Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa nachenga mizagamuo.
"Umesahau kama mimi ni asikari!?" niliongea huku nikiendelea kufanya mazoezi yangu.
"Basi twende ndani nikakufanyishe mazoezi mke wangu" Cyborg aliniambia na mimi nilijua lengo lake nikutaka nimpe cha asubuhi.

Nilimkatilia na kuanza kumpa elimu ya jinsi mazoezi yalivyo mhimu kwenye mwili wa binadamu. Cyborg ilibidi akubali na yeye aliamua kukumbushia kwa kupiga pushapu kadhaa.

Moyoni nilijipongeza kwa kuweza kumchenga ila sasa mawazo yote yalikuwa pale mama atakapoamka, sikujua ataniambia kitu gani.

Nilifanya mazoea mpaka saa 12 na Cyborg aliniambia twende tukaoge wote.
"Wewe nenda tu mme wangu mimi nakuja huko mda sio mrefu" niliongea maana sikutaka kwenda kuoga nae pamoja kwani nilazima tungenyanduana huko huko bafuni.
Cyborg alishindwa kunielewa ila aliamua kwenda kwa ajili ya kuoga.

Cyborg alipomaliza kuoga na mimi nilienda kuoga na baada ya kumaliza nilivaa haraka nguo zangu za kazini.
"Angel leo mbona una haraka hivyo unawahi wapi!?" Cyborg ilibidi aniulize maana siku hiyo akili yangu nilikuwa naijua mwenyewe.

Nilimwambia kuna kazi mhimu hivyo ni lazima niwahi.

Baada ya kumaliza kuvaa nilitoka chumbani na kukutana na mama mlango.
"Mmmmh" mama aliguna baada ya kuniona.
"Mama shikamoo" ilibidi nimsalimie.
"Marahaba mmeo anaonekana yupo vzuri ila mwambie awe anapunguza sauti usiku na kutukana hovyo" mama aliongea na mimi nilijua hakuna siri tena kwani kila kitu kilikuwa wazi.

Niliamua kumkubalia kuwa nitaongea nae na baada ya hapo nilimuaga kwa ajili ya kuondoka ila mama aliniambia siku inayofata ataondoka.

Nilienda kazini siku hiyo na siku iliyofata mama aliondoka na sisi tuliendelea na maisha kama kawaida.

Siku iliyofata kwakuwa ilikuwa ni siku ya mapumziko niliamua kwenda kwenye duka la Cyborg.

Nilimkuta Cyborg akiwa kakaa na mwanamke mnene aliyejaza mchina kwenye makalio yake na alionekana ni mteja waliyezoeana kwani niliwakuta wakipiga story huku wakicheka. basi niliamua kuungana nao na kupiga story.

Baada ya mda mwanamke tuliyekuwa tukipiga nae story aliaga na kuondoka na kutuacha sisi wawili.

Dekika kadhaa zilipita tukiwa sisi wawili dukani na Cyborg aliamua kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda kuangalia mzigo mara moja naomba uniangalizie hapa" Cyborg aliongea nakunipa maelekezo ya bei husika ya bidhaa zake.

Nilibaki mwenyewe na baada ya dekika kadhaa alikuja kijana aliyetokea kwenye duka la jirani na kunisalimia.
"Sister samahani wewe ni mke wa jamaa anayeuza hapa!?" aliniuliza na mimi niliamua kukubali kuwa ni mke wa Cyborg ila bado nilikuwa njia panda sababu sikujua thamila yake.
"Kwanini umeniuliza hivyo kwani kuna tatizo!?"
Baada ya kumuuliza aliamua kunijibu.
"Ndio tatizo lipo jamaa yako ni kitombi sana kwa mademu za watu"
"Mmmh" ilibidi nigune baada ya kusikia kuwa Cyborg anatembea na wanawake wa watu.
"Huenda umekosea mme wangu hayuko hivyo" nilipingana na kile alichoniambia ila aliniambia kama siamini basi nimpe namba zangu ili aweze kunionesha ushahidi.

Nilimtajia namba zangu kisha baada ya hapo aliondoka na kuniambia atanitumia ushahidi.

Nilibaki mwenyewe huku nikiwa natafakari maneno aliyoniambia kijana aliyeondoka mda sio mrefu na kuna mda niliamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka jinsi nilivyomkuta Cyborg akiongea na mteja tena wakiwa wanacheka kabisa.
Niliendelea kukaa kwenye duka la Cyborg na baada ya masaa kadhaa kupita Cyborg aliweza kurudi.

Sikutaka kumuuliza Cyborg juu ya kile nilichoambiwa na nilipanga kuanza kufanya uchunguzi mwenyewe.

Baada ya kukaa kwa mda mrefu niliondoka na kurudi nyumbani na kumuacha Cyborg mwenyewe.

Siku mbili zilipita na siku ya tatu nikiwa kazini kwangu niliweza kupigiwa na namba ngeni na nilipoipokea ilisikika sauti ya mwanaume na alijitambulisha kwa jina la Oscar na alinikumbusha vizuri kuwa ndiyo yule kijana niliyempatia namba siku niliyoenda kumtembelea Cyborg dukani kwake.

Oscar aliniambia niende kwenye duka lake ili anioneshe jinsi mme wangu Cyborg anavyochepuka.

Niliamua kuondoka nikiwa na nguo zangu za kazi na sikutaka kutumia gari langu kwenda sehemu niliyoelekezwa.

Nilifika mpaka kwenye duka alilokuwemo Oscar na alishituka baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.
"Aya niambie yupo wapi mme wangu!?" ilibidi nimuulize baada ya kuona duka la Cyborg limefungwa ila nilishangaa kumuona Oscar akizidi kuniogopa zaidi.
"Sinakuuliza mbona upo kimya!?" nilimuuliza kwa mara nyingine na aliamua kuongea.
"Samahani umechelewa kwani ameondoka mda sio mrefu mme wako akiwa na mchepuko wake"  alinijibu huku akiendelea kuwa na wasiwasi.

Baada ya kuniambia vile niliona kama ananipotezea mda hivyo niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini kuna kijana mwingine aliyekuwa duka la jirani aliamua kuniita.

Kipindi naenda kuonana na kijana mwingine akiyeniita nilimuona kijana aliyekuwa akiitwa oscar akifunga duka lake na kuondoka huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi.

Nilifika mpaka kwa kijana aliyeniita aliyenisalimia baada ya mimi kufika pale kisha baada ya hapo aliniambia.
"Afande samahani, yule kijana alitaka kukuchonganisha wewe na mme wako na siku ile alikuambia vile ili aweze kupata namba yako ya simu na siku ya leo alipanga kufanya mapenzi na wewe kwenye duka lake" aliongea na alinifafanulia zaidi kuwa yeye na kijana yule hawapatani kwani walikuwa na ugomvi na ndiyo maana ameamua kuniambia ukweli.

Dah kweli kila mwanaume ananjia zake za kutongoza niliongea mwenyewe baada ya kugundua kuwa ilikuwa ni mipango ya yule kijana Oscar ili aweze kufanya mapenzi na mimi. nahisi kilichomwogopesha ni baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.

Nilirudi kazini kwangu na baadae nilipata uhakika mwenyewe kuwa Cyborg hanisaliti kwani upendo uliongezeka mara dufu kwenye ndoa yetu.

Kidogo usumbufu wa kutongozwa ulipungua hasa kutoka kwa asikari wenzangu na ata mtoto wa mbunge aliacha kunifatilia baada ya kugundua kuwa ni mwanamke mwenye msimamo na nilikuwa mgumu kugawa kitumbua changu hovyo.

Basi tuliendelea na maisha mimi pamoja na Cyborg huku nikiwa bado na watoto wangu wawili na sikuwa na mpango kabisa wa kuacha kazi yangu ya uasikari.

Pia mme wangu Cyborg nae biashara yake ilizidi kuimalika na mpaka sasa tuna miliki magari mawili na tumejenga nyumba nyingine ya kisasa.

Upande wa  mdogo wangu Anna alibahatika kuolewa na mwanaume mwingine na alibahatika kupata  mtoto mmoja.

Bira kusahau mtoto wa Cyborg aliyezaa na dada wa kazi bado aliendelea kumhudumia na kutoa matumizi ya msingi yaliyokuwa yakihitaji.

Ninachoshukuru kwa Cyborg mpaka namaliza kusimulia mkasa huu hakuwa kuuchoka mwili wangu na kila siku nilikuwa mpya kwake japo ni mwanaume aliyekuwa na udhaifu wake lakini siku zote wanasema hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu anamadhaifu yake.

Asanteni sana kwa kufatilia mkasa huu naamini mtakuwa mmejifunza mengi kwenye story hii nawapenda sana ?????

                      MWISHOOO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-43-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

76
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest