Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa nachenga mizagamuo.
"Umesahau kama mimi ni asikari!?" niliongea huku nikiendelea kufanya mazoezi yangu.
"Basi twende ndani nikakufanyishe mazoezi mke wangu" Cyborg aliniambia na mimi nilijua lengo lake nikutaka nimpe cha asubuhi.

Nilimkatilia na kuanza kumpa elimu ya jinsi mazoezi yalivyo mhimu kwenye mwili wa binadamu. Cyborg ilibidi akubali na yeye aliamua kukumbushia kwa kupiga pushapu kadhaa.

Moyoni nilijipongeza kwa kuweza kumchenga ila sasa mawazo yote yalikuwa pale mama atakapoamka, sikujua ataniambia kitu gani.

Nilifanya mazoea mpaka saa 12 na Cyborg aliniambia twende tukaoge wote.
"Wewe nenda tu mme wangu mimi nakuja huko mda sio mrefu" niliongea maana sikutaka kwenda kuoga nae pamoja kwani nilazima tungenyanduana huko huko bafuni.
Cyborg alishindwa kunielewa ila aliamua kwenda kwa ajili ya kuoga.

Cyborg alipomaliza kuoga na mimi nilienda kuoga na baada ya kumaliza nilivaa haraka nguo zangu za kazini.
"Angel leo mbona una haraka hivyo unawahi wapi!?" Cyborg ilibidi aniulize maana siku hiyo akili yangu nilikuwa naijua mwenyewe.

Nilimwambia kuna kazi mhimu hivyo ni lazima niwahi.

Baada ya kumaliza kuvaa nilitoka chumbani na kukutana na mama mlango.
"Mmmmh" mama aliguna baada ya kuniona.
"Mama shikamoo" ilibidi nimsalimie.
"Marahaba mmeo anaonekana yupo vzuri ila mwambie awe anapunguza sauti usiku na kutukana hovyo" mama aliongea na mimi nilijua hakuna siri tena kwani kila kitu kilikuwa wazi.

Niliamua kumkubalia kuwa nitaongea nae na baada ya hapo nilimuaga kwa ajili ya kuondoka ila mama aliniambia siku inayofata ataondoka.

Nilienda kazini siku hiyo na siku iliyofata mama aliondoka na sisi tuliendelea na maisha kama kawaida.

Siku iliyofata kwakuwa ilikuwa ni siku ya mapumziko niliamua kwenda kwenye duka la Cyborg.

Nilimkuta Cyborg akiwa kakaa na mwanamke mnene aliyejaza mchina kwenye makalio yake na alionekana ni mteja waliyezoeana kwani niliwakuta wakipiga story huku wakicheka. basi niliamua kuungana nao na kupiga story.

Baada ya mda mwanamke tuliyekuwa tukipiga nae story aliaga na kuondoka na kutuacha sisi wawili.

Dekika kadhaa zilipita tukiwa sisi wawili dukani na Cyborg aliamua kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda kuangalia mzigo mara moja naomba uniangalizie hapa" Cyborg aliongea nakunipa maelekezo ya bei husika ya bidhaa zake.

Nilibaki mwenyewe na baada ya dekika kadhaa alikuja kijana aliyetokea kwenye duka la jirani na kunisalimia.
"Sister samahani wewe ni mke wa jamaa anayeuza hapa!?" aliniuliza na mimi niliamua kukubali kuwa ni mke wa Cyborg ila bado nilikuwa njia panda sababu sikujua thamila yake.
"Kwanini umeniuliza hivyo kwani kuna tatizo!?"
Baada ya kumuuliza aliamua kunijibu.
"Ndio tatizo lipo jamaa yako ni kitombi sana kwa mademu za watu"
"Mmmh" ilibidi nigune baada ya kusikia kuwa Cyborg anatembea na wanawake wa watu.
"Huenda umekosea mme wangu hayuko hivyo" nilipingana na kile alichoniambia ila aliniambia kama siamini basi nimpe namba zangu ili aweze kunionesha ushahidi.

Nilimtajia namba zangu kisha baada ya hapo aliondoka na kuniambia atanitumia ushahidi.

Nilibaki mwenyewe huku nikiwa natafakari maneno aliyoniambia kijana aliyeondoka mda sio mrefu na kuna mda niliamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka jinsi nilivyomkuta Cyborg akiongea na mteja tena wakiwa wanacheka kabisa.
Niliendelea kukaa kwenye duka la Cyborg na baada ya masaa kadhaa kupita Cyborg aliweza kurudi.

Sikutaka kumuuliza Cyborg juu ya kile nilichoambiwa na nilipanga kuanza kufanya uchunguzi mwenyewe.

Baada ya kukaa kwa mda mrefu niliondoka na kurudi nyumbani na kumuacha Cyborg mwenyewe.

Siku mbili zilipita na siku ya tatu nikiwa kazini kwangu niliweza kupigiwa na namba ngeni na nilipoipokea ilisikika sauti ya mwanaume na alijitambulisha kwa jina la Oscar na alinikumbusha vizuri kuwa ndiyo yule kijana niliyempatia namba siku niliyoenda kumtembelea Cyborg dukani kwake.

Oscar aliniambia niende kwenye duka lake ili anioneshe jinsi mme wangu Cyborg anavyochepuka.

Niliamua kuondoka nikiwa na nguo zangu za kazi na sikutaka kutumia gari langu kwenda sehemu niliyoelekezwa.

Nilifika mpaka kwenye duka alilokuwemo Oscar na alishituka baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.
"Aya niambie yupo wapi mme wangu!?" ilibidi nimuulize baada ya kuona duka la Cyborg limefungwa ila nilishangaa kumuona Oscar akizidi kuniogopa zaidi.
"Sinakuuliza mbona upo kimya!?" nilimuuliza kwa mara nyingine na aliamua kuongea.
"Samahani umechelewa kwani ameondoka mda sio mrefu mme wako akiwa na mchepuko wake"  alinijibu huku akiendelea kuwa na wasiwasi.

Baada ya kuniambia vile niliona kama ananipotezea mda hivyo niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini kuna kijana mwingine aliyekuwa duka la jirani aliamua kuniita.

Kipindi naenda kuonana na kijana mwingine akiyeniita nilimuona kijana aliyekuwa akiitwa oscar akifunga duka lake na kuondoka huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi.

Nilifika mpaka kwa kijana aliyeniita aliyenisalimia baada ya mimi kufika pale kisha baada ya hapo aliniambia.
"Afande samahani, yule kijana alitaka kukuchonganisha wewe na mme wako na siku ile alikuambia vile ili aweze kupata namba yako ya simu na siku ya leo alipanga kufanya mapenzi na wewe kwenye duka lake" aliongea na alinifafanulia zaidi kuwa yeye na kijana yule hawapatani kwani walikuwa na ugomvi na ndiyo maana ameamua kuniambia ukweli.

Dah kweli kila mwanaume ananjia zake za kutongoza niliongea mwenyewe baada ya kugundua kuwa ilikuwa ni mipango ya yule kijana Oscar ili aweze kufanya mapenzi na mimi. nahisi kilichomwogopesha ni baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.

Nilirudi kazini kwangu na baadae nilipata uhakika mwenyewe kuwa Cyborg hanisaliti kwani upendo uliongezeka mara dufu kwenye ndoa yetu.

Kidogo usumbufu wa kutongozwa ulipungua hasa kutoka kwa asikari wenzangu na ata mtoto wa mbunge aliacha kunifatilia baada ya kugundua kuwa ni mwanamke mwenye msimamo na nilikuwa mgumu kugawa kitumbua changu hovyo.

Basi tuliendelea na maisha mimi pamoja na Cyborg huku nikiwa bado na watoto wangu wawili na sikuwa na mpango kabisa wa kuacha kazi yangu ya uasikari.

Pia mme wangu Cyborg nae biashara yake ilizidi kuimalika na mpaka sasa tuna miliki magari mawili na tumejenga nyumba nyingine ya kisasa.

Upande wa  mdogo wangu Anna alibahatika kuolewa na mwanaume mwingine na alibahatika kupata  mtoto mmoja.

Bira kusahau mtoto wa Cyborg aliyezaa na dada wa kazi bado aliendelea kumhudumia na kutoa matumizi ya msingi yaliyokuwa yakihitaji.

Ninachoshukuru kwa Cyborg mpaka namaliza kusimulia mkasa huu hakuwa kuuchoka mwili wangu na kila siku nilikuwa mpya kwake japo ni mwanaume aliyekuwa na udhaifu wake lakini siku zote wanasema hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu anamadhaifu yake.

Asanteni sana kwa kufatilia mkasa huu naamini mtakuwa mmejifunza mengi kwenye story hii nawapenda sana ?????

                      MWISHOOO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-43-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

710
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

334
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

307
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

282
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9

157
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

100
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

93
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

42
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.41K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.19K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.19K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.31K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho Post Mpya
MY CRAZY BOSS 18 hadi Mwisho
@majario LIVE

MY CRAZY BOSS 18 " Tulishuka kwenye gari Erick alinishika mkono kisha tukaelekea ndani." "Hello dad, hello mom, Erick aliwasalimia wazee wawili wa makamo tuliokutana nao ndani". Muda wote nilikuwa...

What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~ Post Mpya
What a beautiful throwback from the music recording days of Bobby ~
@majario LIVE

A very young Dimple Kapadia and Rishi Kapoor — both just starting out — probably had no idea they were about to become such huge stars. There’s that innocent...

When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol Post Mpya
When you think of real Bollywood love stories, Ajay Devgn and Kajol
@majario LIVE

definitely come to mind. They’re honestly the perfect example of how opposites attract. Ajay is quiet, intense, and keeps things low-key. Kajol is loud, expressive, and full of life....

Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU Ya tisa*
@majario LIVE

Kwanza kitendo cha pully kumuona mama yake mzazi kwenye eneo ilo Tena gafla alijikuta akishtuka sana na pasi na kutalajia akajikuta akimuuliza kwa jazba. "Mama umekuja kufanya nini hapa?" Kila mtu akashtuka...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 8
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata Asubui, Noela aliamka na kitu cha kwanza alichofanya ni kumtumia Salmon ujumbe akimuomba msamaha. Alitegemea atajibiwa lakini haikua ivyo licha ya Salmon kusoma meseji zote🥱. Sasa Dada watu akawa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest