbua changu atakiacha na hataondoka nacho na Cyborg ataendelea kukila kama kawaida.
"Sawa nimekubali ila inatakiwa tufanye upesi" nilijikuta nikimjibu na hakutaka kupoteza mda kwani pale pale alianza kunipapasa na mimi nilianza kufungua mkanda wa suruali yake kwa ajili ya kumvulisha maana sikutaka mambo yawe mengi.

Tukiwa kwenye maandalizi ya kuzagamuana tulisikia mtu akifungua mlango na hakuwa mwingine bali alikuwa mfanyakazi wangu wa ndani akiwa pamoja na mtoto wangu, kiukweli nilijisikia aibu baada ya yeye kutufuma.

ilibidi tusitishe kile tulichotaka kukifanya na nilimwambia Afande Joel aende kwake kwani mazingira hayakuwa rafiki tena.

Afande Joel alikubali na kuondoka huku pesa akiziacha kwenye mikono yangu.

Niliamua kumfata mfanyakazi wangu na kumwambie asije akajaribu kumwambia Cyborg kile alichokiona, na ili kumpoza nilimpatia elfu hamsini ya kumshawishi zaidi asije kutoboa siri.

Nilienda chumbani kujipumzisha huku nikiwa siamini kama nilitaka kuliwa na Afande Joel japo sikutaka kuzirudisha pesa alizonipatia na nilikuwa nimeshafanya maamuzi ya kufanya mapenzi na Afande Joel walau mara moja ili milion 4 zibaki kwenye mikono yangu.

Mda wa Cyborg kurudi nyumbani ulifika na aliporudi alishangaa kuona pesa ndani ya chumba chetu.
"Malaika hizi pesa umezitoa wapi!?" aliniuliza na mimi niliamua kumjibu.
"Nimezipata kwenye dili mme wangu bira kufanya madili maisha hayaendi kabisa"
"Mmmh sawa ila asije kuwa mwanaume kakuhonga ili aje akuzagamue!! siku nikimjua akianane nitakata kichwa chake na nitarudi kwenye maisha yangu ya zamani ya kuvuta bangi" Cyborg aliongea na mimi nilishituka sababu ndiyo ukweli uliokuwepo.

Cyborg aliniambia kuwa alibadilika kwa sababu ya penzi langu na ndilo lililomfanya aache tabia aliyokuwa akiifanya kipindi cha nyuma.
Aliniambia kama nikija kumsaliti basi atarudi kwenye maisha aliyokuwa akiishi zamani ya uharifu.

Nilimkubalia huku nikiwa na langu kichwani, siku hiyo ilipita na kesho yake Afande Joel alitafuta gest na alinipa taarifa nimfate ili tukamalizane kutokana na pesa alizokuwa amenipatia.

Nilibaki njia panda kwani maneno ya Cyborg yalikuwa yakizunguka kwenye kichwa changu na mbaya zaidi kila ninapofanya mapenzi na mwanaume yoyote yule ni lazima anogewe na penzi langu.

Kiukweli nilikuwa njia panda na nilishindwa kufanya maamuzi je? niende kwenye gest kwa ajili ya kuzagamuana na Afande Joel ili milion 4 ziendelee kuwa kwenye mikono yangu au niache kwenda kwa ajili ya kulinda heshima ya ndoa yangu na Cyborg.

Unajua nilifanya maamuzi gani!? usikose sehemu ijayo ili upate kujua.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 26

PENZI LA MHALIFU 26

Niliamua kumwambia Afande Joel "Asante kwa kunipenda Afande Joel ila naomba heshima ichukue nafasi yake sababu tayari nipo kwenye ndoa nazani wewe mwenyewe unafahamu"
Niliongea nikiwa na uhakika Afande Joel nimwelewa na nitofauti na alivyokuwa Afande Davi.

"Naelewa kuwa upo kwenye ndoa ata mimi pia nipo kwenye ndoa Angel, nipo tayari kukupa mshahara wangu wote nitakaoupata ila naomba walau mara moja tu unipe penzi lako" Afande Joel aliongea kwa msisitizo.
"Sipo tayari kuzagamuliwa na wewe Afande Joel na siku nyingine ukiniita kwa ajili ya kuniambia ujinga wa aina hii sitaitikia wito wako" niliongea na baadae niliamua kuondoka.

Afande Joel alibaki...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

75
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest