Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 08
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu yangu ilitumiwa ujumbe na aliyenitumia hakuwa mwingine bali alikuwa Afande Neema aliyekuwa amekaa nyuma yetu.
"Leo kazi unayo shoga yangu umekaa na adui yako" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Neema na ilibidi nimjibu na tulianza kuchati tukiwa ndani ya gari.

Tulifika sehemu husika na Asikari wa kike tulikuwa na vyumba vyetu ata upande wa Asikari wa kiume nao pia walikuwa na vyumba vyao.

Mimi pamoja na Afande Neema tulichagua kulala kwenye chumba kimoja kutokana na urafiki wetu tuliokuwa nao.
yakiwa ni majira ya usiku Cyborg aliweza kunipigia simu na maongezi yetu Afande Neema alikuwa akiyasikia.
"Malaika ujue umeniacha na upwiru huku hapa nilipo naichezea tu bakora yangu" Cyborg aliongea kwa sauti ya juu iliyomfikia Afande Neema na kumfanya acheke.
"Jamani ata siku haijaisha tayari umeshikwa na upwiru!?" Niliongea na tulizidi kuongea story zetu za mapenzi. Cyborg hakuacha kuongea maneno yake ya kichokozi kama ilivyokawaida yake.

Tulitumia mda mrefu kuongea na baadae ilibidi nimuage na kulala.

Asubuhi ilifika na ulikuwa ni mda wa kazi, mimi pamoja na asikari wenzangu tulienda sehemu tuliyohitajika kwa ajili ya kukamata waharifu tukisaidizana na asikari wengine wa maeneo yale. baada ya kumaliza kufanya kazi ulifika mda wa sisi kupata chakula.

Niliongozana na Afande Neema na tulikaa kwenye meza moja na baada ya mda alifika Afande Davi na kukaa pembeni yetu. mimi na Afande Neema tuliangaliana pasipo kuongea chochote kile na Afande Davi aliligundua hilo nakuongea.
"Au mnataka niondoke niwaache wenyewe!?" Alituuliza na Afande Neema alimjibu haina haja ya yeye kuondoka.

Afande Davi aliamua kubaki na kusikiliza maongezi yetu bira kuchangia chochote kile na baada ya mimi kumaliza kula niliondoka nikiwa na Afande Neema.
Pasipo kujua kumbe nilisahau simu yangu kwenye meza tuliyokuwa tumekaa na Afande Davi aliiona simu yangu.

Sikujua ni kitu gani kilichotokea tena ila Afande Davi aliniletea simu yangu na kuniambia kuwa niliisahau kwenye meza, nilimshukuru kwa kuwa mwaminifu kwangu.

Siku hiyo ilipita pasipo Cyborg kunitafuta, nilijua labda atakuwa amebanana na kazi. siku iliyofata napo Cyborg hakunitafuta hivyo niliamua kumpigia mwenyewe ili nijue shida nini. Nilimpigia zaidi ya mara mbili lakini Cyborg hakuweza kupokea simu yangu, akili ya haraka haraka ilinituma nimpigie binti yangu wa kazi ili nijue tatizo nini.

Nilimpigia na bahati nzuri alipokea simu.
"Cyborg yupo wapi mbona nampigia simu hapokei!?" nilimuuliza binti wa kazi.
"Alikuwa hapa nyumbani na ameondoka mda sio mrefu ila anaonekana ni mtu mwenye mawazo" binti wa kazi alinijibu na kunifanya nishindwe kuelewa Cyborg amekubwa na tatizo gani mpakaย awe kwenye hali ile.

ilipita wiki bira Cyborg kuongea na mimi na ata sms nilizokuwa nikimtumia alikuwa hazijibu kabisa.

Niliamua kumshirikisha Afande Neema nione atanishauri kitu gani.
"Huenda kuna tatizo lililotokea ndiyo sababu inayomfanya asitake kuongea na wewe"
"Sijamzoea Cyborg kuwa kimya kiasi hicho na anavyopenda kuzagamuana lazima angekuwa ananitafuta na kuongelea mambo ya kutiana kila mara" niliongea na Afande Neema alinishauri nifanye kazi kwanza na mambo mengine nitaenda kuyamalizia nyumbani mimi pamoja na Cyborg.

Mwezi mmoja ulipita na Cyborg hakuwahi kunitafuta wala kuongea na mimi. kazi tuliyotumwa kufanya ilikamilika na nilikuwa na hamu ya kufika nyumbani haraka ili nikaongee na mme wangu.

Nilifika na bahati nzuri nilimkuta Cyborg, nilipomwangalia usoni macho yake yalikuwa kwenye dalili ya mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

ilibidi nimsogelea kwa ajili ya kumuuliza na ndipo nilipoisikia harufu ya bangi.
"Cyborg umevuta bangi tena kwa mara nyingine!?" nilimuuliza lakini Cyborg siku hiyo kwa mara ya kwanza alinyenyua mkono wake na kunipiga pasipo mimi kujua sababu ni ipi iliyomfanya anipige.
"Cyborg nimekukosea nini mpaka unipige!?" nilimuuliza na Cyborg alianza kuongea huku akiwa ni mwenye hasira.

"Umeenda kugongwa na kutiwa na Afande Davi sasa ivi unajifanya hujui kosa lako!?" Cyborg aliongea na kuniacha njia panda.

Nilijiuliza tangu lini mimi nikakubali Afande Davi anitia mtu ambae hajui ata kutongoza.
"Mimi Cyborg!?" ilibidi nimuulize maana kwangu zilikuwa ni taarifa za kushangaza.

Cyborg alianza kuongea kila kitu na aliniambia kuwa alinipigia nilipokuwa kazini na simu yangu ilipokelewa na Afande Davi na alimwambia kuwa yupo na mimi anatia anavyotaka.

Nilikuwa na kazi ya kumwelewesha Cyborg na ilibidi nimtafute Afande Neema aliyekuja nyumbani siku hiyo.
Afande Neema alimwambia kila kitu Cyborg kilichotokea na baadae Cyborg alielewa na kuamua kuniomba msamaha.

"Mamiloo nisamehe nilikulupuka Malikia wangu" Cyborg aliongea na alikuwa tayari ameshatambua kosa lake.
"Uliniahidi hutovuta bangi tena kwanini leo umevuta!?" Nilimuuliza na Cyborg aliniambia sababu kubwa iliyomfanya avute ni baada ya Afande Davi kumwambia kuwa alinitia hivyo kitu pekee alichoona kitakachomfanya apunguze mawazo aliyokuwa nayo ni kuvuta bagi.

Sikutaka kumlaumu Cyborg ila lawama zote nilizipeleka kwa Afande Davi na niliamua kumsamehe mme wangu huku nikimwambia alitakiwa apokee simu nilipokuwa nikimpigia na huenda tusingefikia tulipokuwa tumefikia.
Upendo ulirudi upya ndani ya nyumba na cyborg alionyesha upendo mara dufu kwangu.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 08

PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.23K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

929
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49

295
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

279
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

253
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

250
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.

131
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

122
SHAMIRA Sehemu ya 47

SHAMIRA Sehemu ya 47

114

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.68K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest