Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA MHALIFU 35.
Gonga94 · Stories

PENZI LA MHALIFU 35.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA MHALIFU 35.

Baada ya kubaki mimi pamoja na mwanangu Irene niliamua kutafuta dada mwingine wa kazi na kujaribu kuishi maisha ya peke yangu bira ya uwepo wa Cyborg.

Sikujua kwa wakati huo Cyborg alikuwa akiishi wapi ila alikuwa akinisumbua kila mara akiniomba msamaha na mimi niliamua kumuwekea ugumu na sikutaka kumsamehe kabisa kuna mda kaka yake alikuwa akinitafuta akijaribu kunisihi niweze kumsamehe mdogo wake lakini sikutaka kumsamehe Cyborg.

Siku hiyo nilirudi nyumbani mida ya saa mbili usiku, nilimkuta Cyborg akiwa kakaa huku binti wa kazi niliyemuajiri akiwa pembeni yake. Cyborg aliponiona alinyenyuka na kunifata.
"Malaika naomba unisamehe mke wangu tuendelee na maisha yetu" Cyborg aliongea huku akiwa anategemea lazima nitamsamehe.
Kiukweli alikuwa ameshanitoka moyoni kabisa kwa wakati huo.

Binti wa kazi aliamua kuondoka na kuelekea chumbani akituacha sisi wenyewe pale sebleni.

Sikutaka ata Cyborg anishike sababu nilijua jinsi alivyo ni lazima angenishawishi tu mpaka ningekubali kumsamehe.
"Nimeshasema siwezi kukusamehe naomba utoke ndani ya nyumba yangu Kelvin kabra sijakubadilikia" niliongea lakini Cyborg hakutaka kutoka kabisa na baada ya kuona nimekataa kumsamehe aliamua kutumia nguvu sababu alijua udhaifu wangu ni upi.

Alinisogelea na kunishika kwenye kiuno changu na kunivutia karibu na kifua chake.
"Yasikilize mapigo ya moyo wangu Angel yanavyodunda, siwezi kuishi bira wewe naomba unielewe mpenzi" aliongea lakini mimi niliona kama ananiletea mapenzi ya kihindi kwa wakati huo huku mimi ni mwafrica.

Kwakuwa nilikuwa bado na hasira nilimpiga ngumi ya kwenye mdomo na alianza kutema damu na kuamua kuniachia.

Alisogea pembeni na baadae aliongea.
"Nimekubali unipige Malaika ila mimi nipo hapa kwa ajili ya kukuomba msamaha kwa kile kilichotokea"
Cyborg aliniambia kuwa ile siku niliyoenda msibani alisikia sauti za mdogo wangu Anna pamoja na mfanyakazi wakiwa kwenye chumba chao wakisagana na kwakuwa hiyo siku sikuwepo alijikuta akiingiwa na tamaa na kuamua kuwafata na ndipo walipokubali kufanya mapenzi na yeye.

Licha ya yeye kuniambia bado sikuwa na sababu ya kumsamehe kabisa kiukweli na baadae aliamua kuondoka na kuniacha mwenyewe.

Tangu siku hiyo sikuwahi kumuona tena Cyborg wala hakuwahi kunipigia simu tena kwa ajili ya kuniomba msamaha.

Taarifa ya mimi kuachana na Cyborg ilisambaa na ilimfikia Afande Joel, siku hiyo nikiwa kazini kwangu Afande Joel alinifata na kuniambia.
"Nasikia mmeachana wewe pamoja na malaya mwenzako" Afande Joel aliongea na nilichukia baada ya kuniita malaya.
"Nani malaya!!?"
Nilimuuliza huku nikimwangalia usoni kwa hasira na baadae aliamua kuondoka na kuniacha mwenyewe.

Siku hiyo ilipita na siku moja yakiwa ni majira ya usiku nikiwa nimelala nilisikia mtu akigonga kwenye mlango wa nyumba yangu, niliamka na kutembea kwa ajili ya kwenda kufungua mlango huku nikiwa na tahadhali.

Nilifika mlangoni na kuamua kumuuliza mtu aliyekuwa akigonga mlango.
"Nani wewe uliye hapo nje!?"
"Ni mimi Malaika" sauti ya Cyborg ilisikika na baada ya kutambua ni yeye sikutaka kabisa kwenda kumfungulia.
"Bora uondoke tu sababu siwezi kukufungulia mlango" niliongea na kuanza kuondoka kwa ajili ya kurudi kwenye chumba changu.
"Sawa Malaika ila nikifa wewe ndiyo utakuwa sababu hapa nilipo nina majeraha na nipo kwenye hali mbaya, nimekuja kukuona kwa mara ya mwisho kisha baada ya hapo hutoniona tena kwenye maisha yako" Cyborg aliongea na mimi nilishituka baada ya kuongea vile kwani kuna moment nzuri nilizokuwa nikizikumbuka alizonifanyia Cyborg.

kiukweli nikili wazi licha ya kuwa na hasira nae bado haikunifanya nisahau ni wapi tulipotoka mimi na Cyborg.

Sijui ni kitu gani kilichonikuta kwani nilijikuta nikienda kumfungulia mlango na Cyborg aliingia ndani.
Baada ya Cyborg kuingia nilipomtazama sikuona majeraha yoyote yale.
"Toka haraka nje ya nyumba yangu" niliongea baada ya kuona hana tatizo lolote lile lakini Cyborg alinisogelea na kunishika kwa nguvu.
"Nitaondoka kama unavyotaka ila naomba leo nifanye mapenzi na wewe kwa mara ya mwisho tu" Cyborg aliongea.
"Nimes.....

Nyie acheni tu kwani alikuwa ananisikia kile nilichokuwa nikimwambia, aliivuta kanga niliyokuwa nimejifunga na kwakuwa nilikuwa nikipenda kulala na chupi Cyborg hakupata shida.

Kiukweli sikuwa na hamu ya kufanya nae mapenzi ila sijui kilitokea nini tu kwani Cyborg aliniinamisha palepale sebleni na kuniingizia mpini wake. nilijikuta nikimuacha anizagamue sababu ata mimi nilikuwa nikisikia raha kwa utamu niliokuwa nikiupata.

Cyborg alinizagamua na baada ya kumaliza alivaa nguo zake na kuondoka bira kuongea chochote kile.

Baada ya Cyborg kuondoka nilijikuta nikimiss uwepo wake na nilitamani tena tuendelee kufanya mapenzi kwa mzunguko mwingine.

Niliokota kitenge changu na kujifuta mbegu alizonimwagia Cyborg kisha baada ya hapo nilielekea chumbani kulala.

Nilifika na kujitupa kitandani huku nikiwa na mawazo na katika kuwaza kwangu nilijikuta nikimuwaza Cyborg pasipo kutegemea na kilichokuwa kikinitatiza zaidi nikuniambia kuwa sitamuona tena mbele ya macho yangu.

Mwanzo nilijua ni utani lakini wiki tatu zilipita bira Cyborg kuonekana na nilikuja kugundua kuwa ninaujauzito wa Cyborg.
Niliamua kuulea mwenyewe na Cyborg hakuwahi kuonekana tena mbele ya macho yangu wala kunitafuta........ITAENDELEA.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA MHALIFU 35.

PENZI LA MHALIFU 35.

Baada ya kubaki mimi pamoja na mwanangu Irene niliamua kutafuta dada mwingine wa kazi na kujaribu kuishi maisha ya peke yangu bira ya uwepo wa Cyborg.

Sikujua kwa wakati huo Cyborg alikuwa akiishi wapi ila alikuwa akinisumbua kila mara akiniomba msamaha na mimi niliamua kumuwekea ugumu na sikutaka kumsamehe kabisa kuna mda kaka yake alikuwa akinitafuta akijaribu kunisihi niweze kumsamehe mdogo wake lakini sikutaka kumsamehe Cyborg.

Siku hiyo nilirudi nyumbani mida ya saa mbili usiku, nilimkuta Cyborg akiwa kakaa huku binti wa kazi niliyemuajiri akiwa pembeni yake. Cyborg aliponiona alinyenyuka na kunifata.
"Malaika naomba unisamehe mke wangu tuendelee na maisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-mhalifu-35

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-mhalifu
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 33.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 01.
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 02
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 43 (FINAL).
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 04.
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 22
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 36
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 08
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 05.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 23.
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 30
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 06
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 27
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 13.
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 03
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 40
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 41
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 29
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 15.
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 26
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 20
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 24
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 10
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 09
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 28
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 37
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 42
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 11.
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 39
PENZI LA MHALIFU 07.
PENZI LA MHALIFU 07.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday

1.37K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84

673
LETICIA 15:16

LETICIA 15:16

263
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO

256
CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10

CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10

191
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05

141
NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO

74
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14

34
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO

18
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.93K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.63K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.87K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.42K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.99K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.79K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.66K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 96 - 100 MWISHO SEASON TWO
@majario LIVE

:96 Yeye akawa tu anaendesha kama vile hakuna kitu amezungumza. Mimi hapo tena naona tu kesho ifike tu nipelekwe tu hiyo sehemu. Sijui hata ni kuchinjwa au nikutekwa mimi tayari tu nipo...

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14 Post Mpya
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
@majario LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita.... Huyo hawezi kuishi bira wewe mana haoni na nafasi ya mwisho ni kuondoka katika huu ufalme nisione sura zenu tena hapa...... ENDELEA NAYO........ Mfalme Tengu aliwafukuza Prince Yao na Lindiwe...

NAKUPENDA BILA  MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 87 - 95 SEASON TWO
@majario LIVE

:87 Nikacheka na kusema “sasa nikufiche nini, lakini sasa Dokta kama anampenda boss bora amwambie anateseka bure.” Dada Maria alicheka na kusema “wewe unawajua wanaume, wanaume hawana hata muda nakuambia, na vile...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 83 na 84
@majario LIVE

Namtak uyo maraya wako, namtaka nasema, mh nikajua apa kumekucha nikawaambia wanangu, nendeni chumbai kwenu haraka, kweli ummy akachukua mdogo wake arshaina wakaingia chumbani, mm.nikamsogelea mama.nikasema.mma ni ustaarabu gani, mama.mi.nilikuwa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 76 - 86 SEASON TWO
@majario LIVE

:76 Nazwi niambie kuna tatizo, unagombana tena na dokta wako?” Nilitabasamu na kusema “mimi kugombana na dokta?, kwanini?, Hapana kuna vitu alikuwa ananielekeza tu.” Alinitazama, Nadhani aligundua kitu mimi sijui Ila sikuwa nimempa...

USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU. Post Mpya
USIKAE KWENYE NYUMBA MOJA YA KUPANGA KWA MUDA MREFU.
@majario LIVE

Tena ikiwezekana katika hizi nyumba za kupanga uwe na limit ya muda wa kukaa, mtu unakaa miaka na miaka kwenye hiyo nyumba mpaka unaonekana kama wewe ndiye mwenye nyumba. Inafikia...

LETICIA 15:16 Post Mpya
LETICIA 15:16
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 15 Mwandishi;LISSA Yule dada alikuwa mcheshi dakika mbili tushazoeana ,nilikuwaga namuona tu kijijini ila hii siku ndio nikamjua vizuri .alinambia anaitwa rehema. Tulipiga story mno akanipa na namb yake...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 81 na 82 enjoy Sunday
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana sasa siku iyo nakumbuka nilikuwa kwa jalia , nikamuuliza jalia mbona huna tumbo alafu mimba si itakuwa na miezi 2 , akanmbia mh naona...

CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ SEHEMU YA 01--- 05
@majario LIVE

MTUNZI RITHA STORIES WHATSAPP 0754380244 AU 0680992844 SONGA NAYO................. Mpenzi msomaji Leo na kuletea kisa hiki Cha mapenz ambacho Kita kufunza mengi na kukusisimua,kukufurahisha, na kukuhuzunisha pia Karibu tuende wote👇 Unaweza kuniita Sonia...

Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO Post Mpya
Poor Orphan Got Pregnant With Twins & Was Kicked Out By Her Stepmom -Unexpectedly Baby's Dad Was CEO
@majario LIVE

If you don't leave my house right now, I will cut you into pieces today. Mrs. Helen screamed, waving a big sharp cutlass in the air. Grace backed away, her...

CHUMBANI KWETU 💚   Sehemu   ya   10 Post Mpya
CHUMBANI KWETU 💚 Sehemu ya 10
@majario LIVE

Nilifurahi sana❤😘nikaletea mtoto wangu nikamuona nililia kwa furaha nikamshukuru sana Betty maana amekuwa msaada sana kwangu🙏❤ asubuhi ya siku iliyofuata mume wangu nae akaja kumuona mtoto nae alifurahi sana...

ROWAN (Mine alone) 1 - 5 Post Mpya
ROWAN (Mine alone) 1 - 5
@majario LIVE

MTUNZI: Mr Burudan Sehemu ya: 01 ANZA NAYO.... Niite Vee, jina la kifupisho cha jina langu la Vera, Vera ndio jina langu halisi nililopewa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 66 - 75 SEASON TWO
@majario LIVE

:66 Mimi nilitoka nikiwa na furaha sana, Niliondoka hapa ni Kama nimezaliwa upya. Moyo wangu ulikuwa umechangamka mno. Ingawa nilifika kwa kujivuta sana lakini siku imeisha na tabasamu pana kwenye uso...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 80
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi nikaludi ndani sasa , nikamkuta zena ana mawazo sana, nikasema zena naomba nikupe chakula kwanza kisha tutaongea tu nitakuelezea kila kitu mke wangu, zena akanmbia sawa, wala hakuwa na...

IN LOVE WITH ZURI*   Chapter 7 Post Mpya
IN LOVE WITH ZURI* Chapter 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Kitendo cha mimi kuongea kwa ukali kiasi hicho kiliwashtua sana Idress lakini pia na Ethan, Ethan yeye mpaka alinyanyuka na kuja sehemu niliyokaa kisha akachukua hiyo chai ambayo nasemea...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest