Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 20
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 20

Afande Neema aliyekuwa amesimama karibu yangu alinisogelea nakuniongelesha kwa sauti ya chini.
"Angel ivi ni masikio yangu au!!? yani leo mkuu anaitwa mke tena na kijana wa mtaani?"
"Nyamaza kwanza Afande Neema tutaongea baadae" ilibidi nimwambie baada ya kumwona mkuu akisogea sehemu tulipo sisi pamoja na asikari waliokuwa wamemshika kijana aliyekuwa akiendelea kumuita mkuu wetu mke wake.

Mkuu alifika na kuchomoa bastora, alimnyooshea kijana akitaka kumpiga risasi ila Afande Davi aliyekuwa karibu nae alimshika na kumzuia.

Mkuu wetu alitaka kwenda kinyume na taratibu za nchi jinsi zilivyo ndiyo sababu iliyomfanya Afande Davi amzuie.
"Mkuu acha usifanye hivyo" Afande Davi aliongea huku akiendelea kumzuia.
"Mwache nimuonyeshe, kwanza haiwezekani anitoe marinda kijana mdogo kama huyu pamoja na wezake" Mkuu hasira alizokuwa nazo alijikuta akilopoka yeye mwenyewe mbele ya asikari wenzangu ambao wote walibaki kushangaa kwa maneno yake.

Kijana baada ya kusikia mkuu kaongea mwenyewe alianza kucheka kwa dharau na Afande Davi aliyekuwa amemshika alijikuta nae akimuuliza.
"Mkuu kweli umetolewa marinda kama ulivyosema?" baada ya Afande Davi kumuuliza, Mkuu aliamua kuondoka mwenyewe bira kuongezea neno lolote lile.

"Wewe afande waambie waniache haraka lasivyo tutatuma video yako ya jinsi tunavyokutia" yalikuwa ni maneno ambayo bado aliendelea kuyalopoka kijana waliokuwa wamemshika.

Kila mtu siku hiyo alikuwa akiongea lake huku wengine wakisema kuwa huenda ni kweli alichokuwa anakizungumza kijana mvuta bangi na wengine walisema ni kutokana na bangi alizokuwa amevuta kijana huyo ndiyo zilimfanya aongee maneno ya kumuita mkuu wetu mke wake Japo ukweli wote nilikuwa nikiufahamu.

Ndani ya mda huo huo tulimuona mkuu akitoka kwenye ofisi yake nakuondoka akiwa kwenye gari yake.

Mimi niliporudi nyumbani nilimkuta Cyborg na nilimpa taarifa ya kile kilichomkuta mkuu wetu. Cyborg ata hakushituka na alinihakikishia kuwa mkuu hawezi kufanya kitu chochote kile.

Upande wa Cyborg alikuwa akiendelea kusumbuliwa na mke wa mkuu wangu akimtaka walau afanye nae mapenzi ata kwa dekika 1. Cyborg aliendelea kuweka msimamo wake wa kukataa kufanya nae mapenzi.

Siku hiyo kwa mara nyingine mke wa mkuu wangu alikuja kwenye nyumba yetu tuliyokuwa tukiishi mimi pamoja na Cyborg. Alinikuta mimi pamoja na binti wa kazi.

Alianza kuongea maneno ya kunibembeleza ili niweze kumpa ruhusa ya kufanya mapenzi na Cyborg walau ata mara moja.

Ilibidi nimwambie mke wa mkuu wangu.
"ile siku niliyokuruhusu ufanye mapenzi na mme wangu ilikuwa ni cku yenu ya mwisho, kwanini usiende kutafta mwanaume mwingine wa kukuzagamua mpaka ukaridhika?" nilijaribu kumshauri.
"Sijaona mwanaume mwingine wa kuweza kunisaidia zaidi ya mme wako Cyborg, naomba unisitili mimi ni mwanamke mwenzako" Aliongea na alionesha uhitaji wa kufanya mapenzi na Cyborg kwa mara nyingine.

Kiukweli nilishindwa kuelewa Cyborg kampa nini mama wa watu mpaka ampende kiasi hicho.

Siku hiyo nilimkatalia kabisa hivyo aliamua kuondoka.

Niliona sasa usumbufu unataka kuzidi na huenda matatizo yakawa makubwa zaidi, nilipata wazo na kuamua kumshirikisha Cyborg.

Niliamua kumshauri tuhame mkoa huo na tuhamie kwenye mkoa mwingine ambao hakuna watu wanaotufahamu ili tukaishi kwa amani, Cyborg hakutaka kupinga ushauri niliompatia.

Alikubali na mimi nilianza kufanya talatibu za kufatilia uhamisho wa kikazi.
Afande Neema alizipata taarifa za mimi kufatilia uhamisho na alinifata na kuniuliza sababu ni ipi, nilimwelezea baadhi ya mambo yaliyonifanya nichukue maamuzi ya kuhama na kuhamia mkoa mwingine.

Afande Neema alihuzunika kwa sababu tulikuwa tumeshazoeana na tulikuwa tukiishi kama ndugu.

Baada ya kuhangaika kwa mda wrefu nilifanikiwa kupata uhamisho, upande wa Mr Robert aliamua kuthibitha uhamisho wangu na kuniruhusu kwani hakutaka mambo yake yaliyomkuta ya kuingiliwa kinyume na maumbilie wayajue watu wengine.

Tulihamia kwenye mazingira ambayo watu walikuwa hawatujui na ilikuwa ngumu kwa Cyborg kupata kazi kwa wakati huo.
Cyborg hakuwa na kitu chochote cha kufanya zaidi ya kukaa ndani.

Siku moja nikiwa natoka kazini kuna mwanamke aliniita baada ya kuniona, niliamua kusogea sehemu aliyokuwa amesimama.
"Jirani samahani, mimi ni jirani yako naishi kwenye nyumba ile" aliongea huku akinionyesha kwa kidole nyumba aliyokuwa akiishi na nyumba yake ilikuwa karibu kabisa na nyumba tuliyokuwa tukiishi sisi.

Niliamua kumuuliza sababu ni ipi iliyomfanya aniite na aliamua kuongea pasipo ata kuogopa mavazi ya asikari polisi niliyokuwa nimevaa.
"Jirani naomba unipe siri kuhusu mmeo"
Aliongea nakunifanya nimshangae na kumuuliza.
"Mme wangu!?"
"Ndio mme wako, sababu kila siku usiku huwa nasikia sauti zenu mkiwa mnafanya mapenzi, nafurahishwa na nyinyi kwani mnatumia mda mrefu kufanya mapenzi na inaonekana mmeo anakulizisha vizuri" jirani aliongea na kunifanya nielewe sababu iliyomfanya anisimamishe.

Nilimwambia hamna chochote anachotumia Cyborg zaidi ya utundu alionao kwenye mapenzi, jirani alibaki akishangaa baada ya mimi kumjibu kwani hakukubaliana na maneno yangu na alikuwa akihitaji niweze kumsaidia dawa ili ampatie mme wake awe anamzagamua mpaka analizika.

Sikutaka kuongea nae sana sababu tungetumia mda mrefu kuongea hivyo niliamua kuondoka huku nikimwacha jirani akinitazama.

Nilifika ndani na kumkuta Cyborg anatazama tv huku akiwa kambeba mtoto wetu.

Ilibidi nimwambie Cyborg apunguze kelele zake anazopiga usiku wakati wa kufanya mapenzi ila Cyborg aliniambia.
"kwa jinsi ulivyomtamu naanzaje kuacha kupiga kelele Malaika" aliongea na pale pale aliniambia kuwa anataka anionyeshe nini maana ya upendo.

Cyborg alinivulisha nguo zangu nakunibeba huku akinipeleka bafuni kwa ajili ya kwenda kuniogesha. Siku hiyo alitaka kunifanyia mambo ambayo hajawahi kunifanyia tangu tumeoana.....ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 20

PENZI LA MHALIFU 20

Afande Neema aliyekuwa amesimama karibu yangu alinisogelea nakuniongelesha kwa sauti ya chini.
"Angel ivi ni masikio yangu au!!? yani leo mkuu anaitwa mke tena na kijana wa mtaani?"
"Nyamaza kwanza Afande Neema tutaongea baadae" ilibidi nimwambie baada ya kumwona mkuu akisogea sehemu tulipo sisi pamoja na asikari waliokuwa wamemshika kijana aliyekuwa akiendelea kumuita mkuu wetu mke wake.

Mkuu alifika na kuchomoa bastora, alimnyooshea kijana akitaka kumpiga risasi ila Afande Davi aliyekuwa karibu nae alimshika na kumzuia.

Mkuu wetu alitaka kwenda kinyume na taratibu za nchi jinsi zilivyo ndiyo sababu iliyomfanya Afande Davi amzuie.
"Mkuu acha usifanye hivyo" Afande Davi aliongea huku...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

712
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

308
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

284
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

49
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest