Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 08
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu yangu ilitumiwa ujumbe na aliyenitumia hakuwa mwingine bali alikuwa Afande Neema aliyekuwa amekaa nyuma yetu.
"Leo kazi unayo shoga yangu umekaa na adui yako" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Neema na ilibidi nimjibu na tulianza kuchati tukiwa ndani ya gari.

Tulifika sehemu husika na Asikari wa kike tulikuwa na vyumba vyetu ata upande wa Asikari wa kiume nao pia walikuwa na vyumba vyao.

Mimi pamoja na Afande Neema tulichagua kulala kwenye chumba kimoja kutokana na urafiki wetu tuliokuwa nao.
yakiwa ni majira ya usiku Cyborg aliweza kunipigia simu na maongezi yetu Afande Neema alikuwa akiyasikia.
"Malaika ujue umeniacha na upwiru huku hapa nilipo naichezea tu bakora yangu" Cyborg aliongea kwa sauti ya juu iliyomfikia Afande Neema na kumfanya acheke.
"Jamani ata siku haijaisha tayari umeshikwa na upwiru!?" Niliongea na tulizidi kuongea story zetu za mapenzi. Cyborg hakuacha kuongea maneno yake ya kichokozi kama ilivyokawaida yake.

Tulitumia mda mrefu kuongea na baadae ilibidi nimuage na kulala.

Asubuhi ilifika na ulikuwa ni mda wa kazi, mimi pamoja na asikari wenzangu tulienda sehemu tuliyohitajika kwa ajili ya kukamata waharifu tukisaidizana na asikari wengine wa maeneo yale. baada ya kumaliza kufanya kazi ulifika mda wa sisi kupata chakula.

Niliongozana na Afande Neema na tulikaa kwenye meza moja na baada ya mda alifika Afande Davi na kukaa pembeni yetu. mimi na Afande Neema tuliangaliana pasipo kuongea chochote kile na Afande Davi aliligundua hilo nakuongea.
"Au mnataka niondoke niwaache wenyewe!?" Alituuliza na Afande Neema alimjibu haina haja ya yeye kuondoka.

Afande Davi aliamua kubaki na kusikiliza maongezi yetu bira kuchangia chochote kile na baada ya mimi kumaliza kula niliondoka nikiwa na Afande Neema.
Pasipo kujua kumbe nilisahau simu yangu kwenye meza tuliyokuwa tumekaa na Afande Davi aliiona simu yangu.

Sikujua ni kitu gani kilichotokea tena ila Afande Davi aliniletea simu yangu na kuniambia kuwa niliisahau kwenye meza, nilimshukuru kwa kuwa mwaminifu kwangu.

Siku hiyo ilipita pasipo Cyborg kunitafuta, nilijua labda atakuwa amebanana na kazi. siku iliyofata napo Cyborg hakunitafuta hivyo niliamua kumpigia mwenyewe ili nijue shida nini. Nilimpigia zaidi ya mara mbili lakini Cyborg hakuweza kupokea simu yangu, akili ya haraka haraka ilinituma nimpigie binti yangu wa kazi ili nijue tatizo nini.

Nilimpigia na bahati nzuri alipokea simu.
"Cyborg yupo wapi mbona nampigia simu hapokei!?" nilimuuliza binti wa kazi.
"Alikuwa hapa nyumbani na ameondoka mda sio mrefu ila anaonekana ni mtu mwenye mawazo" binti wa kazi alinijibu na kunifanya nishindwe kuelewa Cyborg amekubwa na tatizo gani mpaka awe kwenye hali ile.

ilipita wiki bira Cyborg kuongea na mimi na ata sms nilizokuwa nikimtumia alikuwa hazijibu kabisa.

Niliamua kumshirikisha Afande Neema nione atanishauri kitu gani.
"Huenda kuna tatizo lililotokea ndiyo sababu inayomfanya asitake kuongea na wewe"
"Sijamzoea Cyborg kuwa kimya kiasi hicho na anavyopenda kuzagamuana lazima angekuwa ananitafuta na kuongelea mambo ya kutiana kila mara" niliongea na Afande Neema alinishauri nifanye kazi kwanza na mambo mengine nitaenda kuyamalizia nyumbani mimi pamoja na Cyborg.

Mwezi mmoja ulipita na Cyborg hakuwahi kunitafuta wala kuongea na mimi. kazi tuliyotumwa kufanya ilikamilika na nilikuwa na hamu ya kufika nyumbani haraka ili nikaongee na mme wangu.

Nilifika na bahati nzuri nilimkuta Cyborg, nilipomwangalia usoni macho yake yalikuwa kwenye dalili ya mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

ilibidi nimsogelea kwa ajili ya kumuuliza na ndipo nilipoisikia harufu ya bangi.
"Cyborg umevuta bangi tena kwa mara nyingine!?" nilimuuliza lakini Cyborg siku hiyo kwa mara ya kwanza alinyenyua mkono wake na kunipiga pasipo mimi kujua sababu ni ipi iliyomfanya anipige.
"Cyborg nimekukosea nini mpaka unipige!?" nilimuuliza na Cyborg alianza kuongea huku akiwa ni mwenye hasira.

"Umeenda kugongwa na kutiwa na Afande Davi sasa ivi unajifanya hujui kosa lako!?" Cyborg aliongea na kuniacha njia panda.

Nilijiuliza tangu lini mimi nikakubali Afande Davi anitia mtu ambae hajui ata kutongoza.
"Mimi Cyborg!?" ilibidi nimuulize maana kwangu zilikuwa ni taarifa za kushangaza.

Cyborg alianza kuongea kila kitu na aliniambia kuwa alinipigia nilipokuwa kazini na simu yangu ilipokelewa na Afande Davi na alimwambia kuwa yupo na mimi anatia anavyotaka.

Nilikuwa na kazi ya kumwelewesha Cyborg na ilibidi nimtafute Afande Neema aliyekuja nyumbani siku hiyo.
Afande Neema alimwambia kila kitu Cyborg kilichotokea na baadae Cyborg alielewa na kuamua kuniomba msamaha.

"Mamiloo nisamehe nilikulupuka Malikia wangu" Cyborg aliongea na alikuwa tayari ameshatambua kosa lake.
"Uliniahidi hutovuta bangi tena kwanini leo umevuta!?" Nilimuuliza na Cyborg aliniambia sababu kubwa iliyomfanya avute ni baada ya Afande Davi kumwambia kuwa alinitia hivyo kitu pekee alichoona kitakachomfanya apunguze mawazo aliyokuwa nayo ni kuvuta bagi.

Sikutaka kumlaumu Cyborg ila lawama zote nilizipeleka kwa Afande Davi na niliamua kumsamehe mme wangu huku nikimwambia alitakiwa apokee simu nilipokuwa nikimpigia na huenda tusingefikia tulipokuwa tumefikia.
Upendo ulirudi upya ndani ya nyumba na cyborg alionyesha upendo mara dufu kwangu.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 08

PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

1.33K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

1.15K
SHAMIRA 114 mwisho ni 115

SHAMIRA 114 mwisho ni 115

859
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

225
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12

158
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1

130
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

124
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽

85
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

69
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13

61

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.86K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.58K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.86K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.98K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.76K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "12_13"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "12_13"💓😽
@majario LIVE

“Leo hakuandaa boss , but i promise u kesho unazipata, alijibu jamaa “Okay , dont worry just do it …..alisema yule boss wake kitandani “We dada wewe ni...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 13
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Sikuamin macho yangu, hiv n huyu kweli naemuona hapa mbele yangu? Yy alionesha kama ananifananisha mana alikua ananiangalia kwa makini sana, alionitendea yalinirudia akilini niliumia niliona kama nimeona mnyama...

USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA  Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar. Post Mpya
USISEME MTO MFUPI KABLA YA KUINGIA Nimeshuhudia mchezo wa kiwango kibwa kunako Ligi Kuu , hii imekua mechi bora kuzidi Derby iliyopigwa pale Zanzibar.
@majario LIVE

Pamba Jiji football club walikua kwenye ubora mkubwa zaidi kwa dakika zote, kuna muda Simba SC Tanzania walikua hawana tofauti na Jkt Tanzania football club. Mechi imechezeka kwa dakika tisini...

🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290. Post Mpya
🚨😱 imebainika kwamba shati ya kocha mkuu wa Manchester City, aliyoivaa Kwenye mchezo dhidi ya Real Madrid, ina thamani ya Euro 290.
@majario LIVE

kwa makadirio ya kubadilisha fedha, Euro 290 ni takriban shilingi za tanzania (TZS) 750,000 hadi 780,000 (kulingana na kiwango cha ubadilishaji cha sasa cha karibu TZS 2,600–2,700 kwa dola 1). hii...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "11"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "11"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" "(Alikuja kama muuza chai)" “Twende huko na wewe mi siyo mchawi nilikuwa najilinda tu Faster boda akaongeza speed ili asilipoteze lile gari Yule jamaa akaendesha mpaka huko mjini zaidi...

 Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus!  Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰 Post Mpya
Increase Earnings from Pakistan → Get +10% Bonus! Hello Partner! This week the spotlight is on Pakistan 🇵🇰
@majario LIVE

. If you increase your earnings from this GEO by 25% or more compared to last week, we’ll reward you with a +10% bonus on top. How Your Earnings Can Grow...

Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA Post Mpya
Fainali ya SIMBA 🆚 RS BERKANE ilipopagwa tu Zanzibar nilijuwa ni mipango ya huyu jama FAOUZI LEKJAA
@majario LIVE

ona sasa anaanza kuumbuka kwa kuendesha mpira wa Afrika kwa Upendeleo FAOUZI LEKJAA yeye ni ✅️Makamu wa Rais CAF ✅️Mwenyekiti wa Fedha CAF ✅️Waziri wa Fedha Morocco 🇲🇦 ✅️Mjumbe wa kamati ya...

NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1 Post Mpya
NAKUPENDA BILA 46 - 50 MWISHO S1
@majario LIVE

NAKUPENDA BILA MIPAKA:46 Nilimwambia “nina kichukulio?, Dorice natamani unielewe huyo mwanaume alivyo kwanza Hapana sitaki, na unajua mimi kwasasa akili ni mwanangu tu na hata hivyo hawezi kunitaka mimi. Kwa kipi...

Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86 Post Mpya
Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86
@majario LIVE

Mwigizaji na gwiji wa sanaa za mapigano Chuck Norris amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86, huku taarita zikieleza kuwa alikuwa akiugua kabla ya kifo chake. Kwa mujibu wa familia...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 12
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Kichwa kilinigonga ina mana hayaki mtoto au imekuaje?mbona sasa hapatkan na amenikatia simu uwiiii mm nafanyaje jmn?mimba hii nafanyaje mamangu na baba wakijua je?nawambia nn kuwa babake amekimbia au...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Göztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM  Liverpool 4-0 Galatasaray  ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️ Post Mpya
◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM Liverpool 4-0 Galatasaray ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️
@majario LIVE

Liverpool inatinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa kishindo kabisa nyumbani, ushindi ambao wali stahili kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo mpaka mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho , Liverpool...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest