Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 20
Gonga94 Β· Stories

PENZI LA MHALIFU 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 20

Afande Neema aliyekuwa amesimama karibu yangu alinisogelea nakuniongelesha kwa sauti ya chini.
"Angel ivi ni masikio yangu au!!? yani leo mkuu anaitwa mke tena na kijana wa mtaani?"
"Nyamaza kwanza Afande Neema tutaongea baadae" ilibidi nimwambie baada ya kumwona mkuu akisogea sehemu tulipo sisi pamoja na asikari waliokuwa wamemshika kijana aliyekuwa akiendelea kumuita mkuu wetu mke wake.

Mkuu alifika na kuchomoa bastora, alimnyooshea kijana akitaka kumpiga risasi ila Afande Davi aliyekuwa karibu nae alimshika na kumzuia.

Mkuu wetu alitaka kwenda kinyume na taratibu za nchi jinsi zilivyo ndiyo sababu iliyomfanya Afande Davi amzuie.
"Mkuu acha usifanye hivyo" Afande Davi aliongea huku akiendelea kumzuia.
"Mwache nimuonyeshe, kwanza haiwezekani anitoe marinda kijana mdogo kama huyu pamoja na wezake" Mkuu hasira alizokuwa nazo alijikuta akilopoka yeye mwenyewe mbele ya asikari wenzangu ambao wote walibaki kushangaa kwa maneno yake.

Kijana baada ya kusikia mkuu kaongea mwenyewe alianza kucheka kwa dharau na Afande Davi aliyekuwa amemshika alijikuta nae akimuuliza.
"Mkuu kweli umetolewa marinda kama ulivyosema?" baada ya Afande Davi kumuuliza, Mkuu aliamua kuondoka mwenyewe bira kuongezea neno lolote lile.

"Wewe afande waambie waniache haraka lasivyo tutatuma video yako ya jinsi tunavyokutia" yalikuwa ni maneno ambayo bado aliendelea kuyalopoka kijana waliokuwa wamemshika.

Kila mtu siku hiyo alikuwa akiongea lake huku wengine wakisema kuwa huenda ni kweli alichokuwa anakizungumza kijana mvuta bangi na wengine walisema ni kutokana na bangi alizokuwa amevuta kijana huyo ndiyo zilimfanya aongee maneno ya kumuita mkuu wetu mke wake Japo ukweli wote nilikuwa nikiufahamu.

Ndani ya mda huo huo tulimuona mkuu akitoka kwenye ofisi yake nakuondoka akiwa kwenye gari yake.

Mimi niliporudi nyumbani nilimkuta Cyborg na nilimpa taarifa ya kile kilichomkuta mkuu wetu. Cyborg ata hakushituka na alinihakikishia kuwa mkuu hawezi kufanya kitu chochote kile.

Upande wa Cyborg alikuwa akiendelea kusumbuliwa na mke wa mkuu wangu akimtaka walau afanye nae mapenzi ata kwa dekika 1. Cyborg aliendelea kuweka msimamo wake wa kukataa kufanya nae mapenzi.

Siku hiyo kwa mara nyingine mke wa mkuu wangu alikuja kwenye nyumba yetu tuliyokuwa tukiishi mimi pamoja na Cyborg. Alinikuta mimi pamoja na binti wa kazi.

Alianza kuongea maneno ya kunibembeleza ili niweze kumpa ruhusa ya kufanya mapenzi na Cyborg walau ata mara moja.

Ilibidi nimwambie mke wa mkuu wangu.
"ile siku niliyokuruhusu ufanye mapenzi na mme wangu ilikuwa ni cku yenu ya mwisho, kwanini usiende kutafta mwanaume mwingine wa kukuzagamua mpaka ukaridhika?" nilijaribu kumshauri.
"Sijaona mwanaume mwingine wa kuweza kunisaidia zaidi ya mme wako Cyborg, naomba unisitili mimi ni mwanamke mwenzako" Aliongea na alionesha uhitaji wa kufanya mapenzi na Cyborg kwa mara nyingine.

Kiukweli nilishindwa kuelewa Cyborg kampa nini mama wa watu mpaka ampende kiasi hicho.

Siku hiyo nilimkatalia kabisa hivyo aliamua kuondoka.

Niliona sasa usumbufu unataka kuzidi na huenda matatizo yakawa makubwa zaidi, nilipata wazo na kuamua kumshirikisha Cyborg.

Niliamua kumshauri tuhame mkoa huo na tuhamie kwenye mkoa mwingine ambao hakuna watu wanaotufahamu ili tukaishi kwa amani, Cyborg hakutaka kupinga ushauri niliompatia.

Alikubali na mimi nilianza kufanya talatibu za kufatilia uhamisho wa kikazi.
Afande Neema alizipata taarifa za mimi kufatilia uhamisho na alinifata na kuniuliza sababu ni ipi, nilimwelezea baadhi ya mambo yaliyonifanya nichukue maamuzi ya kuhama na kuhamia mkoa mwingine.

Afande Neema alihuzunika kwa sababu tulikuwa tumeshazoeana na tulikuwa tukiishi kama ndugu.

Baada ya kuhangaika kwa mda wrefu nilifanikiwa kupata uhamisho, upande wa Mr Robert aliamua kuthibitha uhamisho wangu na kuniruhusu kwani hakutaka mambo yake yaliyomkuta ya kuingiliwa kinyume na maumbilie wayajue watu wengine.

Tulihamia kwenye mazingira ambayo watu walikuwa hawatujui na ilikuwa ngumu kwa Cyborg kupata kazi kwa wakati huo.
Cyborg hakuwa na kitu chochote cha kufanya zaidi ya kukaa ndani.

Siku moja nikiwa natoka kazini kuna mwanamke aliniita baada ya kuniona, niliamua kusogea sehemuΒ aliyokuwa amesimama.
"Jirani samahani, mimi ni jirani yako naishi kwenye nyumba ile" aliongea huku akinionyesha kwa kidole nyumba aliyokuwa akiishi na nyumba yake ilikuwa karibu kabisa na nyumba tuliyokuwa tukiishi sisi.

Niliamua kumuuliza sababu ni ipi iliyomfanya aniite na aliamua kuongea pasipo ata kuogopa mavazi ya asikari polisi niliyokuwa nimevaa.
"Jirani naomba unipe siri kuhusu mmeo"
Aliongea nakunifanya nimshangae na kumuuliza.
"Mme wangu!?"
"Ndio mme wako, sababu kila siku usiku huwa nasikia sauti zenu mkiwa mnafanya mapenzi, nafurahishwa na nyinyi kwani mnatumia mda mrefu kufanya mapenzi na inaonekana mmeo anakulizisha vizuri" jirani aliongea na kunifanya nielewe sababu iliyomfanya anisimamishe.

Nilimwambia hamna chochote anachotumia Cyborg zaidi ya utundu alionao kwenye mapenzi, jirani alibaki akishangaa baada ya mimi kumjibu kwani hakukubaliana na maneno yangu na alikuwa akihitaji niweze kumsaidia dawa ili ampatie mme wake awe anamzagamua mpaka analizika.

Sikutaka kuongea nae sana sababu tungetumia mda mrefu kuongea hivyo niliamua kuondoka huku nikimwacha jirani akinitazama.

Nilifika ndani na kumkuta Cyborg anatazama tv huku akiwa kambeba mtoto wetu.

Ilibidi nimwambie Cyborg apunguze kelele zake anazopiga usiku wakati wa kufanya mapenzi ila Cyborg aliniambia.
"kwa jinsi ulivyomtamu naanzaje kuacha kupiga kelele Malaika" aliongea na pale pale aliniambia kuwa anataka anionyeshe nini maana ya upendo.

Cyborg alinivulisha nguo zangu nakunibeba huku akinipeleka bafuni kwa ajili ya kwenda kuniogesha. Siku hiyo alitaka kunifanyia mambo ambayo hajawahi kunifanyia tangu tumeoana.....ITAENDELEA.
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 20

PENZI LA MHALIFU 20

Afande Neema aliyekuwa amesimama karibu yangu alinisogelea nakuniongelesha kwa sauti ya chini.
"Angel ivi ni masikio yangu au!!? yani leo mkuu anaitwa mke tena na kijana wa mtaani?"
"Nyamaza kwanza Afande Neema tutaongea baadae" ilibidi nimwambie baada ya kumwona mkuu akisogea sehemu tulipo sisi pamoja na asikari waliokuwa wamemshika kijana aliyekuwa akiendelea kumuita mkuu wetu mke wake.

Mkuu alifika na kuchomoa bastora, alimnyooshea kijana akitaka kumpiga risasi ila Afande Davi aliyekuwa karibu nae alimshika na kumzuia.

Mkuu wetu alitaka kwenda kinyume na taratibu za nchi jinsi zilivyo ndiyo sababu iliyomfanya Afande Davi amzuie.
"Mkuu acha usifanye hivyo" Afande Davi aliongea huku...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

434
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

410
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

296
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest