Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 37
Gonga94 ยท Stories

PENZI LA MHALIFU 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa nimekaa nje, kwa mbali niliweza kuona gari ikija kwenye nyumba yangu na ilipofika ilipaki kisha baada ya hapo nilimshuhudia Cyborg akishuka ndani ya gari aliyokuja nayo.

Cyborg alikuwa amenenepa kidogo tofauti na alivyoondoka.
Cyborg baada ya kuniona alinifata kwa ajili ya kunikumbatia licha ya kunikumbatia ila mimi sikutaka kusimama kupokea kumbatio lake zaidi ya kuendelea kukaa.
"Angel nilikumiss sana" Cyborg aliongea baada ya kunikumbatia.

Kiukweli sikutaka kumshobokea licha ya miaka miwili kupita bira kumuona.

Cyborg baada ya kuona simshobokei aliamua kuniambia.
"Nilienda kutafuta pesa Malaika na hilo gari unaloliona nimekuletea wewe ili nitimize ahadi yangu niliyowahi kukuahidi miaka ya nyuma" Cyborg aliongea akifikiri nitamsifia kwa kile alichoniambia ila nilikuwa kawaida japo nilikuwa nimemkumbuka.

Cyborg alishangaa kuona mtoto aliyekuwa amebebwa na mfanyakazi wangu aliyekuwa na mwaka mmoja na sehemu.
Cyborg alimwangalia mtoto kwa umakini na kwakuwa walikuwa wakifanana pua hakutaka ata kuuliza ni mtoto wa nani moja kwa moja alijua ni mtoto wake.

Cyborg aliamua kunishika mkono na alianza kunivuta kunipeleka chumbani.
"Najua una hasira na mimi Angel ila usijali nimerudi kwa ajili yako" aliongea na mimi niligoma kuingia chumbani sababu nilijua tukifika huko lazima tuzagamuane.
"Siwezi kuingia huko chumbani, mimi siwezi nikakuamini tena Cyborg" niliongelesha kwa mara ya kwanza tangu awasili.
"Angel ndiyo umefikia huko Malikia wangu!? basi twende tukapime sasa ivi maana najua unaogopa magonjwa" Cyborg aliongea na kuongoza njia huku akiniacha ndani nikiwa natafakari maneno yake.

Kwakuwa Cyborg alikuwa ni mwanaume pekee aliyekuwa kwenye moyo wangu na ukizingatia ni baba wa wanangu wawili niliowazaa, niliamua kukubali kuongozana nae maana ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi hasa baada ya kumuona Cyborg.

Tulifika kwenye moja ya maabara iliyokuwa karibu na mtaa wetu na kuchukua vipimo, Cyborg aliniambia kuwa hakuwahi kulala na mwanamke yoyote yule tangu ule mwaka tuliofanya mapenzi siku ya mwisho lakini haikunifanya nimwamini.

Tulipewa majibu na yalionesha wote tupo salama hivyo tulienda kupanda kwenye gari tuliyokuja nayo na safari ilianza ya kuelekea nyumbani

Tukiwa barabarani Cyborg aliipaki gari pembeni na kuniambia.
"Angel nimekumiss sana kipenzi, hapa natamani tunyanduane ndani ya hili gari, njoo basi unikalie Malikia" Cyborg aliongea huku akifungua mkanda wa suruali yake na kutoa mtalimbo wake uliokuwa umesimama.

Mimi niliona mazingira sio rafiki kwetu.
"Ondoa gari Kelvin lasivyo nitashuka kwenye gari yako" nilimwambia huku nikiweka sura ya ukauzu kidogo.
"Mmmh Malaika umekuwaje siku hizi wewe mtoto!? mbona zamani hukuwa na hasira kama ulivyo sasa!?" licha ya Cyborg kuniuliza mimi sikutaka kumjibu kwa wakati huo.

Niwaambie tu wanaume kuna mda wanawake akili zetu huwa tunazijua wenyewe unaweza kuhisi mwanamke wako hakupendi hasa kwa kukukalia kimya lakini kumbe ndani ya moyo wake anafuraha na anakupenda zaidi ya unavyofikiria ndivyo nilivyokuwa mimi.

Basi tuendelee na story yetu.

Mimi na Cyborg tulifika nyumbani na Cyborg alionekana anahamu na mimi na ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi na yeye ila sikutaka kujionesha mbele yake.

Tulieleka chumbani na baada ya kufika Cyborg alianza kunifanyia utundu wake, siku hiyo karibu kila style zilipigwa mpaka ile style ya "baby inama ufunge kamba za viatu" nayo ilipigwa.

Baada ya kunyanduana na kuzagamuana vya kutosha kidogo nilijikuta hasira nilizokuwa nazo kwa Cyborg zikipungua maana kukaa karibu miaka miwili bira kuzagamuliwa kisawa sawa sio mchezo.

"Niambie kwanza uliondoka na ulienda wapi!?" nilimuuliza na Cyborg aliniambia kuwa alienda machimboni na huko ndiko alikopata pesa zilizomfanya aweze kununua mpaka gari.

Cyborg alinisimulia mambo mengi aliyopitia pia hakuchoka kuniomba msamaha kwa kile alichowahi kukifanya cha kutembea na mdogo wangu Anna.

Nilikubali kuanza maisha upya na Cyborg na kwakuwa pesa alikuwa amekuja nazo aliamua kufungua duka la kuuza viatu vya kike na vya kiume vya special.

Basi maisha yaliendelea nikiwa naishi na Cyborg na Afande James alizipata habari za mimi kurudiana na Cyborg hivyo siku hiyo aliamua kuja kuniuliza.
"Angel ina maana kumbe ndiyo sababu iliyokufanya uvunje mahusiano na mimi na unikatae!?"
"Yule ni mme wangu na nilifunga nae ndoa na pia ni baba wa wanangu, wewe umeshawahi kusikia wapi wazazi wanaachana!?" niliongea na Afande James aliamua kuondoka........ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 37

PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 70...71๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

609
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113

563
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*

551
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

206
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4

115
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7

89
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8

57
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

51

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.7K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.32K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: โญโญโญโญ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story ๐Ÿซถ
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa โ€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?โ€ Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair โ€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic โ€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO ๐Ÿ’โค๏ธ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYOโ€ฆโ€ฆ โ€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza โ€œHuyu ni nani tena?โ€ Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. โ€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wakeโ€ nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. โ€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest