Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 37
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa nimekaa nje, kwa mbali niliweza kuona gari ikija kwenye nyumba yangu na ilipofika ilipaki kisha baada ya hapo nilimshuhudia Cyborg akishuka ndani ya gari aliyokuja nayo.

Cyborg alikuwa amenenepa kidogo tofauti na alivyoondoka.
Cyborg baada ya kuniona alinifata kwa ajili ya kunikumbatia licha ya kunikumbatia ila mimi sikutaka kusimama kupokea kumbatio lake zaidi ya kuendelea kukaa.
"Angel nilikumiss sana" Cyborg aliongea baada ya kunikumbatia.

Kiukweli sikutaka kumshobokea licha ya miaka miwili kupita bira kumuona.

Cyborg baada ya kuona simshobokei aliamua kuniambia.
"Nilienda kutafuta pesa Malaika na hilo gari unaloliona nimekuletea wewe ili nitimize ahadi yangu niliyowahi kukuahidi miaka ya nyuma" Cyborg aliongea akifikiri nitamsifia kwa kile alichoniambia ila nilikuwa kawaida japo nilikuwa nimemkumbuka.

Cyborg alishangaa kuona mtoto aliyekuwa amebebwa na mfanyakazi wangu aliyekuwa na mwaka mmoja na sehemu.
Cyborg alimwangalia mtoto kwa umakini na kwakuwa walikuwa wakifanana pua hakutaka ata kuuliza ni mtoto wa nani moja kwa moja alijua ni mtoto wake.

Cyborg aliamua kunishika mkono na alianza kunivuta kunipeleka chumbani.
"Najua una hasira na mimi Angel ila usijali nimerudi kwa ajili yako" aliongea na mimi niligoma kuingia chumbani sababu nilijua tukifika huko lazima tuzagamuane.
"Siwezi kuingia huko chumbani, mimi siwezi nikakuamini tena Cyborg" niliongelesha kwa mara ya kwanza tangu awasili.
"Angel ndiyo umefikia huko Malikia wangu!? basi twende tukapime sasa ivi maana najua unaogopa magonjwa" Cyborg aliongea na kuongoza njia huku akiniacha ndani nikiwa natafakari maneno yake.

Kwakuwa Cyborg alikuwa ni mwanaume pekee aliyekuwa kwenye moyo wangu na ukizingatia ni baba wa wanangu wawili niliowazaa, niliamua kukubali kuongozana nae maana ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi hasa baada ya kumuona Cyborg.

Tulifika kwenye moja ya maabara iliyokuwa karibu na mtaa wetu na kuchukua vipimo, Cyborg aliniambia kuwa hakuwahi kulala na mwanamke yoyote yule tangu ule mwaka tuliofanya mapenzi siku ya mwisho lakini haikunifanya nimwamini.

Tulipewa majibu na yalionesha wote tupo salama hivyo tulienda kupanda kwenye gari tuliyokuja nayo na safari ilianza ya kuelekea nyumbani

Tukiwa barabarani Cyborg aliipaki gari pembeni na kuniambia.
"Angel nimekumiss sana kipenzi, hapa natamani tunyanduane ndani ya hili gari, njoo basi unikalie Malikia" Cyborg aliongea huku akifungua mkanda wa suruali yake na kutoa mtalimbo wake uliokuwa umesimama.

Mimi niliona mazingira sio rafiki kwetu.
"Ondoa gari Kelvin lasivyo nitashuka kwenye gari yako" nilimwambia huku nikiweka sura ya ukauzu kidogo.
"Mmmh Malaika umekuwaje siku hizi wewe mtoto!? mbona zamani hukuwa na hasira kama ulivyo sasa!?" licha ya Cyborg kuniuliza mimi sikutaka kumjibu kwa wakati huo.

Niwaambie tu wanaume kuna mda wanawake akili zetu huwa tunazijua wenyewe unaweza kuhisi mwanamke wako hakupendi hasa kwa kukukalia kimya lakini kumbe ndani ya moyo wake anafuraha na anakupenda zaidi ya unavyofikiria ndivyo nilivyokuwa mimi.

Basi tuendelee na story yetu.

Mimi na Cyborg tulifika nyumbani na Cyborg alionekana anahamu na mimi na ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi na yeye ila sikutaka kujionesha mbele yake.

Tulieleka chumbani na baada ya kufika Cyborg alianza kunifanyia utundu wake, siku hiyo karibu kila style zilipigwa mpaka ile style ya "baby inama ufunge kamba za viatu" nayo ilipigwa.

Baada ya kunyanduana na kuzagamuana vya kutosha kidogo nilijikuta hasira nilizokuwa nazo kwa Cyborg zikipungua maana kukaa karibu miaka miwili bira kuzagamuliwa kisawa sawa sio mchezo.

"Niambie kwanza uliondoka na ulienda wapi!?" nilimuuliza na Cyborg aliniambia kuwa alienda machimboni na huko ndiko alikopata pesa zilizomfanya aweze kununua mpaka gari.

Cyborg alinisimulia mambo mengi aliyopitia pia hakuchoka kuniomba msamaha kwa kile alichowahi kukifanya cha kutembea na mdogo wangu Anna.

Nilikubali kuanza maisha upya na Cyborg na kwakuwa pesa alikuwa amekuja nazo aliamua kufungua duka la kuuza viatu vya kike na vya kiume vya special.

Basi maisha yaliendelea nikiwa naishi na Cyborg na Afande James alizipata habari za mimi kurudiana na Cyborg hivyo siku hiyo aliamua kuja kuniuliza.
"Angel ina maana kumbe ndiyo sababu iliyokufanya uvunje mahusiano na mimi na unikatae!?"
"Yule ni mme wangu na nilifunga nae ndoa na pia ni baba wa wanangu, wewe umeshawahi kusikia wapi wazazi wanaachana!?" niliongea na Afande James aliamua kuondoka........ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 37

PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

385
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

274
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

85
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

74
MFALME KIPOFU  17 -- 18

MFALME KIPOFU 17 -- 18

55
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

55
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

52
MFALME KIPOFU  25 -- 26

MFALME KIPOFU 25 -- 26

52
MFALME KIPOFU  23 -- 24

MFALME KIPOFU 23 -- 24

37
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii

10

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.03K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.91K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.1K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.9K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.71K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest