PENZI LA MHALIFU 20
Afande Neema aliyekuwa amesimama karibu yangu alinisogelea nakuniongelesha kwa sauti ya chini.
"Angel ivi ni masikio yangu au!!? yani leo mkuu anaitwa mke tena na kijana wa mtaani?"
"Nyamaza kwanza Afande Neema tutaongea baadae" ilibidi nimwambie baada ya kumwona mkuu akisogea sehemu tulipo sisi pamoja na asikari waliokuwa wamemshika kijana aliyekuwa akiendelea kumuita mkuu wetu mke wake.
Mkuu alifika na kuchomoa bastora, alimnyooshea kijana akitaka kumpiga risasi ila Afande Davi aliyekuwa karibu nae alimshika na kumzuia.
Mkuu wetu alitaka kwenda kinyume na taratibu za nchi jinsi zilivyo ndiyo sababu iliyomfanya Afande Davi amzuie.
"Mkuu acha usifanye hivyo" Afande Davi aliongea huku akiendelea kumzuia.
"Mwache nimuonyeshe, kwanza haiwezekani anitoe marinda kijana mdogo kama huyu pamoja na wezake" Mkuu hasira alizokuwa nazo alijikuta akilopoka yeye mwenyewe mbele ya asikari wenzangu ambao wote walibaki kushangaa kwa maneno yake.
Kijana baada ya kusikia mkuu kaongea mwenyewe alianza kucheka kwa dharau na Afande Davi aliyekuwa amemshika alijikuta nae akimuuliza.
"Mkuu kweli umetolewa marinda kama ulivyosema?" baada ya Afande Davi kumuuliza, Mkuu aliamua kuondoka mwenyewe bira kuongezea neno lolote lile.
"Wewe afande waambie waniache haraka lasivyo tutatuma video yako ya jinsi tunavyokutia" yalikuwa ni maneno ambayo bado aliendelea kuyalopoka kijana waliokuwa wamemshika.
Kila mtu siku hiyo alikuwa akiongea lake huku wengine wakisema kuwa huenda ni kweli alichokuwa anakizungumza kijana mvuta bangi na wengine walisema ni kutokana na bangi alizokuwa amevuta kijana huyo ndiyo zilimfanya aongee maneno ya kumuita mkuu wetu mke wake Japo ukweli wote nilikuwa nikiufahamu.
Ndani ya mda huo huo tulimuona mkuu akitoka kwenye ofisi yake nakuondoka akiwa kwenye gari yake.
Mimi niliporudi nyumbani nilimkuta Cyborg na nilimpa taarifa ya kile kilichomkuta mkuu wetu. Cyborg ata hakushituka na alinihakikishia kuwa mkuu hawezi kufanya kitu chochote kile.
Upande wa Cyborg alikuwa akiendelea kusumbuliwa na mke wa mkuu wangu akimtaka walau afanye nae mapenzi ata kwa dekika 1. Cyborg aliendelea kuweka msimamo wake wa kukataa kufanya nae mapenzi.
Siku hiyo kwa mara nyingine mke wa mkuu wangu alikuja kwenye nyumba yetu tuliyokuwa tukiishi mimi pamoja na Cyborg. Alinikuta mimi pamoja na binti wa kazi.
Alianza kuongea maneno ya kunibembeleza ili niweze kumpa ruhusa ya kufanya mapenzi na Cyborg walau ata mara moja.
Ilibidi nimwambie mke wa mkuu wangu.
"ile siku niliyokuruhusu ufanye mapenzi na mme wangu ilikuwa ni cku yenu ya mwisho, kwanini usiende kutafta mwanaume mwingine wa kukuzagamua mpaka ukaridhika?" nilijaribu kumshauri.
"Sijaona mwanaume mwingine wa kuweza kunisaidia zaidi ya mme wako Cyborg, naomba unisitili mimi ni mwanamke mwenzako" Aliongea na alionesha uhitaji wa kufanya mapenzi na Cyborg kwa mara nyingine.
Kiukweli nilishindwa kuelewa Cyborg kampa nini mama wa watu mpaka ampende kiasi hicho.
Siku hiyo nilimkatalia kabisa hivyo aliamua kuondoka.
Niliona sasa usumbufu unataka kuzidi na huenda matatizo yakawa makubwa zaidi, nilipata wazo na kuamua kumshirikisha Cyborg.
Niliamua kumshauri tuhame mkoa huo na tuhamie kwenye mkoa mwingine ambao hakuna watu wanaotufahamu ili tukaishi kwa amani, Cyborg hakutaka kupinga ushauri niliompatia.
Alikubali na mimi nilianza kufanya talatibu za kufatilia uhamisho wa kikazi.
Afande Neema alizipata taarifa za mimi kufatilia uhamisho na alinifata na kuniuliza sababu ni ipi, nilimwelezea baadhi ya mambo yaliyonifanya nichukue maamuzi ya kuhama na kuhamia mkoa mwingine.
Afande Neema alihuzunika kwa sababu tulikuwa tumeshazoeana na tulikuwa tukiishi kama ndugu.
Baada ya kuhangaika kwa mda wrefu nilifanikiwa kupata uhamisho, upande wa Mr Robert aliamua kuthibitha uhamisho wangu na kuniruhusu kwani hakutaka mambo yake yaliyomkuta ya kuingiliwa kinyume na maumbilie wayajue watu wengine.
Tulihamia kwenye mazingira ambayo watu walikuwa hawatujui na ilikuwa ngumu kwa Cyborg kupata kazi kwa wakati huo.
Cyborg hakuwa na kitu chochote cha kufanya zaidi ya kukaa ndani.
Siku moja nikiwa natoka kazini kuna mwanamke aliniita baada ya kuniona, niliamua kusogea sehemu aliyokuwa amesimama.
"Jirani samahani, mimi ni jirani yako naishi kwenye nyumba ile" aliongea huku akinionyesha kwa kidole nyumba aliyokuwa akiishi na nyumba yake ilikuwa karibu kabisa na nyumba tuliyokuwa tukiishi sisi.
Niliamua kumuuliza sababu ni ipi iliyomfanya aniite na aliamua kuongea pasipo ata kuogopa mavazi ya asikari polisi niliyokuwa nimevaa.
"Jirani naomba unipe siri kuhusu mmeo"
Aliongea nakunifanya nimshangae na kumuuliza.
"Mme wangu!?"
"Ndio mme wako, sababu kila siku usiku huwa nasikia sauti zenu mkiwa mnafanya mapenzi, nafurahishwa na nyinyi kwani mnatumia mda mrefu kufanya mapenzi na inaonekana mmeo anakulizisha vizuri" jirani aliongea na kunifanya nielewe sababu iliyomfanya anisimamishe.
Nilimwambia hamna chochote anachotumia Cyborg zaidi ya utundu alionao kwenye mapenzi, jirani alibaki akishangaa baada ya mimi kumjibu kwani hakukubaliana na maneno yangu na alikuwa akihitaji niweze kumsaidia dawa ili ampatie mme wake awe anamzagamua mpaka analizika.
Sikutaka kuongea nae sana sababu tungetumia mda mrefu kuongea hivyo niliamua kuondoka huku nikimwacha jirani akinitazama.
Nilifika ndani na kumkuta Cyborg anatazama tv huku akiwa kambeba mtoto wetu.
Ilibidi nimwambie Cyborg apunguze kelele zake anazopiga usiku wakati wa kufanya mapenzi ila Cyborg aliniambia.
"kwa jinsi ulivyomtamu naanzaje kuacha kupiga kelele Malaika" aliongea na pale pale aliniambia kuwa anataka anionyeshe nini maana ya upendo.
Cyborg alinivulisha nguo zangu nakunibeba huku akinipeleka bafuni kwa ajili ya kwenda kuniogesha. Siku hiyo alitaka kunifanyia mambo ambayo hajawahi kunifanyia tangu tumeoana.....ITAENDELEA..