Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 08
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 08

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu yangu ilitumiwa ujumbe na aliyenitumia hakuwa mwingine bali alikuwa Afande Neema aliyekuwa amekaa nyuma yetu.
"Leo kazi unayo shoga yangu umekaa na adui yako" ulikuwa ni ujumbe wa Afande Neema na ilibidi nimjibu na tulianza kuchati tukiwa ndani ya gari.

Tulifika sehemu husika na Asikari wa kike tulikuwa na vyumba vyetu ata upande wa Asikari wa kiume nao pia walikuwa na vyumba vyao.

Mimi pamoja na Afande Neema tulichagua kulala kwenye chumba kimoja kutokana na urafiki wetu tuliokuwa nao.
yakiwa ni majira ya usiku Cyborg aliweza kunipigia simu na maongezi yetu Afande Neema alikuwa akiyasikia.
"Malaika ujue umeniacha na upwiru huku hapa nilipo naichezea tu bakora yangu" Cyborg aliongea kwa sauti ya juu iliyomfikia Afande Neema na kumfanya acheke.
"Jamani ata siku haijaisha tayari umeshikwa na upwiru!?" Niliongea na tulizidi kuongea story zetu za mapenzi. Cyborg hakuacha kuongea maneno yake ya kichokozi kama ilivyokawaida yake.

Tulitumia mda mrefu kuongea na baadae ilibidi nimuage na kulala.

Asubuhi ilifika na ulikuwa ni mda wa kazi, mimi pamoja na asikari wenzangu tulienda sehemu tuliyohitajika kwa ajili ya kukamata waharifu tukisaidizana na asikari wengine wa maeneo yale. baada ya kumaliza kufanya kazi ulifika mda wa sisi kupata chakula.

Niliongozana na Afande Neema na tulikaa kwenye meza moja na baada ya mda alifika Afande Davi na kukaa pembeni yetu. mimi na Afande Neema tuliangaliana pasipo kuongea chochote kile na Afande Davi aliligundua hilo nakuongea.
"Au mnataka niondoke niwaache wenyewe!?" Alituuliza na Afande Neema alimjibu haina haja ya yeye kuondoka.

Afande Davi aliamua kubaki na kusikiliza maongezi yetu bira kuchangia chochote kile na baada ya mimi kumaliza kula niliondoka nikiwa na Afande Neema.
Pasipo kujua kumbe nilisahau simu yangu kwenye meza tuliyokuwa tumekaa na Afande Davi aliiona simu yangu.

Sikujua ni kitu gani kilichotokea tena ila Afande Davi aliniletea simu yangu na kuniambia kuwa niliisahau kwenye meza, nilimshukuru kwa kuwa mwaminifu kwangu.

Siku hiyo ilipita pasipo Cyborg kunitafuta, nilijua labda atakuwa amebanana na kazi. siku iliyofata napo Cyborg hakunitafuta hivyo niliamua kumpigia mwenyewe ili nijue shida nini. Nilimpigia zaidi ya mara mbili lakini Cyborg hakuweza kupokea simu yangu, akili ya haraka haraka ilinituma nimpigie binti yangu wa kazi ili nijue tatizo nini.

Nilimpigia na bahati nzuri alipokea simu.
"Cyborg yupo wapi mbona nampigia simu hapokei!?" nilimuuliza binti wa kazi.
"Alikuwa hapa nyumbani na ameondoka mda sio mrefu ila anaonekana ni mtu mwenye mawazo" binti wa kazi alinijibu na kunifanya nishindwe kuelewa Cyborg amekubwa na tatizo gani mpakaย awe kwenye hali ile.

ilipita wiki bira Cyborg kuongea na mimi na ata sms nilizokuwa nikimtumia alikuwa hazijibu kabisa.

Niliamua kumshirikisha Afande Neema nione atanishauri kitu gani.
"Huenda kuna tatizo lililotokea ndiyo sababu inayomfanya asitake kuongea na wewe"
"Sijamzoea Cyborg kuwa kimya kiasi hicho na anavyopenda kuzagamuana lazima angekuwa ananitafuta na kuongelea mambo ya kutiana kila mara" niliongea na Afande Neema alinishauri nifanye kazi kwanza na mambo mengine nitaenda kuyamalizia nyumbani mimi pamoja na Cyborg.

Mwezi mmoja ulipita na Cyborg hakuwahi kunitafuta wala kuongea na mimi. kazi tuliyotumwa kufanya ilikamilika na nilikuwa na hamu ya kufika nyumbani haraka ili nikaongee na mme wangu.

Nilifika na bahati nzuri nilimkuta Cyborg, nilipomwangalia usoni macho yake yalikuwa kwenye dalili ya mtu aliyetoka kuvuta bangi mda mfupi uliopita.

ilibidi nimsogelea kwa ajili ya kumuuliza na ndipo nilipoisikia harufu ya bangi.
"Cyborg umevuta bangi tena kwa mara nyingine!?" nilimuuliza lakini Cyborg siku hiyo kwa mara ya kwanza alinyenyua mkono wake na kunipiga pasipo mimi kujua sababu ni ipi iliyomfanya anipige.
"Cyborg nimekukosea nini mpaka unipige!?" nilimuuliza na Cyborg alianza kuongea huku akiwa ni mwenye hasira.

"Umeenda kugongwa na kutiwa na Afande Davi sasa ivi unajifanya hujui kosa lako!?" Cyborg aliongea na kuniacha njia panda.

Nilijiuliza tangu lini mimi nikakubali Afande Davi anitia mtu ambae hajui ata kutongoza.
"Mimi Cyborg!?" ilibidi nimuulize maana kwangu zilikuwa ni taarifa za kushangaza.

Cyborg alianza kuongea kila kitu na aliniambia kuwa alinipigia nilipokuwa kazini na simu yangu ilipokelewa na Afande Davi na alimwambia kuwa yupo na mimi anatia anavyotaka.

Nilikuwa na kazi ya kumwelewesha Cyborg na ilibidi nimtafute Afande Neema aliyekuja nyumbani siku hiyo.
Afande Neema alimwambia kila kitu Cyborg kilichotokea na baadae Cyborg alielewa na kuamua kuniomba msamaha.

"Mamiloo nisamehe nilikulupuka Malikia wangu" Cyborg aliongea na alikuwa tayari ameshatambua kosa lake.
"Uliniahidi hutovuta bangi tena kwanini leo umevuta!?" Nilimuuliza na Cyborg aliniambia sababu kubwa iliyomfanya avute ni baada ya Afande Davi kumwambia kuwa alinitia hivyo kitu pekee alichoona kitakachomfanya apunguze mawazo aliyokuwa nayo ni kuvuta bagi.

Sikutaka kumlaumu Cyborg ila lawama zote nilizipeleka kwa Afande Davi na niliamua kumsamehe mme wangu huku nikimwambia alitakiwa apokee simu nilipokuwa nikimpigia na huenda tusingefikia tulipokuwa tumefikia.
Upendo ulirudi upya ndani ya nyumba na cyborg alionyesha upendo mara dufu kwangu.....ITAENDELEA.

Inapatikana kwa Tsh 1000 tu.
Namba za malipo.????????????????

0613083801 HALOPESA Jina John Bugumba.

0755271203 M-pesa Jina John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 08

PENZI LA MHALIFU 08

Nilifika na kuwakuta wenzangu wakinisubiri hivyo niliingia kwenye gari na kimbembe kilikuwa kwangu kwani siti zote zilikuwa zimekaliwa na watu kasolo siti moja ambayo pembeni yake alikuwa amekaa Afande Davi.

Niliamua kwenda kukaa kwenye siti hiyo na safari ilianza.
Afande Davi alikuwa akinitazama na kuamua kuniongelesha kwa mara ya kwanza.
"Cyborg anaendeleaje!?"
"Mzima tu" nilimjibu na Afande Davi alikaa kimya na kukoswa neno jingine la kuniongelesha.

Jamani kuna wanaume wana midomo mizito ya kuongelesha mademu sijui tatizo huwa nini tu ndivyo alivyokuwa Afande Davi, baada ya kukoswa maneno ya kuniongelesha alijifanya amelala na mimi sikutaka kujihangaisha nae.

Nikiwa nimekaa ndani ya gari simu...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-08

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35

972
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

223
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

202
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

196
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

193
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

174
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

143
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1

125
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

108

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.78K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.66K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.59K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Womenโ€™s Day from: Senator Kobokoโ€™s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest