Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa nachenga mizagamuo.
"Umesahau kama mimi ni asikari!?" niliongea huku nikiendelea kufanya mazoezi yangu.
"Basi twende ndani nikakufanyishe mazoezi mke wangu" Cyborg aliniambia na mimi nilijua lengo lake nikutaka nimpe cha asubuhi.

Nilimkatilia na kuanza kumpa elimu ya jinsi mazoezi yalivyo mhimu kwenye mwili wa binadamu. Cyborg ilibidi akubali na yeye aliamua kukumbushia kwa kupiga pushapu kadhaa.

Moyoni nilijipongeza kwa kuweza kumchenga ila sasa mawazo yote yalikuwa pale mama atakapoamka, sikujua ataniambia kitu gani.

Nilifanya mazoea mpaka saa 12 na Cyborg aliniambia twende tukaoge wote.
"Wewe nenda tu mme wangu mimi nakuja huko mda sio mrefu" niliongea maana sikutaka kwenda kuoga nae pamoja kwani nilazima tungenyanduana huko huko bafuni.
Cyborg alishindwa kunielewa ila aliamua kwenda kwa ajili ya kuoga.

Cyborg alipomaliza kuoga na mimi nilienda kuoga na baada ya kumaliza nilivaa haraka nguo zangu za kazini.
"Angel leo mbona una haraka hivyo unawahi wapi!?" Cyborg ilibidi aniulize maana siku hiyo akili yangu nilikuwa naijua mwenyewe.

Nilimwambia kuna kazi mhimu hivyo ni lazima niwahi.

Baada ya kumaliza kuvaa nilitoka chumbani na kukutana na mama mlango.
"Mmmmh" mama aliguna baada ya kuniona.
"Mama shikamoo" ilibidi nimsalimie.
"Marahaba mmeo anaonekana yupo vzuri ila mwambie awe anapunguza sauti usiku na kutukana hovyo" mama aliongea na mimi nilijua hakuna siri tena kwani kila kitu kilikuwa wazi.

Niliamua kumkubalia kuwa nitaongea nae na baada ya hapo nilimuaga kwa ajili ya kuondoka ila mama aliniambia siku inayofata ataondoka.

Nilienda kazini siku hiyo na siku iliyofata mama aliondoka na sisi tuliendelea na maisha kama kawaida.

Siku iliyofata kwakuwa ilikuwa ni siku ya mapumziko niliamua kwenda kwenye duka la Cyborg.

Nilimkuta Cyborg akiwa kakaa na mwanamke mnene aliyejaza mchina kwenye makalio yake na alionekana ni mteja waliyezoeana kwani niliwakuta wakipiga story huku wakicheka. basi niliamua kuungana nao na kupiga story.

Baada ya mda mwanamke tuliyekuwa tukipiga nae story aliaga na kuondoka na kutuacha sisi wawili.

Dekika kadhaa zilipita tukiwa sisi wawili dukani na Cyborg aliamua kuniambia.
"Malaika kuna sehemu naenda kuangalia mzigo mara moja naomba uniangalizie hapa" Cyborg aliongea nakunipa maelekezo ya bei husika ya bidhaa zake.

Nilibaki mwenyewe na baada ya dekika kadhaa alikuja kijana aliyetokea kwenye duka la jirani na kunisalimia.
"Sister samahani wewe ni mke wa jamaa anayeuza hapa!?" aliniuliza na mimi niliamua kukubali kuwa ni mke wa Cyborg ila bado nilikuwa njia panda sababu sikujua thamila yake.
"Kwanini umeniuliza hivyo kwani kuna tatizo!?"
Baada ya kumuuliza aliamua kunijibu.
"Ndio tatizo lipo jamaa yako ni kitombi sana kwa mademu za watu"
"Mmmh" ilibidi nigune baada ya kusikia kuwa Cyborg anatembea na wanawake wa watu.
"Huenda umekosea mme wangu hayuko hivyo" nilipingana na kile alichoniambia ila aliniambia kama siamini basi nimpe namba zangu ili aweze kunionesha ushahidi.

Nilimtajia namba zangu kisha baada ya hapo aliondoka na kuniambia atanitumia ushahidi.

Nilibaki mwenyewe huku nikiwa natafakari maneno aliyoniambia kijana aliyeondoka mda sio mrefu na kuna mda niliamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka jinsi nilivyomkuta Cyborg akiongea na mteja tena wakiwa wanacheka kabisa.
Niliendelea kukaa kwenye duka la Cyborg na baada ya masaa kadhaa kupita Cyborg aliweza kurudi.

Sikutaka kumuuliza Cyborg juu ya kile nilichoambiwa na nilipanga kuanza kufanya uchunguzi mwenyewe.

Baada ya kukaa kwa mda mrefu niliondoka na kurudi nyumbani na kumuacha Cyborg mwenyewe.

Siku mbili zilipita na siku ya tatu nikiwa kazini kwangu niliweza kupigiwa na namba ngeni na nilipoipokea ilisikika sauti ya mwanaume na alijitambulisha kwa jina la Oscar na alinikumbusha vizuri kuwa ndiyo yule kijana niliyempatia namba siku niliyoenda kumtembelea Cyborg dukani kwake.

Oscar aliniambia niende kwenye duka lake ili anioneshe jinsi mme wangu Cyborg anavyochepuka.

Niliamua kuondoka nikiwa na nguo zangu za kazi na sikutaka kutumia gari langu kwenda sehemu niliyoelekezwa.

Nilifika mpaka kwenye duka alilokuwemo Oscar na alishituka baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.
"Aya niambie yupo wapi mme wangu!?" ilibidi nimuulize baada ya kuona duka la Cyborg limefungwa ila nilishangaa kumuona Oscar akizidi kuniogopa zaidi.
"Sinakuuliza mbona upo kimya!?" nilimuuliza kwa mara nyingine na aliamua kuongea.
"Samahani umechelewa kwani ameondoka mda sio mrefu mme wako akiwa na mchepuko wake"  alinijibu huku akiendelea kuwa na wasiwasi.

Baada ya kuniambia vile niliona kama ananipotezea mda hivyo niligeuka kwa ajili ya kuondoka lakini kuna kijana mwingine aliyekuwa duka la jirani aliamua kuniita.

Kipindi naenda kuonana na kijana mwingine akiyeniita nilimuona kijana aliyekuwa akiitwa oscar akifunga duka lake na kuondoka huku akionekana ni mtu mwenye wasiwasi.

Nilifika mpaka kwa kijana aliyeniita aliyenisalimia baada ya mimi kufika pale kisha baada ya hapo aliniambia.
"Afande samahani, yule kijana alitaka kukuchonganisha wewe na mme wako na siku ile alikuambia vile ili aweze kupata namba yako ya simu na siku ya leo alipanga kufanya mapenzi na wewe kwenye duka lake" aliongea na alinifafanulia zaidi kuwa yeye na kijana yule hawapatani kwani walikuwa na ugomvi na ndiyo maana ameamua kuniambia ukweli.

Dah kweli kila mwanaume ananjia zake za kutongoza niliongea mwenyewe baada ya kugundua kuwa ilikuwa ni mipango ya yule kijana Oscar ili aweze kufanya mapenzi na mimi. nahisi kilichomwogopesha ni baada ya kuniona nikiwa na sare za kiasikari.

Nilirudi kazini kwangu na baadae nilipata uhakika mwenyewe kuwa Cyborg hanisaliti kwani upendo uliongezeka mara dufu kwenye ndoa yetu.

Kidogo usumbufu wa kutongozwa ulipungua hasa kutoka kwa asikari wenzangu na ata mtoto wa mbunge aliacha kunifatilia baada ya kugundua kuwa ni mwanamke mwenye msimamo na nilikuwa mgumu kugawa kitumbua changu hovyo.

Basi tuliendelea na maisha mimi pamoja na Cyborg huku nikiwa bado na watoto wangu wawili na sikuwa na mpango kabisa wa kuacha kazi yangu ya uasikari.

Pia mme wangu Cyborg nae biashara yake ilizidi kuimalika na mpaka sasa tuna miliki magari mawili na tumejenga nyumba nyingine ya kisasa.

Upande wa  mdogo wangu Anna alibahatika kuolewa na mwanaume mwingine na alibahatika kupata  mtoto mmoja.

Bira kusahau mtoto wa Cyborg aliyezaa na dada wa kazi bado aliendelea kumhudumia na kutoa matumizi ya msingi yaliyokuwa yakihitaji.

Ninachoshukuru kwa Cyborg mpaka namaliza kusimulia mkasa huu hakuwa kuuchoka mwili wangu na kila siku nilikuwa mpya kwake japo ni mwanaume aliyekuwa na udhaifu wake lakini siku zote wanasema hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu anamadhaifu yake.

Asanteni sana kwa kufatilia mkasa huu naamini mtakuwa mmejifunza mengi kwenye story hii nawapenda sana ?????

                      MWISHOOO
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).

Bahati nzuri Cyborg aliweza kupitiwa na usingizi na nilikuja kushituka mida ya saa 11 asubuhi na nilipoangalia niligundua kuwa umeme bado umekatika.
"Mmmh hapa inatakiwa niamke walau nikazuge kufanya mazoezi huko nje, huyu akishituka lazima atataka kuninyandua" nilijiwazia mwenyewe na sikutaka tena kurudi kitandani sababu nilimjua Cyborg hachelewi kuniomba cha asubuhi.

Basi bhana japo kulikuwa na kaubaridi ila niliamua kwenda kufanya mazoezi kwa ajili ya kupoteza mda ili paweze kukucha ile nimefika nje na kuanza kufanya mazoezi Cyborg alifika.

"Mmmh!!!! Malaika, wewe tangu lini ukafanya mazoezi asubuhi ivi tena na baridi hii!?" Cyborg aliniuliza na mimi sikutaka kumuonesha kuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-43-final

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 35.
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

488
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

438
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

365
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

197
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

171
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

102
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

89
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

87
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

77

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest