Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 37
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa nimekaa nje, kwa mbali niliweza kuona gari ikija kwenye nyumba yangu na ilipofika ilipaki kisha baada ya hapo nilimshuhudia Cyborg akishuka ndani ya gari aliyokuja nayo.

Cyborg alikuwa amenenepa kidogo tofauti na alivyoondoka.
Cyborg baada ya kuniona alinifata kwa ajili ya kunikumbatia licha ya kunikumbatia ila mimi sikutaka kusimama kupokea kumbatio lake zaidi ya kuendelea kukaa.
"Angel nilikumiss sana" Cyborg aliongea baada ya kunikumbatia.

Kiukweli sikutaka kumshobokea licha ya miaka miwili kupita bira kumuona.

Cyborg baada ya kuona simshobokei aliamua kuniambia.
"Nilienda kutafuta pesa Malaika na hilo gari unaloliona nimekuletea wewe ili nitimize ahadi yangu niliyowahi kukuahidi miaka ya nyuma" Cyborg aliongea akifikiri nitamsifia kwa kile alichoniambia ila nilikuwa kawaida japo nilikuwa nimemkumbuka.

Cyborg alishangaa kuona mtoto aliyekuwa amebebwa na mfanyakazi wangu aliyekuwa na mwaka mmoja na sehemu.
Cyborg alimwangalia mtoto kwa umakini na kwakuwa walikuwa wakifanana pua hakutaka ata kuuliza ni mtoto wa nani moja kwa moja alijua ni mtoto wake.

Cyborg aliamua kunishika mkono na alianza kunivuta kunipeleka chumbani.
"Najua una hasira na mimi Angel ila usijali nimerudi kwa ajili yako" aliongea na mimi niligoma kuingia chumbani sababu nilijua tukifika huko lazima tuzagamuane.
"Siwezi kuingia huko chumbani, mimi siwezi nikakuamini tena Cyborg" niliongelesha kwa mara ya kwanza tangu awasili.
"Angel ndiyo umefikia huko Malikia wangu!? basi twende tukapime sasa ivi maana najua unaogopa magonjwa" Cyborg aliongea na kuongoza njia huku akiniacha ndani nikiwa natafakari maneno yake.

Kwakuwa Cyborg alikuwa ni mwanaume pekee aliyekuwa kwenye moyo wangu na ukizingatia ni baba wa wanangu wawili niliowazaa, niliamua kukubali kuongozana nae maana ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi hasa baada ya kumuona Cyborg.

Tulifika kwenye moja ya maabara iliyokuwa karibu na mtaa wetu na kuchukua vipimo, Cyborg aliniambia kuwa hakuwahi kulala na mwanamke yoyote yule tangu ule mwaka tuliofanya mapenzi siku ya mwisho lakini haikunifanya nimwamini.

Tulipewa majibu na yalionesha wote tupo salama hivyo tulienda kupanda kwenye gari tuliyokuja nayo na safari ilianza ya kuelekea nyumbani

Tukiwa barabarani Cyborg aliipaki gari pembeni na kuniambia.
"Angel nimekumiss sana kipenzi, hapa natamani tunyanduane ndani ya hili gari, njoo basi unikalie Malikia" Cyborg aliongea huku akifungua mkanda wa suruali yake na kutoa mtalimbo wake uliokuwa umesimama.

Mimi niliona mazingira sio rafiki kwetu.
"Ondoa gari Kelvin lasivyo nitashuka kwenye gari yako" nilimwambia huku nikiweka sura ya ukauzu kidogo.
"Mmmh Malaika umekuwaje siku hizi wewe mtoto!? mbona zamani hukuwa na hasira kama ulivyo sasa!?" licha ya Cyborg kuniuliza mimi sikutaka kumjibu kwa wakati huo.

Niwaambie tu wanaume kuna mda wanawake akili zetu huwa tunazijua wenyewe unaweza kuhisi mwanamke wako hakupendi hasa kwa kukukalia kimya lakini kumbe ndani ya moyo wake anafuraha na anakupenda zaidi ya unavyofikiria ndivyo nilivyokuwa mimi.

Basi tuendelee na story yetu.

Mimi na Cyborg tulifika nyumbani na Cyborg alionekana anahamu na mimi na ata mimi nilikuwa na hamu ya kufanya mapenzi na yeye ila sikutaka kujionesha mbele yake.

Tulieleka chumbani na baada ya kufika Cyborg alianza kunifanyia utundu wake, siku hiyo karibu kila style zilipigwa mpaka ile style ya "baby inama ufunge kamba za viatu" nayo ilipigwa.

Baada ya kunyanduana na kuzagamuana vya kutosha kidogo nilijikuta hasira nilizokuwa nazo kwa Cyborg zikipungua maana kukaa karibu miaka miwili bira kuzagamuliwa kisawa sawa sio mchezo.

"Niambie kwanza uliondoka na ulienda wapi!?" nilimuuliza na Cyborg aliniambia kuwa alienda machimboni na huko ndiko alikopata pesa zilizomfanya aweze kununua mpaka gari.

Cyborg alinisimulia mambo mengi aliyopitia pia hakuchoka kuniomba msamaha kwa kile alichowahi kukifanya cha kutembea na mdogo wangu Anna.

Nilikubali kuanza maisha upya na Cyborg na kwakuwa pesa alikuwa amekuja nazo aliamua kufungua duka la kuuza viatu vya kike na vya kiume vya special.

Basi maisha yaliendelea nikiwa naishi na Cyborg na Afande James alizipata habari za mimi kurudiana na Cyborg hivyo siku hiyo aliamua kuja kuniuliza.
"Angel ina maana kumbe ndiyo sababu iliyokufanya uvunje mahusiano na mimi na unikatae!?"
"Yule ni mme wangu na nilifunga nae ndoa na pia ni baba wa wanangu, wewe umeshawahi kusikia wapi wazazi wanaachana!?" niliongea na Afande James aliamua kuondoka........ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHAMIRA fully episode
SHAMIRA fully episode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 37

PENZI LA MHALIFU 37

Baada ya Afande James kuondoka nilipanga kuvunja uhusiano nae maana niliona hatuendani kabisa.

Siku iliyofata aliendelea kuniletea usumbufu nikubali kumpa penzi langu kwa mara nyingine ila nilimwambia haitawezekana tena mimi na yeye kuwa pamoja.

Afande James hakukata tamaa ya kuendelea kunishawishi niweze kukubali lakini niliendelea kumchenga Afande James na sikutaka tena kufanya nae mapenzi na hii ni baada ya kugundua kuwa mpaka atumie dawa ya kuongeza nguvu ndiyo aninyandue, sikutaka kabisa kuwa na mwanaume wa aina hiyo.

Afande James alipunguza mazoea na mimi baada ya kuona sipo tayari kufanya nae mapenzi kwa mara ya pili.

Nakumbuka ilikuwa siku ya jumamosi nilikuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87

1.55K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85

1.44K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89

1.12K
LETICIA Sehemu ya 17 na 18

LETICIA Sehemu ya 17 na 18

360
IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10*

IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*

211
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8

179
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15

144
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11

57
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15

40
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13

34

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.97K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.65K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.57K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.06K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.01K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.69K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 88 na 89
@majario LIVE

Basi nikajikuta usingiz umenipitia kabisaa, nahisi ni ile kuchoka na mawazo sana, nikaja kustuka ni mida ya usiku hivi, kwa pembni naona wanangu , arshaina ndo wa kwanza akananza kunipandia...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋  11....15 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO💋 11....15
@majario LIVE

Sawa mke wangu kipenzi nashukuru kwa kunijali, Denis aliondoka hadi gari 🚙 lilivyokata kona na mimi nikaingia ndani nilibadilisha nguo nilizovaa nikaenda sokoni kununua nyama na mchele nikaja kupika chakula...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 15 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15
@mjukuu LIVE

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 15 (🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Alex anazidi kumshindua kungwi kwa raha zake mpaka na yeye akakojoa... Alex alikaa kwa kungwi...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 14 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 14
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Mke wangu umeenda kijijini kumpa mwanangu mimba?. ( Yani aliongea uku amemkwida mama asma...na hapo akatokea msamalia mwema akamshika...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 13 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 13
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) Siku ambayo kwakweli nilifanya mapenzi na asma kwa raha sana nilimlamba kila Kona na kiu aliitoa na yeye...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋  Sehemu ya 12 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 12
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Asma akasogea yupo tayari kuvuliwa nguo nimpe utamu, Dah yani....👇 Kidume sikutaka kuchelewa maana penzi la wizi wizi hili, Nilimvua...

😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11 Post Mpya
😋😋KIJIJI CHA UTAMU😋😋 Sehemu ya 11
@mjukuu LIVE

(🔞) (HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO) 👉 Unajua mbwana yule mjumbe anatoa...👇 Ushilikiano kitandani utasema kijana yani uno kama lote mpaka nasema kimoyoni enzi ya...

IN LOVE WITH ZURI*   *Chapter 9&10* Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* *Chapter 9&10*
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Upande wangu nilikuwa zangu chumbani, nikijiandaa kwa ajiri ya kutoka kwenda kurefresh kidogo, nikiwa najiandaa mara Ethan huyu hapa alikuwa mnyinge kweli "Vipi tena??" Nilimuuliza baada ya kumuona amekuwa mnyonge gafla "Acha...

IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Ethan akazungumza "Hakuna cha kukata tamaa, kwani we nani amekwambia kuwa ameolewa..??" "Ni mama.." Nilimjibu huku nikiwa nimekata tamaa zaidi "Sasa mama wewe unamuamini vipi??, kama amekuongopea?? We cha kufanya anza kumtoa mtoto...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Basi mimi sasa apo nikampigia kwanza mkuu wangu kazini, mana sijaenda kazini kama siku 3 na sikuwa nimetoa sababau kabisaa, nikamuelezea kuwa nna matatizo mengi ya kimafimilia kwaiyo sipo sawa...

LETICIA Sehemu ya 17 na 18 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 17 na 18
@majario LIVE

Nikiwa nimelala usiku nikashangaa mlango unafunguliwa. Mmh nikainuka chapu uzuri sizimagi taa ,si namuona polela jamni loooh nilichukia mno jamani nikasema wewe umefwata nini umu .akasema taratibu mummy...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 85
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Aseeee mi nikatulia pale sebleni, et amam akaenda kuchukua nguo zake akasema naenda pemba ushasahau kuwa mm nimekuzaa ww kabisa , na ndo mana huna adabu kabisa, mi...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest