Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 08
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu yangu ilitumiwa ujumbe na aliyenitumia hakuwa mwingine bali alikuwa Afande Neema aliyekuwa amekaa nyuma yetu.
"Leo kazi unayo shoga yangu umekaa na adui yako" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Neema na ilibidi nimjibu na tulianza kuchati tukiwa ndani ya gari.

Tulifika sehemu husika na Asikari wa kike tulikuwa na vyumba vyetu ata upande wa Asikari wa kiume nao pia walikuwa na vyumba vyao.

Mimi pamoja na Afande Neema tulichagua kulala kwenye chumba kimoja kutokana na urafiki wetu tuliokuwa nao.
yakiwa ni majira ya usiku Cyborg aliweza kunipigia simu na maongezi yetu Afande Neema alikuwa akiyasikia.
"Malaika ujue umeniacha na upwiru huku hapa nilipo naichezea tu bakora yangu" Cyborg aliongea kwa sauti ya juu iliyomfikia Afande Neema na kumfanya acheke.
"Jamani ata siku haijaisha tayari umeshikwa na upwiru!?" Niliongea na tulizidi kuongea story zetu za mapenzi. Cyborg hakuacha kuongea maneno yake ya kichokozi kama ilivyokawaida yake.

Tulitumia mda mrefu kuongea na baadae ilibidi nimuage na kulala.

Asubuhi ilifika na ulikuwa ni mda wa kazi, mimi pamoja na asikari wenzangu tulienda sehemu tuliyohitajika kwa ajili ya kukamata waharifu tukisaidizana na asikari wengine wa maeneo yale. baada ya kumaliza kufanya kazi ulifika mda wa sisi kupata chakula.

Niliongozana na Afande Neema na tulikaa kwenye meza moja na baada ya mda alifika Afande Davi na kukaa pembeni yetu. mimi na Afande Neema tuliangaliana pasipo kuongea chochote kile na Afande Davi aliligundua hilo nakuongea.
"Au mnataka niondoke niwaache wenyewe!?" Alituuliza na Afande Neema alimjibu haina haja ya yeye kuondoka.

Afande Davi aliamua kubaki na kusikiliza maongezi yetu bira kuchangia chochote kile na baada ya mimi kumaliza kula niliondoka nikiwa na Afande Neema.
Pasipo kujua kumbe nilisahau simu yangu kwenye meza tuliyokuwa tumekaa na Afande Davi aliiona simu yangu.

Sikujua ni kitu gani kilichotokea tena ila Afande Davi aliniletea simu yangu na kuniambia kuwa niliisahau kwenye meza, nilimshukuru kwa kuwa mwaminifu kwangu.

Siku hiyo ilipita pasipo Cyborg kunitafuta, nilijua labda atakuwa amebanana na kazi. siku iliyofata napo Cyborg hakunitafuta hivyo niliamua kumpigia mwenyewe ili nijue shida nini. Nilimpigia zaidi ya mara mbili lakini Cyborg hakuweza kupokea simu yangu, akili ya haraka haraka ilinituma nimpigie binti yangu wa kazi ili nijue tatizo nini.

Nilimpigia na bahati nzuri alipokea simu.
"Cyborg yupo wapi mbona nampigia simu hapokei!?" nilimuuliza binti wa kazi.
"Alikuwa hapa nyumbani na ameondoka mda sio mrefu ila anaonekana ni mtu mwenye mawazo" binti wa kazi alinijibu na kunifanya nishindwe kuelewa Cyborg amekubwa na tatizo gani mpakaย awe kwenye hali ile.

ilipita wiki bira Cyborg kuongea na mimi na ata sms nilizokuwa nikimtumia alikuwa hazijibu kabisa.

Niliamua kumshirikisha Afande Neema nione atanishauri kitu gani.
"Huenda kuna tatizo lililotokea ndiyo sababu inayomfanya asitake kuongea na wewe"
"Sijamzoea Cyborg kuwa kimya kiasi hicho na anavyopenda kuzagamuana lazima angekuwa ananitafuta na kuongelea mambo ya kutiana kila mara" niliongea na Afande Neema alinishauri nifanye kazi kwanza na mambo mengine nitaenda kuyamalizia nyumbani mimi pamoja na Cyborg.

Mwezi mmoja ulipita na Cyborg hakuwahi kunitafuta wala kuongea na mimi. kazi tuliyotumwa kufanya ilikamilika na nilikuwa na hamu ya kufika nyumbani haraka ili nikaongee na mme wangu.

Nilifika na bahati nzuri nilimkuta Cyborg, nilipomwangalia usoni macho yake yalikuwa kwenye dalili ya mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

ilibidi nimsogelea kwa ajili ya kumuuliza na ndipo nilipoisikia harufu ya bangi.
"Cyborg umevuta bangi tena kwa mara nyingine!?" nilimuuliza lakini Cyborg siku hiyo kwa mara ya kwanza alinyenyua mkono wake na kunipiga pasipo mimi kujua sababu ni ipi iliyomfanya anipige.
"Cyborg nimekukosea nini mpaka unipige!?" nilimuuliza na Cyborg alianza kuongea huku akiwa ni mwenye hasira.

"Umeenda kugongwa na kutiwa na Afande Davi sasa ivi unajifanya hujui kosa lako!?" Cyborg aliongea na kuniacha njia panda.

Nilijiuliza tangu lini mimi nikakubali Afande Davi anitia mtu ambae hajui ata kutongoza.
"Mimi Cyborg!?" ilibidi nimuulize maana kwangu zilikuwa ni taarifa za kushangaza.

Cyborg alianza kuongea kila kitu na aliniambia kuwa alinipigia nilipokuwa kazini na simu yangu ilipokelewa na Afande Davi na alimwambia kuwa yupo na mimi anatia anavyotaka.

Nilikuwa na kazi ya kumwelewesha Cyborg na ilibidi nimtafute Afande Neema aliyekuja nyumbani siku hiyo.
Afande Neema alimwambia kila kitu Cyborg kilichotokea na baadae Cyborg alielewa na kuamua kuniomba msamaha.

"Mamiloo nisamehe nilikulupuka Malikia wangu" Cyborg aliongea na alikuwa tayari ameshatambua kosa lake.
"Uliniahidi hutovuta bangi tena kwanini leo umevuta!?" Nilimuuliza na Cyborg aliniambia sababu kubwa iliyomfanya avute ni baada ya Afande Davi kumwambia kuwa alinitia hivyo kitu pekee alichoona kitakachomfanya apunguze mawazo aliyokuwa nayo ni kuvuta bagi.

Sikutaka kumlaumu Cyborg ila lawama zote nilizipeleka kwa Afande Davi na niliamua kumsamehe mme wangu huku nikimwambia alitakiwa apokee simu nilipokuwa nikimpigia na huenda tusingefikia tulipokuwa tumefikia.
Upendo ulirudi upya ndani ya nyumba na cyborg alionyesha upendo mara dufu kwangu.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 08

PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72

1.21K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73

631
SHAMIRA Sehemu ya 110&111

SHAMIRA Sehemu ya 110&111

558
SHAMIRA 107 Hadi 109

SHAMIRA 107 Hadi 109

367
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

301
SHAMIRA 105 na 106

SHAMIRA 105 na 106

286
LETICIA 1 MPAKA 6

LETICIA 1 MPAKA 6

119
 ๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10

108
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7

97
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "9_10"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "9_10"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ

45

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.82K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.35K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.96K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.79K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.75K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.62K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "9_10"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "9_10"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 73
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Basi sasa mm na mke wangu tukatafuta mahari tukawa tumekaa , tukawaacha ummy na mdogo wake wanacheza, aka kadogo nikawa nimekashika mm, mke wangu akataka chipsi kuku...

SHAMIRA Sehemu ya 110&111 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 110&111
@majario LIVE

(SEASON FOUR) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media nikawa nalia nikamwambia love nampenda sana kaka yako plsss namuhitaji sana naomba anielew ni maisha...

KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA: Post Mpya
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO YALIKUPITA:
@majario LIVE

1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' a.k.a tetesakrin 5. Kupamba kadi na pamba sebuleni 6. Ukumbi wa sherehe kupambwa...

SHAMIRA 107 Hadi 109 Post Mpya
SHAMIRA 107 Hadi 109
@majario LIVE

Sehemu ya 107 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema acha na masuala ya mtoto bwana apa nipo mimi na wewe plsss mpenzi . Nikajikuta nacheka tu akanmbia daah ukicheka...

Jamie Carragher baada ya Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ kuinyangโ€™anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ kuwa mabingwa wapya:๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŽ™ Post Mpya
Jamie Carragher baada ya Senegal๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ kuinyangโ€™anywa(na CAF)ubingwa na kuitangaza Morocco๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ kuwa mabingwa wapya:๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ๐ŸŽ™
@majario LIVE

โ€œSawa, subiri kidogoโ€ฆ kwa hiyo Senegal wanashinda fainali ya AFCON, mashabiki wanashangilia, wachezaji wanainua kombe, kila mtu anasherehekea halafu sasa wanaambiwa: 'Hapana, samahani, Morocco ndio washindi 3-0!' Unatania?" "Yaani, hii ndiyo...

 ๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 8,9,10
@majario LIVE

O8 Unamaanisha hii simu๐Ÿ“ฑni yangu ๐Ÿค” nilimuuliza , Ndio ni yako lete nisevu namba yangu baadae nataka tuongee kuhusu kazi . Sawa nashukuru ๐Ÿ™ sana kaka Denis Mungu akubarikii ulipotoa akuzidishie....

๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7 Post Mpya
๐Ÿ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO๐Ÿ’‹ 6 na 7
@majario LIVE

O6 Umekuja tena ? nilimuuliza . Ndio kwani ni vibaya kuja kukujulia hali wakati wewe ni jirani yangu sasa kwanini jana ulikataa kuwa sio wewe wakati nakufahamu vizuri hadi nimeenda kumuuliza...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž 70 Hadi 72
@majario LIVE

Sehemu ya 70 Siwafichi umaraya sikuwa nimeacha ila.nilipunguza sana, yani sanaaaaaaa , yani nachepuka sawa ,ila kwa kutokezea sana, nilitulia na awa wake zangu wawili, ata ibraa alinambia nimechange...

LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest